CHECHE ZA MBUNGE MSIGWA BUNGENI LEO "MIFUMO YA NCHI HII IMEFELI"

Пікірлер: 217

  • @shafiimpilika8264
    @shafiimpilika82644 жыл бұрын

    Kama umeona watoa taarifa wamechezea ukuni weke like hapa

  • @joshuakassoga825
    @joshuakassoga8254 жыл бұрын

    Umeongea vizur sana aiseeh, Good speech

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli36504 жыл бұрын

    Daaa inauma sn uchaguzi ujao 2020 tutavipoteza hv vichwa makini kwa hila za wazi wazi za mzee Meko.

  • @dicksonaroka6961

    @dicksonaroka6961

    4 жыл бұрын

    Asante sana msigwa nimependa ulivyo changia umeongea vizur kwa busara na weledi nafikir umeeleweka vizur sana hongera

  • @mrholela7906

    @mrholela7906

    4 жыл бұрын

    Hahaha bora jikee

  • @mussachuo3910

    @mussachuo3910

    4 жыл бұрын

    Upo sahh kbsa

  • @hassanyussuph4407

    @hassanyussuph4407

    3 жыл бұрын

    Ulijuwajee kama kuna hila ilikua imeandaliwa wallah inaumiza sanaa

  • @shabaniramadhani4109

    @shabaniramadhani4109

    3 жыл бұрын

    Kweli yametimia😢😢

  • @silasbenjamin3532
    @silasbenjamin35324 жыл бұрын

    Big up bro nice work you have spoken a good speech to the nation

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz4 жыл бұрын

    Bunge likiwa hivi kila siku amani itakuwepo ! Tunasikilizana na kupeana muda !! Nimependa sana leo Mh Speaker

  • @rogerkivuyo81
    @rogerkivuyo814 жыл бұрын

    Mwamba kaongeaaaa point ase kama unakubali gonga like yanguvu apo

  • @lazariushananda5014

    @lazariushananda5014

    3 жыл бұрын

    Good speech oppostion side

  • @Bigboy-nx3nc
    @Bigboy-nx3nc4 жыл бұрын

    WATOA TAARIFA🤣🤣🤣🤣👍👍😂😂... Msigwa Ndo dawa Yao.

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv96884 жыл бұрын

    Nakukubali sana msigwa wasitupotezee muda tusonge mbele

  • @clevermaphotos
    @clevermaphotos4 жыл бұрын

    Nakupenda na nalizika Sana na utendaji wako wa kazi mungu akulinde

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv96884 жыл бұрын

    Nakuombea sana 2021 urudi

  • @alimussa2655
    @alimussa26554 жыл бұрын

    Wanaotoa taarifa wanapewa za uso mh.msigwa 😂😂

  • @kipokendirangu2572

    @kipokendirangu2572

    4 жыл бұрын

    Ali mussa huyo msigwa hajui uchumi wa dunia.tunachopata ni sawa wazungu wamekaba biashara hiyo ya utalii kama biashara ya mafuta ndiyo maana rais magufuli aliamua kuanza na moundo mbinu kufufua usafiri wa anga reli meli ili tuweze kupata kipato cha utalii kwa bahati mzuri utalii wa Tanzania unatangazwa huku london

  • @jastinchinga1989

    @jastinchinga1989

    4 жыл бұрын

    Jiwe la Moto kwenye hikikichwa kimoja vimo vichwa100 vy kijani kma unakubalina na mm gongo twende2020

  • @elishajuma2615

    @elishajuma2615

    Жыл бұрын

    @@kipokendirangu2572 we fala huna akili kabisa

  • @frankatilio4377
    @frankatilio43774 жыл бұрын

    God Bless Pst Msigwa

  • @abubakaryomary3985
    @abubakaryomary39854 жыл бұрын

    Nakuwaminia msigwa Big up

  • @abnelstudent2431
    @abnelstudent24314 жыл бұрын

    HV wabunge wa ccm mbona kila upande wa pili wakichangia wao wp na taarifa hivi no kwann

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын

    Wabunge wa upinzani ukweli wako vizuri haya majuha yaliyonunuliwa ovyo yamebadilika kuwa makapi

