MAAJABU: KILICHOTOKEA KWENYE NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA AKIWASILI KATAVI, TAZAMA MPAKA MWISHO
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 136
@VenerandaKundi-ph4hg13 күн бұрын
Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu
@SundaySteven-bz4yq23 күн бұрын
Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya
@PaskaliPatiliki23 күн бұрын
Mungu akulinde mama yetu kipenzi
@hamissalum860422 күн бұрын
Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!
@johnLaise8 күн бұрын
Chadema
@rahmaomar913723 күн бұрын
Allah akuhifadhi
@robertzamani561223 күн бұрын
Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm
@NuhuMohammed-nu6ni
23 күн бұрын
Hawezi, anakula bata tu
@WilsonLuchwele23 күн бұрын
Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!
@vladimirputn1809
23 күн бұрын
😂
@stephenkalidush5446
23 күн бұрын
huenda wako burundi, maana msomi asiyejitambua
@yakobokuzenza6837
23 күн бұрын
Mlishazoea kulipwa ili mkajaze uwanja.Hakuna hela za kuchezea hapa
@celestinermantenga2463
22 күн бұрын
Watu ni wengi karema ndo haijatengwa vizuri.
@user-fb5tj5zy4z22 күн бұрын
Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅
@lilianmbeyu15 күн бұрын
hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona
@ndabhiloleyesamwel994520 күн бұрын
Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?
@JonathanMGAIWA-ow4py23 күн бұрын
Kuna nini cha ajabu
@mwanabucheyeki22623 күн бұрын
Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!
@benjaminmiselya2622
23 күн бұрын
Hawana Hela🤣🤣
@punnamalaba444521 күн бұрын
Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi
@user-ot1ff7yq2l22 күн бұрын
Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani
@alistairelias53623 күн бұрын
Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba
@christinejojo72349 күн бұрын
Sijaona kitu muache uongo
@abdulikilala590223 күн бұрын
Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu
@songoroalamin3376
23 күн бұрын
Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao
@princepaschal9963
22 күн бұрын
@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.
@celestinermantenga246323 күн бұрын
Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.
@wadeelegbogun3015
23 күн бұрын
#NONSENSE
@celestinermantenga2463
23 күн бұрын
Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???
@RashidiDaudy-ez6zt
22 күн бұрын
ovyooo
@saruni5673
22 күн бұрын
😂😂😂yapi
@hassan-sarumbo
22 күн бұрын
no comment napita tu
@zuhramwavyoni840021 күн бұрын
❤❤❤
@user-um5xx5ct7q23 күн бұрын
Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia
@user-sv6zy3hc8o
23 күн бұрын
Kama unaona lahis fanya ya kwako tuone
@Abdallahsaid-e3k13 күн бұрын
Maajabu gani
@deogratiaskatinda923222 күн бұрын
Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana
@lakiabalozi563323 күн бұрын
Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip
@alistairelias536
23 күн бұрын
Kwa abiria gani??
@abdulpagali7476
22 күн бұрын
Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani. Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala. Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.
@user-ot1ff7yq2l22 күн бұрын
Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz
@MohdAlsharjy23 күн бұрын
Ndegee shokap ya mbelee imekufaa
@mohammedabdallahalazri323821 күн бұрын
Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?
@tibbsminja257522 күн бұрын
Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu. Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama! Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000! Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???
@emmanuelsulle91123 күн бұрын
FISIEMU Watu wamewachoka Mno
@hugholinemmasi167123 күн бұрын
Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.
@faridahalwaily8523 күн бұрын
Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..
Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao
@RamaJumanne-lc9ve22 күн бұрын
Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee
@seifathumanseif368113 күн бұрын
Asa kuna maajabu gani? acha ushamba
@emmanuelsulle91123 күн бұрын
Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo
@ZainabuBakari-yb4vj23 күн бұрын
Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja
@benjaminmiselya262223 күн бұрын
Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹
@prosperjohn204721 күн бұрын
Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo
@user-bt6ep3yb2h23 күн бұрын
Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.
