“WATU WANGU 10 HAWAJULIKANI WAKO WAPI, KAMA WAMEKUFA MTUPE HATA NGUO ZAO”-PROF. JAY
Жүктеу.....
Пікірлер: 106
@dausonjohn92984 жыл бұрын
Kama ume muelewa gonga like twende pamoja
@bashangegoogle67144 жыл бұрын
E bwana eeeh Ngumi mbili tatu 👊👊👊💪💪 ohooo ccm mtaumia
@emmanuelmajele58124 жыл бұрын
Kama umemuelewa jamaa analapu gonga like
@youngramajrtz22155 жыл бұрын
Jamaaa wenye uyu mbunge semeni asantee mungu 🙏🙏🙏
@victornaikara2185
5 жыл бұрын
Kweli we we msanii umeongea point tupu pia ukiwekabit inakujapia du you did
@fubanjenjele5215 жыл бұрын
Bunge tamu Sana, vijana wanawasha moto Hip Hop culture prof jeezy Tume huru, tume huru
@bibieabdallah42584 жыл бұрын
Weye uyu mbunge ongereni sana mungu amjaalie kazi njema yuko vizuri sana
@lilianjohn64834 жыл бұрын
Wangemuongezea muda kidogo tuu ange rap😂😂😂 ila mheshimiwa yupo vizurii
@kidutasuleiman2555 жыл бұрын
Mikumi msikubali kumpoteza huyu pro. J. Atawafikisha sehemu fulani sahihi
@AishaAisha-eb9hh
3 жыл бұрын
And imagine they lost him.
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu aturehem na kutupa Amani Amen.
@hosearwechungura53915 жыл бұрын
Saf sana Profesa Jay
@zakaboy13055 жыл бұрын
sasa umeivaa mzee baba
@jonesgeorge31525 жыл бұрын
Kweli j,upo kileleni, good
@linahlameck79505 жыл бұрын
Jamn wenye wabunge wa upinzani msije poteza MDA kuwa chagua ccm minajuta mbunge wa Jimbo langu ccm cjawahi muona akitoa hoja xx cjuh tulimchagua akapige makofi
@revocatusmanyama86215 жыл бұрын
Nakupenda bureeee kamanda!
@abdulmohd68805 жыл бұрын
uyo nd Joseph haule mbunge wa binaadam na wanyama,,,,, huwa haongeagi pumba yy, zle zle nyayo za Lissu, Sugu, Zitto na Bashe huwa hawapelekeshwi wao ukwl wanausema tu,,,,, may God bless you a lot na hiyi nchi itakomboka tu kw uwezo wa Mungu...
@hamisimussa2228
5 жыл бұрын
W
@abdalomari59125 жыл бұрын
watu wa mikumi amjakosia kumchanguwa haure
@alikhamisog34224 жыл бұрын
Professor J asante Nakupa leo 24/2/2020
@kahemachowdry73465 жыл бұрын
safi sana profesa J. ukweli unauma lakini msemakewli ni mpenzi wa mungu
@bonfacemutetiwachira19564 жыл бұрын
Nampenda prof jayyy....
@fintanmkesha95154 жыл бұрын
Big up broh unawakalisha watanzania vzr
@nyakusaimaonlinetv32245 жыл бұрын
Nimefurahi uwakilishi wako
@abisolomonuyokachaguliwaac40484 жыл бұрын
Wafuatao nawakubali sugu professor Jay lisu Jon Heche Aya mjembe
@kingtheswaggerdon
3 жыл бұрын
umemsahau SUGUUUUUUUUU
@caxkogoty45304 жыл бұрын
Nimejifunza k2 kaka profesa kupitia ndio mzee na co mzee piga kaz mzee
@ephraimmwano6378 Жыл бұрын
mtu kma mtu😍😍❤
@sagandamalechampullo6595 жыл бұрын
Big up, Profesa j
@henrymlandali91874 жыл бұрын
Safiiiiii sana profesa Jay
@jabiromary32765 жыл бұрын
Professor Jay
@hamdunimgalapo29675 жыл бұрын
unapiga makonde mbili tatu kama mwakinyo sio.😂😂😂
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Tushazoea kupotezwa ni mungu tu ndiye atunusuru
@salimbasho37745 жыл бұрын
Mimi si mtanzania lkn huyu professor yuko sawa
@omarymbalala62245 жыл бұрын
Wapinzani wote wanaakili afu akisimama huyu mtu hata mapoyoyo waccm wanaufyata hawazomei Mana izo nipoint tupu
Kwa mujibu wa kangi lugora ,atakwambia wameenda kutafuta maisha
@paschalboniface83194 жыл бұрын
Mbunge kama uyu tungempata chalinze tungefulahi sana
@thehuntervevothehuntervevo77035 жыл бұрын
Ndio mzee
@paulspaulpaulspaul53614 жыл бұрын
saf sana J wa mitulinga
@jimmyleemdemu42425 жыл бұрын
Tume huru ya uchaguzi bado tatizo
@januarymbunda84725 жыл бұрын
safi kamanda
@mohamedshabani22635 жыл бұрын
nasisi hatulali mpaka kieleweke mh. profesa jey.
