Story zinafurahisha na kufundisha at the same time ......
@BonPetro-kb6gfАй бұрын
Dah! Mzee yuko funny sana 🤣🤣🤣
@allahisone6386
Ай бұрын
Ndiooo
@ntegamaherezovenusteАй бұрын
Nakupend mim ni munyarwanda nkupenda san
@titusJulius-zm3lh
16 күн бұрын
Upo wapi
@user-bd6nt4yq3mАй бұрын
Huwa namuelewa sana huyu dereva mkongwe
@jwakoofficial1560Ай бұрын
Noma sana dereva
@josephmihayo6236Ай бұрын
Dereva mkongwe amenikumbusha kwetu Songea bana. Maeneo ya Igawisenga, Kifanya, Wino, Lilondo , Madaba nk.Dereva mkongwe amezunguka sana. Na Mimi pia nchi hii nimetembea sio kitoto, Kasumulu, Tunduma, Lusumo, Sirari, Horohoro, Namanga , Kiranje ranje, Mangaka, nakapanya, Masumbwe, Nyakanazi nk kote nimefika huko. Kwahiyo nikimsikilazaga ananipa burudani sana.
@ramadhanmnembuka1408Ай бұрын
Namwelewa Sana deleva mwenzangu tunapata tabu Sana
@user-jx8qj8gm5gАй бұрын
Noma sana
@abrahammichael642Ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi cheka tu ingekuwa poa sana
@kabujeasukile5462Ай бұрын
Big up mzee nimependa story zako👏👏
@Samleko_TheInvestorАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 ako angu uyo😂😂😂❤
@lenniefei6710Ай бұрын
Nimegundua waTz wengi wanapenda na kuzuzuliwa na mambo ya vituko na kipuzi.....Wanashabikia sana usanii kuliko mambo ya kimsingi maishani kama Elimu na utandawazi ! Abiria chungeni mizigo yenu !
@ashrafadam4629Ай бұрын
uko vizuri daddy
@halimaamini8015Ай бұрын
Huyu baba ana kitu mjue lamata amuangalie😂😂😂😂
@hassankilonzo2420Ай бұрын
Mkongwe nakupenda lala nayo
@aminaomary5567Ай бұрын
Mimi nampenda sana dereva mkongwe❤❤❤🎉🎉🎉baba🎉🎉🎉❤❤❤nassibu❤❤❤🎉🎉🎉
mshamba tu huyu mzee wala hana ukongwe wa kihiivyo..
@yahyaabdulrahman7235
Ай бұрын
Acha roho mbaya bhn
@salamsabdullah-st9ptАй бұрын
Mwamba a
@dicksondavid9587Ай бұрын
Huyo Mzee Niki mkuta tanga anakunywa
@allymtanga8127Ай бұрын
Home Bwax
@josephmihayo6236Ай бұрын
Kateshi Dareda Babati hiyo, Kuna down inaitwa Sigino kabla hujafika Njia panda ya Dodoma bonga huko
@JamilaSereri
Ай бұрын
Híyó bàlaàà
@SuleymaniBashiru-rq5hbАй бұрын
Kuchochola 😂😂😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9ccАй бұрын
Yaani nimecheka vibaya mni! Alafu mie sio mrahisi wa kucheka hua...ila huyu dereva amenikosha
@user-rk6sx2bw3e
Ай бұрын
Sasa kinachokufanya usiwe mrahisi wa kucheka kitu gani???bac itakua una shida ww......
