BASHE AMKUMBUKA MAGUFULI - "ALISEMA ATANITUMBUA NA KUNIFUNGA, KISA HIKI"

BASHE AMKUMBUKA MAGUFULI - "ALISEMA ATANITUMBUA NA KUNIFUNGA, KISA HIKI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 252

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera66482 жыл бұрын

    Who ever appreciate the work done by our Later Lovely President JPM is my friend# Rest Easy president JPm.

  • @alexkabeho5609

    @alexkabeho5609

    2 жыл бұрын

    I wish ningekua na uwezo kulike many times 😭😭😭

  • @Worldunite

    @Worldunite

    2 жыл бұрын

    Jpm alikuwa na maono na mbunifu sana

  • @fredualdragonglobalnews2635

    @fredualdragonglobalnews2635

    5 ай бұрын

    Me too is not only friend but also my brother ❤

  • @emmanueljosephati3192
    @emmanueljosephati31922 жыл бұрын

    Jpm Mungu akusamehe tu ulikuwa bora sana katika utedaji wako wa urais wa nich hiiiiiii

  • @muuu9505
    @muuu95052 жыл бұрын

    Kuna mawaziri wakishika 🎤🎤🎤 ni kumponda magufuli njoo msome comments za watZ jinsi chuma anavyoishi ndani ya nyoyo zao..,💗

  • @alisaidi7477

    @alisaidi7477

    2 жыл бұрын

    Hakikqq

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud15322 жыл бұрын

    JPM we Miss you

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane30772 жыл бұрын

    We miss you papa JPM Still I love you papa JPM JPM forever ❤️

  • @maryshirima1234

    @maryshirima1234

    2 жыл бұрын

    Missing him too...😥

  • @malugufabiani2947
    @malugufabiani29472 жыл бұрын

    Magufuli bado anaishi kwenye mioyo ya watu hasa mawazili wake walimpenda na kautani kidogo watu walikua na raha bwana

  • @jumakapesa5289
    @jumakapesa52892 жыл бұрын

    Mh Bashe "chuma kinaniangalia" Rest in peace our heart's president jpm. Mh Bashe..piga kazi ..waziri wangu nakuamini saaana.

  • @husseinmohamed1777
    @husseinmohamed17772 жыл бұрын

    Good story miss you Magu

  • @MsAggie5
    @MsAggie52 жыл бұрын

    Chuma kama chuma! Na wanaosema alikuwa hashauliki? Shame on them! RIP CHUMA 🙏

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    2 жыл бұрын

    Wanaosema hashauliki ni waimba taarabu. Ndo maana alitumia wasomi ili kutumia maarifa na mawazo yao.

  • @onesmojustice2348

    @onesmojustice2348

    2 жыл бұрын

    @@timothmwakakusyu4563 sema alikuwa hasikilizi ushauri wa kijinga

  • @maimunampole9894

    @maimunampole9894

    2 жыл бұрын

    @@timothmwakakusyu4563 ATAKUOA NANI? PUMBAVU SANA. tizama video reaction 👇..... kzread.info/dash/bejne/Zntmx6SOl82_ibg.html

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 жыл бұрын

    @@timothmwakakusyu4563 kweli kabisa!

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 жыл бұрын

    @@berthatz na wale WA vyeti feki!

  • @janekapinga6793
    @janekapinga67932 жыл бұрын

    Bashe nakukubali Bro Mungu yuko pamoja nawe

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia41402 жыл бұрын

    Mh.Bashe you Deserve to be on your position as Agriculture Minister. We wish if Tanzania could have 50% of Ministers like you from others Ministry, we could be far from where we are now.KEEO IT UP MH.BASHE.

  • @JAKODAMO

    @JAKODAMO

    2 жыл бұрын

    Not Agriculture Minister it is Minister for Agriculture

  • @catherineamos7087
    @catherineamos70872 жыл бұрын

    Rip chuma Tunamuomba Mwenyezi Mungu akupunguzie Adhabu ya kabuli Baba.

