CHECHE ZA MBUNGE MSIGWA BUNGENI LEO "MIFUMO YA NCHI HII IMEFELI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 217
@shafiimpilika82644 жыл бұрын
Kama umeona watoa taarifa wamechezea ukuni weke like hapa
@joshuakassoga8254 жыл бұрын
Umeongea vizur sana aiseeh, Good speech
@kamgomoli36504 жыл бұрын
Daaa inauma sn uchaguzi ujao 2020 tutavipoteza hv vichwa makini kwa hila za wazi wazi za mzee Meko.
@dicksonaroka6961
4 жыл бұрын
Asante sana msigwa nimependa ulivyo changia umeongea vizur kwa busara na weledi nafikir umeeleweka vizur sana hongera
@mrholela7906
4 жыл бұрын
Hahaha bora jikee
@mussachuo3910
4 жыл бұрын
Upo sahh kbsa
@hassanyussuph4407
3 жыл бұрын
Ulijuwajee kama kuna hila ilikua imeandaliwa wallah inaumiza sanaa
@shabaniramadhani4109
3 жыл бұрын
Kweli yametimia😢😢
@silasbenjamin35324 жыл бұрын
Big up bro nice work you have spoken a good speech to the nation
@tonyelshabbaz4 жыл бұрын
Bunge likiwa hivi kila siku amani itakuwepo ! Tunasikilizana na kupeana muda !! Nimependa sana leo Mh Speaker
@rogerkivuyo814 жыл бұрын
Mwamba kaongeaaaa point ase kama unakubali gonga like yanguvu apo
@lazariushananda5014
3 жыл бұрын
Good speech oppostion side
@Bigboy-nx3nc4 жыл бұрын
WATOA TAARIFA🤣🤣🤣🤣👍👍😂😂... Msigwa Ndo dawa Yao.
@katabaroonlinetv96884 жыл бұрын
Nakukubali sana msigwa wasitupotezee muda tusonge mbele
@clevermaphotos4 жыл бұрын
Nakupenda na nalizika Sana na utendaji wako wa kazi mungu akulinde
@katabaroonlinetv96884 жыл бұрын
Nakuombea sana 2021 urudi
@alimussa26554 жыл бұрын
Wanaotoa taarifa wanapewa za uso mh.msigwa 😂😂
@kipokendirangu2572
4 жыл бұрын
Ali mussa huyo msigwa hajui uchumi wa dunia.tunachopata ni sawa wazungu wamekaba biashara hiyo ya utalii kama biashara ya mafuta ndiyo maana rais magufuli aliamua kuanza na moundo mbinu kufufua usafiri wa anga reli meli ili tuweze kupata kipato cha utalii kwa bahati mzuri utalii wa Tanzania unatangazwa huku london
@jastinchinga1989
4 жыл бұрын
Jiwe la Moto kwenye hikikichwa kimoja vimo vichwa100 vy kijani kma unakubalina na mm gongo twende2020
@elishajuma2615
Жыл бұрын
@@kipokendirangu2572 we fala huna akili kabisa
@frankatilio43774 жыл бұрын
God Bless Pst Msigwa
@abubakaryomary39854 жыл бұрын
Nakuwaminia msigwa Big up
@abnelstudent24314 жыл бұрын
HV wabunge wa ccm mbona kila upande wa pili wakichangia wao wp na taarifa hivi no kwann
@fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani ukweli wako vizuri haya majuha yaliyonunuliwa ovyo yamebadilika kuwa makapi
@peter.b.michael38414 жыл бұрын
Wabunge wetu ni shida,, kiswahili hawajui kiingeza ndo majanga kabisa,,
@ezrawaya83774 жыл бұрын
Mh. Msigwa🤣🤣 ✌️✌️🔥
@robertjagad58264 жыл бұрын
I think he is making a point umaarufu wa kina steve nyerere ni mdogo sana
@davoo25554 жыл бұрын
Mihemko.... Wana mihemkooo sana Mh Msigwa
@henrymlandali91874 жыл бұрын
Duuuuuuuu Mungu mpe nafasi nyingine mbunge wangu
@njiroimanuel8063
4 жыл бұрын
Henry Mlandali ilindobungela mwisho hutamuonatena bungeni
@fredmabeya4 жыл бұрын
