WAZIRI BASHE ALIVYOTATUA UGOMVI wa MZUNGU na WAKULIMA - "MAAMUZI YA RC YAHESHIMIWE"

WAZIRI BASHE ALIVYOTATUA UGOMVI wa MZUNGU na WAKULIMA - "MAAMUZI YA RC YAHESHIMIWE"
Naibu waziri wa kilimo, Hussein Bashe, ameingilia kati mgogoro kati ya Muwekezaji Mzungu na wakulima uliodumu kwa muda mrefu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 230

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np4 жыл бұрын

    Umeamua kama mfalme Suleiman, hekima yako itazaa amani hapo🤩👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa4 жыл бұрын

    Hongela sana kwa mweshimiwa Bashe, ni kweli taifa letu linahitaji viongozi kama wewe wanaotatua matatizo bila kusuasua. Shukran sana mweshimiwa Bashe.

  • @abdulqadiralharthy5113
    @abdulqadiralharthy51134 жыл бұрын

    Amazing..What a leader! Fair and Squire best for Tanzania and Best For Investors. Discussions held including all stake holder presence and decision made on sport. Corruption Should be rooted out and met Face to Face. Ogera Hussein Bashe. Kazi Mtu! Keep up working hard Allah SubuhanAllah Will Bless You to Reach and Achieve your Target, which is to full fill the needs of local people and boost Agriculture in Tanzania which will Make Tanzania as Food basket of the world. Kazi Mtu

  • @richardmmassy5857

    @richardmmassy5857

    4 жыл бұрын

    Its HAPA KAZI TU. and not Kazi mtu

  • @azizabdallah3737
    @azizabdallah37374 жыл бұрын

    Safi sanaaa Hussein Bashe unapiga kazi

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    4 жыл бұрын

    Yaani washenzi wachache wanajinufaisha matumbo yao ila nyakati zile zitapita

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    4 жыл бұрын

    Tatizo viongozi wa chama ni walafi sana wanajaza,matumbo yao

  • @barryryoba1489
    @barryryoba14894 жыл бұрын

    Hongera Mh BASHE Kwa Namna Ulivyotatua Huu Mgogoro Vizuri. Umetumia Hekma Na Busara Sana.!!

  • @mohamedisaidsimbaa6904
    @mohamedisaidsimbaa69044 жыл бұрын

    Huyu Mr. Bashe nimemuonamara nyingisana katika maamuziyake yanahekma nabusara ya kutosha nakwamwendohuo, Mzee Magu atamteua awe waziri kabisa coz he deserve to be a minister.

  • @irenemsumba6776

    @irenemsumba6776

    3 жыл бұрын

    Yupo kama Aliy hapy

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59574 жыл бұрын

    Mh rais wetu hakukosea kukuteuwa wizara hio Mh Bashe💪big up

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope95284 жыл бұрын

    Apo sawa kabisa,,,Mzungu hana kosa apo wkorofi na waswahili apo

  • @happymsaki1720
    @happymsaki17204 жыл бұрын

    Pole muwekezaji umeliwa na viongozi wa chama na watumbuliwe

  • @fariyaosmanali9220
    @fariyaosmanali92204 жыл бұрын

    President Magufuli hongera am happy to see a young Somali boy from Tanzania a waziri in the coming years also I would like to see many Somali waziris like us here in Kenya from Tanzania too much love ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇸🇴🇰🇪

  • @harounboko7239

    @harounboko7239

    3 жыл бұрын

    Stop calling him a somalian he is 100% Tanzanian citizen he has right to hold any position in the country watanzania hatuna ubaguzi

  • @zully756

    @zully756

    3 жыл бұрын

    He is Tanzanian

  • @historiazakweli

    @historiazakweli

    3 жыл бұрын

    Sory Fariya I love Somalian's but here in Tanzania we have Only Tanzanian's we dont have tribes like Kenya.

  • @mangofish9079

    @mangofish9079

    3 жыл бұрын

    His heritage is from Somali without a shadow of doubt. Fariya knows her people that's why she's called him Somalian. The problem with us Tanzanians is the double standard if he was from the opposition and speaking against the administration people would call him Somalian and he would be velified everywhere that he's not Tanzanian but because hes from the rulling party any hint of his ethnic origin is considered racism or tribalism.

