MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA"

Пікірлер: 152

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel11794 күн бұрын

    Leo kwa akili zako timamu unatuaminisha kwamba ccm ni chama kizuri, huna tofauti na maiti!

  • @Blacksamitz

    @Blacksamitz

    2 күн бұрын

    Alie kwambia CCM chama kibaya nani?

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel11794 күн бұрын

    Hufai hata kuitwa mchungaji, wewe ni mwizi na mnyang'anyi tu! Huna lolote!

  • @StevenMtambo
    @StevenMtambo4 күн бұрын

    Msigwa,,msigwa, msigwa funga kinywa,,utakuja kujutia kauli zako

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel11794 күн бұрын

    Angalia macho yake kama mchawi!

  • @generosennko8343
    @generosennko83433 күн бұрын

    Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi

  • @faithmlay5944
    @faithmlay59444 күн бұрын

    Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.

  • @shahamzanda5857
    @shahamzanda58574 күн бұрын

    Ukiingia CCM muda huo huo unafanana nao kila kitu.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki39664 күн бұрын

    Ume fail mchungaji huna msimamo

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el4 күн бұрын

    Njaa nenda ipo siku utakuwa moto nenda zakayo

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h4 күн бұрын

    Amekula matapishi yake huyo

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise4 күн бұрын

    Huyu mchungaji uchwara kumbe ndie aliekwenda kujifanya anamsapoti lisu kumbe ndie alikua anampelekea wahuni

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida13784 күн бұрын

    Hafai ata kuchunga mbuzi

  • @camilomassao8971
    @camilomassao89714 күн бұрын

    Unaanza kuropoka sasa, nyamaza tu,

  • @denisosward7464
    @denisosward74644 күн бұрын

    Nafikiri mnaendelea tu kufungua macho Leo ccm kinauchaguzi mzuri duu hatari Sana.Mchungaji pole Sana kwa mawazo finyu.

  • @shadrackdamson7904
    @shadrackdamson79044 күн бұрын

    Akili mkubwa imekubali kuongozwa na akili ndogo umekulupuka mng'ang'azi wa madaraka kweli huna uvumilivu akaanguka sikuelewi kabisa mimi

  • @plujoncylugano4611

    @plujoncylugano4611

    3 күн бұрын

    Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa

  • @justinekamala9703
    @justinekamala97033 күн бұрын

    Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa? Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel11794 күн бұрын

    Mimi nauliza swali, Endapo kama wote wakihamia ccm kama mnavyotaka, Je, kutakuwa na umuhimu gani wa siasa!

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    3 күн бұрын

    Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?

  • @alexjohn7361

    @alexjohn7361

    3 күн бұрын

    ​@@leokamil6284msisahau pia kuhama chama ni sehemu ya tafsiri ya democrasia na ni justification ya individual freedom katika kufurahia haki yake.

  • @nelsongodfrey9952
    @nelsongodfrey99524 күн бұрын

    Hoja ulizosema ungezijenga hata ukiwa chadema. Twambie why umetoka chadema usilete maneno. Twambie ukweli why umetoka chadema?

  • @sylvanuskavindi2756

    @sylvanuskavindi2756

    Күн бұрын

    Kasema chama kimegeuka SACCOS ya Mbowe

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv4 күн бұрын

    kuna wakati ulitoa ahadi kama ukihamia ccm gari lako nyumba zako sichomoe moto,,,vp utachoma mwenyewe au?

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin18393 күн бұрын

    USAJILI UMEANZA KUELEKEA 2025 ...DIRISHA LIMEFUNGULIWA Well done. .

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv4 күн бұрын

    makala ccm kuna haki?vp mpina na sukuri,,kama kuna haki,, mpina mbona asipate haki na ukweli?

  • @FredymaswiMwita-oj6gv

    @FredymaswiMwita-oj6gv

    3 күн бұрын

    why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?

