TAZAMA: MIUJIZA FEKI INAVYOFANYIKA MAKANISANI - Mchungaji Peter Mahenge
Жүктеу.....
Пікірлер: 132
@BIGBOSS-hl3bu9 ай бұрын
Mchungaji upo vizuri kusema UKWELI ni Bora zaidi hata kama watakereka na watakuchukia hao wezi lkn Kwa mungu anapenda ukweli
@christopherkaloli55129 ай бұрын
Neema ya Mungu itawale kama Mchungaji huamini Nguvu za Mungu siyo kila anayefunguliwa nimaigizo, Mungu akupe Mafunuo zaidi pia.
@AjuaLupembe-px2rb9 ай бұрын
Wewe mchungaji ogopa sana mimi nahubiri na hayo yanatokea na sio feki wala nini tafuta upako utaelewa namaanisha nini.
@patsonkyando17327 ай бұрын
Wewe Kama ni mchungaji kweli Umekosea sana,Mungu anawatumia hao Watumishi wake Kwa kiwango Cha juu sana so Usifikiri ni miujiza feki,Ukweli Mungu akurehemu sana
@WilsonJohn-or6rl9 ай бұрын
Real Pastor inaskitisha sana nadhani Kwa upande mwingine huko ni kumpa utukufu shetani badala ya MUNGU. Sasa kama unaona hivo wewe ulie na nguvu za Mungu halisi SI udhihirishe tuzione. Pastor Mungu hajakuitia kujaji watu baba mchungaji tupe Neno hayo mengine yaache wewe umeona hayo ila humu humu kwenye dino yetu Kuna husda mwingine sana, Kuna ukritimba nk ambavo pia ni machukizo mbele za Mungu.
@joppagraphix28689 ай бұрын
Bado Hujamfamu Mungu Katika kiwango kingine Mtumishi Wa Mungu
@joycefrances45169 ай бұрын
We mpinga Kristo,Ina maana huamini Kama Mungu ana nguvu, inamaana Mungu ni WA maigizo Kama hayo UNAYOFANYA,embu hubiri neno la Mungu,acha fitna,haipendezi,ubiri neno na kufundusha watu kufunga na kuomba sio fitna ,
@meshackmwangiministries.17484 күн бұрын
Huu nao ni ujinga. Injili ihubiriwe na Mungu kuaminiwa kwa roho na kweli.
@elnorahmjomb18968 ай бұрын
Hii ndio hufanyika kweli mtu wa Mungu.barikiwa Sana kwa kutufungua macho
@leonardlubala3939 ай бұрын
Wewe kama unajua unafanya kazi ya Mungu kwa ukamirifu kwa nini usiendelee kuifanya badala ya kueneza mambo mengine huna uhakika nayo ni kama unadhihaki uweza wa huyo Mungu unaye dai una mtumikia kikamirifu. Nadhani unafanya makosa makubwa sana, kama una ushahidi kwa nini usikabiliane na Mtumishi unaye dhani anafanya hayo maigizo uongee naye ili umeonye kama kweli unamtumikia Mungu badala ya kuchafua uweza wa Mungu
@hijazhija3169 ай бұрын
Truth will be prevailed..in shaaAllah
@radisokida8949 ай бұрын
Piga kazi ya Mungu acha kuponda watumishi wenzako nyinyi watumishi mtakuwa lini wachawi wana umoja waganga wana umoja lakn nyinyi watumishi mnapondana tatizo kubwa sana hilo cjui ndo uwito mlio itiwa watumishi kuponda unaweza ukaungwa mkono na watu wasio elewa utaratibu wa Mungu kiukweli unakosea sana
@patsonkyando1732
8 ай бұрын
Mungu akubariki sana,
@Wilsonduwee9 ай бұрын
Sahihi sahihi Mchungaji. LAKINI, udhihirisho wa nguvu za Kristo upo, na si kila kuanguka au kurespond hivyo ni ku fake. Ukristo halisi, unaweza kuwa na nguvu hata zaidi ya mfano ulio utoa. Biblia inasema we should demonstrate power, na shetani hawezi kuvumilia anapoiona nguvu ya Mungu kwa mtumishi wake. Tuwe makini na tuwaheshimu watumishi wa Mungu, tusije tukapigwa kwa kuto ku honour watumishi wengine. moja ya tabia za kitanzania ni kuhisi wengine ni waongo. Ninakuombea kwa jina takatifu la Bwana Yesu, akupe nguvu za ajabu, ili uwe kielelezo kwa wote wenye nguvu za Mungu za mfumo huo.
@erickmutungi8792
9 ай бұрын
Kwani amesema KILA kuanguka ni kwa kipepo?
@omarisengasu3970
8 ай бұрын
Tazama Majira na Nyakati Tulizopo Mkuu, Jamaa hapo Kasema ukweli, Ana Li-Alert kanisa (Mathayo 24:4-28) unadhani hapo Yesu alikuwa anawaambia akina nani, kwamba watatokea wengi na kupotosha wengi Mkuu. na Upotoshaji Huo ni upi unafikiri watawapotosha kwenye nini. Fanya Tafiti Manabii wengi kama si wote wenye majina makubwa unaowajua hap TZ ni wapotoshaji. Yesu alitoa agizo moja (Math 28:19-20), Mission ya hao wengine ukiifatilia iko sawa na hilo andiko? Je Mataifa wanageuzwa na kufanywa kuwa wanafunzi wa kristo au mataifa wanafanywa mitaji kwa kukosa Maarifa, na kumuona Mungu ni kama Mtu wa Nipe Nikupe?
@zionembassytv56729 ай бұрын
Kuna tatizo kubwa sana kwa watumishi wa Mungu,huo anaofanya ni utoto wa kiroho
@twaibumikidadi73779 ай бұрын
Ndio tunasema DUNIANI HAKUNA DINI ISIPOKUWA NIUISLAM TU (3:19)
@emanuelnyab98728 ай бұрын
God bless you pastor
@mangulimanguli39749 ай бұрын
Na bado mtasema,
@floramgimwa44649 ай бұрын
Acha kulidhalilisha kanisa mtumishi. Mungu atachuja mwenyewe ukweli na uongo. Ukweli utadumu na uongo utakufa. Hubiri neno Acha kutafuta sifa kwa kulichafua kanisa.
@rosemuhandoofficial56769 ай бұрын
Heheheeeeee m hungaji.jamani umenichekesha mnoooo
@Pastor-alex
9 ай бұрын
Tatizo sio miujiza fake @rosemuhandoofficial5676 Tatizo ni anayepinga miujiza hana miujiza ndio maana hapo hapo wanaohubiriwa nyumbani kwao wana mafuta na vitambaa vya upako.. Niamini mimi da rose
@BeatriceMuhomi-cz9cr9 ай бұрын
Mmmhii naikataa ya kujifanyisha watumishi wa mungu mtafuteni mungu kwa bidii maadamu anapatikana akipatikana ndipo utalihubiri neno la mungu na siyo maneno👏👏
@WilsonJohn-or6rl9 ай бұрын
Baba mchungaji uko sawa kabisa Bado ukweli utabaki pale pale bado Kuna majitu huko wana 🔥 ya kweli kabisa maana kila kwenye msafara wa mamba vikenge vinakuwepo, ila sisi wana TAG tuwe tunatathimini tumeanza kufanya injili za kisupastar, za kiutu uzima, za kistaarabu sana tuangalie tusijue kuwa ndio tunaenda kule kule walipo Hawa Leo tunawaita wana dini(religious people) hii imesababishwa na kiburi Cha kuona tupo kwenye taasisi kubwa na kuwa tumeshaaminika kwenye jamii ila ikumbukwe sisi Hawa Hawa unaotuhubiria ndio washabiki ibada zikiisha huku kwenye dini yetu tunaenda kwao na sisi hao hao tunawaangalia hao jamaa kwenye KZread etc. Natamani kila mtu ashindanie kila ameitiwa Kwa sabu haya mengine yanatupotezea focus towards our goals.
