SUGU AOMBA KAZI KWA RAIS MAGUFULI "NIONDOE MAFUNDO FUNDO YA SIASA" | ASHIKWA MKONO
Жүктеу.....
Пікірлер: 110
@hdmtanzania26175 жыл бұрын
Sugu hizo ndo siasa nzuri, sio siasa za chuki na kupinga kila jambo kwa wenye akili umefanya jambo zuri kuheshimu mkuu wa nchi jeurijeuri kama za Heche ni utovu wa nidhamu, hata vitabu vya dini vinatuasa tuziheshimu mamlaka zilizowekwa maana mamlaka hizo zatoka kwa Mungu, kuanzia leo nakuheshimu Mh sugu kwa nidhamu uliyoionyesha mbele ya mkuu wa Nchi, safisaaaana
@maskinijeuri5943
5 жыл бұрын
HDM Innovation sawa kabisa mzee sugu
@hussenimlimati95925 жыл бұрын
Mhe sugu Huo ndio u Tanzania wadamu
@charryrking93805 жыл бұрын
kama umekubari siasa ya sugu. gonga like hapa
@jocenocha88465 жыл бұрын
Leo Sugu umetisha sana hizo ndio siasa nzuri duniani kote
@mwittaminoja4686
4 жыл бұрын
Tulie. Enda. Shule. Tunamunga. Mkono
@ammymhagama54835 жыл бұрын
Safii sana kamanda sugu ujumbe umefika wezetu wanaona kama upinzani niuadui kumbe ndio kioo chawatawala kujua wapi wanakosea wajisahihishe
@wilsonjohn19195 жыл бұрын
Sugu /magufuli hapa kaz tu maendeleo hayana chama
@mwaminifungo46655 жыл бұрын
huo ndo ustaarabu kaka sugu au Rais wa mbeya unastaili kua kua kiongozi wewe ni jasiri mungu atutunzie amani hii
@anjelangaiza62585 жыл бұрын
Mungu saidia icho kiongereo kiwe salama. Twakupenda sugu.
@khalidgugu49645 жыл бұрын
Sugu Sugu, amehakikisha ubunge wake kuwa endelevu pale Mbeya #MVMP
@christophermlaponi5345 жыл бұрын
Ndiyo faida ya ujasiri! Ameongea vema, kwa heshima bila jazba !!
@shedyjr32275 жыл бұрын
Huyoo jama mwenye suti nyeusi alivyokimbia yani angeanguka ndoo angekomaa na kihere here chake
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
Mbunge gani wa ccm anaweza kuwa jasiri kama sugu kutoa hoja ?
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Huo ujasili wake angojee kikao kikuu cha wakuu wa juu ya chadema wakushughulikia wanaomuunga mkono rais kikiongozwa na mbowe
@anganilemichael22835 жыл бұрын
Ameomba kazi gani hapo ayo au na wewe umeanza kama vimedia vingine kuongopa
@mwittaminoja4686
4 жыл бұрын
Yuko. Vizuri. Anajitambua
@kaspunerick56965 жыл бұрын
RAIS MaGUfuli uzinduzi wa barabara ya chunya
@kwamemchauru41415 жыл бұрын
Asante sana kaka.. God Bless you always.
@kusekwasita15765 жыл бұрын
Chadema wabunge bunge lijaro, sugu, jay haule lazima
@tolutolu29705 жыл бұрын
Ajaomba kazi. Ayo siasa inaaza kukupoteza bro. Juzi boni kakulalamikia Leo tena
@sekakigala3613
5 жыл бұрын
Kawa fala sana uyu
@juvenalymnyama7355 жыл бұрын
Ayo umeshakuwa mkuda kwa nn unakata sauti wewe au umeshakuwa kibaraka
@khadeejaabdullah70835 жыл бұрын
Hongera sana sugu
@yasinmuona73355 жыл бұрын
Howo ndio uzalendo na adabu kwa mkuu wa nchi yeko
@johnngowi84815 жыл бұрын
Kwa maulizo yangu ni nani anae takiwa kuongea shida Za wananchi zote ???maana raisi kaenda kuongea na wananchi na msheleshaji ana mbania mda kisa watoto kucheza nyimbo Za kusifia jamani
@djkaka55805 жыл бұрын
safi sana mh sugu hiyo ndo siasa hakika nimefu rahi sana mh rais atakuruhusu kuondoa mafindofindo ya kisiasa big up bro bravo!!!!!!!!!!
