MCH.MAGEMBE AWASHA MOTO, MCH,GENYA AKIAGWA VCCT NA KUZIKWA MAKABURI YA KONDO DSM.

Пікірлер: 41

  • @johnmawewebusobe7138
    @johnmawewebusobe7138 Жыл бұрын

    Mtumishi kazi nzuri Mungu akutangulie

  • @Reuben658
    @Reuben658 Жыл бұрын

    POLENI SANA KWA MSIBA pia asante kwa ujumbe mzuri

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Жыл бұрын

    Mungu akubariki mchungaji Magembe Kwa injili isiyogoshiwa

  • @falijiubamba4155
    @falijiubamba4155 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Mchungaji Magembe pamoja na uzao wako

  • @tlotwe.01.
    @tlotwe.01. Жыл бұрын

    Yesu Fariji na Kuitia Nguvu Hii Familia. Daaah Lakini Huyu mzee namkubali Haswaa ......injili yake ni pure....imenyooka Zaidi ya rula Kweli Kweli. Mafundisho yake ni thabiti na Kweli. We lndeed need to learn from this old man....He is well loaded with pure gospel of Christ. Bwana Akutunze Pst. Maghembe.

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Жыл бұрын

    Hapo ndio kwenye "Lutata" wahehe🤣🤣 Mnirehemu kwa kucheka msibani na Mungu awape wepesi wafiwa

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete2404 Жыл бұрын

    Asante sana kwa ujumbe wa faraja ya Kweli. Poleni sana familia, jamani mara ya mwisho nilimuona huyo mtele kwa Rev. Dr Hamuli akifundisha darasa la Uanafunzi kwa upako na kuakilisha somo kwa namna nyepesi ya kueleweka. Nasema tena Pole, hakika ametutangulia kwenda nyumbani kazi kamaliza vyema.

  • @evelynjohn3171

    @evelynjohn3171

    Жыл бұрын

    Kwani amefariki??? Jamani mbona umenipa presha

  • @henryjoseph3512
    @henryjoseph3512 Жыл бұрын

    Karibu Zanzibar baba

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Жыл бұрын

    Mchungaji maghembe, Mungu akubariki sana. Injili uhubiriyo ndio Injili hasa.

  • @DanielKilango-fs2px
    @DanielKilango-fs2px Жыл бұрын

    Aminaa babaa angu wewe n mwinjilist ninayee kubal injili unayoo tangazaa

  • @matokeomwakibinga3344
    @matokeomwakibinga3344 Жыл бұрын

    Mungu akutunze sana baba binafsi nabarikiwa sana na injili yako maana ni injili isiyo goshiwa

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr6 ай бұрын

    Top quality heavyweight gospel preacher

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Жыл бұрын

    Amen Mungu mwema watu wahong'ea ukweli wazee kujenga kanisa,

  • @jacklinmacha2964
    @jacklinmacha2964 Жыл бұрын

    Mungu mfarij huyu mama

  • @yuajamlimwa6318
    @yuajamlimwa6318 Жыл бұрын

    Hallelujah Hallelujah, Dear Brethrens Nimekuwa karibu na huyu mtumishi Peter Genya hadi wiki moja kabla ya umauti wake, Surely kutoka kwake NIMEJIFUNZA KUJIDHABIHU KABISA KABISA KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU (DEADLY/ TOTALLY DEDICATION TO THE LORD GOD) NDIPO TUTAMUONA YESU KRISTO ALIYEHAI PALE MAWINGUNI 🙏🙏🙏🙏

  • @anithambise90
    @anithambise90 Жыл бұрын

    Mchungaji Peter mwendo umeumaliza na malaika wa Bwana wamekupokea kwa tarumbeta na vinubi maan umekuwa Mtumishi mwema wa Mungu. Eee Mwenyezi Mungu mtie nguvu mke wake aweze kuwalea watoto katika maadili yampasayo Bwana😭😭🙏🙏🙏

  • @editasikabenga3517
    @editasikabenga3517 Жыл бұрын

    Asante kwa neno la uzima

  • @SamitoBlaunde
    @SamitoBlaunde Жыл бұрын

    Asante baba Mungu alibariki madhabahu yake, yesu ni mfariji wa pekee

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa wote

  • @josephmajura3821

    @josephmajura3821

    Жыл бұрын

    Kweli Mungu awape aman sana

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente Жыл бұрын

    Mungu awalinde ndugu za zangu hapa chemas Nelly tokea Mueda Mozambique Kwa Oberd Daniford Burumela

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Жыл бұрын

    Hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Жыл бұрын

    MAGEMBE NI JEMBE ANANYOOSHA PALIPOPINDA.

  • @samjapheth8411
    @samjapheth8411 Жыл бұрын

    It is very touching.

  • @samjapheth8411
    @samjapheth8411 Жыл бұрын

    A word of God it is what is needed.

  • @AmosSambe
    @AmosSambe Жыл бұрын

    Amen❤

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta9387 Жыл бұрын

    Asante sana!

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥👈

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m10 ай бұрын

    Naomba msaada wakuonana uso kwa uso na mchangaji magembe,nahisi nikionana nae,nitajengwa sana kiimani,jamani mi ninasali imani nyingine nayeye,lakini,namuona anamungu wakweli kabisa,tumekoswa kabisa wachungaji katika kipindi hiki cha mwisho ambacho shetani ameapa kuliua kabisa kanisa,tutapataje kupona???,ikiwa hatuna waamuzi???,ee mungu utukumbuke,uturehemu,hatuna wakutoka nasisi wala wakuingia na sisi,tunapigwa,tusaidie mungu wetu

  • @Israelnabii
    @Israelnabii Жыл бұрын

    🇰🇪 injili imenikuza

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Жыл бұрын

    Amina

  • @markokulanga5503
    @markokulanga5503 Жыл бұрын

    Kweli photo copy 😂😂😂

  • @pisperconstantine6111
    @pisperconstantine6111 Жыл бұрын

    Tuonane bandarini kule 😭

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn Жыл бұрын

    Amena

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 Жыл бұрын

    Injili isiyo goshiwa

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu8040 Жыл бұрын

    Hii ndiyo injili ya kweli

  • @jacobmugga3273

    @jacobmugga3273

    Жыл бұрын

    Hongera. The correct Doctrine . God bless you mzee. Hii doctrine isipotee weka kwenye maandishi

  • @alexmgwasi7087

    @alexmgwasi7087

    Жыл бұрын

    Injili hii ndiyo ya kweli haijagoshiwa Mungu akubariki Rev.Magembe

  • @nurumbwile4913

    @nurumbwile4913

    Жыл бұрын

    Baba yangu wa kiroho alienibatiza Mungu akubariki kwakumtetea yesu

  • @gervasexavery2977
    @gervasexavery2977 Жыл бұрын

    Be YESU ASIFIWE MT. UKISOMA KITABU CHA YONA 2:1---- UTAKUTANA NA NENO ™ktk tumbo la kuzimu nalimuomba MUNGU---- YONA NIKATI YAMTU ALIOONA SHIDA YA KUZIMU .BAADA YA NAFSI YAKE KUPELEKWA .LAKINI BAADA YA KILIO NA MAOMBI BWANA AKAMTOA AKAMWAMURU AENDE TENA NINAWI 2:1--6

Келесі