@kobelochande6669
9 ай бұрын
Msg kubwa hii hongera
@eugenyraphael4334
8 ай бұрын
Pole mchungaji,
@mgawerevocatus85829 ай бұрын
Halafu eti mnamtafuta mpinga kristo nje ya kanisa. Kila mtumishi amepewa neema tofauti, Usidhani unawamaliza Bali unawatangaza hata wale feki wa ukweli watapata wafuasi maana mjiitao wa ukweli watu hawapati kitu kwenu. Embu chukueni muda kutangaza matendo makuu ya Mungu na nguvu zake zidhihirike kwenu watu wafunguliwe
@michaelkimweri10749 ай бұрын
Sama bibilia vizuri,hayo mambo yote yatoka kwa Mungu .nandio mana akasema mwenye anaweza kuambia mlima ngoja naukajitupe baharini.naukangoka.sasa maneno hayo aliambiwanani, namanabii ,wachungaji,na mitume mpaka Leo,wapo nawanazaliwa,namiujiza lazima i
@gibsonjosephat63529 ай бұрын
Hapo hakuna mtumishi hata maandiko hajui kabisa😂😂😂
@emmanuelgwalugano3479 ай бұрын
hayo ndiyo yaliyopo na yanayo endelea wrm kivule miujiza feki ya nguvu za giza jamaa mtalaam sana wa kufokafoka
@brunomassae62339 ай бұрын
Hubiri Neno Nguvu za MUNGU zipo tena sana
@drtobias_
9 ай бұрын
Hakika umenena vyema
@MCNgakungaJunior
9 ай бұрын
Kabisa!Nguvu kubwa za MUNGU zipo za kufanya hayo yote na kufanya chochote.Mtu asiyekuwanazo huwa anaona kama maigizo na sikila mtumishi anazo ni neema pia.
@magidalenarauya42869 ай бұрын
Fundisha neno la mungu tukuelewe,acha Majungu,waache wafu wazike wafu wao acha kutafuta kiki kupitia wachungaji wengine
@patsonkyando1732
9 ай бұрын
Exactly,haya ni majungu,hamjui Mungu,msikae Kwa mchungaji anayewasema,watumishi wa Mungu Kwa wivu,
@lydiamwatumbula76089 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Bwana
@salimfaraj55099 ай бұрын
I'm proud to be a Muslim
@user-ub1yx5vc8b
9 ай бұрын
You are proud to be a Muslim fine! But Muslims will be saved by Jesus. Know where you are n where you are going
@thamani5842
9 ай бұрын
Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah.
@user-mm9gh4zs3p6 ай бұрын
Nawapenda ubungo ucc
@daudidaniel5449 ай бұрын
Kila mtu ameitwa kwa wito tofauti so hatuwezi wote kukalingana ,,,,,wengine waliitwa kuwa waalimu wengine wachungaji wengine manabii na wengine mitume so all in all hata vile unajipeleka kwenye kumtafuta MUNGU ina matter pia ndiomaana maandiko yanasema ,,,God is the rewarder of those who deligently seek him
@prophetjohnmasso1869 ай бұрын
Ulichofanya kwa madhabahu kinakuua mwenyewe yaani hautakuja kufikia viwango vya udhihirisho wa viwango vya juu ikiwa utadharirisha kazi ya Roho mtakatifu namna hiyo
@michaelkimweri10749 ай бұрын
Miujiza ipo,uponyaji upo,kama kunampiga Dili,zambi ijuu yake lakini usijisafishe kwakutaka waumini wengi,acheni malumbano watumishi mkifa siku yakufufuka Kila mmoja ataubeba msalaba wake.
@teachingtruthmission21409 ай бұрын
Injili FEKI zipo ila Mungu hawekewi mipaka ..mmmmmmm
@elishadaniely53499 ай бұрын
Mungu atutetee
@shedrackmichael78758 ай бұрын
Nguvu ya MUNGU ya kweli ipo kabisa mtu MUNGU ikiwa unaitaji kuexperience utendaji wa nguvu za Roho Mtakatifu karibu.
@AbdiHassan-nl4rg8 ай бұрын
Abdi Hassan Noor AMEN
@aloycesamba9989 ай бұрын
Mtumishi pokea 🌹🌹🥀 yako mapema maana umeongea kitu ambacho hata Mimi nilikuwa nakiwaza sana
@nicaswaziri9 ай бұрын
Mapepo yapo sio kila kitu ni miujiza feki. Mtu akishatawaliwa na pepo huwa dhaifu mno kelele tuu zinamuangusha, kila mtumishi wa Mungu ananguvu zake sio kila mtumishi atatoa pepo. Imani Imani Imani Yesu alisema ukiwa na imani ndogo ukiuambia mti ng'oka nao utan'goka. Mungu yupo na kazi inafanyika na miujiza tunapokea
@yusuphkayoka5452
9 ай бұрын
Maisha ni kupata majibu ya maswali yanayowaumiza watu, ni hivi watu washaangushwa Sana na nguvu zinazoitwa za Mungu lkn baada ya kuamka maisha ni yale Yale, kuna watu wanafunguliwa vifungo vya umasikini, vifungo vya kwenda ulaya, vifungo vya maradhi vifungo vingi Tu lkn maisha hayabadiliki, mbona bible ipo wazi kinachofungua vifungo sio kuanguka, Bali "ukiijua kweli nayo itakuweka huru" , na ukumbuke bible inasema, " Yesu ni njia kweli na uzima", Na Mungu akikuweka huru unakuwa huru kweli kweli, tuache kuamini kila kitu, nguvu za Mungu zinaingia Kwa mtu taratibu Kwa ufunuo anaoupata kupitia andiko, ule ufunuo utakaofunuliwa ndio inakuwa nguvu ya Mungu kuleta matokeo kwenye maisha yako, na kuombewa ombewa na kuangushwa hovyo hovyo bila kubadilika kimaisha.
@sylvanuskomba8646
9 ай бұрын
HAPO FEKI NI WEWE, KWANI KAMA HUNA NEEMA NYAMAZA KIMYA. PIA UJUWE KUNA WANAO FANYA HIVYO KWA NGUVU ZA MUNGU, USIJE UKAKUFURU
@danielmlwafu43808 ай бұрын
Kuna watu wameumbuka sanaaaaa
@seifali38938 ай бұрын
😂 tutaona mengi tu
@danielmlwafu43808 ай бұрын
Kinachovuta wengi miujiza
@elishadaniely53499 ай бұрын
Mungu asimame
@abdulrahmankafuku34499 ай бұрын
Waambie ukweliiiii hao wanaliwaaa tuuu sadaka mara maji ya upako, mara mafuta ya upako, "kweli watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifaaa" 😂😂😂
@patsonkyando1732
9 ай бұрын
Maarifa wewe ndio umeyakosa,Yesu ndio ametumia vifaa vya kiroho na wanafunzi wake,hata huyu mchungaji hamjui Mungu amemkalili TU,
@abdulrahmankafuku3449
9 ай бұрын
Mathayo 24:24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. Mathayo 24:25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. Mathayo 24:26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki. Hayo ni maneno ya YESU akiwionya lakini hamsikiiiiiiiiii maskini ya mungu rudini kundini kondoo mliopotea,
@meshackkulinda17539 ай бұрын
Mjue sana Mungu ili kuhepuka matapel
@arnoldkisanga9 ай бұрын
Nimeipenda hii wacha nisgee😅😂❤
@anselmoonolius9 ай бұрын
Sure fake zipo na original pia 🤝🤝
@msowamhokole77149 ай бұрын
Mtajitaja kidogo kidogo
@moviezakutafsiriwatv9 ай бұрын
MAKANISA YA HIVI HOVYO SANA, MNAFUNDISHA WATU UONGO ,TAG HAIJAWAHI KUNIVUTIA KABISA ,HOVYO
@hospitalyamungutv82178 ай бұрын
Tatizo kubwa kwa kanisa la leo macho ya rohoni hakuna. Ila miujiza ya kweli ipo kubali kataa.
