Bashe: Kauze nyumba yako unayokaa na familia yako nataka hela ya wakulima''
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amezungumza na kampuni ya Becco inayojihusisha na soko la tumbaku nchini na kutaka kampuni hiyo kuwalipa wakulima fedha zao.
Жүктеу.....
Пікірлер: 29
@margarethsolomon98232 жыл бұрын
Ningekuwa karibu Mheshimiwa Bashe na waziri wa kilimo Hakika ningekubeba. Binafsi nampenda mtu asiye na mzaha na lugha nyepesi kwenye mambo nyeti na hasa yanayogusa watu wanyonge. Siwapendi na ninawachukia vipora majizi ya nguvu za WANYONGE.
@bajagihaji89232 жыл бұрын
Safi waziri tunajiita wazalendo kwa kudanganya uma lakini maadili hovyo bravo waziri bashe mfano mzuri kazi iendelee
@eliakimchaiikobellah3582 жыл бұрын
👋👋👋 Wananenepeana tu Kwa jasho LA watu, flisi hao ili wajue ugum wanaopata wakulima, washinde shambani wengine, kula wale wao, safi Sana waziri
@BernaFortunatus-sl9ig Жыл бұрын
Safi saana wazili hakika ujawekwa
@donkingtraders6922 жыл бұрын
Huyu ndio waziri wa tz wanyonge M.mungu akutangulie kaka ...
@silverman6930 Жыл бұрын
Best minister 🇬🇧❤️
@sameermilo24922 жыл бұрын
Safi mh waziri ... Nyooosha tu
@AlAl-sd9pl2 жыл бұрын
Nakupenda ajue mungu. Maana sisi wanyonge unatupa moyo na hamasa kubwa bash mungu Akulinde
@edwardlyoba49092 жыл бұрын
Uyujama safi san na mkubali mungu akupe maisha malefu sana bashe
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Twenge kua Na mawaziri kama hawa twenge kua mbali sana Tanzania shida kubwa kuna mizigo takribani yote kutoa mweshimiwa bashe peke yake
@aishawalele93772 жыл бұрын
Safi sana asitoke mtu apo
@mwenem81302 жыл бұрын
Mh Bashe sukuma ndani hawa akina kangomba, WEZI WAKUBWA HAWANA HATA AIBU. unene wa wizi😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@radhiasalum7156
2 жыл бұрын
Umeina ee unene kama mitembo😀😀
@mwakasegeshukuru37202 жыл бұрын
Upo vzr sn mh Bashe
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Hao wezi heri kuchukua waaminifu wazungu ndiyo maana wanapendwa kuchukua hizo tenda hao ni kama wale wa mashamba ya mikonge wauze kila kitu wawalipe wakulima utalaumiwa sana kwenye uwaziri wako mwanazengo
@christinakembe38692 жыл бұрын
Kaka wewe,Mungu akutunze,Jitahidi na ibada na Mungu hatakuacha Kwa kuwa mwaminifu....
@francephilipo35012 жыл бұрын
Safi sana bashee
@francephilipo35012 жыл бұрын
Mawaziri wote wangelikua hv nchi ingelifika mbali sana
@ManaseBuhanza-cl1lc Жыл бұрын
Walaka kutorewa haraka kulipwa haraka sana rais samia nitaifanyia upembuzi mpaka kutumbua majipu haraka kwa wahujum wa tasaf
@dchacha42 жыл бұрын
👏👏👏🤝
@AlAl-sd9pl2 жыл бұрын
Ila kama ushaur wa maskin unasikilizwa naomba CCM mumteuwe huyu bash 2025.agombee.urais
@fadhililihinda64912 жыл бұрын
Kama tungekua tunajali maslahi ya nchi, Bashe ni presidential materials. Anafanya anacho kiamini, anatekeleza anacho kipanga; anauchukia umasikini ulio mbele ya wananchi wake. Long leave dogo, binafsi nakukubali sana
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Kamua uyo kamua wanajaza matumbo wakuliwa wanashidwa kusomesha watoto
@AlAl-sd9pl2 жыл бұрын
Iv kwa nini huyu Muheshimiwa asgombee urais jaman
@Zamzam.0442 жыл бұрын
Next-generation magufuli endelea mheshimiwa Africa nzima wana hitaji watu kama ww
@kennethkilonzo12932 жыл бұрын
Mswahili mswahili
@charlesmakuri7922 жыл бұрын
Ndioo bila ukari hatuendi
@ManaseBuhanza-cl1lc Жыл бұрын
rais samia awangeukia wasimamizi wa mfuko wa TASAF wanufaika mkoani kigoma wilayani kasulu kata msambara halmashaul ya mjini wanufaika wa taharuki kwa malipo yao imeonekana serkali haiwaoni wanufaika
Пікірлер: 29
Ningekuwa karibu Mheshimiwa Bashe na waziri wa kilimo Hakika ningekubeba. Binafsi nampenda mtu asiye na mzaha na lugha nyepesi kwenye mambo nyeti na hasa yanayogusa watu wanyonge. Siwapendi na ninawachukia vipora majizi ya nguvu za WANYONGE.
