"WABUNGE TUPEWE LAKI NA NUSU, TUKAISHI MBAGALA MWEZI 1 TUONE" - KISHIMBA ATOA NONDO BUNGENI

"WABUNGE TUPEWE LAKI NA NUSU, TUKAISHI MBAGALA MWEZI 1 TUONE" - KISHIMBA ATOA NONDO BUNGENI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 200

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi24542 жыл бұрын

    Huyu mbunge waliomchaguwa mungu awe nanyi anajuwa sana kutowa hoja za msingi waliobakia kazi kupiga Makofi tu

  • @aminimushi6945

    @aminimushi6945

    2 жыл бұрын

    Wabunge wetu wanashangaza,zuri wanapiga makofi,bovu wanapiga makofi,hawaeleweki,sijui tunakwenda wapi.

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant51702 жыл бұрын

    Miongoni mwa wabunge genius ninaowakubali sanaaaa ni Prof: kishimba

  • @manwoka4078

    @manwoka4078

    2 жыл бұрын

    Kwa nini hawampi uwaziri huyu mzee

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho59472 жыл бұрын

    Mh Kishimba ungetakiwa uzaliwe ulaya hapa hawakuelewi. Nafuatilia ujengaji hoja Wako unatakiwa watu wenye upeo na mwenye uchungu na wananchi.

  • @mwalumogomsigwa856

    @mwalumogomsigwa856

    2 жыл бұрын

    Akilindogo hutawala akili kubwa

  • @ibrahimchediel4867

    @ibrahimchediel4867

    Жыл бұрын

    hawamuelewi kishimba kwa nn ? tatizo hatufanyi utafiti???

  • @ibrahimchediel4867

    @ibrahimchediel4867

    Жыл бұрын

    hatutaki mawazo mapya kwsbsb mishahara mikubwa ipo tu palepale hatuoni matabaka

  • @michaeldjunior1023
    @michaeldjunior10232 жыл бұрын

    Huyu jamaa kila akisimama lazima kuna nondo!!!

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje90722 жыл бұрын

    Huyu mzee ndio namuelewaga sanaa kuliko mtumishi yoyote...

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Жыл бұрын

    Mbunge Kishimba ni wachache sana wanaokuelewa. Huyo anayesema kutumia makaa ya mawe kwa kupikia tayari duniani wameishaanza mkakati wa kuzuia matumizi hayo kwa kile kigezo cha kwamba kuongezeka kwa hatari ya magonjwa sugu ya kupumua, saratani ya mapafu n.k Kwa hiyo hajakupa jibu sahihi

  • @floraladislaus6650
    @floraladislaus66502 жыл бұрын

    Kwa jinsi viongozi walivyo wabinafsi kwenye point ya kupewa 150000 hawagongi meza.... Hakuna wazakendo hapo

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking33262 жыл бұрын

    Huyu jama ni zaidi ya mbunge alafu akianza kuongeya bunge nzima linatabasamu Kisha kukaa kimya na kugonga meza kwasana Kishimba uishi sana

  • @mbakijonas6792

    @mbakijonas6792

    2 жыл бұрын

    Sawa ila kwa wazo la kuni mzee hajawaza vema Tanzania ukiruhusu kuni moja kwa moja hiyo misitu unayoiona haiwez maliza ata miakama 5. Baada ya hapo jangwa linaanza sasa, ona kenya maeneo ya trukana mifugo yao ambavyo inakufa na wao wanavyopata njaa. Hivi wewe unamsifia profesa ujinga tuu, fikira Tz inamadini aina ngapi????? Mito maziwa mpk bahari vyooote hivyo vimeshindwa kumsaidia mtanzania afu MKAA ndo utaweza??????????????? Huoni apo ni swala tu lauongozi na akili zisizo na ufisadi ndo msaada?????? Unachoma leo mkaa wewe na mimi mwanao au mjukuu wako miti ikiisha atakuja kuchoma nini😁😁😁😁😁😁

  • @iliasdelightfultours4859

    @iliasdelightfultours4859

    2 жыл бұрын

    Mbunge smart halafu darasa la 7. Wasomi wetu wana mengi ya kujifunza kwa mzee huyu

  • @emanuelleopod3949

    @emanuelleopod3949

    2 жыл бұрын

    Leo hawajagonga pale aliposema wapewe laki na nusu na watoto wanne halaf wakakae mbagala mwezi mmoja waone life lilivyo gumu

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi10472 жыл бұрын

    Napenda sana ,hoja zake huyu mbunge,,,mungu akubariki kwa kweli

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael40312 жыл бұрын

    Mheshimiwa kishimba kasema mambo yaliyo na uhalisia kwa maisha ya sisi watanzania wakawaida. Sio hao wanajiita wasomi Wakati hawatatui Kero za watu wenye vipato vidogo, Mungu akupe maisha marefu Mzee kishimba uweendelee kuwaelimisha Hawa wabunge wetu.

