Mheshimiwa Waziri hongera sana kwa darasa uliotoa bungeni wanaelewa vizuri,sema inabidi tu watoe mawazo yao ,nawewe endelea kuupiga mwingi ni jukumu lako kuufahamisha umma,kama watachagua kuto kukuelewa usijali tukikuelewa sisi wanachi inatosha.
@mbondelotv8380 Жыл бұрын
Ili la hivi ndio bunge jenga hoja.leta mbinu kosoa mbinu ipitishwe yenye mashiko.HONGERA MWIGULU
@mustaphatibaijuka6995 Жыл бұрын
Huyu ndo mwigulu ninayemfahamu hongera saaaana waziri kwa taarifa nzuri
@kichelemsabi5685 Жыл бұрын
Hongera sana mwigulu nikweli wakulima wanafanya kazi gumu Sana mungu akubaliki ,
@BONIPHACESANGALALI-qc2rl Жыл бұрын
Hongera mh mwiguru kwa maelezo mazuri kati ya mfumko wa bei na bei
@boniphacemoshi2993 Жыл бұрын
Mwigulu umeelezea vizuri sana.Big up Bro hatua serikali inachukua Uchumi wetu utaendelea kukua siku Hadi siku.Honger kiongozi.Kaza Buti.
@juliusakilimali9424 Жыл бұрын
Leo umefundisha mh. Waziri wa fedha. Congrats!!
@migerajacob581 Жыл бұрын
Serekari ilichelewa sana kuwekeza ktk kilimo hii ndio sector pekee, inayo weza kutoa ajira kwa wingi na kuinua uchumi wa watanzania kwa haraka,
@gradiusernest4716 Жыл бұрын
Asante mheshimiwa umeongea kiuchumi
@frankmadulu8547 Жыл бұрын
Hongera sana Muheshimiwa mwigulu
@madumamaduma8571 Жыл бұрын
Mh. waziri Mwigulu uko vizuri Sana. wewe Ni mmoja wapo wa majembe ya Mh. Raisi Samia
@ezeedi871 Жыл бұрын
Sema Leo umeongea point mwamba but kukuamin sometimes inakua kazi et coz huelewekag et unabadilika sana but kwa Leo point kubwa Sana umeongea kaka Mwigulu
@azorheradius8681 Жыл бұрын
Kiongozi uko vizuri ase, please hiyo shule uwe unaitoa ata mara mojamoja yawezekana ikasaidia kutuongezea uelewa watu wakapunguza malalamiko
@user-zp6ub1nc3v Жыл бұрын
Rais Samia unapiga kazi vizuri sana,kwahilo tuna kumshukuru But umechemsha KUMUEKA MWIGULU KWENYE WIZARA YA FEDHA
@shcraightup Жыл бұрын
Well said👏🏿👏🏿
@gdesiandimbo5363 Жыл бұрын
Asante baba tunamuelewa samia wetu
@eliasmasanyiwa6534 Жыл бұрын
Nlikuwa nakuchukulia poa Mwamba...Nmeamini U deserve that position...keep going.
@thomasialute7828 Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri wa fedha na mipango upo sahihi Sana mungu akubariki uendelee na hiyo elimu wabunge wengi wamekuelewa Sana na wananchi ambao wanakufuatilia waache wenye wivu wajinyonge
@cvanoedward3093 Жыл бұрын
Kuongoza watu ni kazi sana bei zikiwa ndogo wanalalamika zikiwa kubwa bado wanalalamika hawa ndo wabongo
@paulina.baynit7970 Жыл бұрын
Leo umeongea vizuri sana, hongera Mwigulu, wabunge wa mwaka huu utafikiri hawajaenda shule, wape shule.
@jonathanmwakabuku4714 Жыл бұрын
Umemkashifu boss wako kwa kuwa na honorary doctor kweli we kijana una majigambo sana
@KazimilyCharles-wi4wb Жыл бұрын
Hongera xana mheshimiwa mwinguru
@osiahlupa1605 Жыл бұрын
Hakika Leo umeelweka, endelea kujibu Kwa weledi hivohivo.🇹🇿 Tunaipenda
@sarahkeivaly3351 Жыл бұрын
Mwigilu Nchemba kukuamini tena itakuwa Ni shida Sana; kwamba kwasasa unatetea maslahi ya wananchi sio kweli😒
@emmanuelmlowe-ew7gx
Жыл бұрын
Wewe pingamizi hoja au kubal,unaongea kuwahoji,ubao uwezo wakisema chochote nahuna elimu yote?
