Viongozi wa machinga hamnasababu ya kulalamika ni wakati wa kuwatambua wamachinga wote wa Dar kwa kuwasajili.Pili Kuanzisha soko kubwa binafsi (machinga city) litakuwa na maduka ya jumla kwasababu mmachinga ni mnunuzi,muuzaji na pia ni mlaji wa bidhaa zinazouzwa na maduka ya jumla.Serikali itapata kodi halisi kutoka madukani na pia mchango wa kodi kwa machinga moja kwa moja.Wanaojihita wafanyabiashara siwalipa kodi na pia mnafaham hilo.Iwapo mnataka kufanikiwa ondoa neno sisi wamachinga wa kariakoo,weka siai wamachinga wa dar
@clickway..2 күн бұрын
Tuzingatie ushauri wa Warioba: alisema"tuache siasa za madaraka na turudi kwenye siasa za maendeleo" maana shida kubwa Afrika iko hapo.
@clickway..2 күн бұрын
Changamoto mlizonazo Chadema ni kidogo sana kuliko mahali pengine popote, Msigwa na wenzio mlitakiwa kubaki chadema na kupambana kuondoa hizo changamoto mkiwa ndani ya chama na si kuondoka ,KUONDOKA NI UDHAIFU MKUBWA SANA.
@user-og4ox5jb4vКүн бұрын
Njaa inanyosha msigwa
@clickway..2 күн бұрын
Siasa za Tanzania kwa mda mrefu zimejaa UJINGA ndio maana hata watu makini wakishaingia wanakuwaga wajinga, wanafiki ........
@AbrahamMjema-di1li2 күн бұрын
Mchungaji sio mwaminifu,unapotaja jina lake kivumishi mchungaji ni kuzalilisha taasisi ya wachungaji.
@frankkessy65042 күн бұрын
Walikuwa 12 akatoka mmoja Yuda
@dismaskalawa1422 күн бұрын
Ni haki kwake
@bonifasiemanueli212 күн бұрын
Hakuna mchungaji hapo, ameingia cha kike,
@ignasnyembo12562 күн бұрын
Kweli njaa mbaya
@hashimsalum70253 күн бұрын
Upupu amejimwagia mwenyewe!
@user-or5hm7nl7q3 күн бұрын
Chiz kbs wewe
@yasiniSwedi-qg5oc3 күн бұрын
Ccm y sasa vchekesho ukiwa mbulula ndio unapewA cheo ukiwa mzalendo unawekwebenchi
@fauluonlinetv3 күн бұрын
Njaaa
@michaelmfanga30844 күн бұрын
sasa tunaakili watanzania MUNGU ametuhurumia, tunajua upi ukweli upi unafiki
@SmilingBuoy-kb1yn4 күн бұрын
Jaman hiyo ni njaa tu na hana uchungaji wowote huyo
@Edger-bn2mt4 күн бұрын
Njaaa mbya jmn acheni 2
@JosefuSwai4 күн бұрын
njaa kali
@bravebrain6425 күн бұрын
Msigwa ona hata aibu wewe ni mtu mzima...wewe kajenge tumbo lako.... Kichefuchefu tupu..! Hiyo ndiyo legacy yako, kwa vijana wa Tanzania. Hauna moral kabisa...
@polinatusmwemezi-pc2pl5 күн бұрын
Anakuja kutuvuruga huyo nindumilakuwili.
@polinatusmwemezi-pc2pl5 күн бұрын
Kwa Nini unakaa kwenye saccos?