  • @bonifacekalima5273

    @bonifacekalima5273

    2 жыл бұрын

    Ameongea ukweli kabisa pamoja na mcangia hoja wa mwisho

  • @daudabdallah7843
    @daudabdallah78432 жыл бұрын

    Ivi serikali mbunge kama huyu mnashindwa kumpa nishani ya uprofesa

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j2 жыл бұрын

    Kiukweli huyu Mbunge amesema ukweli alafu wabunge wengine wanatakiwa kuiga mfano wake Mungu akulinde na kukutunza baba wananchi waliokuchagua hawajakosea

  • @RioIpo
    @RioIpo2 жыл бұрын

    Jumanne wewe ndio mbunge wangu Wallah...

  • @Worldunite
    @Worldunite2 жыл бұрын

    Uko vizuri ndg.Kishimba

  • @elishuaisaya4176
    @elishuaisaya4176 Жыл бұрын

    Tutakumc Sana mzee facty kabisa Mimi ni mpinzani tosha Ila bila kigugumiz nakupa Kura yangu nikushukr kwa kusema Yale yaliyokweli

  • @zakhiabalawazi1379
    @zakhiabalawazi13792 жыл бұрын

    wanao kamata wauza mkaa hawawezi kununua mkaa hata siku moja,na sijui kama hayo maoni mnayotoa wabunge kama uwa yanafanyiwa kazi kweli

  • @iddihamdani9408
    @iddihamdani9408 Жыл бұрын

    Huyo mzee namkubali sana ushangiaji wake ni mzuri sana na umeenda shule

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn63342 жыл бұрын

    umeongea vzr sana ndugu yetu kishimba mungu akubaliki sana

  • @jamessimba749
    @jamessimba7492 жыл бұрын

    Waliomchagua huyu mbunge PEPONI MOJA KWA MOJA

  • @judithrobert9817
    @judithrobert98172 жыл бұрын

    Walete Sheria tuu Mzee wangu ,tukikata mti mmoja tupande Miti Kumi ili kuendeleza misitu yetu na Sisi tunufaike na rasilimali zetu

  • @iamnormal8648

    @iamnormal8648

    Жыл бұрын

    Hilo eneo la kuongeza miti yako unalitoa wapi bila ukomo? Na miti inachukua miaka mingapi kukomaa kwa ajili ya mkaa? Je huo muda wa kusubiri miti ikomae na mahitaji ya mkaa ya kila siku vinaendana?

  • @ROBERT75376
    @ROBERT753762 жыл бұрын

    Thank you Prof. Kishimba!

  • @lugoratv1995

    @lugoratv1995

    2 жыл бұрын

    Unahakili mbunge wewe

  • @ndeluledavidi7072
    @ndeluledavidi7072 Жыл бұрын

    So bright ur Highness

  • @muukwacha6018
    @muukwacha60182 жыл бұрын

    Huyu jamaa agombanie uraisi tu maana anatufaa

  • @rajabuadam2558
    @rajabuadam2558 Жыл бұрын

    Wew noma waambie japokuwa kama unachekesha ira ndio ujumbe umefika hongera mzeee wangu

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Жыл бұрын

    Mh Mbunge Profesa Kishimbi ni hivi -; Wasomi wetu Wengi wao ni Watu wa Kukariri Material ya Wengine hivyo ni vigumu kuelewa Maana hawakuzoea kufanya tafiti zao na kuziamini

  • @fredilomayani3059
    @fredilomayani3059 Жыл бұрын

    Wewe utaitwa mbarikiwa ungekuwa raise Tanzania ingekuwa dubay

  • @petersilas4234
    @petersilas42342 жыл бұрын

    Ukweli ni kwamba mkaa hauepukiki. Tuna miti inayokua kwa haraka Sana hasa maeneo ya pwani. Hii ni fursa kubwa kwa watu wa pwani . TFS iwe na watu wanaofikiri zaidi. Aliyekuwa mkurugenzi wa shirika la Elimu Kibaha ambaye ni kutoka Sweden alishangaa kwamba project ya kupanda miti ya mkaa kibiashara miaka ya sitini imeachwa na badala yake tunawakamata wauza mkaa. Miarobaini mijohoro na mingine inafaa Sana.