This guy has a smart thinking
@godfreymagoso53344 жыл бұрын
Ila kweli kuna wabunge huwa hawahurumii kodi zetu!!!! Ivi wanaotoa wanaelewa kweli wanachomaanisha!!! Wapiga kura tujitathmini
@esthernsami77324 жыл бұрын
Mbunge mheshimiwa Rais wetu anaona mbele. Utalii wa wachina una sura nyingine. Wachina hawaji kwa ajili ya utalii. Usidanganyike. wanatumwa na serikali yao wapi waweke makao kupata mali ghafi bure. HESHI MA KWA RAIS WETU, WAZIRI WA MAMBO NJE PAMOJA NA VIONGOZI WOTE. ulimwengu wote wanajua Tzania inaongoza kwa utalii na wanatangaza sana kuhusu nchin yetu
@donaldsinkamba48674 жыл бұрын
Big up Mh msigwa safi sana
@salumjumaruhaga25134 жыл бұрын
Big up you
@dicksonaroka69614 жыл бұрын
Safi sana mchungaj umeongea vizur sana na maneno yako tumeyaunga mkono kabisaaa yanajenga na s kubomoa saf sana
@godfreymagoso53344 жыл бұрын
Shikamoo Mchungaji,,,,,,,,, ila nisiongee jambo
@mrperfect8852
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@danymsinga70484 жыл бұрын
Kanun y 28🤣🤣🤣🤣
@davoo25554 жыл бұрын
Wabunge wa CCM mnaaibisha sana, bunge halina heshima tena utafkiri mkutano wa wanywa kahawa
@luvisa24724 жыл бұрын
Huyu msigwa ameongea vizuri na inatakiwa mtu mwenye akili ya hali ya juu kumuelewa. Steve analalamika bure. Steve amewajumuisha wasanii wote ili apate support, msigwa usiombe radhi what you said is what is needed in Tanzania. Alicho ongea msigwa ndicho kinacho takiwa tanzania. Wizara husika chukueni point za msigwa. Well done msigwa
@mariamariam92394 жыл бұрын
Nakupenda sna
@veronicamutagulwa61924 жыл бұрын
Ths is well spoken kiukweli
@abdulseif40934 жыл бұрын
wabunge strong wapo upinzani ndio maana ccm wanapenda kutoa taarifa ili na wao wapate kiki na waonekane,,,,!!?
@fadhilgaspa65204 жыл бұрын
kanuni ya 28 sina data nimeishiwa hiyo kwa tundu lisu inatoka kichwani CIO mpaka asome
@mussaphysicscommissioner84584 жыл бұрын
Kanuni ya 28 hahaha 😂 😂 😂
@danielelibariki4038
4 жыл бұрын
Alikuwa Patron wangu wa boarding huyu mbunge mwaka 2008 hahaha
@gervaskihwele15564 жыл бұрын
Good point
@eustacevenant45674 жыл бұрын
Musigwa musigwa umejiita waziri kivuri still Wewe ni mbunge SASA unasema waache ubunge! Wewe ni mchungaji wawapi? Kazi mnataka kuonekana munaongea basi!
@edsonnelson4464
4 жыл бұрын
Eustace Venant huwa akili hamna yaani wewe huoni logic anayoongea hapo,nyie ndo mnaturudisha nyuma
@alexrichard69314 жыл бұрын
Good
@jumameneja12454 жыл бұрын
Well said
@hamisikabwe39804 жыл бұрын
Badala ya kuchangia hoja kwa mantic,nie mmekalia taarifa, taarifa,acheni ujuha nie baadhi ya wabunge wa ccm.
@elishajuma2615
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@yudaseleman83204 жыл бұрын
Hahaaa Steven nyerere mtalii hahaaa
@lucusmvuna85744 жыл бұрын
Wewe jamaa Akili nyingi sema tu tutawapoteza kwa mbinu zao tu jaman tutawamis sana
@jacksnow29214 жыл бұрын
Ahsante m'bunge wa kweli;kweli wafukua ujinga
@briansancedo93364 жыл бұрын
Bishop upo vizur mwalimu nyerere aliwahi kukemea kwa mtumishi wa selikari kuwa na kofia zaidi ya moja.
