MEDANI ZA SIASA NA MCH.PETER MSIGWA
Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Пікірлер: 44
Odemba akikuuliza swali usikurupuke kujibu.. anakuuliza swali ambalo majibu utakayoyatoa yatateteresha msimamo wa mhojiwa... a nice interview... Be blessed..
Kiongozi mwenye msimamo, Hongera mch Msigwa binafsi nilikukubali sana ulipokataa kupanda gari ya Ikulu pale Segerea. lile lilikuwa jaribu kubwa sana, nilikutazama nikaona una hofu ya Mungu ndani yako.
Ninayo furaha sana kumuona mtu nyoofu sana mtu makini sana kwenye chama chetu... hope 2024 our future Justice minister or Foreigner happy Minister... happy new Year our honorable...
I do appreciate your skills in conducting interviews with various people, Odemba. It makes the program interesting and educative. Bravo!
Namkubali sana Mch:Peter Msigwa
Msigwa hongera sana sana.Msimamo na kusimamia kanuni nidhamu ni kitu muhimu sana.Nakukubali sana Msigwa
Nawakubali sana msigwa
Nakukubali kaka msigwa tutete wasiopewa mamlka kuongea matatzo ya wananchi
Mtu haitwi Mchungaji lele Mama, Peter Msigwa unakitu Mungu akubariki
Chief Odemba huwa nakukubali sana jinsi unavyowahoji watu mbali mbali safi sana. Lakin siku hizi mbona umeacha ile salamu yako ya kilugha pale unapomaliza mahojiano yako. Naomba uendeleze ile salamu yako yakilugha pindi unapotuaga na kumaliza kipindi.
😂😂😂 odemba mkorofi sana ... kwamba maandiko yanasema samehe 7x70
Saaaafii jembe msigwa umesomeka
Msigwa mungu akubariki msigwa nakukubari Sana majibu yako kwa mtangazajihuyo uko vizuri sanakweli we mchungaji hao mahasiwetu no ni walewale ccm Nia yao kugombanisha tu
Hon.Rev, Peter Msigwa You're very smart, nimekufuatilia for a long time umenishawishi Saana. May God bless you n Keep You🙏
Musigwa akili kubwa sana
Machine hii
Mchungaji Msigwa big up sana yani unapozungumza nipo tayari kupoteza MB zangu kwaajili ya kukusikiliza maana najua hapa kuna mtu anazungumza. Sijutii kupoteza muda na MB. Hivi ndivyo vichwa vilipaswa kuwepo madarakani nchi ingesonga mbele.
Safi Msigwa, umejibu vizuri
Kabisa mchungaji anasema mema
*Mch. Peter Msigwa anapingana na msimamo wa Tundu Lissu [na, pengine, ndio msimamo wa Chadema] kuhusu mgogoro wa kuhamisha Wamaasai ili kuhifadhi mbuga. Msigwa anaamini mbuga ni lazima zilindwe na Wamaasai wahamishwe; Lissu anaamini Wamaasai walindwe na wasihamishwe.*
kwa maswali anayoulizwa msigwa ingekuwa ni kiongozi kutoka ccm majibu yangekuwa hovyohovyo.. huwa hata hawaogopi kwamba wananchi wanaskiliza interview yanajibu utahisi hii nchi ni familia zao.. hovyo sana
@eliyashija1572
6 ай бұрын
😂
Safi sana msigwa
Tupo live❤
Msigwa asante sana.
Viongozi wa vyama vya siasa ni mali ya umma ,hivyo kiongozi yeyote wa chama cha siasa ni kiongozi wa umma hivyo kiongozi wa chama akikosea ni vema kureact
Mifumo.miwili ya Utawala?
👊👍✌️.
Mwanasiasa ambaye huwa namkubali Sana. Kila sentensi kwake ni NONDO. Kanifurahisha anakosema Eti delete au futa watu wasiofaa
Vichwa kamili
Kwanza upo makini Sana na maswali ya odemba mm nakuelewa Sana cjui kwa vile means chadema kwa Chase wote ni waelewa Sana ndoo maana wanapigwa hongela msigwaa uwe hivyo hivyo
Huyu anaweza kuhoji upinzani sijasikia umahiri wake kwa chama tawala
@luperbukuku2659
6 ай бұрын
Hujafuatilia
Watu Kama msingwa ni wakuweka bechi kweli nchi tz
Msigwa nimekuelewa
Msigwa una akili sana
Odemba kipindi cha medani za siasa inarushwa kila juma ngapi na kwenye Chanel gani
Huyu Odemba inaelekea haelewi kabisa maana ya Utawala wa Sheria. Nchi haziendeshwi kwa kusameheana, au kwa hisia: zinaendwshwa kwa katiba, taratibu na Sheria. Kwa mfano, tofauti kubwa kati ya Somalia na Switzerland ni kwamba moja haifuati kabisa taratibu na sheria na nyingine inafuata kwa karibu taratibu na sheria. Ipi utachagua?
Odemba ww bado sana kwnye kuhoji
@miltonjohn9779
6 ай бұрын
Nenda ukahoni wewe
Mchungaji Msigwa hajui kuwa JPM alipokuwa anasema fedha za miradi mikubwa iliyokuwa inakopwa na Serikali ni fedha zetu alikuwa sahihi.Fedha ikikopwa inakuwa mali ya aliyekopa kwa sababu atairudisha kwa mujibu wa makubaliano ya mkopo.
@emmanuelmkama3000
6 ай бұрын
Ubarikiwe sana ndugu yangu.
@1961nungwi
6 ай бұрын
Fedha zetu za kukopa ni tofauti na Fedha zetu za ndani!
Huyu sijui ni mwandishi gani anayeongea kuliko anayehojiwa