ALIYEKUWA MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI[SUGU[ NDANI YA MEDANI ZA SIASA.

Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !

Пікірлер: 145

  • @josephlossy1808
    @josephlossy18083 жыл бұрын

    DUH WAJINA UMETEMA MADINI KWELI KWELI BIG UP

  • @sendisteve7981
    @sendisteve79816 ай бұрын

    Sugu hilo la wasanii kuwa wanasiasa au kuonyesha mahaba kwa vyama tofauti ni changamoto kubwa.Nadhani kwanza ni haki yao ya kikatiba,pili wanao uhuru binafsi wafuate itikadi gani.Na hilo lipo duniani kote.Ni vema tukawaelewa kuwa ni binadamu ti wa kawaida.Tuwahukumu zaidi kwa kazi zao kuliko ufuasi au itikadi zao za kisiasa.

  • @claverysugauli1522
    @claverysugauli15222 ай бұрын

    Le mwenyekiti Nyasa land zone ✌🏽🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @FrankMichael-tg4vz
    @FrankMichael-tg4vz15 күн бұрын

    Sugu moto chini ❤

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano70673 жыл бұрын

    Asante Sana sugu kwauwazi Sasa mweshimiwa tupiganiye katibampya majambazi waccm wasipate nafasi zakupotosha

  • @lucasjames2102
    @lucasjames21023 жыл бұрын

    Duuuuuuh nimemuelew mno sugu kwel kbs kwaupand wa dai yupo sahihi

  • @ibrahimdamas9445
    @ibrahimdamas94453 жыл бұрын

    Nimekwelewa sana mzee mungu akulinde akuongeze siku zakweshi

  • @peterstanslaus2477
    @peterstanslaus24773 жыл бұрын

    😂😂😂😂 huyu jamaa hakwepeshi maneno yani kweli nimeamini Hip Hop ni sehemu ya uwazi

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi143 жыл бұрын

    Kwel niga mh hakutoa kauli yoyote kuhusu lissu Kama amili jesh mkuu😉😭😭

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo83083 жыл бұрын

    Safi Sugu, ni kamanda mwanamapinduzi.

  • @thomaskiponda9704
    @thomaskiponda97043 жыл бұрын

    Asante sugu.

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel52393 жыл бұрын

    One love mbunge ulishinda ila kuna MTU aliamuru usishinde walipora kura zetu

  • @aggyhezron1853
    @aggyhezron18533 жыл бұрын

    I am very impressed with your talk bro sugu

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga80893 жыл бұрын

    One of the best interview of this yr

  • @masterdaveprojections
    @masterdaveprojections3 жыл бұрын

    Yes of course, ni kukataa UPUMBAVU

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67763 жыл бұрын

    Peter Gamba Asante ,hivi lilivojenga Hotel kwa ruzuku za chama chake na Kodi za waliolichagua lilikumbuka kujenga hata kaofisi ka Chadema huko kwenye Jimbo au lilichumia tumbo tuu

  • @lucasjames2102
    @lucasjames21023 жыл бұрын

    Wanamwit sugu sugu sugu big up mkuu damu zawatu na namuonekano wanch bora nin hii inamahanish kwamb nchi ikiwa bora lkn hain watu saram je nan ataish ktk hyo nchi yan mim ndo nilivyo muelew sugu samahan kam nimekosea cna maan mbay nasitaman watu walichukue jambo hlo liwe kam njia yakumuelew sugu hpn nimtazamo tu

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    3 жыл бұрын

    Wenye fikra finyu kama wewe wameelewa hivyo

  • @hassanfundi893
    @hassanfundi8933 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥✌

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6563 жыл бұрын

    sugu muhuni sana. 🤣

  • @herisophisticated9275
    @herisophisticated92753 жыл бұрын

    MA Niqqa Jongwe

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje77303 жыл бұрын

    Big up Sugu

  • @stanastana3199
    @stanastana31993 жыл бұрын

    😂😂😂😂 ya gangster nicca🙌🙌🙌🙌

  • @justusmasige4170
    @justusmasige41703 жыл бұрын

    Sugu: yea ofcoz ni kukataa upumbavu Mwenyekipindi: 😷😷😷😷😷

  • @liziwanishemzigwa3473
    @liziwanishemzigwa34733 жыл бұрын

    🙏

  • @jitulakalemastr7636
    @jitulakalemastr76363 жыл бұрын

    Pamoja sana sugu boy

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28483 жыл бұрын

    Magufuli,hakupenda Sana siasa ktk kazi.hawa walikuwa wanakwamisha maendeleo.viwanja vya ndege sehemu nyingi.kujenga chato ni kosa?j.p.m alifanya kazi.nawe sugu hatukuchukii kwa sababu unamchukia marehemu Una sababu zako.

