MAAJABU: KILICHOTOKEA KWENYE NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA AKIWASILI KATAVI, TAZAMA MPAKA MWISHO

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 136

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg13 күн бұрын

    Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq23 күн бұрын

    Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya

  • @PaskaliPatiliki
    @PaskaliPatiliki23 күн бұрын

    Mungu akulinde mama yetu kipenzi

  • @hamissalum8604
    @hamissalum860422 күн бұрын

    Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!

  • @johnLaise
    @johnLaise8 күн бұрын

    Chadema

  • @rahmaomar9137
    @rahmaomar913723 күн бұрын

    Allah akuhifadhi

  • @robertzamani5612
    @robertzamani561223 күн бұрын

    Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm

  • @NuhuMohammed-nu6ni

    @NuhuMohammed-nu6ni

    23 күн бұрын

    Hawezi, anakula bata tu

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele23 күн бұрын

    Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!

  • @vladimirputn1809

    @vladimirputn1809

    23 күн бұрын

    😂

  • @stephenkalidush5446

    @stephenkalidush5446

    23 күн бұрын

    huenda wako burundi, maana msomi asiyejitambua

  • @yakobokuzenza6837

    @yakobokuzenza6837

    23 күн бұрын

    Mlishazoea kulipwa ili mkajaze uwanja.Hakuna hela za kuchezea hapa

  • @celestinermantenga2463

    @celestinermantenga2463

    22 күн бұрын

    Watu ni wengi karema ndo haijatengwa vizuri.

  • @user-fb5tj5zy4z
    @user-fb5tj5zy4z22 күн бұрын

    Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu15 күн бұрын

    hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona

  • @ndabhiloleyesamwel9945
    @ndabhiloleyesamwel994520 күн бұрын

    Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?

  • @JonathanMGAIWA-ow4py
    @JonathanMGAIWA-ow4py23 күн бұрын

    Kuna nini cha ajabu

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki22623 күн бұрын

    Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!

  • @benjaminmiselya2622

    @benjaminmiselya2622

    23 күн бұрын

    Hawana Hela🤣🤣

  • @punnamalaba4445
    @punnamalaba444521 күн бұрын

    Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l22 күн бұрын

    Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani

  • @alistairelias536
    @alistairelias53623 күн бұрын

    Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba

  • @christinejojo7234
    @christinejojo72349 күн бұрын

    Sijaona kitu muache uongo

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala590223 күн бұрын

    Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu

  • @songoroalamin3376

    @songoroalamin3376

    23 күн бұрын

    Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao

  • @princepaschal9963

    @princepaschal9963

    22 күн бұрын

    ​@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga246323 күн бұрын

    Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.

  • @wadeelegbogun3015

    @wadeelegbogun3015

    23 күн бұрын

    #NONSENSE

  • @celestinermantenga2463

    @celestinermantenga2463

    23 күн бұрын

    Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???

  • @RashidiDaudy-ez6zt

    @RashidiDaudy-ez6zt

    22 күн бұрын

    ovyooo

  • @saruni5673

    @saruni5673

    22 күн бұрын

    😂😂😂yapi

  • @hassan-sarumbo

    @hassan-sarumbo

    22 күн бұрын

    no comment napita tu

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni840021 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @user-um5xx5ct7q
    @user-um5xx5ct7q23 күн бұрын

    Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia

  • @user-sv6zy3hc8o

    @user-sv6zy3hc8o

    23 күн бұрын

    Kama unaona lahis fanya ya kwako tuone

  • @Abdallahsaid-e3k
    @Abdallahsaid-e3k13 күн бұрын

    Maajabu gani

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda923222 күн бұрын

    Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi563323 күн бұрын

    Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip

  • @alistairelias536

    @alistairelias536

    23 күн бұрын

    Kwa abiria gani??

  • @abdulpagali7476

    @abdulpagali7476

    22 күн бұрын

    Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani. Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala. Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l22 күн бұрын

    Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz

  • @MohdAlsharjy
    @MohdAlsharjy23 күн бұрын

    Ndegee shokap ya mbelee imekufaa

  • @mohammedabdallahalazri3238
    @mohammedabdallahalazri323821 күн бұрын

    Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja257522 күн бұрын

    Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu. Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama! Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000! Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle91123 күн бұрын

    FISIEMU Watu wamewachoka Mno

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi167123 күн бұрын

    Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily8523 күн бұрын

    Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    22 күн бұрын

    Shule uliyosoma itakuwa ya ....

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    20 күн бұрын

    @@faridahalwaily85 wanajuwa wapi hao manaswara Dada yangu?