  • @zully756

    @zully756

    3 жыл бұрын

    Our tribe is Swahil.

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga80604 жыл бұрын

    bashe wewe ni tunu kwa taifa la TANZANIA big up sana magu hajakosea kukuteua kuwa naibu waziri wa kilimo

  • @moorphius
    @moorphius4 жыл бұрын

    Poise, respectfully and diplomatically handled.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki17204 жыл бұрын

    Adui wenu ni viongozi waliowaleta

  • @deokessy6288
    @deokessy62884 жыл бұрын

    Utakuwa Waziri kamili My Bashe,,thanx

  • @happymsaki1720
    @happymsaki17204 жыл бұрын

    Bashe hongra sana kwa uongozi BORA

  • @modestmzumbwe588
    @modestmzumbwe5884 жыл бұрын

    Bashe una hekima sana pia wewe ni kiongozi unayesikiliza watu wa kawaida huna dharau , Mungu akubariki. Tunaomba uje mbozi.

  • @VodaTigo
    @VodaTigo4 жыл бұрын

    I like the way BASHE conduct himself

  • @frankmtimbwa1290
    @frankmtimbwa1290 Жыл бұрын

    Hongera Sana Mheshimiwa Hussein Bashe. Proudly to have a great Young visionary leader like you. Mungu akulinde Na kukutunza Kwa ajili ya Tanzania na Watanzania.

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96324 жыл бұрын

    I love Tanzania 🇹🇿 country good government leaders 👏🏽🙏🏽👌🏽👍🏽

  • @messoelisha5360
    @messoelisha53604 жыл бұрын

    Naibu Waziri kama huyu lazima bombaa sana. Piga kazi kaka i hope safari yako ya uongozi itakuwa ndefu sana, God bless you.

  • @abuomar4929
    @abuomar49294 жыл бұрын

    Hongera kwa mwenzetu Hussein Bashe. You make us warriors proud.

  • @abbashuseinenayatali7042
    @abbashuseinenayatali70424 жыл бұрын

    Mr Hussein Bashe I am a Big Fan of you sir keep it up, May Allah bless you With a long and and healthy life.

  • @abbashuseinenayatali7042

    @abbashuseinenayatali7042

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @allysinde6208
    @allysinde62083 жыл бұрын

    Mi Bashe Nakuelewaga Sana... Nakukumbuka tangu kwenye mkutano mkuu wa Uvccm Dodoma 2017 ukipambana na Beno malisa,, Tulikua tunakuita KANUMBA... Unajitahida Sana Kaka,, Mungu akuongoze vyema ktk kazi zako..

  • @JesseAkabwogi
    @JesseAkabwogi4 жыл бұрын

    James ni mtu wetu....he is a real investors tafathali msimsumbue

  • @JesseAkabwogi

    @JesseAkabwogi

    4 жыл бұрын

    Si jamaa adi alitoa ng'ombe huyo....mnansahau jamani james anajua uhununi wote no kumtapeli na atapata zote uyumzee all next yr atazifanyia nini

  • @christopherkiwanga4257

    @christopherkiwanga4257

    4 жыл бұрын

    Bashe akili nyingi sana bravo umetumia busara..hekima..na utu .

  • @vero57
    @vero574 жыл бұрын

    BASHE UKO JUU SANA

  • @vero57
    @vero574 жыл бұрын

    Hogera sana kwa kazi nzuri sana

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk4 жыл бұрын

    Hivi Bashe si ni naibu waziri mbona mara nyingi waandishi wengi wanaandika waziri Bashe?

