Zitto Atoa Siri Uamuzi Kuanzisha ACT Wazalendo, Asema Kikwete, Filikunjombe Walimshauri Asiende CCM

Mwanasiasa mkongwe na Kiongozi wa ACT Wazalendo aliyemaliza muda wake wa miaka 10 ameeleza kuwa sababu kubwa ya kuanzisha ACT-Wazalendo ilitokana na changamoto zilizuibuka katika chama alichokuwamo yaani CHADEMA mwaka 2012 baada ya kuanza kuundiwa mizengwe. Anasema alipofukuzwa katika chama hiko moja ya watu waliomshauri kutafuta jukwaa lingine la kisiasa ni Mwenyekiti Mstaafu wa CCM na Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete, pamoja na swahiba wake aliyekuwa Mbunge wa Njombe, marehemu Deo Filikunjombe.

Пікірлер: 17

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf2 ай бұрын

    Nyinyi wote mnaompinga Zito ni wadini na ukanda acheni maneno yenu.

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda94502 ай бұрын

    Peleka huko usaliti wako huko

  • @calabash4221
    @calabash42212 ай бұрын

    Zitto ni msaliti tu..

  • @isaremagige
    @isaremagige2 ай бұрын

    Tulijua wewe ni ccm b

  • @richarddaniel411
    @richarddaniel4112 ай бұрын

    Jinga

  • @fwc5552
    @fwc55522 ай бұрын

    Hakuna aliyekuzuia bwana ulitaka kutuuza ww fia mbali huko

  • @user-mm6fe9vz2p
    @user-mm6fe9vz2p2 ай бұрын

    CCM

  • @eligiusmandimu8206
    @eligiusmandimu82062 ай бұрын

    Kwa hiyo ni uroho WA madaraka uliowatoa CDM

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku2 ай бұрын

    Mbowe ndiye mwenyekiti wetu milele daima nyie watu wasaliti kaambali

  • @ourearthmatters5206

    @ourearthmatters5206

    2 ай бұрын

    Huna akili kabisa

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    Wenzenu wanaongezewa RUZUKU nyie kelele 🤧🤧🤧🤧🤧MBOWE ANAKUJUWA WEWE 😢😢😢😢

  • @driss4957
    @driss49572 ай бұрын

    Alianzisha au alianzishiwa na system...HAYA UNA CHAMA PAMBANIA MIFUMO HURU YA UCHAGUZI....KAZI YAKO KUWASHAMBULIA CHADEMA NA MBOWE MPINZANI GANI WEWE, AJENDA YAKO INAJULIKANA,KUFIFIISHA HARAKATI ZA MAGEUZI.LENGO LAKO KURUTOA KWENYE RELI..

  • @jumannerizimbura6750

    @jumannerizimbura6750

    2 ай бұрын

    No comments, mercenary

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    Leo nimejua hatuna upinzani bali tuna CCM B😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    2 ай бұрын

    Kivipi wewe unasema ivooo kua tuna ccm b kivipi

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    @@user-et9vf2ro2k kama mshauri ni mwana CCM inakaaje hapo

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    2 ай бұрын

    @@user-et9vf2ro2k kama mshauri ni mwana CCM inakaaje hapo

Келесі