Prof Jay awapagawisha Wanamorogoro mbele ya JPM

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)

Пікірлер: 109

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20676 жыл бұрын

    Kama unamkubali proffesa jay gonga like hapa

  • @barnabasstanslaus6895

    @barnabasstanslaus6895

    6 жыл бұрын

    wilonja hatua nooooooomaaaaaa sanaaaa sanaaa sanaaaaaa

  • @wilonjahatua2067

    @wilonjahatua2067

    6 жыл бұрын

    Barnabas Stanslaus 👏👏

  • @oswardmushi7259

    @oswardmushi7259

    5 жыл бұрын

    nakukubari mbunge

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa55666 жыл бұрын

    HIZI NDIZO SIASA TUNAZOTAKA TANZANIA... ELEZA SHIDA ZA WATU WAKO NA SIO KAZI MATUSI KASHIFA NA KEBEHI AU KEJELI... TUWEKE NCHI MBELE NA MATATIZO YA NCHI.... TUACHE SIASA ZA CHUKI NA ZA UKANDA... HONGERA PROFESA JAY

  • @edwardedward2520
    @edwardedward25206 жыл бұрын

    Wabunge mkienda namna hii wabunge mtapendwa bila kujali chama pigen kazi vijana nchi yetu sote!

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb6 жыл бұрын

    Rais ukiwa unaenda na mfumo huu.. nitaunga mkono kwa asilimia 100... acha watu waongee kwa uhuru alafu wewe chapa kazi... hakika hata sisi watu wengi tutajituma sana.

  • @shikaneno8861
    @shikaneno88616 жыл бұрын

    Nakukubali Sana Raisi Hakuna Raisi anayefanya kazi Kama wewe tunakuombea

  • @stevenjrmziho8691
    @stevenjrmziho86916 жыл бұрын

    Professor noma sana

  • @jengainterlocks2647
    @jengainterlocks26476 жыл бұрын

    Ntahamia bongo huku kwetu Kenya ni balaa tupu... 😂

  • @alexlutengano687
    @alexlutengano6876 жыл бұрын

    Umetisha mzee baba

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas52416 жыл бұрын

    Asanteni wabunge wa chadema kwa kumweshimu rais wetu. Asanteni sana. Magufuri hoye

  • @magigeametisha9699
    @magigeametisha96996 жыл бұрын

    umeweza prf jay

  • @raphaelgadau2783
    @raphaelgadau27836 жыл бұрын

    Nikusaidiaje song #professor-J

  • @wsilver9553
    @wsilver95536 жыл бұрын

    Yupo vizuri sana

  • @jifunzekusamehe4527
    @jifunzekusamehe45276 жыл бұрын

    Nakukubali kamanda

  • @larickmtui2852
    @larickmtui28526 жыл бұрын

    Vijana ndivyo mnatakiwa usiwe kama lema na sugu hawana points

  • @sirajiabdul7223
    @sirajiabdul72236 жыл бұрын

    safi japo umepewa muda mdogo lakini umeongea pointi

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa98846 жыл бұрын

    Kwakweli.rais ungekuwa unafanya ukaribu hivi na wapinzani na kuwachukulia kama ndugu inapendeza sana Nafurahi.kuona

  • @husseinhkitambi1701

    @husseinhkitambi1701

    6 жыл бұрын

    Kaminyoge Mwachelwa anafanyabsemankuna baadhi ya wabunge hawajitambui mbunge kama wetu kubenea mnyika na lema akili zao za kipumbavu yaani wao chama kwanza maendeleo baadae

  • @peternasarinasari9700
    @peternasarinasari97006 жыл бұрын

    Wabunge makini ndo kama nyie hata mkuu akitekeleza mawili tayari hatua imepigwa very good professor, very good our President JP

  • @yusuphmasolwa9870
    @yusuphmasolwa98705 жыл бұрын

    Keep up Prof. J.