  • @ricardoisdory1761

    @ricardoisdory1761

    4 жыл бұрын

    Nafikiri ni naibu lakini hakuna waziri wakilimo labda ndio maana wanamuita hvyo

  • @tituskiragu1384
    @tituskiragu1384 Жыл бұрын

    Our brothers in Tanzania have wonderful leader.He doesn't condone corruption nor he doesn't favour anybody.Justice is justice.Watching from kenya.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77024 жыл бұрын

    Mh BASHE macho Yako yaone vizuri mbele ya yuo mzungu usidanganyike

  • @JesseAkabwogi
    @JesseAkabwogi4 жыл бұрын

    Unajua james alikua amekasirika akashindwa kujieleza....he is the realest investor i knw.... Huyu jamaa adi wanakijiji anawapa ngombe....na anakodisha ajanunua

  • @happymsaki1720
    @happymsaki17204 жыл бұрын

    Muwekezaji MUNGU akulinde pole sana

  • @nsiamassawe3075

    @nsiamassawe3075

    4 жыл бұрын

    Kwa hapo Kilimanjaro ni Mungu tu

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    4 жыл бұрын

    Umeona ndgu.yngu nsia,viongozi wamemuingiza chaka

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    4 жыл бұрын

    Viongozi wa ushirika

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim67454 жыл бұрын

    Ndii maana investors kuja Tz inakuwa shida hasa kwa wakulima. Hawatuamini kuwekeza pesa hapa halafu kesho mambo yanabadilika. Leo tungekuwa na export mazao mengi. Viongozi wetu wanatengeza mikataba ya kujinga kwa manufaa yao.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75474 жыл бұрын

    Fantastic Bashe!unaipa heshima serikali pamoja na nchi yetu 👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jomba6514
    @jomba65144 жыл бұрын

    Kazi nzuri mheshimiwa

  • @makumbele
    @makumbele4 жыл бұрын

    Duh, hapa nimemkubali Mheshimiwa Bashe 100%, wawekezaji tunawahitaji na tunawaiita waje kuwekeza, kwa hiyo tuangalie huku na huku, tusijiingize mabavu tu. Kweli hapa kazi tu, Tanzania ya sasa ya JPM inazaa matunda.Tena nimefurahi hakuwa akimwita (James) mzungu, yeye ni mtu na ana jina lake, na Mheshimiwa Bashe ametambua hilo, utu ni muhimu pia.

  • @esthernsami7732
    @esthernsami77324 жыл бұрын

    Mheshimiwa Rwanda uganda na Burundi wanalia kwa ajilili ya wazungu na hawa wawekezaji. Ni watu wanafuata koraption bila faida ya wamasikini. Hii ilikuwa kwenye mitandao. Wahai kuweni macho. Vijana amkeni.Huu ni wakati wa kumata uchumi wetu.Rais wetu yupo na wanyonge ili tusimame kwa miguu yetu. GOD SAVE OUR PRESDENT

  • @samramohamed5629

    @samramohamed5629

    3 жыл бұрын

    Safi Sana huyo Bashe Hana lolote

  • @polloz77
    @polloz774 жыл бұрын

    Bashe Allah will bless you It's fair for both side

  • @esterkileo3486
    @esterkileo34864 жыл бұрын

    Bashe nakupenda bure una Mungu wakweli na akuongoze kila siku.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah64744 жыл бұрын

    Kumbe mmeingia nae mkataba kisha mkakimbia sasa mzungu kosa lake nini wewe umevaa miwani meusi unamsema mzungu tu

  • @fahadfaraj1822

    @fahadfaraj1822

    4 жыл бұрын

    Mikataba haiko sawa ndo mana unaona migogoro umeona hata waziri hapo hana jibu la moja kwa moja

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    3 жыл бұрын

    Sisi ni wakali kweli tukiitwa black...

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu25724 жыл бұрын

    Jamani msikalibishe uwekezaji wa mashamba ndiyo yanafikisha nchi za kiafrika katika umasikini kwanini wafrika wasilime wamuuzie mali ghafi wazungu wawekeze kwenye viwanda

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    Hawalimi Waafrica maana ya uvivu. Wazawa hubweteka sanaa

  • @jumachire5776

    @jumachire5776

    4 жыл бұрын

    Mtaji shida

  • @sultanalmahroqy5158

    @sultanalmahroqy5158

    4 жыл бұрын

    Tatizo uswahili mwingi na uvivu umetawala na baadae hao hao watakaoanzisha fitna kama mabeberu wanatunyanyasa huo ndio ukweli tubadilike.

