Jesca Ashusha Maombi Bungeni I Usishangae Mtoto Wako wa Kiume Anakuja Nyumbani na Mwanaume

Ойын-сауық

“Mheshimiwa Naibu Spika leo tumekaa hapa lakini hali ya Watoto wetu si salama hata kidogo, Mheshimiwa Waziri amesema hapa kati ya mashtaka yaliopelekwa Mahakamani yaukatili wa kijinsia asilimia 33% kwa ajili ya Watoto na 67% ni kwa Wanawake, lakini nimuongeze hajasema Wanaume upo ukatili zidi ya Wanaume.”
Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, alisimama bungeni kuchangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya TAMISEMI kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, iliyowasilishwa leo Bungeni na Mhe. Innocent Bashungwa.
Stori zote tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya KZread “Clouds Media”
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates

Пікірлер: 25

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael83812 жыл бұрын

    Iundwe wizara fulani hivi, bado sijapata Jina. Mh Kishimba awe Waziri, huyu mama awe Naibu wake! Wana mawazo nje ya fikra za kawaida....🙂

  • @kasimujafu1695
    @kasimujafu1695Ай бұрын

    Wee mama nimekupenda buree ungekuwa karibu ningekupa kuku wangu ukale supu. you're a gifted woman with highest vision that's why you have became "BIG LION" in that parliament, may Lord grant you. Yaani mwanamke amekuwa muhanga wa haki za mwanaume while men wametulia tuliiii. Daaaa!!!!! Mungu akuweke sana.

  • @desdelboniphasdesdelboniphas
    @desdelboniphasdesdelboniphas Жыл бұрын

    Mama uko poa sana nimekukubali mungu akutunze mama

  • @user-ym2xs5rr3c
    @user-ym2xs5rr3cАй бұрын

    Kujua nini unafanya bungeni nisahihi kabisa kutoa hoja nikitu kingine,,,, pongezi sana mama .

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын

    Nondo za mbunge Jessica Iringa unatisha ujumbe umefika kwa wacheza Royal tour 🤔🤲👏

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63282 ай бұрын

    Sijui kwa nini samia hampagi huyu mama uwaziri kàma yule naibu waziri wa mama gwajima ukimlinganisha na jesca

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford51202 жыл бұрын

    Mama Hii hali inauma za sana, Yani namlinda mtoto wangu wa kiume mpaka naogopa. Asante sana, huu Ndio ukweli halisi

  • @mwanahamishassan8017

    @mwanahamishassan8017

    2 жыл бұрын

    Niukweli

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 Жыл бұрын

    Uko vizuri mama

  • @collyalinani2407
    @collyalinani24072 жыл бұрын

    Mimi kama mkaguzi mkuu wa hotuba kali, Nasema hii ni Yenyewe hii✌

  • @brendacaroline3510
    @brendacaroline35102 жыл бұрын

    Mama unaweza hata kuwa Raisi

  • @fredsengo4122
    @fredsengo41222 жыл бұрын

    kisa huna pesa ndio ukalawiti watoto wadogo????? hao ni kukatwa pumbu

  • @brownsimon825
    @brownsimon8252 жыл бұрын

    sema mamaa

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed62632 жыл бұрын

    Ewekwe sheria kali

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 HIHI YALEO HIII

  • @waywepet6871
    @waywepet68712 жыл бұрын

    Ushoga ni kutolewa kafara kiroho na kimwili juu hata wazababishaji ni Matajiri sana.

  • @edlumala9428
    @edlumala94282 жыл бұрын

    Huyu naibu waziri ana akili kweli ! Eti mapenzi yamekuwa kama product nyengine, na wanao baka watoto wakatwe pumbu tu zote!

  • @aewinnghongolo2374
    @aewinnghongolo23742 жыл бұрын

    Nawaunga mkono haswaaaaaa

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah76642 жыл бұрын

    Unafaa kuwa waziri

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed62632 жыл бұрын

    Sasa huyo wakiume mukimtoa nguvu Si atakuwa shoga kmyy anavowanya wtt

  • @jacquelinemabula2519
    @jacquelinemabula25192 жыл бұрын

    Mama yuko better

  • @mwanahamishassan8017

    @mwanahamishassan8017

    2 жыл бұрын

    Wanao baka wanao lawiti waasiwe wataacha

  • @subo2667
    @subo26672 жыл бұрын

    Huyu mama ana akili kubwa sana

Келесі