WAZIRI BASHE ALIVYOTATUA UGOMVI wa MZUNGU na WAKULIMA - "MAAMUZI YA RC YAHESHIMIWE"
WAZIRI BASHE ALIVYOTATUA UGOMVI wa MZUNGU na WAKULIMA - "MAAMUZI YA RC YAHESHIMIWE"
Naibu waziri wa kilimo, Hussein Bashe, ameingilia kati mgogoro kati ya Muwekezaji Mzungu na wakulima uliodumu kwa muda mrefu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 230
Umeamua kama mfalme Suleiman, hekima yako itazaa amani hapo🤩👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Hongela sana kwa mweshimiwa Bashe, ni kweli taifa letu linahitaji viongozi kama wewe wanaotatua matatizo bila kusuasua. Shukran sana mweshimiwa Bashe.
Amazing..What a leader! Fair and Squire best for Tanzania and Best For Investors. Discussions held including all stake holder presence and decision made on sport. Corruption Should be rooted out and met Face to Face. Ogera Hussein Bashe. Kazi Mtu! Keep up working hard Allah SubuhanAllah Will Bless You to Reach and Achieve your Target, which is to full fill the needs of local people and boost Agriculture in Tanzania which will Make Tanzania as Food basket of the world. Kazi Mtu
@richardmmassy5857
4 жыл бұрын
Its HAPA KAZI TU. and not Kazi mtu
Safi sanaaa Hussein Bashe unapiga kazi
@happymsaki1720
4 жыл бұрын
Yaani washenzi wachache wanajinufaisha matumbo yao ila nyakati zile zitapita
@happymsaki1720
4 жыл бұрын
Tatizo viongozi wa chama ni walafi sana wanajaza,matumbo yao
Hongera Mh BASHE Kwa Namna Ulivyotatua Huu Mgogoro Vizuri. Umetumia Hekma Na Busara Sana.!!
Huyu Mr. Bashe nimemuonamara nyingisana katika maamuziyake yanahekma nabusara ya kutosha nakwamwendohuo, Mzee Magu atamteua awe waziri kabisa coz he deserve to be a minister.
@irenemsumba6776
3 жыл бұрын
Yupo kama Aliy hapy
Mh rais wetu hakukosea kukuteuwa wizara hio Mh Bashe💪big up
Apo sawa kabisa,,,Mzungu hana kosa apo wkorofi na waswahili apo
Pole muwekezaji umeliwa na viongozi wa chama na watumbuliwe
President Magufuli hongera am happy to see a young Somali boy from Tanzania a waziri in the coming years also I would like to see many Somali waziris like us here in Kenya from Tanzania too much love ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇸🇴🇰🇪
@harounboko7239
3 жыл бұрын
Stop calling him a somalian he is 100% Tanzanian citizen he has right to hold any position in the country watanzania hatuna ubaguzi
@zully756
3 жыл бұрын
He is Tanzanian
@historiazakweli
3 жыл бұрын
Sory Fariya I love Somalian's but here in Tanzania we have Only Tanzanian's we dont have tribes like Kenya.
@mangofish9079
3 жыл бұрын
His heritage is from Somali without a shadow of doubt. Fariya knows her people that's why she's called him Somalian. The problem with us Tanzanians is the double standard if he was from the opposition and speaking against the administration people would call him Somalian and he would be velified everywhere that he's not Tanzanian but because hes from the rulling party any hint of his ethnic origin is considered racism or tribalism.
@zully756
3 жыл бұрын
Our tribe is Swahil.
bashe wewe ni tunu kwa taifa la TANZANIA big up sana magu hajakosea kukuteua kuwa naibu waziri wa kilimo
Poise, respectfully and diplomatically handled.
Adui wenu ni viongozi waliowaleta
Utakuwa Waziri kamili My Bashe,,thanx
Bashe hongra sana kwa uongozi BORA
Bashe una hekima sana pia wewe ni kiongozi unayesikiliza watu wa kawaida huna dharau , Mungu akubariki. Tunaomba uje mbozi.
I like the way BASHE conduct himself
Hongera Sana Mheshimiwa Hussein Bashe. Proudly to have a great Young visionary leader like you. Mungu akulinde Na kukutunza Kwa ajili ya Tanzania na Watanzania.
I love Tanzania 🇹🇿 country good government leaders 👏🏽🙏🏽👌🏽👍🏽
Naibu Waziri kama huyu lazima bombaa sana. Piga kazi kaka i hope safari yako ya uongozi itakuwa ndefu sana, God bless you.