  • @festokitule9727
    @festokitule972722 күн бұрын

    Ahh wap

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg13 күн бұрын

    Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao

  • @RamaJumanne-lc9ve
    @RamaJumanne-lc9ve22 күн бұрын

    Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee

  • @seifathumanseif3681
    @seifathumanseif368113 күн бұрын

    Asa kuna maajabu gani? acha ushamba

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle91123 күн бұрын

    Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj23 күн бұрын

    Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya262223 күн бұрын

    Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn204721 күн бұрын

    Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h23 күн бұрын

    Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.

  • @user-xn1ly2yx7j

    @user-xn1ly2yx7j

    23 күн бұрын

    Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.

  • @vladimirputn1809

    @vladimirputn1809

    23 күн бұрын

    😂sukuma ndani

  • @SanziNzige
    @SanziNzige23 күн бұрын

    Magufuli bhana

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono22 күн бұрын

    Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂

  • @athumaniamiri880

    @athumaniamiri880

    22 күн бұрын

    😢😢😢

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo710023 күн бұрын

    Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba

  • @wadeelegbogun3015

    @wadeelegbogun3015

    23 күн бұрын

    😅

  • @abdulrahmanally1412

    @abdulrahmanally1412

    22 күн бұрын

    Kwani huyo uliyekuwa unamwabudu si ni katiba hiyohiyo, acha chuki@ ujinga

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally807323 күн бұрын

    Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe

  • @vladimirputn1809

    @vladimirputn1809

    23 күн бұрын

    😂

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain22 күн бұрын

    Maajabu hapa ni kitu gani? Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele23 күн бұрын

    Wee mwandishi habari uchwara!

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm20 күн бұрын

    Gwanghana nulukubi

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi575414 күн бұрын

    Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.

  • @user-tz8yn9uf2k
    @user-tz8yn9uf2k22 күн бұрын

    Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?

  • @abdulrahmanally1412

    @abdulrahmanally1412

    22 күн бұрын

    Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824123 күн бұрын

    ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana

  • @WilsonLuchwele

    @WilsonLuchwele

    23 күн бұрын

    What is strange there?

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    23 күн бұрын

    @@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali391821 күн бұрын

    😅

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn23 күн бұрын

    Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    22 күн бұрын

    Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb22 күн бұрын

    Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    15 күн бұрын

    Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel615323 күн бұрын

    Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii

  • @AshaMwamba

    @AshaMwamba

    23 күн бұрын

    Haaaaa

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    23 күн бұрын

    Utasubiri sana yupo na Allah huyo

  • @mesuitozil1527

    @mesuitozil1527

    23 күн бұрын

    Bwege kweli, fanya Kaz, pambana kutafuta Pesa hakuna Rais wa kukuletea Pesa nyumbani

  • @petermogha7025

    @petermogha7025

    23 күн бұрын

    Mchawi nn

  • @kuchimillionaire6683

    @kuchimillionaire6683

    23 күн бұрын

    Ufurahie nini?

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare419623 күн бұрын

    Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    22 күн бұрын

    Hiloooo limeingizwa choo cha kike, ni biasharaa

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao167214 күн бұрын

    majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu

  • @hadijamfala390
    @hadijamfala39023 күн бұрын

    Ndege kubwa hivi isingefaa kwenda huko katavi.

  • @benikillahjoseph3505

    @benikillahjoseph3505

    23 күн бұрын

    Ndio ndege inayokuja katavi toka inunuliwe

  • @ahmedhamis

    @ahmedhamis

    22 күн бұрын

    Unataka iende wapi?au kativi sio Tanzania?

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o23 күн бұрын

    Ukimuombea mwenzio mabaya yanaweza yakaaza kutokea kwako

  • @abdulikilala5902

    @abdulikilala5902

    23 күн бұрын

    Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu

  • @abdulikilala5902

    @abdulikilala5902

    23 күн бұрын

    Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun301523 күн бұрын

    RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba

  • @abdulrahmanally1412

    @abdulrahmanally1412

    22 күн бұрын

    Kuwa ww, fala wee, kamrudishe basi huyo godfaza wako

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj23 күн бұрын

    Nini

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid117123 күн бұрын

    NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI

  • @rajabukipara3008

    @rajabukipara3008

    23 күн бұрын

    Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊

  • @rajabukipara3008

    @rajabukipara3008

    23 күн бұрын

    Kwana Unafaham NENO RAIS?

  • @abdulrahmanally1412

    @abdulrahmanally1412

    22 күн бұрын

    Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim22 күн бұрын

    Maajabu gani kenge wewe

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid354423 күн бұрын

    Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry

  • @stevendaudi39
    @stevendaudi3922 күн бұрын

    Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂

  • @Michael74540
    @Michael7454023 күн бұрын

    I am blocking you

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha22 күн бұрын

    Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.

Келесі