@BenitoD1239 ай бұрын
Marko 16:20 [20]Nao wale wakatoka, wakahubiri kotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithibitisha lile neno kwa ishara zilizofuatana nalo.] And they went forth, and preached every where, the Lord working with them, and confirming the word with signs following. Amen.
@japhethcharles57919 ай бұрын
Hii Dunia inamambo sana , umeubili kweli,matapeli na waganga wa jadi wameingia makanisani
@BenitoD1239 ай бұрын
Yohana 9:6-7 [6]Alipokwisha kusema hayo, alitema mate chini, akafanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope za macho, When he had thus spoken, he spat on the ground, and made clay of the spittle, and he anointed the eyes of the blind man with the clay, [7]akamwambia, Nenda kanawe katika birika ya Siloamu, (maana yake, Aliyetumwa). Basi akaenda na kunawa; akarudi anaona. And said unto him, Go, wash in the pool of Siloam, (which is by interpretation, Sent.) He went his way therefore, and washed, and came seeing. Hii ajabu alifanya Yesu na yeye ni Muongo?
@MICHAELMOBILECARE
9 ай бұрын
Amen umemwambia ukwel maana shida warmish wa siku his kama hana kalima ya uponyaji anabolic lupins went kalama
@patsonkyando1732
8 ай бұрын
A True servant of God can not attack other servants of God
@sawanjema48899 ай бұрын
Nimekuelewa
@mansooralaisri52009 ай бұрын
Msikitini Imamu ajaribu kufanya hivo, atakula Bakora. Wadanganyeni wakristo wapumbavu.
@michaelkimweri10749 ай бұрын
Namiujiza lazima itendeke Ili kumzihirishia shetani kua Mungu ni mwenye nguvu.Inategemea kipawa chako ni Roho WA Mungu, au nicharohi WA shetani sawa mtumishi,tusome bibilia waumini tunadanganywa.sio analolisema mtumishi nisahii tu nae ni mwanadamu
@pendaeldaudi11259 ай бұрын
Good! Waambie hawa wana waadam
@gibsonjosephat6352
9 ай бұрын
Labda anakwambia wewe. Kama umefuatilia Biblia na kuijua hayo huwezi kumsgangaa huyu jamaa Fara
@festinamwakipale39199 ай бұрын
Baba unawatia.nguvu wanaotumia.hizo nguvu.we.hubiri injili shindana na mkuu wa giza ambae ndo vita yetu kanisa
Tatizo waafrika kama mwatombwa, mtu akionge ukweli hamta, ivi nyie watu😂
@anselmoonolius
9 ай бұрын
😂😂😂 ukiona fake zipo na original zipo pia, Ila ukiona hata fake haipo sahau kuhusu original 🤣 Kazi NI moja tu jaa Roho mtakatifu akusaidie kuzitambua original 🤝
@johnlemoyian96019 ай бұрын
Hahaha😂😂😂😂 niukweli
@floramgimwa44649 ай бұрын
Yesu mwenyewe pamoja na kusema maneno, alitenda miujiza. Kwa hiyo naye alikuwa feki. Kama una ushahidi wa feki ni wewe. Lakini wapakwa mafuta wa kweli wapo. Sio watumishi wote ni feki. Na wewe tutakujuaje kama sio mpiga hela tu? Acha wivu. Hutafanikiwa kwa kuchafua kanisa. Wewe nawe fanya uliloitiwa.
@sylivestermwasile4203
9 ай бұрын
Shauri yakoo
@christophercostantine74978 ай бұрын
alichokisema nikweli , hizi inatokana na Maneno ya Yesu dhidi ya Mafarisayo, Mathayo 12:39-41 kizazi Cha ishara na miujiza Kama Yona . Kwahiyo Nyakati hizi ili watu watambue Mungu Yuko ndani yako wanataka Miujiza na sio lile Neno litokalo Ndani yako ambalo ndilo linalosafisha Utu wetu wa ndani na kuwa Mpya kwa Mbegu ya Mungu isiyoweza kuharibika kupitia Ubatizo. Ndio miujiza Ipo lakini 1Yohana 4:1 Tumeambiwa tusiamini kila Roho Bali tuzichunguze.
@gibsonjosephat63529 ай бұрын
Huyu ndio hakuna ni ziro Brain
@FelisterMunissy9 ай бұрын
Acha unafiki fundishaa neno siyo kukosoa we mwenyewe ni wa mchongo
@patsonkyando17328 ай бұрын
Kama wewe ni mtumishi wa Mungu hubiri injili ACHA Mengine ,feki unachofanya wewe
@vero579 ай бұрын
Wewe mweyewe ukiwemo pia, acha kukosoa watu . Mzee
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
Watu wanapenda uongo... usipofanya hivyo uone kama watakuja tenna kanisani 😂😂😂
@teachingtruthmission21409 ай бұрын
HUBILI NENO LA MUNGU...UKIANZA KUFUNDISHA INJILI FEKI HUTOWEZA
@gabrielzakaria28109 ай бұрын
Hahahah
@agnesyjoseph39069 ай бұрын
😂😂
@kiyungusendama71499 ай бұрын
Hekima na ufahamu wa rohoni imekuwa adimu hata kwa hawa waliopata neema ya kuonekana mitandaoni!
@NehemiahAllen-rk2es8 ай бұрын
Mhh aiseee watumishi wa MUNGU hakika bado sana kuhusu viwango na kuhusu utendaji wa Roho mtakatifu hapa duniani kazi kubwa kabisa mtumishi wa MUNGU anaweza kufanya. Kama bado hujafika au hauwezi usipambane na wanaoweza, heshimu neema na upako na kazi za Roho mtakatifu acha makufuru hubiri ulicho nacho wewe, fanya cha kwako wewe, kila mmoja Ana kipawa cha tofauti na mwingine, na huduma tofauti na utendaji tofauti ila wote ni watumishi wa MUNGU kuwaleta watu ndani ya kristo yesu
@patsonkyando1732
8 ай бұрын
Spiritual father wa huyu mchungaji anakazi ya kufanya
@omarisengasu3970
8 ай бұрын
Jamaa kawambia ukweli, sisi tunapigia mstari tu Yanavyotimia (Mathayo 7:15 -18) alianza yule wa Arusha akawa Mkubwa sana na Miujiza mikubwa sana Tukamsifia sana na Heshima akapewa, akafanikiwa sana. lakini neno linase,ma tutawajua kwa Matunda yao. Na sasa anavyofifanya wewe una ufahamu wa neno unaonaje Matendo na Matunda yake unayaoneje ni ya mzabibu au ya miiba. Akaja wa Riverside......... sasa unamuonaje, akaja wa ubungo ehe sasa unamuonaje, wakaja na wengine na wengine mpaka leo. Jamaa anapoonya just be open in your Mind utamuelewa ila ukion ana wa-attack watumishi basi uta-mind mzee
@NehemiahAllen-rk2es
8 ай бұрын
@@omarisengasu3970 ukionyesha feki onyesha original pia ili tuelewe au wewe onyesha original,
@michaelemanuelsulle31559 ай бұрын
Ni kweli miujiza feki ipo, ila si kila anayefanya hivyo ulivyotolea mfano anafanya miujiza feki. Nguvu za MUNGU ni halisi ila wengi ambao hawana na hawajakutana nazo tangu waokoke hawawezi kuelewa mpaka wakutane nazo. Tuwe wavumilivu tu na tuheshimu vile BWANA anavyochagua kumtumia mtu asiyekuwa wa dhehebu lako! Mifano kama hii INAVUKA MISTARI fulani ambayo ni HATARI mbele za Mungu.
