Prof Jay awapagawisha Wanamorogoro mbele ya JPM
Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)
Пікірлер: 109
Kama unamkubali proffesa jay gonga like hapa
@barnabasstanslaus6895
6 жыл бұрын
wilonja hatua nooooooomaaaaaa sanaaaa sanaaa sanaaaaaa
@wilonjahatua2067
6 жыл бұрын
Barnabas Stanslaus 👏👏
@oswardmushi7259
5 жыл бұрын
nakukubari mbunge
HIZI NDIZO SIASA TUNAZOTAKA TANZANIA... ELEZA SHIDA ZA WATU WAKO NA SIO KAZI MATUSI KASHIFA NA KEBEHI AU KEJELI... TUWEKE NCHI MBELE NA MATATIZO YA NCHI.... TUACHE SIASA ZA CHUKI NA ZA UKANDA... HONGERA PROFESA JAY
Wabunge mkienda namna hii wabunge mtapendwa bila kujali chama pigen kazi vijana nchi yetu sote!
Rais ukiwa unaenda na mfumo huu.. nitaunga mkono kwa asilimia 100... acha watu waongee kwa uhuru alafu wewe chapa kazi... hakika hata sisi watu wengi tutajituma sana.
Nakukubali Sana Raisi Hakuna Raisi anayefanya kazi Kama wewe tunakuombea
Professor noma sana
Ntahamia bongo huku kwetu Kenya ni balaa tupu... 😂
Umetisha mzee baba
Asanteni wabunge wa chadema kwa kumweshimu rais wetu. Asanteni sana. Magufuri hoye
umeweza prf jay
Nikusaidiaje song #professor-J
Yupo vizuri sana
Nakukubali kamanda
Vijana ndivyo mnatakiwa usiwe kama lema na sugu hawana points
safi japo umepewa muda mdogo lakini umeongea pointi
Kwakweli.rais ungekuwa unafanya ukaribu hivi na wapinzani na kuwachukulia kama ndugu inapendeza sana Nafurahi.kuona
@husseinhkitambi1701
6 жыл бұрын
Kaminyoge Mwachelwa anafanyabsemankuna baadhi ya wabunge hawajitambui mbunge kama wetu kubenea mnyika na lema akili zao za kipumbavu yaani wao chama kwanza maendeleo baadae
Wabunge makini ndo kama nyie hata mkuu akitekeleza mawili tayari hatua imepigwa very good professor, very good our President JP
Keep up Prof. J.
Professor jay hatar sana big up JPM
Haya ndio mambo yanayotakiwa. Kufanywa na mbunge,Rais kaja jimboni toa kero za wananchi sio lawama na matusi,peleka kero kwa manufaa ya wananchi..Safi Mbunge Prof.Jay
@ukweli255
6 жыл бұрын
Bob Ramaso sasa si mbaka apewe nafasi..kwan mara ngap tunaona raisi anaenda jimbo fulan ila mbunge hapewi nafas ya kunena na raisi.hamna mbunge asiependa kuonana na raisi maana ndio boss wa viongozi wote
@bobramaso825
6 жыл бұрын
Aloyce Garani Kwani msigwa hakupewa nafasi?alichoongea hukukisikia?!au unamaanisha nafasi ipi?!wanatakiwa wakipewa nafasi waongee ya maana na haswa kero za jimboni,kama unapewa nafasi unaanza kashfa na matusi na lawama hata kama ni ww ungekuwa kwenye nafasi ya Uraisi ungekubali?!mi naamini kwa mtindo huu nafasi watapewa ili mradi waongee kero za jimbo husika..
Prof. Jay is such a joyous person
mpaka raha mwendo wa rap
I think rais pombe is one of a kind,,,with him Tanzania will prosper...always taking notes for reference..hongera rais...upendo dhati kutoka kenya
Safi Sana broo nakukubali sana
#NijukumuLETU... Mpaka KIELEWEKE... #HapoVipi? The best #MC of all the time.
Prof Jay was featured on KwawKese song somewhere in the late 2000's i really loved his flow and decided to find out wasup with him. I just learnt he is now a politician. I do not understand what he is saying neither can i read what you Tanzania's are typing, my question is, has he been a good leader, politician after all ?
Waoooooooh bravo prof jay.....
safiii
mh prof jizle anajua sana
from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 prof jay ❤️❤️👊👊👊👍👍💯💯💯
Noma noma JOSE
Pro uko juu
Kama unamkubl pr j gonga like
Binafsi Namwelewa Cna Magufuli rais Wangu Hongera Cna Hongera Prof Jzee
Japo kuwa prof j. yupo chadema naamini atafika mbali sana kisiasa hata kimaisha sababu miongoni mwa watu wachache sana sana tena sana wenye nidhamu ya hali ya juu kwa serikali yake tofauti na hao makada wngne wa chama hicho. big up mzee wa mitulinga.