@ayubumandi3431 Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri umefafanua vzr nimekuelewa sanaa KAZI iendelee
@yesuanaokoamtumainiyeye1360 Жыл бұрын
acha story Mwigulu fanyeni kazi tatizo maneno mengi halafu utekelezaji sifuri
@banzimtizii5020 Жыл бұрын
Nilikuwa nakuchukulia poa poa ila leo ulivyoongelea uchumi nami mchumi mwenzio apa, well said wape darasa bungeni apo
@alphoncekagezi4950 Жыл бұрын
Kuuza chakula nje bila kuwa na uhakika wa kesho ni hatari sana? Majibu ya Mwiguru ya jaziba kitu ambacho sio chema.
@damianmathew6608 Жыл бұрын
Ni huruma sana kuwa na viongoz wasiofaa na waongo na wasio na upeo kama huyu ...da noma sana anamsifusifu tu mama .na Hana sera na utulivu wa akili na ni mtu wa kawaida sana . Du Tanzania yangu inapotea Tena ...miaka 2 tu toka baba Magufuri afariki roho inauma sana ..
@farusaimon3490 Жыл бұрын
KONGOLE nyingi sana kwa Serikali kupitia Mhe. Mwigulu. Kilimo kitakuwa na heshima na thamani kama Mkulima atauza kwa bei nzuri. Rai yangu kwenu, ruzuku ya mbolea usije shusha sana bei ya mazao.
@justicemboma8982 Жыл бұрын
Ieo umeongea point big up
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Umetisha saaana mkuu 🇹🇿🇶🇦
@geofreymbilinyi8023 Жыл бұрын
Good speech Mh Mwiguru Dr yako umeitendea haki
@odenimwachogo7426 Жыл бұрын
Sio kutisha wee unakatisha watu tamaa mzee . Dunia ipo kiganjani wenzio wanaKuna mwongo tu, alafu ukija kipewa tena uwazir me ntaandamana
@boniphace1 Жыл бұрын
Safi sana mkuu
@christiannjau7191 Жыл бұрын
Nimemuelewa waziri vizuri..sana for the first time...
@jeremiahkileo6641 Жыл бұрын
Very good 👍
@user-zp6ub1nc3v Жыл бұрын
Huyu Mwigulu sio Dr tusidanganyane. Mjika kama huyu hakuna. Please please please mama yetu tuondolee huyu mjinga
@mbagason Жыл бұрын
Shemeji yangu Mwigulu unafeli sana acha ubinafsi achia pesa
@lameckbalekere1962
Жыл бұрын
Kuma nashemeji yako
@godwimmkolomi8988 Жыл бұрын
Ehee kumbe kunawakati anaweza mpina hongera
@mipawasuleiman7879 Жыл бұрын
Leo ndio nimeelewa kwann umepewa hiko cheo uko vzr sana
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Hapo sawa wanatosha 2100 niwengi sana nahawana kazi zaidi kuwadhoofisha wanyonga katika biashara zao wanatosha hao
@paulmusa2378
Жыл бұрын
Ni wehu tu, ukali huo unalinda upuuzi wa viongozi
@samwelimadaha767 Жыл бұрын
Umejitahidi kujibu vizuri ,Hongera waziri! Tunahitaji majibu bora. Pia wabunge mshirikiane kutengeneza suluhisho sio kupingana pingana na kuwaza kufukuzana na kujiuzuri. TUPENDANE, TUJENGANE
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Kuna mijitu ina negativity haijawah ona mazuri ya serikali.inasababisha wahaka tu mtaani.safi sana Dr.mwigulu
@mahewasamwel9001
Жыл бұрын
Hamna kitu wew ujui kitu
@zeyanaibrahim Жыл бұрын
yaami Mwingulu wewe ni kati ya Watanznaia wenye vipawa vya juu hongera sana kwa maelezo yako ya kisayansi kabisa
@sakandalinus3125 Жыл бұрын
1500 wameshaajiriwa,500 wako hatua za mwisho,1st statement. 2nd statement, 2000 wameshaajiriwa na 100 wapo katika hatua za ukamilisho wa usaili.Mheshimiwa hapa hatujaelewa namba kamili kutokana na statement ya kwanza na ya pili.