  • @peter.b.michael3841
    @peter.b.michael38414 жыл бұрын

    Wabunge wetu ni shida,, kiswahili hawajui kiingeza ndo majanga kabisa,,

  • @ezrawaya8377
    @ezrawaya83774 жыл бұрын

    Mh. Msigwa🤣🤣 ✌️✌️🔥

  • @robertjagad5826
    @robertjagad58264 жыл бұрын

    I think he is making a point umaarufu wa kina steve nyerere ni mdogo sana

  • @davoo2555
    @davoo25554 жыл бұрын

    Mihemko.... Wana mihemkooo sana Mh Msigwa

  • @henrymlandali9187
    @henrymlandali91874 жыл бұрын

    Duuuuuuuu Mungu mpe nafasi nyingine mbunge wangu

  • @njiroimanuel8063

    @njiroimanuel8063

    4 жыл бұрын

    Henry Mlandali ilindobungela mwisho hutamuonatena bungeni

  • @fredmabeya
    @fredmabeya4 жыл бұрын

    This guy has a smart thinking

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso53344 жыл бұрын

    Ila kweli kuna wabunge huwa hawahurumii kodi zetu!!!! Ivi wanaotoa wanaelewa kweli wanachomaanisha!!! Wapiga kura tujitathmini

  • @esthernsami7732
    @esthernsami77324 жыл бұрын

    Mbunge mheshimiwa Rais wetu anaona mbele. Utalii wa wachina una sura nyingine. Wachina hawaji kwa ajili ya utalii. Usidanganyike. wanatumwa na serikali yao wapi waweke makao kupata mali ghafi bure. HESHI MA KWA RAIS WETU, WAZIRI WA MAMBO NJE PAMOJA NA VIONGOZI WOTE. ulimwengu wote wanajua Tzania inaongoza kwa utalii na wanatangaza sana kuhusu nchin yetu

  • @donaldsinkamba4867
    @donaldsinkamba48674 жыл бұрын

    Big up Mh msigwa safi sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25134 жыл бұрын

    Big up you

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka69614 жыл бұрын

    Safi sana mchungaj umeongea vizur sana na maneno yako tumeyaunga mkono kabisaaa yanajenga na s kubomoa saf sana

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso53344 жыл бұрын

    Shikamoo Mchungaji,,,,,,,,, ila nisiongee jambo

  • @mrperfect8852

    @mrperfect8852

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @danymsinga7048
    @danymsinga70484 жыл бұрын

    Kanun y 28🤣🤣🤣🤣

  • @davoo2555
    @davoo25554 жыл бұрын

    Wabunge wa CCM mnaaibisha sana, bunge halina heshima tena utafkiri mkutano wa wanywa kahawa

  • @luvisa2472
    @luvisa24724 жыл бұрын

    Huyu msigwa ameongea vizuri na inatakiwa mtu mwenye akili ya hali ya juu kumuelewa. Steve analalamika bure. Steve amewajumuisha wasanii wote ili apate support, msigwa usiombe radhi what you said is what is needed in Tanzania. Alicho ongea msigwa ndicho kinacho takiwa tanzania. Wizara husika chukueni point za msigwa. Well done msigwa

  • @mariamariam9239
    @mariamariam92394 жыл бұрын

    Nakupenda sna

  • @veronicamutagulwa6192
    @veronicamutagulwa61924 жыл бұрын

    Ths is well spoken kiukweli

  • @abdulseif4093
    @abdulseif40934 жыл бұрын

    wabunge strong wapo upinzani ndio maana ccm wanapenda kutoa taarifa ili na wao wapate kiki na waonekane,,,,!!?

  • @fadhilgaspa6520
    @fadhilgaspa65204 жыл бұрын

    kanuni ya 28 sina data nimeishiwa hiyo kwa tundu lisu inatoka kichwani CIO mpaka asome

  • @mussaphysicscommissioner8458
    @mussaphysicscommissioner84584 жыл бұрын

    Kanuni ya 28 hahaha 😂 😂 😂

  • @danielelibariki4038

    @danielelibariki4038

    4 жыл бұрын

    Alikuwa Patron wangu wa boarding huyu mbunge mwaka 2008 hahaha

  • @gervaskihwele1556
    @gervaskihwele15564 жыл бұрын

    Good point

  • @eustacevenant4567
    @eustacevenant45674 жыл бұрын

    Musigwa musigwa umejiita waziri kivuri still Wewe ni mbunge SASA unasema waache ubunge! Wewe ni mchungaji wawapi? Kazi mnataka kuonekana munaongea basi!

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    4 жыл бұрын

    Eustace Venant huwa akili hamna yaani wewe huoni logic anayoongea hapo,nyie ndo mnaturudisha nyuma

  • @alexrichard6931
    @alexrichard69314 жыл бұрын

    Good

  • @jumameneja1245
    @jumameneja12454 жыл бұрын

    Well said

  • @hamisikabwe3980
    @hamisikabwe39804 жыл бұрын

    Badala ya kuchangia hoja kwa mantic,nie mmekalia taarifa, taarifa,acheni ujuha nie baadhi ya wabunge wa ccm.

