BUNGENI: Profesa J aongelea milioni 400 anazodaiwa Diamond, Roma na Nay wa Mitego

Спорт

Hii ni wakati Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu kama Professor Jay aliposimama kuchangia mapendekezo yake katika bajeti ya Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo kwenye bunge la Bajeti linaloendelea.

Пікірлер: 316

  • @lavendaapple9284
    @lavendaapple92847 жыл бұрын

    asante sana muheshimiwa Joseph kwa kutetea haki zetu

  • @abdulhamnally7940
    @abdulhamnally79404 жыл бұрын

    Mikumi Pa1 na wasanii wa nyanja zote wanajivunia sana juu yako profesa Jay i salute you brother.

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile94397 жыл бұрын

    professor Jay 👏👏👏👏 Mungu akuzidishie

  • @oscarmoses2444
    @oscarmoses24444 жыл бұрын

    Sana Mzee hauled upon vizuri mweshimiwa

  • @faucynkrctian6607
    @faucynkrctian66074 жыл бұрын

    Tanzania ndio inaamani ...... Ila watu HATUPENDANI KABISA

  • @benjaminkaminsa2335
    @benjaminkaminsa23356 жыл бұрын

    Wazir mwenye dhaman anashangaa '2 hajui mambo hyo, kaa na wasanii usikilze maon yao! Kaa na Sugu, kaa na prof jay!!

  • @tonybestsenior8874
    @tonybestsenior88746 жыл бұрын

    Professor J anasupport muziki kweli, shukran mheshimiwa...Kenya mziki si kitu bungeni....Mheshimiwa Jaguar afanye ka huyu Msheshimiwa J

  • @flinchclassic1726

    @flinchclassic1726

    4 жыл бұрын

    Jaguar amelala amejisahau

  • @faucynkrctian6607
    @faucynkrctian66074 жыл бұрын

    Woooooiiiiiiii Apa kitu kitaongelewa cha muhimu lakini hakifanyiwi kazi Pata Tanzania kila mtu anajali masilahi yake Serikali ikiona unaingiza pesa nayenyewe inataka ikukate pesa inaona unafaidi sana

  • @paulbryxonofficial
    @paulbryxonofficial7 жыл бұрын

    wanamuziki watanzania mumebarikiwa sana kuwa mtetezi kama huyu...big up

  • @thekopiteliverpoolforever2027
    @thekopiteliverpoolforever20276 жыл бұрын

    Wapi producer aweke track kwenye haya maonhezi ya prof....huu ni wimbo

  • @kamuchidyblez2136
    @kamuchidyblez2136 Жыл бұрын

    Hii speech itaishii milele mh Prof jay

  • @lucyleopold3324
    @lucyleopold33247 жыл бұрын

    big up profesa jay kanikosha

  • @rishardbabuu6748
    @rishardbabuu67486 жыл бұрын

    Ningelikua producer ningelikua nimeivesha beat

  • @damasmahega5597
    @damasmahega55977 жыл бұрын

    safi Sana mbunge unae ongoza binadamu na wanyama

  • @jimmydelphinsabukwigura3092
    @jimmydelphinsabukwigura30924 жыл бұрын

    Following you from Gitega-Burundi.

  • @STOMWABUKO
    @STOMWABUKO6 жыл бұрын

    Bado Professor ananigusa na maoni yake. So profound

  • @jeno_khan
    @jeno_khan4 жыл бұрын

    Kama ume elewa konga like apa

  • @langatjosphat
    @langatjosphat4 жыл бұрын

    Wow.what an orator.prof jay the best

  • @sweetmama3242
    @sweetmama32427 жыл бұрын

    Prof kaongea hadi nimeelewa. 👍👍👍 i salut you bro.

  • @komboally6808
    @komboally68087 жыл бұрын

    naam mbunge wa mikumi

  • @saidimvungi2487
    @saidimvungi24876 жыл бұрын

    ahsante brooooooo......

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre9336 жыл бұрын

    Ndio mzee, imebeba, NIKUPONGEZa mkuu, wewe umeongelea kitu muhimu, hongera, sana.

  • @azorysallah9304
    @azorysallah93046 жыл бұрын

    Nizaidi ya daktari,, mbunge wa binadamu na wanyamaaa.. @peace of mind..

  • @kabambamusolo8079
    @kabambamusolo80797 жыл бұрын

    profesa washa moto mpaka waelewe

  • @tatimafahad9376
    @tatimafahad93766 жыл бұрын

    Kweli kabisa kaka yng hapo ni mahala sahihi kwako

  • @abdulrahmankanduka1977
    @abdulrahmankanduka19774 жыл бұрын

    Upo vzr sana mtumzima Pro J Tupo pamoja sana tutafika tunapo kwenda hats kwa mwendo wa kinyonga tutafika tu...

