Kishimba aja na mapya, apendekeza Wizara ya Malalamiko na Matatizo "TUWE NA WIZARA YA KERO"

Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba ametaka Serikali kuunda Wizara mbili za Kero na Matumizi.
Hata hivyo Kishimba amependekeza kuwa huu ni wakati wa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuanza ukaguzi mapendekezo kabla ya kuanza kwa Ujenzi wa miradi.
Ametoa kauli hiyo leo Jumatano April 12,2023 mbele ya Bunge ambapo amesema hakuna anachosaidia CAG ikiwa anakwenda kufanya ukaguzi wakati matukio yakiwa yametendeka.

Пікірлер: 60

  • @geeva99
    @geeva99 Жыл бұрын

    Iyo wizara ya kero muhimu sana tena iwe na call center kama tigo ili simu hadi za wananchi ziingie nakupewa reference number ambazo unaweza kutrack maendeleo ya kero 👏👏

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Жыл бұрын

    Nampenda sana Huyu Mzee! Ana logic Sanaa

  • @clausemsemwa297

    @clausemsemwa297

    Жыл бұрын

    Japo hakwenda shule lakini ana mawazo kibao.....logic

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 Жыл бұрын

    Siku zote wenye uwezo wa kufikiri tofauti na wenzao ndio Huwa wanafanikiwa kishimba big up

  • @stanleyamlima2085

    @stanleyamlima2085

    Жыл бұрын

    Ndio kabisa!!! Hii ndio inaitwa logic au intuition

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Yaani huyu baba ni hekima na busara sana na anatoa maoni mazuri mungu ampe nguvu na aendelee na ubunge

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 Жыл бұрын

    Huyu ndo mbunge wetu kahama, fahari ya Kahama

  • @Franklin-px9ee
    @Franklin-px9ee Жыл бұрын

    Mzee uwa ana point za maana sana.

  • @kabulukimati

    @kabulukimati

    Жыл бұрын

    Istroo. Umesema. Vema

  • @user-bp5pq8nw3f
    @user-bp5pq8nw3f7 ай бұрын

    Namkubali sana huyu mzee anaongea point kuliko hata wenye PHD💪💪💪

  • @daccordaurevoir5526
    @daccordaurevoir5526 Жыл бұрын

    Mara zoote Sheikh Kishimba huwa anazungumza kama anakosea ila huwa anazungumza ukweli mtupu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Жыл бұрын

    huyu mzee yupo vizur sana nampenda❤

  • @gerisonsilayo.6733
    @gerisonsilayo.67332 ай бұрын

    Huyu mwamba huwa anahoja za Peke yake.. Great thinker

  • @abubakaryrashidi1439
    @abubakaryrashidi1439 Жыл бұрын

    Nakukubali sana boss wangu ukweli serikali ikisikiliza na kufata hoja bass matatizo mengi yataisha na tutaishi ktk haki stahiki mtuyoyote aliyewahi kufanya kazi na huyu mtu bac atanielewa pia nakushukuru sana bass kwa kile ulichonifundisha nimeshika na nakushikilia ulichonifunza na kimsaada mkubwa maishani mwangu

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Жыл бұрын

    Baba Kishimba nakuunga mikono Sana, mapesa yaliyotumika Vibaya kujenga masoko ya gorofa, angalia hapo Magomeni, Kwa mfano halisi, like soko lingeweza kujenga masoko ya chini, Ila, buguruni manzese n.k.aliyeamua ni mwanasiasa au mwana sayansi..waliofanya huo uamuazi katiba mpya iwawajibishe ..

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Mwanazengo nakupenda sana una maoni mazuri sana unayotoa bungeni

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Жыл бұрын

    Umenena vema baba

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Жыл бұрын

    Nashangaa mpaka sana hata unaibu waziri hawaja mpya wangemtumia hata kuwa mshauri wa serikali watu wenye uzalendo hawapewi nafasi

  • @thomasmazik1962
    @thomasmazik1962 Жыл бұрын

    mungu atutangulie wananchi wa kahama maana kwa mbunge kama huyu mmmh

  • @abdalaalmas2535

    @abdalaalmas2535

    Жыл бұрын

    Mbunge wetu ni mbunge mwenye point sana na anawafuasi wengi sana hapa Tz.

  • @bennettbennett2915
    @bennettbennett2915 Жыл бұрын

    Mi nitakua rol model wako kwakweli napenda Sana unapochangia,,,yani Big up kwako Mzee kishimba

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Жыл бұрын

    Huyu ndiyo anatakiwa kupewa udaktari siyo Dr taletale

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 Жыл бұрын

    HUYU Mzee Huwa anafikiri nje ya box. Tatizo hatuwatumii ipasavyo watu kama hawa.

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc Жыл бұрын

    THANKS MR ONLY 1 ✅

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 Жыл бұрын

    mheshimiwa mwenyekiti unaitaja sana usiwe muoga kihivyo, jiamini

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 Жыл бұрын

    Safi kabisa kishimba nikopamojana ww

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 Жыл бұрын

    Huwezi sikia vyuo vyetu vya ndani vimemtunuku udakitari huyu mwamba lakini ukisikia mawazo yake huyu mh ni zaidi ya maprofesa.