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Жыл бұрын

    safi sana mzee wangu napenda sana kukufatilia hoja zote zipo sahihi kuni na mkaa ndo tunapikia kijijini hela ya kununulia ges tunatoa wapi kila mwezi?

  • @erickzephania1030
    @erickzephania10302 жыл бұрын

    Hatupo serious, maneno tu kila mmoja anaangalia maslahi yake tu! nchi hii ni tajiri tumekosa viongozi

  • @allyrashid3732

    @allyrashid3732

    2 жыл бұрын

    Sahihi

  • @jazzmancoltrane
    @jazzmancoltrane2 жыл бұрын

    If only huku Wetu Pwani tungekuwa na wabunge kama huyu...

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo19772 жыл бұрын

    Mbunge kishimba anaongea common sense. Safi kabisa.

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob98972 жыл бұрын

    Kishimba kishimba big up 😂😂😂😂

  • @mbakijonas6792

    @mbakijonas6792

    2 жыл бұрын

    Ujinga tu, mkaa toka lini ukasaidia nchi???? Tuna madini maliasili kibao ufisadi na ujinga ndo vinatutesa mpk tunaona kuni ndio akili

  • @batulimwasisime9160
    @batulimwasisime91602 жыл бұрын

    MJOMBA KISHIMBA MIMI NAOMBA UCHUKUWE FOMU YA URAIS 2025 ATATUFAA SANA KWA MAISHA YA TZ

  • @mbakijonas6792

    @mbakijonas6792

    2 жыл бұрын

    Mawwzo mgando ya profesa na achukue form ya uraisi???? Ooooh unamanisha uraisi wa ukoo labda. Yaani mtu anawaza maendeleo kwa kuchoma mkaa unatagemea aje aisaidie nchi yenye madini aina zote, mafuta makaa oil??

  • @mosesmkoma6882
    @mosesmkoma68822 жыл бұрын

    Huyu Mzee akili nyingi sana

  • @mbakijonas6792

    @mbakijonas6792

    2 жыл бұрын

    Kuwaza kuchoma mkaa we apo umeona akili nyingi eheeeeeeeeh😁😁😁😁😁😁 ujinga wa watanzania na uongozi wake ndo unafanya iwe vigumu kutumia madini na rasilimali zingine kufanyia maendelea badala yake kuwaza mkaa.

  • @rogersmaokola3147
    @rogersmaokola3147 Жыл бұрын

    Mheshimiwa kishimba leo umeongea bonge la point ila hao wenzako bahna hawako na wewe kabisa bila Shaka tumewachagua watuwakilishe sisi wanajuwakilisha wenyewe mtaani hakukaliki njaa kali chini ya doller 1 watu tunaishi kwa neema tu ya Mungu hongera sana mheshimiwa kishimba

  • @musasabuu2808
    @musasabuu28082 жыл бұрын

    Huyu ameishi maisha ya kawaida ya kjijin anajuwa shida za watu vijijin ndo maana anaongelea uhalisia wa maisha haya mengine yanapiga makofi hayajui shida za watu

  • @abdonsamson8182
    @abdonsamson8182 Жыл бұрын

    Wasomi huwa wanatuangusha sana mkuu nadhani umeshaona.

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga77942 жыл бұрын

    Waafrica wapumbavu marekani mpaka leo umeme wa maji bado unatumika na sehemu nyingi unamilikiwa na serikali za Jimbo au county husika, lakini tunaambiwa bwawa la mwalim Nyerere litaaribu mazingira. Mbunge ameuliza kwanini mbao ziruhusiwe mkaa ukatanzwe? Waziri anatoa taarifa ambayo mbao hajaitaja. Alafu anaitwa dk kilusa 😳

  • @alexmatt9504

    @alexmatt9504

    Жыл бұрын

    Dr.wa kukariri

  • @deepconcept2020
    @deepconcept20202 жыл бұрын

    Kuna mawili, 1) mkaa na mbao vyote vinapunguza miti, 2) mbao haichomwi, mkaa unachomwa na kutengeneza gesi kadhaa, hapo ndipo penye uhitaji wa fikra kuona kama je zile gesi zina madhara kwa maisha ya mwanadamu na afya ya anga.

