KISHIMBA avunja wabunge mbavu kwa hoja zake: Trafiki wahamishiwe hospitalini mtu akikosa dawa aende
Жүктеу.....
Пікірлер: 404
@GaudenceRaphael3 жыл бұрын
Pale Mbunge anapoongea kama Raisi wa Nchi au Waziri Mkuu....Gonga like twende mbele
@dayanimwamwimbe7966
3 жыл бұрын
Mzeee kamanda sana
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Iyu mzee jamani mungu amuweke atutetee
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Tunaomba titibiwe bure jaman
@faustinejemsi1488
2 жыл бұрын
Kweli doo mana aliazia UDP
@KaburuKimath-eu5nf
Ай бұрын
Kishimba yuko sahihi japo Kuna wanaomcheka
@pascalmstaarabu43723 жыл бұрын
Wasukuma wana akili sana haijalishi wamesoma au hawajaenda darasani wanaokubaliana na Mimi wagonge like
@frankkajoba8372
Жыл бұрын
100%
@nassoroabdallah36703 жыл бұрын
Mh Rais wangu huyu mbunge anaweza kuwa mshauri nzuri Sana mpe nafasi ktk ofisi yako Kama itakupendeza inshaallah.
@husseinmkanga7794
3 жыл бұрын
Kishimba tajiri hana ndio maana hana shida ya uwaziri.
@saimonbundala6096
3 жыл бұрын
Umeona mbali sana mtu wangu👊
@hadijasaid9463
3 жыл бұрын
Nakupenda mbunge wetu kishimba unatuhurjmia sana wspiga kura wako natamani uendelee kutoa mada
@hadijasaid9463
3 жыл бұрын
Mama SAMIA mpe nafasi awe mshauri wako
@leonardemmanuel9249
3 жыл бұрын
CHF bima ya afya ya jamii kwa mwaka wanalipa 30000 watu 6 ,inaamaana kuwa ni 5000 kwa mtu mmoja kwa mwaka ,na mtu mmoja anaweza kuhudumiwa zaidi ya mara 4 kwa mwaka ,na kila awamu anaweza kuhudumiwa kwa shilingi 8000 kwa awamu zidisha mara 4 sawa na 32000 zidisha mara 6 sawa na 192000 kwa hali hii serikali mtaionea sana ,huu ni mfano tu ,janga la dawa hospital za serikali bado litakuwa ni tatizo
@raymondjimmy27123 жыл бұрын
Huyu Mzee ni wa kuangalia vizuri Point zake zipo strong
@jaliabahat1520
2 жыл бұрын
Sana nawe umeona
@manenoibrahim9803 жыл бұрын
Yani unaweza kufikiri huyu mzee ni mwananchi wa kawaida toka kijijini kaja bungeni kuwakilisha wanyonge wenzie, big up sana kisimba
@robertchuma64083 жыл бұрын
Aisee Kishimba ni Kichwa cha Ukweli maana anatoa hoja na mbadala wake. He is Real Genius Professor thanks so much Professor Kishimba
@jericomgaya82823 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba namkubali kitambo sana na hajawahi kuniangusha kwa kweli! Tangu aseme mtoto umemsomesha halafu baada ya kupata kazi anaanza kukukwepa kwepa anafaa ashitakiwe! Na ikiwezekana tubadilishe utaratibu tukiwalipia ada wasaini mikataba ya kulipa madeni ya ada baada ya kumaliza chuo!! Hongera sana Mhe. Kishimba kwa strong points unazozitoa Bungeni
@fadhiliswidhun97793 жыл бұрын
Kwa utaratbu umeongea vzur sana mh mb kishimbaa afya ndyo usalamaa wetu
@emmanueldutuleo39923 жыл бұрын
Du nakuunga mkono professer kishimba uko vizuri kabisa penda sana wewe
@robertnicodemas58533 жыл бұрын
Tukipata wabunge 50 tu.kama kishimbi,Hakika matatizo madogomadogo inayotukabili sisi wananchi wakipato cha chini yatapungua.asante sana mh
@issamohammed82983 жыл бұрын
Mh,Kishimba huo niukweli kabisa tunaenda Hospital unaambiwa Hakuna Netwek Mara unaambiwa Kifurushi hichi hakiwezi Kukupa Huduma Hongera sana Mh,Kishimba
@andrewvedastus69583 жыл бұрын
You are a genius mr Kishimba, and i think you should be granted an honour to be a professor, according to your big iq! congrats.
@loishiyesamwel13743 жыл бұрын
Kishimba upo vizuri sana, ninakukumbuka sana kuhusu swala la Elimu ya Taifa letu inavyowachelewesha vijana wetu. Haswa elimu ya juu.
@titonkwabi74303 жыл бұрын
Huyu mzee ni super genius,
@nzellahhamis15043 жыл бұрын
Lamadar Hotel hujazijenga kwa bahati mbaya. Genious sanaaaaaa. Nahisi mtu smart sana aliye karibu na wewe ni KATIBU WAKO WA MBUNGE.
@melasdekas8253 жыл бұрын
Hongera sana Msukuma mwenye busara. Wewe ndiye mbunge wetu mwenye kutoa taswira nzuri.
