Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi
@faithmlay59444 күн бұрын
Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.
@shahamzanda58574 күн бұрын
Ukiingia CCM muda huo huo unafanana nao kila kitu.
Nafikiri mnaendelea tu kufungua macho Leo ccm kinauchaguzi mzuri duu hatari Sana.Mchungaji pole Sana kwa mawazo finyu.
@shadrackdamson79044 күн бұрын
Akili mkubwa imekubali kuongozwa na akili ndogo umekulupuka mng'ang'azi wa madaraka kweli huna uvumilivu akaanguka sikuelewi kabisa mimi
@plujoncylugano4611
3 күн бұрын
Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa
@justinekamala97033 күн бұрын
Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa? Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe
@mosessamwel11794 күн бұрын
Mimi nauliza swali, Endapo kama wote wakihamia ccm kama mnavyotaka, Je, kutakuwa na umuhimu gani wa siasa!
@leokamil6284
3 күн бұрын
Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?
@alexjohn7361
3 күн бұрын
@@leokamil6284msisahau pia kuhama chama ni sehemu ya tafsiri ya democrasia na ni justification ya individual freedom katika kufurahia haki yake.
kuna wakati ulitoa ahadi kama ukihamia ccm gari lako nyumba zako sichomoe moto,,,vp utachoma mwenyewe au?
@juliusmartin18393 күн бұрын
USAJILI UMEANZA KUELEKEA 2025 ...DIRISHA LIMEFUNGULIWA Well done. .
@FredymaswiMwita-oj6gv4 күн бұрын
makala ccm kuna haki?vp mpina na sukuri,,kama kuna haki,, mpina mbona asipate haki na ukweli?
@FredymaswiMwita-oj6gv
3 күн бұрын
why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?
@victoriabernard52874 күн бұрын
Hata hapendezi kuwa CCM
@pancrasluoga45844 күн бұрын
Wewe ni mpumbavu...nenda kawekwe
@user-mp7zk7dk7f4 күн бұрын
Kumbe Huwa ni kabaya hiv
@leodgardotmar71984 күн бұрын
History is very harsh remember that Msigwa
@isacktesha66593 күн бұрын
Umekula matapishi Yako mwenyewe broo
@emanuelmasele82132 күн бұрын
Karibu Peter kwenye Chama chenye maono Kwa maslah ya umma
@isacktesha66593 күн бұрын
Usimtaje hata Mungu hapo kaka ,umetukosea sana wanachi
@VictorNgosi3 күн бұрын
Hahahahahaha pole hutudanganyi nawe uwe unaitikia ndiooooo mikatapa yakutuumiza watanzania
@juliusbura45504 күн бұрын
Wewe umegeuka chawa
@husseinmkanga77943 күн бұрын
Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.
@jifunzekuhusuwewe74753 күн бұрын
kimekulamba but Usaliti ni mbaya sanaaa - Ni heri ungekaa kimya .
@isacktesha66593 күн бұрын
CCM mchukue tahadhari kubwa na huyu mtu ,Niko paleee
@jeanmusamba8448Күн бұрын
hahahahhaha Mama Samia kiboko hahahahha she is so genius,
@gadielkahemba65144 күн бұрын
Unamshuru mungu labda kea unafiki.kila siku mama angalia kua wanaiba na acha waibe kwani watazikwa na vyo!!?amakweli tumbo likiuma akili Ina pumbaa.
@MzeewaslowHusseinAndrew4 күн бұрын
Njaa kali huyo Mzee
@kibwetere14184 күн бұрын
Juzi juzi tu alikuwa anawatuka anawaita akili ndogo jamaniii hawa wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma
@camilomassao89714 күн бұрын
NJAA MBAYA SANA. LIJUA KALI HIVI YUPO WAPI. 🤣🤣🤣🤣🤣YUDA WAPO WENGI HAKI.
Mchungaji msigwa umechelewa sanaaa kuchukua maamuzi. Ungewahi zaidi
@bangilibangili4 күн бұрын
Uko sawa kabisa jamaa
@sylvanuskavindi2756Күн бұрын
Kwa Iringa Mjini Msigwa ni nguli wa siasa. Ataiathiri CHADEMA pakubwa kuelekea uchaguzi mkuu.
@barakabethuel63532 күн бұрын
njaa MBAYA SANAA
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 күн бұрын
Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.
@aloycesingano13523 күн бұрын
Hhahahahah siasa ni laana pesa ni kubwa kweli 😂😂
@stevensteve75193 күн бұрын
Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.
