"HUTAKUJA KUSAHAU KWENYE MAISHA YAKO - UMEPATAJE UJASIRI wa KUSEMA AMENIDANGANYA?'' - RC MAKONDA...

"HUTAKUJA KUSAHAU KWENYE MAISHA YAKO - UMEPATAJE UJASIRI wa KUSEMA AMENIDANGANYA?'' - RC MAKONDA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 85

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-it2tr7ny8d

    @user-it2tr7ny8d

    Ай бұрын

    Zawadi gani waungo tu

  • @amsiabbas3809

    @amsiabbas3809

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784Ай бұрын

    Na anaye sema makonda anaonea na Kudhalilisha watumishi na aone kisha aseme. Mungu akulinde na na Muomba Allah s w akuhifadhi na akuongoze fanya kazi mama aliyokupa naamini mama pia anafahamu haya kwani wapo watu wazembe wenye kutetea uzembe unaofanyika kwa watumishi waserikali na kuifanya serikali yetu ionekane imeoza wewe safisha chapa kazi muwakilishe mama vyema na naomba pale watakapo kuita basi wakupiongeze kwa maana wajue kuwa unautofauti na sisi wananchi tupo pamoja nawe

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571Ай бұрын

    Ila kwenye Cross examination Makonda uko vizuri sana. Very smart

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    Ай бұрын

    😂😂😂😂 mwamba

  • @maxmilliannoel2605

    @maxmilliannoel2605

    Ай бұрын

    Very smart

  • @nyembomajid1262

    @nyembomajid1262

    Ай бұрын

    makonda anawabana wale wanao tapa tapa Kwa maswali makonda hapendi uongo kua mkweli sijafika nilifika kabla hayo sijafika yaani hapo ndo makonda anawazidi akili

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408Ай бұрын

    Watu wanene wachunguzwe wanakula rushwa ukila kwa jasho huwez nenepa sana kidogo tu

  • @sophsoph4740

    @sophsoph4740

    Ай бұрын

    😂😂mbona watu wanene😂😂

  • @lovenessvisent9408

    @lovenessvisent9408

    Ай бұрын

    @@sophsoph4740 hahahaha si wanakula chochote kwasababu pesa hawajaitolea jasho

  • @agathasungura5047

    @agathasungura5047

    Ай бұрын

    😅😂😂

  • @user-de3cy1ub8d
    @user-de3cy1ub8dАй бұрын

    Makonda mungu hakupe maisha marefu

  • @leonardobedi4779
    @leonardobedi4779Ай бұрын

    alaf wanatokea watu wanasema makonda usitumie lugha kali… ebu wawe serious ase.. piga kazi makonda

  • @gwakisakaswaga5249

    @gwakisakaswaga5249

    Ай бұрын

    Hao ni walewale wanaonenepesha matumbo yao kama nguruwe bila kujali hali mbaya za wananchi. Uzuri ni kwamba Makonda majungu na figisu zao anazijua na anawaweza pia...PIGA KAZI usikatishwe tamaa na Wapuuzi wachache tulio wengi tunathamini jitihada zako

  • @AdamYusuph-iv7gr
    @AdamYusuph-iv7grАй бұрын

    Fanya kazi broo tunakutegemea kuwa Rai's wetu wa baadaye

  • @chalemofaraji8797
    @chalemofaraji8797Ай бұрын

    Alllah akulinde makonda Kwa KAZI nzuri unaifanya yaan sina hata la kusema nazidi kukuombea dua 🇬🇷🇬🇷🇹🇿

  • @user-fd5bn6bd1o
    @user-fd5bn6bd1oАй бұрын

    Makonda sio wakudanganywa!! Asante Kwa Busara zako Kwa Injinia Mh, Makonda

  • @DaudKoroso
    @DaudKorosoАй бұрын

    Ahsante sana. Makonda hupindishi. Humo humo

  • @user-hx9ej5st1c
    @user-hx9ej5st1cАй бұрын

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa RC.

  • @joycemwango943
    @joycemwango943Ай бұрын

    Ubarikiwe MH, MAKONDA kwa kujali wanaichi.

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenieАй бұрын

    Hawa jamaa zetu sa ingine ni janja sana, unaezakuta jamaa wa watu kachomewa utambi kumbe wanakata bomba makusudi😂😂😂

  • @wamburasungura6812

    @wamburasungura6812

    Ай бұрын

    Hakuna mtu anakata bomba makusudi alafu maji hayatoki mwaka mzima wewe unakuja kutete ujinga hapa

  • @OscarAsukenie

    @OscarAsukenie

    Ай бұрын

    @@wamburasungura6812 nimekaa na wamasai, ninawaelewa sana tabia zao. Kuna mambo inataka muda sana kuwapa elimu. Na hicho nolichoongea ni kwa mujibu wa uzoefu niliokaa nao. Kama huwaelewi njoo huku nilipo ujue vyema ukorofi wao

  • @seurimasaitz4958

    @seurimasaitz4958

    Ай бұрын

    Which kind of education? No sense.