@user-xk7wh4bn7q5 күн бұрын
Huna hoja yamsingi kenge wewe neenda ukafie huko
@FratteMlay5 күн бұрын
Yan msigwa muogope mungu chadema imekulea kua na maneno ya akiba kumbuka kuna kesho pia
@user-gp7es3sg3k5 күн бұрын
Msigwa msariti miaka yote uriyo kaaa chadema mbona urivyo kuwa mbunge mbona urikuwa wapi wewe yuda msariti
@esthermwaibasa47786 күн бұрын
Umepoteza ushuhuda Wewe kama Mchungaji 😢😢😢😢😢😢😢😢,ulisema ukienda ccm watu wachome nyumba yako na magari,sasa unamuhubiri Kristo anaye geuka geuka?daa ,ungeonesha uzalendo ukiwa Mbunge na kuacha ubunge lakini sio umeshindwa uchaguzi unasema kile kikundi ni saccosi?mimi sina chama ila umepoteza ushuhuda 😢😢😢😢😢😢
@user-lm3lt7xx6l6 күн бұрын
Msigwa kasahau lisu alivyopigwa risasi na watu wasio julikana
@user-ig5yn4zp2u6 күн бұрын
Hao wote hawafai kabisa ni njaa zinawasumbua tu
@busnaoman99816 күн бұрын
Nice song from muscat Omni amazing 🎉🎶🎶⚒️
@machintangachibwena59227 күн бұрын
Dudubaya anasema una mdeni huwezi kuyalipa na ndio maana Ccm wamekulipia na ukahamia huko Pole sana nyie wasiasi ni waongo tuuu
@ChrispiniBuruchard9 күн бұрын
Yani wewe naupendo mnafaa kuchomwa moto sio watu kumbe wewe ndio walitaka wakutumie nyasa ccm lisu akayasema kuna hela imeletwa angalia
@othmarluwawilo83089 күн бұрын
Msigwa kweli Chadema hawana agenda au huna agenda. Samia anauza bandari, misitu, anawafukuza wamasai, anawalinda mafisadi, kweli hawana agenda? Nilikuona wa maana leo nakuona IQ yako ya kuku.
@othmarluwawilo83089 күн бұрын
Msigwa na Upendo Peneza ni njaa, hamna mapya, mmekosa kujiuza kwa wananchi, huko hatutawasikia tena. Hamna hoja. Wajinga nyie Rasilimali za wananchi zinauzwa mnaunga mkono?
@othmarluwawilo83089 күн бұрын
Baada ya kupata misimamo ya Wanachadema Iringa dhidi ya unafiki wa Msigwa akaamua kukimbia. Umesema upinzani wanadandia hoja, wewe juzijuxi huko Singida tumekuona ukiikosoa CCM , hoja zako za kudandia unaziacha wapi?
@othmarluwawilo83089 күн бұрын
Msigwa Jiulize kwa nini hakufanya maamuzi kabla ya uchaguzi wa kanda?
@JosephMwaitete5 күн бұрын
Kwenye uchaguzi ndiko kaona ubovu
@user-ry8xf1no2s9 күн бұрын
Ongela sana msigwa iyo ndio demoklasia una mamuzi saii kabisa Kalibu ccm chama imala
@Mwigaa9511 күн бұрын
Msigwa apewe ukuu wa mkoa au apigwe kwenye wizara
@ostenmwakasita696011 күн бұрын
Kweli viongozi wa Chadema kinamapungufu makubwa sana ata wewe Msigwa umekosea sana basi ungeanzisha Chama chako Ili uwende na demokrasia na Tena unamtuhumu Marehe Makufuli hauna jipya na haupati chochote huko uliko enda
@wanguwangu3411 күн бұрын
Ni hali yake ila Kuna shida ya maadili
@wanguwangu3411 күн бұрын
In actual fact huwezi kuwa mwanasiasa at the same time kuwa mchungaji, pia ustaarabu wa binadamu ni kwamba ukimwacha MKE au mme hutakiwi kueleza madhaifu yake, inabidi tufungue Tena darasa la ethics of leadership
@rukiamkwayo63028 күн бұрын
Kwani wewe hujawahi kwenda chooni kimya huku unapigamshwaki
@NicolasSteven-zr2hx11 күн бұрын
Msigwa nae ni mnafiki tu yaani kukosa uenyekiti wa kanda ya nyasa tu umeamua kusaliti mabadiliko kwelii!
@nedlly211 күн бұрын
Ni haki yake kikatiba lakini hana jipya! Eti Mbowe hana nuru! Nuru ya Mbowe imetoweka baada ya yeye kushindwa kwenye uchaguzi! Yeye mwenyewe hana nuru, akiongea utadhania analia! Walondoka kina Zito, Lowasa na wengine wenye majina makubwa itakuwa huyu mchungaji njaa!