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    2 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @telaamtauta2227

    @telaamtauta2227

    2 жыл бұрын

    Amiin yaraab

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    2 жыл бұрын

    @@hajjiomary2383 kivipi we paka!

  • @Officialjidaa-sn9cs

    @Officialjidaa-sn9cs

    9 ай бұрын

    Nilimpenda sana magufuri daaah

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka91702 жыл бұрын

    Hongera Mheshimiwa Bashe. Kazi unaimudu vizuri. Mungu akulinde.

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola7982 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana Bashe, Mioyo yawapenda Maendeleo hakika imesuuzika kabisa, Ingawa umerudisha msiba Upya.

  • @OmarOmar-gq5tk
    @OmarOmar-gq5tk2 жыл бұрын

    R.I.P MAN OF THE ORPHAN'S J.P.M

  • @bakarikalembwe1510
    @bakarikalembwe15102 жыл бұрын

    Unauhakika huo mfumo tutatoboa, ndio mheshiwa tutatoboa wewe bariki tu God bless you bashe

  • @kevinomondi9358
    @kevinomondi93582 жыл бұрын

    Rest in power JPM

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын

    Hapo Bashe hata akimwelezea chuma JPM 🤔 hadi raha huyo ndo alikuwa jembe acha wengine wapigaji tuu

  • @wakutingwa.1635
    @wakutingwa.16352 жыл бұрын

    Inaleta raha kusimuliwa mambo ya JPm naona watu wametulia kumfuatilia waziri. R.I.p JPM

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    Yaan wahuni wanapata somo kuwa JPM huu bado Ni utawala wake wanafurukuta lkn JPM bado anawafunika akitajwa Mara moja anadumu Muda watasubili sana' kaenda Mark kutubu lkn Hii dhambi ya usaliti labda Atubu kwa Umma yaani watanzania wote awaambie ukwe ndio atapona.

  • @fraviansweetberty8819

    @fraviansweetberty8819

    2 жыл бұрын

    Umeonaaaa eeeeehhhhh 💪💪💪💪💪

  • @maswamills3161

    @maswamills3161

    2 жыл бұрын

    Utamu wa mema yake .Inaleta Raha.

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles17472 жыл бұрын

    Mtu akianza kutoa hotuba inayomhusu JPM anatulia na wasikilizaji wanatega masikio yote mawili,R.I.P mwamba JPM

  • @ibba8082
    @ibba80822 жыл бұрын

    Wa Lweba Fizi D R Congo,Sijui ni Nini Ndani Yangu Kumuhisu JPJM,Waziri Aliposema CHUMA Moyo umedunda na Machozi Yakanitoka.Ama Kweli Sijui 🤔🤔🤔🤔

  • @telaamtauta2227

    @telaamtauta2227

    2 жыл бұрын

    Siyo wewetu. Mimi kila ikisikiliza hutubazake moyo hauna raha nalilenenolake la iposiku mtanikumbuka huniumizasana yaani 😭😭😭😭

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho56092 жыл бұрын

    Forever in our hearts, JPM❤️

  • @maswamills3161

    @maswamills3161

    2 жыл бұрын

    Oh yes♥️♥️♥️♥️♥️😭😭

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph1582 жыл бұрын

    MAGUFULI alikuwa mtu jamani acheni

  • @aklanhassan2917

    @aklanhassan2917

    2 жыл бұрын

    Wengine ni kundi la nyuki

  • @joharishabani2893

    @joharishabani2893

    2 жыл бұрын

    Saivi kasha wauza oman. Wanafuz wakubwa wakubwa waende oman

  • @aklanhassan2917

    @aklanhassan2917

    2 жыл бұрын

    @@joharishabani2893 wacha uongo weweee. Una ushahidi wowote kwa hayo unayosema?