  • @kipungaswitzer3294

    @kipungaswitzer3294

    Жыл бұрын

    Hoja ni kwamba na hiyo mbao na gogo vinageuzwa kuni ambazo zinazalisha hiyo gesi unaisema

  • @evaristbamfu7149
    @evaristbamfu71492 жыл бұрын

    Huyu ni mbunge mwenye akili Sana kuliko kawaida. Anafuatiwa na Askofu Gwajima

  • @msouthqualitymabati4657
    @msouthqualitymabati46572 жыл бұрын

    God's engineering.

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 Жыл бұрын

    Huyu kiruswa ni fala tu kama mafala wengine,umeme mmepandisha bei,mafuta ya taa mmepandisha juu,gas mmepandisha juu,serikali ina miundo mbinu ya kutosha kuotesha miti ya mkaa na nchi ikawa na vyanzo vya kupata mkaa,tfs acheni upumbavu wa kukaa ofisini

  • @john11278
    @john112782 жыл бұрын

    Kishimba upo juuu unaongea Uhalisia wa maisha......

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Жыл бұрын

    Ulipo taja laki na nusu wabunge wote wamenyamaza maana wapo tu kwa ajili ya matumbo yao iyone vle

  • @edwinekaboyoka2917
    @edwinekaboyoka2917 Жыл бұрын

    Mama speaker shikilia kwenye madhaifu.wawakilishi wawaze shule na waruhusu kujua kwa ufahamu.niaibu du Heri ya msu kijana mjanja ata mwi.hapana.when we are entitled a chance of of representing mass we have to have strong pase of self setup my regard

  • @hemedmalamsha8829
    @hemedmalamsha8829 Жыл бұрын

    Mzee mkishimba nimekukubali ulivo waambia ukweli, kwani wao wametoka kaya ambazo zilikuwa zinatumia gess mungu akupe hewa Bora baba

  • @mussamussa8181
    @mussamussa81812 жыл бұрын

    Ayo makaa ya mawe izo sufulia utatupa wewe...mbwaaa uyu

  • @daudabdallah7843
    @daudabdallah78432 жыл бұрын

    Kishimba apewe heshima

  • @mbakijonas6792

    @mbakijonas6792

    2 жыл бұрын

    Nchi yenye kila kitu bado mtu anawaza mkaaa ndo uanaweza lete maendeleo na unaona apewe heshima????.. basi mpe iyo heshima

  • @muhungamasengo9691
    @muhungamasengo96912 жыл бұрын

    Uyu mzee namfataga sana hoja zake uwa zinakuwa rafiki tena zamsingi sana kabisa

  • @emmanuelkusare5653
    @emmanuelkusare56532 жыл бұрын

    Dollar 1 sio elfu 1 ni error za kimatamshi but always mh Kishimba unaongea points sana

  • @danielmollel8225
    @danielmollel8225 Жыл бұрын

    Duuuh anawashida hata wasomi kwa uwezo wake wa kifikiri well done hon. Mp.

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo4072 жыл бұрын

    naturally intelligent

  • @joshuaisack7269
    @joshuaisack72692 жыл бұрын

    Mzeeeeeee akiliiii nyingiiii sanaaaa uyuuuu

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni57162 жыл бұрын

    Makaa ya mawe watanunua kijijini? Ruhusu mkaa utumike ndani ya nchi tuu, ili bei ishuke kwa wanachi wa hali ya chini.

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын

    Hapa ndo ujue Kuna watu Wana Akili sawa na wengine Hata mbwa Ana Akili.

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 Жыл бұрын

    ET wanafikiri hatuna uweza wa kufikiri

  • @ndegeigone6531
    @ndegeigone65312 жыл бұрын

    Mzee unaupiga mwingi sana.