@mlekwa11 күн бұрын
Yangu macho😂
@user-xf7tl8jq9v11 күн бұрын
Hapo ndooo itakuwa mwisho wa kusikika nilimuona peneza saiv hatumuon pale geita
@evansdecaprio819611 күн бұрын
Kwahiyo ccm ndio wanatenda haki watu watano wanatuchagulia rais
@user-wh3tb9ve8x16 сағат бұрын
Nimeipenda hiyo😊😊😊😊😊😊😊
@MayalakusekwaNkwabi11 күн бұрын
Huyu nae kawa Mchungaji wa CCM kawa CHAWA WA CCM kafika bei kawa boya huko CCM kumejaa Wizi , Rushwa, Ufisadi, Uongo na Ubinafsi ,acheni Ujinga CCM haina DIRA hii Nchi wamewashinda
@omaryyusuph787711 күн бұрын
Umeama wewe sisi raia auwezi kutubadilisha fikra zetu msigwa
@Focusm-se2sd11 күн бұрын
Msigwa eheeee we ni mnafiki
@sjdbxjdhsudjxjhd61511 күн бұрын
Msigwa Wacha unfiki
@mathiasombella751611 күн бұрын
Huna jipyaaza
@hemedmselem488912 күн бұрын
Hajui kitu huyo Mumeleta uchafu katika majiji Mnatakiwa kupea maeneo maalum Sio vurugu hizo mlizo nazo
Пікірлер
Viongozi wa machinga hamnasababu ya kulalamika ni wakati wa kuwatambua wamachinga wote wa Dar kwa kuwasajili.Pili Kuanzisha soko kubwa binafsi (machinga city) litakuwa na maduka ya jumla kwasababu mmachinga ni mnunuzi,muuzaji na pia ni mlaji wa bidhaa zinazouzwa na maduka ya jumla.Serikali itapata kodi halisi kutoka madukani na pia mchango wa kodi kwa machinga moja kwa moja.Wanaojihita wafanyabiashara siwalipa kodi na pia mnafaham hilo.Iwapo mnataka kufanikiwa ondoa neno sisi wamachinga wa kariakoo,weka siai wamachinga wa dar
Tuzingatie ushauri wa Warioba: alisema"tuache siasa za madaraka na turudi kwenye siasa za maendeleo" maana shida kubwa Afrika iko hapo.
Changamoto mlizonazo Chadema ni kidogo sana kuliko mahali pengine popote, Msigwa na wenzio mlitakiwa kubaki chadema na kupambana kuondoa hizo changamoto mkiwa ndani ya chama na si kuondoka ,KUONDOKA NI UDHAIFU MKUBWA SANA.
Njaa inanyosha msigwa
Siasa za Tanzania kwa mda mrefu zimejaa UJINGA ndio maana hata watu makini wakishaingia wanakuwaga wajinga, wanafiki ........
Mchungaji sio mwaminifu,unapotaja jina lake kivumishi mchungaji ni kuzalilisha taasisi ya wachungaji.
Walikuwa 12 akatoka mmoja Yuda
Ni haki kwake
Hakuna mchungaji hapo, ameingia cha kike,
Kweli njaa mbaya
Upupu amejimwagia mwenyewe!
Chiz kbs wewe
Ccm y sasa vchekesho ukiwa mbulula ndio unapewA cheo ukiwa mzalendo unawekwebenchi
Njaaa
sasa tunaakili watanzania MUNGU ametuhurumia, tunajua upi ukweli upi unafiki
Jaman hiyo ni njaa tu na hana uchungaji wowote huyo
Njaaa mbya jmn acheni 2
njaa kali
Msigwa ona hata aibu wewe ni mtu mzima...wewe kajenge tumbo lako.... Kichefuchefu tupu..! Hiyo ndiyo legacy yako, kwa vijana wa Tanzania. Hauna moral kabisa...
Anakuja kutuvuruga huyo nindumilakuwili.
Kwa Nini unakaa kwenye saccos?
