RAIS MAGUFULI 'AMCHANA' BASHE "ULIKOSOA BUNGENI KAFANYE WEWE SASA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 14
@angelsylvester47952 жыл бұрын
Kaka yangu bashe nakupenda sana na wewe ni kichwa chuma alikuamini sana haujawahi kutuangusha mola akupe kheri zaidi na umri mlefu💯💯💯💯👋👋💕
@erodeshayo1232 жыл бұрын
Ulimfungulia mlango hatakusahau kamwe maishani mwake Mung akupe Pumziko la Amani masee wetu
@bjzee19815 жыл бұрын
Yani uncle Magu ni kama ulisomaga comment yangu. Nilisema Bashe angepewa uwaziri ktk wizara ya kilimo. Mwenyezi Mungu amuwezeshe na amlinde ktk kazi zake. Shukran uncle wetu wa taifa.
@user-kt9qg1mo6l
8 ай бұрын
Amiin
@christinamichaeel97135 жыл бұрын
Hongera sana mungu akuongoze
@victorsir-nga77085 жыл бұрын
bashe kazi anayo sasa,kilimo ni kila kitu.shida maji ila serikali inabidi kupunguza kodi zaidi na zaidi kwenye pembejeo na vifaa vya kilimo hasa pump machine za kusukumia maji.
@profkrayshelu53795 жыл бұрын
Wakulima tunafuraha na imani kubwa na uteuzi huu.
@magomakabanja480 Жыл бұрын
Siulikua Hautaki Ushauri
@digital21.135 жыл бұрын
Kwa bashe mzee hajakosea
@raageabdi31235 жыл бұрын
Tuna kuamini Bashe wewe ni Jembe utabadilisha mambo mengi kapige Kazi
@edinamutakyawa68725 жыл бұрын
safi sn
@harmonizeeetz64615 жыл бұрын
#SAMSUNG wametoa brand ya simu mpya ya maajab ili kujua bei yake na kama unataka kuinunua uchek kupitia kzread.info/dash/bejne/omWTwcyAdpu1prg.html
Пікірлер: 14
Kaka yangu bashe nakupenda sana na wewe ni kichwa chuma alikuamini sana haujawahi kutuangusha mola akupe kheri zaidi na umri mlefu💯💯💯💯👋👋💕
Ulimfungulia mlango hatakusahau kamwe maishani mwake Mung akupe Pumziko la Amani masee wetu
Yani uncle Magu ni kama ulisomaga comment yangu. Nilisema Bashe angepewa uwaziri ktk wizara ya kilimo. Mwenyezi Mungu amuwezeshe na amlinde ktk kazi zake. Shukran uncle wetu wa taifa.
@user-kt9qg1mo6l
8 ай бұрын
Amiin
Hongera sana mungu akuongoze
bashe kazi anayo sasa,kilimo ni kila kitu.shida maji ila serikali inabidi kupunguza kodi zaidi na zaidi kwenye pembejeo na vifaa vya kilimo hasa pump machine za kusukumia maji.
Wakulima tunafuraha na imani kubwa na uteuzi huu.
Siulikua Hautaki Ushauri
Kwa bashe mzee hajakosea
Tuna kuamini Bashe wewe ni Jembe utabadilisha mambo mengi kapige Kazi
safi sn
#SAMSUNG wametoa brand ya simu mpya ya maajab ili kujua bei yake na kama unataka kuinunua uchek kupitia kzread.info/dash/bejne/omWTwcyAdpu1prg.html