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee4456 жыл бұрын

    Saf kabsa mr J, ukwel mtup. ✌

  • @faucynkrctian6607
    @faucynkrctian66074 жыл бұрын

    Mambo yanayo ongelewa Bungeni yangekuwa yanafanyiwa kazi Tanzania ingefika mbali sana

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus68956 жыл бұрын

    ndio mzee kama unasoma vileee mmmmmmh

  • @omaryabdala3346
    @omaryabdala33464 жыл бұрын

    Mikumi hamjakosea kumpa ubunge yuko vizuli

  • @peterkigabu7996

    @peterkigabu7996

    4 жыл бұрын

    Uko sawa

  • @dambwelahiphop
    @dambwelahiphop4 жыл бұрын

    Hawa jamaaa waduanzi Mh. Anawakilisha habari za maisha ya watu wenyewe wana cheka cheka. Wasichezeee hisia za watu. Tukiamua kwenda wasaniii hatutarudi nyuma nasio TRA wala bibiake atakae pata hata mia.

  • @ismaelotieno3096
    @ismaelotieno30964 жыл бұрын

    Very articulate👌

  • @wazawaentertainment1847
    @wazawaentertainment18474 жыл бұрын

    Asante jemedar wetu mbunge wa mikumi

  • @elvunielvuni6637
    @elvunielvuni66376 жыл бұрын

    hiii kazi kweli aiseeee tra saizi ndoo wana jifanya kufanya kazi

  • @mwajumafadhily7712
    @mwajumafadhily77126 жыл бұрын

    ndiyo mzee

  • @peternasarinasari9700
    @peternasarinasari97006 жыл бұрын

    Safi sn Mh Joseph Haule unajua unachofanya

  • @ahmedhemedmohammed4564
    @ahmedhemedmohammed45646 жыл бұрын

    Big up #Professor long life

  • @hamzamitima6906
    @hamzamitima69064 жыл бұрын

    point ya kisomi umeongea point broo big up

  • @franciswilfred2117
    @franciswilfred21176 жыл бұрын

    Professor Jay Big up Unajiua unachokifanya ndani ya Bunge

  • @edmundmuhumba9585
    @edmundmuhumba95857 жыл бұрын

    Big up Jay

  • @josephojuang9040
    @josephojuang90404 жыл бұрын

    Safi sana nakutakia maisha marefu

  • @akramibrahim5303
    @akramibrahim53036 жыл бұрын

    Duh we mkali

  • @mpoloonlinetv1373
    @mpoloonlinetv13737 жыл бұрын

    very good

  • @amadeusmrope4953
    @amadeusmrope49537 жыл бұрын

    safi Sana

  • @nicktztz6456
    @nicktztz64566 жыл бұрын

    point kubwa sana

  • @dillisalum2384
    @dillisalum23846 жыл бұрын

    Asante sana kaka

  • @dannysimbaatv934
    @dannysimbaatv9344 жыл бұрын

    Uko vizuri mhueshimiwa

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa88806 жыл бұрын

    unakubarika saana professor usiwasikilize wanao kubeza mazezeta

  • @fadhilimorris2380
    @fadhilimorris23806 жыл бұрын

    Nakupongeza sana pr.j,,,,,,,,,,,

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa10017 жыл бұрын

    umetisha sana jay

  • @bakarimshuza4404
    @bakarimshuza44047 жыл бұрын

    safi sana mheshimiwa umewakilisha vema

  • @omaryjabir9874

    @omaryjabir9874

    7 жыл бұрын

    safi sana kaka profJ

  • @cosmasmwadime6023
    @cosmasmwadime60236 жыл бұрын

    Nikiwa kenya; professor wakubalika

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright47434 жыл бұрын

    point sana

  • @renatuskachwele7174
    @renatuskachwele71744 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @kimatiamede2132
    @kimatiamede21323 жыл бұрын

    umetisha

  • @isasuleiman7709
    @isasuleiman77096 жыл бұрын

    hongera sana profesaj

  • @anwarykilunga5694
    @anwarykilunga56944 жыл бұрын

    Bro wew unajua sanaaaa mbaka unakela

  • @taimurfeisal1329
    @taimurfeisal13296 жыл бұрын

    Ndiyo mzee, ndiyo mzee, ndiyo mzee

  • @sabrinaayoub7032
    @sabrinaayoub70326 жыл бұрын

    Big up mzee

  • @hamisinassoro2896
    @hamisinassoro28965 жыл бұрын

    asante profesa mzarendo

  • @abdullahpongwa1537
    @abdullahpongwa15375 жыл бұрын

    Hongera sana kuwa mbunge na unastahili kupewa dhamana ya kuendelea kukaa mjengoni