  • @victoriabernard5287
    @victoriabernard52874 күн бұрын

    Hata hapendezi kuwa CCM

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga45844 күн бұрын

    Wewe ni mpumbavu...nenda kawekwe

  • @user-mp7zk7dk7f
    @user-mp7zk7dk7f4 күн бұрын

    Kumbe Huwa ni kabaya hiv

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar71984 күн бұрын

    History is very harsh remember that Msigwa

  • @isacktesha6659
    @isacktesha66593 күн бұрын

    Umekula matapishi Yako mwenyewe broo

  • @emanuelmasele8213
    @emanuelmasele82132 күн бұрын

    Karibu Peter kwenye Chama chenye maono Kwa maslah ya umma

  • @isacktesha6659
    @isacktesha66593 күн бұрын

    Usimtaje hata Mungu hapo kaka ,umetukosea sana wanachi

  • @VictorNgosi
    @VictorNgosi3 күн бұрын

    Hahahahahaha pole hutudanganyi nawe uwe unaitikia ndiooooo mikatapa yakutuumiza watanzania

  • @juliusbura4550
    @juliusbura45504 күн бұрын

    Wewe umegeuka chawa

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga77943 күн бұрын

    Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe74753 күн бұрын

    kimekulamba but Usaliti ni mbaya sanaaa - Ni heri ungekaa kimya .

  • @isacktesha6659
    @isacktesha66593 күн бұрын

    CCM mchukue tahadhari kubwa na huyu mtu ,Niko paleee

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448Күн бұрын

    hahahahhaha Mama Samia kiboko hahahahha she is so genius,

  • @gadielkahemba6514
    @gadielkahemba65144 күн бұрын

    Unamshuru mungu labda kea unafiki.kila siku mama angalia kua wanaiba na acha waibe kwani watazikwa na vyo!!?amakweli tumbo likiuma akili Ina pumbaa.

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew4 күн бұрын

    Njaa kali huyo Mzee

  • @kibwetere1418
    @kibwetere14184 күн бұрын

    Juzi juzi tu alikuwa anawatuka anawaita akili ndogo jamaniii hawa wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma

  • @camilomassao8971
    @camilomassao89714 күн бұрын

    NJAA MBAYA SANA. LIJUA KALI HIVI YUPO WAPI. 🤣🤣🤣🤣🤣YUDA WAPO WENGI HAKI.

  • @HassanMasoud-yh7yx

    @HassanMasoud-yh7yx

    4 күн бұрын

    MKUU WA WILAYA

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q4 күн бұрын

    Taperi uyuuu umeyakanyaga

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa92403 күн бұрын

    Deadliest politics! Mwalimu Nyerere aliwahi kusema wapo wanasiasa Malaya!

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi3 күн бұрын

    Kweli kwa mungu hawafiki peponi

  • @matinyahaule792
    @matinyahaule7923 күн бұрын

    Mchungaji msigwa umechelewa sanaaa kuchukua maamuzi. Ungewahi zaidi

  • @bangilibangili
    @bangilibangili4 күн бұрын

    Uko sawa kabisa jamaa

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756Күн бұрын

    Kwa Iringa Mjini Msigwa ni nguli wa siasa. Ataiathiri CHADEMA pakubwa kuelekea uchaguzi mkuu.

  • @barakabethuel6353
    @barakabethuel63532 күн бұрын

    njaa MBAYA SANAA

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee3 күн бұрын

    Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano13523 күн бұрын

    Hhahahahah siasa ni laana pesa ni kubwa kweli 😂😂

  • @stevensteve7519
    @stevensteve75193 күн бұрын

    Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z3 күн бұрын

    Vizuri sana wanao kutukana kimewauma

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k4 күн бұрын

    Kila mtu anajuwa chadema ni shamba la mwamba,

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan88713 күн бұрын

    Umekula hela, funga domo lako. Sisi watu wazima zaidi yako, shika adabu yako

  • @DicksonLyimo-ie7md
    @DicksonLyimo-ie7md3 күн бұрын

    Msigwa Hana tofauti na malaya

  • @kassimjumanne5399
    @kassimjumanne53993 күн бұрын

    Umenikwaza bhn msingwa

  • @Leonardherman-ng1qt
    @Leonardherman-ng1qt3 күн бұрын

    Mm siasa bas

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm3 күн бұрын

    Msigwa ameenda kuunga juhudi, kama wenzake walivyokwenda kipindi cha Magu

  • @UfahamuwaKristo
    @UfahamuwaKristo3 күн бұрын

    Msigwa bora ungesema unaacha siasa ila sio kwenda kwa watu uliowaponda kwa miaka yote yani hauwezi kueleweka