  • @joharishabani2893

    @joharishabani2893

    2 жыл бұрын

    @@aklanhassan2917 kwenda uko si juz wametangaza hujaona

  • @krizofrancisco5310

    @krizofrancisco5310

    Жыл бұрын

    Magufuli hakuna mtu tu alikuwa mtu na nusu

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli39742 жыл бұрын

    Bashe kama Bashe msema kweli Shabby anafata nyayo zako Big up bro

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant51702 жыл бұрын

    Nakukubali Hussein Bashe, you are a brain 🧠 amongst brains of this country. Keep up with reforms Hussein

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu49412 жыл бұрын

    Somo lililoko hapa hupaswi kumdanganya Rais!! Unatakiwa kumshauri vema na kutenda vema kwa maslahi ya Taifa.Kudanganya mamlaka ni kosa.

  • @zawadijoel7516
    @zawadijoel75162 жыл бұрын

    Bashe wewe ni kiongozi bora. Tunakuombea siku moja uwe raisi wa Tanzania

  • @nestor384
    @nestor3842 жыл бұрын

    Dr. JPM alikuwa mtu na nusu Mtu wa maamuzi magumu

  • @maswamills3161

    @maswamills3161

    2 жыл бұрын

    Na maamuzi yenye FAIDA.

  • @ibraeliya7760
    @ibraeliya77602 жыл бұрын

    Miss you JPM

  • @newtongasper8683
    @newtongasper86832 жыл бұрын

    Jpm hawezi sahaulika mioyon kwetu 💔

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu53002 жыл бұрын

    Bashe, Bashe, Bashe... Asante sana. Mungu akulinde, akutunze na akuongezee hekima na ujasili. Tunakuomba usibadilikie njiani. Asante.

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice23482 жыл бұрын

    Mwenye miwani hafurahii ndo walewale. Nina hakika huyu jamaaa tukimpa upresident na asizongwe na watu wa hovyo nchi hii mtasimulia Mambo yatakavyokwenda he is very bright brained.

  • @abuukamugisha5994

    @abuukamugisha5994

    2 жыл бұрын

    Huyo kagaigai RC wa Kilimanjaro huwa hacheki hovyo

  • @hadija846

    @hadija846

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣👍

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya53362 жыл бұрын

    Nimempenda bashe jamami kweli amefundwa na mzee chuma

  • @meshackmadema781
    @meshackmadema7812 жыл бұрын

    #JPM wewe ulikuwa kiongozi bora sana

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6562 жыл бұрын

    M.A.P DAD, WE MISS YOU

  • @bbyboy2477
    @bbyboy24772 жыл бұрын

    MAGUFULI BABA TUNAKUKUMBUKA SANA

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri77572 жыл бұрын

    Nakukubali Mr Bashe Mungu atakuongoza katika kazii yako.

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga11282 жыл бұрын

    😋🤪🤓😝😄😜😛🤣😂😅😆😁😃😀 Chuma kinaniangalia ( Rest In Peace Rais wangu Bora JPM ) DAH!

  • @hendrycomonsiwenga1128

    @hendrycomonsiwenga1128

    2 жыл бұрын

    @@condegsubscribes7911 Hakuna mwanadamu aliye kamilifu!

  • @tanzanian8847
    @tanzanian88472 жыл бұрын

    Chuma kama Chuma. Ukitaja jina lake mioyo y watu inafurahi.