@user-bz5ti6op6z3 күн бұрын
Vizuri sana wanao kutukana kimewauma
@user-id6xo9td6k4 күн бұрын
Kila mtu anajuwa chadema ni shamba la mwamba,
@mohamedturanardan88713 күн бұрын
Umekula hela, funga domo lako. Sisi watu wazima zaidi yako, shika adabu yako
@DicksonLyimo-ie7md3 күн бұрын
Msigwa Hana tofauti na malaya
@kassimjumanne53993 күн бұрын
Umenikwaza bhn msingwa
@Leonardherman-ng1qt3 күн бұрын
Mm siasa bas
@AhmedAli-gh1lm3 күн бұрын
Msigwa ameenda kuunga juhudi, kama wenzake walivyokwenda kipindi cha Magu
@UfahamuwaKristo3 күн бұрын
Msigwa bora ungesema unaacha siasa ila sio kwenda kwa watu uliowaponda kwa miaka yote yani hauwezi kueleweka
@user-qq6zu3no4z3 күн бұрын
Hiii nchi niyetu sote kuhama chama walasiyo tatizo tujenge nchi yetu kwaamani
@henryndosi20023 күн бұрын
Msigwa akili zako zipo kisogoni huaminiki ni muongo kupitiliza
@JanuaryBacabura-em3sg3 күн бұрын
Siasa ya maslahi tumbo ni hatari sana,
@isacklaizer67763 күн бұрын
Ogopa mtu mwenye ndimi mbili, Nyoka.
@AminaNdele3 күн бұрын
Wanasaikolojia tumekuelewa zaidi ya aliyoyazungumza,nadhani amefanya maamuzi kwa kukurupuka,hata ukimuangalia ni kama hajiamini na maamuzi yake.
@TheresiaKwaslema
3 күн бұрын
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
@TheresiaKwaslema
3 күн бұрын
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
@aronimanirakiza56553 күн бұрын
Mushes. Felix. Gari. Musariti
@ambakisyemwanjemba578723 сағат бұрын
hivi uenyekiti kanda ya nyasa una maslahi gani mpaka msigwa uliposhindwa uchaguzi huo uchanganyikiwe kiasi hiki
@user-xh8kd9ze7o3 күн бұрын
Aya bhana mchungaji ,
@flaviankiria82513 күн бұрын
Chadema muwapime wagombea niazao kwanza kabla hajachagua njaakali kama msigwa
@clemenceparokola3 күн бұрын
Uchungaji wake huwa siuelewi,,mchungaji huwa mkweli na asiye yumbayumba
@aloycesingano13523 күн бұрын
Kumbe yani huyu afai kuitwa mchungaji msaliti na mwenye tamaa ya fedha umehongwa sana
@AshrafImam-o7t3 күн бұрын
Ila njaa mbaya jamani😂😂
@remmysanga88203 күн бұрын
Safi sana jembe umefanya maamuzi mazuri mnoo.karibu Sanaa tuijenge nchi yetu.
@mohamedkashindi76893 күн бұрын
Hana lolote kafeli kisiasa muumba wa haki amlaani kwa tamaa zake
@MnyamaTolu-kd5ct28 минут бұрын
Hakika misgwa umejdhalilisha sana sana sana
@AmusedLargeTree-md2jv3 күн бұрын
Njaa imezidi
@RBMBAKARI-bv6wn3 күн бұрын
Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia
@user-ig6pg6oz9i3 күн бұрын
Umedharirika we do msigwa kweli au copy
@NixonJohnson-zn8nk3 күн бұрын
Haya bhana kapige makofi moto ukieasubiri
@seifseifmohamed71183 күн бұрын
Dalili za wanafiki ziko kwa wanasiasa. Tulisikia muda mrefu kuwa msigwa anakwenda CCM. Basi kuwani tu wanafik kwa vile mumeshapigwa mihuri ya unafik ktk mioyo yenu.
@OswadSanga-hb2vi3 күн бұрын
Umeanza upumbafu umechoka kisiasa kwani si umeshindwa uchaguzi unatoka
@PrinceHendry-hp8vv4 күн бұрын
Looo msigwa siwewe ulisema mama samia kauza bandari mama samia kauza uwanja wa kia mama samia kauza mbuga za wanyama mama samia kauza ifadhi za misitu jamani sasa tuwaaminije na wenzako kwenye helicopter c mnatudanganya sasa
@lothanathanael22862 күн бұрын
TUTAAMINUJE KUWA UNAIKOSOA CHADEMA NA YA KUWA CCM INATEKELEZA YALE UNAYOKOAOA ? YAANI WANA SIASA MIMI WANANICHOSHA HASWA WA TANZANIA NI WAONGO WANAFIKI WAZANSIKI NA NJAAA KALIIIIIII.