  • @jessybaraka5899
    @jessybaraka589915 күн бұрын

    Haki kakayangu makonda Mungu akufinike na damu ha yesu maana unawatetea wanyonge Sana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179Ай бұрын

    Mungu akulinde Sana Makonda ❤️❤️❤️

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827Ай бұрын

    Ila kwakweli ndungu yangu makonda wewe umechaguliwa na mungu

  • @FloraIloko
    @FloraIlokoАй бұрын

    Tanzania nchi yangu namisi home lakini nafurahi kumbe mungu katuinulia jembe makonda hapi silaa mungu aendelee kuwasimamia

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084Ай бұрын

    Kwisha habari yake😢😢😢😢 unabishana na Mwananchi

  • @alinasor8553
    @alinasor8553Ай бұрын

    Mtihani

  • @mahirmohd1931
    @mahirmohd1931Ай бұрын

    Yaaan 👏👏👏👏👏👏MAKONDA NI KIONGOZI CHUMA YAAN MTU WA MAANA KABSA💪👊 PIGA KAZI NA MUNGU AKULINDE KTK JINA LA YESU🙏

  • @dominaMushi
    @dominaMushiАй бұрын

    Idara ya maji waizi mimi mwezi wa 3 sikutumia maji kabisa ila nimeletewa bili ya unit 9 natangia nifunge maji sikuwahi tumia zaidi ya until 2 ila kwa sasa nashangaa napewa bili hewa

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda2697Ай бұрын

    Asantee asanteh nani kasikia

  • @issaally8817
    @issaally8817Ай бұрын

    mwenyezi Mungu akuongoze vyema

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200Ай бұрын

    Kufukuxa kaxi,hujui mateso ya wananchi.

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenieАй бұрын

    Imagine una mazao halafu wanakuja kulishia, kweli washindwe kuchinja bomba wafate majibure na madumu!!! Wafanye utafiti kujua mabomba yanakatika vp.

  • @MasumbukoKilunga-mf7sg
    @MasumbukoKilunga-mf7sgАй бұрын

    Mkuu wa Mikoa yote tz

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214Ай бұрын

    Sijawahi juta kutumia bandle langu kukusikiliza Mh. Makonda. Kweli uko kazini

  • @joelvideotv1372
    @joelvideotv1372Ай бұрын

    Makonda atakuja kuuwa watu kwapleshaaa maana watu wanakua pesaaa za selikalo

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356Ай бұрын

    Hii nchi ina watumishi mizigo sana!!

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgolekaАй бұрын

    Hawa watendaji malofa kweli hutumia uwongo ili maisha yao yaende mbele na kula mishahara bureeeeee

  • @user-vb9ci1wl5e
    @user-vb9ci1wl5eАй бұрын

    Makonda nimekukubali una technical questions

  • @MagesaChacha-dt7zu
    @MagesaChacha-dt7zuАй бұрын

    Sasa huyu mbona anapumua sanna kwenye maiki hivi sijui uwoga au upigaji umezidi😂

  • @user-nn3py9nj8l
    @user-nn3py9nj8lАй бұрын

    Uyu jamaa engeneer ni mpigaji sana.....nakumbuka aweso alishamtumbuaga.....

  • @saidyusuph7357
    @saidyusuph7357Ай бұрын

    Kweli arusha mbovu. Sasa makonda acha awapige spana😅

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325Ай бұрын

    Walijua magufuli amekufa, kumbefikira zake zinaishi mafisadi wote wapigwe hao mafisadi

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809Ай бұрын

    Hao ndio Manyang'au Wataifa Letu Nawazembe kazi hao Alafu wanakuaga Majeuri hao ukiwakuta Ofisini Wachati alafu wewe unakua unamueleza Shida yako Alafu anakua anagunaguna tu jeuri kweli kweli hao watu

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarackАй бұрын

    Good

  • @amosmahona433

    @amosmahona433

    Ай бұрын

    HIi Nchi inatakiwa kwenda namna hii kibabe kibabe

  • @babuukimario6146
    @babuukimario6146Ай бұрын

    Kuanzia Leo nakuita profesa makonda.