@ayubukalinga94995 жыл бұрын
Kaziniiiiiii
@gavanashy31974 жыл бұрын
Piga makofi kwa professor jay ......niga jay
@amosidickison5294
4 жыл бұрын
Jey noma time huru
@jahpeoplebadguy42265 жыл бұрын
Etii Prof J sema Joseph Haule umezeeka hata umesahau majina ya wabunge wako Kweli Mwenyekiti 💺
@pascalgodfrey6864 жыл бұрын
Mpela mpela Mzee baba haina kupoteza dakika oya oya tu KAMA POPO KANYEA MBINGU
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Tume ya ccm siyo ya uchaguzi
@amanismithk
3 жыл бұрын
😂😂😂 Na ni kweli kabisa ! Ilitakiwa iitwe tume ya uchaguzi ya "sisiemu" for real! !!
@turuoleshomi36674 жыл бұрын
Pongez kubwa Mb wangu wa mikumicenter nipo hapa Malolo nakupata sana
@steventitus21745 жыл бұрын
Waccm 30
@tausijuma49914 жыл бұрын
Alikiba
@happyfiverickaldo46625 жыл бұрын
Jeiiiiiiiiiiiiiii weeeee ni nooooma watu wetu kumiii
@kileoalminiam63755 жыл бұрын
Umeticha sana mkuu waambie kweli wajuwe wasizani tumelala
@mgimaabdul10644 жыл бұрын
Hakili unayo kaka
@maombimimi90145 жыл бұрын
Uyu jamaa anawawakilisha kweli wana mikumi maana yote anayoyaongea ni ya wanamikumi,,,ndio mbunge anapaswa kuwa hivo
@johnsaimon23524 жыл бұрын
Mm nakukubali ata unavyongeaga tu Kama unaimba baba wewe kweli unafaa kuongoza Binadam na wanyama
@husseinibrahim14734 жыл бұрын
Ndiooo mzeee
@husseinibrahim1473
4 жыл бұрын
Unaitendea haki hiphop
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
Hawa ndo wanahitajika Tz mzima wabunge wa aina hii wanaongelea maswala muhimu kwa wananchi sio hao waimba taraabu wakiongozwa na lusinde
@bongojoonlinetv9774 жыл бұрын
Wengine cjui wabunge wet wak wap?
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
huu ndio utawala wa msukuma!!!!
@pastor.frank.tmwaisemba74015 жыл бұрын
Huyu jamaa,😂😂😂😂. Oya oya oya
@paulomwashinga28305 жыл бұрын
wewe kweli ni jy
@danielrobathi61154 жыл бұрын
kweli nimeamin kutoka getto hadi mjengoni na unahuamsha kweli mjengo
@davismdula15174 жыл бұрын
Kinywa chenye busar hunena maarifa
@fauahamisi10975 жыл бұрын
Ana hataree uyu jamaa
@georgeavelin8155 жыл бұрын
hamna Fact anaongea sana Point chache inabidi ujipange kwa heavy details.
