UHAMIAJI YAMNASA RAIA WA OMAN AKIWA NA KITAMBULISHO CHA NIDA,MPIGA KURA..VISHOKA NAO MBARONI..

#Uhamiaji#raiaOman#nyaraka

Пікірлер: 39

  • @TheLowba
    @TheLowba

    الله يحفظك اخوي حاتم ان شاء الله حكومنتا ما بتقصر معاك

  • @mzuvendi
    @mzuvendi

    Hawa ni wale wanataka kukwepa kulipa $100 ya kupanda boti la Bakhresa hakuna lolote zaidi ya hapo! Ondosha $ katika boti hakuna haja ya hicho kitambulisho...

  • @tsavolion7336
    @tsavolion7336

    Naona sio vizuri kumtoa huyo muOman mbaka kwenye TV wakati majambazi wakubwa wameuwa watu hawatolewi

  • @mozaal-mazrui9614
    @mozaal-mazrui9614

    Omdosheni nauli ya wageni kwenye boti na ndege, hili tatizo litaondoka wenyewe. Mbona Watanzania nchi za nje hatulipishwi bei za kigeni kwenye huduma zozote zile wala usafiri? Lakini sisi tu lazima tuwapihe cha juu wageni, hadi kulazimisha watu kutafuta njia mbadala.

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx

    Umefanya makosa mbona wengi wanavyo acha kumdhalilisha wakati mpaka watu wa uk wanavyo

  • @khamisayoub1411
    @khamisayoub1411

    Tatizo sio muomani suala ni moja tu hicho kitambulisho kakipatia omani au wapi😊 acheni kutuzungusha kila siku ujinga2

  • @SMG109L
    @SMG109L

    Hakuna idara nisiyoipenda kama uhamiaji, wamemdhalilisha mtu wa watu, wamemwanika mbele ya watanzania na duniani kote wanamuangalia, sidhani kama huko kwao oman kuna mtanzania alishawahi dhalilishwa kama huku.

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244

    Mwacheni mwoman arudi kwao..kila kitu mnataka walipe dola wakati mwiguru anasema walipe TSH!

  • @maminaaa5738
    @maminaaa5738

    Usimseme mtu kwa jambo hujasikia pande mbili. Na Vyema kutoa tahadhari wengine wasije kupitia matatizo kama haya. Mungu amfungue katika mtihani wake huu … ukweli hatuujui bado.

  • @salyali7807
    @salyali7807

    Kila siku maelfu ya watanganyika wamepewa birth certificate kutoka zanzibar kwa amri ya serikali ili tu wapige kura zanzibar .. hawa askari hawaoni hili .. wawatie kwenye TV pia tuwaone ... nonsense

  • @AshouHumaid
    @AshouHumaid

    Kinachoshangaza hizo mihuri zinatoka wapi kama sio kwa baadhi ya wanaopenda pesa sasa anzeni ndani kwanza ndio mtoke nje.

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614

    Watanzania niwajinga sana yani wanafanya vitu ambavyo vinaatarisha amani katika nchi kwatamaa tu yakipesa matukio kibao yanayo tokea nnchini shukrani sana mkuu

  • @ahmednasser4106
    @ahmednasser4106

    could somebody translate to english

  • @nassorahmed5346
    @nassorahmed5346

    Na nyie watanganyika mbona mna vitambulisho vya uznzibar na sisi hatutaki wakamatwe ni hatari kwa zbar sisi hatupo tayari kukupeni vitambulisho

  • @MakameAliMussa
    @MakameAliMussa

    Nina amini kwamba Uhamiaji ni Jeshi muhimu hapa kwetu kwaiyo jamani hao watu wapo wengi tuna waona

  • @queenfletcher4223
    @queenfletcher4223

    Mishen town this is deep It’s not a coincidence. Watanzania tuamke tusichukulie mambo kawaida kwa kuwa nnchi za wenzetu hili ni koşa kubwa sana kisheria tukubali tukatae huu ndio ukweli.

  • @jokhagadafy2144
    @jokhagadafy2144

    Duuuu

  • @stevenmigata8914
    @stevenmigata8914

    Kazi kubwa sana inayofanywa na Idara ya Uhamiaji, hakika hiki ni Chombo Muhimu sana katika Usalama wa Nchi hususani kwa raia wa kigeni wenye Nia Ovu.

  • @masoudalafifi9315
    @masoudalafifi9315

    Dear President Samiha Suluh,

Келесі