@officialsteeve23843 жыл бұрын
Kweli elimu sio kuingia darasani tu, we mzee ni genius🙏🙏
@mayasasaid7743
3 жыл бұрын
wake
@gracekasambala4712
Жыл бұрын
Kweli professor Kishimba anawakilisha wananchi
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
moja ya wabunge makini sana, ni swala ambalo hata mie huku uswazi nililiongelea sana masikini tunakufa kwa kukosa 50 elfu tu dah
@happynesskimt62493 жыл бұрын
Asante sana kwa kuliona Hilo mana huku yako mengi nyuma ya pazia, traffic waamishiwe hospital 🤝🤝japo😅😅😅 ila ni kweli kabisa ndio maana wengine hatuoni manufaa ya bima😢😭😭
@princejosephat83163 жыл бұрын
Hakika wewe ni mbuge wa pekee unayejua maisha ya watanzania na adha tunayoipata sisi wananchi wenu,hawa ndo wabunge wazalendo wanaofuatilia maisha ya kila siku ya wananchi wao...safii sanaaa...naktakia maisha marefu ili ufundishe wengi ktk kujenga hoja hapo mjengoni.
@ndalahwadigijaga843 жыл бұрын
Mashimba oyeeee , inteligent person ,
@elibarikielikana18243 жыл бұрын
Genius kama hawa wachache umefikiria parefu sana.... 🤗🤗 Serikali iangalie kwa macho mawili kabisa
@deusijohn38633 жыл бұрын
Asante sana hapo kwenye matibabu umegusa sanaaaaa, serikali ichukue hatua
@benatusrupili95213 жыл бұрын
Umetisha sana mbunge 2025 tunakuhitaji ugombee urais👍👍👍👍👍👍👍
@lyimohilda78803 жыл бұрын
Umewatetea vizuri mno wanyonge kwa busara na hisia, hata Mungu amefurahi.
@mursalsaid33273 жыл бұрын
Umeongea point , miaka iliyopita matibabu yalikua bure ,ukiandikiwa doze zote ulikuwa unapata ,hata upasuaji ulikuwa bure , lakini Sasa hivi imekuwa shida Sana ,
@leonardemmanuel9249
3 жыл бұрын
Nimelike comment yako japo miaka ya nyuma sikuwepo wala uhakika sina
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Na hapo zamani sisi tunakua ukienda hospitali unapewa dawa lkn sasa ivi msiba mkubwa afya afya ni muhimu sana
@ibrahimhodabaksh39393 жыл бұрын
MZEE UMEONGE KITAIFA SISI WA
@upendoj3 жыл бұрын
Asante Kishimba Mh.
@ashamaneno66393 жыл бұрын
I wish akuna mbunge shupavu kama uyu mungu akulinde ndugu yangu kila oja zako zipo vizuri saaaaaana napenda sana kusikiliza kaka.
@japhethgeriad45193 жыл бұрын
MZEE ANAJIAMINI SANA😊😊🙏🙏
@johnleonard48353 жыл бұрын
Mzee big up kwa mawazo yako maana daaah sio kwa kuwaza parefu na nimeamini utu uzima dawa
@rafikiwildlife42633 жыл бұрын
Kahama oyeeee inapendeza sana
@victoriabayo7704
3 жыл бұрын
Ni kweli bima haileweki hasa tunaolipa binafsi mara usiende hosp fulani mpaka rufaa mara kifuru hiki hakina haya matibabu na umelipa laki 6 serikali iliangalie hili ni shida
@shabanfelix42733 жыл бұрын
Yani wakati mwingine ccm kuna wambunge wenye akili timamu nauzalendo toka nianze kusikiliza bunge uyu mzee niwakwanza kusema maisha halisi yamtanzania
@ezrashukuru75113 жыл бұрын
Hallelujah.namtukuza Yesu Kristo kwaajili yako Mbunge wa Taifa
@khalidtv62003 жыл бұрын
"WANAIPITA NYAMA HAPO WANAFUATA MCHICHA PALE TENA BILA MALALAMISHI"(mwisho wa kunukuu)
@naturelle1097
2 жыл бұрын
😆 kwa hiari
@benderamateso82442 жыл бұрын
My best Member of Parliament ever, so genius - hoja za msingi zinazogusa, kahama mnaye mbunge
@mariachombo73163 жыл бұрын
Yani wewe ni mbunge mmoja, katika wote, nakukubali sana , nitakuombea aisee uishi milele tutetee baba
@dorisjulius4951
2 жыл бұрын
L
@doiabel37933 жыл бұрын
Wakati ninaishi kijijin na babu yangu tulikua tukiumwa anasema mkamnunulie mgonjwa sukari akorogewe uji, kweli maisha yanabadirika sana,, kishimba ngosha wane wawiza sana ngosha.
