MCH.MAGEMBE AWASHA MOTO, MCH,GENYA AKIAGWA VCCT NA KUZIKWA MAKABURI YA KONDO DSM.
Жүктеу.....
Пікірлер: 41
@johnmawewebusobe7138 Жыл бұрын
Mtumishi kazi nzuri Mungu akutangulie
@Reuben658 Жыл бұрын
POLENI SANA KWA MSIBA pia asante kwa ujumbe mzuri
@floramongi1410 Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji Magembe Kwa injili isiyogoshiwa
@falijiubamba4155 Жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji Magembe pamoja na uzao wako
@tlotwe.01. Жыл бұрын
Yesu Fariji na Kuitia Nguvu Hii Familia. Daaah Lakini Huyu mzee namkubali Haswaa ......injili yake ni pure....imenyooka Zaidi ya rula Kweli Kweli. Mafundisho yake ni thabiti na Kweli. We lndeed need to learn from this old man....He is well loaded with pure gospel of Christ. Bwana Akutunze Pst. Maghembe.
@saimonseleka8792 Жыл бұрын
Hapo ndio kwenye "Lutata" wahehe🤣🤣 Mnirehemu kwa kucheka msibani na Mungu awape wepesi wafiwa
@lawrencekamete2404 Жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe wa faraja ya Kweli. Poleni sana familia, jamani mara ya mwisho nilimuona huyo mtele kwa Rev. Dr Hamuli akifundisha darasa la Uanafunzi kwa upako na kuakilisha somo kwa namna nyepesi ya kueleweka. Nasema tena Pole, hakika ametutangulia kwenda nyumbani kazi kamaliza vyema.
@evelynjohn3171
Жыл бұрын
Kwani amefariki??? Jamani mbona umenipa presha
@henryjoseph3512 Жыл бұрын
Karibu Zanzibar baba
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Mchungaji maghembe, Mungu akubariki sana. Injili uhubiriyo ndio Injili hasa.
Mungu akutunze sana baba binafsi nabarikiwa sana na injili yako maana ni injili isiyo goshiwa
@IsaacLameck-nz8yr6 ай бұрын
Top quality heavyweight gospel preacher
@oscanyakunga Жыл бұрын
Amen Mungu mwema watu wahong'ea ukweli wazee kujenga kanisa,
@jacklinmacha2964 Жыл бұрын
Mungu mfarij huyu mama
@yuajamlimwa6318 Жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah, Dear Brethrens Nimekuwa karibu na huyu mtumishi Peter Genya hadi wiki moja kabla ya umauti wake, Surely kutoka kwake NIMEJIFUNZA KUJIDHABIHU KABISA KABISA KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU (DEADLY/ TOTALLY DEDICATION TO THE LORD GOD) NDIPO TUTAMUONA YESU KRISTO ALIYEHAI PALE MAWINGUNI 🙏🙏🙏🙏
@anithambise90 Жыл бұрын
Mchungaji Peter mwendo umeumaliza na malaika wa Bwana wamekupokea kwa tarumbeta na vinubi maan umekuwa Mtumishi mwema wa Mungu. Eee Mwenyezi Mungu mtie nguvu mke wake aweze kuwalea watoto katika maadili yampasayo Bwana😭😭🙏🙏🙏
@editasikabenga3517 Жыл бұрын
Asante kwa neno la uzima
@SamitoBlaunde Жыл бұрын
Asante baba Mungu alibariki madhabahu yake, yesu ni mfariji wa pekee
@jasirimjasirimedia7940 Жыл бұрын
Poleni sana wafiwa wote
@josephmajura3821
Жыл бұрын
Kweli Mungu awape aman sana
@Idmmuedacente Жыл бұрын
Mungu awalinde ndugu za zangu hapa chemas Nelly tokea Mueda Mozambique Kwa Oberd Daniford Burumela
@jasirimjasirimedia7940 Жыл бұрын
Hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥
@thomaskiponda6079 Жыл бұрын
MAGEMBE NI JEMBE ANANYOOSHA PALIPOPINDA.