Mungu akusaidie upone mzee wetu👏👏
@magrethgeorge9253
2 жыл бұрын
😭😭😭
Safi sana Rais ungekua ktk mfumo huu usingezungumziwa mabaya kisiasa na ungekua mfano bora wa kuigwa Duniani, Mungu akubariki akuondoe chuki na hasira kwa wapinzani.
wapinzani wengine wangekuwa wanafikisha hoja zao kama mwana wa mitulinga prof jay...sizani kama wangekuw wanaend mahabusu.....big up prof...
wabunge ndo kama hawa wanaonyosha maelezo
😭😭😭😭Kila nikuangalia rais wangu magufuli moyo unaumaaaaa,
👍👍👍👍
J point kama zote kipaji sio kubana pua
professor j uko vizuli
Huyu ndo mbunge makini yupo sirias na kaz huyu kweli mtafatj
Mimi namkubaligi sana Mh prof J,ni jembe bhana.
safi sana pr j
genius
mimi ni Mrundi, ila nayipenda Tanzania, il est le pays d'Afrique qui m'impressione et que j la consider coe la Suisse d'Afrik
prof. j amempiku msigwa kwa ubunifu. amewatendea haki wananchi wake. sio kuishia kusifu tu....
kweli ww ndye professa big up mkuu
Mungu akuponye processor j
Nimkari sana
Safi sana professor Jay
Professor uko vizuri
good guy i used to love your work sana
kumi Kama process jay tz tunauuga umasikini
noma
Professor safi havai hereni wala miwani.
Dah! kaka huyu ajua kuchana maneno kweli kweli, huku kenya twamkubali kwa sana. Kenya pia kuna vijanaa wasanii walioingia bunge lakini huku wamezii, profesa Jay ni mfano wa kuigwa na vijana waingiao kwenye oungozi wa nchi.
🙌🙌🙌
Joson duro say
Daaaah, upone haraka Joseph Haule
Safi professor J
@wadokozitv2319
6 жыл бұрын
Laizer Sikoyan @wadokozi tv
Hongera unaeongoza binadamu na wanyama
Daimond
J Wa mitulinga mchawi wa rap mti mkavu
good sanaaaaa kk
Safi Sana
Jay ni Jay.
Safi sana
nampenda bure
umetumia vizuri muda point tupu
Endelea hivyo prof j
Huyu jamaaaa ako ana akili sana Profesa Haule J
hahahaha
Safi J
Watz ni hapo tuu ninapopendaga,sisi ni wamoja sanaaa,
prof bonge la mbunge anajielewa sana
@wazirisaid3486
6 жыл бұрын
jamani wabunge wote muigeni profesa j angalieni shida za majimbo yenu na si kulaumu kila ki2 mpk mda wenu unaisha hakuna mnachokifanya duuuuuu.
a.K.a Heavyweight that's what we call politics may u leave long
Prf jy oy
Hii ni fahari kwa wana morogoro
una dalili za kujiunga na inzi wa KIJANI!!!!!
Hangera Sana tena Sana
@jumannejoseph5415
6 жыл бұрын
Emmanuel Gabagendi arusha ndio tunapata shida mana raisi akija hatumuoni mmbunge mabarabara mabovu mambo mbaya kila kona maji shida yeye hatoi kero malumbano tuuuu
Kumbe unamkubali Jpm ni Rais wa wanyonge, mnapiga kelele tu kule bungeni ili mufurahishe Mbowe. Jpm hoyeee
Dah Jay we ni jembe
Proff jize aka the heavy wight mc
Kweli m bunge wa binadam na wanyama uko poa san imeenda sawa na magu
hahahaa big up😀😀
hawa ndo wabunge wanao jielewa
'
paka wana ccm wamepiga makofi
Joseph haule leo umeonesha kweli wewe ni professor natamani wabunge wote wa upinzani wangekua kama wewe
@binzuadaudi7772
6 жыл бұрын
Keep it broo
Hakika safi saana mbunge huo ndio uzalendo katika nchi
Mc pilipili
Mzee wa mitulinga umempagawisha mheshimiwa JPM ongea xna kuwa bega kwa bega nawapenda wote
Wamitulinga mchawi wa rapu mti mkavu
hayo ndiyo mambo safi mh mbunge