DRC: Aliyetaka kumpindua TSHISEKEDI Jumapili AUAWA, mwanae AKAMATWA, alirusha tukio LIVE Facebook

Автокөліктер мен көлік құралдары

Fringe DRC Politician Killed in Thwarted Coup Attempt; Son and US Business Partner Arrested
• Fringe DRC Politician ...

Пікірлер: 175

  • @baranyikwamohammed628
    @baranyikwamohammed62825 күн бұрын

    Waache ujinga hao vibaraaka wa marekani,kazi nzuri kwa askari wa drc .zaire ilikufa na mobutu na haitafufuka tena

  • @tumlakimwaitumule

    @tumlakimwaitumule

    24 күн бұрын

    Marekani kila baya lake 😂

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n24 күн бұрын

    I love nchi yangu Tanzania 🇹🇿 Ee mungu tujalie amani idumu vizazi had vizazi

  • @habarugiraRodrigue
    @habarugiraRodrigue25 күн бұрын

    Bangi sionzuri

  • @MwalimuTina

    @MwalimuTina

    25 күн бұрын

    😂😂

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    25 күн бұрын

    Kbsaaaaaa

  • @user-nb2jw4km6f

    @user-nb2jw4km6f

    23 күн бұрын

    Kweli

  • @JackMan-bc5pb
    @JackMan-bc5pb25 күн бұрын

    Imeniuma sana walivyo yafanya mambo yao kitoto sana

  • @alibachirofficial3939

    @alibachirofficial3939

    20 күн бұрын

    Utoto muwingi sanaaa😂

  • @alexandrafrancisco9848

    @alexandrafrancisco9848

    6 күн бұрын

    Talvez nao... tens q pensar q ha coisas q nao estao visiveis... provavelvente, algo correu mal... pode sim, ter havido traiçao... ❤

  • @alibinali_
    @alibinali_25 күн бұрын

    Free DRC 🇨🇩 Congo

  • @RichareEzai

    @RichareEzai

    20 күн бұрын

    Xxxxv

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani780122 күн бұрын

    Jamani tuifanye Africa kuwa salama na yenye usitawi mzuri kwa ajiii yetu and the future generation #heal the world #

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz519225 күн бұрын

    Congo ulinz bado uko chin

  • @praymwalu
    @praymwalu25 күн бұрын

    From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um22 күн бұрын

    Mission Impossible.....

  • @user-cb2us2nu2m
    @user-cb2us2nu2m25 күн бұрын

    UNAENDAJE KUMPINDUWA RAIS NA MKE WAKO KWENYE MSAFARAA? UKISIKIA NYEGE UNAHACHA VITA KWANZA UNAMKUMBATIYA MKE WAKO DUH IYI MOJA KALIII

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu24 күн бұрын

    HONGERENI SANA ASKARI WOTE WA DRC

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf442925 күн бұрын

    Ni mshenzi sana huyu jamaa wakongo tunataka mabadiko ila uyu jamaa ni zaidi ya kibaraka ata lipanga na wazungu uchwara cjuwi kawatoa wapi😅😅

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda269720 күн бұрын

    Congo big up tshsekedi🔥🔥🔥 from🇹🇿

  • @KatoJackson-ol3mp
    @KatoJackson-ol3mp20 күн бұрын

    Mungu ailinde inchi yetu!

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru684424 күн бұрын

    I love my country Tanzania, amani idum milele

  • @officialcandleboy6923
    @officialcandleboy692325 күн бұрын

    Hawa mbwa wana shindwa kutimia hiyo nguvu kuwa huwa m23 wana tuuliya wazalendo wa nchi yetu Congo, serekali yaki mangumangu

  • @upgo6112
    @upgo611225 күн бұрын

    Bangi

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu25 күн бұрын

    Hi

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820022 күн бұрын

    Hongereni sana! Walinci mmenifurahisha sn yaani ji2 jina linamuunganisha mtoto kwenye upumbavu,kufia yukio.

