SHAMBANI | Rais mstaafu Mwinyi na shamba la mfano la Korosho

Rais mstaafu , Ali Hassan Mwinyi ameendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa wakulima wengi hapa nchini ni baada ya mafanikio yake katika mazao mengine, sasa amepiga hatua katika shamba lake jipya la korosho lililopo huko Mkuranga mkoani Pwani.

Пікірлер: 24

  • @noru9028
    @noru9028 Жыл бұрын

    Mashallah Babu 97 na bado ana nguvu zake💕❤️mh mwiny Allah akufkishe adi 100 insha'Allah 🤲

  • @abdulyamiri3546

    @abdulyamiri3546

    Жыл бұрын

    mbon umewek kikoma jmn

  • @mohdnasser894

    @mohdnasser894

    Жыл бұрын

    Hapo utagundua wala nguruwe kwa wingi lazima wafe mapema kwa mfano tu marais wa kikristo wote walikwisha ila hao wasiokula nguruwe wako

  • @mwaiphamkuruto1087
    @mwaiphamkuruto1087 Жыл бұрын

    Allah Amjalie umri mrefu afya njema amhifadhi

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Жыл бұрын

    Nampenda sana babu yangu huyu mwenyezi mungu amjaalie umri mrefu zaidi

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Жыл бұрын

    Maashallah Mzee RUKSA, ALLAH AKUPE AFYA NJEMA UENDELEE KUWA MFANO WA VIONGOZI WENGINE

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Жыл бұрын

    Hongera Mhe. Ali Hassan Mwinyi kwa kuoneaha mfano kwa jamii licha ya kwamba angeweza kutulia nyumbani.

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    Жыл бұрын

    Kwa kwel

  • @jumanzumbi1215
    @jumanzumbi1215 Жыл бұрын

    Hongera mheshimiwa.pamoja na kuwa una kila kitu bado unalima.safi sana.unaonyesha njia

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Жыл бұрын

    Hongera sana Mzee wetu! Ahsante sana!

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    Жыл бұрын

    Kaz nzur

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Жыл бұрын

    Mungu akubariki amina.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Жыл бұрын

    Money can do anything in Africa leaders,huu labda uwe mfano kwa corrupt leaders..

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын

    Hapo ndipo alipozaliwa

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho3319 Жыл бұрын

    Utafanya hivyo bila mtaji

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 Жыл бұрын

    Uko sahihi mzee wengine tunalimia njaa wewe kwako ni burudani

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Жыл бұрын

    Manshallah

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 Жыл бұрын

    Nampenda sana

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Жыл бұрын

    Baba miaka miwili iliyopita ulivuna? Au?

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Жыл бұрын

    Mzee Ambaye Ni Mfano Wa Kuigwa Kwa Wazee Wengi Nchin Tanzania Na Ni Mfano Bora Sana Kwa Nchi Yetu Ya Tanzania Aswa Kwa Sisi Vijana Wa Taifa Ili Hongera Sana Mzee Ally Hassan Mwinyi🙏

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    Жыл бұрын

    Kabisa had nmetaman

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    Жыл бұрын

    Sawa lkn uyu ana pesa ilo zao gharama zake sio poa ekali 40 ziskie tu watu kuusu huduma weeeeeee

  • @abdulhamis9825

    @abdulhamis9825

    Жыл бұрын

    @@karimjuma4019 Ni Kujipanga Tu Sio Lazma Uwe Na Hekali40 Japo 5 Au 10

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Жыл бұрын

    Homgera sana baba yetu 😘😘😘

Келесі