@husseinchiaseeds26535 жыл бұрын
Hipap haijawahi kumuacha mtu salamaaa
@sebastiansalamba82365 жыл бұрын
Professor j atarudi ccm hivi karibuni
@sakinaripambila9594 жыл бұрын
Mbunge wa jimbo LA segerea anachojali in segerea tu si kwingineko he haya maeneo mengine hayakukupia kwann hujali kama maeneo ya kisukulu hayatazimiki kutokana na mvua barabara mbovu magari hayapi simu tunakupigia watu zako wanajibu utakuja kimya he kama unajali Basi njoo utupe msaada wako
@shijamandwa10544 жыл бұрын
Bongo mnaboa Sana na serkar hiii adi kero
@frankmarleylegendary72004 жыл бұрын
Zali la mentali
@paulinasemindu12924 жыл бұрын
mm cjawah kumuona mbunge wetu wa jimbo.la chalinze liziwani akisimaa bungeni na kutetea matatizo.ya jimbo.lake la chalinze😂
@abisolomonuyokachaguliwaac40484 жыл бұрын
Cjawahi kumskia mbunge wa rungwe
@RamazaniMulongeca5 жыл бұрын
Marapaap nimerudi tena kumsikiliza Mh #JosephHaule baada kusikiliza “#NdiyoMzee” kzread.info/dash/bejne/ooWrzZKgmtO5d7g.html Kweli anastaili nafasi aliyonayo hata zaidi... keep fighting for the benefits of your ppl of Mikumi. Utabaki kuwajuuu kileleni
@abisolomonuyokachaguliwaac40484 жыл бұрын
Ata mie cjawahi kumuona akiongea bungeni yani haibu
@daudmajukano94344 жыл бұрын
Analapu nini 😂😂😂😂
@juliascherehani23304 жыл бұрын
walifuata nn mikum
@medkisalazo38905 жыл бұрын
Awamu ya 5 sio Mchezo Balaa nuksi ongea Tu wakupoteze Oooh maisha zipu mdomoni Kaa kimya wanausalama maaskari polis Sio wazamani bunduk DOM mchana afu kambi tawala inamshabikia mkuu magufuli
@careenchristian4871
5 жыл бұрын
F****
@dnaofgodtv48735 жыл бұрын
Ktk hili wenye ushabiki wa vyama badala ya hoja na waseme Sasa!
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Hivi shinyanga huwa hatuna mbunge?
@samirsalum64745 жыл бұрын
Kumrudisha mpenzi libwata peteya bahati:0658535229 malipo baadaya ya tiba
@musadosa41155 жыл бұрын
wamesafiri unasema wamepotea wengine wapo machimbon
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
Musa Dosa Yeah #MO naye alikua Machimbon. maPOYOYO
@man.lule.5855 жыл бұрын
Watu wanatafuta maisha Mikoani wewe unasema wamepotea.
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
YUSUPH SEGE Yeah #MO naye alikuwa mkoani.. maPOYOYO
@hamadathuman6939
5 жыл бұрын
Mapoyoyo bado yapo ilii SEGE kweli
@bahatisteven5751
4 жыл бұрын
Mikumi wana mbunge hadi raha, kibaha sijui kama tuna mbunge
@mwanahawangunama2531
3 жыл бұрын
Sijafanya makosa kukuchakua mbunge wetu upo sahihi mikumi uyoooooooo
@HassanHassan-sn5cj5 жыл бұрын
HUJASAHAU MAMBO YA "ZAALIILAA MENTAAL LUMETOKEA NAKITIM....!! " ILA HAKI NISAWA NA PEMBE LA NG'OMBE HAILIFIKI IPI SIKU ITAMAMA TUU!!
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Maeneo ya katikati
@adiliantvonline4573
4 жыл бұрын
😎😎😎😎😎
@King_1865 жыл бұрын
Prof J, safi, maana anachangia hoja vzuri, cdm wote waige mfano, sio kupinga kila kitu
@isaacsengunda3099
5 жыл бұрын
Joe tz ni mpumbavu,kuna m bunge gani wa chadema anaechangia vibaya hata siku1? Au wewe unae ndugu ameotea huko?? Nyie ccm kama mikojo tu.
@ashirujabel60895 жыл бұрын
Ndio mzee
@priscargodwel37944 жыл бұрын
Daaah sijawahi sikia hoja ya ombunge wangu wa mbeya lvijijini
Пікірлер: 106
Kama ume muelewa gonga like twende pamoja
E bwana eeeh Ngumi mbili tatu 👊👊👊💪💪 ohooo ccm mtaumia
Kama umemuelewa jamaa analapu gonga like
Jamaaa wenye uyu mbunge semeni asantee mungu 🙏🙏🙏
@victornaikara2185
5 жыл бұрын
Kweli we we msanii umeongea point tupu pia ukiwekabit inakujapia du you did
Bunge tamu Sana, vijana wanawasha moto Hip Hop culture prof jeezy Tume huru, tume huru
Weye uyu mbunge ongereni sana mungu amjaalie kazi njema yuko vizuri sana
Wangemuongezea muda kidogo tuu ange rap😂😂😂 ila mheshimiwa yupo vizurii
Mikumi msikubali kumpoteza huyu pro. J. Atawafikisha sehemu fulani sahihi
@AishaAisha-eb9hh
3 жыл бұрын
And imagine they lost him.
