Pole sana mama. Wanadamu wanataka nini?. Mtoto kakosa nini? .
@Ushauri23514 күн бұрын
Pole dada mtegemee Mungu tu
@omanmct13514 күн бұрын
Hatari kweli
@nasraismail53673 күн бұрын
Inalilah wahinahilah rajiun
@HerenaBaharia2 күн бұрын
Da watoto watoto tuwafiche wapi jamani
@omanmct13514 күн бұрын
Kilasiku kuwaawatoto jamani jamani😢😢
@user-qq6mv6vh3e14 күн бұрын
Innalillah wa innalillah lajiun😢😢😢
@DenisKahwa-e8n5 күн бұрын
Daah kuwen na huluma
@user-vz6kk8id2f14 күн бұрын
Muda mwingine hasira ni hasara Mtoto WA miaka mi Tano anaweza kutembea 😢 daaah laiti ungelijua ungekimbia na mwanao😢😢
@SadikiKisubi14 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢
@OmanOman-bx5du14 күн бұрын
Hii kifungo maish siikubali. Muuwaji awawe pia. Mtoto amemuuea iweje yye abaki kuwa hai
@verdianabanabi220514 күн бұрын
Jamani jamani watu hawana hofu ya mungu kweli?
@user-db1uy6hv9q14 күн бұрын
Dada umepoteza mtoto mzuri pole
@ruqaiamohammed34514 күн бұрын
Wangemuacha na yy akajinyonga au wangempiga hd kumua hana faida ya kuishi ikiwa kaondoa uhai wa mtt asie na hatia 😢😢😢polen wafiwa 😢
@JacquelineKinyonge12 күн бұрын
Sasa unakimbiaje unaacha mtoto jamaniiii, ila inauma pole sana dada
@LaurenciaKitauli-or8rr14 күн бұрын
Tusali sana . Mungu anachukizwa na dhambi zetu. Mbona mauaji yanazidi ? Juzi tu albino ! Leo mwingine ! Inauma sana . Wapewe adhabu kali wakipatikana na hatia !
@shamimageta665114 күн бұрын
Dah Aya maisha dah mpaka kutoa uhai dah
@TangaMashewa-qe8kk14 күн бұрын
kifungo cha maisha au kunyongwa mpaka kufa vifungo hivyo kimoja wapo kisipo fanyika baasi kunahongo imefanyika au uchawi au vyote viwili
@uwezawamungumkuu.amaniafrika14 күн бұрын
wanaume wengi ni wajinga tena kupindukia. Unapiga kisa mwanamke aliye achwa na wengine ndiyo wewe ukachukua ?. Akili matope. Wanaume tuwe tu na hekima. Mke siyo kitu cha kuangaika naye kabisa. Wengi wanamaamzi yao.
@user-nb6yh2bn9y14 күн бұрын
Wanawake ukiona umeachika mtafute MUNGU pia tafuta pesa achana nakufikilia kuolewa utakuwa unawaweka watoto wako kwenye hatali kama unashindwa ludisha mtoto kwababa yake ikiwa alikufa kwa ukoo wake Kisha olewa 😢😢😢
@athumanbalozi974814 күн бұрын
Yaani duniani kunamatukio
@MohamedMkota11 күн бұрын
MTU acheze nawatoto wng a one. Namkata 1200 chap akishuhudia
@latifamubba10014 күн бұрын
Matukio yamekuwa mengi mno jamani Kwan Kun nn mungu tunusur na vizaz vyetu
@syliviakente9460
14 күн бұрын
Mwingiliano wa watu kutoka kila kona hatujuani vizuri , watu wengine ustaarabu hawana, heshima ndio usiseme, wanawake umeolewa umezaa umeachika pambana acha kuendekeza kulelewa na mwanaume mwingine , acheni.kwenda na watoto wenu ambao hao wanaume si baba zao, pambaneni mle watoto wenu,
@FatumaMamlo-st8pj14 күн бұрын
Subut mie nikimbie nimuache mtoto wangu nawazim
@FatimaAli-of4gh
14 күн бұрын
Sasa wewe umechopoka kwenye mdomo wa Mamba si umemsikia yy mwenyewe alikuwa kwenye kumchopoka alikamata kiwambaza Ungekuwa wewe kushashikwa kwa hiyo usingefanya purukushani za kutoka kumbia ungesubiri mapanga yakufikie na mtu anapiga watu wawili kwa wakati mmoja na alienda kuomba msaada huyo ba mdogo tu kazarau kumleta kuchukua mtt
@FatumaMamlo-st8pj
14 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh hata kama aweze kwenda kwa mjombaake mbali ashindwe kwenda kwa mjumbe nakuomba wakamchukulie mwanae roho yake kaikimbiza akaiyacha yamwezake ila lishatokea basi tukubali matokeo
@abdallahngoe
14 күн бұрын
Aya mawazo sahihi unayasema sababu akili yako imetulia na binadamu wengi utoa maamuzi akili ikiwa imetulia... lakini akili ikiwa imechanganyikiwa na adrenaline hormone iko juu huwezi fanya icho unachokisema
Пікірлер: 29
Mhhh jamani muogopeni mungu...!!!