@davidmpiluka52249 ай бұрын
Ni ukweli mtupu. Watu wengi wamefungua Makanisa kwa ajili ya kujipatia tu kipato.
@joppagraphix28689 ай бұрын
Huyo Bwana Unaemuongelea Utamuona ba wewe
@beinafuu62199 ай бұрын
Zaman mrikua nyinyi ndomnaogoza maombi nakuponya leo mnapiga tena.kweli Mungu asimame mwenye. Mimi nimepona wala sijamjua mtu lakini nimepona tatizo langu TAG nimekuja sana kwenu lakin wapi.nimekwenda huko.mnako pinga nimepona siambiwi sichomoki hapo .mtafuteni Mungu kwanza hacha kupingana nyinyi kwa nyiny 😊
@susankkamau6239 ай бұрын
Amina
@comforthunyu1823
9 ай бұрын
Mchungaji wew ni mtumishi wa mungu isihukumu Kwa kupotosha mm mwenyewe ni TAG hayo yanawezekana tatizo level zenu za kiroho zinatofautiana kaangalie Kwa Tb. Joshua usichokijua usiwemwepesi kukiongea elewa feki wapo na original wapo mungu mpaka sasa anafanya kazi kiwango chako Cha kumtafuta ndo kiwango chako chakumiliki nguvu ya mungu Bado unahitaji kujifunza Kwa walio juu yako ili mungu afanye hayo unayohisi ni maigizo na wew uitwe mchawi au feki Toka nje yabox ilione mungu anavyofanya kazi live hayo yote hata kwako yanawezekana usifikiri ni maigizo mm ni TAG tangu kuzaliwa mpaka sasa hayo unayohisi ni maigizo baadhi ya hayo mungu katumia mwili wangu kuyatenda hivyo basi usijikute unatenda dhambi Kwa kuhukumi na mm mwanzo nilikua kama wew nadhani haviwezekani lakin Kwa sasa nimefunga mdomo yote yanawezekana kwake yeye aminiye
@patsonkyando17328 ай бұрын
Watu wanapona huko wewe unafikiri ni maigizo nenda uombewe upako uone ,watumishi wenye kweli ya Mungu hawana muda wa kuwasema vibaya wengine ,Badilika wewe,be serious in your calling from God
@ClemenceMshana9 ай бұрын
Ukweli Ni siku ya hukumu waongo na wakweli watajulikana hapo
@fredrickmwanjwango90939 ай бұрын
Mchungaji samahan lkn usiongelee watu ata wewe unaweza nenda mliman juma 5 uludi jpili asubuh unywe uingie madhabahun ivyoo vyote ni kawaida sana una mwamrisha Pepo na inakuwa ivyoo mbn daaa sema kwa wewe kwako inawez ikawa ngumu maan umemwekea roho mtakatifu mpk
@floramgimwa44649 ай бұрын
Wengine wanapona kwa neno, wengine wanahitaji muujiza. Yule mama mjane aliyemlisha elisha konzi moja ya unga, mwanawe alipofariki, haukuwa muda wa neno tena, ilihitaji fasta elisha aje amfufue mtoto, angechelewa na kuhubiriwa neno, wananzengo wangezika mtoto. Na elisha alimfufua. Sio kwamba yule mama alikuwa mbumbumbu wa imani. Ila kwa lililotokea alihitaji muujiza. So mtumishi usipondee miujiza.
@lusuvilonzowa87699 ай бұрын
Basi kama bunadhani hivyo tuamini kua hakuna nguvu za Mungu? ndugu waongo wapo pia hata wakwelu mue man waeleza watu sio ubaya tu
@SMEDIA298
9 ай бұрын
Jitahidi kumwelewa utapona MUNGU unakutana nae wewe sio kwa Kushuhudia kwa Watu tu ila NENO + MAOMBI + IMANI = JESUS katika haya yote lazima UKUTANE na MUNGU MWENYEWE
@BenitoD1239 ай бұрын
Kwann watu huamini kuwa Mtumishi wa Mungu nikukosa nguvu za Mungu kama hawa huyu jamaa alivyo kopo tupu? Maana kama niwa Mungu mbona haionyeshi yeye nguvu ya Mungu? Elima yule mchawi hakuwa na nguvu za Mungu mpaka akataka petro amuuzie watanzania kueni makini na watumishi wanaofundisha uongo makanisani sababu Mungu hajipingi na hawezi kuibadili kweli ya neno lake kuwa uongo
@user-qv6it3qr8p9 ай бұрын
Niombe watumishi wa Mungu tuwe wakweli na tuwaelezee washiri wetu uhalisia wa nguvu za Mungu. Si kila mtu anayekuwa katika hali kama hyo anafanya miujiza fake. la hasha. Mungu ana nguvu. Hivi wakati Musa anainua fimbo na bahari inagawanyika nayo ilikuwa Fake. Niombe tuzungumzie jambo specific lakini si in genaral namna hiyo itawafanya watu hasa wachanga wawe misleaded. Tunauharibu mwili wa kristo jamani
@happymarchiusnjungani1138
9 ай бұрын
Wachungaji wengi wanajipatia vipato kwa njia ya miujiza hawahubir neno Bali wanawatisha watu weny Iman haha ..watu wanataka kuiona pasaka bila ijumaa
@exprodigitaltechtv55719 ай бұрын
Wajinga ndo wanao liwa 😂😂😂😂
@user-cg6ud9gf4y9 ай бұрын
Achana na Apostle Peter manyuru, nimeona faida ya kuenda huko,wewe ni fake na hakuna siku ata moja utakua na nguvu kama yake,badala ya kuhubiri inji unakemea walio na nguvu kukuliko,unataka tuhamie kwako sasa shame on jealousy pastor.
@jonasijeremia45239 ай бұрын
Tusidanganyike kwa miujiza kwani hata shetani naye hufanya miujiza tena akitumia jina la Yesu
@floramgimwa4464
9 ай бұрын
Jonas nguvu ya miujiza haijawahi kukoma maana Yesu yule hai hadi sasa. Alisema mkiamini mtafanya ishara kubwa zaidi ya hizi. Wanaopinga wanamaanisha Yesu alisema uongo? Wa ukweli tutawatambua kwa matunda yao. Ya nini kutumia jukwaa kumdhalilisha Kristo kuwa alisema uongo kuwa atawamwagia wanadamu nguvu ya roho mtakatifu wakadhihirisha nguvu za Mungu?
