KIJANA MILIONEA WA KOROSHO, ANAMILIKI SHAMBA EKARI 10, KAAJIRI VIJANA
Жүктеу.....
Пікірлер: 48
@gordonwalexs16852 жыл бұрын
Hongera Sana kka ,nawafwatilia nikiwa kenya
@farajmanuar35892 жыл бұрын
kazi nzuri kijana endelea kupammbana..
@gordonwalexs16852 жыл бұрын
Ayo TV Nambarimoja ,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🛬🛬🛬
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Mashaa Allah
@jacobsifukwe72912 жыл бұрын
Sio milionea
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Shukrani
@abdalaalmas25352 жыл бұрын
HUYU INAONEKANA SHAMBA SIO LAKE YAANI ANAKUA KAMA ANABAHATISHA.
@rayisadesigns2646
2 жыл бұрын
kwa kusini kumiliki shamba kama hiilo ni kitu cha kawaida tu
@c759232 жыл бұрын
Huyu mtangazaji bwn nna matatizo nae sana toka enzi za tukio la Hamza kuua askari kwenye interview anamuuliza askari hii ni mara ya ngapi unakutana na tukio kama hili!! Kama hapa uliza maswali technical eka kumi unavuna tani ngapi au kilo ngapi, eka kumi gharama za kuandaa shamba mpaka kuvuna kiasi gani, nini changamoto kwenye soko la korosho, kangomba, madalali yani mengi ya msingi hayaulizwi, sauti nzuri ya utangazaji ila duuh! (Samahani lkn)
@miltonmachage2462
2 жыл бұрын
Sio samahan bali umemchana cz wanaingua xanaa
@c75923
2 жыл бұрын
@@miltonmachage2462 ok poa kiroho safi lkn
@nasriabdi9046
2 жыл бұрын
safi sana hana maswali technical maana ili hata sie tusiwe na maswali yoyote yeye anatakiwa aukuze na najibu tupate
@superangeltv46152 жыл бұрын
good
@mohamedkitemwe35699 ай бұрын
Good
@partnersah88022 жыл бұрын
Kweli ni ndogo hiyo hela million 2 kwa msimu mmoja then unasubilia miezi kumi tena kupata million 2.
@kakaaignas3675
2 жыл бұрын
Ndogo sana
@ismailchibonda50052 жыл бұрын
Mnamaliza mb zetu bwana.
@fatmamamlo78822 жыл бұрын
Akazane kuongea sauti yake ndogo sana
@issahemed11572 жыл бұрын
Huyo sio mmakonde, Na anachokiongea hakina nguvu sanaaa
@kalengashoppingcenter1108
2 жыл бұрын
Ni mmakonde sema weled wa kujieleza hana
@rojahman99712 жыл бұрын
Hamn kitu hpo
@diolindanativo72682 жыл бұрын
Watoto wa Naliendele nuksi sana hao wachawi sana hao ogopa.
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@muujr2972
2 жыл бұрын
Misukule kwao nikawaida sana
@neemanyove9130
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂jmn
@rikekikonyo22652 жыл бұрын
Shamba lina thamani ya mil 60 linakupa faida ya mil 2 how come??
@baserbob6899
2 жыл бұрын
bado shamba changa likakomaa linauwezo wakutoa mbaka M20 kwa mwaka
@partnersah88022 жыл бұрын
Mtwara Kuchele
@fikirishaban81672 жыл бұрын
Mhh
@haniffa90242 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/aJWLubCqg66xoZs.html DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI
@kakaaignas3675
2 жыл бұрын
Iko wap
@oscarsabin35612 жыл бұрын
Hapo ayo umeyumba hekali kumi hilo sio shamba kashamba ni mkulima mdogo Sana watu Wana hadi hekali 80
@partnersah8802
2 жыл бұрын
Kumbe watu nikajua wewe ndo unazo hizo hekari ningekuja kuomba kazi
@didimhutila89852 жыл бұрын
Kwa hiyo hiyo mikorosho inamiaka minne tuu?
@abdallahmakombo3866
2 жыл бұрын
Ameinunua
@dicktv87622 жыл бұрын
Uchizi tu akuna chamaana apa
@neemanyove9130
3 ай бұрын
😅😅😅
@godlovemrosso59732 жыл бұрын
Hilo shamba alinunua na korosho zake kumbe ? nilidhani kaotesha mwenyewe na kuikuza mpaka kufikia hapo
@c75923
2 жыл бұрын
Korosho ni kama kahawa au minazi inachukua miaka kukua mpaka kuvuna; na mti ukikomaa unakaa hata miaka 20
@tugabiz4286
2 жыл бұрын
@@c75923 sasahivi kuna Mbegu za kisasa chap kwa haraka
@joshuamwihambi58562 жыл бұрын
Watu wana ekari 50 korosho milardayo bwana
@athumanfuko199
2 жыл бұрын
si wao,dogo darasa la saba anajielewa huyu
@shaphyally7838
2 жыл бұрын
Wanazingua namfahamu sanaa tu
@shaphyally7838
2 жыл бұрын
Wanazingua namfahamu sanaa tu
@haniffa90242 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/aJWLubCqg66xoZs.html DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI
Пікірлер: 48
Hongera Sana kka ,nawafwatilia nikiwa kenya
kazi nzuri kijana endelea kupammbana..