@wilsonwincheslaus9347 Жыл бұрын
I appreciate it
@makupejafar1771
Жыл бұрын
Mchemba ukimya unawafanya watu wakuona kama hauzui kitu kumbe ni kichwa
Dkt. Mwigulu nchemba, umeeleza vizuri kabsa wamechagua kutoelewa wenyewe mtu mwenye utimamu ameelewa, kwahiyo nakupongeza sana kwa kazi nzur uliyo fanya hongera sana 👍🙏🙏. Lakini Dkt mwigulu nchemba napenda nikwambie kwamba hao wamepanga kutoelewa wenyewe usiwawazie sana wachukulie kama motisha ya ww kufanya vizuri
@karolikisaka8991 Жыл бұрын
Wewe mtu alisema wewe ni tajiri ilihali unashinda njaa Ina faida gani. Uhalisia maisha ni mtu anayeyaishi mtu mwenyewe
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Well said dr.mwigulu nchemba
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Makusanyo yameongezeka lkn na upigaji umezidi kwa mujibu wa CAG
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Hao jamaa wa taarifa sometimes wanazinguaga sana acha mtu amalize hoja zake. Safi sana wazir wa fedha umeongea vzuri sana mno.Mkulima akiinuliwa uchumi wa nchi unapanda chap
@katambimfalimbega3808 Жыл бұрын
mwigulu Leo nimekubali jibu ni kubaransi
@msatibongonyuzi14 Жыл бұрын
Waziri uko sahihi kabisa hongera
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Kwahiyo mwiguru leo amemzarau mpaka bosi wake. Mama vua uo udaktari wa kupewa maana ni kumbe wanakwita daktari pembeni wana kucheka.
@margarethsaramaki3966
Жыл бұрын
Afute usemi wake kuwa ana udoctor wa kusoma na siyo wa heshima🥲🥲🥲
@geraldmtesigwa6864 Жыл бұрын
Yes sir
@mburuumbe5659 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂watake radhi wenye honorable doctorate
@sudenwahab4110 Жыл бұрын
Lini mmesaidia wananchi na lini mmesikia ushauri wa wabunge kila wakija wabunge wanaomgea hakuna mnalofanya au kusikia ushauri wao
@ivodaman6236 Жыл бұрын
safi sana mkuu nimekuelewa,,watu wanamafikilio ya hovyo sana,,,wanataka wakulima wauze mazao yao kwa bei nafuu wakati wao walinunua mbolea kwa gharama kubwa,,huku kwetu tulinunua mbolea mpaka laki na nusu
@kokombwana8625
Жыл бұрын
Kuna jambo wanajisahau,mkulima wa kawaida sio anayefaidika. Kuna wanaonunua mazao (madalali) ndio wanaonufaika
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
Wengine wanashabikia lakini hawana uhalisia. Wakulima wengi wa kawaida mazao yao yananunuliwa kabla hata ya kuvunwa na hao matapeli wanajiita madalali.
@seifmwangarume907
Жыл бұрын
Wanufaika wa kuu ni watu kati yaani kuna yule anaenda kununua shamba halafu kuna yule dalali wa sokoni hapo tunazungumzia mahindi bado hajakua processed kua unga na yule dalali wa sokoni atamuuzia mnunuzi wa jumla ane saga kuuza unga imagine hii bei iliongezeka kwa hapa kati tuuu,kabla mfanya biashara wa leja leja hajanunua unga kwenda kumuuzia mlaji
@sebastianzongoro8915
Жыл бұрын
Hujajibu lolote
@lovenessmohamedy6329 Жыл бұрын
Hujajibu swali hizi bei zinamfaidisha mkulima au nan
@selemansombe4177 Жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@pascalcostantine4478 Жыл бұрын
Povu linamwagika hapa
@clementsangale7402 Жыл бұрын
Mh. Mwigulu nimekukubali, umeongea shule kubwa sana ya uchumi, keep it, watakuelewa tu. Uchumi ni sayansi lazima ufuate principles zake. Unastahili kuwa waziristan wetu wa fedha. Piga kazi. Cheers
@johnsonbagambi1908 Жыл бұрын
👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼
@silverygregory9521 Жыл бұрын
Hakika umetumie Taaluma yako vizuri, jenga nchi tupunguze porojo. Hata mimi mamuma nimekuelewa vema. Kongole Mwigulu
@wilbertlufurano36293 ай бұрын
Siyo sawa
@frankmichael9866 Жыл бұрын