@floramgimwa4464
9 ай бұрын
Wakristo sisi ni wajinga sana. Tuna kazi ya kutafuta Kiki kwa kukashifiana sisi kwa sisi. Nawachukia sana watumishi wa hivi. Anamponda mtumishi mwenzie, wakati hana hata uhakika na analoongea. Amefanya urafiti gani akajiridhisha kuwa mtumishi mwenzie ni feki. Kama yeye haamini miujiza asitake kila mtu awe Kama yeye. Wako waliopokea miujiza halisi kwa kuombewa na wana shuhuda.
@clemencemosha2043
9 ай бұрын
Ulichofanya sio sahihi na hiyo roho uliyonayo niyakujikweza...! usahihi wa mtu kuponywa ni kukua kwa imani yake ktk neno la Kristo...nae anaeponyesha ni Mungu..Yesu Kristo ktk ahadi ya neno lake kwa imani aliyokujalia muombaji... inawezekana ktk maombi hayo kwa Mungu kwa mtumishi huyohuyo unaempachika jina mtumishi fake ..wakapona watu hao hao ktk maombi ya huyo mtumishi..kwa njia ya neno lake Kristo Yesu kupitia imani ya wahusika.....😂 kwahiyo acha kudanganya watu ..anaeponyesha ni Yesu Kristo....😂 hivyo watumishi wa Mungu wameitwa kwa huduma mbali×2 na roho mtakatifu anafanya kazi na Kanisa la Bwana...😂 kila mtumishi wa Bwana atapokea ujira au thawabu..kwa wakati ukifika.. ww kama umeitwa na Bwana piga kazi.... acha kupotosha....kwani kazi ya Bwana inasonga mbele....hata kwa unafiki injili ya Bwana itahubiriwa na watu wa mataifa wataokoka.....mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache.....acha wivu....piga kazi ya Bwana...😂 Neno la Bwana litasimama....acha mayoee!!!😂😂
Пікірлер: 132
Mchungaji upo vizuri kusema UKWELI ni Bora zaidi hata kama watakereka na watakuchukia hao wezi lkn Kwa mungu anapenda ukweli
Neema ya Mungu itawale kama Mchungaji huamini Nguvu za Mungu siyo kila anayefunguliwa nimaigizo, Mungu akupe Mafunuo zaidi pia.
Wewe mchungaji ogopa sana mimi nahubiri na hayo yanatokea na sio feki wala nini tafuta upako utaelewa namaanisha nini.
Wewe Kama ni mchungaji kweli Umekosea sana,Mungu anawatumia hao Watumishi wake Kwa kiwango Cha juu sana so Usifikiri ni miujiza feki,Ukweli Mungu akurehemu sana
Real Pastor inaskitisha sana nadhani Kwa upande mwingine huko ni kumpa utukufu shetani badala ya MUNGU. Sasa kama unaona hivo wewe ulie na nguvu za Mungu halisi SI udhihirishe tuzione. Pastor Mungu hajakuitia kujaji watu baba mchungaji tupe Neno hayo mengine yaache wewe umeona hayo ila humu humu kwenye dino yetu Kuna husda mwingine sana, Kuna ukritimba nk ambavo pia ni machukizo mbele za Mungu.
Bado Hujamfamu Mungu Katika kiwango kingine Mtumishi Wa Mungu
We mpinga Kristo,Ina maana huamini Kama Mungu ana nguvu, inamaana Mungu ni WA maigizo Kama hayo UNAYOFANYA,embu hubiri neno la Mungu,acha fitna,haipendezi,ubiri neno na kufundusha watu kufunga na kuomba sio fitna ,
Huu nao ni ujinga. Injili ihubiriwe na Mungu kuaminiwa kwa roho na kweli.
Hii ndio hufanyika kweli mtu wa Mungu.barikiwa Sana kwa kutufungua macho
Wewe kama unajua unafanya kazi ya Mungu kwa ukamirifu kwa nini usiendelee kuifanya badala ya kueneza mambo mengine huna uhakika nayo ni kama unadhihaki uweza wa huyo Mungu unaye dai una mtumikia kikamirifu. Nadhani unafanya makosa makubwa sana, kama una ushahidi kwa nini usikabiliane na Mtumishi unaye dhani anafanya hayo maigizo uongee naye ili umeonye kama kweli unamtumikia Mungu badala ya kuchafua uweza wa Mungu
Truth will be prevailed..in shaaAllah
Piga kazi ya Mungu acha kuponda watumishi wenzako nyinyi watumishi mtakuwa lini wachawi wana umoja waganga wana umoja lakn nyinyi watumishi mnapondana tatizo kubwa sana hilo cjui ndo uwito mlio itiwa watumishi kuponda unaweza ukaungwa mkono na watu wasio elewa utaratibu wa Mungu kiukweli unakosea sana
@patsonkyando1732
8 ай бұрын
Mungu akubariki sana,
Sahihi sahihi Mchungaji. LAKINI, udhihirisho wa nguvu za Kristo upo, na si kila kuanguka au kurespond hivyo ni ku fake. Ukristo halisi, unaweza kuwa na nguvu hata zaidi ya mfano ulio utoa. Biblia inasema we should demonstrate power, na shetani hawezi kuvumilia anapoiona nguvu ya Mungu kwa mtumishi wake. Tuwe makini na tuwaheshimu watumishi wa Mungu, tusije tukapigwa kwa kuto ku honour watumishi wengine. moja ya tabia za kitanzania ni kuhisi wengine ni waongo. Ninakuombea kwa jina takatifu la Bwana Yesu, akupe nguvu za ajabu, ili uwe kielelezo kwa wote wenye nguvu za Mungu za mfumo huo.
@erickmutungi8792
9 ай бұрын
Kwani amesema KILA kuanguka ni kwa kipepo?
@omarisengasu3970
8 ай бұрын
Tazama Majira na Nyakati Tulizopo Mkuu, Jamaa hapo Kasema ukweli, Ana Li-Alert kanisa (Mathayo 24:4-28) unadhani hapo Yesu alikuwa anawaambia akina nani, kwamba watatokea wengi na kupotosha wengi Mkuu. na Upotoshaji Huo ni upi unafikiri watawapotosha kwenye nini. Fanya Tafiti Manabii wengi kama si wote wenye majina makubwa unaowajua hap TZ ni wapotoshaji. Yesu alitoa agizo moja (Math 28:19-20), Mission ya hao wengine ukiifatilia iko sawa na hilo andiko? Je Mataifa wanageuzwa na kufanywa kuwa wanafunzi wa kristo au mataifa wanafanywa mitaji kwa kukosa Maarifa, na kumuona Mungu ni kama Mtu wa Nipe Nikupe?
Kuna tatizo kubwa sana kwa watumishi wa Mungu,huo anaofanya ni utoto wa kiroho
Ndio tunasema DUNIANI HAKUNA DINI ISIPOKUWA NIUISLAM TU (3:19)
God bless you pastor
Na bado mtasema,
Acha kulidhalilisha kanisa mtumishi. Mungu atachuja mwenyewe ukweli na uongo. Ukweli utadumu na uongo utakufa. Hubiri neno Acha kutafuta sifa kwa kulichafua kanisa.