@rosemarymsulwa2034 жыл бұрын
Ujumbe unaweza kuwa mzuri. Lakini jinsi unavyowasilishwa. Ni kutafuta sifa. Kelele hazijengi.
@mussachuo39104 жыл бұрын
Hawa wabunge wa CCM wanaboa kila wakat taarifa tu mpinzani akongea wao Taarifa hii Taarifa iondolewe mbunge akiongea hayo mambo Taarifa mtu akaongee na mkewe
@ismailkidoga51094 жыл бұрын
kanuni ya 28 hahahahahaha aibuu hiii
@nasrimohamed75564 жыл бұрын
Wabunge wa chadema n kwamba wote wanaupeo kiasi hiki au ksa n wapinzani maana bnafc wote nawaelewa sn
@johnsonmarick454 жыл бұрын
Upinzani akili nyingi sana,,Mungu awabariki
@amhamediserengeti48084 жыл бұрын
Msigwa yuko sahihi kabisa utalii unatakiwa utangazwe kwa njia ya watu maarufu duniani
@silenceofficial85324 жыл бұрын
Mimi sijaona baya aloliongea naona point
@clevermaphotos4 жыл бұрын
Uko Vizuri Sana Mbunge Msigwa we unastairi kuwa Raisi kabisa
Wabunge wa ccm fanyeni kilichowapeleka bungeni cyo Kila wakisimama wabunge wa cdm mnasema taarifa mnakwama wapi ??et hapo ndo urudi jimbon kwako kuomba ubunge mmmh
@kipokendirangu25724 жыл бұрын
Huyu msigwa hajui utalii hiyo biashara ngumu sana kwa sisi wafrika inatuia vigumu sana sawa sawa na biashara ya mafuta duniani
@chesconkwera2005
4 жыл бұрын
Sio kweli
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Wew unajua nn
@jumamarecho33934 жыл бұрын
💪🏼
@ufugajiwetu77824 жыл бұрын
For me he's right
@sangaryafundimasero23734 жыл бұрын
Mchungaji umesema vyema sana 🙏🙏🙏
@tumaininerei59484 жыл бұрын
Dah ndio kusiwe na upinzani? japo mimi ni CCM naninampenda mh rais, lkn natamani one day bunge liwe 50% 50% nisiwe mchoyo wa makofi kwa spika kwa hili.
@sirosiro9110
4 жыл бұрын
Ukiipenda ccm utakua maskin
@stevensimtoe2989
4 жыл бұрын
Vzr Sana kuwa mzalendo
@eddymkwambe5744 жыл бұрын
Tatizo ni kutokuheshimu umuhimu wa weledi na umahiri unaoendana na wakati bali uchama isiyo na tija
@tamimissa75254 жыл бұрын
Unafaa sana
@mdee2614 жыл бұрын
Waziri anarogwa 😂😂😂😂
@JohnJohn-zz4rn4 жыл бұрын
😄😄😄🤗
@salumjumaruhaga25134 жыл бұрын
Hahahaaaaa,akina Rambo,masanja,joti,kingwendu
@muhidinsaleh68324 жыл бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@anchelouskyaruzi5913
4 жыл бұрын
We need huyu 2020
@adamsoud48624 жыл бұрын
Hakuna watu wajinga na madubu duniani kama wabunge wa CCM spika wao wote wapumbavu tu
Kanuni ya ngapi 🤣🤣🤣🤣ya 28 mheshimiwa,...heb isomee...mhe. spika kwa sababu ya kuokoa miss naomba nisisome.🤣🤣🤣🤣Aibuuu
@dollyandthedoliganeloi30254 жыл бұрын
Jamani apo mchungaji umechemsha Roger Federer au LeBron utawalipa shilling ngapi si nchi itafilisika nchi nyingi tena tajiri zinatangaza ata kwenye treni au mabasi uku ulaya
@lameckmtaka26594 жыл бұрын
Wambie
@brianlaurent48064 жыл бұрын
😂😂😂
@bulugubujashi63784 жыл бұрын
Kanuni ya 28 dah! Umetuzalilisha wanaichi wako mbunge,hata huijui hiyo kanuni
@ahmadishaibufataha14814 жыл бұрын
Dah bunge la aibu kabisa inaonyesha watu.wapo hapo kwa maslahi yao tuu
Пікірлер: 217
Kama umeona watoa taarifa wamechezea ukuni weke like hapa
Umeongea vizur sana aiseeh, Good speech
Daaa inauma sn uchaguzi ujao 2020 tutavipoteza hv vichwa makini kwa hila za wazi wazi za mzee Meko.
