'Kama mnatukata kodi mkateni hadi Rais '-Mbunge Hussein Bashe

Wakati mjadala wa kuijadili bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2917 mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe amesimama bungeni kusisitiza kama serikali imeamua kuwakata kodi wabunge basi ihakikishe inatekeleza hilo kwa viongozi wote bila kubagua.

Пікірлер: 61

  • @robertmalagila126
    @robertmalagila1266 жыл бұрын

    Big up sn bashe! Uko vizur!!! We need representatives like uuuu!!! Mungu akulinde, endelea kuwa neutral hivyo hivyoooo!!! Be blessed!

  • @senatormatemu5580
    @senatormatemu55808 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni wa level ya juu sana,Magufuli anatakiwa ampe nafasi hata katika baraza la kumshauri hapo Ikulu. Hongera Bashe.

  • @otienokipaule4393

    @otienokipaule4393

    6 жыл бұрын

    bashe mashine

  • @aibansaidy4497

    @aibansaidy4497

    6 жыл бұрын

    hongera wananzega kumchagua huyu jamaa

  • @vivianlenard3618

    @vivianlenard3618

    5 жыл бұрын

    Ha ha ha ha amuweke mtu anayenzidi elimu na lugha

  • @alexmashimbaisululu6309
    @alexmashimbaisululu63098 жыл бұрын

    Moja kati ya wabunge makini sana bashe ni mtu makini sana hongereni wananzenga,

  • @daudimkwela
    @daudimkwela8 жыл бұрын

    Hawa ndio Vijana Mahili na wanasiasa mahili sijajua why JPM hakumuweka huyu jamaa kwenye Baraza la Mawaziri. Sio wakina Lusinde. Yani hata mpinzani ukisikiliza unamuelewa. Hoja ya nguvu na ya maana. Big up Hon. Hussein Bashe.

  • @neemaswai8384
    @neemaswai83846 жыл бұрын

    Mh Bashe (CCM) Mungu akufunike,huko makini sana na wananchi wa kima cha chini,tupsmbanie baba. Wenzako wamezoea ndiyoooo kama vitoto vya kinda gateni

  • @hazjay4671
    @hazjay46717 жыл бұрын

    #Bashe Una Nikosha Sana Sichoki kukuckliza!!

  • @fredrickbihekenya4140
    @fredrickbihekenya41408 жыл бұрын

    Safi Saana Mh.Hussein Bashe Vijana Kama nyie Tanzania Inawahitaji

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda41546 жыл бұрын

    Big up Mh, pride of TABORA.

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    leo tunayaona 2021 😭😭😭😭😭MTIHAN MTUPU

  • @alisaidi7477
    @alisaidi74773 жыл бұрын

    2025 inakaribia cyo nbali....inxhu ya Tozooo.. mtajutaaaa

  • @jamesnsia73
    @jamesnsia738 жыл бұрын

    i admire the arguments of comred Mbunge Hussein Bashe

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic15143 жыл бұрын

    Very intelligent argument .......go and grow Mr bashe next president

  • @modestmzumbwe588
    @modestmzumbwe5886 жыл бұрын

    kijana unasema kweli. be blessed.

  • @michaelmejah2466
    @michaelmejah24667 жыл бұрын

    viongozi wa aina hii tanzania ni wachache wengi ni sawa baba. mpk lini tunakuwa watumwa wa fikra

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Nakupa hongera sana hussein bashe

  • @gospelshoo2688
    @gospelshoo26888 жыл бұрын

    safi sana siyo huyo lusinde ambaye hajielewi

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93038 жыл бұрын

    Kumbe kuna watu hawalipi kodi?na hao wote aliyowataja wana misharaha mikubwa loh!

  • @MrMbaruku
    @MrMbaruku7 жыл бұрын

    Ipo siku tutakuja juu ya kaburi lako, kuhitaji mabaki ya ukweli wako

  • @bisharoomar4295
    @bisharoomar42957 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @godfreypaul8895
    @godfreypaul88955 жыл бұрын

    Safi sana mhe bashe endelea hivohivo usirudi nyuma

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela51516 жыл бұрын

    Wasema kweli uwa awaitajiki ataukisoma kuluani au baibu angalia misuko suko yao mh bashe usibadilike natamani 2020 uchukue fomu wakiwepo vijana kama hawa akunaaja ya vyama vingi

  • @abbashamza5174
    @abbashamza51747 жыл бұрын

    well said

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын

    Tanzania ukisema ukweli unakuwa mwenye hatia

  • @salimmasatu6839
    @salimmasatu68397 жыл бұрын

    Bashe endelea kusimamia ukweli cyo wengine wao ni ndiyo mzee

  • @alisaidi7477
    @alisaidi74773 жыл бұрын

    Hiiii tamu nakubali sanaaaaa....... .