  • @HASASON

    @HASASON

    4 жыл бұрын

    Viongozi wanaonekana hawana uwezo wa uongozi

  • @hamadshein498

    @hamadshein498

    4 жыл бұрын

    Tazama wazungu wa zimbabwe.wamenyanganywa mashamba leo yamegeuka mapori.waswahili wameshindwa kulima.walikuwa wanapga makelele tu.

  • @shaynels2577
    @shaynels25773 жыл бұрын

    I like Tanzania so much

  • @thedeo472
    @thedeo4724 жыл бұрын

    Kama James alihonga basi ni adui mkubwa na hafai kuwa mwekezaji. Hawa wawekezaji wanafahamu kuwa viongozi wetu ni wala rushwa ndiyo maana wanafanya ubadhirifu. TAKUKURU wachunguze na ikibainika kuna rushwa, wote pamoja na muekezaji washitakiwe.

  • @paulmonata6028
    @paulmonata60284 жыл бұрын

    Hivi huyu Bashe alisomea kilimo eee?? kwasababu yeye na haya maswala ya kilimo yupo vizuri sana aseee

  • @khalfanabasi7766
    @khalfanabasi77664 жыл бұрын

    Nataman kuona ukiwa unasimamia wizara maana ujua uongozi na unaipenda haki hongera sana bashe

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana31294 жыл бұрын

    Mheshimiwa huyo mzungu apitie kituo cha uwekezaji. Hongera kwa maamuzi

  • @leahedward5889

    @leahedward5889

    4 жыл бұрын

    ,nikweli inaonekana alipata kwa jujuu na wapigaji

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Жыл бұрын

    Mh wa watu unaejari maisha ya wore sio peke yako Mungu akupe maisha marefu

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78764 жыл бұрын

    Tanzania still have a long way to go..we do need investors but this way ya kuwasumbua sumbua we chase them..tatizo rushwa bado ipi tz

  • @user-mo9bx8mm6b
    @user-mo9bx8mm6b11 ай бұрын

    God bless you

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe30754 жыл бұрын

    Kweli Bashe jembe.

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85104 жыл бұрын

    HIKI KICHWA KINA HIGH THINKING AND REASONING CAPACITY AISEE!.SIKU ZOTE YUKO SMART

  • @izodnice3659
    @izodnice36593 жыл бұрын

    Bravo kiongozi. Sensitive people to peaple.

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18224 жыл бұрын

    Nilichelewa ila bashe uko vizuri

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga81504 жыл бұрын

    Ndio maana ya kiongozi. huyu jamaa namtabiria uwaziri baadae

  • @hassanAhmed-su5vb
    @hassanAhmed-su5vb3 жыл бұрын

    What a wonderful leader, that's the way. I salute you!!

  • @talibsaid8081
    @talibsaid80814 жыл бұрын

    Very wise man

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe80834 жыл бұрын

    Huyo mzungu arudi kwao atupishe kwetu bwege sana kwao hatuna haki hata ya kumiliki pini ila kwetu wanajitanua watoke hapa

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 Жыл бұрын

    Napenda kukufuatilia zaidi una kitu Cha tofauti umejaa utu kuliko madaraka yako

  • @moshirayheem8449
    @moshirayheem84494 жыл бұрын

    Magufuri ndo anataka watu wenye maamuzi km Bashe safi sana umefanya maamuzi ya viwango vya FIFA

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira65934 жыл бұрын

    Bashe umetisha100%

  • @happykimaya2762
    @happykimaya27624 жыл бұрын

    Safi mh Bashe. Jaman tuwalinde wawekezaji waswahili wamekua wasumbufu Sana

  • @zuleajuma7697
    @zuleajuma76974 жыл бұрын

    Ndiomana nakupenda bule

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96324 жыл бұрын

    Have ever seen any Africa’s people’s own Jamba or farm in Europe or others out side Africa’s country’s land for Africa’s people’s ☝🏽👏🏽🌎🪐

  • @footballkingz5223

    @footballkingz5223

    4 жыл бұрын

    You so naive educate yourself, travel my friend. Google Australia you will see that Africans own lands. In UK Africans own Apartments Bungalow through morgage facilities,don't be short sighted! Work hard for yourself it pays!!

