MCH.MSIGWA ATIMKIA CCM, CHANDEMA NI SACCOS ,ATAMWAGA UKWELI KUHUSU CHADEMA..
#Msigwa#ccm#mwenezi
Жүктеу.....
Пікірлер: 28
@user-ry8xf1no2s3 күн бұрын
Ongela sana msigwa iyo ndio demoklasia una mamuzi saii kabisa Kalibu ccm chama imala
@FratteMlay18 минут бұрын
Yan msigwa muogope mungu chadema imekulea kua na maneno ya akiba kumbuka kuna kesho pia
@Mwigaa955 күн бұрын
Msigwa apewe ukuu wa mkoa au apigwe kwenye wizara
@user-ig5yn4zp2uКүн бұрын
Hao wote hawafai kabisa ni njaa zinawasumbua tu
@wanguwangu345 күн бұрын
Ni hali yake ila Kuna shida ya maadili
@esthermwaibasa47783 сағат бұрын
Umepoteza ushuhuda Wewe kama Mchungaji 😢😢😢😢😢😢😢😢,ulisema ukienda ccm watu wachome nyumba yako na magari,sasa unamuhubiri Kristo anaye geuka geuka?daa ,ungeonesha uzalendo ukiwa Mbunge na kuacha ubunge lakini sio umeshindwa uchaguzi unasema kile kikundi ni saccosi?mimi sina chama ila umepoteza ushuhuda 😢😢😢😢😢😢
@NicolasSteven-zr2hx5 күн бұрын
Msigwa nae ni mnafiki tu yaani kukosa uenyekiti wa kanda ya nyasa tu umeamua kusaliti mabadiliko kwelii!
@wanguwangu345 күн бұрын
In actual fact huwezi kuwa mwanasiasa at the same time kuwa mchungaji, pia ustaarabu wa binadamu ni kwamba ukimwacha MKE au mme hutakiwi kueleza madhaifu yake, inabidi tufungue Tena darasa la ethics of leadership
@rukiamkwayo6302
2 күн бұрын
Kwani wewe hujawahi kwenda chooni kimya huku unapigamshwaki
@user-lm3lt7xx6l9 сағат бұрын
Msigwa kasahau lisu alivyopigwa risasi na watu wasio julikana
@user-gp7es3sg3kСағат бұрын
Msigwa msariti miaka yote uriyo kaaa chadema mbona urivyo kuwa mbunge mbona urikuwa wapi wewe yuda msariti
@nedlly25 күн бұрын
Ni haki yake kikatiba lakini hana jipya! Eti Mbowe hana nuru! Nuru ya Mbowe imetoweka baada ya yeye kushindwa kwenye uchaguzi! Yeye mwenyewe hana nuru, akiongea utadhania analia! Walondoka kina Zito, Lowasa na wengine wenye majina makubwa itakuwa huyu mchungaji njaa!
@machintangachibwena5922Күн бұрын
Dudubaya anasema una mdeni huwezi kuyalipa na ndio maana Ccm wamekulipia na ukahamia huko Pole sana nyie wasiasi ni waongo tuuu
@evansdecaprio81965 күн бұрын
Kwahiyo ccm ndio wanatenda haki watu watano wanatuchagulia rais
@mlekwa5 күн бұрын
Yangu macho😂
@othmarluwawilo83083 күн бұрын
Msigwa kweli Chadema hawana agenda au huna agenda. Samia anauza bandari, misitu, anawafukuza wamasai, anawalinda mafisadi, kweli hawana agenda? Nilikuona wa maana leo nakuona IQ yako ya kuku.
@ostenmwakasita69605 күн бұрын
Kweli viongozi wa Chadema kinamapungufu makubwa sana ata wewe Msigwa umekosea sana basi ungeanzisha Chama chako Ili uwende na demokrasia na Tena unamtuhumu Marehe Makufuli hauna jipya na haupati chochote huko uliko enda
@Focusm-se2sd5 күн бұрын
Msigwa eheeee we ni mnafiki
@othmarluwawilo83083 күн бұрын
Baada ya kupata misimamo ya Wanachadema Iringa dhidi ya unafiki wa Msigwa akaamua kukimbia. Umesema upinzani wanadandia hoja, wewe juzijuxi huko Singida tumekuona ukiikosoa CCM , hoja zako za kudandia unaziacha wapi?
@user-xf7tl8jq9v5 күн бұрын
Hapo ndooo itakuwa mwisho wa kusikika nilimuona peneza saiv hatumuon pale geita
@mathiasombella75165 күн бұрын
Huna jipyaaza
@othmarluwawilo83083 күн бұрын
Msigwa Jiulize kwa nini hakufanya maamuzi kabla ya uchaguzi wa kanda?
@JosephMwaitete
Сағат бұрын
Kwenye uchaguzi ndiko kaona ubovu
@sjdbxjdhsudjxjhd6155 күн бұрын
Msigwa Wacha unfiki
@ChrispiniBuruchard3 күн бұрын
Yani wewe naupendo mnafaa kuchomwa moto sio watu kumbe wewe ndio walitaka wakutumie nyasa ccm lisu akayasema kuna hela imeletwa angalia
@othmarluwawilo83083 күн бұрын
Msigwa na Upendo Peneza ni njaa, hamna mapya, mmekosa kujiuza kwa wananchi, huko hatutawasikia tena. Hamna hoja. Wajinga nyie Rasilimali za wananchi zinauzwa mnaunga mkono?