  • @marrykigabimk
    @marrykigabimk24 күн бұрын

    Nihatari Kweli

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya747518 күн бұрын

    Shukran kwa wote walimuuwa huy bwege wafrica tunahitaj Aman hasa kwa ndugu zetu wa Congo hlf bwege mmoja anatak kuchafua shenzi kabisa

  • @alexandrafrancisco9848

    @alexandrafrancisco9848

    6 күн бұрын

    Inocencia...❤

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed62421 күн бұрын

    Nomaaa

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv8 күн бұрын

    Zarau sio kitu kizuri

  • @kingmediatechonline
    @kingmediatechonline23 күн бұрын

    Duh 🙄 ni hatari sanaa

  • @magretangel5242
    @magretangel524225 күн бұрын

    Bora sisi TZ 🇹🇿tunao andamana mitandaoni 😆😆😆....kiherehere sio kizuri...mwenye nguvu apishwe jamani.....

  • @gladnessfinda7534

    @gladnessfinda7534

    25 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @paulinewangila-cs6ys

    @paulinewangila-cs6ys

    24 күн бұрын

    Helooooo😂

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus55584 күн бұрын

    hizi bangi hizi nyie acheni tuuuu.... hapo palace napo ulinzi wake unawalakini

  • @Afroking2001
    @Afroking200124 күн бұрын

    Eza ya solo te

  • @BukuruKevin-bn1tl
    @BukuruKevin-bn1tl14 күн бұрын

    Ongo

  • @alexandrafrancisco9848
    @alexandrafrancisco98486 күн бұрын

    Quelque chose n'a pas fonctionné... Y a-t-il eu une trahison?!

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup6819 күн бұрын

    Kafa kishenzi bora angeungana na waasi wengine wangepindua nchi

  • @PalomaMshana
    @PalomaMshana24 күн бұрын

    Vichaaa hawa😢 plan ilikuwa mbovuv

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline636622 күн бұрын

    Dj smaa emezea kwa ufafanuzi mapinduzi ya kongo imekaaja juu ya wahusika wakuu

  • @alexandrafrancisco9848
    @alexandrafrancisco98486 күн бұрын

    II faut voir au-delà des apparences...quelque chose ne va pas... Y a-t-il eu une trahison?!❤

  • @SugarIgaUfe1
    @SugarIgaUfe125 күн бұрын

    Wanzinga sana kwa nini hawakuweza chukua mbone inge kua raha kwa sisi amba tuna sumbuliwa na vita uku este ya Congo 🇨🇩

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia372424 күн бұрын

    Kibaraka cha marekani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything24 күн бұрын

    👊✌👍.

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto500925 күн бұрын

    Mhhhh niko congo apa mbona atujasikia laia wakisema

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    25 күн бұрын

    Pengine ni uzushi mitandaoni

  • @user-hs4ko6ib4o

    @user-hs4ko6ib4o

    24 күн бұрын

    Nikweli labda weye uko congo nyingine

  • @Michoarbah

    @Michoarbah

    23 күн бұрын

    Wakongo wana Chelewa kupata habari

  • @ms123ru
    @ms123ru25 күн бұрын

    😂😂😂😂 mjasiri amalii wa bangi

  • @user-ff5jt4rp9n
    @user-ff5jt4rp9n11 күн бұрын

    Ni aibu

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o24 күн бұрын

    Ni channel gani mkuu

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk23 күн бұрын

    Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh?

  • @luendosabah2047
    @luendosabah204721 күн бұрын

    Wawachape kabisa,shida tuna izo T shiit za Zaire kumbe hatutazivaa

  • @sylvanosalumu5840
    @sylvanosalumu584024 күн бұрын

    Awakuwa serious na jambo lao.

  • @user-st3ws1ns5g
    @user-st3ws1ns5g24 күн бұрын

    Inamaana walivuta bangi kwanza?

  • @MugishoBaguma
    @MugishoBaguma24 күн бұрын

    Walijidanganya.

  • @aziza9093
    @aziza909325 күн бұрын

    Hawado wanaomaliza dugu zetu

  • @gidionlemanya6077
    @gidionlemanya607725 күн бұрын

    😮😮😮 congo Wana jeshi dhaifu sanA

  • @joyjilien

    @joyjilien

    25 күн бұрын

    Dhaifu? Kivipi sasa

  • @Soon815

    @Soon815

    25 күн бұрын

    @@joyjilien Sasa unadhan kunajeshi pale??Wamewa-out-number M23 plus silaha nzito lakni wanakula kipigo tangu enz na enz

  • @ce-08

    @ce-08

    23 күн бұрын

    ​@@Soon815 Congo wanavikwazo vya silaha

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    15 күн бұрын

    ​@@ce-08Na hii ndo shida, ila nadhani wangewekeza utengenezaji wa silaha japo watakumbana na vikwazo vingne pia.