Hongera kwa mwenzetu Hussein Bashe. You make us warriors proud.
Mr Hussein Bashe I am a Big Fan of you sir keep it up, May Allah bless you With a long and and healthy life.
@abbashuseinenayatali7042
4 жыл бұрын
Ameen
Mi Bashe Nakuelewaga Sana... Nakukumbuka tangu kwenye mkutano mkuu wa Uvccm Dodoma 2017 ukipambana na Beno malisa,, Tulikua tunakuita KANUMBA... Unajitahida Sana Kaka,, Mungu akuongoze vyema ktk kazi zako..
James ni mtu wetu....he is a real investors tafathali msimsumbue
@JesseAkabwogi
4 жыл бұрын
Si jamaa adi alitoa ng'ombe huyo....mnansahau jamani james anajua uhununi wote no kumtapeli na atapata zote uyumzee all next yr atazifanyia nini
@christopherkiwanga4257
4 жыл бұрын
Bashe akili nyingi sana bravo umetumia busara..hekima..na utu .
BASHE UKO JUU SANA
Hogera sana kwa kazi nzuri sana
Hivi Bashe si ni naibu waziri mbona mara nyingi waandishi wengi wanaandika waziri Bashe?
@ricardoisdory1761
4 жыл бұрын
Nafikiri ni naibu lakini hakuna waziri wakilimo labda ndio maana wanamuita hvyo
Our brothers in Tanzania have wonderful leader.He doesn't condone corruption nor he doesn't favour anybody.Justice is justice.Watching from kenya.
Mh BASHE macho Yako yaone vizuri mbele ya yuo mzungu usidanganyike
Unajua james alikua amekasirika akashindwa kujieleza....he is the realest investor i knw.... Huyu jamaa adi wanakijiji anawapa ngombe....na anakodisha ajanunua
Muwekezaji MUNGU akulinde pole sana
@nsiamassawe3075
4 жыл бұрын
Kwa hapo Kilimanjaro ni Mungu tu
@happymsaki1720
4 жыл бұрын
Umeona ndgu.yngu nsia,viongozi wamemuingiza chaka
@happymsaki1720
4 жыл бұрын
Viongozi wa ushirika
Ndii maana investors kuja Tz inakuwa shida hasa kwa wakulima. Hawatuamini kuwekeza pesa hapa halafu kesho mambo yanabadilika. Leo tungekuwa na export mazao mengi. Viongozi wetu wanatengeza mikataba ya kujinga kwa manufaa yao.
Fantastic Bashe!unaipa heshima serikali pamoja na nchi yetu 👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kazi nzuri mheshimiwa
Duh, hapa nimemkubali Mheshimiwa Bashe 100%, wawekezaji tunawahitaji na tunawaiita waje kuwekeza, kwa hiyo tuangalie huku na huku, tusijiingize mabavu tu. Kweli hapa kazi tu, Tanzania ya sasa ya JPM inazaa matunda.Tena nimefurahi hakuwa akimwita (James) mzungu, yeye ni mtu na ana jina lake, na Mheshimiwa Bashe ametambua hilo, utu ni muhimu pia.
Mheshimiwa Rwanda uganda na Burundi wanalia kwa ajilili ya wazungu na hawa wawekezaji. Ni watu wanafuata koraption bila faida ya wamasikini. Hii ilikuwa kwenye mitandao. Wahai kuweni macho. Vijana amkeni.Huu ni wakati wa kumata uchumi wetu.Rais wetu yupo na wanyonge ili tusimame kwa miguu yetu. GOD SAVE OUR PRESDENT
@samramohamed5629
3 жыл бұрын
Safi Sana huyo Bashe Hana lolote
Bashe Allah will bless you It's fair for both side
Bashe nakupenda bure una Mungu wakweli na akuongoze kila siku.
Kumbe mmeingia nae mkataba kisha mkakimbia sasa mzungu kosa lake nini wewe umevaa miwani meusi unamsema mzungu tu
@fahadfaraj1822
4 жыл бұрын
Mikataba haiko sawa ndo mana unaona migogoro umeona hata waziri hapo hana jibu la moja kwa moja
@ezekieljacob5795
3 жыл бұрын
Sisi ni wakali kweli tukiitwa black...