@ulomirabiel69803 күн бұрын
Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.
@nestorygwanko40132 күн бұрын
kuna...siku mtaelewa..kuwa mpinzani katika taifa hili ni ZITTO ZUBERI KABWE
@AsifiweMwakabwenda3 күн бұрын
Hatukwelewi msigwa unauchu wa madaraka
@gaudencemhagama72163 күн бұрын
Huna tofaut na maiti
@BahatiLogondisha-vq7gg3 күн бұрын
Mch ngani wasio nakweli tunaka sukari mwafaka wake
@mtewelemtewele02604 күн бұрын
Mavi yako were mnafk huon Ata aibu na kisura chako kama msukule
@wadeelegbogun30153 күн бұрын
MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI, MSIGWA SHETANI WEWE
@PhilipoMwita-wc1ku3 күн бұрын
Lissu alisema kunapesa zimemwaga kwenye uchaguzi wa chadema
@wadeelegbogun30153 күн бұрын
YAANI MSIGWA NI JIZI,YAANI TUNA WASHUNGAJI FEKI, JMN MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI.
@januarysungura81193 күн бұрын
Umeshakuwa kiongozi kwa miaka kadhaa kwanini ukishindwa usikubali? Wewe unataka madaraka kwa nguvu nenda kafanane nao wanaopora madaraka huku kwetu ni haki tu.
@youngsachafurniture54823 күн бұрын
Dah qua mamake aisee
@user-vz8eo2mf5r2 күн бұрын
Amekosa kura chadema uyo mwehu tu
@user-cr6tm5jz8x3 күн бұрын
Huyo ni njaa tu ila chadema na wao ni taabu tu Bora arudi chama Dume ccm
@mohamedkashindi76893 күн бұрын
Alaaniwe huyo njaa ndo himempeleka huko
@angelvictor718Күн бұрын
Uyu mtu nashindwa hata awe kundi gan la kiumbe dunian
@user-lm3lt7xx6l3 күн бұрын
Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.
@user-zg4yz7je8d3 күн бұрын
Linaona hata aibu kweli chadema sasa kimekuwa ccm sasa wanachukua watu walioshindwa uchaguzi? Chakushangaa miaka 7 kanda ya nyasa hakuna alichokifanya. Amezoofisha chama na alikuwa pandikizi. Mi naamini sasa chadema ni chama kinachokuwa na tishio kwa ccm. Kwani kwa siasa izi alizofanya magu na CCM yake hadi leo. Ndiyo kipimo tosha cha kuchuja wanasiasa uchwaa na wachumia tumbo. Yani sura lako tu linaonyesha uongo mkubwa na uso wa haya!
@nihifadhimpalala6393 күн бұрын
Mchungaji huyu n mnafiki njaa na uroho wa madaeaka
@ChristianMkumbo-ix2ke3 күн бұрын
Hawezi kuvumiliya njaa
@georgempogomi73293 күн бұрын
Nilikuwa nafikiri wewe ni mtu kumbe msigwa ni pepo hajui analofanya tumsamehe tu
@georgempogomi73293 күн бұрын
Mashetani yote uchungaji wa kichawi na kiganga kuanzia leo natoka kanisani kwako mnafiki mkubwa
Пікірлер: 152
Leo kwa akili zako timamu unatuaminisha kwamba ccm ni chama kizuri, huna tofauti na maiti!
@Blacksamitz
2 күн бұрын
Alie kwambia CCM chama kibaya nani?
Hufai hata kuitwa mchungaji, wewe ni mwizi na mnyang'anyi tu! Huna lolote!
Msigwa,,msigwa, msigwa funga kinywa,,utakuja kujutia kauli zako
Angalia macho yake kama mchawi!
Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi
Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.
Ukiingia CCM muda huo huo unafanana nao kila kitu.
Ume fail mchungaji huna msimamo
Njaa nenda ipo siku utakuwa moto nenda zakayo
Amekula matapishi yake huyo
Huyu mchungaji uchwara kumbe ndie aliekwenda kujifanya anamsapoti lisu kumbe ndie alikua anampelekea wahuni
Hafai ata kuchunga mbuzi
Unaanza kuropoka sasa, nyamaza tu,
Nafikiri mnaendelea tu kufungua macho Leo ccm kinauchaguzi mzuri duu hatari Sana.Mchungaji pole Sana kwa mawazo finyu.