@samjapheth8411 Жыл бұрын
It is very touching.
@samjapheth8411 Жыл бұрын
A word of God it is what is needed.
@AmosSambe Жыл бұрын
Amen❤
@haningtonkabuta9387 Жыл бұрын
Asante sana!
@re.emmanuelmdoe3345 Жыл бұрын
🔥🔥🔥👈
@user-kv7hq5mb6m10 ай бұрын
Naomba msaada wakuonana uso kwa uso na mchangaji magembe,nahisi nikionana nae,nitajengwa sana kiimani,jamani mi ninasali imani nyingine nayeye,lakini,namuona anamungu wakweli kabisa,tumekoswa kabisa wachungaji katika kipindi hiki cha mwisho ambacho shetani ameapa kuliua kabisa kanisa,tutapataje kupona???,ikiwa hatuna waamuzi???,ee mungu utukumbuke,uturehemu,hatuna wakutoka nasisi wala wakuingia na sisi,tunapigwa,tusaidie mungu wetu
@Israelnabii Жыл бұрын
🇰🇪 injili imenikuza
@dadamuebrania1539 Жыл бұрын
Amina
@markokulanga5503 Жыл бұрын
Kweli photo copy 😂😂😂
@pisperconstantine6111 Жыл бұрын
Tuonane bandarini kule 😭
@johnsebastian-bx6qn Жыл бұрын
Amena
@saidmatikiti1566 Жыл бұрын
Injili isiyo goshiwa
@nangukidasu8040 Жыл бұрын
Hii ndiyo injili ya kweli
@jacobmugga3273
Жыл бұрын
Hongera. The correct Doctrine . God bless you mzee. Hii doctrine isipotee weka kwenye maandishi
@alexmgwasi7087
Жыл бұрын
Injili hii ndiyo ya kweli haijagoshiwa Mungu akubariki Rev.Magembe
@nurumbwile4913
Жыл бұрын
Baba yangu wa kiroho alienibatiza Mungu akubariki kwakumtetea yesu
@gervasexavery2977 Жыл бұрын
Be YESU ASIFIWE MT. UKISOMA KITABU CHA YONA 2:1---- UTAKUTANA NA NENO ™ktk tumbo la kuzimu nalimuomba MUNGU---- YONA NIKATI YAMTU ALIOONA SHIDA YA KUZIMU .BAADA YA NAFSI YAKE KUPELEKWA .LAKINI BAADA YA KILIO NA MAOMBI BWANA AKAMTOA AKAMWAMURU AENDE TENA NINAWI 2:1--6
Пікірлер: 41
Mtumishi kazi nzuri Mungu akutangulie
POLENI SANA KWA MSIBA pia asante kwa ujumbe mzuri
Mungu akubariki mchungaji Magembe Kwa injili isiyogoshiwa
Mungu akubariki Mchungaji Magembe pamoja na uzao wako
Yesu Fariji na Kuitia Nguvu Hii Familia. Daaah Lakini Huyu mzee namkubali Haswaa ......injili yake ni pure....imenyooka Zaidi ya rula Kweli Kweli. Mafundisho yake ni thabiti na Kweli. We lndeed need to learn from this old man....He is well loaded with pure gospel of Christ. Bwana Akutunze Pst. Maghembe.
Hapo ndio kwenye "Lutata" wahehe🤣🤣 Mnirehemu kwa kucheka msibani na Mungu awape wepesi wafiwa
Asante sana kwa ujumbe wa faraja ya Kweli. Poleni sana familia, jamani mara ya mwisho nilimuona huyo mtele kwa Rev. Dr Hamuli akifundisha darasa la Uanafunzi kwa upako na kuakilisha somo kwa namna nyepesi ya kueleweka. Nasema tena Pole, hakika ametutangulia kwenda nyumbani kazi kamaliza vyema.