😀😀😀 kwhy hata we mheshmiwa unaelew kwamba degree za kupewa ni use......e😀😀😀??? Kwahyo uchumi upo imara Sio??? Mamaeee
@onescaniaonescania8227 Жыл бұрын
Ww n hewaa ,anaezalishaa ,atakulaa yeye ,au mlaji analimaa, kwa nn Mlaji asilalaamike
@stephanominja8927 Жыл бұрын
Kwa swala la bei ya mazao. Mimi naunga mkona sn wananchi wanakosaga soko. Lkn Now soko lipo ambaye hajalima atajiju,, Mh samia hivyo hivyo soko liwe wazi muda wote,, ila wananchi waeleimishwe kuweka akiba,, swala la la tembo kula mazao wekeni jicho la tatu hapo
@yoabuonesmondanzi3460 Жыл бұрын
Weledi weledi 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@godwinmwakibibi274 Жыл бұрын
Leo mama samia lazima akupigie makofi brother umeupiga mwingi
@josephndomba1895 Жыл бұрын
Waziri umeongea point tumesikia watanzania
@seifdunstani2350 Жыл бұрын
Katika swala la kilimo mm nashauli kwa serikali kwa ujumla swala kuu muhimu ni kupunguza ghalama za tozo kwenye mazao yetu kiukweli tozo ziko nyingi sana hakika mkifanya ivyo mtaweza kumsaidia mkulima na mtumiaji wa mwisho huo ndio ushauri mm najua hakika hili litaweza kusaidia na sio kwa zao moja tu inabidi kupitia mazao yote ktk swala la zoto au ushuru.
@eliacharles5729 Жыл бұрын
MUNGU akubariki mwigulu
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Ndugu tumedanganywa kweupe mkulima anapata bei ndogo kabisa hapa wanatetewa wafanyabiashara wanaosafilisha nje ya nchi
@lukasielibariki3181
Жыл бұрын
Wapi wewe tumeuza mpunga gunia 260000 wakati tulikuwa tunauza 90000
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
@@lukasielibariki3181 wewe uma heka ngapi kaka?
@charlesmakuri792
Жыл бұрын
@@lukasielibariki3181 sasa hii ukisikia zuzu ndio wewe
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@husseinmkanga7794 hana hata moja...ukiskia ivo ndo mlanguzi mwenyewe!!!
Mmeuza mchele wote nje halafu mnaagiza mchele ulio chini ya kiwango, hakuna mkulima mwenye nafaka, nafaka ziko kwenye stoo za wafanyabiashara, mwigulu huna hoja ya msingi hapo!!!!
@yahayaramadhani64182 ай бұрын
Mwigulu nchi unailamba sana.
@erastomapunda1444 Жыл бұрын
Taarifa imepuuzwa atakumzimia mirc ameshindwa wangekuwa wengine
@samasob8233 Жыл бұрын
Kwani lazima uwe waziri wa fedha? Yaliyosemwa ni kweli yametokea waziri hajasingiziwa. Jiuzulu tu, kwa sababu siasa si ajira ni wito. Mpaka tukifahamu hilo ndo Tanzania tutaendelea! Otherwise kelele na kushibisha matumbo tu!
@godfreykovaga3454 Жыл бұрын
Mwenyekit gani uyoo anamlinda wazir kwanin asikilizi taalifa za watu huo upumbavu kama kiti akikufai achana nacho
@StanleyMakombe-fh2tq Жыл бұрын
Good
@jonathanmwakabuku4714 Жыл бұрын
Hizo lugha tumezoea kuzisikia toka nyuma huko wewe sio wa kwanza. Masomo ya uchumi wewe umesoma juzi tu na waliokufundisha wapo mbona we unajifanya umesoma kuliko wote wakati bado mchanga. Wapo akina proff.Assad na wengine.
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
🌏
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Huyu jamaa sipotumbuliwa Mimi naenda Burundi
@wilsonwincheslaus9347 Жыл бұрын
Sijui niseme Nini Kwa mwiguru
@antipasmkude3789 Жыл бұрын
Huyu mchumi gani anayejimwambafai na udoctor wake wa uchumi, mbona hatuoni wananchi wakiwa na unafuu. Roll ya serikali ni mini? Siyo matheory yako yasiyotekelezeka. Kila kitu rais, rais , rais ina maana ndiyo mtaalam wa kila kitu
@syriacusnestorhans4475 Жыл бұрын
Tatizo lako uongeagi Leo umeongea na umeeleweka
@onelovetz79355 ай бұрын
Mliisha mteka samia unalopoka tu kwahasila unajihami tu mshenzi tu
@bakarithegeoinformatician7406 Жыл бұрын
Sector ya Ardhi zikitoka 1000 tu sidhani kama mtaani abaki mtu!