@omaryyusuph78775 күн бұрын
Umeama wewe sisi raia auwezi kutubadilisha fikra zetu msigwa
@MayalakusekwaNkwabi5 күн бұрын
Huyu nae kawa Mchungaji wa CCM kawa CHAWA WA CCM kafika bei kawa boya huko CCM kumejaa Wizi , Rushwa, Ufisadi, Uongo na Ubinafsi ,acheni Ujinga CCM haina DIRA hii Nchi wamewashinda
Пікірлер: 28
Ongela sana msigwa iyo ndio demoklasia una mamuzi saii kabisa Kalibu ccm chama imala
Yan msigwa muogope mungu chadema imekulea kua na maneno ya akiba kumbuka kuna kesho pia
Msigwa apewe ukuu wa mkoa au apigwe kwenye wizara
Hao wote hawafai kabisa ni njaa zinawasumbua tu
Ni hali yake ila Kuna shida ya maadili
Umepoteza ushuhuda Wewe kama Mchungaji 😢😢😢😢😢😢😢😢,ulisema ukienda ccm watu wachome nyumba yako na magari,sasa unamuhubiri Kristo anaye geuka geuka?daa ,ungeonesha uzalendo ukiwa Mbunge na kuacha ubunge lakini sio umeshindwa uchaguzi unasema kile kikundi ni saccosi?mimi sina chama ila umepoteza ushuhuda 😢😢😢😢😢😢
Msigwa nae ni mnafiki tu yaani kukosa uenyekiti wa kanda ya nyasa tu umeamua kusaliti mabadiliko kwelii!
In actual fact huwezi kuwa mwanasiasa at the same time kuwa mchungaji, pia ustaarabu wa binadamu ni kwamba ukimwacha MKE au mme hutakiwi kueleza madhaifu yake, inabidi tufungue Tena darasa la ethics of leadership
@rukiamkwayo6302
2 күн бұрын
Kwani wewe hujawahi kwenda chooni kimya huku unapigamshwaki
Msigwa kasahau lisu alivyopigwa risasi na watu wasio julikana
Msigwa msariti miaka yote uriyo kaaa chadema mbona urivyo kuwa mbunge mbona urikuwa wapi wewe yuda msariti
Ni haki yake kikatiba lakini hana jipya! Eti Mbowe hana nuru! Nuru ya Mbowe imetoweka baada ya yeye kushindwa kwenye uchaguzi! Yeye mwenyewe hana nuru, akiongea utadhania analia! Walondoka kina Zito, Lowasa na wengine wenye majina makubwa itakuwa huyu mchungaji njaa!
Dudubaya anasema una mdeni huwezi kuyalipa na ndio maana Ccm wamekulipia na ukahamia huko Pole sana nyie wasiasi ni waongo tuuu
Kwahiyo ccm ndio wanatenda haki watu watano wanatuchagulia rais
Yangu macho😂
Msigwa kweli Chadema hawana agenda au huna agenda. Samia anauza bandari, misitu, anawafukuza wamasai, anawalinda mafisadi, kweli hawana agenda? Nilikuona wa maana leo nakuona IQ yako ya kuku.
Kweli viongozi wa Chadema kinamapungufu makubwa sana ata wewe Msigwa umekosea sana basi ungeanzisha Chama chako Ili uwende na demokrasia na Tena unamtuhumu Marehe Makufuli hauna jipya na haupati chochote huko uliko enda
Msigwa eheeee we ni mnafiki
Baada ya kupata misimamo ya Wanachadema Iringa dhidi ya unafiki wa Msigwa akaamua kukimbia. Umesema upinzani wanadandia hoja, wewe juzijuxi huko Singida tumekuona ukiikosoa CCM , hoja zako za kudandia unaziacha wapi?
Hapo ndooo itakuwa mwisho wa kusikika nilimuona peneza saiv hatumuon pale geita
Huna jipyaaza
Msigwa Jiulize kwa nini hakufanya maamuzi kabla ya uchaguzi wa kanda?
@JosephMwaitete
Сағат бұрын
Kwenye uchaguzi ndiko kaona ubovu
Msigwa Wacha unfiki
Yani wewe naupendo mnafaa kuchomwa moto sio watu kumbe wewe ndio walitaka wakutumie nyasa ccm lisu akayasema kuna hela imeletwa angalia
Msigwa na Upendo Peneza ni njaa, hamna mapya, mmekosa kujiuza kwa wananchi, huko hatutawasikia tena. Hamna hoja. Wajinga nyie Rasilimali za wananchi zinauzwa mnaunga mkono?
Umeama wewe sisi raia auwezi kutubadilisha fikra zetu msigwa
Huyu nae kawa Mchungaji wa CCM kawa CHAWA WA CCM kafika bei kawa boya huko CCM kumejaa Wizi , Rushwa, Ufisadi, Uongo na Ubinafsi ,acheni Ujinga CCM haina DIRA hii Nchi wamewashinda