@dicksonaroka6961
4 жыл бұрын
Asante sana msigwa nimependa ulivyo changia umeongea vizur kwa busara na weledi nafikir umeeleweka vizur sana hongera
@mrholela7906
4 жыл бұрын
Hahaha bora jikee
@mussachuo3910
4 жыл бұрын
Upo sahh kbsa
@hassanyussuph4407
3 жыл бұрын
Ulijuwajee kama kuna hila ilikua imeandaliwa wallah inaumiza sanaa
@shabaniramadhani4109
3 жыл бұрын
Kweli yametimia😢😢
Big up bro nice work you have spoken a good speech to the nation
Bunge likiwa hivi kila siku amani itakuwepo ! Tunasikilizana na kupeana muda !! Nimependa sana leo Mh Speaker
Mwamba kaongeaaaa point ase kama unakubali gonga like yanguvu apo
@lazariushananda5014
3 жыл бұрын
Good speech oppostion side
WATOA TAARIFA🤣🤣🤣🤣👍👍😂😂... Msigwa Ndo dawa Yao.
Nakukubali sana msigwa wasitupotezee muda tusonge mbele
Nakupenda na nalizika Sana na utendaji wako wa kazi mungu akulinde
Nakuombea sana 2021 urudi
Wanaotoa taarifa wanapewa za uso mh.msigwa 😂😂
@kipokendirangu2572
4 жыл бұрын
Ali mussa huyo msigwa hajui uchumi wa dunia.tunachopata ni sawa wazungu wamekaba biashara hiyo ya utalii kama biashara ya mafuta ndiyo maana rais magufuli aliamua kuanza na moundo mbinu kufufua usafiri wa anga reli meli ili tuweze kupata kipato cha utalii kwa bahati mzuri utalii wa Tanzania unatangazwa huku london
@jastinchinga1989
4 жыл бұрын
Jiwe la Moto kwenye hikikichwa kimoja vimo vichwa100 vy kijani kma unakubalina na mm gongo twende2020
@elishajuma2615
Жыл бұрын
@@kipokendirangu2572 we fala huna akili kabisa
God Bless Pst Msigwa
Nakuwaminia msigwa Big up
HV wabunge wa ccm mbona kila upande wa pili wakichangia wao wp na taarifa hivi no kwann
Wabunge wa upinzani ukweli wako vizuri haya majuha yaliyonunuliwa ovyo yamebadilika kuwa makapi
Wabunge wetu ni shida,, kiswahili hawajui kiingeza ndo majanga kabisa,,
Mh. Msigwa🤣🤣 ✌️✌️🔥
I think he is making a point umaarufu wa kina steve nyerere ni mdogo sana
Mihemko.... Wana mihemkooo sana Mh Msigwa
Duuuuuuuu Mungu mpe nafasi nyingine mbunge wangu
@njiroimanuel8063
4 жыл бұрын
Henry Mlandali ilindobungela mwisho hutamuonatena bungeni
This guy has a smart thinking
Ila kweli kuna wabunge huwa hawahurumii kodi zetu!!!! Ivi wanaotoa wanaelewa kweli wanachomaanisha!!! Wapiga kura tujitathmini
Mbunge mheshimiwa Rais wetu anaona mbele. Utalii wa wachina una sura nyingine. Wachina hawaji kwa ajili ya utalii. Usidanganyike. wanatumwa na serikali yao wapi waweke makao kupata mali ghafi bure. HESHI MA KWA RAIS WETU, WAZIRI WA MAMBO NJE PAMOJA NA VIONGOZI WOTE. ulimwengu wote wanajua Tzania inaongoza kwa utalii na wanatangaza sana kuhusu nchin yetu
Big up Mh msigwa safi sana
Big up you
Safi sana mchungaj umeongea vizur sana na maneno yako tumeyaunga mkono kabisaaa yanajenga na s kubomoa saf sana
Shikamoo Mchungaji,,,,,,,,, ila nisiongee jambo
@mrperfect8852
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
Kanun y 28🤣🤣🤣🤣