@hamzanamahala6201 Жыл бұрын
Kwa majibu ya mwigulu rais anahusika kwenye riport ya CAG kuruhusu ubadhirifu wa pesa ya umma, maana yake alikua anashangaa taarifa ya mkaguzi, labda waziri ametumia jina la rais kuhalalisha madudu yaliyofanyika katika wizara za kisector
@samwelmwanga254 Жыл бұрын
Kwa hiyo wale wa udaktari wa heshima ni noma
@mwanituusiame5764 Жыл бұрын
Mwingulu nimekuelewa kama mutu ana akili atakuelewa wewe ni mutu kweli kweli ila kwenye madalasa apo si mama alienda kukopa
@emmanuelnichoulaus8166 Жыл бұрын
TUACHE SIASA KWENYE MAISHA YA WATU NA KUJIFANYA UNAPINDISHA UKWELI HII SIO SHERIA "MWIGULU" UKWELI NI KWAMBA HUKO VIJIJI WATU HAWATUMII HATA HIYO MBOLEA UNAYOSEMA HASA KWENYE KILIMO YA MPUNGA N,K
@mindicarrashid3131 Жыл бұрын
Mwigulu upo sahihi
@nkwabimayunga473 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@nkwabimayunga473
Жыл бұрын
elimu na ubora wake waklima wanalia na hasara mazao ya mekufa na upugufu wa vua unaleta hoja isiyo na mashiko garama za mbolea waliopata hasara huzugumzii hoja kushusha mazao ya wakulima wewe mbuge hakili matope kabisa kutisha taamaa wakulima hufai kupewa sekita yoyote
Пікірлер: 286
Mheshimiwa Waziri hongera sana kwa darasa uliotoa bungeni wanaelewa vizuri,sema inabidi tu watoe mawazo yao ,nawewe endelea kuupiga mwingi ni jukumu lako kuufahamisha umma,kama watachagua kuto kukuelewa usijali tukikuelewa sisi wanachi inatosha.
Ili la hivi ndio bunge jenga hoja.leta mbinu kosoa mbinu ipitishwe yenye mashiko.HONGERA MWIGULU
Huyu ndo mwigulu ninayemfahamu hongera saaaana waziri kwa taarifa nzuri
Hongera sana mwigulu nikweli wakulima wanafanya kazi gumu Sana mungu akubaliki ,
Hongera mh mwiguru kwa maelezo mazuri kati ya mfumko wa bei na bei
Mwigulu umeelezea vizuri sana.Big up Bro hatua serikali inachukua Uchumi wetu utaendelea kukua siku Hadi siku.Honger kiongozi.Kaza Buti.
Leo umefundisha mh. Waziri wa fedha. Congrats!!
Serekari ilichelewa sana kuwekeza ktk kilimo hii ndio sector pekee, inayo weza kutoa ajira kwa wingi na kuinua uchumi wa watanzania kwa haraka,
Asante mheshimiwa umeongea kiuchumi
Hongera sana Muheshimiwa mwigulu
Mh. waziri Mwigulu uko vizuri Sana. wewe Ni mmoja wapo wa majembe ya Mh. Raisi Samia
Sema Leo umeongea point mwamba but kukuamin sometimes inakua kazi et coz huelewekag et unabadilika sana but kwa Leo point kubwa Sana umeongea kaka Mwigulu
Kiongozi uko vizuri ase, please hiyo shule uwe unaitoa ata mara mojamoja yawezekana ikasaidia kutuongezea uelewa watu wakapunguza malalamiko
Rais Samia unapiga kazi vizuri sana,kwahilo tuna kumshukuru But umechemsha KUMUEKA MWIGULU KWENYE WIZARA YA FEDHA
Well said👏🏿👏🏿
Asante baba tunamuelewa samia wetu
Nlikuwa nakuchukulia poa Mwamba...Nmeamini U deserve that position...keep going.
Mheshimiwa waziri wa fedha na mipango upo sahihi Sana mungu akubariki uendelee na hiyo elimu wabunge wengi wamekuelewa Sana na wananchi ambao wanakufuatilia waache wenye wivu wajinyonge
Kuongoza watu ni kazi sana bei zikiwa ndogo wanalalamika zikiwa kubwa bado wanalalamika hawa ndo wabongo
Leo umeongea vizuri sana, hongera Mwigulu, wabunge wa mwaka huu utafikiri hawajaenda shule, wape shule.