  • @peterchula1990

    @peterchula1990

    Жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe

  • @imanimbaga3549

    @imanimbaga3549

    Жыл бұрын

    Kwakweli huyu mzee ni professor kabisa

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 Жыл бұрын

    Kabla hatujaenda kwenye biashara ½ya hela imeobiwa daaaah nimecheka Sana huyu dingi ni mnoma

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Жыл бұрын

    Genius

  • @AmiriKutika-zk5lg
    @AmiriKutika-zk5lg Жыл бұрын

    Guud,sanaaaaa

  • @thechosenone.9169
    @thechosenone.9169 Жыл бұрын

    Professor wa kuzaliwa.

  • @outzone66
    @outzone66 Жыл бұрын

    Kishimba kwa hoja na udadavuaji yeye ni bora.

  • @babailacharles7199
    @babailacharles7199 Жыл бұрын

    Nakukubali sana mkuu we ndo mbunge kipenzi changu

  • @happymerry8675
    @happymerry8675 Жыл бұрын

    I love you mzee

  • @emjay1016
    @emjay1016 Жыл бұрын

    Najionaga naakili sana ila hii njemba imenizidi kilometa za kutosha upande huo.

  • @maumabennett8597
    @maumabennett8597 Жыл бұрын

    Mh. Kishimba uko sawa

  • @denhotv9019
    @denhotv9019 Жыл бұрын

    kabla hatujaanza biashara nusu ya hela imeibiwa. Hii nchi kuna watu wanatuchanganya sana hii.😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 Жыл бұрын

    Wala blueband😂😂😂😂😂

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Жыл бұрын

    Kishimba genius 😂😂

  • @mwalumogomsigwa856
    @mwalumogomsigwa856 Жыл бұрын

    Mzee ni kichwa anaongea kwa hoja Sana nampenda bure

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Жыл бұрын

    Shida ya Tz wanaoenda kucheka mambo ya msingi , BADALA YA KITAFUTA CONCEPT YA MZUNGUMZAJI , wakifanyia KAZI HOJA zao zinafaida

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Жыл бұрын

    Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani

  • @marconyangoha1331
    @marconyangoha1331 Жыл бұрын

    Nchi yetu inahitaji wabunge Kama huyu, anagusa mahitaji ya wahitaji.

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Жыл бұрын

    Kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa wa Mazingira No. 20 ya 2004 (EMA 20 of 2002) kuna miradi iliyoainishwa kwa msana kuwa miradi ya aina hiyo isitekelezwe bila kufanyiwa uchunguzi wa Athari zake kwa mazingira na kwa ustawi au maendeleo ya jamii kwa ujumla. Masoko ni miongoni mwa miradi iliyoainishwa. Hakika sheria hii inavunjwa na wananchi wanatiwa hasara na serikali inapata hasara zisizoelezeka. Tuyaongelee wapi haya ili tusikike? Tuinue mabango Waziri Jafo, Waziri Mkuu au Mama wajapo kwetu? Kishimba wambie wasimamie sheria . Na pia watuoneshe Repoti za Uchunguzi wa Ahari za Miradi kwa miradi uliyoitaja

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Жыл бұрын

    Soko la gholofa uweke nyanya

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Жыл бұрын

    Huyu mzee ni chuma

  • @philemonkingdom4065
    @philemonkingdom4065 Жыл бұрын

    Akili ya kuzaliwa ikifanya kazi yake barabara

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Жыл бұрын

    Huyu Jamaa ndo maana ni biluonea

  • @Dantaata
    @Dantaata Жыл бұрын

    serikali hii kila siku ni wizi tu,, mbona mi sioni cha kuiba

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    Жыл бұрын

    Pesa zimeibiwa zamani mama kaamua kuyaniks

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын

    Tutajuta kuruhusu wajinga kuwa wawakilishi.. MwanaKahama yupi aliemtuma hayo?

  • @bwilumarigo
    @bwilumarigo Жыл бұрын

    Huyu mzee hajaenda shule hoja zake zote ni pumba tupu

  • @isaacvtv547

    @isaacvtv547

    Жыл бұрын

    Basi we ndo basi tu.

  • @lucasmasumbuko2098

    @lucasmasumbuko2098

    Жыл бұрын

    Wewe utakuwa unakanyagwa Sasa na matai ya mwigulu

  • @babailacharles7199

    @babailacharles7199

    Жыл бұрын

    Nakukubali sana

  • @malopemaliyamungu5243

    @malopemaliyamungu5243

    Жыл бұрын

    @Bwilu Uko sahihi.. Huyu jamaa Ni pumba tupu. Mjinga sana. Waliomchagua wanajuta. Hebu fikiria Jimbo lake Ni eneo la manispaa Hana barabara za kutosha, anasema bungeni mapanya yamezidi jimboni kwake sababu Wafugaji wananyimwa kuchungia mifugo mjini. Yaani upumbavu kabisa.

  • @filbertladislaus1959
    @filbertladislaus1959 Жыл бұрын

    huyu jamaa nafikiria tofauti na fikira za wabunge wengi

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 Жыл бұрын

    Haaa🤣🤣🤣🤣🤣amepanda abiri nagani

Келесі