Msilu Tv

Msilu Tv

MSILU TV

Msilu TV,tupo tayari kukuhabarisha na kukuburudisha pia masaa 24/7 ndani ya Siku Saba.

Tupo tayari Kukuhabarisha habari Mbali mbali ma juu ya Masuala mbalimbali katika Nyanja tofauti.

Hivyo basi ukitaka kutangaza na Msilu Tv tupigie kupitia 0756292978 ili tuweze Kukuhudumia na kuweza kukufikia pia popote pale Ulipo.
Msilu Tv tupo Kukuhabarisha katika Habari mbali mbali kamavile Michezo ,Mahubiri Mbalimbali Nk.

Tufuate poa kwenye mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
Facebook -Mcmsilu.

Instagram -mcmsilu

Twitter -Bahati Msilu

Na usiache kutufuatilia kwenye page yetu ya Facebook Page kama -Msilu TV.

Muda wote kama utakuwa na matangazo ya kibiashara, AU unahitaji Huduma ya Mc basi wasiliana na Mc Msilu kwa Namba zifuatazo. -+255656292978.

Пікірлер

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba2 күн бұрын

    Utukufu

  • @selinaSingini
    @selinaSingini3 күн бұрын

    Amina mtumishi ubarikiwe Sana

  • @LeonardEdward-fb2bn
    @LeonardEdward-fb2bn15 күн бұрын

    YESU NI BWANA NA MWAOKOZI WA MAISHA YANGU 🙏 2024 NOW BADO MAHURI YA MTUMISHI YAKO MOTO

  • @agnessjoseph9069
    @agnessjoseph90695 күн бұрын

    Sanaaa sanaa haya mahubiri ndo yanatakiwa yahubiriwe sasa 😢lakin sikuzi n kuhubiriwa umerogwa umerogwa, njoo upate muujiza wako, hakuna cha kukataza dhambi wala kuambiwa mwisho wa dunia 😢😢😢😢oh God 🙌

  • @stephenmutinda7362
    @stephenmutinda736227 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @ElishaKasekwa-vo2eg
    @ElishaKasekwa-vo2eg29 күн бұрын

    2024❤❤

  • @patrickmkandi2899
    @patrickmkandi2899Ай бұрын

    Injili yako itaishi milele na milele

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950Ай бұрын

    Acha Mungu aitwe Mungu Amina Sana MUNGU akikutaka Huna ujanja barikiwa Sana Baba 🙏❤

  • @Soni-lt6oi
    @Soni-lt6oiАй бұрын

    Glory be to God ubarikiwe kwa Hilo neno la kutia mtu moyo katika safari ya wokovu Mungu anipatie nguvu ya kutii ten commandments

  • @JosiahMasingisa
    @JosiahMasingisaАй бұрын

    Amen mtumishi wa mungu ushuhuda wenye nguvu

  • @user-lz9xc2vn2u
    @user-lz9xc2vn2uАй бұрын

    Ameeeni baba

  • @fredricknamoyo236
    @fredricknamoyo236Ай бұрын

    Walikuwa marafiki

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l2 ай бұрын

    Injiri ya sasa si kama ya uyu mtumish! Naona kama imejikip ktk michango sana!

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l2 ай бұрын

    Tunaobarikiwa na aya muhubir mwaka 2024 tujuane.

  • @user-qu1ut5ri2z
    @user-qu1ut5ri2z2 ай бұрын

    Mtumishi ubarikiwe sana.

  • @MaicJelemela-ei4in
    @MaicJelemela-ei4in2 ай бұрын

    Utukufu kwa BWANA, MUNGU AKUBARIKI mtumishi

  • @RahmaRodrick-ic2fv
    @RahmaRodrick-ic2fv2 ай бұрын

    2024

  • @VeronicahMuumbi
    @VeronicahMuumbi2 ай бұрын

    Sifa n utukufu ni kwa mungu ❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @mutembeiwalker7049
    @mutembeiwalker70492 ай бұрын

    huyu jamaa naexa mpata wapi

  • @user-oy7fq4sb1s
    @user-oy7fq4sb1s2 ай бұрын

    Mwenyezi mungu akubariki sana tena sana

  • @AnnaMshana-cq3ys
    @AnnaMshana-cq3ys2 ай бұрын

    Mungu ni jembe anabadilisha bwana❤

  • @user-pw3ve8ns7b
    @user-pw3ve8ns7b2 ай бұрын

    Mungu akubariki sana.