  • @jivitafoundation450
    @jivitafoundation4502 жыл бұрын

    Tunawashukuru sana kwa kutuwezesha kupata taarifa ila inabidi muwe unweka mazingira ya kupata taarifa yote

  • @mussahaji905
    @mussahaji9052 жыл бұрын

    Dogo Yuko smart sana Ila naona watu wamenuna

  • @mathiasulaiti5665
    @mathiasulaiti56652 жыл бұрын

    kama nimejifunza vizuri. naendelea kuelewa mfumo wa uongozi wa mgufuli aliamini katika mawazo yenye kuleta maendeleo hakua shingo ngumu. hii inamaanisha hata kama Kuna mahali alikua mhumu basi Kuna aliyeshauri na yeye akabariki taratibu tutapata mengi. muhimu tuendelee kuwaombea viongozi wetu ni binaadam na wanatuwazia mema

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa8332 жыл бұрын

    Chuma kinaniangalia!! Nitakutumbua na ntakuweka ndani

  • @user-jf1sq7lk4g

    @user-jf1sq7lk4g

    15 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm3092 жыл бұрын

    Akika nimefurai kusikia chuma na nimerudia mara 10 nisikie jinalake🤣🤣🤣 R.I.P magufuri

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    2 жыл бұрын

    Yan Mie narudishia kila muda maana alivyofanya amempatia 😂😂

  • @sethmwakangata1871
    @sethmwakangata18712 жыл бұрын

    Ukweli bashe ulizaliwa kuwa Kiongozi na ni mzalendo wa kweli na kila unacho ongea unamaanisha Wala huna maigizo makubwa yako mbele yako.kuna siku Nchi utaibeba MUNGU akubariki sana.

  • @frankmwakatundu9856

    @frankmwakatundu9856

    2 жыл бұрын

    S. Mwakang'ata Asante Sana umeukonga MOYO WANGU ULIPOSEMA IKO SIKU BASHE ATAIBEBA NCHI HII(ATAKUWA RAIS WA TANZANIA) ANASTAHILI)

  • @joharishabani2893

    @joharishabani2893

    2 жыл бұрын

    Tatizo hawatutaki wa kanda ya ziwa nyelele alikufa magu kafa. Mpaka tuna ogopa

  • @victorfredy4018

    @victorfredy4018

    2 жыл бұрын

    Ok

  • @ambwenedaniel358
    @ambwenedaniel3582 жыл бұрын

    Hayati JOHN POMBE MAGUFULI alikuwa ni chuma kwelikweli.....

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo5642 жыл бұрын

    Naagalia pembeni hivi naona CHUMA kinaniangalia nikajiuliza nimekosea nini

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo26332 жыл бұрын

    R.I.P MAGUFULI

  • @mathewben9983
    @mathewben99832 жыл бұрын

    Mtu anaemwongelea JPM kwa mazuri hua namkubali ghafla kiukwel maana alikua mtu na nusu,potelea mbali wanaotafuta kueleweka kwa kumponda watajua wao

  • @sylivesterlugembe7314
    @sylivesterlugembe73142 жыл бұрын

    Katika Mawaziri ninao wakubari hapa Tz wewe ni namba moja

  • @lusanikaseke3065
    @lusanikaseke30652 жыл бұрын

    R I P JPM

  • @samwelipima3795
    @samwelipima37952 жыл бұрын

    Bashe JPM ulimkubali katika simulizi za mwenda zake hujawahi kumponda mngu akupiganie nazni hata wewe nikiongozi Bora sio Bora kiongozi jpm tulimkubali xana Ila kazi ya Mora haina makosa naona hata watu ulipo tamka jpm wakatulia tuli mwenyezi mungu amrehem mahala alipo na apumzike kwa amani mkombozi wa Africa akili mingi Kama putini

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro53932 жыл бұрын

    Jpm alikuwa hana mchezo ukifeli ww ndani ilikuwa raha tu

  • @eliashibundabalinze2217

    @eliashibundabalinze2217

    2 жыл бұрын

    Nabii Musa alipokosea, Mungu alimwambia hutaingia ktk nchi ya AHADI. Lakini ukisoma vitabu vya dini utagundua Musa alizikwa na Mungu mwenyewe. Swali. Je! Kosa moja la Musa lilifuta mema yote? Jibu. Hapana, duniani hajawahi tokea mtu azikwe na Mungu na kaburi lake halikuonekana popote.

