”NAIBU WAZIRI BASHE NA SIMU ZA USIKU ZA HAYATI RAIS MAGUFULI/ KIKAO NA DKT. MPANGO"

Tukiwa bado kwenye maombolezo, CloudsMedia imefanya mazungumzo maalum na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ambaye amezungumzia msiba wa Hayati Rais Dkt John Magufuli na hali nzima ya kufanya kazi chini ya uongozi wa Hayati Rais Magufuli.

Пікірлер: 269

  • @meena-ol6fo
    @meena-ol6fo3 жыл бұрын

    Bashe umemuelezea vizuri sana shujaa wetu

  • @simonthomas7969
    @simonthomas79693 жыл бұрын

    Hussein Bashe uko vizuri kazi ya mbunge ni kuishauri serikali na siyo kwenda kulala bungeni keep it up

  • @queenpiscator6117

    @queenpiscator6117

    3 жыл бұрын

    Safiii sana ubarikiwe umeongea point

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77693 жыл бұрын

    Interview nzuri sana. Big up sana. RIP THE SON OF AFRIKA JPM

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75473 жыл бұрын

    Nimeipenda interview hii!Bashe siku zote ni mkweli umemtendea haki my President ❤ apumzike kwa amani 🤲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @pendael02
    @pendael023 жыл бұрын

    Mh Rais alikuwa halali kwa ajili ya Watanzania na Tanzania.

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes48743 жыл бұрын

    Uko vizuri Sana kijana Bashe kwa usikilizaji na kujibu maswali kwa ufasaha. Kuna wengine wamekuwa na majibu ya AJABU katika kujieleza kuhusu marehemu Dr. Magufuli, wanaweka challenge kana kwamba baada ya kifo chake kumenoga, Tanzania mpya na hata kubeza kazi zake.

  • @annapeter4994
    @annapeter49943 жыл бұрын

    Bashe alikuwa akisema ukweli... Mungu akubariki maana hukuficha ukweli kama wachumia tumbo wengine walikuwa waoga..

  • @innoboy6768
    @innoboy67683 жыл бұрын

    Msema kweli ni mpenzi Wa mungu , Tunataka Viongozi wa kweli Kama Bashe ... MUNGU Akubaliki Sana

  • @godfreykacholi4886
    @godfreykacholi48863 жыл бұрын

    The journalist has done a good job. Congratulations

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman64233 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania ,Buriani JPM

  • @iddykivu1336
    @iddykivu13363 жыл бұрын

    Moja kati ya Intervew Bora kabisa kwakweli Nimeifuraia sana sana Bashe Namuelewa sana

  • @mwana4599
    @mwana45993 жыл бұрын

    Excellent. Keep it up Hussein.

  • @sameermilo4907
    @sameermilo49073 жыл бұрын

    Tunakukubali brother Hussein bashe , One day Huenda ukawa Rais wetu 🇹🇿 kwa miaka ya mbele, Mungu akipenda . Rest in Peace Hayaty Magufuli 🇹🇿💔

  • @maximilliankassimmakarabek7401

    @maximilliankassimmakarabek7401

    3 жыл бұрын

    Nakukubali sana bashe huna makuu na unachapa kazi kwelikwel

  • @jabarmalid5393

    @jabarmalid5393

    3 жыл бұрын

    Ilo ulilosema apo juu ata likitokea sitakuja Shangaa. Safi sanaa

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona26793 жыл бұрын

    Upo makini na kazi yako nenda mbele my broo jipe moyo upo Okey 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan14003 жыл бұрын

    Bashe uwezo uko juu, endelea kuwa mtulivu na mvumilivu utafika mbali!!Allah sw akuweke!