  • @qasyem

    @qasyem

    4 жыл бұрын

    Obama was president of Africa I guess your dumb.... African have more freedom outside the Africa... try protesting then see lol

  • @kelvinkapinga6935
    @kelvinkapinga6935 Жыл бұрын

    Huu ndio Uongozi Bora Mh Hussein Bashe.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38994 жыл бұрын

    Hawa watu wamefukuzwa kwa mugabe mkawaleta kwetu hawa watu wana matatizo sana mbona kwao hawatupi Ardhi?? wanamitihani hawa.

  • @esthernsami7732
    @esthernsami77324 жыл бұрын

    Waafrika hatuna nafasi ulaya. Mzungu hawezi kuchukua sehemu ambayo ametukuta tunalima chakula chetu.Kiasi fulani ana makosa pia. Waliompa hiyo kontrakit watiwe jela kwa kukosa uzalendwa

  • @samramohamed5629

    @samramohamed5629

    3 жыл бұрын

    Kabisa ,eti anasema wawekezaji wanawataka Akiko hizo boya tu ,half wanamsifia wairi Bashe Bashe

  • @maulidabdulkadirguled1257
    @maulidabdulkadirguled12574 жыл бұрын

    Absolutely ur hero

  • @neemakimario4638
    @neemakimario46382 жыл бұрын

    Ki kweli kabisa bashe Mimi hua nakukubali,na Nina imani kabisa kuwa hata watanzania walio weng wanakupenda Kwa hekima na busara zako mwenyezi mungu alizokujalia,,,,maaamuzi mazuri kabisa jamani

  • @azizaz1628
    @azizaz16284 жыл бұрын

    Halafu mm nashangaa hawa wazungu wanapata wap ujasiri wa kutunyanyasa nchini kwetu kwao wanatuua km wanyama na kwetu pia wanataka kutuonea? Wazungu stopped kwenye uongozi wa magu haikubariki👌👌👌

  • @samramohamed5629

    @samramohamed5629

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo21164 жыл бұрын

    Very fair enough,that mzungu was cheated by macadamia Board.

  • @kulwamussa2582
    @kulwamussa25823 жыл бұрын

    Watanzania hawa wasomi watanzania walienda kusomea wizi niwezi hawana faida yoyote kwenye nchihii tazama wazungu wanavyo jalibu kututesa kwamalizetu wenyewe sababu niwasomi wakitabzania wajinga wasionaakili wajiitao watumishi waselikali lakini wazalendo kwanchihii niwachache sana kiukweli wengi nimajizitu mafisadi kwanini hawafungwi tanzania gani hiiyakufuga mafisadi majizi wanchihii

  • @amermohammad1524
    @amermohammad15244 жыл бұрын

    Bashe he’s best

  • @nehemiaisakwisa8604
    @nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын

    Njoo Mbeya mheshimiwa Bashe Mkuu wa mkoa anakwepa kusikiliza matatizo yetu ya Ardhi kanisa limwchukuliwa eneo na doctor wa serikali amejenga hospital Kanisa linakufa

  • @emmanuelmayunga1518

    @emmanuelmayunga1518

    4 жыл бұрын

    Sio waziri wa ardhi uyo Ni wa kilimo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76864 жыл бұрын

    Safi sana Waziri BASHE.

  • @linkreuben5804
    @linkreuben58044 жыл бұрын

    Huyo Muzungu vipi jamani 100 bado anataka 200 zaidi, hata aibu hana, kwao hada kabustani hawakupi. Tunaishi ulaya tunanaona! Safi sana serikali ya Magufuli!

  • @pinielefraem4159
    @pinielefraem4159 Жыл бұрын

    Bashe anapenda haki nakuona mbali mueshimiwa

  • @dullydully8863
    @dullydully88634 жыл бұрын

    Safi bashe tunataka viongozi km ww unaependa haki sawa kwa wote bigup

  • @nyangalamungo7717
    @nyangalamungo77173 жыл бұрын

    Tanzandagiza

  • @shabanimukose226
    @shabanimukose2263 жыл бұрын

    Ahsante ndugu wananchi musilale baadhi ya viongozi hawako nasi wanataka kutu uza kwa mabeberu tuwe macho amasivyo watoto wetu tuta wa acha mahali papaya! Watoto wetu wakigoma wanaweza kupata matatizo makubwa saana hapo baada!

