Kishimba aja na mapya, apendekeza Wizara ya Malalamiko na Matatizo "TUWE NA WIZARA YA KERO"
Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba ametaka Serikali kuunda Wizara mbili za Kero na Matumizi.
Hata hivyo Kishimba amependekeza kuwa huu ni wakati wa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuanza ukaguzi mapendekezo kabla ya kuanza kwa Ujenzi wa miradi.
Ametoa kauli hiyo leo Jumatano April 12,2023 mbele ya Bunge ambapo amesema hakuna anachosaidia CAG ikiwa anakwenda kufanya ukaguzi wakati matukio yakiwa yametendeka.
Пікірлер: 60
Iyo wizara ya kero muhimu sana tena iwe na call center kama tigo ili simu hadi za wananchi ziingie nakupewa reference number ambazo unaweza kutrack maendeleo ya kero 👏👏
Nampenda sana Huyu Mzee! Ana logic Sanaa
@clausemsemwa297
Жыл бұрын
Japo hakwenda shule lakini ana mawazo kibao.....logic
Siku zote wenye uwezo wa kufikiri tofauti na wenzao ndio Huwa wanafanikiwa kishimba big up
@stanleyamlima2085
Жыл бұрын
Ndio kabisa!!! Hii ndio inaitwa logic au intuition
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Yaani huyu baba ni hekima na busara sana na anatoa maoni mazuri mungu ampe nguvu na aendelee na ubunge
Huyu ndo mbunge wetu kahama, fahari ya Kahama
Mzee uwa ana point za maana sana.
@kabulukimati
Жыл бұрын
Istroo. Umesema. Vema
Namkubali sana huyu mzee anaongea point kuliko hata wenye PHD💪💪💪
Mara zoote Sheikh Kishimba huwa anazungumza kama anakosea ila huwa anazungumza ukweli mtupu
huyu mzee yupo vizur sana nampenda❤
Huyu mwamba huwa anahoja za Peke yake.. Great thinker
Nakukubali sana boss wangu ukweli serikali ikisikiliza na kufata hoja bass matatizo mengi yataisha na tutaishi ktk haki stahiki mtuyoyote aliyewahi kufanya kazi na huyu mtu bac atanielewa pia nakushukuru sana bass kwa kile ulichonifundisha nimeshika na nakushikilia ulichonifunza na kimsaada mkubwa maishani mwangu
Baba Kishimba nakuunga mikono Sana, mapesa yaliyotumika Vibaya kujenga masoko ya gorofa, angalia hapo Magomeni, Kwa mfano halisi, like soko lingeweza kujenga masoko ya chini, Ila, buguruni manzese n.k.aliyeamua ni mwanasiasa au mwana sayansi..waliofanya huo uamuazi katiba mpya iwawajibishe ..
Mwanazengo nakupenda sana una maoni mazuri sana unayotoa bungeni
Umenena vema baba
Nashangaa mpaka sana hata unaibu waziri hawaja mpya wangemtumia hata kuwa mshauri wa serikali watu wenye uzalendo hawapewi nafasi
mungu atutangulie wananchi wa kahama maana kwa mbunge kama huyu mmmh
@abdalaalmas2535
Жыл бұрын
Mbunge wetu ni mbunge mwenye point sana na anawafuasi wengi sana hapa Tz.
Mi nitakua rol model wako kwakweli napenda Sana unapochangia,,,yani Big up kwako Mzee kishimba
Huyu ndiyo anatakiwa kupewa udaktari siyo Dr taletale
HUYU Mzee Huwa anafikiri nje ya box. Tatizo hatuwatumii ipasavyo watu kama hawa.
THANKS MR ONLY 1 ✅
mheshimiwa mwenyekiti unaitaja sana usiwe muoga kihivyo, jiamini
Safi kabisa kishimba nikopamojana ww
Huwezi sikia vyuo vyetu vya ndani vimemtunuku udakitari huyu mwamba lakini ukisikia mawazo yake huyu mh ni zaidi ya maprofesa.
@peterchula1990
Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe
@imanimbaga3549
Жыл бұрын
Kwakweli huyu mzee ni professor kabisa
Kabla hatujaenda kwenye biashara ½ya hela imeobiwa daaaah nimecheka Sana huyu dingi ni mnoma
Genius
Guud,sanaaaaa
Professor wa kuzaliwa.
Kishimba kwa hoja na udadavuaji yeye ni bora.
Nakukubali sana mkuu we ndo mbunge kipenzi changu
I love you mzee
Najionaga naakili sana ila hii njemba imenizidi kilometa za kutosha upande huo.
Mh. Kishimba uko sawa
kabla hatujaanza biashara nusu ya hela imeibiwa. Hii nchi kuna watu wanatuchanganya sana hii.😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wala blueband😂😂😂😂😂
Kishimba genius 😂😂
Mzee ni kichwa anaongea kwa hoja Sana nampenda bure
Shida ya Tz wanaoenda kucheka mambo ya msingi , BADALA YA KITAFUTA CONCEPT YA MZUNGUMZAJI , wakifanyia KAZI HOJA zao zinafaida
Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani
Nchi yetu inahitaji wabunge Kama huyu, anagusa mahitaji ya wahitaji.
Kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa wa Mazingira No. 20 ya 2004 (EMA 20 of 2002) kuna miradi iliyoainishwa kwa msana kuwa miradi ya aina hiyo isitekelezwe bila kufanyiwa uchunguzi wa Athari zake kwa mazingira na kwa ustawi au maendeleo ya jamii kwa ujumla. Masoko ni miongoni mwa miradi iliyoainishwa. Hakika sheria hii inavunjwa na wananchi wanatiwa hasara na serikali inapata hasara zisizoelezeka. Tuyaongelee wapi haya ili tusikike? Tuinue mabango Waziri Jafo, Waziri Mkuu au Mama wajapo kwetu? Kishimba wambie wasimamie sheria . Na pia watuoneshe Repoti za Uchunguzi wa Ahari za Miradi kwa miradi uliyoitaja
Soko la gholofa uweke nyanya
Huyu mzee ni chuma
Akili ya kuzaliwa ikifanya kazi yake barabara
Huyu Jamaa ndo maana ni biluonea
serikali hii kila siku ni wizi tu,, mbona mi sioni cha kuiba
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Pesa zimeibiwa zamani mama kaamua kuyaniks
Tutajuta kuruhusu wajinga kuwa wawakilishi.. MwanaKahama yupi aliemtuma hayo?
Huyu mzee hajaenda shule hoja zake zote ni pumba tupu
@isaacvtv547
Жыл бұрын
Basi we ndo basi tu.
@lucasmasumbuko2098
Жыл бұрын
Wewe utakuwa unakanyagwa Sasa na matai ya mwigulu
@babailacharles7199
Жыл бұрын
Nakukubali sana
@malopemaliyamungu5243
Жыл бұрын
@Bwilu Uko sahihi.. Huyu jamaa Ni pumba tupu. Mjinga sana. Waliomchagua wanajuta. Hebu fikiria Jimbo lake Ni eneo la manispaa Hana barabara za kutosha, anasema bungeni mapanya yamezidi jimboni kwake sababu Wafugaji wananyimwa kuchungia mifugo mjini. Yaani upumbavu kabisa.
huyu jamaa nafikiria tofauti na fikira za wabunge wengi
Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani