Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa. Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote! Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA! Star TV Brightens Your Day !
Mtangazaji Odemba, hongera sana kwa umahiri wako katika tasnia ya habari. You are the best.
@ezekielezekiely84764 сағат бұрын
Pia mpira,amepanda alichopanda.ebo
@ezekielezekiely84765 сағат бұрын
Makondakta,amepanda alicho vuna,
@ezekielezekiely84765 сағат бұрын
Mwambuku,viva.hii ndo kweli,tunatarajiNuru itagawanywa saaaana.maswali ya huyo mwongozaji ni mmmmmm!
@abdalahgunda131910 сағат бұрын
Utawala ni km sauti ya radio kumawatu hupenda sauti kubwa ndio afurahahi moyoni mwake kunawengine hata sauti ndongo anafurahi Sasa Kuna tofouti ktk ya mtuu aliozoea sauti ndongo ukumpigia sauti kubwa huona unampigia kelele unamnyima uhuru wake na yule wa sauti my sauti kubwa ukiweka ndongo unamnyima uhuru wake Sasa basi hata utawala ni hivyo hivyo ukitoa sauti ndongo wengine wanakuzau mpaka sauti Kali mwengine hiyo hiyo ndogo anakuwelewa tuu ndio mfumo wa kuitawala ktk nchi Sasa hao wanao lalamika ni wala rushwa wapiga deal hawapendi mtu mkweli na ndio wengi ktk mataifa yetu ya kiafrica
@SwaleheKudisa10 сағат бұрын
Hana hoja za msingi ccm ilihali ni waziri ajabu sana kaka heche kachemka huyo.
@fidemikaeli814515 сағат бұрын
Safi sana mtangazaji bora kabisa
@user-zx8id6cl6c15 сағат бұрын
The Man of action,, we pray for you and God be with you.
@Chiefndiyunze16 сағат бұрын
Tunahitaji watu 10 kama huyu mwamba ili kila kitu kiende sawa 12:53
@leocadianjau741017 сағат бұрын
Safi sana mhe Rais please do the same ...tunakuomba usije badilika kwenye kusimamia katiba na kupata katiba ya nchi Hongera sana Rais TLS
@King_Of_Everything18 сағат бұрын
👊👍✌️.
@abdalahgunda131919 сағат бұрын
Sickness of black skin is the pasonol benefits alone pablic resources without account that pablic resources benefits to all pablic fighting for tls leadership is the dimand of tanzania pablic sevice not individual service but mwabukusi answer questions from local janelist but opponent drive mwabukusi into curt by pasonol lntrest not Pablic this is what Africa feel to move forward selfish politician selfish benefits
@rasnchimbi19 сағат бұрын
Sasa TLS waungane na vyama taasisi,wanaharakati na wananchi wote ifunguliwe kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
@user-bz3kk5te4mКүн бұрын
Tafuta walinzi wako ndugu boni rais
@illomowerner769020 сағат бұрын
Kweli kabisa Mr user, apewe ulinzi mkali sana
@AlbertLemaКүн бұрын
Congratulations Mr. President
@user-lu8ny2gu7tКүн бұрын
Mungu akutangulie ktk kila hatuwa utakayopiga maana maaduwi ni wengi
@illomowerner769020 сағат бұрын
Kweli kabisa@user, mh rais TLS apewe ulinzi mkali sana, kimsingi maadui zake ambao ni maadui wa haki ni wengi, alindwe
@RaphaelMachinda-ih5weКүн бұрын
Kisasi nicha Mungu❤ musamaha musamaha
@robisonikadogo7371Күн бұрын
Wagombanao Ndiyo wapanao,watasameeana wachape kazi
@robisonikadogo7371Күн бұрын
Uturivu ukizi unageuka ujinga
@robisonikadogo7371Күн бұрын
Raisi mseveni anawaita panya ndani ya nyumba
@robisonikadogo7371Күн бұрын
Uyo anaye takakukata rufaa Ana rake jambo nikumuangaria kwa makini
@isackphilipo9870Күн бұрын
Hongera sana Rais Wetu we are proud of you Mwabukusi
@fredrickkashinje894Күн бұрын
Tanzania kuna Odemba na Kikeke tu.😂😂 Wapokee maua yao
@massawemrlowprice3949Күн бұрын
TLS this time ni 🔥
@salvatorykipyoka1567Күн бұрын
Odemba una maswali kama Steven sucker
@user-pp7ug2bc1yКүн бұрын
Haukua mdhahalo yalikua mahojiano ya wazi
@user-nq6sk4vz5e3 күн бұрын
Mwabukus ndiyo mashine
@user-vv4wo5fu9t3 күн бұрын
TATIZO LUGHA YA KIGENI IMEZIDI SIO TENA KISWAHILI MNATULETEA UTUMWA KTK HII NCHI KUWENI MAKINI MAWAKILI WETU KUHUSU LUGHA MNAYO KUMIA WATU WENGINE WATAKUWA AWAELEWI MKITIA LUGHA YA KIGENI WAKATI NYINYI NI SWAHILI...