Pole sana mama. Wanadamu wanataka nini?. Mtoto kakosa nini? .
Pole dada mtegemee Mungu tu
Hatari kweli
Inalilah wahinahilah rajiun
Da watoto watoto tuwafiche wapi jamani
Kilasiku kuwaawatoto jamani jamani😢😢
Innalillah wa innalillah lajiun😢😢😢
Daah kuwen na huluma
Muda mwingine hasira ni hasara Mtoto WA miaka mi Tano anaweza kutembea 😢 daaah laiti ungelijua ungekimbia na mwanao😢😢
😢😢😢😢😢😢
Hii kifungo maish siikubali. Muuwaji awawe pia. Mtoto amemuuea iweje yye abaki kuwa hai
Jamani jamani watu hawana hofu ya mungu kweli?
Dada umepoteza mtoto mzuri pole
Wangemuacha na yy akajinyonga au wangempiga hd kumua hana faida ya kuishi ikiwa kaondoa uhai wa mtt asie na hatia 😢😢😢polen wafiwa 😢
Sasa unakimbiaje unaacha mtoto jamaniiii, ila inauma pole sana dada
Tusali sana . Mungu anachukizwa na dhambi zetu. Mbona mauaji yanazidi ? Juzi tu albino ! Leo mwingine ! Inauma sana . Wapewe adhabu kali wakipatikana na hatia !
Dah Aya maisha dah mpaka kutoa uhai dah
kifungo cha maisha au kunyongwa mpaka kufa vifungo hivyo kimoja wapo kisipo fanyika baasi kunahongo imefanyika au uchawi au vyote viwili
wanaume wengi ni wajinga tena kupindukia. Unapiga kisa mwanamke aliye achwa na wengine ndiyo wewe ukachukua ?. Akili matope. Wanaume tuwe tu na hekima. Mke siyo kitu cha kuangaika naye kabisa. Wengi wanamaamzi yao.
Wanawake ukiona umeachika mtafute MUNGU pia tafuta pesa achana nakufikilia kuolewa utakuwa unawaweka watoto wako kwenye hatali kama unashindwa ludisha mtoto kwababa yake ikiwa alikufa kwa ukoo wake Kisha olewa 😢😢😢
Yaani duniani kunamatukio
MTU acheze nawatoto wng a one. Namkata 1200 chap akishuhudia
Matukio yamekuwa mengi mno jamani Kwan Kun nn mungu tunusur na vizaz vyetu
@syliviakente9460
14 күн бұрын
Mwingiliano wa watu kutoka kila kona hatujuani vizuri , watu wengine ustaarabu hawana, heshima ndio usiseme, wanawake umeolewa umezaa umeachika pambana acha kuendekeza kulelewa na mwanaume mwingine , acheni.kwenda na watoto wenu ambao hao wanaume si baba zao, pambaneni mle watoto wenu,
Subut mie nikimbie nimuache mtoto wangu nawazim
@FatimaAli-of4gh
14 күн бұрын
Sasa wewe umechopoka kwenye mdomo wa Mamba si umemsikia yy mwenyewe alikuwa kwenye kumchopoka alikamata kiwambaza Ungekuwa wewe kushashikwa kwa hiyo usingefanya purukushani za kutoka kumbia ungesubiri mapanga yakufikie na mtu anapiga watu wawili kwa wakati mmoja na alienda kuomba msaada huyo ba mdogo tu kazarau kumleta kuchukua mtt
@FatumaMamlo-st8pj
14 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh hata kama aweze kwenda kwa mjombaake mbali ashindwe kwenda kwa mjumbe nakuomba wakamchukulie mwanae roho yake kaikimbiza akaiyacha yamwezake ila lishatokea basi tukubali matokeo
@abdallahngoe
14 күн бұрын
Aya mawazo sahihi unayasema sababu akili yako imetulia na binadamu wengi utoa maamuzi akili ikiwa imetulia... lakini akili ikiwa imechanganyikiwa na adrenaline hormone iko juu huwezi fanya icho unachokisema