  • @elishajuma2615

    @elishajuma2615

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman83204 жыл бұрын

    Hahaaa Steven nyerere mtalii hahaaa

  • @lucusmvuna8574
    @lucusmvuna85744 жыл бұрын

    Wewe jamaa Akili nyingi sema tu tutawapoteza kwa mbinu zao tu jaman tutawamis sana

  • @jacksnow2921
    @jacksnow29214 жыл бұрын

    Ahsante m'bunge wa kweli;kweli wafukua ujinga

  • @briansancedo9336
    @briansancedo93364 жыл бұрын

    Bishop upo vizur mwalimu nyerere aliwahi kukemea kwa mtumishi wa selikari kuwa na kofia zaidi ya moja.

  • @rosemarymsulwa203
    @rosemarymsulwa2034 жыл бұрын

    Ujumbe unaweza kuwa mzuri. Lakini jinsi unavyowasilishwa. Ni kutafuta sifa. Kelele hazijengi.

  • @mussachuo3910
    @mussachuo39104 жыл бұрын

    Hawa wabunge wa CCM wanaboa kila wakat taarifa tu mpinzani akongea wao Taarifa hii Taarifa iondolewe mbunge akiongea hayo mambo Taarifa mtu akaongee na mkewe

  • @ismailkidoga5109
    @ismailkidoga51094 жыл бұрын

    kanuni ya 28 hahahahahaha aibuu hiii

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed75564 жыл бұрын

    Wabunge wa chadema n kwamba wote wanaupeo kiasi hiki au ksa n wapinzani maana bnafc wote nawaelewa sn

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick454 жыл бұрын

    Upinzani akili nyingi sana,,Mungu awabariki

  • @amhamediserengeti4808
    @amhamediserengeti48084 жыл бұрын

    Msigwa yuko sahihi kabisa utalii unatakiwa utangazwe kwa njia ya watu maarufu duniani

  • @silenceofficial8532
    @silenceofficial85324 жыл бұрын

    Mimi sijaona baya aloliongea naona point

  • @clevermaphotos
    @clevermaphotos4 жыл бұрын

    Uko Vizuri Sana Mbunge Msigwa we unastairi kuwa Raisi kabisa

  • @julietbujiku453
    @julietbujiku4534 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @alhabibjurayji3018

    @alhabibjurayji3018

    4 жыл бұрын

    Vipi mbunge wetu wajimbo lachemba simuoni ktk hoja

  • @britonngale6644
    @britonngale66444 жыл бұрын

    Tunawatarajia bunge lijao

  • @magdalenaandrew5457
    @magdalenaandrew54574 жыл бұрын

    Wabunge wa ccm fanyeni kilichowapeleka bungeni cyo Kila wakisimama wabunge wa cdm mnasema taarifa mnakwama wapi ??et hapo ndo urudi jimbon kwako kuomba ubunge mmmh

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu25724 жыл бұрын

    Huyu msigwa hajui utalii hiyo biashara ngumu sana kwa sisi wafrika inatuia vigumu sana sawa sawa na biashara ya mafuta duniani

  • @chesconkwera2005

    @chesconkwera2005

    4 жыл бұрын

    Sio kweli

  • @elishajuma2615

    @elishajuma2615

    Жыл бұрын

    Wew unajua nn

  • @jumamarecho3393
    @jumamarecho33934 жыл бұрын

    💪🏼

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu77824 жыл бұрын

    For me he's right

  • @sangaryafundimasero2373
    @sangaryafundimasero23734 жыл бұрын

    Mchungaji umesema vyema sana 🙏🙏🙏

  • @tumaininerei5948
    @tumaininerei59484 жыл бұрын

    Dah ndio kusiwe na upinzani? japo mimi ni CCM naninampenda mh rais, lkn natamani one day bunge liwe 50% 50% nisiwe mchoyo wa makofi kwa spika kwa hili.

  • @sirosiro9110

    @sirosiro9110

    4 жыл бұрын

    Ukiipenda ccm utakua maskin

  • @stevensimtoe2989

    @stevensimtoe2989

    4 жыл бұрын

    Vzr Sana kuwa mzalendo

  • @eddymkwambe574
    @eddymkwambe5744 жыл бұрын

    Tatizo ni kutokuheshimu umuhimu wa weledi na umahiri unaoendana na wakati bali uchama isiyo na tija

  • @tamimissa7525
    @tamimissa75254 жыл бұрын

    Unafaa sana

  • @mdee261
    @mdee2614 жыл бұрын

    Waziri anarogwa 😂😂😂😂

  • @JohnJohn-zz4rn
    @JohnJohn-zz4rn4 жыл бұрын

    😄😄😄🤗

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25134 жыл бұрын

    Hahahaaaaa,akina Rambo,masanja,joti,kingwendu

  • @muhidinsaleh6832
    @muhidinsaleh68324 жыл бұрын

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @anchelouskyaruzi5913

    @anchelouskyaruzi5913

    4 жыл бұрын

    We need huyu 2020

  • @adamsoud4862
    @adamsoud48624 жыл бұрын

    Hakuna watu wajinga na madubu duniani kama wabunge wa CCM spika wao wote wapumbavu tu