@abdalahgunda13194 күн бұрын
Odemba let Tanzania people feel ok satisfy on action happen there At univisty of daresalama haul celebrate on nay tls good debeghty on tanzania people eyes and hearing pin point of satisfy debeghty from pasonol they hope to be good presidential matiriol on tls Although it pass more than 3 days but when you read my comment on such big action like this let Tanzania people be free selebret whatever they feel
@damasimwamlima49274 күн бұрын
Mwambukus ametutetea Hadi sisi wanyonge huku mbozi kwenye kimondo hao wengine hakuna kitu
@damasimwamlima49274 күн бұрын
Mwambukus anafa kuliko wote mngu amsaidie
@issacallando62225 күн бұрын
Mtu anajitambulisha ni wakili na anashindwa kujibu swali kwa usahihi, hawa kina Nkuba wamewahi kushinda hata kesi moja kweli??😂
@issacallando62225 күн бұрын
Mdahalo huu unathibitishia umma aina ya viongozi tulionao, ifike pahala kiongozi yoyote apitishwe kwanza mmkwa mdahalo ili atakapo pata ridhaa aitendee haki.
@farajabinamsimchimba5 күн бұрын
Mwambukusi anafaa kua rais
@peterkissiri98215 күн бұрын
Nadhani Mwabukusi anastahili kuongoza TLS yupo tofauti sana na wagombea wenzake ktk hoja zake na pia sio muoga.
@justinalonda82205 күн бұрын
Mwabukusa anafaha sana tu ni moto
@boblatino38996 күн бұрын
Usiombe ukutane na odemba kwenye maojiano ni kama umekutana na bwana Pepsi utakunywa soda mpaka ukojoe
@sundaymushi96406 күн бұрын
Uyo muga ni janja janja tu😅😅😅😅
@sundaymushi96406 күн бұрын
Kwann interview za kazi zisifanyike kams ivi
@user-zs8de1os7q6 күн бұрын
Mwabukusi
@user-zs8de1os7q6 күн бұрын
Mwabukusi
@ExaudyMassawe6 күн бұрын
Mwabukusi nimekuelewa sana unawajali wananchi kupitia mawakili wakati huo mawakili wakinufaika na kazi yao pamoja na kuifanya kwa furahi
@ExaudyMassawe6 күн бұрын
Mwabukusi wewe ni nomaaa
@ExaudyMassawe6 күн бұрын
Mpeni tu mwakubusi hayo mawazo ya wengine atayafanyia kazi
@vonmedia10246 күн бұрын
HIVI NDIVYO VITU VINAVYO TAKIWA KUFANYWA. BRAVO STAR TV, VEMA SANA
@YohanaThadeo-ki2qg6 күн бұрын
Brother k mbona sasahiv simuoni kwenye futui
@NkwabiMasanja6 күн бұрын
ODEMBAAAAAAA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 MUNGU AKUBALIK XANAAAA
@harunamtiko1176 күн бұрын
Hapo kura ni kwa mwabukusi wengine msubr kidogo tafdhali 🎉
@lusetheshadow28216 күн бұрын
Mwabukusi hajabanwa kwenye maswali vipi kwamba alikuwa sahihi sana ee?
Пікірлер
Mtangazaji Odemba, hongera sana kwa umahiri wako katika tasnia ya habari. You are the best.
Pia mpira,amepanda alichopanda.ebo
Makondakta,amepanda alicho vuna,
Mwambuku,viva.hii ndo kweli,tunatarajiNuru itagawanywa saaaana.maswali ya huyo mwongozaji ni mmmmmm!
Utawala ni km sauti ya radio kumawatu hupenda sauti kubwa ndio afurahahi moyoni mwake kunawengine hata sauti ndongo anafurahi Sasa Kuna tofouti ktk ya mtuu aliozoea sauti ndongo ukumpigia sauti kubwa huona unampigia kelele unamnyima uhuru wake na yule wa sauti my sauti kubwa ukiweka ndongo unamnyima uhuru wake Sasa basi hata utawala ni hivyo hivyo ukitoa sauti ndongo wengine wanakuzau mpaka sauti Kali mwengine hiyo hiyo ndogo anakuwelewa tuu ndio mfumo wa kuitawala ktk nchi Sasa hao wanao lalamika ni wala rushwa wapiga deal hawapendi mtu mkweli na ndio wengi ktk mataifa yetu ya kiafrica
Hana hoja za msingi ccm ilihali ni waziri ajabu sana kaka heche kachemka huyo.