  • @user-qq6zu3no4z
    @user-qq6zu3no4z3 күн бұрын

    Hiii nchi niyetu sote kuhama chama walasiyo tatizo tujenge nchi yetu kwaamani

  • @henryndosi2002
    @henryndosi20023 күн бұрын

    Msigwa akili zako zipo kisogoni huaminiki ni muongo kupitiliza

  • @JanuaryBacabura-em3sg
    @JanuaryBacabura-em3sg3 күн бұрын

    Siasa ya maslahi tumbo ni hatari sana,

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer67763 күн бұрын

    Ogopa mtu mwenye ndimi mbili, Nyoka.

  • @AminaNdele
    @AminaNdele3 күн бұрын

    Wanasaikolojia tumekuelewa zaidi ya aliyoyazungumza,nadhani amefanya maamuzi kwa kukurupuka,hata ukimuangalia ni kama hajiamini na maamuzi yake.

  • @TheresiaKwaslema

    @TheresiaKwaslema

    3 күн бұрын

    Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!

  • @TheresiaKwaslema

    @TheresiaKwaslema

    3 күн бұрын

    Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza56553 күн бұрын

    Mushes. Felix. Gari. Musariti

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba578723 сағат бұрын

    hivi uenyekiti kanda ya nyasa una maslahi gani mpaka msigwa uliposhindwa uchaguzi huo uchanganyikiwe kiasi hiki

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o3 күн бұрын

    Aya bhana mchungaji ,

  • @flaviankiria8251
    @flaviankiria82513 күн бұрын

    Chadema muwapime wagombea niazao kwanza kabla hajachagua njaakali kama msigwa

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola3 күн бұрын

    Uchungaji wake huwa siuelewi,,mchungaji huwa mkweli na asiye yumbayumba

  • @aloycesingano1352
    @aloycesingano13523 күн бұрын

    Kumbe yani huyu afai kuitwa mchungaji msaliti na mwenye tamaa ya fedha umehongwa sana

  • @AshrafImam-o7t
    @AshrafImam-o7t3 күн бұрын

    Ila njaa mbaya jamani😂😂

  • @remmysanga8820
    @remmysanga88203 күн бұрын

    Safi sana jembe umefanya maamuzi mazuri mnoo.karibu Sanaa tuijenge nchi yetu.

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi76893 күн бұрын

    Hana lolote kafeli kisiasa muumba wa haki amlaani kwa tamaa zake

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct28 минут бұрын

    Hakika misgwa umejdhalilisha sana sana sana

  • @AmusedLargeTree-md2jv
    @AmusedLargeTree-md2jv3 күн бұрын

    Njaa imezidi

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn3 күн бұрын

    Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia

  • @user-ig6pg6oz9i
    @user-ig6pg6oz9i3 күн бұрын

    Umedharirika we do msigwa kweli au copy

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk3 күн бұрын

    Haya bhana kapige makofi moto ukieasubiri

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed71183 күн бұрын

    Dalili za wanafiki ziko kwa wanasiasa. Tulisikia muda mrefu kuwa msigwa anakwenda CCM. Basi kuwani tu wanafik kwa vile mumeshapigwa mihuri ya unafik ktk mioyo yenu.

