HOFU YAMKUTA MKE WA BALOZI MSTAAFU ZNZ, ASIMULIA, KUVAMIWA USIKU WA MANANE NA SILAHA

Пікірлер: 532

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375Ай бұрын

    Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.

  • @ssoud2394
    @ssoud2394Ай бұрын

    Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043Ай бұрын

    Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687Ай бұрын

    Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618Ай бұрын

    Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful #Poleni

  • @stanleyamlima2085

    @stanleyamlima2085

    Ай бұрын

    Yaaaah

  • @mwajumajumbe3325

    @mwajumajumbe3325

    Ай бұрын

    Mecheka sn

  • @gilliardgodfriend5745

    @gilliardgodfriend5745

    Ай бұрын

    Na nyumba wapige rangi😅

  • @geographyteacher.2961

    @geographyteacher.2961

    Ай бұрын

    😂asee naona raha tu kumtazama sura...

  • @amosdeo9534

    @amosdeo9534

    Ай бұрын

    Hilo sio tukio la ubakaji 😂😂😂😂😂

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qkАй бұрын

    Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo

  • @shakurushakuru2211
    @shakurushakuru221128 күн бұрын

    Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827Ай бұрын

    Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Amiiina Yaarabbi

  • @muhydinaden552
    @muhydinaden552Ай бұрын

    Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....

  • @user-cz9zu7ur1h

    @user-cz9zu7ur1h

    Ай бұрын

    Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka

  • @Mrisho-lj7wy

    @Mrisho-lj7wy

    26 күн бұрын

    @@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4plАй бұрын

    Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤

  • @SharifaOmary-ui8vs

    @SharifaOmary-ui8vs

    Ай бұрын

    Hakimu mkazi😊

  • @Chakol682

    @Chakol682

    Ай бұрын

    Avae gunia au hapo kavaa stara nguo ndefuu mashallah

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Ай бұрын

    @@Chakol682 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa

  • @aginsagins-jf4vz

    @aginsagins-jf4vz

    Ай бұрын

    ​@@SharifaOmary-ui8vs😂😂😂😂😂

  • @latifamchomvu4735

    @latifamchomvu4735

    Ай бұрын

    ​@@SharifaOmary-ui8vs 😂😂

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763Ай бұрын

    Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏

  • @mwinyiali

    @mwinyiali

    22 күн бұрын

    izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2qАй бұрын

    Ila mwanamke mzuri mashallah

  • @hono1232

    @hono1232

    Ай бұрын

    Hatari kweli kweli mashalah

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403Ай бұрын

    Pole sana Mungu awaangamuze hao watu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431Ай бұрын

    Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi

  • @Swamadu-om3uj

    @Swamadu-om3uj

    Ай бұрын

    Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww

  • @Swamadu-om3uj

    @Swamadu-om3uj

    Ай бұрын

    Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb

  • @aaa64sa13

    @aaa64sa13

    Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂

  • @user-xm2rm7wn6h

    @user-xm2rm7wn6h

    Ай бұрын

    Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    ​@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat28 күн бұрын

    Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    25 күн бұрын

    Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088Ай бұрын

    Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785Ай бұрын

    Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi

  • @stn4873
    @stn4873Ай бұрын

    Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.

  • @salmanassor8732
    @salmanassor873229 күн бұрын

    Bismillah mashallah mzurii

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429Ай бұрын

    Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk

  • @feisalabdallah8632
    @feisalabdallah8632Ай бұрын

    MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191Ай бұрын

    Mzuri MashaAllah ❤❤

  • @lmdos4382
    @lmdos438229 күн бұрын

    Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake

  • @mgalamohamed6956
    @mgalamohamed695624 күн бұрын

    Mwenyezimungu akulinde Insh Allah

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735Ай бұрын

    Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao

  • @khairatkisima9217
    @khairatkisima9217Ай бұрын

    Pole jiran yang daah mtihan kwakwel

  • @omarmassoud2011
    @omarmassoud2011Ай бұрын

    Allah akulinde sana

  • @vibetz9991
    @vibetz9991Ай бұрын

    Dada mzuri mashaallah

  • @Farsomtz
    @Farsomtz22 күн бұрын

    Bi amina mashallah

  • @Mohamed-sc6bk
    @Mohamed-sc6bk25 күн бұрын

    Daa mina umevamiwa tena pole sana

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar532923 күн бұрын

    Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829Ай бұрын

    Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-vt4vd5rh8u

    @user-vt4vd5rh8u

    Ай бұрын

    ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga

  • @fatumamilimo7336

    @fatumamilimo7336

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hafidhclassic5862
    @hafidhclassic5862Ай бұрын

    Ww ni mrembo mashallah 🙏

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241Ай бұрын

    Pole sana Amina

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo511727 күн бұрын

    Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Amiiina Yaarabbi

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297Ай бұрын

    allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!