Safi sana mtangazaji bora kabisa
The Man of action,, we pray for you and God be with you.
Tunahitaji watu 10 kama huyu mwamba ili kila kitu kiende sawa 12:53
Safi sana mhe Rais please do the same ...tunakuomba usije badilika kwenye kusimamia katiba na kupata katiba ya nchi Hongera sana Rais TLS
👊👍✌️.
Sickness of black skin is the pasonol benefits alone pablic resources without account that pablic resources benefits to all pablic fighting for tls leadership is the dimand of tanzania pablic sevice not individual service but mwabukusi answer questions from local janelist but opponent drive mwabukusi into curt by pasonol lntrest not Pablic this is what Africa feel to move forward selfish politician selfish benefits
Sasa TLS waungane na vyama taasisi,wanaharakati na wananchi wote ifunguliwe kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Tafuta walinzi wako ndugu boni rais
Kweli kabisa Mr user, apewe ulinzi mkali sana
Congratulations Mr. President
Mungu akutangulie ktk kila hatuwa utakayopiga maana maaduwi ni wengi
Kweli kabisa@user, mh rais TLS apewe ulinzi mkali sana, kimsingi maadui zake ambao ni maadui wa haki ni wengi, alindwe
Kisasi nicha Mungu❤ musamaha musamaha
Wagombanao Ndiyo wapanao,watasameeana wachape kazi
Uturivu ukizi unageuka ujinga
Raisi mseveni anawaita panya ndani ya nyumba
Uyo anaye takakukata rufaa Ana rake jambo nikumuangaria kwa makini
Hongera sana Rais Wetu we are proud of you Mwabukusi
Tanzania kuna Odemba na Kikeke tu.😂😂 Wapokee maua yao
TLS this time ni 🔥
Odemba una maswali kama Steven sucker
Haukua mdhahalo yalikua mahojiano ya wazi
Mwabukus ndiyo mashine
TATIZO LUGHA YA KIGENI IMEZIDI SIO TENA KISWAHILI MNATULETEA UTUMWA KTK HII NCHI KUWENI MAKINI MAWAKILI WETU KUHUSU LUGHA MNAYO KUMIA WATU WENGINE WATAKUWA AWAELEWI MKITIA LUGHA YA KIGENI WAKATI NYINYI NI SWAHILI...
Odemba let Tanzania people feel ok satisfy on action happen there At univisty of daresalama haul celebrate on nay tls good debeghty on tanzania people eyes and hearing pin point of satisfy debeghty from pasonol they hope to be good presidential matiriol on tls Although it pass more than 3 days but when you read my comment on such big action like this let Tanzania people be free selebret whatever they feel
Mwambukus ametutetea Hadi sisi wanyonge huku mbozi kwenye kimondo hao wengine hakuna kitu
Mwambukus anafa kuliko wote mngu amsaidie
Mtu anajitambulisha ni wakili na anashindwa kujibu swali kwa usahihi, hawa kina Nkuba wamewahi kushinda hata kesi moja kweli??😂
Mdahalo huu unathibitishia umma aina ya viongozi tulionao, ifike pahala kiongozi yoyote apitishwe kwanza mmkwa mdahalo ili atakapo pata ridhaa aitendee haki.
Mwambukusi anafaa kua rais
Nadhani Mwabukusi anastahili kuongoza TLS yupo tofauti sana na wagombea wenzake ktk hoja zake na pia sio muoga.
Mwabukusa anafaha sana tu ni moto
Usiombe ukutane na odemba kwenye maojiano ni kama umekutana na bwana Pepsi utakunywa soda mpaka ukojoe
Uyo muga ni janja janja tu😅😅😅😅
Kwann interview za kazi zisifanyike kams ivi
Mwabukusi
Mwabukusi
Mwabukusi nimekuelewa sana unawajali wananchi kupitia mawakili wakati huo mawakili wakinufaika na kazi yao pamoja na kuifanya kwa furahi
Mwabukusi wewe ni nomaaa
Mpeni tu mwakubusi hayo mawazo ya wengine atayafanyia kazi
HIVI NDIVYO VITU VINAVYO TAKIWA KUFANYWA. BRAVO STAR TV, VEMA SANA
Brother k mbona sasahiv simuoni kwenye futui
ODEMBAAAAAAA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 MUNGU AKUBALIK XANAAAA
Hapo kura ni kwa mwabukusi wengine msubr kidogo tafdhali 🎉
Mwabukusi hajabanwa kwenye maswali vipi kwamba alikuwa sahihi sana ee?
Mwambukusi