Jamani msikalibishe uwekezaji wa mashamba ndiyo yanafikisha nchi za kiafrika katika umasikini kwanini wafrika wasilime wamuuzie mali ghafi wazungu wawekeze kwenye viwanda
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Hawalimi Waafrica maana ya uvivu. Wazawa hubweteka sanaa
@jumachire5776
4 жыл бұрын
Mtaji shida
@sultanalmahroqy5158
4 жыл бұрын
Tatizo uswahili mwingi na uvivu umetawala na baadae hao hao watakaoanzisha fitna kama mabeberu wanatunyanyasa huo ndio ukweli tubadilike.
@HASASON
4 жыл бұрын
Viongozi wanaonekana hawana uwezo wa uongozi
@hamadshein498
4 жыл бұрын
Tazama wazungu wa zimbabwe.wamenyanganywa mashamba leo yamegeuka mapori.waswahili wameshindwa kulima.walikuwa wanapga makelele tu.
I like Tanzania so much
Kama James alihonga basi ni adui mkubwa na hafai kuwa mwekezaji. Hawa wawekezaji wanafahamu kuwa viongozi wetu ni wala rushwa ndiyo maana wanafanya ubadhirifu. TAKUKURU wachunguze na ikibainika kuna rushwa, wote pamoja na muekezaji washitakiwe.
Hivi huyu Bashe alisomea kilimo eee?? kwasababu yeye na haya maswala ya kilimo yupo vizuri sana aseee
Nataman kuona ukiwa unasimamia wizara maana ujua uongozi na unaipenda haki hongera sana bashe
Mheshimiwa huyo mzungu apitie kituo cha uwekezaji. Hongera kwa maamuzi
@leahedward5889
4 жыл бұрын
,nikweli inaonekana alipata kwa jujuu na wapigaji
Mh wa watu unaejari maisha ya wore sio peke yako Mungu akupe maisha marefu
Tanzania still have a long way to go..we do need investors but this way ya kuwasumbua sumbua we chase them..tatizo rushwa bado ipi tz
God bless you
Kweli Bashe jembe.
HIKI KICHWA KINA HIGH THINKING AND REASONING CAPACITY AISEE!.SIKU ZOTE YUKO SMART
Bravo kiongozi. Sensitive people to peaple.
Nilichelewa ila bashe uko vizuri
Ndio maana ya kiongozi. huyu jamaa namtabiria uwaziri baadae
What a wonderful leader, that's the way. I salute you!!
Very wise man
Huyo mzungu arudi kwao atupishe kwetu bwege sana kwao hatuna haki hata ya kumiliki pini ila kwetu wanajitanua watoke hapa
Napenda kukufuatilia zaidi una kitu Cha tofauti umejaa utu kuliko madaraka yako
Magufuri ndo anataka watu wenye maamuzi km Bashe safi sana umefanya maamuzi ya viwango vya FIFA
Bashe umetisha100%
Safi mh Bashe. Jaman tuwalinde wawekezaji waswahili wamekua wasumbufu Sana
Ndiomana nakupenda bule
Have ever seen any Africa’s people’s own Jamba or farm in Europe or others out side Africa’s country’s land for Africa’s people’s ☝🏽👏🏽🌎🪐
@footballkingz5223
4 жыл бұрын
You so naive educate yourself, travel my friend. Google Australia you will see that Africans own lands. In UK Africans own Apartments Bungalow through morgage facilities,don't be short sighted! Work hard for yourself it pays!!
@qasyem
4 жыл бұрын
Obama was president of Africa I guess your dumb.... African have more freedom outside the Africa... try protesting then see lol
Huu ndio Uongozi Bora Mh Hussein Bashe.
Hawa watu wamefukuzwa kwa mugabe mkawaleta kwetu hawa watu wana matatizo sana mbona kwao hawatupi Ardhi?? wanamitihani hawa.
Waafrika hatuna nafasi ulaya. Mzungu hawezi kuchukua sehemu ambayo ametukuta tunalima chakula chetu.Kiasi fulani ana makosa pia. Waliompa hiyo kontrakit watiwe jela kwa kukosa uzalendwa
@samramohamed5629
3 жыл бұрын
Kabisa ,eti anasema wawekezaji wanawataka Akiko hizo boya tu ,half wanamsifia wairi Bashe Bashe
Absolutely ur hero
Ki kweli kabisa bashe Mimi hua nakukubali,na Nina imani kabisa kuwa hata watanzania walio weng wanakupenda Kwa hekima na busara zako mwenyezi mungu alizokujalia,,,,maaamuzi mazuri kabisa jamani
Halafu mm nashangaa hawa wazungu wanapata wap ujasiri wa kutunyanyasa nchini kwetu kwao wanatuua km wanyama na kwetu pia wanataka kutuonea? Wazungu stopped kwenye uongozi wa magu haikubariki👌👌👌
@samramohamed5629
3 жыл бұрын
Kabisa
Very fair enough,that mzungu was cheated by macadamia Board.