@mariammassawe3274
3 жыл бұрын
Mungu hakujalie baba kweli ww magu wapili
@jaykimoga18883 жыл бұрын
Đâh! Tunawataka hawa darasa la saba wenye busara na akili kama zote
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Kweli uhai ni kitu muhimu kuliko yote
@mtoto_wa_Mfalme123 жыл бұрын
Nchi Duniani zinafilisika kwa vitu viwili; 1. Vita 2. Ujenzi NOTED
@matindembaratani62213 жыл бұрын
Huyo mbunge akili nyingi Sanaa namfatilia Sana uko vnzr
@Youngkassaby2 жыл бұрын
Mashallah allah akuweke mzee wetu
@babayao37913 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius
@julianasanga95483 жыл бұрын
Mbunge wewe upo vizuri sana unajuwa tabu zetu huku chini tunateseka sana Mungu akutunze hakika wananchi wako wanajivunia wewe
@pascarmwatosya68153 жыл бұрын
Safi Sana kiulahisi utaona hajaongea pointi,Ila huyu mbunge Nimekuelewa Sana Hongera sana mbunge kwa kuwa umetambua umetumwa nini na Mbos wako wabunge Kama awa ndio wanaotakiwa bungen huyu atakuwa hakupita bila kupingwa,Hongera Tena mbunge
@edwardmaumau94553 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mheshimiwa kishimba kwa suala la matibabu bure
@gmdecoration60443 жыл бұрын
Mzee namuona kwenye uwaziri🙏🙏
@rahmarahma920
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba
@gmdecoration6044
3 жыл бұрын
@@rahmarahma920 🙏🙏
@bidayo10583 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius,💯💯💯
@jumasaid7471
3 жыл бұрын
Mzee nakukubali sana
@yusufaaramadhan7316
3 жыл бұрын
Umeona
@petrokisasi49353 жыл бұрын
Aisee ww Mzee n level nyingine kabisa,hoja zako zinaonyesha elimu ulonayo ya ustaarabu halisi w maisha na mazingira na sio vyeti vya mashulen,mawazo yako n mapana mno
@shabaniamadi4138
3 жыл бұрын
Yan Mungu amempa vyote
@mohamedally15943 жыл бұрын
Hiyo Tsh 30 ya mafuta ikipanda bado ni mwananchi wa kawaida ndiye atayeilipa. Labda tufikirie watu wachache watolewe 30,000 directly kutoka kwenye posho/mshahara
@hilarykawa18803 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ya uwakilishi ... yani kishimba ndio man of the match kwenye bunge la Tanzania tangu kuzaliwa kwake
@felisilohay91383 жыл бұрын
Wabunge wetu wakibaki kuwa wabunge huwa wanakuwa na point sana, ila wakianza kuwaza uwaziri ndipo wanapotusahau na kila mara wabunge wa namna hiyo hoja zao bungeni ni kukejeli wapinzani na kumsifu rais na serikali. Ila huyu mzee Prof Jay ni wa tofauti sana. Excellent prof
@danielbalele7093
2 жыл бұрын
Huyu mh anastahili kuwa mbunge ni mshauri mzuri wa Serkali hoja za msingi zikimlenga mwananchi wa kawaida.
@babayao37913 жыл бұрын
Una akili kubwa sana @ mh kishimba........✍
@khalfanabasi6953 жыл бұрын
Unawza mbali sana mzee kishimba nakuelewa sana sema tu hawakuelewi hao nataman raisi akuone walau uwe mshauri wake
@petrokisasi4935
3 жыл бұрын
Hili n wazo kubwa Sana,"Awe mshauri wa Raisi"
@briansancedo93363 жыл бұрын
Huyu mzee ni mzalendo sana anastaili kuitwa Professor hoja zake siku zote ni kutetea masikini MUNGU akubariki sana kuwakumbuka masikini tuliowengi,🙏🙏🙏👩🍳👩✈️
@ngoiedward4176
3 жыл бұрын
Akili nyingi sanaa
@lucasgasper52353 жыл бұрын
Ubarikiwe Mh: Juma Kishimba
@devothalasway7717 Жыл бұрын
Uyu ni Rais mtarajiwaa,,🙏
@johnwoshi34593 жыл бұрын
Umewalecture mpaka Basi hongera mweshimiwa JK
@fintanmkesha10773 жыл бұрын
Mm nakuelewa Sana mzee
@yasinmtangi5140
Жыл бұрын
Mama kwanini uyu mtu haupi uazili
@eliejenjakihoko85973 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ninamuunga mkono mheshimiwa Kishimba alichokisema mimi binafsi kimenikuta.Nilikuwa Mwalimu katika shule za serikali katika elimu ya msingi,nilifanya kazi hadi nilipostaafu.Na wakati wote huo nilikuwa nikikatwa bima ya afya,nikihakikishiwa kuwa wakati wa kuoga bima itanilipia.Na kwa muda mbegu kwa kuwa wakati huo nilikuwa bado kijana hata kuuguaugua sikuwa naugua.Sasa nimekuwa mzee maradhi mengi ndio yanabisha hodi. Ni hivi majuzi nimekwenda hospitality naugua macho.nikaandikiwa dawa pamoja
@hadijasaid94633 жыл бұрын
Kweli mbunge wetu mwema. Wazee wanakufa kila saa hasa tinde hakuna dawa kabisa
@Micpaul.o27 күн бұрын
Wewe mzee ni hazina ya Taifa, ni vile tu mifumo ya nchi bado ...
@shangwehalisi76593 жыл бұрын
Prof katika ubora wake
@salmamgeta15993 жыл бұрын
Nakupenda sana sichoki kuku sikiliza baba
@mariammassawe3274
3 жыл бұрын
Dah kweli umeongea point baba mungu hakujalie uwe kiongozi mkubwa
@eliyahubi18873 жыл бұрын
Uko vizuri.sana kishimba. Wabunge mwengine. Ni maslahi yao tu. Afya tu ndo. Mtaji wa Maskini.