@user-xn1ly2yx7j
23 күн бұрын
Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.
@vladimirputn1809
23 күн бұрын
😂sukuma ndani
@SanziNzige23 күн бұрын
Magufuli bhana
@m.m.tvmbebamaono22 күн бұрын
Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂
@athumaniamiri880
22 күн бұрын
😢😢😢
@davidmalogo710023 күн бұрын
Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba
@wadeelegbogun3015
23 күн бұрын
😅
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Kwani huyo uliyekuwa unamwabudu si ni katiba hiyohiyo, acha chuki@ ujinga
@ibrahimally807323 күн бұрын
Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe
@vladimirputn1809
23 күн бұрын
😂
@The1979bornagain22 күн бұрын
Maajabu hapa ni kitu gani? Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo
@WilsonLuchwele23 күн бұрын
Wee mwandishi habari uchwara!
@AnnoyedBooks-kn5pm20 күн бұрын
Gwanghana nulukubi
@fadhilimoshi575414 күн бұрын
Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.
@user-tz8yn9uf2k22 күн бұрын
Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.
@jedidahbintidaudi824123 күн бұрын
ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana
@WilsonLuchwele
23 күн бұрын
What is strange there?
@jedidahbintidaudi8241
23 күн бұрын
@@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned
@kadijahajali391821 күн бұрын
😅
@BeniJohn-xd3cn23 күн бұрын
Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe
@ezekieljacob5795
22 күн бұрын
Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba
@MoinaminaAmina-qh1jb22 күн бұрын
Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu
@MsAggie5
15 күн бұрын
Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi
@deniccgabriel615323 күн бұрын
Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii
@AshaMwamba
23 күн бұрын
Haaaaa
@abuumuhammad7133
23 күн бұрын
Utasubiri sana yupo na Allah huyo
@mesuitozil1527
23 күн бұрын
Bwege kweli, fanya Kaz, pambana kutafuta Pesa hakuna Rais wa kukuletea Pesa nyumbani
@petermogha7025
23 күн бұрын
Mchawi nn
@kuchimillionaire6683
23 күн бұрын
Ufurahie nini?
@dismaslalubare419623 күн бұрын
Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC
@ezekieljacob5795
22 күн бұрын
Hiloooo limeingizwa choo cha kike, ni biasharaa
@kajaymopao167214 күн бұрын
majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu
Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu
@abdulikilala5902
23 күн бұрын
Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza
@wadeelegbogun301523 күн бұрын
RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Kuwa ww, fala wee, kamrudishe basi huyo godfaza wako
@ZainabuBakari-yb4vj23 күн бұрын
Nini
@bimumaulid117123 күн бұрын
NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI
@rajabukipara3008
23 күн бұрын
Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊
@rajabukipara3008
23 күн бұрын
Kwana Unafaham NENO RAIS?
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.
@ManzabaySalim22 күн бұрын
Maajabu gani kenge wewe
@anaabsaid354423 күн бұрын
Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry
@stevendaudi3922 күн бұрын
Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂
@Michael7454023 күн бұрын
I am blocking you
@nkwazigatsha22 күн бұрын
Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.
Пікірлер: 136
Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu
Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya
Mungu akulinde mama yetu kipenzi
Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!
Chadema
Allah akuhifadhi
Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm
@NuhuMohammed-nu6ni
23 күн бұрын
Hawezi, anakula bata tu
Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!
@vladimirputn1809
23 күн бұрын
😂
@stephenkalidush5446
23 күн бұрын
huenda wako burundi, maana msomi asiyejitambua
@yakobokuzenza6837
23 күн бұрын
Mlishazoea kulipwa ili mkajaze uwanja.Hakuna hela za kuchezea hapa
@celestinermantenga2463
22 күн бұрын
Watu ni wengi karema ndo haijatengwa vizuri.
Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅
hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona
Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?
Kuna nini cha ajabu
Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!