  • @murishidymudy8032
    @murishidymudy80326 жыл бұрын

    Professor jay hatar sana big up JPM

  • @bobramaso825
    @bobramaso8256 жыл бұрын

    Haya ndio mambo yanayotakiwa. Kufanywa na mbunge,Rais kaja jimboni toa kero za wananchi sio lawama na matusi,peleka kero kwa manufaa ya wananchi..Safi Mbunge Prof.Jay

  • @ukweli255

    @ukweli255

    6 жыл бұрын

    Bob Ramaso sasa si mbaka apewe nafasi..kwan mara ngap tunaona raisi anaenda jimbo fulan ila mbunge hapewi nafas ya kunena na raisi.hamna mbunge asiependa kuonana na raisi maana ndio boss wa viongozi wote

  • @bobramaso825

    @bobramaso825

    6 жыл бұрын

    Aloyce Garani Kwani msigwa hakupewa nafasi?alichoongea hukukisikia?!au unamaanisha nafasi ipi?!wanatakiwa wakipewa nafasi waongee ya maana na haswa kero za jimboni,kama unapewa nafasi unaanza kashfa na matusi na lawama hata kama ni ww ungekuwa kwenye nafasi ya Uraisi ungekubali?!mi naamini kwa mtindo huu nafasi watapewa ili mradi waongee kero za jimbo husika..

  • @fab_254.
    @fab_254.2 жыл бұрын

    Prof. Jay is such a joyous person

  • @emanuelbelato7335
    @emanuelbelato73356 жыл бұрын

    mpaka raha mwendo wa rap

  • @kagwanjamartin8808
    @kagwanjamartin88086 жыл бұрын

    I think rais pombe is one of a kind,,,with him Tanzania will prosper...always taking notes for reference..hongera rais...upendo dhati kutoka kenya

  • @fofomohammed6253
    @fofomohammed62536 жыл бұрын

    Safi Sana broo nakukubali sana

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca6 жыл бұрын

    #NijukumuLETU... Mpaka KIELEWEKE... #HapoVipi? The best #MC of all the time.

  • @erechasante3430
    @erechasante343010 ай бұрын

    Prof Jay was featured on KwawKese song somewhere in the late 2000's i really loved his flow and decided to find out wasup with him. I just learnt he is now a politician. I do not understand what he is saying neither can i read what you Tanzania's are typing, my question is, has he been a good leader, politician after all ?

  • @johnrogath1066
    @johnrogath10666 жыл бұрын

    Waoooooooh bravo prof jay.....

  • @justinemathias9871
    @justinemathias98716 жыл бұрын

    safiii

  • @gidiusdismas5893
    @gidiusdismas58936 жыл бұрын

    mh prof jizle anajua sana

  • @swabry
    @swabry4 жыл бұрын

    from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 prof jay ❤️❤️👊👊👊👍👍💯💯💯

  • @josephcharles6443
    @josephcharles64436 жыл бұрын

    Noma noma JOSE

  • @safarijoseph4927
    @safarijoseph49272 жыл бұрын

    Pro uko juu

  • @faridahkipupweone4071
    @faridahkipupweone40715 жыл бұрын

    Kama unamkubl pr j gonga like

  • @josephmateru8892
    @josephmateru88926 жыл бұрын

    Binafsi Namwelewa Cna Magufuli rais Wangu Hongera Cna Hongera Prof Jzee

  • @geofreychirwa2389
    @geofreychirwa23895 жыл бұрын

    Japo kuwa prof j. yupo chadema naamini atafika mbali sana kisiasa hata kimaisha sababu miongoni mwa watu wachache sana sana tena sana wenye nidhamu ya hali ya juu kwa serikali yake tofauti na hao makada wngne wa chama hicho. big up mzee wa mitulinga.

  • @davianofficial6972
    @davianofficial69722 жыл бұрын

    Mungu akusaidie upone mzee wetu👏👏

  • @magrethgeorge9253

    @magrethgeorge9253

    2 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge36955 жыл бұрын

    Safi sana Rais ungekua ktk mfumo huu usingezungumziwa mabaya kisiasa na ungekua mfano bora wa kuigwa Duniani, Mungu akubariki akuondoe chuki na hasira kwa wapinzani.