  • @marymakoi8604

    @marymakoi8604

    3 жыл бұрын

    Kama hukubali alivyovifanya mzee wetu Magu.bac huns.maana wewe.tena wewe ni mpinzani feki. Na tutaendelea kumtukuza Raisi Magu. Mama yako alifariki kwa siku zake tu. Umekosa hekima.kimsema.mwendazake..kumbuka nawe siku yako yaja. Tena mwogope Mungu sana huna hofu ya.Mungu.

  • @daudmwaijumba7953
    @daudmwaijumba79533 жыл бұрын

    mungu amtupi mjawake tujitahid kuana imani namungu atafanyanjia pasipo nanjia

  • @nicolausmwandumwandu222
    @nicolausmwandumwandu2223 жыл бұрын

    Uko vzr Sugu

  • @stn4873
    @stn48733 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂SUGU BWANA😂😂😂😂😂😂😂 anaongea kama ana rap!

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji84733 жыл бұрын

    Tyrant leadership which were employed during medieval period, was a bit practiced in our state five years past.

  • @gasperelasto8208

    @gasperelasto8208

    2 жыл бұрын

    Hahaha hahahahahahahaha good message but hidden in language.

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo9813 жыл бұрын

    Sugu hana jipya

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer17813 жыл бұрын

    Mwendazake Hii Nchi Aliifanya Kama Familia Yake Vile, Kesi Za Uchochezi Haziskiki Tena Siku Hizi😁😁

  • @grysonbrown7380
    @grysonbrown73803 жыл бұрын

    shusheni full mahojiano ndugu zanguni star tv

  • @ramadhanbakarimtambo2024
    @ramadhanbakarimtambo20243 жыл бұрын

    Huyu bwana ni kamanda halisi hakika hip hop imemjenga kweli

  • @willymahali4818
    @willymahali48183 жыл бұрын

    We mtanzania muogope mungu.

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo6593 жыл бұрын

    TUNAKUKUBALI SANA MH.JOSEPH MBILINYI (SUGU)

  • @oyay2821
    @oyay28213 жыл бұрын

    Sugu ni Jembe kweli kweli

  • @bukurujohnmary8016
    @bukurujohnmary80163 жыл бұрын

    Haabari ningependa kuuliza siku ya kipitindi cha MEDANI ZA SIASA kinacho pitika kwenye STAR TV

  • @chidjosh6056
    @chidjosh60563 жыл бұрын

    Mungu ameisimamia chadema kwakweli,

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga34752 жыл бұрын

    Sugu ni mbunge halali wa mbeya huyo mama ni kanjanja tu

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn34992 жыл бұрын

    CHADEMA HAMJAWAHI KUNIANGUSHA.

  • @thomaskiponda9704
    @thomaskiponda97043 жыл бұрын

    Sugu wewe ni sugu kweli msema kweli ni mpenzi wa mungu umechana live.

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa62063 жыл бұрын

    Tumsamehe jamani,yalishapita,ili kazi iendelee

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo6593 жыл бұрын

    CCM NA VIONGOZI WAKE WALIKUWA WANATENGENEZA TATIZO NA KULITATUA WAO WENYEWE ILI WAJISIFIE

  • @chidjosh6056

    @chidjosh6056

    3 жыл бұрын

    Na walishindwa, ndio maana leo, wanaibika, baada ya jpm, kuondoka, eti yote yale ilikua uonevu

  • @qonquererqanquerer1781

    @qonquererqanquerer1781

    3 жыл бұрын

    Ndivyo Ulivyokua Kipindi Cha Mwendazake na Tim yake yakumuabudu Nakumsifu.

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    3 жыл бұрын

    Wembe ni uleule ngoja tumewalegezea ili muingie ndani ya 12 tuwalipue tambeni kwanza.

  • @franciseliaskaboja3932
    @franciseliaskaboja39323 жыл бұрын

    ©√√√=% $••¥$ Big up

  • @arinestaanton9895
    @arinestaanton98953 жыл бұрын

    Sugu mkweli sana

  • @alexngelezi9864
    @alexngelezi98643 жыл бұрын

    Chadema kwanza

  • @saidmuhama9846
    @saidmuhama98463 жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa54963 жыл бұрын

    Sugu si kwamba umemtaja mwenyekiti kwa sababu pia system ya chama inakutaka ufanye hivyo?