Yani Rais yupo vizuri sana sasa waliovaa suti shida hadi kichefuchefu
@jaffarmguwa55665 жыл бұрын
Leo kaongea vizuri
@joshuamlingwa4735
5 жыл бұрын
kama amefundishwa adabu kwanini asiwe na adabu
@Mngoniboytv5 жыл бұрын
sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia
@eng.danielwinani74395 жыл бұрын
umewazd kete akna lissu
@rosezumba63185 жыл бұрын
Safi sana mbunge
@ireneemanuel9501
5 жыл бұрын
Sugu upo vizuri Sana umeongea point Sana Mimi ni mwana ccm ila umetisha wangu bigp san
@mwanaidosanga55475 жыл бұрын
Siasa ndivyo inavyotaka
@japhetjoseph17725 жыл бұрын
Hii ndio ukomavu Wa siasa
@hassangaudence18145 жыл бұрын
SUGU HAKIKA FAHARI YA MBEYA
@sekakigala36135 жыл бұрын
Kaomba wapi kazi acheni ufala nyie ayo TV, alaf mbona sugu alivyanza kuongea kuhusu wafuasi wa chadema kutengwa ulianza kukata sauti
@mofathool41585 жыл бұрын
Rais wetu mpendwa nakukubari sana watanyooka wote ila zidisha tena kukaza heshima itarudi tu
@fredreckmwakalinga3475
5 жыл бұрын
Mofat Hool akili finyi kutafakari mambo
@emanuelsamkinda4228
5 жыл бұрын
Hongera kwa upumbav wako,, we box kwl,,, mwambie akukazie we
@mofathool4158
5 жыл бұрын
@@emanuelsamkinda4228 mwenzio kafyata wewe unasubiria usuguliwe km shoga mwenzio lisu
@edwinkimambo50865 жыл бұрын
Sugu juu
@alicegeorge34015 жыл бұрын
AIBU shuuuu kiongeleo unashida
@vanyjunior17085 жыл бұрын
Nilikwmbia lakin sugu,kaka mkubwa uko mkweli
@calvinkitaly93765 жыл бұрын
Raisi wa mbea.
@happyfiverickaldo46625 жыл бұрын
Huyuuuu jamaa namkubali
@kaidrisa27115 жыл бұрын
Dah mbna mabodi wanyanyasaji sana
@amanimariki76315 жыл бұрын
alafu Ayo unatumiwa na CCM mbona unabana bana sauti bhana
@kaspunerick56965 жыл бұрын
Rais magufuli uzinduz wa barabara ya chuny
@beatriceemanuel10985 жыл бұрын
Yani mamboyamaana wanawapa muda mdogo sana
@gabrieldenicc4502
5 жыл бұрын
Wanalinda mshahara wao matumbo joto
@loner_wolf3 жыл бұрын
Mc unaongea sana punguz kihelehele huyo mbna muelewa acha amalize mazur yaliyofanyika mbeya basi tuyajue
@aloycelosyekui90785 жыл бұрын
SUGU Ukosawa kabisa kwa maongezi yako
@alicegeorge34015 жыл бұрын
Kiongeleo ana Kera Sana
@boazmtileghe91615 жыл бұрын
😂😂😂 BIG UP Sana mzee Baba umeongea vizuri
@dc391395 жыл бұрын
Hata kama sipendi tabia za watu wa CDM Sugu nimekukubali wewe una chembe za uzalendo kabisa bila unafiki
@sokaupdate55455 жыл бұрын
First to comment
@sokaupdate55455 жыл бұрын
Wakwanz jamb
@grecehuyukibanishida55955 жыл бұрын
acheni unafiki wandishi was habari kenge nn
@ibraahmbena5 жыл бұрын
Unazingua tittle yako mbovu.
