EMMY AIBUA MAKUBWA TOZO ZA USHURU WA MAZAO IFAKARA/WAITISHA MAANDAMANO MAKUBWA YA AMANI YA WANANCHI
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 11
Amkeni nchi ni yetu hakuna mwingine kuja kuwatetea lsipokuwa ni sisi kubadilika ktk taifa letu kazi ya kubadili mfumo sio wa chadema au upinzani ni kubadilika ktk mawazo yetu na kufanya viongozi wa bovu ktk serekali kutulewa shule tulienda wengi ila hatuwezi kuwa wote viongozi ktk serekali lakini tunauelewa
Safi kabisa
Kwamim naona sawa to😂😂😂 mana si mnaendlea kuwakumbatia mi naona saf to😅😅😅😅😅😅😅
bado ujasemaaa, hapo bado.
Hii Nchi inatakiwa mabadiliko. Huu utawala wanachojua ni kuumiza wananchi tu. Wa I wako na mavieti zinazotokana na jasho la wanyonge
Viburi kwa wenye mamlaka,hawapendi kibadirika wanna mioyo migumu.Ndo wataanza kujilambalamba kulinda uchaguzi.lakini pia kulindana kunaliangamiza taifa,
Mkurugenzi kaa ofisini bwana uhudumie watu. Usikae getini kuidhinisha mateso ya unaowaongoza. Mwaka wa kuuumbuka huu
Mheshimiwa Tundu Lissu ameyasema sana haya mambo ni nchi nzima wqkulima wanapigwa ile mbaya na hela yenyewe inaenda mifukoni. Uchaguzi ujao wa mitaa waondoeni Hawa wahuni wa CCM!!
Kwa maisha ni msgumu haswaaa aaaaaaaa
Makubwa haya Mungu tusaidie tusiwe kama Kenya mbona nchi imekuwa hivi jamani
@jumandegwakazee
12 күн бұрын
Towa Kenya kwenye mudomo