  • @yusuphmagetta7969
    @yusuphmagetta79693 жыл бұрын

    Sugu uko vizur kwa kupangua hoja

  • @mohamedmatata8075
    @mohamedmatata80753 жыл бұрын

    Nakukubali sana

  • @ericmwaisemba5860

    @ericmwaisemba5860

    3 жыл бұрын

    Sugu hapo sawa mbowe nikiongozi mvumilivu sana ni mfano wa kuigwa

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75153 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni mbishi sana

  • @pendopendokimathkimath1218
    @pendopendokimathkimath12183 жыл бұрын

    Mbunge wetu tunakupenda Jimbo bado lipo wazo

  • @yusuphsalehe4890
    @yusuphsalehe48903 жыл бұрын

    Hizi ni siri nzito, da hatari

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza17643 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji mjinga Sana.

  • @kamanda007

    @kamanda007

    3 жыл бұрын

    Kama sura yako

  • @jipozeonline3983
    @jipozeonline39833 жыл бұрын

    Ni kukataa UPUMBAVU duuuh sugu anakuchana waziwazi kwa kutumia HIP-HOP hakika sugu 5 tena

  • @afrikajahazitv3133
    @afrikajahazitv31333 жыл бұрын

    Hii kipindi ilikuwa Moto haswaa

  • @willymahali4818
    @willymahali48183 жыл бұрын

    Mama sasa unampaka mafuta kwa mgongo chupa, sasa ndiyo unataka cheo kwa mama.

  • @adrophntabalizo8634

    @adrophntabalizo8634

    3 жыл бұрын

    Mama anapofanya mambo mazuri unataka asipongezwe? Au akianzisha utaratibu wa kunyanyasa watu bado utataka apongezwe?

  • @bernardburton6886
    @bernardburton68863 жыл бұрын

    Kweli umekomaa kisiasa unatambua anachofanya mama pia mama wasikilize Hawa watu tutafika mahari siyo machizi hawa

  • @zillah9750
    @zillah97503 жыл бұрын

    sugu rais wa mbeyaa

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert86773 жыл бұрын

    Sugu ni kichwa

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa54963 жыл бұрын

    Mwandishi hapo unatwanga maji kwenye kinu.

  • @dismasvedasto324

    @dismasvedasto324

    3 жыл бұрын

    👏

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Жыл бұрын

    Odemba.huyo.ndio.sugu.sio.akina.msukuma.ndugai.

  • @babasamir2682
    @babasamir26823 жыл бұрын

    Sasa mbona walikua hawasemi kabla ya mwenda zake, na nyie mlikua hamuwaoji Hilo swala la kununuliwa

  • @francismnara5730
    @francismnara57303 жыл бұрын

    kwakweli umenena

  • @danielndone8109
    @danielndone81093 жыл бұрын

    Huyo sugu nijembe

  • @valenakomba4453
    @valenakomba44533 жыл бұрын

    Siyo kisheria, ni pale tu Rais inspompebdeza.

  • @evaristoscyprian5743
    @evaristoscyprian57433 жыл бұрын

    Mwongo tuwewe angekuwapo magu ungesema hivi?

  • @kamanda007

    @kamanda007

    3 жыл бұрын

    Huna akili wewe, waliongea ndio maana wakafungwa na kudhurumiwa Mali zao.. mnapenda udikteta subiri uguse familia zenu ndio mtatia akili

  • @piussimtala5111
    @piussimtala51113 жыл бұрын

    Sugu dhamira ya kazi za maendeleo zilizoletwa na Hayati Magufuli imemsuta,tumeshindwa kumponda!

  • @josephpetro2968
    @josephpetro29683 жыл бұрын

    Mbinyili

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71493 жыл бұрын

    Mh.Sugu umeshinda mbinu chafu za ccm kurubuni upinzani ufe,hakika wewe ni Kamanda kama wavumilivu wengine,Heche,nk

  • @charquemwanga9598
    @charquemwanga95983 жыл бұрын

    Ndugu yangu Sungu unastahili kupewa pongezi kwa kuwa na maono chanya Kama unavyotolea maelezo juu ya hoja mbaliX2 ambazo zinawagusa viongozi wetu katika kuwakosowa na kuwapongeza.

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    3 жыл бұрын

    Wewe nae ni ziro. Kwa clip hii hujaona ana mapungufu.kwani alifungwa kwa makosa kisheria waliyotunga bungeni au alifungwa na Rais?