Safi waziri tunajiita wazalendo kwa kudanganya uma lakini maadili hovyo bravo waziri bashe mfano mzuri kazi iendelee
👋👋👋 Wananenepeana tu Kwa jasho LA watu, flisi hao ili wajue ugum wanaopata wakulima, washinde shambani wengine, kula wale wao, safi Sana waziri
Safi saana wazili hakika ujawekwa
Huyu ndio waziri wa tz wanyonge M.mungu akutangulie kaka ...
Best minister 🇬🇧❤️
Safi mh waziri ... Nyooosha tu
Nakupenda ajue mungu. Maana sisi wanyonge unatupa moyo na hamasa kubwa bash mungu Akulinde
Uyujama safi san na mkubali mungu akupe maisha malefu sana bashe
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Twenge kua Na mawaziri kama hawa twenge kua mbali sana Tanzania shida kubwa kuna mizigo takribani yote kutoa mweshimiwa bashe peke yake
Safi sana asitoke mtu apo
Mh Bashe sukuma ndani hawa akina kangomba, WEZI WAKUBWA HAWANA HATA AIBU. unene wa wizi😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@radhiasalum7156
2 жыл бұрын
Umeina ee unene kama mitembo😀😀
Upo vzr sn mh Bashe
Hao wezi heri kuchukua waaminifu wazungu ndiyo maana wanapendwa kuchukua hizo tenda hao ni kama wale wa mashamba ya mikonge wauze kila kitu wawalipe wakulima utalaumiwa sana kwenye uwaziri wako mwanazengo
Kaka wewe,Mungu akutunze,Jitahidi na ibada na Mungu hatakuacha Kwa kuwa mwaminifu....
Safi sana bashee
Mawaziri wote wangelikua hv nchi ingelifika mbali sana
Walaka kutorewa haraka kulipwa haraka sana rais samia nitaifanyia upembuzi mpaka kutumbua majipu haraka kwa wahujum wa tasaf
👏👏👏🤝
Ila kama ushaur wa maskin unasikilizwa naomba CCM mumteuwe huyu bash 2025.agombee.urais
Kama tungekua tunajali maslahi ya nchi, Bashe ni presidential materials. Anafanya anacho kiamini, anatekeleza anacho kipanga; anauchukia umasikini ulio mbele ya wananchi wake. Long leave dogo, binafsi nakukubali sana
Kamua uyo kamua wanajaza matumbo wakuliwa wanashidwa kusomesha watoto
Iv kwa nini huyu Muheshimiwa asgombee urais jaman
Next-generation magufuli endelea mheshimiwa Africa nzima wana hitaji watu kama ww
Mswahili mswahili
Ndioo bila ukari hatuendi
rais samia awangeukia wasimamizi wa mfuko wa TASAF wanufaika mkoani kigoma wilayani kasulu kata msambara halmashaul ya mjini wanufaika wa taharuki kwa malipo yao imeonekana serkali haiwaoni wanufaika
hivyo ndiyo vile inahitajiwa