"WABUNGE TUPEWE LAKI NA NUSU, TUKAISHI MBAGALA MWEZI 1 TUONE" - KISHIMBA ATOA NONDO BUNGENI
"WABUNGE TUPEWE LAKI NA NUSU, TUKAISHI MBAGALA MWEZI 1 TUONE" - KISHIMBA ATOA NONDO BUNGENI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 200
Huyu mbunge waliomchaguwa mungu awe nanyi anajuwa sana kutowa hoja za msingi waliobakia kazi kupiga Makofi tu
@aminimushi6945
2 жыл бұрын
Wabunge wetu wanashangaza,zuri wanapiga makofi,bovu wanapiga makofi,hawaeleweki,sijui tunakwenda wapi.
Miongoni mwa wabunge genius ninaowakubali sanaaaa ni Prof: kishimba
@manwoka4078
2 жыл бұрын
Kwa nini hawampi uwaziri huyu mzee
Mh Kishimba ungetakiwa uzaliwe ulaya hapa hawakuelewi. Nafuatilia ujengaji hoja Wako unatakiwa watu wenye upeo na mwenye uchungu na wananchi.
@mwalumogomsigwa856
2 жыл бұрын
Akilindogo hutawala akili kubwa
@ibrahimchediel4867
Жыл бұрын
hawamuelewi kishimba kwa nn ? tatizo hatufanyi utafiti???
@ibrahimchediel4867
Жыл бұрын
hatutaki mawazo mapya kwsbsb mishahara mikubwa ipo tu palepale hatuoni matabaka
Huyu jamaa kila akisimama lazima kuna nondo!!!
Huyu mzee ndio namuelewaga sanaa kuliko mtumishi yoyote...
Mbunge Kishimba ni wachache sana wanaokuelewa. Huyo anayesema kutumia makaa ya mawe kwa kupikia tayari duniani wameishaanza mkakati wa kuzuia matumizi hayo kwa kile kigezo cha kwamba kuongezeka kwa hatari ya magonjwa sugu ya kupumua, saratani ya mapafu n.k Kwa hiyo hajakupa jibu sahihi
Kwa jinsi viongozi walivyo wabinafsi kwenye point ya kupewa 150000 hawagongi meza.... Hakuna wazakendo hapo
Huyu jama ni zaidi ya mbunge alafu akianza kuongeya bunge nzima linatabasamu Kisha kukaa kimya na kugonga meza kwasana Kishimba uishi sana
@mbakijonas6792
2 жыл бұрын
Sawa ila kwa wazo la kuni mzee hajawaza vema Tanzania ukiruhusu kuni moja kwa moja hiyo misitu unayoiona haiwez maliza ata miakama 5. Baada ya hapo jangwa linaanza sasa, ona kenya maeneo ya trukana mifugo yao ambavyo inakufa na wao wanavyopata njaa. Hivi wewe unamsifia profesa ujinga tuu, fikira Tz inamadini aina ngapi????? Mito maziwa mpk bahari vyooote hivyo vimeshindwa kumsaidia mtanzania afu MKAA ndo utaweza??????????????? Huoni apo ni swala tu lauongozi na akili zisizo na ufisadi ndo msaada?????? Unachoma leo mkaa wewe na mimi mwanao au mjukuu wako miti ikiisha atakuja kuchoma nini😁😁😁😁😁😁
@iliasdelightfultours4859
2 жыл бұрын
Mbunge smart halafu darasa la 7. Wasomi wetu wana mengi ya kujifunza kwa mzee huyu
@emanuelleopod3949
2 жыл бұрын
Leo hawajagonga pale aliposema wapewe laki na nusu na watoto wanne halaf wakakae mbagala mwezi mmoja waone life lilivyo gumu
Napenda sana ,hoja zake huyu mbunge,,,mungu akubariki kwa kweli
Mheshimiwa kishimba kasema mambo yaliyo na uhalisia kwa maisha ya sisi watanzania wakawaida. Sio hao wanajiita wasomi Wakati hawatatui Kero za watu wenye vipato vidogo, Mungu akupe maisha marefu Mzee kishimba uweendelee kuwaelimisha Hawa wabunge wetu.
@bonifacekalima5273
2 жыл бұрын
Ameongea ukweli kabisa pamoja na mcangia hoja wa mwisho
Ivi serikali mbunge kama huyu mnashindwa kumpa nishani ya uprofesa
Kiukweli huyu Mbunge amesema ukweli alafu wabunge wengine wanatakiwa kuiga mfano wake Mungu akulinde na kukutunza baba wananchi waliokuchagua hawajakosea
Jumanne wewe ndio mbunge wangu Wallah...
