Jesca Msambatavangu: Mbegu ya Binadamu ipo kwa Mtoto wa Kiume I Mkulima Mzuri Anaitunza Mbegu
Ойын-сауық
Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, alipochangia hotuba ya bajeti ya Wizara wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum iliyowasilishwa mapema ya leo Bungeni amesema wenye Afya nzuri ya akili wanatunza mbegu zao kuliko kitu chochote.
Pia Mbunge wa Iringa Mjini amesema hawezi kuwa mshabiki kwa Mwanaume akifanya kosa ahasiwe kwa sababu kutakosekana kwa mbegu.
Tembelea akaunti yetu ya KZread “Clouds Media” tumekuwekea mzigo wote.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
Пікірлер: 13
asante mamaangu
baraka ziwe juu yako mama! nimekuelewa
Uko sawa mama
Congratulations
Sis ni mbengu
Uko sawa mama waambie wa bunge hawajuwi
Mama akutunze
Upo sahihi mkuu
🤣🤣🤣🤣 izi hoja iz daah
Najuekewaga sana mama ....
Ushuuda wa nisaki
Uko sawa mama
Uko sawa mama