MEDANI ZA SIASA NA MCH.PETER MSIGWA

Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !

Пікірлер: 44

  • @meshacksamwel2335
    @meshacksamwel23356 ай бұрын

    Odemba akikuuliza swali usikurupuke kujibu.. anakuuliza swali ambalo majibu utakayoyatoa yatateteresha msimamo wa mhojiwa... a nice interview... Be blessed..

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g6 ай бұрын

    Kiongozi mwenye msimamo, Hongera mch Msigwa binafsi nilikukubali sana ulipokataa kupanda gari ya Ikulu pale Segerea. lile lilikuwa jaribu kubwa sana, nilikutazama nikaona una hofu ya Mungu ndani yako.

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka10086 ай бұрын

    Ninayo furaha sana kumuona mtu nyoofu sana mtu makini sana kwenye chama chetu... hope 2024 our future Justice minister or Foreigner happy Minister... happy new Year our honorable...

  • @josephchilongani2057
    @josephchilongani20576 ай бұрын

    I do appreciate your skills in conducting interviews with various people, Odemba. It makes the program interesting and educative. Bravo!

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy6 ай бұрын

    Namkubali sana Mch:Peter Msigwa

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka49806 ай бұрын

    Msigwa hongera sana sana.Msimamo na kusimamia kanuni nidhamu ni kitu muhimu sana.Nakukubali sana Msigwa

  • @user-zw9es5gx5w
    @user-zw9es5gx5w6 ай бұрын

    Nawakubali sana msigwa

  • @AbduliKombania-ob8us
    @AbduliKombania-ob8us4 ай бұрын

    Nakukubali kaka msigwa tutete wasiopewa mamlka kuongea matatzo ya wananchi

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory35406 ай бұрын

    Mtu haitwi Mchungaji lele Mama, Peter Msigwa unakitu Mungu akubariki

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald51236 ай бұрын

    Chief Odemba huwa nakukubali sana jinsi unavyowahoji watu mbali mbali safi sana. Lakin siku hizi mbona umeacha ile salamu yako ya kilugha pale unapomaliza mahojiano yako. Naomba uendeleze ile salamu yako yakilugha pindi unapotuaga na kumaliza kipindi.

  • @nehemia397
    @nehemia3976 ай бұрын

    😂😂😂 odemba mkorofi sana ... kwamba maandiko yanasema samehe 7x70

  • @samwelmwalongo2140
    @samwelmwalongo21406 ай бұрын

    Saaaafii jembe msigwa umesomeka

  • @user-tn1bn5ou2i
    @user-tn1bn5ou2i6 ай бұрын

    Msigwa mungu akubariki msigwa nakukubari Sana majibu yako kwa mtangazajihuyo uko vizuri sanakweli we mchungaji hao mahasiwetu no ni walewale ccm Nia yao kugombanisha tu

  • @user-te7ym1de6t
    @user-te7ym1de6t6 ай бұрын

    Hon.Rev, Peter Msigwa You're very smart, nimekufuatilia for a long time umenishawishi Saana. May God bless you n Keep You🙏

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda94506 ай бұрын

    Musigwa akili kubwa sana

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u6 ай бұрын

    Machine hii

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald51236 ай бұрын

    Mchungaji Msigwa big up sana yani unapozungumza nipo tayari kupoteza MB zangu kwaajili ya kukusikiliza maana najua hapa kuna mtu anazungumza. Sijutii kupoteza muda na MB. Hivi ndivyo vichwa vilipaswa kuwepo madarakani nchi ingesonga mbele.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga38846 ай бұрын

    Safi Msigwa, umejibu vizuri

  • @scolarymahenge9867
    @scolarymahenge98676 ай бұрын

    Kabisa mchungaji anasema mema

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma80816 ай бұрын

    *Mch. Peter Msigwa anapingana na msimamo wa Tundu Lissu [na, pengine, ndio msimamo wa Chadema] kuhusu mgogoro wa kuhamisha Wamaasai ili kuhifadhi mbuga. Msigwa anaamini mbuga ni lazima zilindwe na Wamaasai wahamishwe; Lissu anaamini Wamaasai walindwe na wasihamishwe.*