@zengomunguatuepushenajanga74163 жыл бұрын
Nakubari sana wa daraja 7 tunafaida
@mtoto_wa_Mfalme123 жыл бұрын
Kwa nini hakuna regulatory kwenye Dawa? NOTED
@stevenleonce94163 жыл бұрын
Ukifika kwwny kilimo naomba uzungumze kwa uwazi kwa mapana zaidi naona unauelewa mkubwa na matatizo y wananchi weka namb mtandaon tuwe tunakupigia mheshimiwe. Mungu akulinde
@francisrukeisa62993 жыл бұрын
Huyo mbunge Kishimba ameongea points za muhimu,wabunge wote inabidi mnakili kwakwe kwa kuzungumzia matatizo yanayotuhusu wananchi na sio kuongelea vitu visivyoleta manufaa hata kwa taifa. Kwa kweli kawapasha ukweli ulivyo.
@johnlikoo59733 жыл бұрын
Daaaah Mzeee mashimba 🔥🔥🔥
@mpongomwenda15993 жыл бұрын
Nimetokea kukupenda sana lillaah kiongozi wetu.
@alphoncejuma96523 жыл бұрын
Mheshimiwa mbunge hongera sana kwa hoja zako msingi
@shalomizrael6673 жыл бұрын
Ahsante sana mzee KISHIMBA MUNGU AKULINDE KWA UKIGO WA MOTO, MANA MTETEA WANYONGE HAACHWI AKASTAWI.
@elizawamainge86233 жыл бұрын
Umenikosha sana.wa vijijini tupo na wewe kwa swala hilo
@masanjasweya7033 жыл бұрын
Wasomi wengi ni mafisadi darasa la saba wapewe uwazili wanajua shida zetu wamesoma bure kwa nyerere wanatutesa leo. JPM lala salama ulijitoa kwaajili yetu.
@amosyohana5351
3 жыл бұрын
Kabisa kabisa kabisa
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Jpm endelea kupumzika
@ikulutv622
3 жыл бұрын
Shida nayo haya masheria yetu yamekaa hovyo ynamlazimisha Rais ktk kuteua Waziri angalau awe na digrii na Sana siku hizi wanajali Sana masters na kuendelea!
@collinndabi2007
3 жыл бұрын
Kasome na wewe
@Winstonfying
3 жыл бұрын
Sasa huyo JPM si ndiyo aliwajaza hao wasomi serikalini, mpk vyuo vikakosa walimu?
@teychriss32483 жыл бұрын
Tatizo sio dawa tatizo dawa zinabinaifishwa na haohao na kuyauza ktk pharmacy zao ! Unaambiwa dawa Hakuna Ila nenda hapo nje utapata kwenye pharmacy fulani
@husseinshabani95223 жыл бұрын
Wabunge kama hawa ndo tunawataka...Wakutusemea Wananchi.Mungu Akutie Nguvu.
@denisosward74643 жыл бұрын
Daa nimekukubali Sana,lingine mzee wangu mashaliti ya uongezaji wa wategemezi haliko sawa (Nina mtoto jina lake moja likotofauti na langu la ukoo nimekataliwa manake Nini?)
@johnpeterbariyeparesso64713 жыл бұрын
Mh. Kishimba mm ninawashangaa hao wabunge wanaokucheka, hivi mbunge unayecheka hoja ya mwenzako unafurahia nn? Nin kinakufurahisha? Au unamshangaa mbunge kama hayo mambo yapo jimboni? Au kwa sababu haushiki jembe na mshahara Mkubwa? Au sababu umetoka mjini? Nakuahangaa mbunge unayetukejeli. Kishimba mungu akubariki na uishi miaka 120 bungeni. Amina
@stevenleonce94163 жыл бұрын
Yaan we mbuge mungu akulinde kishimba kweli ww ni kati y wabunge bora sana ubarikiwe sana
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Uko vizuri
@yasmeenaal41912 жыл бұрын
Mhe, kishimba unaongea pont zaidi ya rais nakupenda sana
@kelluadam57903 жыл бұрын
Safi sana kishimba kwa kuwa mzalendo
@eddydauson75253 жыл бұрын
Unapokutana na la saba kama huyu na digrii zako lazima ujikaushe
@marleyemmanuel25463 жыл бұрын
Professor kishimba nakukubali natamani niwe mpiga kura wako unafaaa kuwa ata raisi sijui tunakukosaje huo ndo mfano wa wasomi sio uprofesa wa maneno
@errydeo88653 жыл бұрын
Masuala ka haya,wabunge kimyaaaa..
@mariammpangalala84233 жыл бұрын
Uko sawa Mzee wetu, watanzania wengi tunakufa kwa umasikini, uwezo wa matibabu hatuna, watu wanafia nyumbani kwa uwezo mdogo, mlitizame hilo wakubwa, watu wa hali ya chini tunadhalilika sana
@ellymlay9266
3 жыл бұрын
Huyu mzee yupo vizuri na Mungu atambariki mno.