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja32882 жыл бұрын

    Huyu mze kwake hatumi mii huo mkaa wapunguze bei ya gesi

  • @ezekiakameta5818
    @ezekiakameta581810 ай бұрын

    Hongera Sana kishimba

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho59472 жыл бұрын

    Pole kwa kupotezea wanafunzi 2.

  • @mdta8161
    @mdta81612 жыл бұрын

    Asante mbunge

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Жыл бұрын

    Kiukweli dalasa lasaba nibola bingeni kuliko wasomi

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha54662 жыл бұрын

    HOJA NZURI SANA,INAANGALIA WALIO.CHIN KIUCHUM KUSAIDIA VIPATO VYA FAMILIA ASANTE KWA HOJA NZUR

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery55642 жыл бұрын

    Uko vizur sana kaka

  • @iamnormal8648
    @iamnormal86482 жыл бұрын

    2:42 Sasa unadhani hilo jangwa lilikujaje?

  • @msouthqualitymabati4657
    @msouthqualitymabati46572 жыл бұрын

    Mkaa lazima uwe na maandalizi yake,kukata mbao na kukata miti ya mkaa Ni vitu viwili tofauti hata uwekezaji na miti yenyewe uwezi kufanya pine Iwe mkaaa

  • @abudulingasa6413
    @abudulingasa64132 ай бұрын

    Kwe ushuru kwa mkaa ni juu sana na wanapewa list feki

  • @bahatimakolo927
    @bahatimakolo927 Жыл бұрын

    Kwel mkal wang huwa nakuelewaga sana👏👏👏

  • @emmanuelmush6732
    @emmanuelmush6732Ай бұрын

    Sikiliza prof 8li uwe bod of dieector kwenye organization lazima uwe umewekeza peaa sasa mwenye degreee yeye anakuja ganyaje hapo kama hajatoa kitu

  • @salumramadhan8352
    @salumramadhan83522 жыл бұрын

    Nakukubali sana mbuge kahama mjn

  • @aimew.5515
    @aimew.55152 жыл бұрын

    ❤️❤️

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula55922 жыл бұрын

    Kishimba bebe ngosha getegete. I salute u. 💥.

  • @lukamwalongo9609

    @lukamwalongo9609

    2 жыл бұрын

    Kishimba ubarikiwe sanaa, huyo anaetoa taarifa hana familia na hajapitia maisha magumu

  • @edwinekaboyoka2917

    @edwinekaboyoka2917

    Жыл бұрын

    Ifike kipindi elimu usiwe kigezo Cha uwakilishi kwa ck za uxon apa tunashuhudia wawakilishi ambao shule hawaijui na wanafanya uwakilishi positive ,Kila binadam abazaliwa na akiri ufaham ni tunu,tuna specialize ila huko wengu wetu tunaambulia kushiriki,Bora tuamini uwezo wa kuzaliwa nai( in born ability) kuliko kufanya tayayaya.. huku na darasan tumetenbelea.nooooh! Shameless.

  • @noahpapy2277
    @noahpapy22772 жыл бұрын

    Master kishimba

  • @emanuelarbelto8262
    @emanuelarbelto82622 жыл бұрын

    Ona poiti hiyo jamani darasa rasaba viongzi wapo mbunge akiwa rais simagu jamani ametwachia jembe jaman yan kwanza anahuruma nawatanzania kishimba mtetezi wawa nyonge seema baba

  • @lemburis-kivuyo
    @lemburis-kivuyo4 ай бұрын

    Mnamsifia Kishimba lakini hoja yake ikikubaliwa itakuwa ni hoja ya kipumbavu sana. Nimekaa sana Shinyanga na kanda ya ziwa kwa ujumla ikiwemo hiyo Kahama anayowakilisha. Ukulima na ukataji mji unaibadili kanda ya ziwa kuwa jangwa. Tusipodhibiti shughuli za kibinadam,u ikiwemo ukataji miti kwa namna yeyote, maeneo yetu ya asili vitageuka kuwa majangwa. Hata hivyo serikali haijakataza kukata kuni na kuchoma mkaa ila imeruhusu kwa vibali maalum. Nakataa ukataji miti holela. Period

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Жыл бұрын

    Hivi mnaelewa hapo ndani sijaona mbunge mwenye akili km kishimba yaani huyu Mzee Kila akiongea bungeni nampenda kumsikilinza Hadi m b zangu zinaisha

