RAIS MAGUFULI 'AMCHANA' BASHE "ULIKOSOA BUNGENI KAFANYE WEWE SASA"

Пікірлер: 14

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester47952 жыл бұрын

    Kaka yangu bashe nakupenda sana na wewe ni kichwa chuma alikuamini sana haujawahi kutuangusha mola akupe kheri zaidi na umri mlefu💯💯💯💯👋👋💕

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo1232 жыл бұрын

    Ulimfungulia mlango hatakusahau kamwe maishani mwake Mung akupe Pumziko la Amani masee wetu

  • @bjzee1981
    @bjzee19815 жыл бұрын

    Yani uncle Magu ni kama ulisomaga comment yangu. Nilisema Bashe angepewa uwaziri ktk wizara ya kilimo. Mwenyezi Mungu amuwezeshe na amlinde ktk kazi zake. Shukran uncle wetu wa taifa.

  • @user-kt9qg1mo6l

    @user-kt9qg1mo6l

    8 ай бұрын

    Amiin

  • @christinamichaeel9713
    @christinamichaeel97135 жыл бұрын

    Hongera sana mungu akuongoze

  • @victorsir-nga7708
    @victorsir-nga77085 жыл бұрын

    bashe kazi anayo sasa,kilimo ni kila kitu.shida maji ila serikali inabidi kupunguza kodi zaidi na zaidi kwenye pembejeo na vifaa vya kilimo hasa pump machine za kusukumia maji.

  • @profkrayshelu5379
    @profkrayshelu53795 жыл бұрын

    Wakulima tunafuraha na imani kubwa na uteuzi huu.

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Жыл бұрын

    Siulikua Hautaki Ushauri

  • @digital21.13
    @digital21.135 жыл бұрын

    Kwa bashe mzee hajakosea

  • @raageabdi3123
    @raageabdi31235 жыл бұрын

    Tuna kuamini Bashe wewe ni Jembe utabadilisha mambo mengi kapige Kazi

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa68725 жыл бұрын

    safi sn

  • @harmonizeeetz6461
    @harmonizeeetz64615 жыл бұрын

    #SAMSUNG wametoa brand ya simu mpya ya maajab ili kujua bei yake na kama unataka kuinunua uchek kupitia kzread.info/dash/bejne/omWTwcyAdpu1prg.html

Келесі