  • @meshacksamwel2335
    @meshacksamwel23356 ай бұрын

    kwa maswali anayoulizwa msigwa ingekuwa ni kiongozi kutoka ccm majibu yangekuwa hovyohovyo.. huwa hata hawaogopi kwamba wananchi wanaskiliza interview yanajibu utahisi hii nchi ni familia zao.. hovyo sana

  • @eliyashija1572

    @eliyashija1572

    6 ай бұрын

    😂

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko82516 ай бұрын

    Safi sana msigwa

  • @alfamfumbejeshi3685
    @alfamfumbejeshi36856 ай бұрын

    Tupo live❤

  • @thomasdisii1707
    @thomasdisii17076 ай бұрын

    Msigwa asante sana.

  • @uraiatv8455
    @uraiatv84556 ай бұрын

    Viongozi wa vyama vya siasa ni mali ya umma ,hivyo kiongozi yeyote wa chama cha siasa ni kiongozi wa umma hivyo kiongozi wa chama akikosea ni vema kureact

  • @1961nungwi
    @1961nungwi6 ай бұрын

    Mifumo.miwili ya Utawala?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything6 ай бұрын

    👊👍✌️.

  • @damasiuspetro5178
    @damasiuspetro51785 ай бұрын

    Mwanasiasa ambaye huwa namkubali Sana. Kila sentensi kwake ni NONDO. Kanifurahisha anakosema Eti delete au futa watu wasiofaa

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory35406 ай бұрын

    Vichwa kamili

  • @user-tn1bn5ou2i
    @user-tn1bn5ou2i6 ай бұрын

    Kwanza upo makini Sana na maswali ya odemba mm nakuelewa Sana cjui kwa vile means chadema kwa Chase wote ni waelewa Sana ndoo maana wanapigwa hongela msigwaa uwe hivyo hivyo

  • @samuelmakara1475
    @samuelmakara14756 ай бұрын

    Huyu anaweza kuhoji upinzani sijasikia umahiri wake kwa chama tawala

  • @luperbukuku2659

    @luperbukuku2659

    6 ай бұрын

    Hujafuatilia

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf6 ай бұрын

    Watu Kama msingwa ni wakuweka bechi kweli nchi tz

  • @apollobupolo9884
    @apollobupolo98846 ай бұрын

    Msigwa nimekuelewa

  • @user-rp3fw8oo8r
    @user-rp3fw8oo8r6 ай бұрын

    Msigwa una akili sana

  • @benedicthhando-mf2wv
    @benedicthhando-mf2wv6 ай бұрын

    Odemba kipindi cha medani za siasa inarushwa kila juma ngapi na kwenye Chanel gani

  • @1961nungwi
    @1961nungwi6 ай бұрын

    Huyu Odemba inaelekea haelewi kabisa maana ya Utawala wa Sheria. Nchi haziendeshwi kwa kusameheana, au kwa hisia: zinaendwshwa kwa katiba, taratibu na Sheria. Kwa mfano, tofauti kubwa kati ya Somalia na Switzerland ni kwamba moja haifuati kabisa taratibu na sheria na nyingine inafuata kwa karibu taratibu na sheria. Ipi utachagua?

  • @user-bf4xh9kc3n
    @user-bf4xh9kc3n6 ай бұрын

    Odemba ww bado sana kwnye kuhoji

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    6 ай бұрын

    Nenda ukahoni wewe

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela83776 ай бұрын

    Mchungaji Msigwa hajui kuwa JPM alipokuwa anasema fedha za miradi mikubwa iliyokuwa inakopwa na Serikali ni fedha zetu alikuwa sahihi.Fedha ikikopwa inakuwa mali ya aliyekopa kwa sababu atairudisha kwa mujibu wa makubaliano ya mkopo.

  • @emmanuelmkama3000

    @emmanuelmkama3000

    6 ай бұрын

    Ubarikiwe sana ndugu yangu.

  • @1961nungwi

    @1961nungwi

    6 ай бұрын

    Fedha zetu za kukopa ni tofauti na Fedha zetu za ndani!

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba49066 ай бұрын

    Huyu sijui ni mwandishi gani anayeongea kuliko anayehojiwa

Келесі