BUNGENI: Profesa J aongelea milioni 400 anazodaiwa Diamond, Roma na Nay wa Mitego
Спорт
Hii ni wakati Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu kama Professor Jay aliposimama kuchangia mapendekezo yake katika bajeti ya Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo kwenye bunge la Bajeti linaloendelea.
Пікірлер: 316
asante sana muheshimiwa Joseph kwa kutetea haki zetu
Mikumi Pa1 na wasanii wa nyanja zote wanajivunia sana juu yako profesa Jay i salute you brother.
professor Jay 👏👏👏👏 Mungu akuzidishie
Sana Mzee hauled upon vizuri mweshimiwa
Tanzania ndio inaamani ...... Ila watu HATUPENDANI KABISA
Wazir mwenye dhaman anashangaa '2 hajui mambo hyo, kaa na wasanii usikilze maon yao! Kaa na Sugu, kaa na prof jay!!
Professor J anasupport muziki kweli, shukran mheshimiwa...Kenya mziki si kitu bungeni....Mheshimiwa Jaguar afanye ka huyu Msheshimiwa J
@flinchclassic1726
4 жыл бұрын
Jaguar amelala amejisahau
Woooooiiiiiiii Apa kitu kitaongelewa cha muhimu lakini hakifanyiwi kazi Pata Tanzania kila mtu anajali masilahi yake Serikali ikiona unaingiza pesa nayenyewe inataka ikukate pesa inaona unafaidi sana
wanamuziki watanzania mumebarikiwa sana kuwa mtetezi kama huyu...big up
Wapi producer aweke track kwenye haya maonhezi ya prof....huu ni wimbo
Hii speech itaishii milele mh Prof jay
big up profesa jay kanikosha
Ningelikua producer ningelikua nimeivesha beat
safi Sana mbunge unae ongoza binadamu na wanyama
Following you from Gitega-Burundi.
Bado Professor ananigusa na maoni yake. So profound
Kama ume elewa konga like apa
Wow.what an orator.prof jay the best
Prof kaongea hadi nimeelewa. 👍👍👍 i salut you bro.
naam mbunge wa mikumi
ahsante brooooooo......
Ndio mzee, imebeba, NIKUPONGEZa mkuu, wewe umeongelea kitu muhimu, hongera, sana.
Nizaidi ya daktari,, mbunge wa binadamu na wanyamaaa.. @peace of mind..
profesa washa moto mpaka waelewe
Kweli kabisa kaka yng hapo ni mahala sahihi kwako
Upo vzr sana mtumzima Pro J Tupo pamoja sana tutafika tunapo kwenda hats kwa mwendo wa kinyonga tutafika tu...
Saf kabsa mr J, ukwel mtup. ✌
Mambo yanayo ongelewa Bungeni yangekuwa yanafanyiwa kazi Tanzania ingefika mbali sana
ndio mzee kama unasoma vileee mmmmmmh
Mikumi hamjakosea kumpa ubunge yuko vizuli
@peterkigabu7996
4 жыл бұрын
Uko sawa
Hawa jamaaa waduanzi Mh. Anawakilisha habari za maisha ya watu wenyewe wana cheka cheka. Wasichezeee hisia za watu. Tukiamua kwenda wasaniii hatutarudi nyuma nasio TRA wala bibiake atakae pata hata mia.
Very articulate👌
Asante jemedar wetu mbunge wa mikumi
hiii kazi kweli aiseeee tra saizi ndoo wana jifanya kufanya kazi
ndiyo mzee
Safi sn Mh Joseph Haule unajua unachofanya
Big up #Professor long life
point ya kisomi umeongea point broo big up
Professor Jay Big up Unajiua unachokifanya ndani ya Bunge
Big up Jay
Safi sana nakutakia maisha marefu
Duh we mkali
very good
safi Sana
point kubwa sana
Asante sana kaka
Uko vizuri mhueshimiwa
unakubarika saana professor usiwasikilize wanao kubeza mazezeta
Nakupongeza sana pr.j,,,,,,,,,,,
umetisha sana jay
safi sana mheshimiwa umewakilisha vema
@omaryjabir9874
7 жыл бұрын
safi sana kaka profJ
Nikiwa kenya; professor wakubalika
point sana
kweli kabisa
umetisha
hongera sana profesaj
Bro wew unajua sanaaaa mbaka unakela
Ndiyo mzee, ndiyo mzee, ndiyo mzee
Big up mzee
asante profesa mzarendo
Hongera sana kuwa mbunge na unastahili kupewa dhamana ya kuendelea kukaa mjengoni
Jaman Mungu akubariki sana prf j,TRA wanakera sana
Good broo
This guy can talk
Fresh
Aminia sana kiongozi uje ara chuga ndani tukupe kura
Uko na point mheshimiwa wa mikumi
Ndio mzee
sahihi kabisa
Waambie mzee proff jay
respekit Brz
MIAKA IJAYO APEWE HATA UWAZIR WA HABARI MANA VIGEZO ANAVYO NA ANAFAHAM SEKTA IO
Kweli
Iko vzur
Taarifa ya diamond kupgiwa sim mbn hkutujuza!??😀😀😀😀
Bg up
nice Prof J"""""
Uko vizuri sana prof wanamikumi wana kiongozi kwel
@ibrahimrashidi4360
4 жыл бұрын
dah mkuu kama nakuona vile ulivoniskiliza ngoma yangu pale moro
Congrats prof J
mgodi unaotembea hongera
Hongera sana ila ungejitahidi kuweka na majibu ya waliomjibu huyu mbunge
Umeeleweka tatizo unao waambia wanaweza kufikiri ulikuwa unafanya shoo alafu ndo mwisho kuna kauli tumeambiwa Sana na wazazi wetu YANAINGILIA SIKIO LA KULIA NA YANATOKEA LA KUSHOTO ata ungetoa suluhisho bado amna ambacho kingetokea washashiba vyeo ao
@charlesnghwaya1619
7 жыл бұрын
Duuuuuu Prof umeongea hadi nimelewa vingi sana saluti kwako
Mikumi oyeeee
we noma
Aki rep tena miaka 30 Duuuuuuh #ashaanza kurep tiali
safi
Safi sana prof.J
pada vizur uvune vizuri siyo kudai Kofi tuu
daah nimemuelewa sana mh. ila imenigusa zaid ishu ya darasa aisee daaah
ndiyo Mzeee
safi sana p j
Nakupa pongez
Safi
🔥
Safi mzee wa hphp
Big up j uko sahihi
Hahaha sawasawa professor J umekosa beat tu hapo lakini poa tu.
@abduzakhariahcharles1333
6 жыл бұрын
mwalimu chengo Randu
ndio mzee
Vzr sana
kweri j we ni noma mzee baba