UTACHEKA vituko vya kiongozi magufuli / Bashe Toa darasa Mbele ya JPM
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 14
Bashe he is so smart, mwenyekiti anavyocheka unajua kabisa kama hamna kitu anacheka sana kuliko kuonesha uwezo wa kutetea nafasi yake ya uenyekiti
Unaona ufatiliaji wa Mh baba Rais magufuli, angepata awamu ya Pili kingeeleweka sana. Mungu ailaze roho yake mahali pema. Na Mh Bashe very knowledgeable. Masha Allah
Hao ndio wanao pita bila kupingwa, hao wapo wengi.
Umelala Ila sitachoka kukusikiliza
JPM alishughulika na matatizo ya Watanzania moja kwa moja kutoka chini na alikua mfuatiliaji makini kwa kila kinachoendelea kila mahali. Andelee kupumzika kwa amani!
Bashe among important mps
I miss JPM TRANSPARENCE uwaazi wa mambo ELIMU na CONSCIENCE
Wamepeana vyeo Hana weledi wa kuwa mwenyekiti asee lohhhhh
Mara ya mwisho kumuona magufuli manyoni dah
Rais wetu haupo nasi lakini bado tunajivunia kwa uongozi wako Bashe ashike nafasi yko anajielewa mno.
Hii shida ya wenyeviti wabovu ipo sehemu nyingi. Mwingine kule Moshi aliamuru wajumbe waliovaa barakoa wavue. MaDED nao shida tupu..tatizo linaaanzia pale tunapogawa vyeo makada
🙏
Shida kujua kusoma, kuandika na kuhesabu mwendo wa KKK