@evelynjohn3171
Жыл бұрын
Kwani amefariki??? Jamani mbona umenipa presha
Karibu Zanzibar baba
Mchungaji maghembe, Mungu akubariki sana. Injili uhubiriyo ndio Injili hasa.
Aminaa babaa angu wewe n mwinjilist ninayee kubal injili unayoo tangazaa
Mungu akutunze sana baba binafsi nabarikiwa sana na injili yako maana ni injili isiyo goshiwa
Top quality heavyweight gospel preacher
Amen Mungu mwema watu wahong'ea ukweli wazee kujenga kanisa,
Mungu mfarij huyu mama
Hallelujah Hallelujah, Dear Brethrens Nimekuwa karibu na huyu mtumishi Peter Genya hadi wiki moja kabla ya umauti wake, Surely kutoka kwake NIMEJIFUNZA KUJIDHABIHU KABISA KABISA KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU (DEADLY/ TOTALLY DEDICATION TO THE LORD GOD) NDIPO TUTAMUONA YESU KRISTO ALIYEHAI PALE MAWINGUNI 🙏🙏🙏🙏
Mchungaji Peter mwendo umeumaliza na malaika wa Bwana wamekupokea kwa tarumbeta na vinubi maan umekuwa Mtumishi mwema wa Mungu. Eee Mwenyezi Mungu mtie nguvu mke wake aweze kuwalea watoto katika maadili yampasayo Bwana😭😭🙏🙏🙏
Asante kwa neno la uzima
Asante baba Mungu alibariki madhabahu yake, yesu ni mfariji wa pekee
Poleni sana wafiwa wote
@josephmajura3821
Жыл бұрын
Kweli Mungu awape aman sana
Mungu awalinde ndugu za zangu hapa chemas Nelly tokea Mueda Mozambique Kwa Oberd Daniford Burumela
Hallelujah 🔥🔥🔥🔥🔥
MAGEMBE NI JEMBE ANANYOOSHA PALIPOPINDA.
It is very touching.
A word of God it is what is needed.
Amen❤
Asante sana!
🔥🔥🔥👈
Naomba msaada wakuonana uso kwa uso na mchangaji magembe,nahisi nikionana nae,nitajengwa sana kiimani,jamani mi ninasali imani nyingine nayeye,lakini,namuona anamungu wakweli kabisa,tumekoswa kabisa wachungaji katika kipindi hiki cha mwisho ambacho shetani ameapa kuliua kabisa kanisa,tutapataje kupona???,ikiwa hatuna waamuzi???,ee mungu utukumbuke,uturehemu,hatuna wakutoka nasisi wala wakuingia na sisi,tunapigwa,tusaidie mungu wetu
🇰🇪 injili imenikuza
Amina
Kweli photo copy 😂😂😂
Tuonane bandarini kule 😭
Amena
Injili isiyo goshiwa
Hii ndiyo injili ya kweli
@jacobmugga3273
Жыл бұрын
Hongera. The correct Doctrine . God bless you mzee. Hii doctrine isipotee weka kwenye maandishi
@alexmgwasi7087
Жыл бұрын
Injili hii ndiyo ya kweli haijagoshiwa Mungu akubariki Rev.Magembe
@nurumbwile4913
Жыл бұрын
Baba yangu wa kiroho alienibatiza Mungu akubariki kwakumtetea yesu
Be YESU ASIFIWE MT. UKISOMA KITABU CHA YONA 2:1---- UTAKUTANA NA NENO ™ktk tumbo la kuzimu nalimuomba MUNGU---- YONA NIKATI YAMTU ALIOONA SHIDA YA KUZIMU .BAADA YA NAFSI YAKE KUPELEKWA .LAKINI BAADA YA KILIO NA MAOMBI BWANA AKAMTOA AKAMWAMURU AENDE TENA NINAWI 2:1--6