@wazirijuma76215 жыл бұрын
ongera muexhiwa
@sponsor78825 жыл бұрын
NAOGAPA ANAELEKEA CCM
@izhadiabuu5934 жыл бұрын
Mipango ya bilget
@frankmosha58544 жыл бұрын
Safi sungu
@kassimrajabu78055 жыл бұрын
Kamanda
@otianasang1553
4 жыл бұрын
MUNGU aendeleee.kukutunza Mbilinyi
@zakariampembela71005 жыл бұрын
Mbeya Sisi ni watu wa Amani tu. Ila hatupendi maonezi au uvunjwaji wa haki
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Akuna anayependa maonezi au uvunjwaji wa haki duniani kote
@zakariampembela71005 жыл бұрын
Upo sahihi Mhe. Mbunge
@georgeangyelile70165 жыл бұрын
Mwenye sura ya uvumilivu
@osweggemwakajumba33905 жыл бұрын
Blogger acha ukuwadi wa kiboya.
@anuaryally61775 жыл бұрын
Wale wa kushughulikia kamati kuu ya wakuu wa juu wanakusikia unampongeza rais utaitwa kikaoni siku si nyingi na mbowe ushughulikiwe
@babarenee47975 жыл бұрын
Sugu mtu.....!!!
@majadotto95134 жыл бұрын
Sugu anachapa kazi sana sio kama mr konyagi huyu akishinda ni juhudi zake za uchapa kazi huyu ni wapili kwa professor j
@hajihassan54335 жыл бұрын
Mimi hushituka na kuogopa sana Mbunge ambae jukumu lake kubwa Kikatiba ni kuishauri na kuisimamia Serikali nikimsikia ni mfanyabiashara, kinachonipitikia akili kwangu ni kuwa yupo kwa maslahi binafsi na kuwalinda na kuwatetea hata ikibidi kwa rushwa wafanyabiashara wenziwe. Rushwa na Ufisadi mkubwa Serikalini kama vile Richmond, Melemeta nk zilitokana na viongozi wa Serikali (Wabunge/Mawaziri) kuwa wafanyabiashara. Kama Rais na Watanzania tuko vitani na Ufisadi namuomba sana Rais aliangalie vizuri jambo hili. Azimio la Arusha lilipinga vikali jambo hili.
@lemumsesa5039
5 жыл бұрын
Unaongea nn mzee
@lemumsesa5039
5 жыл бұрын
Ww ukiwa mwl au mwanasheria serikalin huwez kufanya biashara au uyo mbunge angekuwa kaka yako ungependa awe anasubr mshahara tu
@alfaniismail529
5 жыл бұрын
Dunia ya leo siyo ya miaka ya 1960's angalia nyakati mzee
@hajihassan5433
5 жыл бұрын
@@lemumsesa5039 Ndio, ningekuwa Rais au Rais angesikia ushauri wangu nisingekubali mtumishi wa umma level fulani kama Mbunge/Waziri na maofisa wengine ningewataka wachague biashara zao au uongozi ni hatari sasa. Unategemea nini sheria inapitiswa wewe upo na inabana biashara yako utakaa kimya? Kama hujuwi Wabunge wa Tanzania wanapiga hela ndefu kwa kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa. Je, itakuwaje akiwa yeye ndio mfanyabiashara. Mimi nisingekubali Kiongozi wa umma akawa mfanyabiashara, unategemea bei ya pembejeo ishuke ikiwa wa kusema ishuke ndio mmiliki wa hiyo biashara?
@hajihassan5433
5 жыл бұрын
@@lemumsesa5039 Vyeo vya kisiasa ni vyo kujitolea zaidi.
