MSILU TV
Msilu TV,tupo tayari kukuhabarisha na kukuburudisha pia masaa 24/7 ndani ya Siku Saba.
Tupo tayari Kukuhabarisha habari Mbali mbali ma juu ya Masuala mbalimbali katika Nyanja tofauti.
Hivyo basi ukitaka kutangaza na Msilu Tv tupigie kupitia 0756292978 ili tuweze Kukuhudumia na kuweza kukufikia pia popote pale Ulipo.
Msilu Tv tupo Kukuhabarisha katika Habari mbali mbali kamavile Michezo ,Mahubiri Mbalimbali Nk.
Tufuate poa kwenye mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
Facebook -Mcmsilu.
Instagram -mcmsilu
Twitter -Bahati Msilu
Na usiache kutufuatilia kwenye page yetu ya Facebook Page kama -Msilu TV.
Muda wote kama utakuwa na matangazo ya kibiashara, AU unahitaji Huduma ya Mc basi wasiliana na Mc Msilu kwa Namba zifuatazo. -+255656292978.
Пікірлер
Utukufu
Amina mtumishi ubarikiwe Sana
YESU NI BWANA NA MWAOKOZI WA MAISHA YANGU 🙏 2024 NOW BADO MAHURI YA MTUMISHI YAKO MOTO
Sanaaa sanaa haya mahubiri ndo yanatakiwa yahubiriwe sasa 😢lakin sikuzi n kuhubiriwa umerogwa umerogwa, njoo upate muujiza wako, hakuna cha kukataza dhambi wala kuambiwa mwisho wa dunia 😢😢😢😢oh God 🙌
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
2024❤❤
Injili yako itaishi milele na milele
Acha Mungu aitwe Mungu Amina Sana MUNGU akikutaka Huna ujanja barikiwa Sana Baba 🙏❤
Glory be to God ubarikiwe kwa Hilo neno la kutia mtu moyo katika safari ya wokovu Mungu anipatie nguvu ya kutii ten commandments
Amen mtumishi wa mungu ushuhuda wenye nguvu
Ameeeni baba
Walikuwa marafiki
Injiri ya sasa si kama ya uyu mtumish! Naona kama imejikip ktk michango sana!
Tunaobarikiwa na aya muhubir mwaka 2024 tujuane.
Mtumishi ubarikiwe sana.
Utukufu kwa BWANA, MUNGU AKUBARIKI mtumishi
2024
Sifa n utukufu ni kwa mungu ❤❤❤🙏🙏🙏🙏
huyu jamaa naexa mpata wapi
Mwenyezi mungu akubariki sana tena sana
Mungu ni jembe anabadilisha bwana❤
Mungu akubariki sana.
I surrender all to you, everything i give to you
Amen Amen
Amen
Huyu Mtu ni neno La Mungu kweli
Hakika neno la Kristo li hai
Ilikuwa 🔥🔥
Mzee wa.injili.
Barikiwa sana mtu waMungu nipo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👈
Barikiwa sana mtu waMungu nipo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👈
Eee yesu utuhurumie
Amen
Je? Yesu alimchagulia Dini gani na kanisa lipi la yeye kufanyia ibaada
Yesu aliacha neno sio dini, dini ni mpango wa wanadamu...kusanyiko lolote ambalo ndani yake linafundisha neno la Mungu ni kusanyiko salama, lakini kuionja pepo ni kutenda mema
Enyi wasikilizaji kueni makini lugha anayo itumia kabla muamini
Amen
Amen
Thank you Lord because your server.
Umepangwa
😢😢😢😢i like this important information God is able to change any situation 🎉🎉😮😮😮😢😢😢.
Amina
Ukafiri bila uongo hauwendi ukitaka kuwapiga hela makafiri wewe waambie yesu amekujia anasema kila mtu amchaangie elf 10 watatoa 😅😅😅
Makafiri kila mtu Akitaka kupiga ela kanisani anasema katokewa na yesu someni maandiko acheni upofu
Umbwa wewe...kuweka mtu Kwa tangi ya mafuta na kumchomba huyo ni mungu gani.
hunapendeza ulivyo mpokea yesu
Ambaye anasikiliza haya mahubili 2023 ajitokeze
Tupo
For sure this Testimony, have listened to it many many times, in a lot of interviews, Rev. Adam Haji, is just inspiration to maaany many people!
Ohh my God!!! Life is about dieing for Christ
Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC
Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC
HONGERA SANA SKUL MATE BIG UP SANA
Most powerful testimony.