Wabunge wa CCM mnaaibisha sana, bunge halina heshima tena utafkiri mkutano wa wanywa kahawa
Huyu msigwa ameongea vizuri na inatakiwa mtu mwenye akili ya hali ya juu kumuelewa. Steve analalamika bure. Steve amewajumuisha wasanii wote ili apate support, msigwa usiombe radhi what you said is what is needed in Tanzania. Alicho ongea msigwa ndicho kinacho takiwa tanzania. Wizara husika chukueni point za msigwa. Well done msigwa
Nakupenda sna
Ths is well spoken kiukweli
wabunge strong wapo upinzani ndio maana ccm wanapenda kutoa taarifa ili na wao wapate kiki na waonekane,,,,!!?
kanuni ya 28 sina data nimeishiwa hiyo kwa tundu lisu inatoka kichwani CIO mpaka asome
Kanuni ya 28 hahaha 😂 😂 😂
@danielelibariki4038
4 жыл бұрын
Alikuwa Patron wangu wa boarding huyu mbunge mwaka 2008 hahaha
Good point
Musigwa musigwa umejiita waziri kivuri still Wewe ni mbunge SASA unasema waache ubunge! Wewe ni mchungaji wawapi? Kazi mnataka kuonekana munaongea basi!
@edsonnelson4464
4 жыл бұрын
Eustace Venant huwa akili hamna yaani wewe huoni logic anayoongea hapo,nyie ndo mnaturudisha nyuma
Good
Well said
Badala ya kuchangia hoja kwa mantic,nie mmekalia taarifa, taarifa,acheni ujuha nie baadhi ya wabunge wa ccm.
@elishajuma2615
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Hahaaa Steven nyerere mtalii hahaaa
Wewe jamaa Akili nyingi sema tu tutawapoteza kwa mbinu zao tu jaman tutawamis sana
Ahsante m'bunge wa kweli;kweli wafukua ujinga
Bishop upo vizur mwalimu nyerere aliwahi kukemea kwa mtumishi wa selikari kuwa na kofia zaidi ya moja.
Ujumbe unaweza kuwa mzuri. Lakini jinsi unavyowasilishwa. Ni kutafuta sifa. Kelele hazijengi.
Hawa wabunge wa CCM wanaboa kila wakat taarifa tu mpinzani akongea wao Taarifa hii Taarifa iondolewe mbunge akiongea hayo mambo Taarifa mtu akaongee na mkewe
kanuni ya 28 hahahahahaha aibuu hiii
Wabunge wa chadema n kwamba wote wanaupeo kiasi hiki au ksa n wapinzani maana bnafc wote nawaelewa sn
Upinzani akili nyingi sana,,Mungu awabariki
Msigwa yuko sahihi kabisa utalii unatakiwa utangazwe kwa njia ya watu maarufu duniani
Mimi sijaona baya aloliongea naona point
Uko Vizuri Sana Mbunge Msigwa we unastairi kuwa Raisi kabisa
Mungu akubariki sana mtumishi
@alhabibjurayji3018
4 жыл бұрын
Vipi mbunge wetu wajimbo lachemba simuoni ktk hoja
Tunawatarajia bunge lijao
Wabunge wa ccm fanyeni kilichowapeleka bungeni cyo Kila wakisimama wabunge wa cdm mnasema taarifa mnakwama wapi ??et hapo ndo urudi jimbon kwako kuomba ubunge mmmh
Huyu msigwa hajui utalii hiyo biashara ngumu sana kwa sisi wafrika inatuia vigumu sana sawa sawa na biashara ya mafuta duniani
@chesconkwera2005
4 жыл бұрын
Sio kweli
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Wew unajua nn
💪🏼
For me he's right
Mchungaji umesema vyema sana 🙏🙏🙏
Dah ndio kusiwe na upinzani? japo mimi ni CCM naninampenda mh rais, lkn natamani one day bunge liwe 50% 50% nisiwe mchoyo wa makofi kwa spika kwa hili.
