UHAMIAJI YAMNASA RAIA WA OMAN AKIWA NA KITAMBULISHO CHA NIDA,MPIGA KURA..VISHOKA NAO MBARONI..
#Uhamiaji#raiaOman#nyaraka
Жүктеу.....
Пікірлер: 39
@TheLowba
الله يحفظك اخوي حاتم ان شاء الله حكومنتا ما بتقصر معاك
@mzuvendi
Hawa ni wale wanataka kukwepa kulipa $100 ya kupanda boti la Bakhresa hakuna lolote zaidi ya hapo! Ondosha $ katika boti hakuna haja ya hicho kitambulisho...
@tsavolion7336
Naona sio vizuri kumtoa huyo muOman mbaka kwenye TV wakati majambazi wakubwa wameuwa watu hawatolewi
@mozaal-mazrui9614
Omdosheni nauli ya wageni kwenye boti na ndege, hili tatizo litaondoka wenyewe. Mbona Watanzania nchi za nje hatulipishwi bei za kigeni kwenye huduma zozote zile wala usafiri? Lakini sisi tu lazima tuwapihe cha juu wageni, hadi kulazimisha watu kutafuta njia mbadala.
@faridaally-jp1gx
Umefanya makosa mbona wengi wanavyo acha kumdhalilisha wakati mpaka watu wa uk wanavyo
@khamisayoub1411
Tatizo sio muomani suala ni moja tu hicho kitambulisho kakipatia omani au wapi😊 acheni kutuzungusha kila siku ujinga2
@SMG109L
Hakuna idara nisiyoipenda kama uhamiaji, wamemdhalilisha mtu wa watu, wamemwanika mbele ya watanzania na duniani kote wanamuangalia, sidhani kama huko kwao oman kuna mtanzania alishawahi dhalilishwa kama huku.
@saidnoumani7244
Mwacheni mwoman arudi kwao..kila kitu mnataka walipe dola wakati mwiguru anasema walipe TSH!
@maminaaa5738
Usimseme mtu kwa jambo hujasikia pande mbili. Na Vyema kutoa tahadhari wengine wasije kupitia matatizo kama haya. Mungu amfungue katika mtihani wake huu … ukweli hatuujui bado.
@salyali7807
Kila siku maelfu ya watanganyika wamepewa birth certificate kutoka zanzibar kwa amri ya serikali ili tu wapige kura zanzibar .. hawa askari hawaoni hili .. wawatie kwenye TV pia tuwaone ... nonsense
@AshouHumaid
Kinachoshangaza hizo mihuri zinatoka wapi kama sio kwa baadhi ya wanaopenda pesa sasa anzeni ndani kwanza ndio mtoke nje.
@husnasalim9614
Watanzania niwajinga sana yani wanafanya vitu ambavyo vinaatarisha amani katika nchi kwatamaa tu yakipesa matukio kibao yanayo tokea nnchini shukrani sana mkuu
@ahmednasser4106
could somebody translate to english
@nassorahmed5346
Na nyie watanganyika mbona mna vitambulisho vya uznzibar na sisi hatutaki wakamatwe ni hatari kwa zbar sisi hatupo tayari kukupeni vitambulisho
@MakameAliMussa
Nina amini kwamba Uhamiaji ni Jeshi muhimu hapa kwetu kwaiyo jamani hao watu wapo wengi tuna waona
@queenfletcher4223
Mishen town this is deep It’s not a coincidence. Watanzania tuamke tusichukulie mambo kawaida kwa kuwa nnchi za wenzetu hili ni koşa kubwa sana kisheria tukubali tukatae huu ndio ukweli.
@jokhagadafy2144
Duuuu
@stevenmigata8914
Kazi kubwa sana inayofanywa na Idara ya Uhamiaji, hakika hiki ni Chombo Muhimu sana katika Usalama wa Nchi hususani kwa raia wa kigeni wenye Nia Ovu.
Пікірлер: 39
الله يحفظك اخوي حاتم ان شاء الله حكومنتا ما بتقصر معاك
Hawa ni wale wanataka kukwepa kulipa $100 ya kupanda boti la Bakhresa hakuna lolote zaidi ya hapo! Ondosha $ katika boti hakuna haja ya hicho kitambulisho...
Naona sio vizuri kumtoa huyo muOman mbaka kwenye TV wakati majambazi wakubwa wameuwa watu hawatolewi
Omdosheni nauli ya wageni kwenye boti na ndege, hili tatizo litaondoka wenyewe. Mbona Watanzania nchi za nje hatulipishwi bei za kigeni kwenye huduma zozote zile wala usafiri? Lakini sisi tu lazima tuwapihe cha juu wageni, hadi kulazimisha watu kutafuta njia mbadala.
Umefanya makosa mbona wengi wanavyo acha kumdhalilisha wakati mpaka watu wa uk wanavyo
Tatizo sio muomani suala ni moja tu hicho kitambulisho kakipatia omani au wapi😊 acheni kutuzungusha kila siku ujinga2
Hakuna idara nisiyoipenda kama uhamiaji, wamemdhalilisha mtu wa watu, wamemwanika mbele ya watanzania na duniani kote wanamuangalia, sidhani kama huko kwao oman kuna mtanzania alishawahi dhalilishwa kama huku.
Mwacheni mwoman arudi kwao..kila kitu mnataka walipe dola wakati mwiguru anasema walipe TSH!
Usimseme mtu kwa jambo hujasikia pande mbili. Na Vyema kutoa tahadhari wengine wasije kupitia matatizo kama haya. Mungu amfungue katika mtihani wake huu … ukweli hatuujui bado.
Kila siku maelfu ya watanganyika wamepewa birth certificate kutoka zanzibar kwa amri ya serikali ili tu wapige kura zanzibar .. hawa askari hawaoni hili .. wawatie kwenye TV pia tuwaone ... nonsense
Kinachoshangaza hizo mihuri zinatoka wapi kama sio kwa baadhi ya wanaopenda pesa sasa anzeni ndani kwanza ndio mtoke nje.
Watanzania niwajinga sana yani wanafanya vitu ambavyo vinaatarisha amani katika nchi kwatamaa tu yakipesa matukio kibao yanayo tokea nnchini shukrani sana mkuu
could somebody translate to english
Na nyie watanganyika mbona mna vitambulisho vya uznzibar na sisi hatutaki wakamatwe ni hatari kwa zbar sisi hatupo tayari kukupeni vitambulisho
Nina amini kwamba Uhamiaji ni Jeshi muhimu hapa kwetu kwaiyo jamani hao watu wapo wengi tuna waona
Mishen town this is deep It’s not a coincidence. Watanzania tuamke tusichukulie mambo kawaida kwa kuwa nnchi za wenzetu hili ni koşa kubwa sana kisheria tukubali tukatae huu ndio ukweli.
Duuuu
Kazi kubwa sana inayofanywa na Idara ya Uhamiaji, hakika hiki ni Chombo Muhimu sana katika Usalama wa Nchi hususani kwa raia wa kigeni wenye Nia Ovu.
Dear President Samiha Suluh,