Heheheeeeee m hungaji.jamani umenichekesha mnoooo
@Pastor-alex
9 ай бұрын
Tatizo sio miujiza fake @rosemuhandoofficial5676 Tatizo ni anayepinga miujiza hana miujiza ndio maana hapo hapo wanaohubiriwa nyumbani kwao wana mafuta na vitambaa vya upako.. Niamini mimi da rose
Mmmhii naikataa ya kujifanyisha watumishi wa mungu mtafuteni mungu kwa bidii maadamu anapatikana akipatikana ndipo utalihubiri neno la mungu na siyo maneno👏👏
Baba mchungaji uko sawa kabisa Bado ukweli utabaki pale pale bado Kuna majitu huko wana 🔥 ya kweli kabisa maana kila kwenye msafara wa mamba vikenge vinakuwepo, ila sisi wana TAG tuwe tunatathimini tumeanza kufanya injili za kisupastar, za kiutu uzima, za kistaarabu sana tuangalie tusijue kuwa ndio tunaenda kule kule walipo Hawa Leo tunawaita wana dini(religious people) hii imesababishwa na kiburi Cha kuona tupo kwenye taasisi kubwa na kuwa tumeshaaminika kwenye jamii ila ikumbukwe sisi Hawa Hawa unaotuhubiria ndio washabiki ibada zikiisha huku kwenye dini yetu tunaenda kwao na sisi hao hao tunawaangalia hao jamaa kwenye KZread etc. Natamani kila mtu ashindanie kila ameitiwa Kwa sabu haya mengine yanatupotezea focus towards our goals.
@kobelochande6669
9 ай бұрын
Msg kubwa hii hongera
@eugenyraphael4334
8 ай бұрын
Pole mchungaji,
Halafu eti mnamtafuta mpinga kristo nje ya kanisa. Kila mtumishi amepewa neema tofauti, Usidhani unawamaliza Bali unawatangaza hata wale feki wa ukweli watapata wafuasi maana mjiitao wa ukweli watu hawapati kitu kwenu. Embu chukueni muda kutangaza matendo makuu ya Mungu na nguvu zake zidhihirike kwenu watu wafunguliwe
Sama bibilia vizuri,hayo mambo yote yatoka kwa Mungu .nandio mana akasema mwenye anaweza kuambia mlima ngoja naukajitupe baharini.naukangoka.sasa maneno hayo aliambiwanani, namanabii ,wachungaji,na mitume mpaka Leo,wapo nawanazaliwa,namiujiza lazima i
Hapo hakuna mtumishi hata maandiko hajui kabisa😂😂😂
hayo ndiyo yaliyopo na yanayo endelea wrm kivule miujiza feki ya nguvu za giza jamaa mtalaam sana wa kufokafoka
Hubiri Neno Nguvu za MUNGU zipo tena sana
@drtobias_
9 ай бұрын
Hakika umenena vyema
@MCNgakungaJunior
9 ай бұрын
Kabisa!Nguvu kubwa za MUNGU zipo za kufanya hayo yote na kufanya chochote.Mtu asiyekuwanazo huwa anaona kama maigizo na sikila mtumishi anazo ni neema pia.
Fundisha neno la mungu tukuelewe,acha Majungu,waache wafu wazike wafu wao acha kutafuta kiki kupitia wachungaji wengine
@patsonkyando1732
9 ай бұрын
Exactly,haya ni majungu,hamjui Mungu,msikae Kwa mchungaji anayewasema,watumishi wa Mungu Kwa wivu,
Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Bwana
I'm proud to be a Muslim
@user-ub1yx5vc8b
9 ай бұрын
You are proud to be a Muslim fine! But Muslims will be saved by Jesus. Know where you are n where you are going
@thamani5842
9 ай бұрын
Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah.
Nawapenda ubungo ucc
Kila mtu ameitwa kwa wito tofauti so hatuwezi wote kukalingana ,,,,,wengine waliitwa kuwa waalimu wengine wachungaji wengine manabii na wengine mitume so all in all hata vile unajipeleka kwenye kumtafuta MUNGU ina matter pia ndiomaana maandiko yanasema ,,,God is the rewarder of those who deligently seek him
Ulichofanya kwa madhabahu kinakuua mwenyewe yaani hautakuja kufikia viwango vya udhihirisho wa viwango vya juu ikiwa utadharirisha kazi ya Roho mtakatifu namna hiyo
Miujiza ipo,uponyaji upo,kama kunampiga Dili,zambi ijuu yake lakini usijisafishe kwakutaka waumini wengi,acheni malumbano watumishi mkifa siku yakufufuka Kila mmoja ataubeba msalaba wake.
Injili FEKI zipo ila Mungu hawekewi mipaka ..mmmmmmm
Mungu atutetee
Nguvu ya MUNGU ya kweli ipo kabisa mtu MUNGU ikiwa unaitaji kuexperience utendaji wa nguvu za Roho Mtakatifu karibu.
Abdi Hassan Noor AMEN
Mtumishi pokea 🌹🌹🥀 yako mapema maana umeongea kitu ambacho hata Mimi nilikuwa nakiwaza sana
Mapepo yapo sio kila kitu ni miujiza feki. Mtu akishatawaliwa na pepo huwa dhaifu mno kelele tuu zinamuangusha, kila mtumishi wa Mungu ananguvu zake sio kila mtumishi atatoa pepo. Imani Imani Imani Yesu alisema ukiwa na imani ndogo ukiuambia mti ng'oka nao utan'goka. Mungu yupo na kazi inafanyika na miujiza tunapokea
@yusuphkayoka5452
9 ай бұрын
Maisha ni kupata majibu ya maswali yanayowaumiza watu, ni hivi watu washaangushwa Sana na nguvu zinazoitwa za Mungu lkn baada ya kuamka maisha ni yale Yale, kuna watu wanafunguliwa vifungo vya umasikini, vifungo vya kwenda ulaya, vifungo vya maradhi vifungo vingi Tu lkn maisha hayabadiliki, mbona bible ipo wazi kinachofungua vifungo sio kuanguka, Bali "ukiijua kweli nayo itakuweka huru" , na ukumbuke bible inasema, " Yesu ni njia kweli na uzima", Na Mungu akikuweka huru unakuwa huru kweli kweli, tuache kuamini kila kitu, nguvu za Mungu zinaingia Kwa mtu taratibu Kwa ufunuo anaoupata kupitia andiko, ule ufunuo utakaofunuliwa ndio inakuwa nguvu ya Mungu kuleta matokeo kwenye maisha yako, na kuombewa ombewa na kuangushwa hovyo hovyo bila kubadilika kimaisha.
@sylvanuskomba8646
9 ай бұрын
HAPO FEKI NI WEWE, KWANI KAMA HUNA NEEMA NYAMAZA KIMYA. PIA UJUWE KUNA WANAO FANYA HIVYO KWA NGUVU ZA MUNGU, USIJE UKAKUFURU
Kuna watu wameumbuka sanaaaaa
😂 tutaona mengi tu
Kinachovuta wengi miujiza
Mungu asimame
Waambie ukweliiiii hao wanaliwaaa tuuu sadaka mara maji ya upako, mara mafuta ya upako, "kweli watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifaaa" 😂😂😂
@patsonkyando1732
9 ай бұрын
Maarifa wewe ndio umeyakosa,Yesu ndio ametumia vifaa vya kiroho na wanafunzi wake,hata huyu mchungaji hamjui Mungu amemkalili TU,
@abdulrahmankafuku3449
9 ай бұрын
Mathayo 24:24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. Mathayo 24:25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. Mathayo 24:26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki. Hayo ni maneno ya YESU akiwionya lakini hamsikiiiiiiiiii maskini ya mungu rudini kundini kondoo mliopotea,
Mjue sana Mungu ili kuhepuka matapel
Nimeipenda hii wacha nisgee😅😂❤
Sure fake zipo na original pia 🤝🤝
Mtajitaja kidogo kidogo
MAKANISA YA HIVI HOVYO SANA, MNAFUNDISHA WATU UONGO ,TAG HAIJAWAHI KUNIVUTIA KABISA ,HOVYO
Tatizo kubwa kwa kanisa la leo macho ya rohoni hakuna. Ila miujiza ya kweli ipo kubali kataa.