@sirosiro9110
4 жыл бұрын
Ukiipenda ccm utakua maskin
@stevensimtoe2989
4 жыл бұрын
Vzr Sana kuwa mzalendo
Tatizo ni kutokuheshimu umuhimu wa weledi na umahiri unaoendana na wakati bali uchama isiyo na tija
Unafaa sana
Waziri anarogwa 😂😂😂😂
😄😄😄🤗
Hahahaaaaa,akina Rambo,masanja,joti,kingwendu
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@anchelouskyaruzi5913
4 жыл бұрын
We need huyu 2020
Hakuna watu wajinga na madubu duniani kama wabunge wa CCM spika wao wote wapumbavu tu
Dawa kwa watoa taarifa ni msigwa tu
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
Lucus Mvuna kweli huyu komeshaaaaa sanaaaa msigwaaaaa
Msingwa noma
kanuni ya 28😄😄😄
Hongera sana Leo umeongea Leo vzr
@tousihhhh6765
4 жыл бұрын
kabisa katisha san 🔥🔥
@the_white_43.
4 жыл бұрын
sio leo tu....hiyo ndio kazi inafanywa na wapinzani kila siku..
Msigwa we nomaaaaa
🖐️🖐️
Ones
They deal with things and not issues
Duh
Ila kweli Stive Nyerere hata hajulikani malawi Afu eti ndo aitangaze nchi
😂😂😂 28 kama namba ya Manula
Ni kwer kabsa
Mbunge wa ccm anakaa wiki mbili ajaongea anasubir mbunge wa chadema aongee aombe taarifa
Euro hujui kitu bado
Truth be told.I salute you ,Msigwa
We are not serious. Mbunge anaongea mambo ya msingi tunaingiza itikadi za vyama haha haaaaa ni kichekesho
Ivi katiba inaruhusu waziri kuteuliwa kutoka nje ya bunge?
Hzi taarifa zinakera...
Kuna wabunge ni villazajaman duu sijui wamepewaje ubunge
Ccm wanatia aibu jaman
HIZI TAARIFA TAARIFA ZITOLEWE HAMTUACHI TUPATE POINTS, ACHENI USHABIKI WA AJABU IWENI WATU WAZIMA SASA BUNGE HILI KAMA LA VIDUDU VILE MBONA HAMKUI????
Kweli kabisa wewe Ni mchungaji halisi Wewe Ni kichwa Sana
Mkifika kumi na tano mambo yanaenda
Acheni ujinga hana jipya hii ya siku nyingi kipindi hiki mmejitoa ufahamu rudi karantin
Awa wanaosema taharifa wasenge sana huyu msigwa anaongea pointi alafu wanatibua kurekodi maneno kichwani
Kanuni ya ngapi 🤣🤣🤣🤣ya 28 mheshimiwa,...heb isomee...mhe. spika kwa sababu ya kuokoa miss naomba nisisome.🤣🤣🤣🤣Aibuuu
Jamani apo mchungaji umechemsha Roger Federer au LeBron utawalipa shilling ngapi si nchi itafilisika nchi nyingi tena tajiri zinatangaza ata kwenye treni au mabasi uku ulaya
Wambie
😂😂😂
Kanuni ya 28 dah! Umetuzalilisha wanaichi wako mbunge,hata huijui hiyo kanuni
Dah bunge la aibu kabisa inaonyesha watu.wapo hapo kwa maslahi yao tuu
Et unaniacha hoi kuloga loga ndio nini??
😂😂😂😂mcgwa hatak masihar kila wa taarifa ni panga2
@erickmsigwa88
4 жыл бұрын
good sana MMBUNGE