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif6674 жыл бұрын

    Huyu jamaa anafaa kua raisi kabisa japo mm sio mpenzi wa siasa wala chama sina

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly4 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🎉

  • @gastojoseph4153
    @gastojoseph41534 жыл бұрын

    Hogera sana muheshimiwa naibu waziri kwa busara zako

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85104 жыл бұрын

    Big up Hussein bashe

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po4 жыл бұрын

    Safi sana huyo ndio kiongozi

  • @namsamson3443
    @namsamson34434 жыл бұрын

    Watanzania ni wezi sana ...msipoangalia mtakosa wawekezaji

  • @denicejoseph8632

    @denicejoseph8632

    4 жыл бұрын

    Wawekez uk kwao 🤭

  • @ibrahimgwasma235

    @ibrahimgwasma235

    4 жыл бұрын

    Hatuwanyenyekei Wawekezaji kama nyie

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao154 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👊

  • @danieljulius4708
    @danieljulius47084 жыл бұрын

    You are so good indeed.

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78764 жыл бұрын

    Acheni kuita mzungu kwani jina hana

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo44194 жыл бұрын

    SAFI

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71564 жыл бұрын

    Kaka nakuelewa sana

  • @abdulisinga1597
    @abdulisinga15974 жыл бұрын

    Gud bashe kiongizi bora

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77024 жыл бұрын

    Huyo mshezi mzungu ana Book la mnara wakifaransa yuo anakuja kunchunguza sehemu . huyo si mlimaji wakweli yuo ametumwa.kwa Siri n'a sirikali yaufaransa namna gani yakifana TZ yaweze kuleta vita hapo TZ ndugu yangu.usimuamini huo mzungu hatari. sana kwanchi.niamini.nayavo sema hapa msidanganyike

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz62094 жыл бұрын

    Veema sana Waziri Bashe

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum21504 жыл бұрын

    Safi bashe

  • @ezekielbingwa4219
    @ezekielbingwa42193 жыл бұрын

    Huyu ni jembe mungu akubari sana

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri44554 жыл бұрын

    Kweli muhimili ukiwa imara kila kitu ni sahal,, ndani ya miaka mitano nimeona viongozi wa nyanja mbalimbali wakiwa vizuri kabisa ktk kutatua matatizo ya mahali husika,, baadhi ya Mawaziri,, wakuu wa Mikoa,, wakuu wa Wilaya,, wakuu wa vikosi,, maafisa mbalimbali,, hata mabalozi wa nyumba kumi nao tuna waona wakifanya kazi jambo ambalo halikuwapo kabisa miaka iliyo tangulia,, hongera sana muheshimiwa kwa busara uliyotumia Alla akupe umri mrefu na utawala wa kuendelea kuitumikia Tanzania kwa haki na uadilifu,, Mungu ibariki Tanzania,, Mungu wabariki viongozi waadilifu wa 🇹🇿,, Mungu wabariki wananchi wa Tanzania,, bila kujali tofauti ya vyama vyao,, Yaa Allah walaani na wale wote wenye kuitakia mabaya nchi hii bila kujali ni mwananchi ama si,, kiongozi ama si na uwaangamize kabla hawaja liangamiza Taifa letu.

  • @morefireministrychurch177
    @morefireministrychurch1774 жыл бұрын

    Tutawapata wapi viongozi wazuri Kama hawa yaani bashe domo kaya bungeni ila ni kiongozi mzuri sana ata said ya sana

  • @williamjohn1982
    @williamjohn19823 жыл бұрын

    Heshima kwako bashe

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe86003 жыл бұрын

    Hi

  • @johnsonkiwia6577
    @johnsonkiwia65774 жыл бұрын

    Hapo hamna mkulima kelele tu. Njoo huku tanga mzungu

  • @shaynels2577
    @shaynels25773 жыл бұрын

    I want to buy house in Tanzania