  • @queensalema3084
    @queensalema30844 жыл бұрын

    Jaman Mungu akubariki sana prf j,TRA wanakera sana

  • @mcnjovu3525
    @mcnjovu35256 жыл бұрын

    Good broo

  • @iHeizar
    @iHeizar7 жыл бұрын

    This guy can talk

  • @georgebt9545
    @georgebt95456 жыл бұрын

    Fresh

  • @babayetusalonilaizerlemung8914
    @babayetusalonilaizerlemung89144 жыл бұрын

    Aminia sana kiongozi uje ara chuga ndani tukupe kura

  • @gabrielngugi3553
    @gabrielngugi3553 Жыл бұрын

    Uko na point mheshimiwa wa mikumi

  • @ashurahussein4093
    @ashurahussein40937 жыл бұрын

    Ndio mzee

  • @samirmhanga144
    @samirmhanga1446 жыл бұрын

    sahihi kabisa

  • @florianmdemu7227
    @florianmdemu72274 жыл бұрын

    Waambie mzee proff jay

  • @mirajijuma2947
    @mirajijuma29476 жыл бұрын

    respekit Brz

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi33386 жыл бұрын

    MIAKA IJAYO APEWE HATA UWAZIR WA HABARI MANA VIGEZO ANAVYO NA ANAFAHAM SEKTA IO

  • @dullahdullah5499
    @dullahdullah54994 жыл бұрын

    Kweli

  • @chanoboyhomic8412
    @chanoboyhomic84123 жыл бұрын

    Iko vzur

  • @brunomahenge4023
    @brunomahenge40234 жыл бұрын

    Taarifa ya diamond kupgiwa sim mbn hkutujuza!??😀😀😀😀

  • @m2pic187
    @m2pic1874 жыл бұрын

    Bg up

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa79185 жыл бұрын

    nice Prof J"""""

  • @bonifacesamwel9725
    @bonifacesamwel97256 жыл бұрын

    Uko vizuri sana prof wanamikumi wana kiongozi kwel

  • @ibrahimrashidi4360

    @ibrahimrashidi4360

    4 жыл бұрын

    dah mkuu kama nakuona vile ulivoniskiliza ngoma yangu pale moro

  • @cialspeispecial8200
    @cialspeispecial82003 жыл бұрын

    Congrats prof J

  • @abineryantonykilulu954
    @abineryantonykilulu9547 жыл бұрын

    mgodi unaotembea hongera

  • @kelvinaron4875
    @kelvinaron48754 жыл бұрын

    Hongera sana ila ungejitahidi kuweka na majibu ya waliomjibu huyu mbunge

  • @kijanaHai
    @kijanaHai7 жыл бұрын

    Umeeleweka tatizo unao waambia wanaweza kufikiri ulikuwa unafanya shoo alafu ndo mwisho kuna kauli tumeambiwa Sana na wazazi wetu YANAINGILIA SIKIO LA KULIA NA YANATOKEA LA KUSHOTO ata ungetoa suluhisho bado amna ambacho kingetokea washashiba vyeo ao

  • @charlesnghwaya1619

    @charlesnghwaya1619

    7 жыл бұрын

    Duuuuuu Prof umeongea hadi nimelewa vingi sana saluti kwako

  • @joshuamvambe8029
    @joshuamvambe80296 жыл бұрын

    Mikumi oyeeee

  • @kassimmiraji569
    @kassimmiraji5696 жыл бұрын

    we noma

  • @jacketmcsadick9659
    @jacketmcsadick96597 жыл бұрын

    Aki rep tena miaka 30 Duuuuuuh #ashaanza kurep tiali

  • @linahdavid9129
    @linahdavid91296 жыл бұрын

    safi

  • @mzeewamadodoso1816
    @mzeewamadodoso18167 жыл бұрын

    Safi sana prof.J

  • @shijamalole2153
    @shijamalole21537 жыл бұрын

    pada vizur uvune vizuri siyo kudai Kofi tuu

  • @tonymelkion8357
    @tonymelkion83576 жыл бұрын

    daah nimemuelewa sana mh. ila imenigusa zaid ishu ya darasa aisee daaah

  • @ibrahimmwinami2400
    @ibrahimmwinami24007 жыл бұрын

    ndiyo Mzeee

  • @pauledward7755
    @pauledward77556 жыл бұрын

    safi sana p j

  • @moshikhamisi2298
    @moshikhamisi22985 жыл бұрын

    Nakupa pongez

  • @vicentymwakinyasa9849
    @vicentymwakinyasa98494 жыл бұрын

    Safi

  • @shafiymussa4543
    @shafiymussa45434 жыл бұрын

    🔥

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum84366 жыл бұрын

    Safi mzee wa hphp

  • @nassbiggs456
    @nassbiggs4564 жыл бұрын

    Big up j uko sahihi

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu6 жыл бұрын

    Hahaha sawasawa professor J umekosa beat tu hapo lakini poa tu.

  • @abduzakhariahcharles1333

    @abduzakhariahcharles1333

    6 жыл бұрын

    mwalimu chengo Randu

  • @kanchokitambisuluimankanch5847
    @kanchokitambisuluimankanch58476 жыл бұрын

    ndio mzee

  • @jonasibyamungu5155
    @jonasibyamungu51554 жыл бұрын

    Vzr sana

  • @abdulmagwira6667
    @abdulmagwira66674 жыл бұрын

    kweri j we ni noma mzee baba

Келесі