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j21 күн бұрын

    Heeeeeeee inchiii yetu

  • @MohamedSalumu-rg3up
    @MohamedSalumu-rg3up7 күн бұрын

    W

  • @yajua
    @yajua23 күн бұрын

    Akufe uyo mjinga

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab24 күн бұрын

    Hao Wengine Watombwe Mpaka Wafe Nchi Gani Inaongozwa Ivo Ikawa Sawa

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob22 күн бұрын

    Kweli bangi mbaya😂😂😂

  • @JupeKiame
    @JupeKiame9 күн бұрын

    Jp

  • @MbomaMukenge-uo7mx
    @MbomaMukenge-uo7mx25 күн бұрын

    SNS niongo sana iyo nisiasa ya kisekedi

  • @bobkikaya69
    @bobkikaya6925 күн бұрын

    Siyo makazi ya Rais, ni ofisi tu.

  • @alexandrafrancisco9848

    @alexandrafrancisco9848

    6 күн бұрын

    Rsrsrsr❤❤ foi enganado...

  • @user-zz9js7te8e
    @user-zz9js7te8e23 күн бұрын

    Huyo dogo Kinega 😅😅😅

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z24 күн бұрын

    kile kichapo nimekiona ila waliwagusa tu😊...ao walitakiwa kutafutiwa eneo maalum..kufundishwa nidhamu

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe101823 күн бұрын

    Ila wakongo, kwa upuuzi huo Vita haiji kuisha

  • @jumashedafa
    @jumashedafa25 күн бұрын

    Watu wakishiba viporo vyao wanashida yan han mbinu za kivita hawana, kelel nyingi zinazoashiria ni wawoga cz waliok train hap zingetembea guns tu...Japo ni taa nyekend kwa tshiseked uimalish ulinz

  • @aloyceayubu2887
    @aloyceayubu288724 күн бұрын

    Bangi sio nzuri 😂

  • @WABAPRO
    @WABAPRO25 күн бұрын

    Kaka sio kilingala Bali lingala🤝🏿

  • @Official83640

    @Official83640

    25 күн бұрын

    Kwa wale ambao wanaongea Kilingala kamaanisha sio km kakosea mfano, mm naongea kiswahili nitasema kwa wale wanao ongea Swahili sasa hapo utaelewa si mpaka niseme wanao ongea Kiswahili sijui umeelewa lugha aliyotumia hapo? Kilingala=Lingala Kiswahili=Swahili

  • @rwakakagaramajohnjacob6295
    @rwakakagaramajohnjacob62959 күн бұрын

    Maneno exchange, sensitive, partners, story, description, sometimes, live n.k. hayana mbadala wake katika lugha unayoisema ? Kwanini mwana habari wa Kiswahili, ulimi adhimu, unaoenea sana Duniani sasa, baada ya kukuzwa, kuendelezwa, na kuenezwa kutoka huko (Tanzania), sasa baadhi yenu mnauchafua na kuudunisha ulimi huu unaopendeka sana jameni?

  • @issajuma9043
    @issajuma904322 күн бұрын

    Jamaa mjinga sana huyo, Unataka kupindua Inchi na mgambo 20, Kwahiyo makamu wa Rais angkuwa mkeo, Mkuu wa majeshi angekuwa mtoto wako,?

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab24 күн бұрын

    Ndio Mana Wakishikwa Laiya Halamu Wengi Ho Kwanini Halamu Ndio Kama Awa Mambo Yao

  • @zablonOmoke
    @zablonOmoke21 күн бұрын

    The job needed well planners for it to yield the fruits and also some top military in the Congo govt

  • @alexandrafrancisco9848

    @alexandrafrancisco9848

    6 күн бұрын

    Se calhar houve traicao... algo correu mal... foram abandonados...❤

  • @petersanagaya2916
    @petersanagaya291624 күн бұрын

    Mwl Nyerere 1776 aliwahi kusema, African naona matatizo matupu mbeleni kama tusipo jikomboa kifikra kutoka kwenye mikono ya mabeberu kwa ajili ya uchu wa madaraka na sio uchungu wa wananchi

  • @RabihuHussein

    @RabihuHussein

    22 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe alkua kashazaliwa kisha akazaliwa tena