Akili mkubwa imekubali kuongozwa na akili ndogo umekulupuka mng'ang'azi wa madaraka kweli huna uvumilivu akaanguka sikuelewi kabisa mimi
@plujoncylugano4611
3 күн бұрын
Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa
Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa? Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe
Mimi nauliza swali, Endapo kama wote wakihamia ccm kama mnavyotaka, Je, kutakuwa na umuhimu gani wa siasa!
@leokamil6284
3 күн бұрын
Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?
@alexjohn7361
3 күн бұрын
@@leokamil6284msisahau pia kuhama chama ni sehemu ya tafsiri ya democrasia na ni justification ya individual freedom katika kufurahia haki yake.
Hoja ulizosema ungezijenga hata ukiwa chadema. Twambie why umetoka chadema usilete maneno. Twambie ukweli why umetoka chadema?
@sylvanuskavindi2756
Күн бұрын
Kasema chama kimegeuka SACCOS ya Mbowe
kuna wakati ulitoa ahadi kama ukihamia ccm gari lako nyumba zako sichomoe moto,,,vp utachoma mwenyewe au?
USAJILI UMEANZA KUELEKEA 2025 ...DIRISHA LIMEFUNGULIWA Well done. .
makala ccm kuna haki?vp mpina na sukuri,,kama kuna haki,, mpina mbona asipate haki na ukweli?
@FredymaswiMwita-oj6gv
3 күн бұрын
why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?
Hata hapendezi kuwa CCM
Wewe ni mpumbavu...nenda kawekwe
Kumbe Huwa ni kabaya hiv
History is very harsh remember that Msigwa
Umekula matapishi Yako mwenyewe broo
Karibu Peter kwenye Chama chenye maono Kwa maslah ya umma
Usimtaje hata Mungu hapo kaka ,umetukosea sana wanachi
Hahahahahaha pole hutudanganyi nawe uwe unaitikia ndiooooo mikatapa yakutuumiza watanzania
Wewe umegeuka chawa
Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.
kimekulamba but Usaliti ni mbaya sanaaa - Ni heri ungekaa kimya .
CCM mchukue tahadhari kubwa na huyu mtu ,Niko paleee
hahahahhaha Mama Samia kiboko hahahahha she is so genius,
Unamshuru mungu labda kea unafiki.kila siku mama angalia kua wanaiba na acha waibe kwani watazikwa na vyo!!?amakweli tumbo likiuma akili Ina pumbaa.
Njaa kali huyo Mzee
Juzi juzi tu alikuwa anawatuka anawaita akili ndogo jamaniii hawa wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma
NJAA MBAYA SANA. LIJUA KALI HIVI YUPO WAPI. 🤣🤣🤣🤣🤣YUDA WAPO WENGI HAKI.
@HassanMasoud-yh7yx
4 күн бұрын
MKUU WA WILAYA
Taperi uyuuu umeyakanyaga
Deadliest politics! Mwalimu Nyerere aliwahi kusema wapo wanasiasa Malaya!
Kweli kwa mungu hawafiki peponi
Mchungaji msigwa umechelewa sanaaa kuchukua maamuzi. Ungewahi zaidi
Uko sawa kabisa jamaa
Kwa Iringa Mjini Msigwa ni nguli wa siasa. Ataiathiri CHADEMA pakubwa kuelekea uchaguzi mkuu.
njaa MBAYA SANAA
Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.
Hhahahahah siasa ni laana pesa ni kubwa kweli 😂😂
Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.
Vizuri sana wanao kutukana kimewauma
Kila mtu anajuwa chadema ni shamba la mwamba,
Umekula hela, funga domo lako. Sisi watu wazima zaidi yako, shika adabu yako
Msigwa Hana tofauti na malaya
Umenikwaza bhn msingwa
Mm siasa bas
Msigwa ameenda kuunga juhudi, kama wenzake walivyokwenda kipindi cha Magu
Msigwa bora ungesema unaacha siasa ila sio kwenda kwa watu uliowaponda kwa miaka yote yani hauwezi kueleweka
Hiii nchi niyetu sote kuhama chama walasiyo tatizo tujenge nchi yetu kwaamani
Msigwa akili zako zipo kisogoni huaminiki ni muongo kupitiliza
Siasa ya maslahi tumbo ni hatari sana,
Ogopa mtu mwenye ndimi mbili, Nyoka.