  • @mbantu5704
    @mbantu57043 жыл бұрын

    Haven't changed since school..... MashaAllah. Stay on the truth my brother. May Allah protect you and the legacy of JPM

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa35753 жыл бұрын

    Journalist umejitahidi kufanya mahojiano mazuri....Hongera

  • @bustani-inn7328

    @bustani-inn7328

    3 жыл бұрын

    Kabisa, maswali yake yameenda shule...amefanya maandalizi ya kutosha

  • @salustinavicter4649

    @salustinavicter4649

    3 жыл бұрын

    Bashe pambana. Mbele yako kuna mazuri zaidi yanakuja mbele yako unachapa kazi kijana

  • @issakawaya8315

    @issakawaya8315

    3 жыл бұрын

    Hongera ww ni uso wa taifa

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan97733 жыл бұрын

    Mashallah upo vizuri Sana speech imenivutia najiona sipo mnyonge hayati magufuli kafunza wengi ninaimani tutafika alipo pataka in shaa Allah mungu awasimamie kila sektar zote mungu ailaze pema Rais wetu mpendwa Rais wetu magufuli

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete62653 жыл бұрын

    Well done Mheshimiwa Bashe, hii ni baadhi ya interview chache ambazo zina contents za maana kwa Taifa. Mungu akubariki sana Bashe na hasa kwa kuwa mkweli na muwazi katika mambo unayoyafahamu na hasa yanayohusu Taifa. RIP Rais Dr John Pombe Magufuli, mzalendo wa kweli.

  • @omadal1

    @omadal1

    3 жыл бұрын

    From Kenya but so impressed by this Leader haki Tanzanians you are lucky to be a Tanzania.

  • @nicholasakeya6790

    @nicholasakeya6790

    Жыл бұрын

    Namkubali tena saana watching from kenya😊

  • @ramadhaniamiri8003
    @ramadhaniamiri80033 жыл бұрын

    Kama unaamini bashe anauchamungu ndani yake gonga like

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero84663 жыл бұрын

    Kumbe baba alikuwa apumziki kwa ajili yetu hakuwa na vacation ndio maana kaondoka mapema hakuwa na muda wa kupumzika dah kapumzike baba umetuumiza Baba yetu jamani

  • @ruqayaruqaya4283

    @ruqayaruqaya4283

    3 жыл бұрын

    @anna John tunaumia.sote ndg 😭😭😭😭cnta msahau apumzike.kwa Amani.

  • @ruqayaruqaya4283

    @ruqayaruqaya4283

    3 жыл бұрын

    Sn 😭😭😭😭

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel69753 жыл бұрын

    Interview moja nzuri yenye contents mujarabu kabisa,,, hizi smart talks twazitaka nyingi hapa TANZANIA kwa ajili ya ku-shape mindset za watanzania wengi

  • @bercahot152
    @bercahot1523 жыл бұрын

    Nice interview!! Interview zangu ambazo nimeziangalia Mwanz mpaka mwisho

  • @samsonkasebwa7013
    @samsonkasebwa70133 жыл бұрын

    Bonge la moja ya interview, hongera mtangazaji,hongera sana mh Bashe nakuona mbali sana kama itakua sio figisu za Ccm, be blessed 🙏

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Bashe una kipaji. Taifa linakuhitaji. Allah akuhifadhi. By the way, jogoo wako kabambe!

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo12013 жыл бұрын

    Well done Bashe. Keep it up iko siku itajibu.

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma14593 жыл бұрын

    Allah akubari uje uwe Rais brother nakukubali

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79353 жыл бұрын

    Bashe pole na msiba pole sana Mungu akupe nguvu pole

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona26793 жыл бұрын

    Broo nakukubali sana upo Okey jipe moyo chapa kazii

  • @minmaxc485
    @minmaxc4853 жыл бұрын

    huyu mwandishi anaelewa kuuliza na kumpa mtu muda wa kujieleza na maswali adimu siyo yaleeee tuliyozoea 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @georgewilliam6001

    @georgewilliam6001

    3 жыл бұрын

    Sometime inategemea na mtu unaye muhoji...Bashe anajua kuzungumza na ni mzungumzaji

  • @ignassalmon0608
    @ignassalmon06083 жыл бұрын

    Moja kati ya mahojiano mazuri mwaka huu wa 2021. Hongera sana Mheshimiwa naibu waziri wa kilimo ndg. Hussein Bashe kwa namna ambavyo umejibu maswali yote kwa ufasaha. Tunaona uongozo imara na wenye mwelekeo chanya ndani yako. Kama kijana ambaye kila wakati ulipopata nafasi ya kusimama bungeni ulikuwa unatoa hoja zenye mashiko zenye kuleta changamoto kwa serikali na kuifanya kwenda mbele zaidi katika utendaji wake. Maana ya kiongozi ni kuweza kusimamia kile unachokiamini. Ndani yako kuna hazina kubwa sana na tunauona uzalendo wa kweli kwa nchi yako. Tunakutakia utumishi mwema na Bwana Mungu azidi kukutunza na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako kwa ajili ya mama Tanzania