@mariethamkulo19833 жыл бұрын
Kweli mbunge wangu safiii sanaaa
@johnpeterbariyeparesso64713 жыл бұрын
Wew mh mbunge umebarikiwa na mungu. Bima ya afya ya NHIF ni tatizo kwenye huduma hospitalini. Unaambiwa dawa ya zaidi ya sh 4000/= hupewi. Sasa nini maana ya ku
@barakanyamafu59373 жыл бұрын
Kweli watani nzangu wasukuma mnaakilisana
@user-je3ye8vk7m6 ай бұрын
Unaongea point mzee wangu. Lakini unacho paswa kufahamu nikwamba. Akuna selikali ya wanadamu inayoweza kutatua matatizo. YEHOVA tu ndio atakae suluhisha mambo you're duniani.
@wilfridaezekiel3753 жыл бұрын
Jamani huyo mbunge nampenda
@elibarikielikana18243 жыл бұрын
Mh kishimba baba Mungu akubarki sana😭🙏
@samueljohn22103 жыл бұрын
Akili kubwa mno hii!
@titojeremia8365
3 жыл бұрын
Kweli ni kiongozi anaye Jenga hoja .Ni kweli kabisa yafanyiwe kazi siyo anasumbuka kuongea then linaachwa Kama likivo
@amirimohamedi3922 жыл бұрын
Kishimba mungu akjarie tunateseka eemungu nchi itabaki na Samia na watoto wake twafaa Samia angejiuzuru Samia jiuzuru jeshi uchukue nchi maoni yangu mm
@abdallahhamis65323 жыл бұрын
Mbunge huyu amezungumza jambo la msingi sana hospital kweli zinajengwa lkn gharama zake sio rafiki kabisa kwa mwananchi mwenye kipato cha chini
@ameniameni6173 жыл бұрын
Uji kijijini chumvi na ndimu basi Mambo poa
@stephendaniel47153 жыл бұрын
wakinamama wanajifungua kwa hela kwani wakizalishwa bure selikali inapata hasara gani?
@joshuajuma29773 жыл бұрын
Hakika mungu akulinde xana angalau umuelekeze mbuge wa busanda jix yakutetea wanainch wake kuliko kufuata. Pesa
Пікірлер: 404
Pale Mbunge anapoongea kama Raisi wa Nchi au Waziri Mkuu....Gonga like twende mbele
@dayanimwamwimbe7966
3 жыл бұрын
Mzeee kamanda sana
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Iyu mzee jamani mungu amuweke atutetee
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Tunaomba titibiwe bure jaman
@faustinejemsi1488
2 жыл бұрын
Kweli doo mana aliazia UDP
@KaburuKimath-eu5nf
Ай бұрын
Kishimba yuko sahihi japo Kuna wanaomcheka
Wasukuma wana akili sana haijalishi wamesoma au hawajaenda darasani wanaokubaliana na Mimi wagonge like
@frankkajoba8372
Жыл бұрын
100%
Mh Rais wangu huyu mbunge anaweza kuwa mshauri nzuri Sana mpe nafasi ktk ofisi yako Kama itakupendeza inshaallah.
@husseinmkanga7794
3 жыл бұрын
Kishimba tajiri hana ndio maana hana shida ya uwaziri.
@saimonbundala6096
3 жыл бұрын
Umeona mbali sana mtu wangu👊
@hadijasaid9463
3 жыл бұрын
Nakupenda mbunge wetu kishimba unatuhurjmia sana wspiga kura wako natamani uendelee kutoa mada
@hadijasaid9463
3 жыл бұрын
Mama SAMIA mpe nafasi awe mshauri wako
@leonardemmanuel9249
3 жыл бұрын
CHF bima ya afya ya jamii kwa mwaka wanalipa 30000 watu 6 ,inaamaana kuwa ni 5000 kwa mtu mmoja kwa mwaka ,na mtu mmoja anaweza kuhudumiwa zaidi ya mara 4 kwa mwaka ,na kila awamu anaweza kuhudumiwa kwa shilingi 8000 kwa awamu zidisha mara 4 sawa na 32000 zidisha mara 6 sawa na 192000 kwa hali hii serikali mtaionea sana ,huu ni mfano tu ,janga la dawa hospital za serikali bado litakuwa ni tatizo
Huyu Mzee ni wa kuangalia vizuri Point zake zipo strong
@jaliabahat1520
2 жыл бұрын
Sana nawe umeona
Yani unaweza kufikiri huyu mzee ni mwananchi wa kawaida toka kijijini kaja bungeni kuwakilisha wanyonge wenzie, big up sana kisimba
Aisee Kishimba ni Kichwa cha Ukweli maana anatoa hoja na mbadala wake. He is Real Genius Professor thanks so much Professor Kishimba
Mzee wangu Kishimba namkubali kitambo sana na hajawahi kuniangusha kwa kweli! Tangu aseme mtoto umemsomesha halafu baada ya kupata kazi anaanza kukukwepa kwepa anafaa ashitakiwe! Na ikiwezekana tubadilishe utaratibu tukiwalipia ada wasaini mikataba ya kulipa madeni ya ada baada ya kumaliza chuo!! Hongera sana Mhe. Kishimba kwa strong points unazozitoa Bungeni
Kwa utaratbu umeongea vzur sana mh mb kishimbaa afya ndyo usalamaa wetu
Du nakuunga mkono professer kishimba uko vizuri kabisa penda sana wewe
Tukipata wabunge 50 tu.kama kishimbi,Hakika matatizo madogomadogo inayotukabili sisi wananchi wakipato cha chini yatapungua.asante sana mh
Mh,Kishimba huo niukweli kabisa tunaenda Hospital unaambiwa Hakuna Netwek Mara unaambiwa Kifurushi hichi hakiwezi Kukupa Huduma Hongera sana Mh,Kishimba
You are a genius mr Kishimba, and i think you should be granted an honour to be a professor, according to your big iq! congrats.
