Sikiliza Povu la Joseph Mbilinyi 'Sugu' Bungeni Kuhusu Kodi, Mikataba Mibovu
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, amefunguka bungeni wakati akichangia bajeti ya serikali ambapo amesema serikali imetumia usanii kufuta kodi ya magari na kuihamishia kwenye mafuta.
Sugu ameendelea kufunguka kwamba ni jambo la ajabu serikali kupanga kununua ndege kubwa wakati wananchi vijijini wanapata shida, ikiwemo wanafunzi kujisaidia nje kutokana na kukosa vyoo.
Mheshimiwa huyo ameendelea kuilaumu serikali kwa kuingia mikataba mibovu ambapo amesema siyo kweli kwamba wapinzani wanampinga rais Magufuli bali wanamrekebisha, akamtaka awaache wabunge wajadili mambo mbalimbali kuhusu nchi kwa uhuru bila kuingiliwa.
Akataka suala la kupitia mikataba mibovu lisiishie kwenye madini pekee bali mikataba yote, ikiwemo ya ununuzi wa ndege na uuzwaji wa nyumba za serikali, iwasilishwe bungeni ili ijadiliwe.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Пікірлер: 7
Woooote mnao lalamika raisi wa mbeya kujenga hotel kwani hamjui kua mbeya Kuna vyuo vingi vya hotel so baada ya kusomea wana mbeya watapata kazi? keep it on sugu you're unstoppable
wabunge upinzani wana msaada ktk nnchi hii wako tayari kusaidiana na Raisi wana point Magufuri funguka fanya nao kazi wamekukubali usiogope ccm mbunge yoyote awe ccm au chadema ana mazuri yafanyiwe kazi
@promramson80
7 жыл бұрын
david mbilinyi real talk
Good
wanakunya nje😎😎😎
Umeonyesha ukomavu wako Wa siasa
wachane haooooo