  • @beatricehenry6776

    @beatricehenry6776

    3 жыл бұрын

    @@pitargamba9208 wacha maboya wasifiane

  • @charquemwanga9598

    @charquemwanga9598

    3 жыл бұрын

    Na wewe ndio mwerevu unaejua Sheria kwa kuwa bunge limetunga Sheria kandamizi za kuwafunga hata wasiokuwa na hatio hongera kwa elimu nzuri uliopata ingawa Ni kwa manufa yako peke yako na sio kwa ajili ya umma.

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati13693 жыл бұрын

    Mnazingua bhana wekeni yote

  • @tumainisosteness5782
    @tumainisosteness57823 жыл бұрын

    hukosawa sugu hatammi simuungi mkono hanatugawa sana huyu msanii

  • @florencekimotho887
    @florencekimotho8873 жыл бұрын

    Huyu ni tambi la supu na vikuku!

  • @eunicelango608
    @eunicelango6083 жыл бұрын

    Lakini kumbukumbu ipo palepale

  • @colinmhema530
    @colinmhema5303 жыл бұрын

    Da kweli maajabu star TV nao leo wanaongea na watu Wa chadema

  • @emmapaul1766

    @emmapaul1766

    3 жыл бұрын

    Kumbe umegundua haya maajabu ya star TV

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50463 жыл бұрын

    You my brother wewe dio Simba not damodi not

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67763 жыл бұрын

    Alafu kawa mbaya !!!aiseee kazeeka luzuku za bure kwishaaaa miaka mitano ikijaisha ulo Domo litamwaika

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    3 жыл бұрын

    Kuzeeka kila mtu atazeeka hata awe hana shida, hata wewe utazeeka. Kuzeeka na kufa ni lazima kwa kila mtu. Na ndio maana hata yule mliyemfanya mungu alizeeka na pia amekufa.

  • @michaelobunde753

    @michaelobunde753

    3 жыл бұрын

    Magu mliyekuwa mnamwabudu yuko wapi

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo9813 жыл бұрын

    Hata nyinyi chadema mutamukumbuka JPM tu pamoja na ubishi wenu kwa maendeleo aliyoyafanya

  • @haroldtarimo3115

    @haroldtarimo3115

    3 жыл бұрын

    Maendeleo hayana maana kama unawanyima haki na uhuru raia wako

  • @philimonndinadyo2120

    @philimonndinadyo2120

    3 жыл бұрын

    Tunamkumbuka kwa kutuua

  • @Aminmwansile-we8vn

    @Aminmwansile-we8vn

    Ай бұрын

    Maendeleo ya kuwa watu tatizo siyo baba yako Wala mama yako aliyepata na mzira ya magufuli

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati13693 жыл бұрын

    Hahahahaha kamjambia nani

  • @zillah9750

    @zillah9750

    3 жыл бұрын

    2proud tunajidaia mbeya kuwa na rais kama wewe...

  • @jacobmsola4491
    @jacobmsola44913 жыл бұрын

    Muongo wewe ndo ulitamani na hadi ulimshawishi mh rais sikuzile kwenye mkutano wa hadhara ukasema mh rais naomba unipe kazi nikusaidie lakini alikataa leo ndo unamponda kweli maneno hayo nimaneno ya mkosaji.

  • @gotshape5475
    @gotshape54753 жыл бұрын

    Hivi Ccm walifanya uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa kwa Mara ya mwisho mwaka gani maana tangu tupate UHURU mwaka 1961 sijawahi kuona wala kusikia Uchaguzi huo !!! Utaitaje Uchaguzi wakati cha kuchagua HAKIPO mgombea ni MMOJA??! SHAME ON CCM #

  • @pitargamba9208

    @pitargamba9208

    3 жыл бұрын

    Uziro wenu upinzani usifikiri nasi tunao funua mtandao katiba ya ccm uisome utakubali kuwa ni chama dume.kama hujui kupekuwa niulize nikusaidie

  • @saidimpako5186

    @saidimpako5186

    3 жыл бұрын

    Akisha chaguliwa raisi ndio anapewa uwenyekiti wa chama huwa hapingwi

  • @gotshape5475

    @gotshape5475

    2 жыл бұрын

    siku Ccm wakikosa Rais ndo Mwenyekiti Ccm Taifa atachaguliwa ? Duuuu ! Kifungu gani cha katiba ya Ccm ?

  • @edwinmaruchu5566
    @edwinmaruchu55663 жыл бұрын

    Mahojiano ni matam kweli yamepangwa yakapangika.

  • @mpoyokapictures1405
    @mpoyokapictures14053 жыл бұрын

    Mmekata mlipokuwa mnamzungumzia tualia. Kumbe bado waoga star tv!!!?