  • @0716444067
    @07164440678 жыл бұрын

    big up bashe

  • @aishaommy5093
    @aishaommy50938 жыл бұрын

    big up sn umesema kitu smbcho nichkwel aiwezakn mtu ambae yuko chn kwa kpt yeye alipe kodi dhen amvae yuko juu kwa kipato kikubwa asilipe kodi huu ni unyanyasaj wa kijinsia asnt kaka mi nakukubl hua unaek mamb waz na yenye ukwel na ushnd ndan yake I love you

  • @emanuellukwaro399
    @emanuellukwaro3998 жыл бұрын

    Mkakati maalum

  • @ennonine9904
    @ennonine99048 жыл бұрын

    I have seen the new Tanzania .....

  • @mpoyluny3712
    @mpoyluny37128 жыл бұрын

    bora ata nisingejua ,kwa kwel nahisi ukoloni bado upo

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko1998 жыл бұрын

    Rais keshakubari kukatwa kodi hapo patamu mwaka huu

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Umeonge ukweli

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Anafaa

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8098 жыл бұрын

    this is funny wenye mishara mikubwa hamlipi kodi duuuuuh

  • @angukuam3098
    @angukuam30983 жыл бұрын

    cku hz auwez kuongea tena hvy

  • @simonmajigop5890
    @simonmajigop58906 жыл бұрын

    bashe uko vzr ebu gombea urais!!!!

  • @suparvision2319
    @suparvision23192 жыл бұрын

    Baadhi unaakili ila hawa wengine nyigu

  • @jumahassan273
    @jumahassan2733 жыл бұрын

    Tunataka kiongozi wa kukataa mawazo ya viongozi wenye kupayuka kuwa kodi lazima tulipe eti tunune msinune kodi ya makato mitandaoni lazima..,labda niwafamishe wenzangu kuhusu kauli ya viongozi wanaokandamiza wananchi wengi wao akili zao zimeathirika na magonjwa yao ukimwi sasa wanatamka tu maneno yasiyo heshima kwenye hii nchi sasa sisi akili zetu sio mbovu kama wao tunawacheka tu

  • @harunjailos5997
    @harunjailos59977 жыл бұрын

    good mp, unajua Nazi za mbuge.

  • @harunjailos5997

    @harunjailos5997

    7 жыл бұрын

    unajua kazi ya mbunge,

  • @petercat9686
    @petercat96865 жыл бұрын

    Msukuma anamuona kijana mwenzake,wewe kidogo tu taarifa taarifa ?

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi49502 жыл бұрын

    He kuna hoja ya kujibu hiki alichosema Mh Bashe(MB)?

  • @cosmasmagayane54
    @cosmasmagayane546 жыл бұрын

    Kweri wana nzega mna jembe bashe ongera kaka

  • @cosmasmagayane54
    @cosmasmagayane546 жыл бұрын

    Bashe huko vizur kwann magufuri asikupe huwaziri

  • @alicejoel3150
    @alicejoel31507 жыл бұрын

    mbashe uko juu baba wanatukwsza wenzio hao ambao kila jambo ndiooo mara nyingie hata swali halijaisha kuulizwa wamesha sema ndiooo mfano bunge live lisiwepo wakasema ndioo kwa sababu zipi jamani wabunge wa ccm?ludisheni bunge live mara moja mnatuficha nini? by mwl d,a,mbilinyi

  • @tommykonga5767
    @tommykonga57673 жыл бұрын

    Wananzega mnajembe

  • @eliusernest7741
    @eliusernest77418 жыл бұрын

    Hii nchi ina laana yan mtu mwenye mshahara mkubwa ndo halipi kodi aaaaaaaaah!!!!

  • @florameza9529

    @florameza9529

    7 жыл бұрын

    Elius Ernest kweli inashangaza sana wote wakatwe kodi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Жыл бұрын

    Inatakiwa tumpe urais

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias25512 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni mkweli Sana na mzalendo kweli kweli.

  • @macsammy8925

    @macsammy8925

    2 жыл бұрын

    Saaaana

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy378 жыл бұрын

    rational thinking, positivism & constructive arguments

  • @devpal3737

    @devpal3737

    7 жыл бұрын

    ɷɷ I Havee Watcheddd This Movie Leakedddd Versionn Hereee : - t.co/e6QlTccFx6

  • @hansbertbuhaja871

    @hansbertbuhaja871

    6 жыл бұрын

    kaka point zako naziunga mkono

  • @emanuellukwaro399
    @emanuellukwaro3998 жыл бұрын

    Mkakati maalum

  • @piusmsafiri9789

    @piusmsafiri9789

    7 жыл бұрын

    Bashe fikra zako zitasimama imara ktk Dunia ya leo hata kesho daima

Келесі