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone56013 жыл бұрын

    Kweli bashe imeongelea vizuri Sana kuhusu malehemu magufuli

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi3803 жыл бұрын

    bashe safi sana wewe ni mbunge unaye jua kujieleza na unapenda nchi yako hangera kaka nina imani na wewe ipo siku utakuwa kiongozi mkubwa inshaa allah

  • @kautharjadid4287
    @kautharjadid42873 жыл бұрын

    HUSSEN Nakupenda ww ni mkweli halafu upovizuri ww ni kichwa mchapa kazi

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa35753 жыл бұрын

    Safi sana Bashe kwa uwazi wako!

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka72223 жыл бұрын

    Bashe unae Akili na uelewa mzuri jùu ya kazi za Ankoo Magufuli.✊🏿

  • @faisalikassim3837

    @faisalikassim3837

    3 жыл бұрын

    Asante kumbe umempta vzr jamaa yuk vzr so masihara

  • @bimaphd8301

    @bimaphd8301

    3 жыл бұрын

    Huyu Dada anakipaji kikubwa sana. Kwa hii interview anapaswa apandishwe juu 360

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi3803 жыл бұрын

    kwa mazungumzo ya mbunge bashe mama samia suluhu ana kazi kubwa. kuna viongozi ndani ya ccm hawapendi ukweli mfano nape ridhuwani kikwete janauari makamba na sisi wanchi tuna taka nchi yetu iyende mbele isiwe nchi ya ccm wezi

  • @davidmosi3464

    @davidmosi3464

    3 жыл бұрын

    Rais wa 2030 bashe

  • @gabrielomondi4630
    @gabrielomondi46303 жыл бұрын

    Interview nzuri...hongera

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd38863 жыл бұрын

    Husein Bashe nakutabilia siku moja utakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania maana una hekima sana

  • @saidseleman6004

    @saidseleman6004

    3 жыл бұрын

    Yuko vizuri tumuombee

  • @annayakobo7686

    @annayakobo7686

    3 жыл бұрын

    Unaweza kuwa raisi kaka Mungu akuongoze

  • @musason1680

    @musason1680

    2 жыл бұрын

    Hata mm nitafrah sana

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    This is one of the best interviews of the 21st century in Tanzania. Mh. Bashe you just said it all, I wish all Africans will watch this interview. I shed a lot of tears of joy to hear Bashe articulating this! RIP Magufuli and Bashe thanks a lot for humanizing him at a level a lot of people could not articulate it. Kudos to Dr. Samia for carrying forward the vision of our nation. Aluta Continua!

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71493 жыл бұрын

    Uko sawa Bw.Bashe,ni mawazo yako jinsi mlivyofanya naye kazi. Wakati ukuta,mengi yatasemwa, mabaya na mazuri yake, binadamu lazima apakwe mafuta upande,na upande matope,lkn yote ktk yote nilipenda sana misimamo yako ya ukweli, Mungu akuinue Bashe ushike nafasi kubwa zaidi kwa manufaa ya Taifa zima. R I P JPM

  • @mtesigwalulale2942
    @mtesigwalulale29423 жыл бұрын

    Uko vizuri bashe

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein43113 жыл бұрын

    Bashi mdogo wangu nakukubali Sana raisi wangu wa baadae

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla89963 жыл бұрын

    Jamaani tuwe wakeli ivi yule lissu ataweza kweli kuongea na watu hawa kweli maaana huyu jaamaa anaonekana anawexa kuwa ata rais wa nchi

  • @FIFO28
    @FIFO283 жыл бұрын

    Bashe uko vizuri sana... nakukubali. Natumai one day utashika nchi yetu ili uboreshe maisha ya mtanzania hasa upande wa kilimo...