  • @lilhydon452
    @lilhydon45224 күн бұрын

    Shida yetu ni tamaa

  • @aziza9093
    @aziza909325 күн бұрын

    Bangi zizr wamuuliza amunaiz zinakibiliy kwanye makaliyo makumw

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo979621 күн бұрын

    Waliwezajeingia ikulu

  • @user-xl9oi3cl9c
    @user-xl9oi3cl9c25 күн бұрын

    Siyo ki lingala ni Lingala

  • @cricwambali1352

    @cricwambali1352

    25 күн бұрын

    Kizungu kiarabu kilingara ki bembe kifalansa luga yetu ina fungua seme na funga seme nadhani uta kua ume elewa

  • @Hassan_Mengi

    @Hassan_Mengi

    25 күн бұрын

    ⁠​⁠@@cricwambali1352 Hamna lugha inayoitwa kifalansa bro

  • @paulinewangila-cs6ys

    @paulinewangila-cs6ys

    24 күн бұрын

    ​@@Hassan_Mengiumeweza😂😂

  • @morama3935
    @morama393516 күн бұрын

    adui wa africa nimuafrika mwenyewe tuandae majeshi yetu selikali zetu inabidi zichukue watoto miaka saba wapewe elimu mafunzo uzalendo selikali iwe baba na ndo mama nasisi africa tutengeneze majasusi wakasome ulaya izimambo zitaisha ukizingua tunayonga

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk23 күн бұрын

    Mapinduzi bilakuwa na connection na jesh? Hawa jamaa walitegemea sapot kubwa ya wana nchi ,lakini matokeo yake wananchi hawakutoka nje ,ndio ikala kwao

  • @mathewmutuku7342
    @mathewmutuku734211 күн бұрын

    He is being send by American's

  • @lullebolle808
    @lullebolle80824 күн бұрын

    Faking deal

  • @shukurumsebaloli
    @shukurumsebaloli25 күн бұрын

    Awowatu niwajinga nakiongozi wawo

  • @magretangel5242

    @magretangel5242

    25 күн бұрын

    Umeonae

  • @shukurumsebaloli

    @shukurumsebaloli

    24 күн бұрын

    @@magretangel5242 Naapo wangemukuta raisi wangemuuwa naujinga waoo wanazani wa congomani wanaitaji ilo jina wacongomani wanaitaji amani nandicho anacho kifanya kisekedi

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika21 күн бұрын

    Waafrika tunataka nini kuvuruga usalama wa taifa na Afrika yetu,,?. Wangemua Rais jamani bila kosa. Walaniwe milele yote wanadamu hao.. Amen.

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal906125 күн бұрын

    Nchii hii kila cku kugomban cjui kwann

  • @zubekuku7229

    @zubekuku7229

    24 күн бұрын

    madini ndugu congo Tajiri

  • @victorcephas3618
    @victorcephas361824 күн бұрын

    Bora ameuawa

  • @sulemanmadahatv1691
    @sulemanmadahatv169124 күн бұрын

    Afrika mashariki Jeshi ni JWTZ tu, watu ishirini wameingia hadi Ikulu Ofisi ya Rais

  • @issazalala4907
    @issazalala490725 күн бұрын

    Tunaishi kwa muda tu lakini daaah tunaptia mambo mengi thanaaa😂

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl25 күн бұрын

    Wange wachinja wote hao wanalekani Fek

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba578825 күн бұрын

    Sas ukiruka live si unaonekana aina ya silaha ulizonazo na adui anajipanga zaidi yako

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed424924 күн бұрын

    Walipiga vitu vya chuga

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman203525 күн бұрын

    Hawa washenzi wanawafuata wazungu

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad24 күн бұрын

    Madara yanawazingua

  • @jumashedafa
    @jumashedafa25 күн бұрын

    Ni jaribio dogo but kuna uzembe mkubwa wa kiulinzi...Ajiangalie vyema

  • @omarali7
    @omarali724 күн бұрын

    Wakasome kwanza,mapinduzi sio kujirekodi na kuweka tiktok 😂😂

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim764522 күн бұрын

    Tafadhali, musipotoshe watu, Huu jamaa hakuja kupinduwa Tchisekedi, ni deal na politicians wa hapa congo 🇨🇩 na President anajuwa, ila amesalitiwa. Walipoingia walienda nyumbani kwa Vital Kamerhe makamu waziri wa kwanza Mustafa, ambaye anaandaluwa kusimamia bunge, ila hakuwa nyumbanikwake. Baadaye walienda kwenye ofisi ya rahisi Sunday asubui na 5am, na waliingia bila hata lisasi moja kupigwa. Sijuwi kama huko TZ raïsi anatumika Sunday asubui na 5am?! Hii njo Congo 🇨🇩

