Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting all news, information, social events, politics, economics, sports and development around the world, our registration number is TCRA/OCS-OT/074/2018.
In addition Gilly Bonny Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or KZread.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote, namba yetu ya usajili ni TCRA/OCS-OT/074/2018.
Aidha Gilly Bonny Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Contacts
Email: [email protected]
phone: +255655832712
WhatsApp: +255655832712
Пікірлер
Tutolee nchemba jambazi la nchi
Huku nako mama kafanya yake mijamaa haibebeki
Hii imeenda kabisa 🤔😉😉
Wachoga waooo
Hapo Samia mitano tena 🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐
Watoto wa kikwete wameondoka Makubwa
Hats hivi uliwachelewesha saana kufika hadi leo, bado mwigulu
Hats hivi uliwachelewesha saana kufika hadi leo, bado mwigulu
Hongera rais kuwaondoa Nape na January
Mungu akulinde mtoto eangu nakupenda sana mwanangu
Ila waziri wa ardhi dr slaa pale ndio palikuwa pana mfaa Sana na alisha Anza kuonyesha mwanga mkubwa Sana kwenye migogoro ya ardhi
Duh
Haya maelekezo nayakubali kabisa. Machifu yanawahusu
Tumechelewa sana kukupata Rais wetu kipenzi, Maendeleo kwa vitendo.
😂😂😂
Sasa imekuaje? Mbona kurudi kwao? Kesi happily tena?
Muwe kakini muda wote wasaliti hao wapo tuwakabili wasipate nafasi tu😂
Nawaza tu kwa sauti, iweje Hakimu wa hiyo kesi asijiridhishe kwanza kama wadai na wadaiwa wana sifa za kusikilizwa. Je, kwa Klabu kubwa kama Young Africans inakosa mawakili wa kuiwakilisha kiasi cha hakimu kutoa hukumu ya upande mmoja! Du😮
Tuwe makini na wutu wanaotaka kuivuruga yanga na si yanga ni soka la Tanzania
Njaa
safi
Mashallah Tabaraq Rahman Allah akupe umri mrefu Mh Makonda 🎉🎉
Wacha kusema propagnda
Mimatangazo mingi hadi mtu unashindwa kuona video
Ata dini imesema hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa sina shaka na wewe.❤
Pimbi wewe
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
muda gani yanaanza
Kazi Iendelee 🇹🇿
Mbona makampuni walisema mmewachelesha kuwapa kibali
Kwembe
Kumbe??? Story za kupendeza
Kamanda mbowe nipe mwanao mmoja huyo aish anifundishe siasa na niwe mkweli tafadhali sana kamanda mbowe😂😂😂
Hovyo kabsa
Ujinga wenu viongozi wazima mnamsema mtu aliyewakimbia
Mawasiliano ya simu
kama wewe uwezi kua kama makonda tunakuomba tulia acha wivu
kichwa hicho kuna watu wamezaliwa na uwongozi hata kama makonda asinge soma bado ange kua kiongozi bora kabisa duniani tuongee ukweri makonda ni kiongozi bora duniani
nakukubali sana mdogo wangu makomda nakukubali sana
Daaah 😮
Wakristo acheni kujidanganya wakati unajua mbona mchungaji ulisubiri michango ya waumini wako ndio ukanunua gari acheni kuwadanganya watu mashetani wakubwa yesu mnampaka matope
Nimecheka sana, yesu ananunulia magari watu
Ninyi mnadhani sisi hatujui? Mnatumia nguvu kubwaaaa! UKWELI TUSHAUJUA,
Majinga sana haya yanazani Sugu na Pro J walijipendekeza hivyo .
Acheni kuwa vichaa
Huu ni uhuni kabisa
Vijana wa Hovyo Mno Kakojoeni Machawa tu Nyie.
Makonda mwaba sana
Msigwa kawa zuzu mwehu kwelikweli
Subaru woyeeee😂😂😂😂