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047Ай бұрын

    Wananch hawana masihara tunatoa kodi kila kona alafu mtu analeta mambo ya ajabu

  • @MDUYARAMAMduyarama
    @MDUYARAMAMduyaramaАй бұрын

    Makonda ataijenga Arusha mama ameleta mtu sahivi ataiweza Arusha

  • @ReganRingo
    @ReganRingoАй бұрын

    Kamataaa

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824Ай бұрын

    Natamani kufanya kazi na makondaa

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombeАй бұрын

    Huyu mzee wa Maji alishatumbuliwaga sehemu flan iv na Mh Aweso.. Achape kaz aache kujieleza kwa uoga bn.

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    Ай бұрын

    Akatulie tu nyumbani hajui lolote

  • @luhindamatati5273
    @luhindamatati5273Ай бұрын

    Refa ana sema Gori linesmen ana sema kona! Hapo sijui itakuaje

  • @edinamwafongo9130
    @edinamwafongo9130Ай бұрын

    Tatizo mh makonda anamaswali magum mno,kujb viongozi wanamuogopa

  • @MichaelMollel-zp3kg
    @MichaelMollel-zp3kgАй бұрын

    Arusha ongereni Sana mmepata mteetesi muombee ni Sana

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga2934Ай бұрын

    nikimuangalia makonda namuona jpm kabisa

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwanaАй бұрын

    Nasikiaraha kumsikiliza makonda

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029Ай бұрын

    Uwe raisi Kwa kweli unatodha mwaka 2030

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862Ай бұрын

    Kuongoza wamasai ni kazi ngumu

  • @alinasor8553
    @alinasor8553Ай бұрын

    Au wanaekana hawa tuu maka zini

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887Ай бұрын

    Baadhi ya viongozi kuweni na huruma na familia za wenzenu nyie mmkaa kungalia yenu tu so powa

  • @Shebyboy-vw9rh
    @Shebyboy-vw9rhАй бұрын

    Nyoka nao hao

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7noАй бұрын

    Daah wafanya kazi kama hawa wanatakiwa kwanza kuwekwa ndani hata kwa miezi miwili kwanza afu kazi anapewa mwengine ndo watapata funzo

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5Ай бұрын

    Bwanyenye kapatikana kwa mwamba Makonda

  • @user-ql3yr6fi7o
    @user-ql3yr6fi7oАй бұрын

    hee mimi mwanzoni walivyokua wanamtania kuwa hajasoma nikajua kwel kumbe hapana .mwamba shule imo sio kubwa ila anaitumia vizur

  • @daudimwaipaja1734

    @daudimwaipaja1734

    Ай бұрын

    Naomba nitajie hata watatu tu waliosoma wanaoitumia elimu Yao vzr mnaowaita wasomi ndio vilaza wa nchi hii na ndio waliotuhalibia nchi tetu

  • @user-cm8ki3ls8n
    @user-cm8ki3ls8nАй бұрын

    Magufuli ametuachia jembe jembe kweli

  • @eliangikundimlay3084
    @eliangikundimlay3084Ай бұрын

    Hyo mita inaxoma maji hayajafk

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    MAKONDA UKIWA RAIS WAFANYAKAZI WATAOGOPA KUIBA KULA RUSWA ATA SENTI AMSINI APO NDIO RAZIMA UCHUMI NA MANDELEO YA TANZANIA YATAKUA SUPER MUNGU AKUBALIKI UWE RAIS WA TANZANIA MAKUFULI JUNIOR CHAPA KAZI

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gzАй бұрын

    Bado nasema mnazaririshwa na matatizo ya watu kama yote

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    Ай бұрын

    Hapo sasa

  • @peterhelpeterluena9191

    @peterhelpeterluena9191

    Ай бұрын

    Wewe Huna matatizo?

  • @kasongoIDDi-mx7gz

    @kasongoIDDi-mx7gz

    Ай бұрын

    @@peterhelpeterluena9191 watoto wamajipu

  • @carolinerubeya7817
    @carolinerubeya7817Ай бұрын

    Aisee unauliza maswali kwa ukatili sana aisee

  • @aminasittusaid3830

    @aminasittusaid3830

    Ай бұрын

    @carolinerubeya7817 Hivi upi ni ukatili sana kati ya Ulizwaji maswali na umbambikiziwaji bili ya maji zaidi ya milioni 1+ ??

  • @e.mbalazichannel4135

    @e.mbalazichannel4135

    Ай бұрын

    We ni mwizi

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Uwaziri Mkuu ndiyo unamfaa

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo4356Ай бұрын

    Mmungu wa mbinguni

  • @starjay3052
    @starjay3052Ай бұрын

    uyu jamaa uraisi apewe tu

Келесі