  • @junioryasin5306

    @junioryasin5306

    3 жыл бұрын

    Sahau

  • @7191cany
    @7191cany3 жыл бұрын

    Nimekuelewa Bashe

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse22993 жыл бұрын

    Bashe umesema ukweli lv you.na hata wewe ktk masuala ya kazi usicheke na wazembe! Na ninakumbuka miezi kama miwili kwenye mkutano wake kuna kitu ulimweleza akasema hadharani amefurahia mawazo yako.ww kijana Bashe chapa kz nakutabiria makubwa mbele na kamwe usivutwe na wale 2014 kaa nao mbali kama ukoma !! Ili watanzania tuje tumuone MAGUFULI ndani yako.💪💪

  • @malulufrank7871
    @malulufrank78713 жыл бұрын

    Clouds huyu dada akae pale 360 mtanikumbuka

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    3 жыл бұрын

    Ulivyomalizia kusema sasa imebidi nicheke😁

  • @jameskahasa2247

    @jameskahasa2247

    3 жыл бұрын

    Malulu

  • @dinahawouragai2701
    @dinahawouragai27013 жыл бұрын

    Wow!A promising young leader.So impressed.I wish we had the same in Kenya.

  • @FIFO28

    @FIFO28

    3 жыл бұрын

    Back your people came to Tanzania 🇹🇿 to learn leadership skills. They don't come anymore, so you can't get this products as used to be back then

  • @titusmachumu8487

    @titusmachumu8487

    2 жыл бұрын

    NAOMBA AND I HAVE TO BE AT HOME AND I

  • @mazukasimon8618

    @mazukasimon8618

    2 жыл бұрын

    ​@@FIFO28 m.v.b

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed80473 жыл бұрын

    Upo vizuri dada lakini lugha yetu kiswahili tuitunze unasikilizwa au unasikika mbali maneno kama hakunaga au nakwambiaga tujitahidi tuyaache iwe hakuna au nakwambia ushauri tu

  • @eliakomba1603

    @eliakomba1603

    3 жыл бұрын

    🌙

  • @mishengoma2495
    @mishengoma24953 жыл бұрын

    Bashe hongera sana. Ni Waziri makini, anayejiamini na msema ukweli Nachukia watu vigeugeu kama akina Kigwangala

  • @renathamartin6272
    @renathamartin62723 жыл бұрын

    Bashe ana utulivu mkubwa sana wa akili, mstaarabu, muelewa, mkweli, mzalendo. Bashe for presidency 2035. Like if you wish the same

  • @stewartstephen5067
    @stewartstephen50673 жыл бұрын

    To my opinion, i think this gentleman deserves a docket of ministry of industry and trade as a full minister should the country wish to see real reforms in that area. Huyu tulietangaziwa bado namuona ni mwanasiasa zaidi kuliko uelewa na utendaji.

  • @peninasnyamhanga4860
    @peninasnyamhanga48603 жыл бұрын

    Safi sana mh Bashe umeongea ukweli wako kuliko wanafiki wanaongea ubaya wa mpendwa wetu

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @samedward4211

    @samedward4211

    2 жыл бұрын

    If you don't mind, come and visit our beautiful Country.. will be your Host

  • @ivankakooza1765

    @ivankakooza1765

    2 жыл бұрын

    Exactly bro

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto82313 жыл бұрын

    HONGERA SANA MH BASHE,NIA AINA YA KIONGOZI NIVIGUMU KUMUELEWA KTK USO WAKE ILA NI KWA VITENDO ANAVYOFITAFSRI KTK HISIA ZAKE ZA DHATI A KIMAAMUZI NA NDOMA JMP ALIKUELEWA BAADADA YA KUKUTAFAKARI NA KUKUELEWA.JPM HE WAS HERO,REFORMER,PAN AFRICANIST,NATIONALIST AND AFRICAN IDIOLOGIST-HUSEIN BASHE

  • @francisrukeisa6299
    @francisrukeisa62993 жыл бұрын

    Ahsante sana Bashe kwa kuongea ukweli na uwazi.Napenda sana hoja zako zenye proper mind-set bila unafiki,Mungu akulinde na baadae utakuja kuwa kiongozi mkubwa.