Amen Amen. Mungu aturehem na kutupa Amani Amen.
Saf sana Profesa Jay
sasa umeivaa mzee baba
Kweli j,upo kileleni, good
Jamn wenye wabunge wa upinzani msije poteza MDA kuwa chagua ccm minajuta mbunge wa Jimbo langu ccm cjawahi muona akitoa hoja xx cjuh tulimchagua akapige makofi
Nakupenda bureeee kamanda!
uyo nd Joseph haule mbunge wa binaadam na wanyama,,,,, huwa haongeagi pumba yy, zle zle nyayo za Lissu, Sugu, Zitto na Bashe huwa hawapelekeshwi wao ukwl wanausema tu,,,,, may God bless you a lot na hiyi nchi itakomboka tu kw uwezo wa Mungu...
@hamisimussa2228
5 жыл бұрын
W
watu wa mikumi amjakosia kumchanguwa haure
Professor J asante Nakupa leo 24/2/2020
safi sana profesa J. ukweli unauma lakini msemakewli ni mpenzi wa mungu
Nampenda prof jayyy....
Big up broh unawakalisha watanzania vzr
Nimefurahi uwakilishi wako
Wafuatao nawakubali sugu professor Jay lisu Jon Heche Aya mjembe
@kingtheswaggerdon
3 жыл бұрын
umemsahau SUGUUUUUUUUU
Nimejifunza k2 kaka profesa kupitia ndio mzee na co mzee piga kaz mzee
mtu kma mtu😍😍❤
Big up, Profesa j
Safiiiiii sana profesa Jay
Professor Jay
unapiga makonde mbili tatu kama mwakinyo sio.😂😂😂
Tushazoea kupotezwa ni mungu tu ndiye atunusuru
Mimi si mtanzania lkn huyu professor yuko sawa
Wapinzani wote wanaakili afu akisimama huyu mtu hata mapoyoyo waccm wanaufyata hawazomei Mana izo nipoint tupu
Big up prof jay
haaaaaa j umetishaaaa brooo njo arusha kaka
Hii ninoumaaaaaaa
Professor jeeeey
“Mkononi sina tatoo, nina alama yanduhi MTazania #1 machungu ayapunguhi” #HapoVipi #NdiyoMzee #KikaoChaDharura imefika hiyo.. konkilikwidifire🤣😂🤣
Prof Jizze
Kwa mujibu wa kangi lugora ,atakwambia wameenda kutafuta maisha
Mbunge kama uyu tungempata chalinze tungefulahi sana
Ndio mzee
saf sana J wa mitulinga
Tume huru ya uchaguzi bado tatizo
safi kamanda
nasisi hatulali mpaka kieleweke mh. profesa jey.
Kaziniiiiiii
Piga makofi kwa professor jay ......niga jay
@amosidickison5294
4 жыл бұрын
Jey noma time huru
Etii Prof J sema Joseph Haule umezeeka hata umesahau majina ya wabunge wako Kweli Mwenyekiti 💺
Mpela mpela Mzee baba haina kupoteza dakika oya oya tu KAMA POPO KANYEA MBINGU
Tume ya ccm siyo ya uchaguzi
@amanismithk
3 жыл бұрын
😂😂😂 Na ni kweli kabisa ! Ilitakiwa iitwe tume ya uchaguzi ya "sisiemu" for real! !!