Uko vizuri ndg.Kishimba
Tutakumc Sana mzee facty kabisa Mimi ni mpinzani tosha Ila bila kigugumiz nakupa Kura yangu nikushukr kwa kusema Yale yaliyokweli
wanao kamata wauza mkaa hawawezi kununua mkaa hata siku moja,na sijui kama hayo maoni mnayotoa wabunge kama uwa yanafanyiwa kazi kweli
Huyo mzee namkubali sana ushangiaji wake ni mzuri sana na umeenda shule
umeongea vzr sana ndugu yetu kishimba mungu akubaliki sana
Waliomchagua huyu mbunge PEPONI MOJA KWA MOJA
Walete Sheria tuu Mzee wangu ,tukikata mti mmoja tupande Miti Kumi ili kuendeleza misitu yetu na Sisi tunufaike na rasilimali zetu
@iamnormal8648
Жыл бұрын
Hilo eneo la kuongeza miti yako unalitoa wapi bila ukomo? Na miti inachukua miaka mingapi kukomaa kwa ajili ya mkaa? Je huo muda wa kusubiri miti ikomae na mahitaji ya mkaa ya kila siku vinaendana?
Thank you Prof. Kishimba!
@lugoratv1995
2 жыл бұрын
Unahakili mbunge wewe
So bright ur Highness
Huyu jamaa agombanie uraisi tu maana anatufaa
Wew noma waambie japokuwa kama unachekesha ira ndio ujumbe umefika hongera mzeee wangu
Mh Mbunge Profesa Kishimbi ni hivi -; Wasomi wetu Wengi wao ni Watu wa Kukariri Material ya Wengine hivyo ni vigumu kuelewa Maana hawakuzoea kufanya tafiti zao na kuziamini
Wewe utaitwa mbarikiwa ungekuwa raise Tanzania ingekuwa dubay
Ukweli ni kwamba mkaa hauepukiki. Tuna miti inayokua kwa haraka Sana hasa maeneo ya pwani. Hii ni fursa kubwa kwa watu wa pwani . TFS iwe na watu wanaofikiri zaidi. Aliyekuwa mkurugenzi wa shirika la Elimu Kibaha ambaye ni kutoka Sweden alishangaa kwamba project ya kupanda miti ya mkaa kibiashara miaka ya sitini imeachwa na badala yake tunawakamata wauza mkaa. Miarobaini mijohoro na mingine inafaa Sana.
safi sana mzee wangu napenda sana kukufatilia hoja zote zipo sahihi kuni na mkaa ndo tunapikia kijijini hela ya kununulia ges tunatoa wapi kila mwezi?
Hatupo serious, maneno tu kila mmoja anaangalia maslahi yake tu! nchi hii ni tajiri tumekosa viongozi
@allyrashid3732
2 жыл бұрын
Sahihi
If only huku Wetu Pwani tungekuwa na wabunge kama huyu...
Mbunge kishimba anaongea common sense. Safi kabisa.
Kishimba kishimba big up 😂😂😂😂
@mbakijonas6792
2 жыл бұрын
Ujinga tu, mkaa toka lini ukasaidia nchi???? Tuna madini maliasili kibao ufisadi na ujinga ndo vinatutesa mpk tunaona kuni ndio akili
MJOMBA KISHIMBA MIMI NAOMBA UCHUKUWE FOMU YA URAIS 2025 ATATUFAA SANA KWA MAISHA YA TZ
@mbakijonas6792
2 жыл бұрын
Mawwzo mgando ya profesa na achukue form ya uraisi???? Ooooh unamanisha uraisi wa ukoo labda. Yaani mtu anawaza maendeleo kwa kuchoma mkaa unatagemea aje aisaidie nchi yenye madini aina zote, mafuta makaa oil??
Huyu Mzee akili nyingi sana
@mbakijonas6792
2 жыл бұрын
Kuwaza kuchoma mkaa we apo umeona akili nyingi eheeeeeeeeh😁😁😁😁😁😁 ujinga wa watanzania na uongozi wake ndo unafanya iwe vigumu kutumia madini na rasilimali zingine kufanyia maendelea badala yake kuwaza mkaa.
Mheshimiwa kishimba leo umeongea bonge la point ila hao wenzako bahna hawako na wewe kabisa bila Shaka tumewachagua watuwakilishe sisi wanajuwakilisha wenyewe mtaani hakukaliki njaa kali chini ya doller 1 watu tunaishi kwa neema tu ya Mungu hongera sana mheshimiwa kishimba
Huyu ameishi maisha ya kawaida ya kjijin anajuwa shida za watu vijijin ndo maana anaongelea uhalisia wa maisha haya mengine yanapiga makofi hayajui shida za watu
Wasomi huwa wanatuangusha sana mkuu nadhani umeshaona.