Marko 16:20 [20]Nao wale wakatoka, wakahubiri kotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithibitisha lile neno kwa ishara zilizofuatana nalo.] And they went forth, and preached every where, the Lord working with them, and confirming the word with signs following. Amen.
Hii Dunia inamambo sana , umeubili kweli,matapeli na waganga wa jadi wameingia makanisani
Yohana 9:6-7 [6]Alipokwisha kusema hayo, alitema mate chini, akafanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope za macho, When he had thus spoken, he spat on the ground, and made clay of the spittle, and he anointed the eyes of the blind man with the clay, [7]akamwambia, Nenda kanawe katika birika ya Siloamu, (maana yake, Aliyetumwa). Basi akaenda na kunawa; akarudi anaona. And said unto him, Go, wash in the pool of Siloam, (which is by interpretation, Sent.) He went his way therefore, and washed, and came seeing. Hii ajabu alifanya Yesu na yeye ni Muongo?
@MICHAELMOBILECARE
9 ай бұрын
Amen umemwambia ukwel maana shida warmish wa siku his kama hana kalima ya uponyaji anabolic lupins went kalama
@patsonkyando1732
8 ай бұрын
A True servant of God can not attack other servants of God
Nimekuelewa
Msikitini Imamu ajaribu kufanya hivo, atakula Bakora. Wadanganyeni wakristo wapumbavu.
Namiujiza lazima itendeke Ili kumzihirishia shetani kua Mungu ni mwenye nguvu.Inategemea kipawa chako ni Roho WA Mungu, au nicharohi WA shetani sawa mtumishi,tusome bibilia waumini tunadanganywa.sio analolisema mtumishi nisahii tu nae ni mwanadamu
Good! Waambie hawa wana waadam
@gibsonjosephat6352
9 ай бұрын
Labda anakwambia wewe. Kama umefuatilia Biblia na kuijua hayo huwezi kumsgangaa huyu jamaa Fara
Baba unawatia.nguvu wanaotumia.hizo nguvu.we.hubiri injili shindana na mkuu wa giza ambae ndo vita yetu kanisa
Ametupa maarifa na hekimaaa
Nyote wahun tu,
Ukiwaambia ukweli hawautaki ukiwapa uwongo wanaupenda
😅😅😅😅PIGA haoooo😅😅😅😅 imeisha iyo 😅😅😅
Mmeamua kutoa ukweli wenyewe na bdo
@rosemneney3244
9 ай бұрын
Umetumwa kwahiyo hayo ndio mahubiri yako hovyooo
@makongoronyerere1564
9 ай бұрын
Tatizo waafrika kama mwatombwa, mtu akionge ukweli hamta, ivi nyie watu😂
@anselmoonolius
9 ай бұрын
😂😂😂 ukiona fake zipo na original zipo pia, Ila ukiona hata fake haipo sahau kuhusu original 🤣 Kazi NI moja tu jaa Roho mtakatifu akusaidie kuzitambua original 🤝
Hahaha😂😂😂😂 niukweli
Yesu mwenyewe pamoja na kusema maneno, alitenda miujiza. Kwa hiyo naye alikuwa feki. Kama una ushahidi wa feki ni wewe. Lakini wapakwa mafuta wa kweli wapo. Sio watumishi wote ni feki. Na wewe tutakujuaje kama sio mpiga hela tu? Acha wivu. Hutafanikiwa kwa kuchafua kanisa. Wewe nawe fanya uliloitiwa.
@sylivestermwasile4203
9 ай бұрын
Shauri yakoo
alichokisema nikweli , hizi inatokana na Maneno ya Yesu dhidi ya Mafarisayo, Mathayo 12:39-41 kizazi Cha ishara na miujiza Kama Yona . Kwahiyo Nyakati hizi ili watu watambue Mungu Yuko ndani yako wanataka Miujiza na sio lile Neno litokalo Ndani yako ambalo ndilo linalosafisha Utu wetu wa ndani na kuwa Mpya kwa Mbegu ya Mungu isiyoweza kuharibika kupitia Ubatizo. Ndio miujiza Ipo lakini 1Yohana 4:1 Tumeambiwa tusiamini kila Roho Bali tuzichunguze.
Huyu ndio hakuna ni ziro Brain
Acha unafiki fundishaa neno siyo kukosoa we mwenyewe ni wa mchongo
Kama wewe ni mtumishi wa Mungu hubiri injili ACHA Mengine ,feki unachofanya wewe
Wewe mweyewe ukiwemo pia, acha kukosoa watu . Mzee
Watu wanapenda uongo... usipofanya hivyo uone kama watakuja tenna kanisani 😂😂😂
HUBILI NENO LA MUNGU...UKIANZA KUFUNDISHA INJILI FEKI HUTOWEZA
Hahahah
😂😂
Hekima na ufahamu wa rohoni imekuwa adimu hata kwa hawa waliopata neema ya kuonekana mitandaoni!
Mhh aiseee watumishi wa MUNGU hakika bado sana kuhusu viwango na kuhusu utendaji wa Roho mtakatifu hapa duniani kazi kubwa kabisa mtumishi wa MUNGU anaweza kufanya. Kama bado hujafika au hauwezi usipambane na wanaoweza, heshimu neema na upako na kazi za Roho mtakatifu acha makufuru hubiri ulicho nacho wewe, fanya cha kwako wewe, kila mmoja Ana kipawa cha tofauti na mwingine, na huduma tofauti na utendaji tofauti ila wote ni watumishi wa MUNGU kuwaleta watu ndani ya kristo yesu
@patsonkyando1732
8 ай бұрын
Spiritual father wa huyu mchungaji anakazi ya kufanya
@omarisengasu3970
8 ай бұрын
Jamaa kawambia ukweli, sisi tunapigia mstari tu Yanavyotimia (Mathayo 7:15 -18) alianza yule wa Arusha akawa Mkubwa sana na Miujiza mikubwa sana Tukamsifia sana na Heshima akapewa, akafanikiwa sana. lakini neno linase,ma tutawajua kwa Matunda yao. Na sasa anavyofifanya wewe una ufahamu wa neno unaonaje Matendo na Matunda yake unayaoneje ni ya mzabibu au ya miiba. Akaja wa Riverside......... sasa unamuonaje, akaja wa ubungo ehe sasa unamuonaje, wakaja na wengine na wengine mpaka leo. Jamaa anapoonya just be open in your Mind utamuelewa ila ukion ana wa-attack watumishi basi uta-mind mzee
@NehemiahAllen-rk2es
8 ай бұрын
@@omarisengasu3970 ukionyesha feki onyesha original pia ili tuelewe au wewe onyesha original,
Ni kweli miujiza feki ipo, ila si kila anayefanya hivyo ulivyotolea mfano anafanya miujiza feki. Nguvu za MUNGU ni halisi ila wengi ambao hawana na hawajakutana nazo tangu waokoke hawawezi kuelewa mpaka wakutane nazo. Tuwe wavumilivu tu na tuheshimu vile BWANA anavyochagua kumtumia mtu asiyekuwa wa dhehebu lako! Mifano kama hii INAVUKA MISTARI fulani ambayo ni HATARI mbele za Mungu.
Ni ukweli mtupu. Watu wengi wamefungua Makanisa kwa ajili ya kujipatia tu kipato.