  • @kazikazi466

    @kazikazi466

    Ай бұрын

    Acha kupotosha

  • @user-ru6xu4hb1d

    @user-ru6xu4hb1d

    Ай бұрын

    Ww ndio mpotoshaji

  • @eshaabdallah8253

    @eshaabdallah8253

    26 күн бұрын

    Wivuuu tuuu

  • @fatmafaki6163

    @fatmafaki6163

    20 күн бұрын

    Hakusimlia ibada kasimlia matukio

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1pАй бұрын

    Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂

  • @seifdisail3007
    @seifdisail300727 күн бұрын

    Mama mzuri haswaa MashaAllah

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078Ай бұрын

    Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu

  • @mzeenassib4271
    @mzeenassib427123 күн бұрын

    Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4ghАй бұрын

    Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini

  • @KhadijaSalum-nf5mf

    @KhadijaSalum-nf5mf

    Ай бұрын

    Good idea weka camera ktk simu yako

  • @salehothman6144
    @salehothman6144Ай бұрын

    Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Amiiina

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ftАй бұрын

    Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤

  • @user-jf7vx9nb9m

    @user-jf7vx9nb9m

    Ай бұрын

    Huyo sio mkomoro mzanzibar

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂

  • @husna34562

    @husna34562

    Ай бұрын

    Mkomoro​@@user-jf7vx9nb9m

  • @user-si9pb1us8d

    @user-si9pb1us8d

    Ай бұрын

    😂😂😂eti mzigo sina uhakika

  • @baloz8974

    @baloz8974

    27 күн бұрын

    ​@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos889327 күн бұрын

    Mashallah mwanaamina ❤

  • @Aminayunus-je7id
    @Aminayunus-je7idАй бұрын

    Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7xАй бұрын

    Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo

  • @maase2023
    @maase2023Ай бұрын

    Huyu dada mwanaamina mzuri jamani mashallah mashallah

  • @FatumaIssa-kw3vv

    @FatumaIssa-kw3vv

    25 күн бұрын

    Kwakweli Allah kamuumba vizuri Masha’Allah

  • @maase2023

    @maase2023

    25 күн бұрын

    @@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike

  • @maase2023

    @maase2023

    25 күн бұрын

    @@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake

  • @geoffreygaudance904
    @geoffreygaudance904Ай бұрын

    Pole sana dada

  • @charlzmboya
    @charlzmboyaАй бұрын

    HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.

  • @charlzmboya

    @charlzmboya

    Ай бұрын

    Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa

  • @oman1oman179

    @oman1oman179

    Ай бұрын

    Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro

  • @gasper90mathias58

    @gasper90mathias58

    29 күн бұрын

    Maybe true

  • @hawrajehan2398

    @hawrajehan2398

    23 күн бұрын

    Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138Ай бұрын

    Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah310019 күн бұрын

    Hatari zanzibar

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991Ай бұрын

    Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri

  • @jumahassan273
    @jumahassan273Ай бұрын

    Bibi amina wew sio mchezo mmh

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908Ай бұрын

    mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7nАй бұрын

    Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu

  • @barikiwa22
    @barikiwa2225 күн бұрын

    Dah wazidishe ulinzi

  • @queenlinda255
    @queenlinda25522 күн бұрын

    Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1kАй бұрын

    Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha

  • @chamandaayolaiza1535
    @chamandaayolaiza153527 күн бұрын

    ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK

  • @user-tw5er2qh3q
    @user-tw5er2qh3q29 күн бұрын

    Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮

  • @faiasap8307
    @faiasap8307Ай бұрын

    Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector

  • @salummussa9871
    @salummussa9871Ай бұрын

    Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni956127 күн бұрын

    Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu

  • @mapishiyalulu9696
    @mapishiyalulu969619 күн бұрын

    Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vnАй бұрын

    Mulize mumeo vizurii

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Tena we kiboko na mawazo yako