  • @revocatusbalashuha3209
    @revocatusbalashuha32092 жыл бұрын

    Mm huwa napenda sana mchango wake, ila kinacho nishangaza kwa hawa jamaa wote wanaongea kwa nguvu sana, mwisho naunga hoja. Hapa inanipa taabu sana

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 Жыл бұрын

    Asante

  • @johnmwaluko2682
    @johnmwaluko26822 жыл бұрын

    🤝

  • @user-gp5wf2jd6p
    @user-gp5wf2jd6p10 ай бұрын

    👍

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Жыл бұрын

    Kishimba yupo sahihi lakini kila mtu anampinga ndiyo ulimwengu

  • @user-ik2vk5qf5e
    @user-ik2vk5qf5e29 күн бұрын

    Kwel mungu hupo

  • @athumanimhina1869
    @athumanimhina18692 жыл бұрын

    Kishimba ni mbunge makini sana ana uwezo mkubwa wakufikiri kuliko wasomi wengi wanakariri tuu

  • @user-io7oh6fi9n
    @user-io7oh6fi9n6 ай бұрын

    💯❤

  • @maduaa.kisamalala7555
    @maduaa.kisamalala7555 Жыл бұрын

    Uko sawa mzee

  • @josephpetro2968
    @josephpetro29682 жыл бұрын

    Kishimba wanyonge tunanyonywa haijalishi tuko chama gani. maloli ya mkaa tani10 yanaruhusiwa kusafilisha mkaa lakini mkaa wakubebwa na baiskeli gunia moja unakamatwa kuwa unasababisha jangwa.

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Жыл бұрын

    hata oman mkaa upo twachomea mshikaki na kubanyika kuku mkaa ndo wetu

  • @rehemajuma2202
    @rehemajuma22022 жыл бұрын

    Mh eti makaa ya Mawr hiki ni Leo kweli!? Kishimba waambie ukweli

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 Жыл бұрын

    Jamaa ana akili sana

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf5 ай бұрын

    Ao wenzako awawezi kukuelewi wameshima awajui tunaishije mtaani

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles60272 жыл бұрын

    Kila jambo linafanywa na serikar,wabunge 😎😎😎😎😎 jibu

  • @humphreyjosephat5002
    @humphreyjosephat50022 жыл бұрын

    Kishimba yuko kwenye future

  • @kindambakiaratu9485
    @kindambakiaratu94852 жыл бұрын

    Nilikuwa na ombi kwa wakilishi wetu bungeni swala la nida inaonekana kuna urasimu mkubwa kana kwamba mtanzania wa kawaida mpaka Sasa hajapata nida ila mgeni ambaye astahili anacho sasa hili sielewi imekaaje residential permit id very important lkn wananchi wanasusa ufuatiliaji wake umekuwa mgumu na maisha magumu south mwananchi anaandikisha details zake wizarani pamoja na address ya anapokaa analetewa nyumbani naona ndio tunatengeneza post code au ulaya mtoto mzawa akizaliwa anatengenezewa

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf5 ай бұрын

    Makaaa ya wazungu gesi pia tumeuza niutumbo tuu

  • @lazaroeliphas8353
    @lazaroeliphas8353 Жыл бұрын

    Kishimba upo vizurii

  • @mkamamkengeji4240
    @mkamamkengeji42402 жыл бұрын

    Uko sahii kabisa

  • @husseinhumudy1463
    @husseinhumudy14632 жыл бұрын

    🤝🤝🤝

  • @issakawaya8315

    @issakawaya8315

    2 жыл бұрын

    Nakukubali hekima yako tutamuenzi

  • @arissantesembetii2386
    @arissantesembetii2386 Жыл бұрын

    Kwenye laki na nusu wadau wamekaa kimya hoja haiungwi mkono

  • @josephpetro2968
    @josephpetro29682 жыл бұрын

    Kama kila hoja inayotolewa na serikali wabunge wote mnaunga mkono sibunge lifutwe serikali inajitosheleza kwanini wabunge mnatumia pesa zetu kwenda kuunga mkono kila hoja sibola bunge lisiwepo ifanye kazi serikali pekeyake nawabunge warudi kuwa wananchi wakawaida tushilikiane kujenga uchumi wa nchi yetu kuliko kwenda kusipendi Dodoma.

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Жыл бұрын

    Mh kishimba nimekuelewa

Келесі