  • @untouchablexvi3622
    @untouchablexvi36226 жыл бұрын

    wapinzani wengine wangekuwa wanafikisha hoja zao kama mwana wa mitulinga prof jay...sizani kama wangekuw wanaend mahabusu.....big up prof...

  • @astridawilison8125
    @astridawilison81256 жыл бұрын

    wabunge ndo kama hawa wanaonyosha maelezo

  • @magrethgeorge9253
    @magrethgeorge92532 жыл бұрын

    😭😭😭😭Kila nikuangalia rais wangu magufuli moyo unaumaaaaa,

  • @a.a.a.s8322
    @a.a.a.s83226 жыл бұрын

    👍👍👍👍

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu41726 жыл бұрын

    J point kama zote kipaji sio kubana pua

  • @allysaid2846
    @allysaid28466 жыл бұрын

    professor j uko vizuli

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis53236 жыл бұрын

    Huyu ndo mbunge makini yupo sirias na kaz huyu kweli mtafatj

  • @hansbasil3448
    @hansbasil34486 жыл бұрын

    Mimi namkubaligi sana Mh prof J,ni jembe bhana.

  • @hajiramadhan7006
    @hajiramadhan70066 жыл бұрын

    safi sana pr j

  • @yaceenmohamed8708
    @yaceenmohamed87086 жыл бұрын

    genius

  • @kigazithaddee3790
    @kigazithaddee37905 жыл бұрын

    mimi ni Mrundi, ila nayipenda Tanzania, il est le pays d'Afrique qui m'impressione et que j la consider coe la Suisse d'Afrik

  • @ungonelamapunda4908
    @ungonelamapunda49086 жыл бұрын

    prof. j amempiku msigwa kwa ubunifu. amewatendea haki wananchi wake. sio kuishia kusifu tu....

  • @epainethowanjara6546
    @epainethowanjara65466 жыл бұрын

    kweli ww ndye professa big up mkuu

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa47982 жыл бұрын

    Mungu akuponye processor j

  • @stevenremi190
    @stevenremi1906 жыл бұрын

    Nimkari sana

  • @samgaya
    @samgaya5 жыл бұрын

    Safi sana professor Jay

  • @mulokoziwange8017
    @mulokoziwange80176 жыл бұрын

    Professor uko vizuri

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail25044 жыл бұрын

    good guy i used to love your work sana

  • @josephathikiharatu4695
    @josephathikiharatu46956 жыл бұрын

    kumi Kama process jay tz tunauuga umasikini

  • @hometube8069
    @hometube80692 жыл бұрын

    noma

  • @patrickmogella5737
    @patrickmogella57376 жыл бұрын

    Professor safi havai hereni wala miwani.

  • @georgedinda7400
    @georgedinda74006 жыл бұрын

    Dah! kaka huyu ajua kuchana maneno kweli kweli, huku kenya twamkubali kwa sana. Kenya pia kuna vijanaa wasanii walioingia bunge lakini huku wamezii, profesa Jay ni mfano wa kuigwa na vijana waingiao kwenye oungozi wa nchi.

  • @munakatonga6525
    @munakatonga65256 жыл бұрын

    🙌🙌🙌

  • @selemanishukuru6919
    @selemanishukuru69192 жыл бұрын

    Joson duro say

  • @fredrickfilbert3922
    @fredrickfilbert39222 жыл бұрын

    Daaaah, upone haraka Joseph Haule

  • @laizersikoyan4157
    @laizersikoyan41576 жыл бұрын

    Safi professor J

  • @wadokozitv2319

    @wadokozitv2319

    6 жыл бұрын

    Laizer Sikoyan @wadokozi tv

  • @philemonpaulo1226
    @philemonpaulo12266 жыл бұрын

    Hongera unaeongoza binadamu na wanyama

  • @evalinisamwelisamweli8810
    @evalinisamwelisamweli88102 жыл бұрын

    Daimond

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya6 жыл бұрын

    J Wa mitulinga mchawi wa rap mti mkavu

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents49386 жыл бұрын

    good sanaaaaa kk

  • @pendojohn1509
    @pendojohn15096 жыл бұрын

    Safi Sana

  • @knowthyself3422
    @knowthyself34223 жыл бұрын

    Jay ni Jay.