Пікірлер: 110
Sugu hizo ndo siasa nzuri, sio siasa za chuki na kupinga kila jambo kwa wenye akili umefanya jambo zuri kuheshimu mkuu wa nchi jeurijeuri kama za Heche ni utovu wa nidhamu, hata vitabu vya dini vinatuasa tuziheshimu mamlaka zilizowekwa maana mamlaka hizo zatoka kwa Mungu, kuanzia leo nakuheshimu Mh sugu kwa nidhamu uliyoionyesha mbele ya mkuu wa Nchi, safisaaaana
@maskinijeuri5943
5 жыл бұрын
HDM Innovation sawa kabisa mzee sugu
Mhe sugu Huo ndio u Tanzania wadamu
kama umekubari siasa ya sugu. gonga like hapa
Leo Sugu umetisha sana hizo ndio siasa nzuri duniani kote
@mwittaminoja4686
4 жыл бұрын
Tulie. Enda. Shule. Tunamunga. Mkono
Safii sana kamanda sugu ujumbe umefika wezetu wanaona kama upinzani niuadui kumbe ndio kioo chawatawala kujua wapi wanakosea wajisahihishe
Sugu /magufuli hapa kaz tu maendeleo hayana chama
huo ndo ustaarabu kaka sugu au Rais wa mbeya unastaili kua kua kiongozi wewe ni jasiri mungu atutunzie amani hii
Mungu saidia icho kiongereo kiwe salama. Twakupenda sugu.
Sugu Sugu, amehakikisha ubunge wake kuwa endelevu pale Mbeya #MVMP
Ndiyo faida ya ujasiri! Ameongea vema, kwa heshima bila jazba !!
Huyoo jama mwenye suti nyeusi alivyokimbia yani angeanguka ndoo angekomaa na kihere here chake
Mbunge gani wa ccm anaweza kuwa jasiri kama sugu kutoa hoja ?
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Huo ujasili wake angojee kikao kikuu cha wakuu wa juu ya chadema wakushughulikia wanaomuunga mkono rais kikiongozwa na mbowe
Ameomba kazi gani hapo ayo au na wewe umeanza kama vimedia vingine kuongopa
@mwittaminoja4686
4 жыл бұрын
Yuko. Vizuri. Anajitambua
RAIS MaGUfuli uzinduzi wa barabara ya chunya
Asante sana kaka.. God Bless you always.
Chadema wabunge bunge lijaro, sugu, jay haule lazima
Ajaomba kazi. Ayo siasa inaaza kukupoteza bro. Juzi boni kakulalamikia Leo tena
@sekakigala3613
5 жыл бұрын
Kawa fala sana uyu
Ayo umeshakuwa mkuda kwa nn unakata sauti wewe au umeshakuwa kibaraka
Hongera sana sugu
Howo ndio uzalendo na adabu kwa mkuu wa nchi yeko
Kwa maulizo yangu ni nani anae takiwa kuongea shida Za wananchi zote ???maana raisi kaenda kuongea na wananchi na msheleshaji ana mbania mda kisa watoto kucheza nyimbo Za kusifia jamani
safi sana mh sugu hiyo ndo siasa hakika nimefu rahi sana mh rais atakuruhusu kuondoa mafindofindo ya kisiasa big up bro bravo!!!!!!!!!!
Ayoo ushaza kufeli kaombawapikazi tunakuamini bwana
Yani Rais yupo vizuri sana sasa waliovaa suti shida hadi kichefuchefu
Leo kaongea vizuri
@joshuamlingwa4735
5 жыл бұрын
kama amefundishwa adabu kwanini asiwe na adabu
sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia
umewazd kete akna lissu
Safi sana mbunge
@ireneemanuel9501
5 жыл бұрын
Sugu upo vizuri Sana umeongea point Sana Mimi ni mwana ccm ila umetisha wangu bigp san
Siasa ndivyo inavyotaka
Hii ndio ukomavu Wa siasa
SUGU HAKIKA FAHARI YA MBEYA
Kaomba wapi kazi acheni ufala nyie ayo TV, alaf mbona sugu alivyanza kuongea kuhusu wafuasi wa chadema kutengwa ulianza kukata sauti
Rais wetu mpendwa nakukubari sana watanyooka wote ila zidisha tena kukaza heshima itarudi tu
@fredreckmwakalinga3475
5 жыл бұрын
Mofat Hool akili finyi kutafakari mambo
@emanuelsamkinda4228
5 жыл бұрын
Hongera kwa upumbav wako,, we box kwl,,, mwambie akukazie we
@mofathool4158
5 жыл бұрын
@@emanuelsamkinda4228 mwenzio kafyata wewe unasubiria usuguliwe km shoga mwenzio lisu
Sugu juu
AIBU shuuuu kiongeleo unashida
Nilikwmbia lakin sugu,kaka mkubwa uko mkweli
Raisi wa mbea.