Watanzania hawa wasomi watanzania walienda kusomea wizi niwezi hawana faida yoyote kwenye nchihii tazama wazungu wanavyo jalibu kututesa kwamalizetu wenyewe sababu niwasomi wakitabzania wajinga wasionaakili wajiitao watumishi waselikali lakini wazalendo kwanchihii niwachache sana kiukweli wengi nimajizitu mafisadi kwanini hawafungwi tanzania gani hiiyakufuga mafisadi majizi wanchihii
Bashe he’s best
Njoo Mbeya mheshimiwa Bashe Mkuu wa mkoa anakwepa kusikiliza matatizo yetu ya Ardhi kanisa limwchukuliwa eneo na doctor wa serikali amejenga hospital Kanisa linakufa
@emmanuelmayunga1518
4 жыл бұрын
Sio waziri wa ardhi uyo Ni wa kilimo
Safi sana Waziri BASHE.
Huyo Muzungu vipi jamani 100 bado anataka 200 zaidi, hata aibu hana, kwao hada kabustani hawakupi. Tunaishi ulaya tunanaona! Safi sana serikali ya Magufuli!
Bashe anapenda haki nakuona mbali mueshimiwa
Safi bashe tunataka viongozi km ww unaependa haki sawa kwa wote bigup
Tanzandagiza
Ahsante ndugu wananchi musilale baadhi ya viongozi hawako nasi wanataka kutu uza kwa mabeberu tuwe macho amasivyo watoto wetu tuta wa acha mahali papaya! Watoto wetu wakigoma wanaweza kupata matatizo makubwa saana hapo baada!
Huyu jamaa anafaa kua raisi kabisa japo mm sio mpenzi wa siasa wala chama sina
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🎉
Hogera sana muheshimiwa naibu waziri kwa busara zako
Big up Hussein bashe
Safi sana huyo ndio kiongozi
Watanzania ni wezi sana ...msipoangalia mtakosa wawekezaji
@denicejoseph8632
4 жыл бұрын
Wawekez uk kwao 🤭
@ibrahimgwasma235
4 жыл бұрын
Hatuwanyenyekei Wawekezaji kama nyie
👏👏👏👏👏👏👏👏👊
You are so good indeed.
Acheni kuita mzungu kwani jina hana
SAFI
Kaka nakuelewa sana
Gud bashe kiongizi bora
Huyo mshezi mzungu ana Book la mnara wakifaransa yuo anakuja kunchunguza sehemu . huyo si mlimaji wakweli yuo ametumwa.kwa Siri n'a sirikali yaufaransa namna gani yakifana TZ yaweze kuleta vita hapo TZ ndugu yangu.usimuamini huo mzungu hatari. sana kwanchi.niamini.nayavo sema hapa msidanganyike
Veema sana Waziri Bashe
Safi bashe
Huyu ni jembe mungu akubari sana
Kweli muhimili ukiwa imara kila kitu ni sahal,, ndani ya miaka mitano nimeona viongozi wa nyanja mbalimbali wakiwa vizuri kabisa ktk kutatua matatizo ya mahali husika,, baadhi ya Mawaziri,, wakuu wa Mikoa,, wakuu wa Wilaya,, wakuu wa vikosi,, maafisa mbalimbali,, hata mabalozi wa nyumba kumi nao tuna waona wakifanya kazi jambo ambalo halikuwapo kabisa miaka iliyo tangulia,, hongera sana muheshimiwa kwa busara uliyotumia Alla akupe umri mrefu na utawala wa kuendelea kuitumikia Tanzania kwa haki na uadilifu,, Mungu ibariki Tanzania,, Mungu wabariki viongozi waadilifu wa 🇹🇿,, Mungu wabariki wananchi wa Tanzania,, bila kujali tofauti ya vyama vyao,, Yaa Allah walaani na wale wote wenye kuitakia mabaya nchi hii bila kujali ni mwananchi ama si,, kiongozi ama si na uwaangamize kabla hawaja liangamiza Taifa letu.
Tutawapata wapi viongozi wazuri Kama hawa yaani bashe domo kaya bungeni ila ni kiongozi mzuri sana ata said ya sana
Heshima kwako bashe
Hi
Hapo hamna mkulima kelele tu. Njoo huku tanga mzungu
I want to buy house in Tanzania