  • @titusosano3946
    @titusosano39466 жыл бұрын

    Safi sana

  • @marybalongo221
    @marybalongo2216 жыл бұрын

    nampenda bure

  • @jupeshajehas1964
    @jupeshajehas19646 жыл бұрын

    umetumia vizuri muda point tupu

  • @sallumnassily4375
    @sallumnassily43756 жыл бұрын

    Endelea hivyo prof j

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature91882 жыл бұрын

    Huyu jamaaaa ako ana akili sana Profesa Haule J

  • @victoradelard9228
    @victoradelard92286 жыл бұрын

    hahahaha

  • @dominashirima873
    @dominashirima8736 жыл бұрын

    Safi J

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    Watz ni hapo tuu ninapopendaga,sisi ni wamoja sanaaa,

  • @tembeletadei7136
    @tembeletadei71366 жыл бұрын

    prof bonge la mbunge anajielewa sana

  • @wazirisaid3486

    @wazirisaid3486

    6 жыл бұрын

    jamani wabunge wote muigeni profesa j angalieni shida za majimbo yenu na si kulaumu kila ki2 mpk mda wenu unaisha hakuna mnachokifanya duuuuuu.

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka95256 жыл бұрын

    a.K.a Heavyweight that's what we call politics may u leave long

  • @justinrugambwa9524
    @justinrugambwa95242 жыл бұрын

    Prf jy oy

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi48284 жыл бұрын

    Hii ni fahari kwa wana morogoro

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa79185 жыл бұрын

    una dalili za kujiunga na inzi wa KIJANI!!!!!

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi31696 жыл бұрын

    Hangera Sana tena Sana

  • @jumannejoseph5415

    @jumannejoseph5415

    6 жыл бұрын

    Emmanuel Gabagendi arusha ndio tunapata shida mana raisi akija hatumuoni mmbunge mabarabara mabovu mambo mbaya kila kona maji shida yeye hatoi kero malumbano tuuuu

  • @mako331
    @mako3316 жыл бұрын

    Kumbe unamkubali Jpm ni Rais wa wanyonge, mnapiga kelele tu kule bungeni ili mufurahishe Mbowe. Jpm hoyeee

  • @nyerere1259
    @nyerere12596 жыл бұрын

    Dah Jay we ni jembe

  • @kelvinjackson9699
    @kelvinjackson96996 жыл бұрын

    Proff jize aka the heavy wight mc

  • @kijanamtanzania3825
    @kijanamtanzania38256 жыл бұрын

    Kweli m bunge wa binadam na wanyama uko poa san imeenda sawa na magu

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela62994 жыл бұрын

    hahahaa big up😀😀

  • @ayoubmkeya8709
    @ayoubmkeya87095 жыл бұрын

    hawa ndo wabunge wanao jielewa

  • @ramadhansalum9981
    @ramadhansalum99816 жыл бұрын

    '

  • @noeltz9736
    @noeltz97366 жыл бұрын

    paka wana ccm wamepiga makofi

  • @happnecyvagas6930
    @happnecyvagas69306 жыл бұрын

    Joseph haule leo umeonesha kweli wewe ni professor natamani wabunge wote wa upinzani wangekua kama wewe

  • @binzuadaudi7772

    @binzuadaudi7772

    6 жыл бұрын

    Keep it broo

  • @johnmasoud2246
    @johnmasoud22466 жыл бұрын

    Hakika safi saana mbunge huo ndio uzalendo katika nchi

  • @peteraswile4594
    @peteraswile45946 жыл бұрын

    Mc pilipili

  • @jolitejolite1497
    @jolitejolite14975 жыл бұрын

    Mzee wa mitulinga umempagawisha mheshimiwa JPM ongea xna kuwa bega kwa bega nawapenda wote

  • @starnewstvtv1126
    @starnewstvtv11266 жыл бұрын

    Wamitulinga mchawi wa rapu mti mkavu

  • @julianamasunga4147
    @julianamasunga41476 жыл бұрын

    hayo ndiyo mambo safi mh mbunge

Келесі