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    @@eliashibundabalinze2217 hatujaelewa unataka kutufundiaha nini

  • @aronatv47

    @aronatv47

    2 жыл бұрын

    @@elizabethpetro1258 Huwezi elewa Hata siku moja kwa akili za Kawaida..

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    2 жыл бұрын

    @@aronatv47 haina maana kama hujatufafanulia hatuna hizo akili za ki Mingu...!!!

  • @maryshirima1234

    @maryshirima1234

    2 жыл бұрын

    @@eliashibundabalinze2217 Maneno mazito sana...yanafikirisha! Ukitendea haki nafasi yako ukagusa moyo wa Baba hata kama ukikosea kwa sababu kuna kitu ulikijenga moyoni mwake hakika atakuadhibu ila kiheshima sana maana wewe ni kati ya wapendwa wake. Mungu atuwezeshe kwa kweli.

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi40142 жыл бұрын

    Bashe is the one of potential person in our Tanzania country .

  • @timboxlee919
    @timboxlee9192 жыл бұрын

    Bashe tuna kilimo cha tanzanie kibadilike,na nchi nyingine ziige kutoka Tanzanie,Rip JPM

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75472 жыл бұрын

    Uko vizuri pambana bro!naupenda uzalendo wako!rest in peace our President

  • @saidsemainda1005
    @saidsemainda10052 жыл бұрын

    Rais wa miaka ijayo mungu akutangulie

  • @leaherasto929
    @leaherasto9292 жыл бұрын

    Endelea kupumzika kwaamani Rais Magufuli tumekumis sana

  • @alisaidi7477
    @alisaidi74772 жыл бұрын

    Bashee SIYO MNA FIKIII... siku zotee namkubal...na anapiga kazi qel cyo ujanja ujanjaaa

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88192 жыл бұрын

    Mungu azid kukutangulia Bashee

  • @ezekielmugeta2427
    @ezekielmugeta24272 жыл бұрын

    #JPM😢 until next tym

  • @julianaswai7846
    @julianaswai78462 жыл бұрын

    Bash kaka Mungu akutangulia kila inapoend kwenye kazi zako. Magu alikuw jembe kwelikweli

  • @rahelmyombo9874
    @rahelmyombo98742 жыл бұрын

    CHUMA ❤️❤️❤️a man and half

  • @rutinginyaneysam.5087
    @rutinginyaneysam.50872 жыл бұрын

    Hhhhaa et ikifeli nakutumbua nakukufunga!! Na ingefeli angekufunga kweli,natamani arud president Maghufuli but Mungu aliruhusu aondoke hatunabud kukubali.

  • @hilarioussaid397
    @hilarioussaid3972 жыл бұрын

    Maashallah Bashite Kwa Hilo Vazi

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili2 жыл бұрын

    🔥❤🔥

  • @rahmamohamed7730
    @rahmamohamed77302 жыл бұрын

    RIP CHUMA tutakukumbuka daima

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri2 жыл бұрын

    Safi mkuuuuuu!!!!!!!

  • @openesisraelnatai2013
    @openesisraelnatai20132 жыл бұрын

    Nimeota wewe ndiye rais ujao wa badae mungu akusaidie

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam66102 жыл бұрын

    Ni mtu msikivu mjanja na muelewa Sana na ni mkali kwenye masuala yanayohusu nchi yake

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru37202 жыл бұрын

    Nakukubali sn Bashe

  • @princekagame8203
    @princekagame82032 жыл бұрын

    Safi Sana Bashe 👍👍

  • @afropatriot7769
    @afropatriot77692 жыл бұрын

    Mheshimiwa umesahau kusema " ahiiiiiiii!! Anhaaa!!! "

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Kutaja jina la hayati Magufuli inashitusha wengi serikalini. Serikali ya do called ya Sita inajitahidi sana kuifuta legacy yake. Kuna watu wana chuki kubwa kwa Hayati Magufuli haswa mafisadi na viongozi walioshindwa kuliongoza taifa hili.

