DRC: Aliyetaka kumpindua TSHISEKEDI Jumapili AUAWA, mwanae AKAMATWA, alirusha tukio LIVE Facebook
Автокөліктер мен көлік құралдары
Fringe DRC Politician Killed in Thwarted Coup Attempt; Son and US Business Partner Arrested
• Fringe DRC Politician ...
Пікірлер: 175
Waache ujinga hao vibaraaka wa marekani,kazi nzuri kwa askari wa drc .zaire ilikufa na mobutu na haitafufuka tena
@tumlakimwaitumule
24 күн бұрын
Marekani kila baya lake 😂
I love nchi yangu Tanzania 🇹🇿 Ee mungu tujalie amani idumu vizazi had vizazi
Bangi sionzuri
@MwalimuTina
25 күн бұрын
😂😂
@allahisone6386
25 күн бұрын
Kbsaaaaaa
@user-nb2jw4km6f
23 күн бұрын
Kweli
Imeniuma sana walivyo yafanya mambo yao kitoto sana
@alibachirofficial3939
20 күн бұрын
Utoto muwingi sanaaa😂
@alexandrafrancisco9848
6 күн бұрын
Talvez nao... tens q pensar q ha coisas q nao estao visiveis... provavelvente, algo correu mal... pode sim, ter havido traiçao... ❤
Free DRC 🇨🇩 Congo
@RichareEzai
20 күн бұрын
Xxxxv
Jamani tuifanye Africa kuwa salama na yenye usitawi mzuri kwa ajiii yetu and the future generation #heal the world #
Congo ulinz bado uko chin
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa
Mission Impossible.....
UNAENDAJE KUMPINDUWA RAIS NA MKE WAKO KWENYE MSAFARAA? UKISIKIA NYEGE UNAHACHA VITA KWANZA UNAMKUMBATIYA MKE WAKO DUH IYI MOJA KALIII
HONGERENI SANA ASKARI WOTE WA DRC
Ni mshenzi sana huyu jamaa wakongo tunataka mabadiko ila uyu jamaa ni zaidi ya kibaraka ata lipanga na wazungu uchwara cjuwi kawatoa wapi😅😅
Congo big up tshsekedi🔥🔥🔥 from🇹🇿
Mungu ailinde inchi yetu!
I love my country Tanzania, amani idum milele
Hawa mbwa wana shindwa kutimia hiyo nguvu kuwa huwa m23 wana tuuliya wazalendo wa nchi yetu Congo, serekali yaki mangumangu
Bangi
Hi
Hongereni sana! Walinci mmenifurahisha sn yaani ji2 jina linamuunganisha mtoto kwenye upumbavu,kufia yukio.
Nihatari Kweli
Shukran kwa wote walimuuwa huy bwege wafrica tunahitaj Aman hasa kwa ndugu zetu wa Congo hlf bwege mmoja anatak kuchafua shenzi kabisa
@alexandrafrancisco9848
6 күн бұрын
Inocencia...❤
Nomaaa
Zarau sio kitu kizuri
Duh 🙄 ni hatari sanaa
Bora sisi TZ 🇹🇿tunao andamana mitandaoni 😆😆😆....kiherehere sio kizuri...mwenye nguvu apishwe jamani.....
@gladnessfinda7534
25 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@paulinewangila-cs6ys
24 күн бұрын
Helooooo😂
hizi bangi hizi nyie acheni tuuuu.... hapo palace napo ulinzi wake unawalakini
Eza ya solo te
Ongo
Quelque chose n'a pas fonctionné... Y a-t-il eu une trahison?!
Kafa kishenzi bora angeungana na waasi wengine wangepindua nchi
Vichaaa hawa😢 plan ilikuwa mbovuv
Dj smaa emezea kwa ufafanuzi mapinduzi ya kongo imekaaja juu ya wahusika wakuu
II faut voir au-delà des apparences...quelque chose ne va pas... Y a-t-il eu une trahison?!❤
Wanzinga sana kwa nini hawakuweza chukua mbone inge kua raha kwa sisi amba tuna sumbuliwa na vita uku este ya Congo 🇨🇩
Kibaraka cha marekani
👊✌👍.
