VIONGOZI MACHINGA WALIAMSHA KARIAKOO,WAKANA KUKWEPA KODI..TUTAANZA OPERESHENI YA DUKA KWA DUKA...

#Kariakoo#machinga#kimewaka

Пікірлер: 5

  • @phankaphares7134
    @phankaphares7134Ай бұрын

    Machinga Yani wanaonekana kama uchafu ameongea vyema sana lakini ubaguzi juu ya machinga nchi umepitiliza sasa lazima machinga nchi nzima tuungane na kuwa na sauti moja tu

  • @hebronmwamwaja7660
    @hebronmwamwaja7660Ай бұрын

    Mpumbavu wewe ujuwi chochote

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem4889Ай бұрын

    Hajui kitu huyo Mumeleta uchafu katika majiji Mnatakiwa kupea maeneo maalum Sio vurugu hizo mlizo nazo

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798Ай бұрын

    Mpumbavu wewe

Келесі