Huyo Bwana Unaemuongelea Utamuona ba wewe
Zaman mrikua nyinyi ndomnaogoza maombi nakuponya leo mnapiga tena.kweli Mungu asimame mwenye. Mimi nimepona wala sijamjua mtu lakini nimepona tatizo langu TAG nimekuja sana kwenu lakin wapi.nimekwenda huko.mnako pinga nimepona siambiwi sichomoki hapo .mtafuteni Mungu kwanza hacha kupingana nyinyi kwa nyiny 😊
Amina
@comforthunyu1823
9 ай бұрын
Mchungaji wew ni mtumishi wa mungu isihukumu Kwa kupotosha mm mwenyewe ni TAG hayo yanawezekana tatizo level zenu za kiroho zinatofautiana kaangalie Kwa Tb. Joshua usichokijua usiwemwepesi kukiongea elewa feki wapo na original wapo mungu mpaka sasa anafanya kazi kiwango chako Cha kumtafuta ndo kiwango chako chakumiliki nguvu ya mungu Bado unahitaji kujifunza Kwa walio juu yako ili mungu afanye hayo unayohisi ni maigizo na wew uitwe mchawi au feki Toka nje yabox ilione mungu anavyofanya kazi live hayo yote hata kwako yanawezekana usifikiri ni maigizo mm ni TAG tangu kuzaliwa mpaka sasa hayo unayohisi ni maigizo baadhi ya hayo mungu katumia mwili wangu kuyatenda hivyo basi usijikute unatenda dhambi Kwa kuhukumi na mm mwanzo nilikua kama wew nadhani haviwezekani lakin Kwa sasa nimefunga mdomo yote yanawezekana kwake yeye aminiye
Watu wanapona huko wewe unafikiri ni maigizo nenda uombewe upako uone ,watumishi wenye kweli ya Mungu hawana muda wa kuwasema vibaya wengine ,Badilika wewe,be serious in your calling from God
Ukweli Ni siku ya hukumu waongo na wakweli watajulikana hapo
Mchungaji samahan lkn usiongelee watu ata wewe unaweza nenda mliman juma 5 uludi jpili asubuh unywe uingie madhabahun ivyoo vyote ni kawaida sana una mwamrisha Pepo na inakuwa ivyoo mbn daaa sema kwa wewe kwako inawez ikawa ngumu maan umemwekea roho mtakatifu mpk
Wengine wanapona kwa neno, wengine wanahitaji muujiza. Yule mama mjane aliyemlisha elisha konzi moja ya unga, mwanawe alipofariki, haukuwa muda wa neno tena, ilihitaji fasta elisha aje amfufue mtoto, angechelewa na kuhubiriwa neno, wananzengo wangezika mtoto. Na elisha alimfufua. Sio kwamba yule mama alikuwa mbumbumbu wa imani. Ila kwa lililotokea alihitaji muujiza. So mtumishi usipondee miujiza.
Basi kama bunadhani hivyo tuamini kua hakuna nguvu za Mungu? ndugu waongo wapo pia hata wakwelu mue man waeleza watu sio ubaya tu
@SMEDIA298
9 ай бұрын
Jitahidi kumwelewa utapona MUNGU unakutana nae wewe sio kwa Kushuhudia kwa Watu tu ila NENO + MAOMBI + IMANI = JESUS katika haya yote lazima UKUTANE na MUNGU MWENYEWE
Kwann watu huamini kuwa Mtumishi wa Mungu nikukosa nguvu za Mungu kama hawa huyu jamaa alivyo kopo tupu? Maana kama niwa Mungu mbona haionyeshi yeye nguvu ya Mungu? Elima yule mchawi hakuwa na nguvu za Mungu mpaka akataka petro amuuzie watanzania kueni makini na watumishi wanaofundisha uongo makanisani sababu Mungu hajipingi na hawezi kuibadili kweli ya neno lake kuwa uongo
Niombe watumishi wa Mungu tuwe wakweli na tuwaelezee washiri wetu uhalisia wa nguvu za Mungu. Si kila mtu anayekuwa katika hali kama hyo anafanya miujiza fake. la hasha. Mungu ana nguvu. Hivi wakati Musa anainua fimbo na bahari inagawanyika nayo ilikuwa Fake. Niombe tuzungumzie jambo specific lakini si in genaral namna hiyo itawafanya watu hasa wachanga wawe misleaded. Tunauharibu mwili wa kristo jamani
@happymarchiusnjungani1138
9 ай бұрын
Wachungaji wengi wanajipatia vipato kwa njia ya miujiza hawahubir neno Bali wanawatisha watu weny Iman haha ..watu wanataka kuiona pasaka bila ijumaa
Wajinga ndo wanao liwa 😂😂😂😂
Achana na Apostle Peter manyuru, nimeona faida ya kuenda huko,wewe ni fake na hakuna siku ata moja utakua na nguvu kama yake,badala ya kuhubiri inji unakemea walio na nguvu kukuliko,unataka tuhamie kwako sasa shame on jealousy pastor.
Tusidanganyike kwa miujiza kwani hata shetani naye hufanya miujiza tena akitumia jina la Yesu
@floramgimwa4464
9 ай бұрын
Jonas nguvu ya miujiza haijawahi kukoma maana Yesu yule hai hadi sasa. Alisema mkiamini mtafanya ishara kubwa zaidi ya hizi. Wanaopinga wanamaanisha Yesu alisema uongo? Wa ukweli tutawatambua kwa matunda yao. Ya nini kutumia jukwaa kumdhalilisha Kristo kuwa alisema uongo kuwa atawamwagia wanadamu nguvu ya roho mtakatifu wakadhihirisha nguvu za Mungu?
@floramgimwa4464
9 ай бұрын
Wakristo sisi ni wajinga sana. Tuna kazi ya kutafuta Kiki kwa kukashifiana sisi kwa sisi. Nawachukia sana watumishi wa hivi. Anamponda mtumishi mwenzie, wakati hana hata uhakika na analoongea. Amefanya urafiti gani akajiridhisha kuwa mtumishi mwenzie ni feki. Kama yeye haamini miujiza asitake kila mtu awe Kama yeye. Wako waliopokea miujiza halisi kwa kuombewa na wana shuhuda.
@clemencemosha2043
9 ай бұрын
Ulichofanya sio sahihi na hiyo roho uliyonayo niyakujikweza...! usahihi wa mtu kuponywa ni kukua kwa imani yake ktk neno la Kristo...nae anaeponyesha ni Mungu..Yesu Kristo ktk ahadi ya neno lake kwa imani aliyokujalia muombaji... inawezekana ktk maombi hayo kwa Mungu kwa mtumishi huyohuyo unaempachika jina mtumishi fake ..wakapona watu hao hao ktk maombi ya huyo mtumishi..kwa njia ya neno lake Kristo Yesu kupitia imani ya wahusika.....😂 kwahiyo acha kudanganya watu ..anaeponyesha ni Yesu Kristo....😂 hivyo watumishi wa Mungu wameitwa kwa huduma mbali×2 na roho mtakatifu anafanya kazi na Kanisa la Bwana...😂 kila mtumishi wa Bwana atapokea ujira au thawabu..kwa wakati ukifika.. ww kama umeitwa na Bwana piga kazi.... acha kupotosha....kwani kazi ya Bwana inasonga mbele....hata kwa unafiki injili ya Bwana itahubiriwa na watu wa mataifa wataokoka.....mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache.....acha wivu....piga kazi ya Bwana...😂 Neno la Bwana litasimama....acha mayoee!!!😂😂
😂😂😂