Mhhhh niko congo apa mbona atujasikia laia wakisema
@emmanuelmlowe-ew7gx
25 күн бұрын
Pengine ni uzushi mitandaoni
@user-hs4ko6ib4o
24 күн бұрын
Nikweli labda weye uko congo nyingine
@Michoarbah
23 күн бұрын
Wakongo wana Chelewa kupata habari
😂😂😂😂 mjasiri amalii wa bangi
Ni aibu
Ni channel gani mkuu
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh?
Wawachape kabisa,shida tuna izo T shiit za Zaire kumbe hatutazivaa
Awakuwa serious na jambo lao.
Inamaana walivuta bangi kwanza?
Walijidanganya.
Hawado wanaomaliza dugu zetu
😮😮😮 congo Wana jeshi dhaifu sanA
@joyjilien
25 күн бұрын
Dhaifu? Kivipi sasa
@Soon815
25 күн бұрын
@@joyjilien Sasa unadhan kunajeshi pale??Wamewa-out-number M23 plus silaha nzito lakni wanakula kipigo tangu enz na enz
@ce-08
23 күн бұрын
@@Soon815 Congo wanavikwazo vya silaha
@GeorgeAkasha-zx2rj
15 күн бұрын
@@ce-08Na hii ndo shida, ila nadhani wangewekeza utengenezaji wa silaha japo watakumbana na vikwazo vingne pia.
Heeeeeeee inchiii yetu
W
Akufe uyo mjinga
Hao Wengine Watombwe Mpaka Wafe Nchi Gani Inaongozwa Ivo Ikawa Sawa
Kweli bangi mbaya😂😂😂
Jp
SNS niongo sana iyo nisiasa ya kisekedi
Siyo makazi ya Rais, ni ofisi tu.
@alexandrafrancisco9848
6 күн бұрын
Rsrsrsr❤❤ foi enganado...
Huyo dogo Kinega 😅😅😅
kile kichapo nimekiona ila waliwagusa tu😊...ao walitakiwa kutafutiwa eneo maalum..kufundishwa nidhamu
Ila wakongo, kwa upuuzi huo Vita haiji kuisha
Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz
Bangi sio nzuri 😂
Kaka sio kilingala Bali lingala🤝🏿
@Official83640
25 күн бұрын
Kwa wale ambao wanaongea Kilingala kamaanisha sio km kakosea mfano, mm naongea kiswahili nitasema kwa wale wanao ongea Swahili sasa hapo utaelewa si mpaka niseme wanao ongea Kiswahili sijui umeelewa lugha aliyotumia hapo? Kilingala=Lingala Kiswahili=Swahili
Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ? Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?
Jamaa mjinga sana huyo, Unataka kupindua Inchi na mgambo 20, Kwahiyo makamu wa Rais angkuwa mkeo, Mkuu wa majeshi angekuwa mtoto wako,?
Ndio Mana Wakishikwa Laiya Halamu Wengi Ho Kwanini Halamu Ndio Kama Awa Mambo Yao
The job needed well planners for it to yield the fruits and also some top military in the Congo govt
@alexandrafrancisco9848
6 күн бұрын
Se calhar houve traicao... algo correu mal... foram abandonados...❤
Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi
@RabihuHussein
22 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe alkua kashazaliwa kisha akazaliwa tena
Shida yetu ni tamaa
Bangi zizr wamuuliza amunaiz zinakibiliy kwanye makaliyo makumw
Waliwezajeingia ikulu
Siyo ki lingala ni Lingala
@cricwambali1352
25 күн бұрын
Kizungu kiarabu kilingara ki bembe kifalansa luga yetu ina fungua seme na funga seme nadhani uta kua ume elewa
@Hassan_Mengi
25 күн бұрын
@@cricwambali1352 Hamna lugha inayoitwa kifalansa bro
@paulinewangila-cs6ys
24 күн бұрын
@@Hassan_Mengiumeweza😂😂
adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga
Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao
He is being send by American's
Faking deal
Awowatu niwajinga nakiongozi wawo
@magretangel5242
25 күн бұрын
Umeonae
@shukurumsebaloli
24 күн бұрын
@@magretangel5242 Naapo wangemukuta raisi wangemuuwa naujinga waoo wanazani wa congomani wanaitaji ilo jina wacongomani wanaitaji amani nandicho anacho kifanya kisekedi
Waafrika tunataka nini kuvuruga usalama wa taifa na Afrika yetu,,?. Wangemua Rais jamani bila kosa. Walaniwe milele yote wanadamu hao.. Amen.