@BarbaraPatience-qt9cc
Ай бұрын
@@user-rk6sx2bw3e wewe ndio inashida nikicheka nisipocheka inakuhusu nini? Hebu tuliza utoko na UTI sugu huko!! Hii comment haikua yako ama wewe ni Wasafi? Shenz kinuka mkojo wewe!!!! Hebu tuliza mshono....au ni fumage Kwa mshono tena!!! Ibilisi kasoro mkia!!!! Kinyago wa mwembe tayari
@salumadam2862Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@chidykiwango1394Ай бұрын
😂😂😂😂😂❤
@stevenchami26Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@eggysulle7988Ай бұрын
🔥😂
@davidpaul4655Ай бұрын
Muongo huyo anapiga vyombo
@bongelabwana7523Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@mariamrajabu7458Ай бұрын
😂😂😂
@joelmutunga8193Ай бұрын
Tafadhali mtu aniambie jina la zile mabasuli yalitumwa kuwachukua Burundi 😅😅😅
@tadeibongole4833Ай бұрын
Anaacha kuzungumza mambo ya msingi na changamoto za madereva anafanya comedy
Пікірлер: 121
Kama unamkubal dereva mkongwe gonga like hapa 🔥🔥
Story zinafurahisha na kufundisha at the same time ......
Dah! Mzee yuko funny sana 🤣🤣🤣
@allahisone6386
Ай бұрын
Ndiooo
Nakupend mim ni munyarwanda nkupenda san
@titusJulius-zm3lh
16 күн бұрын
Upo wapi
Huwa namuelewa sana huyu dereva mkongwe
Noma sana dereva
Dereva mkongwe amenikumbusha kwetu Songea bana. Maeneo ya Igawisenga, Kifanya, Wino, Lilondo , Madaba nk.Dereva mkongwe amezunguka sana. Na Mimi pia nchi hii nimetembea sio kitoto, Kasumulu, Tunduma, Lusumo, Sirari, Horohoro, Namanga , Kiranje ranje, Mangaka, nakapanya, Masumbwe, Nyakanazi nk kote nimefika huko. Kwahiyo nikimsikilazaga ananipa burudani sana.
Namwelewa Sana deleva mwenzangu tunapata tabu Sana
Noma sana
Huyu jamaa angepata nafasi cheka tu ingekuwa poa sana
Big up mzee nimependa story zako👏👏
😂😂😂😂😂😂 ako angu uyo😂😂😂❤
Nimegundua waTz wengi wanapenda na kuzuzuliwa na mambo ya vituko na kipuzi.....Wanashabikia sana usanii kuliko mambo ya kimsingi maishani kama Elimu na utandawazi ! Abiria chungeni mizigo yenu !
uko vizuri daddy
Huyu baba ana kitu mjue lamata amuangalie😂😂😂😂
Mkongwe nakupenda lala nayo
Mimi nampenda sana dereva mkongwe❤❤❤🎉🎉🎉baba🎉🎉🎉❤❤❤nassibu❤❤❤🎉🎉🎉
Baba levo anacheekaaaa😂😂😂
Daah! Kweli kazi.
wasafi wangempa kazi
Oyaaa akipita songea aniambie nimuone jamaa anachekesha
😂😂😂😂😂😂Mkongweeeeeee.mimi hapa kutoka 254 nimecheka 😂😂😂😂
MaDereva wa Gari za mizigo ni mwanajeshi ni wanajeshi wasiotambulika
Nakuelewa sana dereva
Nakwambia dereva mkogwe atawakauche ❤❤❤nacheko
Namuaminia sana , dereva mkogwe, , Mimi pia Niko katika hio sekta ya udereva
Hatari sana kk
Dereva mkongwe
Hata sijategemea kama nitamkuta huku huyu mzee dereva mkongwe
Lala nayo babu nakuaminiii
Anaongea balaa huyu 😅 nilipandaga coster woi anaongea huyo 😂
Ahahaha Dereva mkongwe,mimi na mkubali sana
Namkubalii sanaa
Sawa bana 😂😂
🔥🔥
🎉😂😂 yaani nimefurahi sana leo
Funny
Master