Kishimba upo vizuri sana, ninakukumbuka sana kuhusu swala la Elimu ya Taifa letu inavyowachelewesha vijana wetu. Haswa elimu ya juu.
Huyu mzee ni super genius,
Lamadar Hotel hujazijenga kwa bahati mbaya. Genious sanaaaaaa. Nahisi mtu smart sana aliye karibu na wewe ni KATIBU WAKO WA MBUNGE.
Hongera sana Msukuma mwenye busara. Wewe ndiye mbunge wetu mwenye kutoa taswira nzuri.
Kweli elimu sio kuingia darasani tu, we mzee ni genius🙏🙏
@mayasasaid7743
3 жыл бұрын
wake
@gracekasambala4712
Жыл бұрын
Kweli professor Kishimba anawakilisha wananchi
moja ya wabunge makini sana, ni swala ambalo hata mie huku uswazi nililiongelea sana masikini tunakufa kwa kukosa 50 elfu tu dah
Asante sana kwa kuliona Hilo mana huku yako mengi nyuma ya pazia, traffic waamishiwe hospital 🤝🤝japo😅😅😅 ila ni kweli kabisa ndio maana wengine hatuoni manufaa ya bima😢😭😭
Hakika wewe ni mbuge wa pekee unayejua maisha ya watanzania na adha tunayoipata sisi wananchi wenu,hawa ndo wabunge wazalendo wanaofuatilia maisha ya kila siku ya wananchi wao...safii sanaaa...naktakia maisha marefu ili ufundishe wengi ktk kujenga hoja hapo mjengoni.
Mashimba oyeeee , inteligent person ,
Genius kama hawa wachache umefikiria parefu sana.... 🤗🤗 Serikali iangalie kwa macho mawili kabisa
Asante sana hapo kwenye matibabu umegusa sanaaaaa, serikali ichukue hatua
Umetisha sana mbunge 2025 tunakuhitaji ugombee urais👍👍👍👍👍👍👍
Umewatetea vizuri mno wanyonge kwa busara na hisia, hata Mungu amefurahi.
Umeongea point , miaka iliyopita matibabu yalikua bure ,ukiandikiwa doze zote ulikuwa unapata ,hata upasuaji ulikuwa bure , lakini Sasa hivi imekuwa shida Sana ,
@leonardemmanuel9249
3 жыл бұрын
Nimelike comment yako japo miaka ya nyuma sikuwepo wala uhakika sina
@user-jk5ir4ke3z
2 жыл бұрын
Na hapo zamani sisi tunakua ukienda hospitali unapewa dawa lkn sasa ivi msiba mkubwa afya afya ni muhimu sana
MZEE UMEONGE KITAIFA SISI WA
Asante Kishimba Mh.
I wish akuna mbunge shupavu kama uyu mungu akulinde ndugu yangu kila oja zako zipo vizuri saaaaaana napenda sana kusikiliza kaka.
MZEE ANAJIAMINI SANA😊😊🙏🙏
Mzee big up kwa mawazo yako maana daaah sio kwa kuwaza parefu na nimeamini utu uzima dawa
Kahama oyeeee inapendeza sana
@victoriabayo7704
3 жыл бұрын
Ni kweli bima haileweki hasa tunaolipa binafsi mara usiende hosp fulani mpaka rufaa mara kifuru hiki hakina haya matibabu na umelipa laki 6 serikali iliangalie hili ni shida
Yani wakati mwingine ccm kuna wambunge wenye akili timamu nauzalendo toka nianze kusikiliza bunge uyu mzee niwakwanza kusema maisha halisi yamtanzania
Hallelujah.namtukuza Yesu Kristo kwaajili yako Mbunge wa Taifa
"WANAIPITA NYAMA HAPO WANAFUATA MCHICHA PALE TENA BILA MALALAMISHI"(mwisho wa kunukuu)
@naturelle1097
2 жыл бұрын
😆 kwa hiari
My best Member of Parliament ever, so genius - hoja za msingi zinazogusa, kahama mnaye mbunge
Yani wewe ni mbunge mmoja, katika wote, nakukubali sana , nitakuombea aisee uishi milele tutetee baba
@dorisjulius4951
2 жыл бұрын
L
Wakati ninaishi kijijin na babu yangu tulikua tukiumwa anasema mkamnunulie mgonjwa sukari akorogewe uji, kweli maisha yanabadirika sana,, kishimba ngosha wane wawiza sana ngosha.