Umemkashifu boss wako kwa kuwa na honorary doctor kweli we kijana una majigambo sana
Hongera xana mheshimiwa mwinguru
Hakika Leo umeelweka, endelea kujibu Kwa weledi hivohivo.🇹🇿 Tunaipenda
Mwigilu Nchemba kukuamini tena itakuwa Ni shida Sana; kwamba kwasasa unatetea maslahi ya wananchi sio kweli😒
@emmanuelmlowe-ew7gx
Жыл бұрын
Wewe pingamizi hoja au kubal,unaongea kuwahoji,ubao uwezo wakisema chochote nahuna elimu yote?
Mheshimiwa waziri umefafanua vzr nimekuelewa sanaa KAZI iendelee
acha story Mwigulu fanyeni kazi tatizo maneno mengi halafu utekelezaji sifuri
Nilikuwa nakuchukulia poa poa ila leo ulivyoongelea uchumi nami mchumi mwenzio apa, well said wape darasa bungeni apo
Kuuza chakula nje bila kuwa na uhakika wa kesho ni hatari sana? Majibu ya Mwiguru ya jaziba kitu ambacho sio chema.
Ni huruma sana kuwa na viongoz wasiofaa na waongo na wasio na upeo kama huyu ...da noma sana anamsifusifu tu mama .na Hana sera na utulivu wa akili na ni mtu wa kawaida sana . Du Tanzania yangu inapotea Tena ...miaka 2 tu toka baba Magufuri afariki roho inauma sana ..
KONGOLE nyingi sana kwa Serikali kupitia Mhe. Mwigulu. Kilimo kitakuwa na heshima na thamani kama Mkulima atauza kwa bei nzuri. Rai yangu kwenu, ruzuku ya mbolea usije shusha sana bei ya mazao.
Ieo umeongea point big up
Umetisha saaana mkuu 🇹🇿🇶🇦
Good speech Mh Mwiguru Dr yako umeitendea haki
Sio kutisha wee unakatisha watu tamaa mzee . Dunia ipo kiganjani wenzio wanaKuna mwongo tu, alafu ukija kipewa tena uwazir me ntaandamana
Safi sana mkuu
Nimemuelewa waziri vizuri..sana for the first time...
Very good 👍
Huyu Mwigulu sio Dr tusidanganyane. Mjika kama huyu hakuna. Please please please mama yetu tuondolee huyu mjinga
Shemeji yangu Mwigulu unafeli sana acha ubinafsi achia pesa
@lameckbalekere1962
Жыл бұрын
Kuma nashemeji yako
Ehee kumbe kunawakati anaweza mpina hongera
Leo ndio nimeelewa kwann umepewa hiko cheo uko vzr sana
Hapo sawa wanatosha 2100 niwengi sana nahawana kazi zaidi kuwadhoofisha wanyonga katika biashara zao wanatosha hao
@paulmusa2378
Жыл бұрын
Ni wehu tu, ukali huo unalinda upuuzi wa viongozi
Umejitahidi kujibu vizuri ,Hongera waziri! Tunahitaji majibu bora. Pia wabunge mshirikiane kutengeneza suluhisho sio kupingana pingana na kuwaza kufukuzana na kujiuzuri. TUPENDANE, TUJENGANE
Kuna mijitu ina negativity haijawah ona mazuri ya serikali.inasababisha wahaka tu mtaani.safi sana Dr.mwigulu
@mahewasamwel9001
Жыл бұрын
Hamna kitu wew ujui kitu
yaami Mwingulu wewe ni kati ya Watanznaia wenye vipawa vya juu hongera sana kwa maelezo yako ya kisayansi kabisa
1500 wameshaajiriwa,500 wako hatua za mwisho,1st statement. 2nd statement, 2000 wameshaajiriwa na 100 wapo katika hatua za ukamilisho wa usaili.Mheshimiwa hapa hatujaelewa namba kamili kutokana na statement ya kwanza na ya pili.