Wanasaikolojia tumekuelewa zaidi ya aliyoyazungumza,nadhani amefanya maamuzi kwa kukurupuka,hata ukimuangalia ni kama hajiamini na maamuzi yake.
@TheresiaKwaslema
3 күн бұрын
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
@TheresiaKwaslema
3 күн бұрын
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
Mushes. Felix. Gari. Musariti
hivi uenyekiti kanda ya nyasa una maslahi gani mpaka msigwa uliposhindwa uchaguzi huo uchanganyikiwe kiasi hiki
Aya bhana mchungaji ,
Chadema muwapime wagombea niazao kwanza kabla hajachagua njaakali kama msigwa
Uchungaji wake huwa siuelewi,,mchungaji huwa mkweli na asiye yumbayumba
Kumbe yani huyu afai kuitwa mchungaji msaliti na mwenye tamaa ya fedha umehongwa sana
Ila njaa mbaya jamani😂😂
Safi sana jembe umefanya maamuzi mazuri mnoo.karibu Sanaa tuijenge nchi yetu.
Hana lolote kafeli kisiasa muumba wa haki amlaani kwa tamaa zake
Hakika misgwa umejdhalilisha sana sana sana
Njaa imezidi
Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia
Umedharirika we do msigwa kweli au copy
Haya bhana kapige makofi moto ukieasubiri
Dalili za wanafiki ziko kwa wanasiasa. Tulisikia muda mrefu kuwa msigwa anakwenda CCM. Basi kuwani tu wanafik kwa vile mumeshapigwa mihuri ya unafik ktk mioyo yenu.
Umeanza upumbafu umechoka kisiasa kwani si umeshindwa uchaguzi unatoka
Looo msigwa siwewe ulisema mama samia kauza bandari mama samia kauza uwanja wa kia mama samia kauza mbuga za wanyama mama samia kauza ifadhi za misitu jamani sasa tuwaaminije na wenzako kwenye helicopter c mnatudanganya sasa
TUTAAMINUJE KUWA UNAIKOSOA CHADEMA NA YA KUWA CCM INATEKELEZA YALE UNAYOKOAOA ? YAANI WANA SIASA MIMI WANANICHOSHA HASWA WA TANZANIA NI WAONGO WANAFIKI WAZANSIKI NA NJAAA KALIIIIIII.
Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.
kuna...siku mtaelewa..kuwa mpinzani katika taifa hili ni ZITTO ZUBERI KABWE
Hatukwelewi msigwa unauchu wa madaraka
Huna tofaut na maiti
Mch ngani wasio nakweli tunaka sukari mwafaka wake
Mavi yako were mnafk huon Ata aibu na kisura chako kama msukule
MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI, MSIGWA SHETANI WEWE
Lissu alisema kunapesa zimemwaga kwenye uchaguzi wa chadema
YAANI MSIGWA NI JIZI,YAANI TUNA WASHUNGAJI FEKI, JMN MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI.
Umeshakuwa kiongozi kwa miaka kadhaa kwanini ukishindwa usikubali? Wewe unataka madaraka kwa nguvu nenda kafanane nao wanaopora madaraka huku kwetu ni haki tu.
Dah qua mamake aisee
Amekosa kura chadema uyo mwehu tu
Huyo ni njaa tu ila chadema na wao ni taabu tu Bora arudi chama Dume ccm
Alaaniwe huyo njaa ndo himempeleka huko
Uyu mtu nashindwa hata awe kundi gan la kiumbe dunian
Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.
Linaona hata aibu kweli chadema sasa kimekuwa ccm sasa wanachukua watu walioshindwa uchaguzi? Chakushangaa miaka 7 kanda ya nyasa hakuna alichokifanya. Amezoofisha chama na alikuwa pandikizi. Mi naamini sasa chadema ni chama kinachokuwa na tishio kwa ccm. Kwani kwa siasa izi alizofanya magu na CCM yake hadi leo. Ndiyo kipimo tosha cha kuchuja wanasiasa uchwaa na wachumia tumbo. Yani sura lako tu linaonyesha uongo mkubwa na uso wa haya!
Mchungaji huyu n mnafiki njaa na uroho wa madaeaka
Hawezi kuvumiliya njaa
Nilikuwa nafikiri wewe ni mtu kumbe msigwa ni pepo hajui analofanya tumsamehe tu
Mashetani yote uchungaji wa kichawi na kiganga kuanzia leo natoka kanisani kwako mnafiki mkubwa