Pongez kubwa Mb wangu wa mikumicenter nipo hapa Malolo nakupata sana
Waccm 30
Alikiba
Jeiiiiiiiiiiiiiii weeeee ni nooooma watu wetu kumiii
Umeticha sana mkuu waambie kweli wajuwe wasizani tumelala
Hakili unayo kaka
Uyu jamaa anawawakilisha kweli wana mikumi maana yote anayoyaongea ni ya wanamikumi,,,ndio mbunge anapaswa kuwa hivo
Mm nakukubali ata unavyongeaga tu Kama unaimba baba wewe kweli unafaa kuongoza Binadam na wanyama
Ndiooo mzeee
@husseinibrahim1473
4 жыл бұрын
Unaitendea haki hiphop
Hawa ndo wanahitajika Tz mzima wabunge wa aina hii wanaongelea maswala muhimu kwa wananchi sio hao waimba taraabu wakiongozwa na lusinde
Wengine cjui wabunge wet wak wap?
huu ndio utawala wa msukuma!!!!
Huyu jamaa,😂😂😂😂. Oya oya oya
wewe kweli ni jy
kweli nimeamin kutoka getto hadi mjengoni na unahuamsha kweli mjengo
Kinywa chenye busar hunena maarifa
Ana hataree uyu jamaa
hamna Fact anaongea sana Point chache inabidi ujipange kwa heavy details.
Hipap haijawahi kumuacha mtu salamaaa
Professor j atarudi ccm hivi karibuni
Mbunge wa jimbo LA segerea anachojali in segerea tu si kwingineko he haya maeneo mengine hayakukupia kwann hujali kama maeneo ya kisukulu hayatazimiki kutokana na mvua barabara mbovu magari hayapi simu tunakupigia watu zako wanajibu utakuja kimya he kama unajali Basi njoo utupe msaada wako
Bongo mnaboa Sana na serkar hiii adi kero
Zali la mentali
mm cjawah kumuona mbunge wetu wa jimbo.la chalinze liziwani akisimaa bungeni na kutetea matatizo.ya jimbo.lake la chalinze😂
Cjawahi kumskia mbunge wa rungwe
Marapaap nimerudi tena kumsikiliza Mh #JosephHaule baada kusikiliza “#NdiyoMzee” kzread.info/dash/bejne/ooWrzZKgmtO5d7g.html Kweli anastaili nafasi aliyonayo hata zaidi... keep fighting for the benefits of your ppl of Mikumi. Utabaki kuwajuuu kileleni
Ata mie cjawahi kumuona akiongea bungeni yani haibu
Analapu nini 😂😂😂😂
walifuata nn mikum
Awamu ya 5 sio Mchezo Balaa nuksi ongea Tu wakupoteze Oooh maisha zipu mdomoni Kaa kimya wanausalama maaskari polis Sio wazamani bunduk DOM mchana afu kambi tawala inamshabikia mkuu magufuli
@careenchristian4871
5 жыл бұрын
F****
Ktk hili wenye ushabiki wa vyama badala ya hoja na waseme Sasa!
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Hivi shinyanga huwa hatuna mbunge?
Kumrudisha mpenzi libwata peteya bahati:0658535229 malipo baadaya ya tiba
wamesafiri unasema wamepotea wengine wapo machimbon
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
Musa Dosa Yeah #MO naye alikua Machimbon. maPOYOYO
Watu wanatafuta maisha Mikoani wewe unasema wamepotea.
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
YUSUPH SEGE Yeah #MO naye alikuwa mkoani.. maPOYOYO
@hamadathuman6939
5 жыл бұрын
Mapoyoyo bado yapo ilii SEGE kweli
@bahatisteven5751
4 жыл бұрын
Mikumi wana mbunge hadi raha, kibaha sijui kama tuna mbunge
@mwanahawangunama2531
3 жыл бұрын
Sijafanya makosa kukuchakua mbunge wetu upo sahihi mikumi uyoooooooo
HUJASAHAU MAMBO YA "ZAALIILAA MENTAAL LUMETOKEA NAKITIM....!! " ILA HAKI NISAWA NA PEMBE LA NG'OMBE HAILIFIKI IPI SIKU ITAMAMA TUU!!
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Maeneo ya katikati
@adiliantvonline4573
4 жыл бұрын
😎😎😎😎😎
Prof J, safi, maana anachangia hoja vzuri, cdm wote waige mfano, sio kupinga kila kitu
@isaacsengunda3099
5 жыл бұрын
Joe tz ni mpumbavu,kuna m bunge gani wa chadema anaechangia vibaya hata siku1? Au wewe unae ndugu ameotea huko?? Nyie ccm kama mikojo tu.
Ndio mzee
Daaah sijawahi sikia hoja ya ombunge wangu wa mbeya lvijijini