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip89452 жыл бұрын

    💪Leadership

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja94732 жыл бұрын

    Yule alikuwa mtu na nusu hakuwa mtu wa kawaida ilikuwa ni zawadi kutoka kwa Mungu sema tunaona lakini hatuoni

  • @salha6596
    @salha65962 жыл бұрын

    Yani jembe litakumbukwa tu Ata kimoyoyo japo wengine hawataki

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22272 жыл бұрын

    Mungu akutangulie waziri bashe napiys Mungu akulinde nakila Shari yaraab kwamaana mmhhh wabaya wanakutazamatu hapoo

  • @iamnormal8648
    @iamnormal86482 жыл бұрын

    Mh. Bashe kuna watu wakisikia unamtajataja Chuma kwa mazuri watakuchongea utumbuliwe. Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kumtaja Chuma kwa mazuri.

  • @beatricedaudi8233
    @beatricedaudi82332 жыл бұрын

    Bashe...My President👌

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi24482 жыл бұрын

    Bashe Yuko vzr

  • @costantui9169
    @costantui91692 жыл бұрын

    Bashe my role model in politics

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa38422 жыл бұрын

    Kwakuwa alitaka haki siku zote kwahiyo ungebolonga lazima angekuzingua

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery57982 жыл бұрын

    JPM 😭😭😭😭

  • @julianaswai7846
    @julianaswai78462 жыл бұрын

    Maguful bab pumzika. Maneno yako yanaishi hat kwa viongoz wengine.lalaa pemaa magu baba.

  • @alexlyimo5225
    @alexlyimo52252 жыл бұрын

    Huyu ndiyo waziri Malini!

  • @mwemamella1483
    @mwemamella14832 жыл бұрын

    "Hayati" Sio marehemu .

  • @musason1680
    @musason16802 жыл бұрын

    Asee bashe mtu mhimu sana

  • @ephrahimrashid8165
    @ephrahimrashid81652 жыл бұрын

    Daaaa

  • @faisalkamara6122
    @faisalkamara61222 жыл бұрын

    One of the brightest minister.

  • @veraniinnocent7624
    @veraniinnocent76242 жыл бұрын

    Wekeni taarifayote atakama ni episod

  • @robertmgore3653
    @robertmgore36532 жыл бұрын

    Jpm

  • @salumjuma3152
    @salumjuma31522 жыл бұрын

    Nakukubali sana

  • @evelynekasalile3243
    @evelynekasalile32432 жыл бұрын

    Rip chuma kama chuma..tu nakupenda baba,..tutaonana baadae

  • @gastonealinda7494
    @gastonealinda74942 жыл бұрын

    Chuma ni Mungu peke yake! Wengine wote tu mavumbi tu! Na mavumbini tutarudi (Zab 90:1-3).

  • @munyumunyu2772

    @munyumunyu2772

    2 жыл бұрын

    Ume complicate mzee,hii ni artistic reflection ,Mungu Sio Chuma hiyo pia ni reference ni maneno ya maana kiroho sanaa.

  • @viviankangara7492
    @viviankangara74922 жыл бұрын

    Dr. JPM daaah😭😭

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 жыл бұрын

    Mh umependeza sana

  • @elizabethpetro1258

    @elizabethpetro1258

    2 жыл бұрын

    Yaah' kapendeza

  • @davidliwawa6044
    @davidliwawa60442 жыл бұрын

    JPM RIP

  • @rashidkambi4584
    @rashidkambi45842 жыл бұрын

    Dah chuma kikikucheki tu hata km umeiba unarudisha

  • @maryshirima1234

    @maryshirima1234

    2 жыл бұрын

    😆

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    Bashe you are visionary like the late JPM and you are not afraid to fail. You only fail if you do not try and your decision paid off! Kudos!

Келесі