Nchii hii kila cku kugomban cjui kwann
@zubekuku7229
24 күн бұрын
madini ndugu congo Tajiri
Bora ameuawa
Afrika mashariki Jeshi ni JWTZ tu, watu ishirini wameingia hadi Ikulu Ofisi ya Rais
Tunaishi kwa muda tu lakini daaah tunaptia mambo mengi thanaaa😂
Wange wachinja wote hao wanalekani Fek
Sas ukiruka live si unaonekana aina ya silaha ulizonazo na adui anajipanga zaidi yako
Walipiga vitu vya chuga
Hawa washenzi wanawafuata wazungu
Madara yanawazingua
Ni jaribio dogo but kuna uzembe mkubwa wa kiulinzi...Ajiangalie vyema
Wakasome kwanza,mapinduzi sio kujirekodi na kuweka tiktok 😂😂
Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩
Ni uwogo mtupu tu akuna ukweli wowote ni mambo ya kisiasa mapinduzi gani watu wanaedelea kufanya mambo yao kama kawaida
Wakat unawaza wap kuna mishe au michongo kuna watu waashaamua maamuz magumu dahh
Bangi nyingi na kiherehere, kaitafutia familia yake matatizo, hizo bakora za jeshi la Congo, wote watakuwa ni maiti kwenye masaa kadha ajayo.
😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu
@emmanuelmlowe-ew7gx
25 күн бұрын
Huyo ni kibaraka wawazu gu pia bangi zilionyesha ata kuwa rais
Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo
@alexandrafrancisco9848
6 күн бұрын
Por isso, deves reflectir... sera assim mesm?! Algo correu mal?! Houve traicao!?❤
Wakongo kama wasomali
@Ryannkae
24 күн бұрын
Wewe ujuwi apo kuna watu weusi wa usa walio wayi Pima DN nakupatikana ni wa congo wamejitolea na sio hao tu niwengi nikama vikundi 25
Afanye haraka maana kunamateso ya muno hapa🇨🇩
@emmanuelmlowe-ew7gx
25 күн бұрын
Wewe ni wale wale wapinzani tu
uyo jamaana kadanganywa na mganga wake wa kienyeji,
@user-qq6mv6vh3e
24 күн бұрын
😂😂😂
Anavamia kishambashamba hivyooo kweli.... Eti mapinduz na watu 20
@victorarts242
24 күн бұрын
Hapo ndio panachekesha 😂, mapinduzi ya watu 20, halafu anaruka live 😂
@Ryannkae
24 күн бұрын
@@victorarts242niwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka
@GeorgeAkasha-zx2rj
15 күн бұрын
Alitegemea angeungwa mkono na baadhi ya wakuu wa kijeshi.
Zaire na DRC sio mamoja?
@robertamsini1256
25 күн бұрын
Jina ya zamani iyo
Bangi na madawa vinahela hatari sema tu nipo bongo mbwa mimi😅😅😅😅
Naona mumarekani kachapwa 😂
@MashaMbwana
24 күн бұрын
Akome 😂😂
@evelynemugeni2369
24 күн бұрын
@@MashaMbwana 🤣