Jesca Ashusha Maombi Bungeni I Usishangae Mtoto Wako wa Kiume Anakuja Nyumbani na Mwanaume
Ойын-сауық
“Mheshimiwa Naibu Spika leo tumekaa hapa lakini hali ya Watoto wetu si salama hata kidogo, Mheshimiwa Waziri amesema hapa kati ya mashtaka yaliopelekwa Mahakamani yaukatili wa kijinsia asilimia 33% kwa ajili ya Watoto na 67% ni kwa Wanawake, lakini nimuongeze hajasema Wanaume upo ukatili zidi ya Wanaume.”
Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, alisimama bungeni kuchangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya TAMISEMI kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, iliyowasilishwa leo Bungeni na Mhe. Innocent Bashungwa.
Stori zote tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya KZread “Clouds Media”
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
Пікірлер: 25
Iundwe wizara fulani hivi, bado sijapata Jina. Mh Kishimba awe Waziri, huyu mama awe Naibu wake! Wana mawazo nje ya fikra za kawaida....🙂
Wee mama nimekupenda buree ungekuwa karibu ningekupa kuku wangu ukale supu. you're a gifted woman with highest vision that's why you have became "BIG LION" in that parliament, may Lord grant you. Yaani mwanamke amekuwa muhanga wa haki za mwanaume while men wametulia tuliiii. Daaaa!!!!! Mungu akuweke sana.
Mama uko poa sana nimekukubali mungu akutunze mama
Kujua nini unafanya bungeni nisahihi kabisa kutoa hoja nikitu kingine,,,, pongezi sana mama .
Nondo za mbunge Jessica Iringa unatisha ujumbe umefika kwa wacheza Royal tour 🤔🤲👏
Sijui kwa nini samia hampagi huyu mama uwaziri kàma yule naibu waziri wa mama gwajima ukimlinganisha na jesca
Mama Hii hali inauma za sana, Yani namlinda mtoto wangu wa kiume mpaka naogopa. Asante sana, huu Ndio ukweli halisi
@mwanahamishassan8017
2 жыл бұрын
Niukweli
Uko vizuri mama
Mimi kama mkaguzi mkuu wa hotuba kali, Nasema hii ni Yenyewe hii✌
Mama unaweza hata kuwa Raisi
kisa huna pesa ndio ukalawiti watoto wadogo????? hao ni kukatwa pumbu
sema mamaa
Ewekwe sheria kali
😂😂😂😂😂😂 HIHI YALEO HIII
Ushoga ni kutolewa kafara kiroho na kimwili juu hata wazababishaji ni Matajiri sana.
Huyu naibu waziri ana akili kweli ! Eti mapenzi yamekuwa kama product nyengine, na wanao baka watoto wakatwe pumbu tu zote!
Nawaunga mkono haswaaaaaa
Unafaa kuwa waziri
Sasa huyo wakiume mukimtoa nguvu Si atakuwa shoga kmyy anavowanya wtt
Mama yuko better
@mwanahamishassan8017
2 жыл бұрын
Wanao baka wanao lawiti waasiwe wataacha
Huyu mama ana akili kubwa sana