😂😂 mungu awatie nguvu jaman
Watz wizi ni asili yetu
Mzee kumbe anapitaga hapa
That was very nice😂😂😂😂❤
❤
Leo baba levo kapata kiboko ake
🎉
Lala nayoo
Dereva huyu ni nooma sana
😂😂😂hyu mzee jau sana
huyu mzee ni hatari anakipaji tukiachana na udereva
Mkongwee✊
Hii T-shirt ipoje jamani au mimi ndo mshamba😂
Hiyo ndo Songea,ukija uwe umejipanga na umeaga kwenu.🤣🤣🤣🤣🤣 Sema unachekesha pia we mzee.😂😂😂😂
Meeting tunakukubali tupo nyuma yako
Oi iyo sehem anayoisema sio pow apo hata mia hutok nayo😂😂
Baba levo unapendaaaaa
Et babu lala nayoo asa ulalie wapiii😂😂😂
@baloz8974
Ай бұрын
😂😂😂😂
@godfreyerjames3837
Ай бұрын
@@baloz8974 lala nayo ad kuzim🤣🤣🤣
mkongweeeee
Mkogwe uyo sio poa anatisha 😮😮😮
Yukovizuri
Dereva chale ,haf mchimvi 😅
Cheka tuu Kuna mtu wenu huku🤣🤣
😂😂😂 #tellaaxistz
Mpeni shavu mkongwe
Mzee mpen muda zaid aseee naon kipind kifup
Wee mkongwe, Mungu anakuonaa! Hiyo misalaba iliochongwa na na nani? 😂😂😂
Nawew ushaiba mafuta??
acha ufala baba levo nani anapiga nyoka
Mbona fupi
Lala nayo 😂😂😂😂😂
Mzee ana balaaa 😂😂
Yaaan anaongea yeye mkavu.....huku mbavu hatuna😂😂😂😂😂😂
atarisana
Baba levo amekutana na kiboko yake
Uwakika
Ujakosea 😂😂😂
Dereva mkongwe wewe nakukubali
Huyu kizee ana hadithi za abunuasi, uwongo kweli ameujaza kila kona. Mkenya nimesafiri kwingi huku anako ongelea na ni rongo tupu hizi.
Hahaah😊😅
Yupo poa kiukweli.
Sasa. Mzee. Kwa. Mfano. Kama. Sisi. Tulio. Na. Ndoto. Za. Kuwa. Madereva. Unatushauruje???
Udereva wa kujihami
mzee uyu ananikosha mnoo aisee😂
Mwambaaaa huyo
Dereva mkonhwe namkubali sana
mshamba tu huyu mzee wala hana ukongwe wa kihiivyo..
@yahyaabdulrahman7235
Ай бұрын
Acha roho mbaya bhn
Mwamba a
Huyo Mzee Niki mkuta tanga anakunywa
Home Bwax
Kateshi Dareda Babati hiyo, Kuna down inaitwa Sigino kabla hujafika Njia panda ya Dodoma bonga huko
@JamilaSereri
Ай бұрын
Híyó bàlaàà
Kuchochola 😂😂😂😂😂
Yaani nimecheka vibaya mni! Alafu mie sio mrahisi wa kucheka hua...ila huyu dereva amenikosha
@user-rk6sx2bw3e
Ай бұрын
Sasa kinachokufanya usiwe mrahisi wa kucheka kitu gani???bac itakua una shida ww......
@BarbaraPatience-qt9cc
Ай бұрын
@@user-rk6sx2bw3e wewe ndio inashida nikicheka nisipocheka inakuhusu nini? Hebu tuliza utoko na UTI sugu huko!! Hii comment haikua yako ama wewe ni Wasafi? Shenz kinuka mkojo wewe!!!! Hebu tuliza mshono....au ni fumage Kwa mshono tena!!! Ibilisi kasoro mkia!!!! Kinyago wa mwembe tayari
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂❤
😂😂😂😂😂
🔥😂
Muongo huyo anapiga vyombo
😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂
Tafadhali mtu aniambie jina la zile mabasuli yalitumwa kuwachukua Burundi 😅😅😅
Anaacha kuzungumza mambo ya msingi na changamoto za madereva anafanya comedy
@zedekiahmagwega8044
Ай бұрын
Afukuzwe kazi!??
@baloz8974
Ай бұрын
Waambie wana habari waulize hilo swali