Huyuuuu jamaa namkubali
Dah mbna mabodi wanyanyasaji sana
alafu Ayo unatumiwa na CCM mbona unabana bana sauti bhana
Rais magufuli uzinduz wa barabara ya chuny
Yani mamboyamaana wanawapa muda mdogo sana
@gabrieldenicc4502
5 жыл бұрын
Wanalinda mshahara wao matumbo joto
Mc unaongea sana punguz kihelehele huyo mbna muelewa acha amalize mazur yaliyofanyika mbeya basi tuyajue
SUGU Ukosawa kabisa kwa maongezi yako
Kiongeleo ana Kera Sana
😂😂😂 BIG UP Sana mzee Baba umeongea vizuri
Hata kama sipendi tabia za watu wa CDM Sugu nimekukubali wewe una chembe za uzalendo kabisa bila unafiki
First to comment
Wakwanz jamb
acheni unafiki wandishi was habari kenge nn
Unazingua tittle yako mbovu.
ongera muexhiwa
NAOGAPA ANAELEKEA CCM
Mipango ya bilget
Safi sungu
Kamanda
@otianasang1553
4 жыл бұрын
MUNGU aendeleee.kukutunza Mbilinyi
Mbeya Sisi ni watu wa Amani tu. Ila hatupendi maonezi au uvunjwaji wa haki
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Akuna anayependa maonezi au uvunjwaji wa haki duniani kote
Upo sahihi Mhe. Mbunge
Mwenye sura ya uvumilivu
Blogger acha ukuwadi wa kiboya.
Wale wa kushughulikia kamati kuu ya wakuu wa juu wanakusikia unampongeza rais utaitwa kikaoni siku si nyingi na mbowe ushughulikiwe
Sugu mtu.....!!!
Sugu anachapa kazi sana sio kama mr konyagi huyu akishinda ni juhudi zake za uchapa kazi huyu ni wapili kwa professor j
Mimi hushituka na kuogopa sana Mbunge ambae jukumu lake kubwa Kikatiba ni kuishauri na kuisimamia Serikali nikimsikia ni mfanyabiashara, kinachonipitikia akili kwangu ni kuwa yupo kwa maslahi binafsi na kuwalinda na kuwatetea hata ikibidi kwa rushwa wafanyabiashara wenziwe. Rushwa na Ufisadi mkubwa Serikalini kama vile Richmond, Melemeta nk zilitokana na viongozi wa Serikali (Wabunge/Mawaziri) kuwa wafanyabiashara. Kama Rais na Watanzania tuko vitani na Ufisadi namuomba sana Rais aliangalie vizuri jambo hili. Azimio la Arusha lilipinga vikali jambo hili.
@lemumsesa5039
5 жыл бұрын
Unaongea nn mzee
@lemumsesa5039
5 жыл бұрын
Ww ukiwa mwl au mwanasheria serikalin huwez kufanya biashara au uyo mbunge angekuwa kaka yako ungependa awe anasubr mshahara tu
@alfaniismail529
5 жыл бұрын
Dunia ya leo siyo ya miaka ya 1960's angalia nyakati mzee
@hajihassan5433
5 жыл бұрын
@@lemumsesa5039 Ndio, ningekuwa Rais au Rais angesikia ushauri wangu nisingekubali mtumishi wa umma level fulani kama Mbunge/Waziri na maofisa wengine ningewataka wachague biashara zao au uongozi ni hatari sasa. Unategemea nini sheria inapitiswa wewe upo na inabana biashara yako utakaa kimya? Kama hujuwi Wabunge wa Tanzania wanapiga hela ndefu kwa kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa. Je, itakuwaje akiwa yeye ndio mfanyabiashara. Mimi nisingekubali Kiongozi wa umma akawa mfanyabiashara, unategemea bei ya pembejeo ishuke ikiwa wa kusema ishuke ndio mmiliki wa hiyo biashara?
@hajihassan5433
5 жыл бұрын
@@lemumsesa5039 Vyeo vya kisiasa ni vyo kujitolea zaidi.
sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia
@alfanshonde2438
5 жыл бұрын
Hahahaaaaa