  • @Afroking2001
    @Afroking200124 күн бұрын

    Ni uwogo mtupu tu akuna ukweli wowote ni mambo ya kisiasa mapinduzi gani watu wanaedelea kufanya mambo yao kama kawaida

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar530424 күн бұрын

    Wakat unawaza wap kuna mishe au michongo kuna watu waashaamua maamuz magumu dahh

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm25 күн бұрын

    Bangi nyingi na kiherehere, kaitafutia familia yake matatizo, hizo bakora za jeshi la Congo, wote watakuwa ni maiti kwenye masaa kadha ajayo.

  • @Jgjgjggjaieifhfv
    @Jgjgjggjaieifhfv25 күн бұрын

    😂😂😂 uyu jama ni mushenzi sana tena mijinga kuliko wote na hâta wanaowo mu unga mukono imagine mtu atoke usa muna zani mabadiloko gani ata l'ETA ingekuwa ana toka kongo hapo inge eleweka kidogo Ila uyu hamuna kitu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    25 күн бұрын

    Huyo ni kibaraka wawazu gu pia bangi zilionyesha ata kuwa rais

  • @mwaimuchengo1814
    @mwaimuchengo181413 күн бұрын

    Huyu jamaa mzembe sana boraa angeshirikisha wataaalan wa haya mambo unataka kupinduaa nchi hujashikilia kiwanja Cha ndege ,redio na tv ya taifa ,huna hata kambi Moja ya jeshi inayokusapoti huyu ni utoto aliofanya kafa akiwa na umri mdogo sanaa miaka 41 inawezekana angeisaidia sana Congo ila ndio hivyoo

  • @alexandrafrancisco9848

    @alexandrafrancisco9848

    6 күн бұрын

    Por isso, deves reflectir... sera assim mesm?! Algo correu mal?! Houve traicao!?❤

  • @sponsor7882
    @sponsor788225 күн бұрын

    Wakongo kama wasomali

  • @Ryannkae

    @Ryannkae

    24 күн бұрын

    Wewe ujuwi apo kuna watu weusi wa usa walio wayi Pima DN nakupatikana ni wa congo wamejitolea na sio hao tu niwengi nikama vikundi 25

  • @Mbaley
    @Mbaley25 күн бұрын

    Afanye haraka maana kunamateso ya muno hapa🇨🇩

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    25 күн бұрын

    Wewe ni wale wale wapinzani tu

  • @mytelecom2019
    @mytelecom201924 күн бұрын

    uyo jamaana kadanganywa na mganga wake wa kienyeji,

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    24 күн бұрын

    😂😂😂

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka37725 күн бұрын

    Anavamia kishambashamba hivyooo kweli.... Eti mapinduz na watu 20

  • @victorarts242

    @victorarts242

    24 күн бұрын

    Hapo ndio panachekesha 😂, mapinduzi ya watu 20, halafu anaruka live 😂

  • @Ryannkae

    @Ryannkae

    24 күн бұрын

    @@victorarts242niwengi bro nasio ao tu nivikundi yani uk, ufarasa usa canada ila usa wapo vikundi 25 apo awalikuwa wanakwenda kujaribu niwengi mno nawanachagana na watu weusi aliyo pima DN wakapatikana niwacongomani nao wapo humo yeye ajitaindi kurusu wana jeshi kupingana rwanda kama sio hivyo ato maliza mwaka mana wacongo wengi wamezinduka

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    15 күн бұрын

    Alitegemea angeungwa mkono na baadhi ya wakuu wa kijeshi.

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni236925 күн бұрын

    Zaire na DRC sio mamoja?

  • @robertamsini1256

    @robertamsini1256

    25 күн бұрын

    Jina ya zamani iyo

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn24 күн бұрын

    Bangi na madawa vinahela hatari sema tu nipo bongo mbwa mimi😅😅😅😅

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni236925 күн бұрын

    Naona mumarekani kachapwa 😂

  • @MashaMbwana

    @MashaMbwana

    24 күн бұрын

    Akome 😂😂

  • @evelynemugeni2369

    @evelynemugeni2369

    24 күн бұрын

    @@MashaMbwana 🤣

Келесі