'Kama mnatukata kodi mkateni hadi Rais '-Mbunge Hussein Bashe
Wakati mjadala wa kuijadili bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2917 mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe amesimama bungeni kusisitiza kama serikali imeamua kuwakata kodi wabunge basi ihakikishe inatekeleza hilo kwa viongozi wote bila kubagua.
Пікірлер: 61
Big up sn bashe! Uko vizur!!! We need representatives like uuuu!!! Mungu akulinde, endelea kuwa neutral hivyo hivyoooo!!! Be blessed!
Huyu jamaa ni wa level ya juu sana,Magufuli anatakiwa ampe nafasi hata katika baraza la kumshauri hapo Ikulu. Hongera Bashe.
@otienokipaule4393
6 жыл бұрын
bashe mashine
@aibansaidy4497
6 жыл бұрын
hongera wananzega kumchagua huyu jamaa
@vivianlenard3618
5 жыл бұрын
Ha ha ha ha amuweke mtu anayenzidi elimu na lugha
Moja kati ya wabunge makini sana bashe ni mtu makini sana hongereni wananzenga,
Hawa ndio Vijana Mahili na wanasiasa mahili sijajua why JPM hakumuweka huyu jamaa kwenye Baraza la Mawaziri. Sio wakina Lusinde. Yani hata mpinzani ukisikiliza unamuelewa. Hoja ya nguvu na ya maana. Big up Hon. Hussein Bashe.
Mh Bashe (CCM) Mungu akufunike,huko makini sana na wananchi wa kima cha chini,tupsmbanie baba. Wenzako wamezoea ndiyoooo kama vitoto vya kinda gateni
#Bashe Una Nikosha Sana Sichoki kukuckliza!!
Safi Saana Mh.Hussein Bashe Vijana Kama nyie Tanzania Inawahitaji
Big up Mh, pride of TABORA.
leo tunayaona 2021 😭😭😭😭😭MTIHAN MTUPU
2025 inakaribia cyo nbali....inxhu ya Tozooo.. mtajutaaaa
i admire the arguments of comred Mbunge Hussein Bashe
Very intelligent argument .......go and grow Mr bashe next president
kijana unasema kweli. be blessed.
viongozi wa aina hii tanzania ni wachache wengi ni sawa baba. mpk lini tunakuwa watumwa wa fikra
Nakupa hongera sana hussein bashe
safi sana siyo huyo lusinde ambaye hajielewi
Kumbe kuna watu hawalipi kodi?na hao wote aliyowataja wana misharaha mikubwa loh!
Ipo siku tutakuja juu ya kaburi lako, kuhitaji mabaki ya ukweli wako
MashaAllah
Safi sana mhe bashe endelea hivohivo usirudi nyuma
Wasema kweli uwa awaitajiki ataukisoma kuluani au baibu angalia misuko suko yao mh bashe usibadilike natamani 2020 uchukue fomu wakiwepo vijana kama hawa akunaaja ya vyama vingi
well said
Tanzania ukisema ukweli unakuwa mwenye hatia
Bashe endelea kusimamia ukweli cyo wengine wao ni ndiyo mzee
Hiiii tamu nakubali sanaaaaa....... .
big up bashe
big up sn umesema kitu smbcho nichkwel aiwezakn mtu ambae yuko chn kwa kpt yeye alipe kodi dhen amvae yuko juu kwa kipato kikubwa asilipe kodi huu ni unyanyasaj wa kijinsia asnt kaka mi nakukubl hua unaek mamb waz na yenye ukwel na ushnd ndan yake I love you
Mkakati maalum
I have seen the new Tanzania .....
bora ata nisingejua ,kwa kwel nahisi ukoloni bado upo
Rais keshakubari kukatwa kodi hapo patamu mwaka huu
Umeonge ukweli
Anafaa
this is funny wenye mishara mikubwa hamlipi kodi duuuuuh
cku hz auwez kuongea tena hvy
bashe uko vzr ebu gombea urais!!!!
Baadhi unaakili ila hawa wengine nyigu
Tunataka kiongozi wa kukataa mawazo ya viongozi wenye kupayuka kuwa kodi lazima tulipe eti tunune msinune kodi ya makato mitandaoni lazima..,labda niwafamishe wenzangu kuhusu kauli ya viongozi wanaokandamiza wananchi wengi wao akili zao zimeathirika na magonjwa yao ukimwi sasa wanatamka tu maneno yasiyo heshima kwenye hii nchi sasa sisi akili zetu sio mbovu kama wao tunawacheka tu
good mp, unajua Nazi za mbuge.
@harunjailos5997
7 жыл бұрын
unajua kazi ya mbunge,
Msukuma anamuona kijana mwenzake,wewe kidogo tu taarifa taarifa ?
He kuna hoja ya kujibu hiki alichosema Mh Bashe(MB)?
Kweri wana nzega mna jembe bashe ongera kaka
Bashe huko vizur kwann magufuri asikupe huwaziri
mbashe uko juu baba wanatukwsza wenzio hao ambao kila jambo ndiooo mara nyingie hata swali halijaisha kuulizwa wamesha sema ndiooo mfano bunge live lisiwepo wakasema ndioo kwa sababu zipi jamani wabunge wa ccm?ludisheni bunge live mara moja mnatuficha nini? by mwl d,a,mbilinyi
Wananzega mnajembe
Hii nchi ina laana yan mtu mwenye mshahara mkubwa ndo halipi kodi aaaaaaaaah!!!!
@florameza9529
7 жыл бұрын
Elius Ernest kweli inashangaza sana wote wakatwe kodi
Inatakiwa tumpe urais
Huyu jamaa ni mkweli Sana na mzalendo kweli kweli.
@macsammy8925
2 жыл бұрын
Saaaana
rational thinking, positivism & constructive arguments
@devpal3737
7 жыл бұрын
ɷɷ I Havee Watcheddd This Movie Leakedddd Versionn Hereee : - t.co/e6QlTccFx6
@hansbertbuhaja871
6 жыл бұрын
kaka point zako naziunga mkono
Mkakati maalum
@piusmsafiri9789
7 жыл бұрын
Bashe fikra zako zitasimama imara ktk Dunia ya leo hata kesho daima