Huna hoja yamsingi kenge wewe neenda ukafie huko
Yan msigwa muogope mungu chadema imekulea kua na maneno ya akiba kumbuka kuna kesho pia
Msigwa msariti miaka yote uriyo kaaa chadema mbona urivyo kuwa mbunge mbona urikuwa wapi wewe yuda msariti
Umepoteza ushuhuda Wewe kama Mchungaji 😢😢😢😢😢😢😢😢,ulisema ukienda ccm watu wachome nyumba yako na magari,sasa unamuhubiri Kristo anaye geuka geuka?daa ,ungeonesha uzalendo ukiwa Mbunge na kuacha ubunge lakini sio umeshindwa uchaguzi unasema kile kikundi ni saccosi?mimi sina chama ila umepoteza ushuhuda 😢😢😢😢😢😢
Msigwa kasahau lisu alivyopigwa risasi na watu wasio julikana
Hao wote hawafai kabisa ni njaa zinawasumbua tu
Nice song from muscat Omni amazing 🎉🎶🎶⚒️
Dudubaya anasema una mdeni huwezi kuyalipa na ndio maana Ccm wamekulipia na ukahamia huko Pole sana nyie wasiasi ni waongo tuuu
Yani wewe naupendo mnafaa kuchomwa moto sio watu kumbe wewe ndio walitaka wakutumie nyasa ccm lisu akayasema kuna hela imeletwa angalia
Msigwa kweli Chadema hawana agenda au huna agenda. Samia anauza bandari, misitu, anawafukuza wamasai, anawalinda mafisadi, kweli hawana agenda? Nilikuona wa maana leo nakuona IQ yako ya kuku.
Msigwa na Upendo Peneza ni njaa, hamna mapya, mmekosa kujiuza kwa wananchi, huko hatutawasikia tena. Hamna hoja. Wajinga nyie Rasilimali za wananchi zinauzwa mnaunga mkono?
Baada ya kupata misimamo ya Wanachadema Iringa dhidi ya unafiki wa Msigwa akaamua kukimbia. Umesema upinzani wanadandia hoja, wewe juzijuxi huko Singida tumekuona ukiikosoa CCM , hoja zako za kudandia unaziacha wapi?
Msigwa Jiulize kwa nini hakufanya maamuzi kabla ya uchaguzi wa kanda?
Kwenye uchaguzi ndiko kaona ubovu
Ongela sana msigwa iyo ndio demoklasia una mamuzi saii kabisa Kalibu ccm chama imala
Msigwa apewe ukuu wa mkoa au apigwe kwenye wizara
Kweli viongozi wa Chadema kinamapungufu makubwa sana ata wewe Msigwa umekosea sana basi ungeanzisha Chama chako Ili uwende na demokrasia na Tena unamtuhumu Marehe Makufuli hauna jipya na haupati chochote huko uliko enda
Ni hali yake ila Kuna shida ya maadili
In actual fact huwezi kuwa mwanasiasa at the same time kuwa mchungaji, pia ustaarabu wa binadamu ni kwamba ukimwacha MKE au mme hutakiwi kueleza madhaifu yake, inabidi tufungue Tena darasa la ethics of leadership
Kwani wewe hujawahi kwenda chooni kimya huku unapigamshwaki
Msigwa nae ni mnafiki tu yaani kukosa uenyekiti wa kanda ya nyasa tu umeamua kusaliti mabadiliko kwelii!
Ni haki yake kikatiba lakini hana jipya! Eti Mbowe hana nuru! Nuru ya Mbowe imetoweka baada ya yeye kushindwa kwenye uchaguzi! Yeye mwenyewe hana nuru, akiongea utadhania analia! Walondoka kina Zito, Lowasa na wengine wenye majina makubwa itakuwa huyu mchungaji njaa!
Yangu macho😂
Hapo ndooo itakuwa mwisho wa kusikika nilimuona peneza saiv hatumuon pale geita
Kwahiyo ccm ndio wanatenda haki watu watano wanatuchagulia rais
Nimeipenda hiyo😊😊😊😊😊😊😊
Huyu nae kawa Mchungaji wa CCM kawa CHAWA WA CCM kafika bei kawa boya huko CCM kumejaa Wizi , Rushwa, Ufisadi, Uongo na Ubinafsi ,acheni Ujinga CCM haina DIRA hii Nchi wamewashinda
Umeama wewe sisi raia auwezi kutubadilisha fikra zetu msigwa
Msigwa eheeee we ni mnafiki
Msigwa Wacha unfiki
Huna jipyaaza
Hajui kitu huyo Mumeleta uchafu katika majiji Mnatakiwa kupea maeneo maalum Sio vurugu hizo mlizo nazo
Mpumbavu wewe ujuwi chochote