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272Ай бұрын

    Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6yАй бұрын

    Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715Ай бұрын

    MashaAllah bonge la toto dah

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua762129 күн бұрын

    Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Saaana sana

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kbАй бұрын

    Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah

  • @jumahamadomar9124

    @jumahamadomar9124

    Ай бұрын

    Ibada za usiku stara bure

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cdАй бұрын

    hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka

  • @fatmamdihiri4164

    @fatmamdihiri4164

    Ай бұрын

    Nimecheka km fala

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @mnesoboy4338

    @mnesoboy4338

    Ай бұрын

    Yani wew unakirungu mwenzio anabunduki wew usijifiche acha zako

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    @@mnesoboy4338 😂😂😂😂😂😂😂😂MSG

  • @mnesoboy4338

    @mnesoboy4338

    Ай бұрын

    @@MiriamAbdallah ana utani huyu jamaa

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7Ай бұрын

    Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope

  • @Smokeylucas
    @SmokeylucasАй бұрын

    Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo

  • @MassoudAmour-qj1og
    @MassoudAmour-qj1og28 күн бұрын

    Acheni masihara mama ana wowooo alindwee😮

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106Ай бұрын

    Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.

  • @omanmct135
    @omanmct135Ай бұрын

    Hatari kweli

  • @majumaatieno5640
    @majumaatieno564023 күн бұрын

    Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome

  • @aminafarouk5062

    @aminafarouk5062

    20 күн бұрын

    Asante teacher Mwajuma

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998Ай бұрын

    Sema nyashi ipo bana 😂😂

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv475322 күн бұрын

    HUYU MAMKWE MASHALLAH

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893Ай бұрын

    Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275Ай бұрын

    Aise.....

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wyАй бұрын

    Ukiachana na uvamizi mmmh shep IPO haswa

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w25 күн бұрын

    Daaaaaah kama mkundu tuanao 😅😅😅😅😅😅 aiseeee

  • @l.marley_2542
    @l.marley_254228 күн бұрын

    Mwanamke mrembo sana

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg29 күн бұрын

    Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.

  • @hono1232
    @hono1232Ай бұрын

    6:04 Nahisi mmeo kawafanyia kosa hao jamaa awaombe msamaa

  • @DesertTears
    @DesertTearsАй бұрын

    Walinzi walijificha😂😂😂😂 hio Kali sana😂😂😂😂

  • @AllyWaziri-bo3je
    @AllyWaziri-bo3jeАй бұрын

    Mungu kaumba

  • @user-bq2zn1wy1q
    @user-bq2zn1wy1qАй бұрын

    Bi Amina ana bonge la tako

  • @abakibibi9917

    @abakibibi9917

    29 күн бұрын

    FANYA ADABU SHIKA ADABU YAKO

  • @annamussa185
    @annamussa185Ай бұрын

    Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi

  • @halimahalima1488

    @halimahalima1488

    Ай бұрын

    Astahili eeh

  • @MinskBelarus-il2tl

    @MinskBelarus-il2tl

    Ай бұрын

    Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.

  • @annamussa185

    @annamussa185

    Ай бұрын

    @@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    ​@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?

  • @MinskBelarus-il2tl

    @MinskBelarus-il2tl

    Ай бұрын

    @@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒

  • @namsamson3443
    @namsamson3443Ай бұрын

    Maombi yako ya usiku ndio yanayokulinda Endelea kuomba wala usiogope

  • @veronicaaugust1793
    @veronicaaugust1793Ай бұрын

    POLE SANA MAMA

  • @nasraissa4873
    @nasraissa4873Ай бұрын

    Majumba mazuri yanamitihani hawana raha vo wenye majumba mazuri

  • @baloz8974

    @baloz8974

    27 күн бұрын

    Kweli kabisa kuna kuwa sana na mitihani

  • @ssoud2394
    @ssoud2394Ай бұрын

    Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo

  • @bilakawaboynew978

    @bilakawaboynew978

    Ай бұрын

    Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje

  • @ssoud2394

    @ssoud2394

    Ай бұрын

    @@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz

  • @dayana5513story
    @dayana5513storyАй бұрын

    Mungu ndo mlinzi hakika yuko Nanyi

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m26 күн бұрын

    Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987Ай бұрын

    Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi

  • @nuhumaalim4976

    @nuhumaalim4976

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @SaidIssa-tq3yv

    @SaidIssa-tq3yv

    27 күн бұрын

    Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.

  • @AbouhSix-wm2bx
    @AbouhSix-wm2bxАй бұрын

    Poleee

  • @silimangwali9181
    @silimangwali918119 күн бұрын

    Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas

  • @petermdoe4691
    @petermdoe4691Ай бұрын

    Wanautaka mzigo huo, umeumbika mashallah. Waki kukamata hao sijui... Naomba Mungu awaepushie mbali, jaman uje huku kwangu.

Келесі