Waafrica wapumbavu marekani mpaka leo umeme wa maji bado unatumika na sehemu nyingi unamilikiwa na serikali za Jimbo au county husika, lakini tunaambiwa bwawa la mwalim Nyerere litaaribu mazingira. Mbunge ameuliza kwanini mbao ziruhusiwe mkaa ukatanzwe? Waziri anatoa taarifa ambayo mbao hajaitaja. Alafu anaitwa dk kilusa 😳
@alexmatt9504
Жыл бұрын
Dr.wa kukariri
Kuna mawili, 1) mkaa na mbao vyote vinapunguza miti, 2) mbao haichomwi, mkaa unachomwa na kutengeneza gesi kadhaa, hapo ndipo penye uhitaji wa fikra kuona kama je zile gesi zina madhara kwa maisha ya mwanadamu na afya ya anga.
@kipungaswitzer3294
Жыл бұрын
Hoja ni kwamba na hiyo mbao na gogo vinageuzwa kuni ambazo zinazalisha hiyo gesi unaisema
Huyu ni mbunge mwenye akili Sana kuliko kawaida. Anafuatiwa na Askofu Gwajima
God's engineering.
Huyu kiruswa ni fala tu kama mafala wengine,umeme mmepandisha bei,mafuta ya taa mmepandisha juu,gas mmepandisha juu,serikali ina miundo mbinu ya kutosha kuotesha miti ya mkaa na nchi ikawa na vyanzo vya kupata mkaa,tfs acheni upumbavu wa kukaa ofisini
Kishimba upo juuu unaongea Uhalisia wa maisha......
Ulipo taja laki na nusu wabunge wote wamenyamaza maana wapo tu kwa ajili ya matumbo yao iyone vle
Mama speaker shikilia kwenye madhaifu.wawakilishi wawaze shule na waruhusu kujua kwa ufahamu.niaibu du Heri ya msu kijana mjanja ata mwi.hapana.when we are entitled a chance of of representing mass we have to have strong pase of self setup my regard
Mzee mkishimba nimekukubali ulivo waambia ukweli, kwani wao wametoka kaya ambazo zilikuwa zinatumia gess mungu akupe hewa Bora baba
Ayo makaa ya mawe izo sufulia utatupa wewe...mbwaaa uyu
Kishimba apewe heshima
@mbakijonas6792
2 жыл бұрын
Nchi yenye kila kitu bado mtu anawaza mkaaa ndo uanaweza lete maendeleo na unaona apewe heshima????.. basi mpe iyo heshima
Uyu mzee namfataga sana hoja zake uwa zinakuwa rafiki tena zamsingi sana kabisa
Dollar 1 sio elfu 1 ni error za kimatamshi but always mh Kishimba unaongea points sana
Duuuh anawashida hata wasomi kwa uwezo wake wa kifikiri well done hon. Mp.
naturally intelligent
Mzeeeeeee akiliiii nyingiiii sanaaaa uyuuuu
Makaa ya mawe watanunua kijijini? Ruhusu mkaa utumike ndani ya nchi tuu, ili bei ishuke kwa wanachi wa hali ya chini.
Hapa ndo ujue Kuna watu Wana Akili sawa na wengine Hata mbwa Ana Akili.
ET wanafikiri hatuna uweza wa kufikiri
Mzee unaupiga mwingi sana.
Huyu mze kwake hatumi mii huo mkaa wapunguze bei ya gesi
Hongera Sana kishimba
Pole kwa kupotezea wanafunzi 2.
Asante mbunge
Kiukweli dalasa lasaba nibola bingeni kuliko wasomi
HOJA NZURI SANA,INAANGALIA WALIO.CHIN KIUCHUM KUSAIDIA VIPATO VYA FAMILIA ASANTE KWA HOJA NZUR
Uko vizur sana kaka
2:42 Sasa unadhani hilo jangwa lilikujaje?
Mkaa lazima uwe na maandalizi yake,kukata mbao na kukata miti ya mkaa Ni vitu viwili tofauti hata uwekezaji na miti yenyewe uwezi kufanya pine Iwe mkaaa
Kwe ushuru kwa mkaa ni juu sana na wanapewa list feki
Kwel mkal wang huwa nakuelewaga sana👏👏👏
Sikiliza prof 8li uwe bod of dieector kwenye organization lazima uwe umewekeza peaa sasa mwenye degreee yeye anakuja ganyaje hapo kama hajatoa kitu
Nakukubali sana mbuge kahama mjn
❤️❤️
Kishimba bebe ngosha getegete. I salute u. 💥.
