KIJANA MILIONEA WA KOROSHO, ANAMILIKI SHAMBA EKARI 10, KAAJIRI VIJANA

Пікірлер: 48

  • @gordonwalexs1685
    @gordonwalexs16852 жыл бұрын

    Hongera Sana kka ,nawafwatilia nikiwa kenya

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar35892 жыл бұрын

    kazi nzuri kijana endelea kupammbana..

  • @gordonwalexs1685
    @gordonwalexs16852 жыл бұрын

    Ayo TV Nambarimoja ,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🛬🛬🛬

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli7492 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @jacobsifukwe7291
    @jacobsifukwe72912 жыл бұрын

    Sio milionea

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline65752 жыл бұрын

    Shukrani

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas25352 жыл бұрын

    HUYU INAONEKANA SHAMBA SIO LAKE YAANI ANAKUA KAMA ANABAHATISHA.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    2 жыл бұрын

    kwa kusini kumiliki shamba kama hiilo ni kitu cha kawaida tu

  • @c75923
    @c759232 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji bwn nna matatizo nae sana toka enzi za tukio la Hamza kuua askari kwenye interview anamuuliza askari hii ni mara ya ngapi unakutana na tukio kama hili!! Kama hapa uliza maswali technical eka kumi unavuna tani ngapi au kilo ngapi, eka kumi gharama za kuandaa shamba mpaka kuvuna kiasi gani, nini changamoto kwenye soko la korosho, kangomba, madalali yani mengi ya msingi hayaulizwi, sauti nzuri ya utangazaji ila duuh! (Samahani lkn)

  • @miltonmachage2462

    @miltonmachage2462

    2 жыл бұрын

    Sio samahan bali umemchana cz wanaingua xanaa

  • @c75923

    @c75923

    2 жыл бұрын

    @@miltonmachage2462 ok poa kiroho safi lkn

  • @nasriabdi9046

    @nasriabdi9046

    2 жыл бұрын

    safi sana hana maswali technical maana ili hata sie tusiwe na maswali yoyote yeye anatakiwa aukuze na najibu tupate

  • @superangeltv4615
    @superangeltv46152 жыл бұрын

    good

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe35699 ай бұрын

    Good

  • @partnersah8802
    @partnersah88022 жыл бұрын

    Kweli ni ndogo hiyo hela million 2 kwa msimu mmoja then unasubilia miezi kumi tena kupata million 2.

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    2 жыл бұрын

    Ndogo sana

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda50052 жыл бұрын

    Mnamaliza mb zetu bwana.

  • @fatmamamlo7882
    @fatmamamlo78822 жыл бұрын

    Akazane kuongea sauti yake ndogo sana

  • @issahemed1157
    @issahemed11572 жыл бұрын

    Huyo sio mmakonde, Na anachokiongea hakina nguvu sanaaa

  • @kalengashoppingcenter1108

    @kalengashoppingcenter1108

    2 жыл бұрын

    Ni mmakonde sema weled wa kujieleza hana

  • @rojahman9971
    @rojahman99712 жыл бұрын

    Hamn kitu hpo

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo72682 жыл бұрын

    Watoto wa Naliendele nuksi sana hao wachawi sana hao ogopa.

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @muujr2972

    @muujr2972

    2 жыл бұрын

    Misukule kwao nikawaida sana

  • @neemanyove9130

    @neemanyove9130

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂jmn

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo22652 жыл бұрын

    Shamba lina thamani ya mil 60 linakupa faida ya mil 2 how come??

  • @baserbob6899

    @baserbob6899

    2 жыл бұрын

    bado shamba changa likakomaa linauwezo wakutoa mbaka M20 kwa mwaka

  • @partnersah8802
    @partnersah88022 жыл бұрын

    Mtwara Kuchele

  • @fikirishaban8167
    @fikirishaban81672 жыл бұрын

    Mhh

  • @haniffa9024
    @haniffa90242 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/aJWLubCqg66xoZs.html DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    2 жыл бұрын

    Iko wap

  • @oscarsabin3561
    @oscarsabin35612 жыл бұрын

    Hapo ayo umeyumba hekali kumi hilo sio shamba kashamba ni mkulima mdogo Sana watu Wana hadi hekali 80

  • @partnersah8802

    @partnersah8802

    2 жыл бұрын

    Kumbe watu nikajua wewe ndo unazo hizo hekari ningekuja kuomba kazi

  • @didimhutila8985
    @didimhutila89852 жыл бұрын

    Kwa hiyo hiyo mikorosho inamiaka minne tuu?

  • @abdallahmakombo3866

    @abdallahmakombo3866

    2 жыл бұрын

    Ameinunua

  • @dicktv8762
    @dicktv87622 жыл бұрын

    Uchizi tu akuna chamaana apa

  • @neemanyove9130

    @neemanyove9130

    3 ай бұрын

    😅😅😅

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso59732 жыл бұрын

    Hilo shamba alinunua na korosho zake kumbe ? nilidhani kaotesha mwenyewe na kuikuza mpaka kufikia hapo

  • @c75923

    @c75923

    2 жыл бұрын

    Korosho ni kama kahawa au minazi inachukua miaka kukua mpaka kuvuna; na mti ukikomaa unakaa hata miaka 20

  • @tugabiz4286

    @tugabiz4286

    2 жыл бұрын

    @@c75923 sasahivi kuna Mbegu za kisasa chap kwa haraka

  • @joshuamwihambi5856
    @joshuamwihambi58562 жыл бұрын

    Watu wana ekari 50 korosho milardayo bwana

  • @athumanfuko199

    @athumanfuko199

    2 жыл бұрын

    si wao,dogo darasa la saba anajielewa huyu

  • @shaphyally7838

    @shaphyally7838

    2 жыл бұрын

    Wanazingua namfahamu sanaa tu

  • @shaphyally7838

    @shaphyally7838

    2 жыл бұрын

    Wanazingua namfahamu sanaa tu

  • @haniffa9024
    @haniffa90242 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/aJWLubCqg66xoZs.html DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI

  • @fikirishaban8167
    @fikirishaban81672 жыл бұрын

    Mhh

  • @zakiakusaja8603

    @zakiakusaja8603

    2 жыл бұрын

    Wewe unaguna nini 🤣🤣🤣unatatizo nae

  • @tatotato506

    @tatotato506

    2 жыл бұрын

    @@zakiakusaja8603 😄😄😄😄😄😄

Келесі