I appreciate it
@makupejafar1771
Жыл бұрын
Mchemba ukimya unawafanya watu wakuona kama hauzui kitu kumbe ni kichwa
Nzuri sana
Waganga wite wanashilukyana moaka mwigulu atakunya mavi,kasahau kuwa huenda kutibiwa .wamloge afe kibuli
Acha kujikuta braza darasan sio haja lakn ww Ubnadamu N hopless Unajinadi muno
Dkt. Mwigulu nchemba, umeeleza vizuri kabsa wamechagua kutoelewa wenyewe mtu mwenye utimamu ameelewa, kwahiyo nakupongeza sana kwa kazi nzur uliyo fanya hongera sana 👍🙏🙏. Lakini Dkt mwigulu nchemba napenda nikwambie kwamba hao wamepanga kutoelewa wenyewe usiwawazie sana wachukulie kama motisha ya ww kufanya vizuri
Wewe mtu alisema wewe ni tajiri ilihali unashinda njaa Ina faida gani. Uhalisia maisha ni mtu anayeyaishi mtu mwenyewe
Well said dr.mwigulu nchemba
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Makusanyo yameongezeka lkn na upigaji umezidi kwa mujibu wa CAG
Hao jamaa wa taarifa sometimes wanazinguaga sana acha mtu amalize hoja zake. Safi sana wazir wa fedha umeongea vzuri sana mno.Mkulima akiinuliwa uchumi wa nchi unapanda chap
mwigulu Leo nimekubali jibu ni kubaransi
Waziri uko sahihi kabisa hongera
Kwahiyo mwiguru leo amemzarau mpaka bosi wake. Mama vua uo udaktari wa kupewa maana ni kumbe wanakwita daktari pembeni wana kucheka.
@margarethsaramaki3966
Жыл бұрын
Afute usemi wake kuwa ana udoctor wa kusoma na siyo wa heshima🥲🥲🥲
Yes sir
😂😂😂😂😂😂watake radhi wenye honorable doctorate
Lini mmesaidia wananchi na lini mmesikia ushauri wa wabunge kila wakija wabunge wanaomgea hakuna mnalofanya au kusikia ushauri wao
safi sana mkuu nimekuelewa,,watu wanamafikilio ya hovyo sana,,,wanataka wakulima wauze mazao yao kwa bei nafuu wakati wao walinunua mbolea kwa gharama kubwa,,huku kwetu tulinunua mbolea mpaka laki na nusu
@kokombwana8625
Жыл бұрын
Kuna jambo wanajisahau,mkulima wa kawaida sio anayefaidika. Kuna wanaonunua mazao (madalali) ndio wanaonufaika
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
Wengine wanashabikia lakini hawana uhalisia. Wakulima wengi wa kawaida mazao yao yananunuliwa kabla hata ya kuvunwa na hao matapeli wanajiita madalali.
@seifmwangarume907
Жыл бұрын
Wanufaika wa kuu ni watu kati yaani kuna yule anaenda kununua shamba halafu kuna yule dalali wa sokoni hapo tunazungumzia mahindi bado hajakua processed kua unga na yule dalali wa sokoni atamuuzia mnunuzi wa jumla ane saga kuuza unga imagine hii bei iliongezeka kwa hapa kati tuuu,kabla mfanya biashara wa leja leja hajanunua unga kwenda kumuuzia mlaji
@sebastianzongoro8915
Жыл бұрын
Hujajibu lolote
Hujajibu swali hizi bei zinamfaidisha mkulima au nan
👏👏👏👏👏
Povu linamwagika hapa
Mh. Mwigulu nimekukubali, umeongea shule kubwa sana ya uchumi, keep it, watakuelewa tu. Uchumi ni sayansi lazima ufuate principles zake. Unastahili kuwa waziristan wetu wa fedha. Piga kazi. Cheers
👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼
Hakika umetumie Taaluma yako vizuri, jenga nchi tupunguze porojo. Hata mimi mamuma nimekuelewa vema. Kongole Mwigulu
Siyo sawa
😀😀😀 kwhy hata we mheshmiwa unaelew kwamba degree za kupewa ni use......e😀😀😀??? Kwahyo uchumi upo imara Sio??? Mamaeee
Ww n hewaa ,anaezalishaa ,atakulaa yeye ,au mlaji analimaa, kwa nn Mlaji asilalaamike
Kwa swala la bei ya mazao. Mimi naunga mkona sn wananchi wanakosaga soko. Lkn Now soko lipo ambaye hajalima atajiju,, Mh samia hivyo hivyo soko liwe wazi muda wote,, ila wananchi waeleimishwe kuweka akiba,, swala la la tembo kula mazao wekeni jicho la tatu hapo
Weledi weledi 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
Leo mama samia lazima akupigie makofi brother umeupiga mwingi
Waziri umeongea point tumesikia watanzania
Katika swala la kilimo mm nashauli kwa serikali kwa ujumla swala kuu muhimu ni kupunguza ghalama za tozo kwenye mazao yetu kiukweli tozo ziko nyingi sana hakika mkifanya ivyo mtaweza kumsaidia mkulima na mtumiaji wa mwisho huo ndio ushauri mm najua hakika hili litaweza kusaidia na sio kwa zao moja tu inabidi kupitia mazao yote ktk swala la zoto au ushuru.