@mariammassawe3274
3 жыл бұрын
Mungu hakujalie baba kweli ww magu wapili
Đâh! Tunawataka hawa darasa la saba wenye busara na akili kama zote
Kweli uhai ni kitu muhimu kuliko yote
Nchi Duniani zinafilisika kwa vitu viwili; 1. Vita 2. Ujenzi NOTED
Huyo mbunge akili nyingi Sanaa namfatilia Sana uko vnzr
Mashallah allah akuweke mzee wetu
Huyu jamaa ni genius
Mbunge wewe upo vizuri sana unajuwa tabu zetu huku chini tunateseka sana Mungu akutunze hakika wananchi wako wanajivunia wewe
Safi Sana kiulahisi utaona hajaongea pointi,Ila huyu mbunge Nimekuelewa Sana Hongera sana mbunge kwa kuwa umetambua umetumwa nini na Mbos wako wabunge Kama awa ndio wanaotakiwa bungen huyu atakuwa hakupita bila kupingwa,Hongera Tena mbunge
Ubarikiwe sana mheshimiwa kishimba kwa suala la matibabu bure
Mzee namuona kwenye uwaziri🙏🙏
@rahmarahma920
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba
@gmdecoration6044
3 жыл бұрын
@@rahmarahma920 🙏🙏
Huyu jamaa ni genius,💯💯💯
@jumasaid7471
3 жыл бұрын
Mzee nakukubali sana
@yusufaaramadhan7316
3 жыл бұрын
Umeona
Aisee ww Mzee n level nyingine kabisa,hoja zako zinaonyesha elimu ulonayo ya ustaarabu halisi w maisha na mazingira na sio vyeti vya mashulen,mawazo yako n mapana mno
@shabaniamadi4138
3 жыл бұрын
Yan Mungu amempa vyote
Hiyo Tsh 30 ya mafuta ikipanda bado ni mwananchi wa kawaida ndiye atayeilipa. Labda tufikirie watu wachache watolewe 30,000 directly kutoka kwenye posho/mshahara
Hii ndio maana halisi ya uwakilishi ... yani kishimba ndio man of the match kwenye bunge la Tanzania tangu kuzaliwa kwake
Wabunge wetu wakibaki kuwa wabunge huwa wanakuwa na point sana, ila wakianza kuwaza uwaziri ndipo wanapotusahau na kila mara wabunge wa namna hiyo hoja zao bungeni ni kukejeli wapinzani na kumsifu rais na serikali. Ila huyu mzee Prof Jay ni wa tofauti sana. Excellent prof
@danielbalele7093
2 жыл бұрын
Huyu mh anastahili kuwa mbunge ni mshauri mzuri wa Serkali hoja za msingi zikimlenga mwananchi wa kawaida.
Una akili kubwa sana @ mh kishimba........✍
Unawza mbali sana mzee kishimba nakuelewa sana sema tu hawakuelewi hao nataman raisi akuone walau uwe mshauri wake
@petrokisasi4935
3 жыл бұрын
Hili n wazo kubwa Sana,"Awe mshauri wa Raisi"
Huyu mzee ni mzalendo sana anastaili kuitwa Professor hoja zake siku zote ni kutetea masikini MUNGU akubariki sana kuwakumbuka masikini tuliowengi,🙏🙏🙏👩🍳👩✈️
@ngoiedward4176
3 жыл бұрын
Akili nyingi sanaa
Ubarikiwe Mh: Juma Kishimba
Uyu ni Rais mtarajiwaa,,🙏
Umewalecture mpaka Basi hongera mweshimiwa JK
Mm nakuelewa Sana mzee
@yasinmtangi5140
Жыл бұрын
Mama kwanini uyu mtu haupi uazili
Ni kweli kabisa ninamuunga mkono mheshimiwa Kishimba alichokisema mimi binafsi kimenikuta.Nilikuwa Mwalimu katika shule za serikali katika elimu ya msingi,nilifanya kazi hadi nilipostaafu.Na wakati wote huo nilikuwa nikikatwa bima ya afya,nikihakikishiwa kuwa wakati wa kuoga bima itanilipia.Na kwa muda mbegu kwa kuwa wakati huo nilikuwa bado kijana hata kuuguaugua sikuwa naugua.Sasa nimekuwa mzee maradhi mengi ndio yanabisha hodi. Ni hivi majuzi nimekwenda hospitality naugua macho.nikaandikiwa dawa pamoja
Kweli mbunge wetu mwema. Wazee wanakufa kila saa hasa tinde hakuna dawa kabisa
Wewe mzee ni hazina ya Taifa, ni vile tu mifumo ya nchi bado ...
Prof katika ubora wake
Nakupenda sana sichoki kuku sikiliza baba
@mariammassawe3274
3 жыл бұрын
Dah kweli umeongea point baba mungu hakujalie uwe kiongozi mkubwa
Uko vizuri.sana kishimba. Wabunge mwengine. Ni maslahi yao tu. Afya tu ndo. Mtaji wa Maskini.
Nakubari sana wa daraja 7 tunafaida
Kwa nini hakuna regulatory kwenye Dawa? NOTED
Ukifika kwwny kilimo naomba uzungumze kwa uwazi kwa mapana zaidi naona unauelewa mkubwa na matatizo y wananchi weka namb mtandaon tuwe tunakupigia mheshimiwe. Mungu akulinde
Huyo mbunge Kishimba ameongea points za muhimu,wabunge wote inabidi mnakili kwakwe kwa kuzungumzia matatizo yanayotuhusu wananchi na sio kuongelea vitu visivyoleta manufaa hata kwa taifa. Kwa kweli kawapasha ukweli ulivyo.