Ayo TV Nambarimoja ,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🛬🛬🛬
Mashaa Allah
Sio milionea
Shukrani
HUYU INAONEKANA SHAMBA SIO LAKE YAANI ANAKUA KAMA ANABAHATISHA.
@rayisadesigns2646
2 жыл бұрын
kwa kusini kumiliki shamba kama hiilo ni kitu cha kawaida tu
Huyu mtangazaji bwn nna matatizo nae sana toka enzi za tukio la Hamza kuua askari kwenye interview anamuuliza askari hii ni mara ya ngapi unakutana na tukio kama hili!! Kama hapa uliza maswali technical eka kumi unavuna tani ngapi au kilo ngapi, eka kumi gharama za kuandaa shamba mpaka kuvuna kiasi gani, nini changamoto kwenye soko la korosho, kangomba, madalali yani mengi ya msingi hayaulizwi, sauti nzuri ya utangazaji ila duuh! (Samahani lkn)
@miltonmachage2462
2 жыл бұрын
Sio samahan bali umemchana cz wanaingua xanaa
@c75923
2 жыл бұрын
@@miltonmachage2462 ok poa kiroho safi lkn
@nasriabdi9046
2 жыл бұрын
safi sana hana maswali technical maana ili hata sie tusiwe na maswali yoyote yeye anatakiwa aukuze na najibu tupate
good
Good
Kweli ni ndogo hiyo hela million 2 kwa msimu mmoja then unasubilia miezi kumi tena kupata million 2.
@kakaaignas3675
2 жыл бұрын
Ndogo sana
Mnamaliza mb zetu bwana.
Akazane kuongea sauti yake ndogo sana
Huyo sio mmakonde, Na anachokiongea hakina nguvu sanaaa
@kalengashoppingcenter1108
2 жыл бұрын
Ni mmakonde sema weled wa kujieleza hana
Hamn kitu hpo
Watoto wa Naliendele nuksi sana hao wachawi sana hao ogopa.
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@muujr2972
2 жыл бұрын
Misukule kwao nikawaida sana
@neemanyove9130
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂jmn
Shamba lina thamani ya mil 60 linakupa faida ya mil 2 how come??
@baserbob6899
2 жыл бұрын
bado shamba changa likakomaa linauwezo wakutoa mbaka M20 kwa mwaka
Mtwara Kuchele
Mhh
kzread.info/dash/bejne/aJWLubCqg66xoZs.html DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI
@kakaaignas3675
2 жыл бұрын
Iko wap
Hapo ayo umeyumba hekali kumi hilo sio shamba kashamba ni mkulima mdogo Sana watu Wana hadi hekali 80
@partnersah8802
2 жыл бұрын
Kumbe watu nikajua wewe ndo unazo hizo hekari ningekuja kuomba kazi
Kwa hiyo hiyo mikorosho inamiaka minne tuu?
@abdallahmakombo3866
2 жыл бұрын
Ameinunua
Uchizi tu akuna chamaana apa
@neemanyove9130
3 ай бұрын
😅😅😅
Hilo shamba alinunua na korosho zake kumbe ? nilidhani kaotesha mwenyewe na kuikuza mpaka kufikia hapo
@c75923
2 жыл бұрын
Korosho ni kama kahawa au minazi inachukua miaka kukua mpaka kuvuna; na mti ukikomaa unakaa hata miaka 20
@tugabiz4286
2 жыл бұрын
@@c75923 sasahivi kuna Mbegu za kisasa chap kwa haraka
Watu wana ekari 50 korosho milardayo bwana
@athumanfuko199
2 жыл бұрын
si wao,dogo darasa la saba anajielewa huyu
@shaphyally7838
2 жыл бұрын
Wanazingua namfahamu sanaa tu
@shaphyally7838
2 жыл бұрын
Wanazingua namfahamu sanaa tu
kzread.info/dash/bejne/aJWLubCqg66xoZs.html DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI
Mhh
@zakiakusaja8603
2 жыл бұрын
Wewe unaguna nini 🤣🤣🤣unatatizo nae
@tatotato506
2 жыл бұрын
@@zakiakusaja8603 😄😄😄😄😄😄