MUNGU akubariki mwigulu
Ndugu tumedanganywa kweupe mkulima anapata bei ndogo kabisa hapa wanatetewa wafanyabiashara wanaosafilisha nje ya nchi
@lukasielibariki3181
Жыл бұрын
Wapi wewe tumeuza mpunga gunia 260000 wakati tulikuwa tunauza 90000
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
@@lukasielibariki3181 wewe uma heka ngapi kaka?
@charlesmakuri792
Жыл бұрын
@@lukasielibariki3181 sasa hii ukisikia zuzu ndio wewe
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
@@husseinmkanga7794 hana hata moja...ukiskia ivo ndo mlanguzi mwenyewe!!!
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
@@mamboshepea8888 kweli kabisa.
Acha wakulima tujimwambafai wanaosema vyakuka nimepanda Bei wanapenda vyamezani vyabule nao wakalime
Mh mwiguru nimekuelewa vuzuri Sana mkuu
Mmeuza mchele wote nje halafu mnaagiza mchele ulio chini ya kiwango, hakuna mkulima mwenye nafaka, nafaka ziko kwenye stoo za wafanyabiashara, mwigulu huna hoja ya msingi hapo!!!!
Mwigulu nchi unailamba sana.
Taarifa imepuuzwa atakumzimia mirc ameshindwa wangekuwa wengine
Kwani lazima uwe waziri wa fedha? Yaliyosemwa ni kweli yametokea waziri hajasingiziwa. Jiuzulu tu, kwa sababu siasa si ajira ni wito. Mpaka tukifahamu hilo ndo Tanzania tutaendelea! Otherwise kelele na kushibisha matumbo tu!
Mwenyekit gani uyoo anamlinda wazir kwanin asikilizi taalifa za watu huo upumbavu kama kiti akikufai achana nacho
Good
Hizo lugha tumezoea kuzisikia toka nyuma huko wewe sio wa kwanza. Masomo ya uchumi wewe umesoma juzi tu na waliokufundisha wapo mbona we unajifanya umesoma kuliko wote wakati bado mchanga. Wapo akina proff.Assad na wengine.
🌏
Huyu jamaa sipotumbuliwa Mimi naenda Burundi
Sijui niseme Nini Kwa mwiguru
Huyu mchumi gani anayejimwambafai na udoctor wake wa uchumi, mbona hatuoni wananchi wakiwa na unafuu. Roll ya serikali ni mini? Siyo matheory yako yasiyotekelezeka. Kila kitu rais, rais , rais ina maana ndiyo mtaalam wa kila kitu
Tatizo lako uongeagi Leo umeongea na umeeleweka
Mliisha mteka samia unalopoka tu kwahasila unajihami tu mshenzi tu
Sector ya Ardhi zikitoka 1000 tu sidhani kama mtaani abaki mtu!
Kwa majibu ya mwigulu rais anahusika kwenye riport ya CAG kuruhusu ubadhirifu wa pesa ya umma, maana yake alikua anashangaa taarifa ya mkaguzi, labda waziri ametumia jina la rais kuhalalisha madudu yaliyofanyika katika wizara za kisector
Kwa hiyo wale wa udaktari wa heshima ni noma
Mwingulu nimekuelewa kama mutu ana akili atakuelewa wewe ni mutu kweli kweli ila kwenye madalasa apo si mama alienda kukopa
TUACHE SIASA KWENYE MAISHA YA WATU NA KUJIFANYA UNAPINDISHA UKWELI HII SIO SHERIA "MWIGULU" UKWELI NI KWAMBA HUKO VIJIJI WATU HAWATUMII HATA HIYO MBOLEA UNAYOSEMA HASA KWENYE KILIMO YA MPUNGA N,K
Mwigulu upo sahihi
🙏🙏🙏🙏🙏
@nkwabimayunga473
Жыл бұрын
elimu na ubora wake waklima wanalia na hasara mazao ya mekufa na upugufu wa vua unaleta hoja isiyo na mashiko garama za mbolea waliopata hasara huzugumzii hoja kushusha mazao ya wakulima wewe mbuge hakili matope kabisa kutisha taamaa wakulima hufai kupewa sekita yoyote
Hakna uyu n choko tu Hana lolote Kaz tozo