  • @sylvesterchristopher8308
    @sylvesterchristopher83083 жыл бұрын

    Waandishi wa habari wengine wajifunze kwa huyu dada. Kweli ameitendea haki taaluma yake. Well done dada

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed70663 жыл бұрын

    Bashe my somali brother, uko vizuri kaka . Jamaa anaongea point tu

  • @nestor384
    @nestor3843 жыл бұрын

    Well said brother Bashe, Unaeleza halisi ambacho hata mwananchi wa kawaida atakueleza. Siyo ya kina Nape kuanza kujenga vijihoja vyenye dhihaka ndani yake Nape anasema mama kaja kutufuta macho like if before tulikuwa tunalia!.

  • @ellyswai1801
    @ellyswai18013 жыл бұрын

    Basheeee

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona26793 жыл бұрын

    Pole kwa kufiwa na Mama yako jamani lkn jipe moyo fanya kazi songa mbele chapa kaziii

  • @masungamashauri4070
    @masungamashauri40703 жыл бұрын

    Nakuaminia sana Mr Bashe kwa sisi tunaopenda Tanzania business tunajali sana mchango kwa Taifa Tanzania kama kijana .Na nimategemeo na mapenzi yangu kuwa unatakiwa kuwa Waziri kamili na hatimaye kiongozi mkuu zaidi ,it's my overview honestly

  • @c-4839
    @c-48393 жыл бұрын

    Eloquent, intelligent and humble. Keep on training brother, acquiring more wisdom not abandoning empathy on the common citizen. And perhaps someday you will be the shining beacon for Tanzania and Africa as well.

  • @ApostleGodwin
    @ApostleGodwin Жыл бұрын

    Thanks Mheshimiwa Naibu Waziri Wa Kilimo nimejifunza mengi kupitia mahojiano haya nikiwa chuo cha Paradigms institute of health science Barikiwa Sanaa na Mwenyezi Mungu.

  • @nyandwiziyada6451
    @nyandwiziyada64513 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima Jemedari wetu

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma14593 жыл бұрын

    Mashalla Mh Bashe unajibuu vizuri ninakukubali🥰🥰🤲Allah akbar

  • @br.samwelmparange4986
    @br.samwelmparange49862 жыл бұрын

    Big up Mh. Hussein Bashe. Kati ya watu waliomjua Mwenda zake R.I.P Dr. Magufuli . Mungu akuzidishie Miaka mingi ya kuishi ili utuhudumie kwa kadri ya vipaji ulivyojaliwa na Mwenyezi Mungu kuwahudumia binadamu wenzako hususa Waafrika kwa ujumla.

  • @mwikwabezablon8593

    @mwikwabezablon8593

    2 жыл бұрын

    6

  • @thomaskaungo11
    @thomaskaungo113 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana bashe

  • @wilfredgeorge3181
    @wilfredgeorge31813 жыл бұрын

    Clouds huyu mtangazaji ni 🔥🔥🔥🔥

  • @musason1680

    @musason1680

    2 жыл бұрын

    Yupo vizr mno

  • @peterkalii5939
    @peterkalii59393 жыл бұрын

    Big up Bashe I like your presentation in Parliament

  • @ibrahimm9301
    @ibrahimm93013 жыл бұрын

    Tanzanian are so patriotic. I wish Kenyans wangefuata mfano wa Tanzania. This guy is so smart and well spoken. Not to forget good looking too.

  • @tanzaniatouristsattraction1622

    @tanzaniatouristsattraction1622

    3 жыл бұрын

    Hahaha..Good looking too

  • @farikkaqueen2367

    @farikkaqueen2367

    2 жыл бұрын

    thank you his my cousin 💯👏🏿

  • @tahiraabdul1701

    @tahiraabdul1701

    Жыл бұрын

    ​@@farikkaqueen2367from degodia or Ogaden? Masha Allah

  • @gracemima5234
    @gracemima52343 жыл бұрын

    Ulikuwa sawa kabisa. Serikali ya nne ilikuwa haifanyi vizuri kabisa. Kuna wengine walikuwa wananong’ona. Na ndiyo maana Rais Hayati Magufuli aliweza kukuchaguwa.