@lukamwalongo9609
2 жыл бұрын
Kishimba ubarikiwe sanaa, huyo anaetoa taarifa hana familia na hajapitia maisha magumu
@edwinekaboyoka2917
Жыл бұрын
Ifike kipindi elimu usiwe kigezo Cha uwakilishi kwa ck za uxon apa tunashuhudia wawakilishi ambao shule hawaijui na wanafanya uwakilishi positive ,Kila binadam abazaliwa na akiri ufaham ni tunu,tuna specialize ila huko wengu wetu tunaambulia kushiriki,Bora tuamini uwezo wa kuzaliwa nai( in born ability) kuliko kufanya tayayaya.. huku na darasan tumetenbelea.nooooh! Shameless.
Master kishimba
Ona poiti hiyo jamani darasa rasaba viongzi wapo mbunge akiwa rais simagu jamani ametwachia jembe jaman yan kwanza anahuruma nawatanzania kishimba mtetezi wawa nyonge seema baba
Mnamsifia Kishimba lakini hoja yake ikikubaliwa itakuwa ni hoja ya kipumbavu sana. Nimekaa sana Shinyanga na kanda ya ziwa kwa ujumla ikiwemo hiyo Kahama anayowakilisha. Ukulima na ukataji mji unaibadili kanda ya ziwa kuwa jangwa. Tusipodhibiti shughuli za kibinadam,u ikiwemo ukataji miti kwa namna yeyote, maeneo yetu ya asili vitageuka kuwa majangwa. Hata hivyo serikali haijakataza kukata kuni na kuchoma mkaa ila imeruhusu kwa vibali maalum. Nakataa ukataji miti holela. Period
Hivi mnaelewa hapo ndani sijaona mbunge mwenye akili km kishimba yaani huyu Mzee Kila akiongea bungeni nampenda kumsikilinza Hadi m b zangu zinaisha
Mm huwa napenda sana mchango wake, ila kinacho nishangaza kwa hawa jamaa wote wanaongea kwa nguvu sana, mwisho naunga hoja. Hapa inanipa taabu sana
Asante
🤝
👍
Kishimba yupo sahihi lakini kila mtu anampinga ndiyo ulimwengu
Kwel mungu hupo
Kishimba ni mbunge makini sana ana uwezo mkubwa wakufikiri kuliko wasomi wengi wanakariri tuu
💯❤
Uko sawa mzee
Kishimba wanyonge tunanyonywa haijalishi tuko chama gani. maloli ya mkaa tani10 yanaruhusiwa kusafilisha mkaa lakini mkaa wakubebwa na baiskeli gunia moja unakamatwa kuwa unasababisha jangwa.
hata oman mkaa upo twachomea mshikaki na kubanyika kuku mkaa ndo wetu
Mh eti makaa ya Mawr hiki ni Leo kweli!? Kishimba waambie ukweli
Jamaa ana akili sana
Ao wenzako awawezi kukuelewi wameshima awajui tunaishije mtaani
Kila jambo linafanywa na serikar,wabunge 😎😎😎😎😎 jibu
Kishimba yuko kwenye future
Nilikuwa na ombi kwa wakilishi wetu bungeni swala la nida inaonekana kuna urasimu mkubwa kana kwamba mtanzania wa kawaida mpaka Sasa hajapata nida ila mgeni ambaye astahili anacho sasa hili sielewi imekaaje residential permit id very important lkn wananchi wanasusa ufuatiliaji wake umekuwa mgumu na maisha magumu south mwananchi anaandikisha details zake wizarani pamoja na address ya anapokaa analetewa nyumbani naona ndio tunatengeneza post code au ulaya mtoto mzawa akizaliwa anatengenezewa
Makaaa ya wazungu gesi pia tumeuza niutumbo tuu
Kishimba upo vizurii
Uko sahii kabisa
🤝🤝🤝
@issakawaya8315
2 жыл бұрын
Nakukubali hekima yako tutamuenzi
Kwenye laki na nusu wadau wamekaa kimya hoja haiungwi mkono
Kama kila hoja inayotolewa na serikali wabunge wote mnaunga mkono sibunge lifutwe serikali inajitosheleza kwanini wabunge mnatumia pesa zetu kwenda kuunga mkono kila hoja sibola bunge lisiwepo ifanye kazi serikali pekeyake nawabunge warudi kuwa wananchi wakawaida tushilikiane kujenga uchumi wa nchi yetu kuliko kwenda kusipendi Dodoma.
Mh kishimba nimekuelewa