  • @lwitikomwagundama6757
    @lwitikomwagundama67573 жыл бұрын

    Hata msemeje wema wa Jpm haufutiki umeandikwa kwa kalamu ya chuma

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo9813 жыл бұрын

    Ulifungwa kwa kiburi chako tu

  • @emmapaul1766

    @emmapaul1766

    3 жыл бұрын

    Afadhari kiburi kuliko kuwa zwazwa kama wewe

  • @charlesmwilima5548
    @charlesmwilima55483 жыл бұрын

    Duuh huyu jamaaa ni muongo Sana wakushawishi kwa kipi au kwa uwezo gani ulionao

  • @sakaramasaigana9616
    @sakaramasaigana96163 жыл бұрын

    Usitudangenye Sugu Mbona wewe umepata Ubunge Hotel zako umejenga Kwenu hakuna anayesema ungeenda kujenga Tabora labda tungefikilia hilo Wazo lako. MUACHENI MZEE MAGUFULI APUMZIKE KWA AMANI. Rudi kwenye Bongo Fleva Tutakuelewa.

  • @enockniko9270

    @enockniko9270

    3 жыл бұрын

    Amejenga kwa hela yake au serikali kuwa na hakili wewe

  • @nyamizibema6078

    @nyamizibema6078

    3 жыл бұрын

    Acheni umbea mbona chadema hawana jipyaaa, Haina akili hiyo michadema inatumia Barbara xilizojengwa na Mzee baba Haina shukrani hiyooooo,

  • @amanafi1288
    @amanafi12883 жыл бұрын

    Mbona hukuongea hapo kabla Sugu.

  • @pitargamba9208
    @pitargamba92083 жыл бұрын

    Eti hawa nao wanaomba uongozi wa nchi kwa ufala huu. Lilifungwa kwa makosa yake hakufungwa na Rais.mbona halisemi ya kibiti wana CCM waliochinjwa kama kuku yana ubaguzi sana haya majitu hayatufai

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    3 жыл бұрын

    Alifungwa bila ya makosa. CCM gani alichinjwa?

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67763 жыл бұрын

    Wadanganye wajinga wenzio mafisadi ss wtz wa sasa tulishafunguliwa macho na Magu.R.I.P Mfalme wetu

  • @enockniko9270

    @enockniko9270

    3 жыл бұрын

    Mfate aliko kwenda

  • @minyarothomas8167
    @minyarothomas81673 жыл бұрын

    Sugu anafanya propaganda

  • @harounmaarufu4433
    @harounmaarufu44333 жыл бұрын

    Barabara za lami labda kwenu .nenda kitunda huko mwanagati magole barabara hovyo kabisa.mvua ikinyesha watoto wafanyakazi wafanyabishara wagonjwa hawatoki.halafu unaongea nini wewe.

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba93873 жыл бұрын

    Ulikuwa ufungwe umalize miaka yako yote bwege wewe

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi76513 жыл бұрын

    Akili zoote mpaka mishipa inawatoka kisa aliye lala 🤣🤣🤣 his legacy will live forever.

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba93873 жыл бұрын

    Danganya wapumbavu wewe.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo83083 жыл бұрын

    Mama Samia anashiriki tendo la ubadhirifu kwa kufumbia macho waliofukuzwa chama Chadema, wameingia bungeni bila ridhaa, halafu serikali inawalipa. Wanalipwa kodi za watanzania bila stahili, hakuna chama kilichowapeleka. Mambo ya ovyoooo!

  • @eunicelango608
    @eunicelango6083 жыл бұрын

    Kwa hiyo mamako ulitaka aishi miaka mingapi?

  • @rosesanford73

    @rosesanford73

    3 жыл бұрын

    Mwogope Mungu usilete masihara na mzazi wewe wakwako unataka waishi muda gani ukipata jibu ndo hivo

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo9813 жыл бұрын

    Chadema wote nipumba tu

  • @hassangasaba4565

    @hassangasaba4565

    3 жыл бұрын

    Wew huna lolote nchi ni wanasiasa ,wew mbona hujapata mtangazaji yoyote kwa kuwa huna mchango kwa nchi.

  • @saidhussein5212

    @saidhussein5212

    3 жыл бұрын

    Hata ww pumbavu

  • @jumasalumu3456

    @jumasalumu3456

    3 жыл бұрын

    Shukurani. Huna kaka

  • @athumansuphian5891

    @athumansuphian5891

    3 жыл бұрын

    Hapo bungeni hao wabungewa chadema wanalipwa pèsa zetu za kodi wamewekwatu halafu wewe waongea pumba

  • @kiteleluhanzu4182

    @kiteleluhanzu4182

    3 жыл бұрын

    ✌️💯🔥

Келесі