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi3 күн бұрын

    Umeanza upumbafu umechoka kisiasa kwani si umeshindwa uchaguzi unatoka

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv4 күн бұрын

    Looo msigwa siwewe ulisema mama samia kauza bandari mama samia kauza uwanja wa kia mama samia kauza mbuga za wanyama mama samia kauza ifadhi za misitu jamani sasa tuwaaminije na wenzako kwenye helicopter c mnatudanganya sasa

  • @lothanathanael2286
    @lothanathanael22862 күн бұрын

    TUTAAMINUJE KUWA UNAIKOSOA CHADEMA NA YA KUWA CCM INATEKELEZA YALE UNAYOKOAOA ? YAANI WANA SIASA MIMI WANANICHOSHA HASWA WA TANZANIA NI WAONGO WANAFIKI WAZANSIKI NA NJAAA KALIIIIIII.

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel69803 күн бұрын

    Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.

  • @nestorygwanko4013
    @nestorygwanko40132 күн бұрын

    kuna...siku mtaelewa..kuwa mpinzani katika taifa hili ni ZITTO ZUBERI KABWE

  • @AsifiweMwakabwenda
    @AsifiweMwakabwenda3 күн бұрын

    Hatukwelewi msigwa unauchu wa madaraka

  • @gaudencemhagama7216
    @gaudencemhagama72163 күн бұрын

    Huna tofaut na maiti

  • @BahatiLogondisha-vq7gg
    @BahatiLogondisha-vq7gg3 күн бұрын

    Mch ngani wasio nakweli tunaka sukari mwafaka wake

  • @mtewelemtewele0260
    @mtewelemtewele02604 күн бұрын

    Mavi yako were mnafk huon Ata aibu na kisura chako kama msukule

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30153 күн бұрын

    MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI, MSIGWA SHETANI WEWE

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku3 күн бұрын

    Lissu alisema kunapesa zimemwaga kwenye uchaguzi wa chadema

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30153 күн бұрын

    YAANI MSIGWA NI JIZI,YAANI TUNA WASHUNGAJI FEKI, JMN MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI.

  • @januarysungura8119
    @januarysungura81193 күн бұрын

    Umeshakuwa kiongozi kwa miaka kadhaa kwanini ukishindwa usikubali? Wewe unataka madaraka kwa nguvu nenda kafanane nao wanaopora madaraka huku kwetu ni haki tu.

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture54823 күн бұрын

    Dah qua mamake aisee

  • @user-vz8eo2mf5r
    @user-vz8eo2mf5r2 күн бұрын

    Amekosa kura chadema uyo mwehu tu

  • @user-cr6tm5jz8x
    @user-cr6tm5jz8x3 күн бұрын

    Huyo ni njaa tu ila chadema na wao ni taabu tu Bora arudi chama Dume ccm

  • @mohamedkashindi7689
    @mohamedkashindi76893 күн бұрын

    Alaaniwe huyo njaa ndo himempeleka huko

  • @angelvictor718
    @angelvictor718Күн бұрын

    Uyu mtu nashindwa hata awe kundi gan la kiumbe dunian

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l3 күн бұрын

    Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d3 күн бұрын

    Linaona hata aibu kweli chadema sasa kimekuwa ccm sasa wanachukua watu walioshindwa uchaguzi? Chakushangaa miaka 7 kanda ya nyasa hakuna alichokifanya. Amezoofisha chama na alikuwa pandikizi. Mi naamini sasa chadema ni chama kinachokuwa na tishio kwa ccm. Kwani kwa siasa izi alizofanya magu na CCM yake hadi leo. Ndiyo kipimo tosha cha kuchuja wanasiasa uchwaa na wachumia tumbo. Yani sura lako tu linaonyesha uongo mkubwa na uso wa haya!

  • @nihifadhimpalala639
    @nihifadhimpalala6393 күн бұрын

    Mchungaji huyu n mnafiki njaa na uroho wa madaeaka

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke3 күн бұрын

    Hawezi kuvumiliya njaa

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi73293 күн бұрын

    Nilikuwa nafikiri wewe ni mtu kumbe msigwa ni pepo hajui analofanya tumsamehe tu

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi73293 күн бұрын

    Mashetani yote uchungaji wa kichawi na kiganga kuanzia leo natoka kanisani kwako mnafiki mkubwa