@benjaminmiselya2622
23 күн бұрын
Hawana Hela🤣🤣
Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi
Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani
Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba
Sijaona kitu muache uongo
Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu
@songoroalamin3376
23 күн бұрын
Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao
@princepaschal9963
22 күн бұрын
@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.
Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.
@wadeelegbogun3015
23 күн бұрын
#NONSENSE
@celestinermantenga2463
23 күн бұрын
Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???
@RashidiDaudy-ez6zt
22 күн бұрын
ovyooo
@saruni5673
22 күн бұрын
😂😂😂yapi
@hassan-sarumbo
22 күн бұрын
no comment napita tu
❤❤❤
Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia
@user-sv6zy3hc8o
23 күн бұрын
Kama unaona lahis fanya ya kwako tuone
Maajabu gani
Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana
Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip
@alistairelias536
23 күн бұрын
Kwa abiria gani??
@abdulpagali7476
22 күн бұрын
Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani. Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala. Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.
Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz
Ndegee shokap ya mbelee imekufaa
Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?
Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu. Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama! Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000! Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???
FISIEMU Watu wamewachoka Mno
Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.
Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..
@ezekieljacob5795
22 күн бұрын
Shule uliyosoma itakuwa ya ....
@abuumuhammad7133
20 күн бұрын
@@faridahalwaily85 wanajuwa wapi hao manaswara Dada yangu?
Ahh wap
Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao
Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee
Asa kuna maajabu gani? acha ushamba
Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo
Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja
Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹
Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo
Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.
@user-xn1ly2yx7j
23 күн бұрын
Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.
@vladimirputn1809
23 күн бұрын
😂sukuma ndani
Magufuli bhana
Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂
@athumaniamiri880
22 күн бұрын
😢😢😢
Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba
@wadeelegbogun3015
23 күн бұрын
😅
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Kwani huyo uliyekuwa unamwabudu si ni katiba hiyohiyo, acha chuki@ ujinga
Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe
@vladimirputn1809
23 күн бұрын
😂
Maajabu hapa ni kitu gani? Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo
Wee mwandishi habari uchwara!
Gwanghana nulukubi
Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.
Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.
ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana
@WilsonLuchwele
23 күн бұрын
What is strange there?
@jedidahbintidaudi8241
23 күн бұрын
@@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned
😅
Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe
@ezekieljacob5795
22 күн бұрын
Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba
Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu
@MsAggie5
15 күн бұрын
Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi
Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii
@AshaMwamba
23 күн бұрын
Haaaaa
@abuumuhammad7133
23 күн бұрын
Utasubiri sana yupo na Allah huyo
@mesuitozil1527
23 күн бұрын
Bwege kweli, fanya Kaz, pambana kutafuta Pesa hakuna Rais wa kukuletea Pesa nyumbani
@petermogha7025
23 күн бұрын
Mchawi nn
@kuchimillionaire6683
23 күн бұрын
Ufurahie nini?
Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC
@ezekieljacob5795
22 күн бұрын
Hiloooo limeingizwa choo cha kike, ni biasharaa
majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu
Ndege kubwa hivi isingefaa kwenda huko katavi.
@benikillahjoseph3505
23 күн бұрын
Ndio ndege inayokuja katavi toka inunuliwe
@ahmedhamis
22 күн бұрын
Unataka iende wapi?au kativi sio Tanzania?
Ukimuombea mwenzio mabaya yanaweza yakaaza kutokea kwako
@abdulikilala5902
23 күн бұрын
Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu
@abdulikilala5902
23 күн бұрын
Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza
RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Kuwa ww, fala wee, kamrudishe basi huyo godfaza wako
Nini
NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI
@rajabukipara3008
23 күн бұрын
Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊
@rajabukipara3008
23 күн бұрын
Kwana Unafaham NENO RAIS?
@abdulrahmanally1412
22 күн бұрын
Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.
Maajabu gani kenge wewe
Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry
Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂
I am blocking you
Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.