  • @jackline-lw5hn
    @jackline-lw5hn3 ай бұрын

    I surrender all to you, everything i give to you

  • @Joansaru
    @Joansaru3 ай бұрын

    Amen Amen

  • @salomecharles4706
    @salomecharles47063 ай бұрын

    Amen

  • @nancyenock5601
    @nancyenock56013 ай бұрын

    Huyu Mtu ni neno La Mungu kweli

  • @EmmanuelSige-tc1bn
    @EmmanuelSige-tc1bn3 ай бұрын

    Hakika neno la Kristo li hai

  • @mamaambaga2568
    @mamaambaga25683 ай бұрын

    Ilikuwa 🔥🔥

  • @benjaminkulola2483
    @benjaminkulola24833 ай бұрын

    Mzee wa.injili.

  • @user-ky2do8fn1w
    @user-ky2do8fn1w3 ай бұрын

    Barikiwa sana mtu waMungu nipo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👈

  • @user-ky2do8fn1w
    @user-ky2do8fn1w3 ай бұрын

    Barikiwa sana mtu waMungu nipo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👈

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3134 ай бұрын

    Eee yesu utuhurumie

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74944 ай бұрын

    Amen

  • @Qur12
    @Qur124 ай бұрын

    Je? Yesu alimchagulia Dini gani na kanisa lipi la yeye kufanyia ibaada

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama58282 ай бұрын

    Yesu aliacha neno sio dini, dini ni mpango wa wanadamu...kusanyiko lolote ambalo ndani yake linafundisha neno la Mungu ni kusanyiko salama, lakini kuionja pepo ni kutenda mema

  • @Qur12
    @Qur124 ай бұрын

    Enyi wasikilizaji kueni makini lugha anayo itumia kabla muamini

  • @user-xc4tm5ho4h
    @user-xc4tm5ho4h5 ай бұрын

    Amen

  • @user-yy6xh6tm2g
    @user-yy6xh6tm2g5 ай бұрын

    Amen

  • @HappyFireDragon-io4kn
    @HappyFireDragon-io4kn5 ай бұрын

    Thank you Lord because your server.

  • @osmansalim172
    @osmansalim1725 ай бұрын

    Umepangwa

  • @JoyceKhasandi-ey3vh
    @JoyceKhasandi-ey3vh5 ай бұрын

    😢😢😢😢i like this important information God is able to change any situation 🎉🎉😮😮😮😢😢😢.

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv5 ай бұрын

    Amina

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын

    Ukafiri bila uongo hauwendi ukitaka kuwapiga hela makafiri wewe waambie yesu amekujia anasema kila mtu amchaangie elf 10 watatoa 😅😅😅

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын

    Makafiri kila mtu Akitaka kupiga ela kanisani anasema katokewa na yesu someni maandiko acheni upofu

  • @phineasmutethia1349
    @phineasmutethia13492 ай бұрын

    Umbwa wewe...kuweka mtu Kwa tangi ya mafuta na kumchomba huyo ni mungu gani.

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl7 ай бұрын

    hunapendeza ulivyo mpokea yesu

  • @jeanettenashoni
    @jeanettenashoni7 ай бұрын

    Ambaye anasikiliza haya mahubili 2023 ajitokeze

  • @salomecharles4706
    @salomecharles47063 ай бұрын

    Tupo

  • @nasonfastitsolution5664
    @nasonfastitsolution56648 ай бұрын

    For sure this Testimony, have listened to it many many times, in a lot of interviews, Rev. Adam Haji, is just inspiration to maaany many people!

  • @user-zn9gf5kn6r
    @user-zn9gf5kn6r9 ай бұрын

    Ohh my God!!! Life is about dieing for Christ

  • @DastanMapunda-qr8iv
    @DastanMapunda-qr8iv9 ай бұрын

    Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC

  • @DastanMapunda-qr8iv
    @DastanMapunda-qr8iv9 ай бұрын

    Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC

  • @oscarchessa7382
    @oscarchessa73829 ай бұрын

    HONGERA SANA SKUL MATE BIG UP SANA

  • @generosennko8343
    @generosennko83439 ай бұрын

    Most powerful testimony.