  • @husseinabdiaziz9674
    @husseinabdiaziz96743 жыл бұрын

    Dada mtalamu kweli shukran kwako dada na basha

  • @dalmasmzalendo727
    @dalmasmzalendo7273 жыл бұрын

    Smart talks in the right time big up bashe

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    3 жыл бұрын

    Mmmmmm

  • @francisrobert9652

    @francisrobert9652

    3 жыл бұрын

    mh bashe upo vizuri sana big up

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga11282 жыл бұрын

    Interview hii imenifanya nitoe tena machozi nikimkumbula Baba aliye jitoa Sadaka kwa ajili ya Nchi yake ya Tz. Pumzika Kwa Amani Hayati Dk. JPM uliye kuwa Rais wetu. Daima utaishi Moyoni mwangu. 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu14273 жыл бұрын

    Unaheshima na hekma lazima kuongea unachojua

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi21143 жыл бұрын

    Good

  • @frans_dede
    @frans_dede3 жыл бұрын

    Tumempotez J.P.M kipenz Cha weng, sasa tumempat Samia ambaye namuona waz anaend kutupotez yaan hawa wazung ni kama wamemnunua. R.I.P Mr. JPM😭

  • @marysule5303
    @marysule53033 жыл бұрын

    Mi nakukubali sana bashe wewe ni mzalendo wa kweli

  • @eliakomba1603

    @eliakomba1603

    3 жыл бұрын

    ahaa wapii

  • @hawaabdallah4782
    @hawaabdallah47823 жыл бұрын

    Hussein Bashe mim nakuelewa sana nakuomba kwa mungu uje upata wasifu mkubwa kabisa wanchi

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu14273 жыл бұрын

    Ata mi naona utakuja kua rais

  • @philipmbunda3610
    @philipmbunda36103 жыл бұрын

    Hongera sana Mh. Bashe

  • @bahatihaerter5651
    @bahatihaerter56513 жыл бұрын

    Nimejisikia machozi yananitoka Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @frenkreuben5650
    @frenkreuben56503 жыл бұрын

    Waziri Bashe umeelezea vizuri sana. Mwenyezi Mungu akubariki sana

  • @faisalikassim3837
    @faisalikassim38373 жыл бұрын

    Masha Allah kaka yetu bashe you are good at all

  • @saidipara4134
    @saidipara41342 жыл бұрын

    Nimeshika hapo tu ulipo sema mjomba alikuwa akfanya jambo alikuwa na dhamira njema.,🙏🙏👍👍

  • @keijoodehustla3259
    @keijoodehustla32593 жыл бұрын

    wee jamaa mtoto wa kishua.... lkn uko vizuri sana kichwani big up Bro I really appreciate you

  • @tanzaniatouristsattraction1622

    @tanzaniatouristsattraction1622

    3 жыл бұрын

    Kwaio ukiwa wa kishua huwez kuwa na akili

  • @sera.8bomani502
    @sera.8bomani5023 жыл бұрын

    Smart guy!

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe68543 жыл бұрын

    Asante bashe maana huo ndio ukweli alivyokuwa jpm

  • @vunu_dunia3190
    @vunu_dunia31903 жыл бұрын

    Good interview

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu14273 жыл бұрын

    Poleee

  • @shafiqmohd1491
    @shafiqmohd14913 жыл бұрын

    Yni ww bashe upo vzri sna bali mapungufu niyakibnadmu lkn hilo nila kila mtu upo makini na nimuelewa sna nakupongeza sna sna unajuwa ubinadamu mkubwa

  • @muhundaramadhani5057
    @muhundaramadhani50572 жыл бұрын

    Mwenyez Mungu akutangulie Mh Bashe Thanks

  • @hassanmasoud2113
    @hassanmasoud21133 жыл бұрын

    🍒🙏bashe we ni mzalendo kama alvokua mh magufuli,allah akulinde katka utendaj wako

  • @shukranisilungwe1986
    @shukranisilungwe19865 ай бұрын

    Hata mimi bashe nimekupenda kwa ukweli ulionao juu ya rais Magufuli. Amina sana mungu akubariki

  • @mustafageorge2982
    @mustafageorge29822 жыл бұрын

    Interview nzuri sana, hongereni sana

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79353 жыл бұрын

    Kweli hapa kazi

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude78693 жыл бұрын

    Ila uraisi unaonekana Kama ni kitu chakuenjoy ila sio.yani saa nane usiku unapigapiga masimu duh Mungu awepe nguvu na afya njema enyi viongozi wema

  • @misschagga8042
    @misschagga80423 жыл бұрын

    Namkubali sana bashe

Келесі