Daaaah Mzeee mashimba 🔥🔥🔥
Nimetokea kukupenda sana lillaah kiongozi wetu.
Mheshimiwa mbunge hongera sana kwa hoja zako msingi
Ahsante sana mzee KISHIMBA MUNGU AKULINDE KWA UKIGO WA MOTO, MANA MTETEA WANYONGE HAACHWI AKASTAWI.
Umenikosha sana.wa vijijini tupo na wewe kwa swala hilo
Wasomi wengi ni mafisadi darasa la saba wapewe uwazili wanajua shida zetu wamesoma bure kwa nyerere wanatutesa leo. JPM lala salama ulijitoa kwaajili yetu.
@amosyohana5351
3 жыл бұрын
Kabisa kabisa kabisa
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Jpm endelea kupumzika
@ikulutv622
3 жыл бұрын
Shida nayo haya masheria yetu yamekaa hovyo ynamlazimisha Rais ktk kuteua Waziri angalau awe na digrii na Sana siku hizi wanajali Sana masters na kuendelea!
@collinndabi2007
3 жыл бұрын
Kasome na wewe
@Winstonfying
3 жыл бұрын
Sasa huyo JPM si ndiyo aliwajaza hao wasomi serikalini, mpk vyuo vikakosa walimu?
Tatizo sio dawa tatizo dawa zinabinaifishwa na haohao na kuyauza ktk pharmacy zao ! Unaambiwa dawa Hakuna Ila nenda hapo nje utapata kwenye pharmacy fulani
Wabunge kama hawa ndo tunawataka...Wakutusemea Wananchi.Mungu Akutie Nguvu.
Daa nimekukubali Sana,lingine mzee wangu mashaliti ya uongezaji wa wategemezi haliko sawa (Nina mtoto jina lake moja likotofauti na langu la ukoo nimekataliwa manake Nini?)
Mh. Kishimba mm ninawashangaa hao wabunge wanaokucheka, hivi mbunge unayecheka hoja ya mwenzako unafurahia nn? Nin kinakufurahisha? Au unamshangaa mbunge kama hayo mambo yapo jimboni? Au kwa sababu haushiki jembe na mshahara Mkubwa? Au sababu umetoka mjini? Nakuahangaa mbunge unayetukejeli. Kishimba mungu akubariki na uishi miaka 120 bungeni. Amina
Yaan we mbuge mungu akulinde kishimba kweli ww ni kati y wabunge bora sana ubarikiwe sana
Uko vizuri
Mhe, kishimba unaongea pont zaidi ya rais nakupenda sana
Safi sana kishimba kwa kuwa mzalendo
Unapokutana na la saba kama huyu na digrii zako lazima ujikaushe
Professor kishimba nakukubali natamani niwe mpiga kura wako unafaaa kuwa ata raisi sijui tunakukosaje huo ndo mfano wa wasomi sio uprofesa wa maneno
Masuala ka haya,wabunge kimyaaaa..
Uko sawa Mzee wetu, watanzania wengi tunakufa kwa umasikini, uwezo wa matibabu hatuna, watu wanafia nyumbani kwa uwezo mdogo, mlitizame hilo wakubwa, watu wa hali ya chini tunadhalilika sana
@ellymlay9266
3 жыл бұрын
Huyu mzee yupo vizuri na Mungu atambariki mno.
Kweli mbunge wangu safiii sanaaa
Wew mh mbunge umebarikiwa na mungu. Bima ya afya ya NHIF ni tatizo kwenye huduma hospitalini. Unaambiwa dawa ya zaidi ya sh 4000/= hupewi. Sasa nini maana ya ku
Kweli watani nzangu wasukuma mnaakilisana
Unaongea point mzee wangu. Lakini unacho paswa kufahamu nikwamba. Akuna selikali ya wanadamu inayoweza kutatua matatizo. YEHOVA tu ndio atakae suluhisha mambo you're duniani.
Jamani huyo mbunge nampenda
Mh kishimba baba Mungu akubarki sana😭🙏
Akili kubwa mno hii!
@titojeremia8365
3 жыл бұрын
Kweli ni kiongozi anaye Jenga hoja .Ni kweli kabisa yafanyiwe kazi siyo anasumbuka kuongea then linaachwa Kama likivo
Kishimba mungu akjarie tunateseka eemungu nchi itabaki na Samia na watoto wake twafaa Samia angejiuzuru Samia jiuzuru jeshi uchukue nchi maoni yangu mm
Mbunge huyu amezungumza jambo la msingi sana hospital kweli zinajengwa lkn gharama zake sio rafiki kabisa kwa mwananchi mwenye kipato cha chini
Uji kijijini chumvi na ndimu basi Mambo poa
wakinamama wanajifungua kwa hela kwani wakizalishwa bure selikali inapata hasara gani?
Hakika mungu akulinde xana angalau umuelekeze mbuge wa busanda jix yakutetea wanainch wake kuliko kufuata. Pesa