  • @lucusmvuna8574
    @lucusmvuna85744 жыл бұрын

    Dawa kwa watoa taarifa ni msigwa tu

  • @twaibumikidadi7377

    @twaibumikidadi7377

    4 жыл бұрын

    Lucus Mvuna kweli huyu komeshaaaaa sanaaaa msigwaaaaa

  • @woltabenad8311
    @woltabenad83114 жыл бұрын

    Msingwa noma

  • @juliusboy9057
    @juliusboy90574 жыл бұрын

    kanuni ya 28😄😄😄

  • @martinekija4188
    @martinekija41884 жыл бұрын

    Hongera sana Leo umeongea Leo vzr

  • @tousihhhh6765

    @tousihhhh6765

    4 жыл бұрын

    kabisa katisha san 🔥🔥

  • @the_white_43.

    @the_white_43.

    4 жыл бұрын

    sio leo tu....hiyo ndio kazi inafanywa na wapinzani kila siku..

  • @innocentselestne5871
    @innocentselestne58714 жыл бұрын

    Msigwa we nomaaaaa

  • @yahayakazinyingi2534
    @yahayakazinyingi25344 жыл бұрын

    🖐️🖐️

  • @chibunews5642
    @chibunews56424 жыл бұрын

    Ones

  • @ismaililuhunga7254
    @ismaililuhunga72544 жыл бұрын

    They deal with things and not issues

  • @pierreadams3114
    @pierreadams31144 жыл бұрын

    Duh

  • @amosikabalata6381
    @amosikabalata63814 жыл бұрын

    Ila kweli Stive Nyerere hata hajulikani malawi Afu eti ndo aitangaze nchi

  • @franceally2774
    @franceally27744 жыл бұрын

    😂😂😂 28 kama namba ya Manula

  • @hemediswaibu5199
    @hemediswaibu51994 жыл бұрын

    Ni kwer kabsa

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma60514 жыл бұрын

    Mbunge wa ccm anakaa wiki mbili ajaongea anasubir mbunge wa chadema aongee aombe taarifa

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel38834 жыл бұрын

    Euro hujui kitu bado

  • @omarysebastian3208
    @omarysebastian32084 жыл бұрын

    Truth be told.I salute you ,Msigwa

  • @johnisrael1968
    @johnisrael19684 жыл бұрын

    We are not serious. Mbunge anaongea mambo ya msingi tunaingiza itikadi za vyama haha haaaaa ni kichekesho

  • @ayubuchindo635
    @ayubuchindo6354 жыл бұрын

    Ivi katiba inaruhusu waziri kuteuliwa kutoka nje ya bunge?

  • @marittejames4626
    @marittejames46264 жыл бұрын

    Hzi taarifa zinakera...

  • @mohamedmbalazi748
    @mohamedmbalazi7484 жыл бұрын

    Kuna wabunge ni villazajaman duu sijui wamepewaje ubunge

  • @marrytanzania9035
    @marrytanzania90354 жыл бұрын

    Ccm wanatia aibu jaman

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro63754 жыл бұрын

    HIZI TAARIFA TAARIFA ZITOLEWE HAMTUACHI TUPATE POINTS, ACHENI USHABIKI WA AJABU IWENI WATU WAZIMA SASA BUNGE HILI KAMA LA VIDUDU VILE MBONA HAMKUI????

  • @johnedwardkassawa2952
    @johnedwardkassawa29524 жыл бұрын

    Kweli kabisa wewe Ni mchungaji halisi Wewe Ni kichwa Sana

  • @tamimissa7525
    @tamimissa75254 жыл бұрын

    Mkifika kumi na tano mambo yanaenda

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere14504 жыл бұрын

    Acheni ujinga hana jipya hii ya siku nyingi kipindi hiki mmejitoa ufahamu rudi karantin

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde16904 жыл бұрын

    Awa wanaosema taharifa wasenge sana huyu msigwa anaongea pointi alafu wanatibua kurekodi maneno kichwani

  • @hazibonplatformafrica9617
    @hazibonplatformafrica96174 жыл бұрын

    Kanuni ya ngapi 🤣🤣🤣🤣ya 28 mheshimiwa,...heb isomee...mhe. spika kwa sababu ya kuokoa miss naomba nisisome.🤣🤣🤣🤣Aibuuu

  • @dollyandthedoliganeloi3025
    @dollyandthedoliganeloi30254 жыл бұрын

    Jamani apo mchungaji umechemsha Roger Federer au LeBron utawalipa shilling ngapi si nchi itafilisika nchi nyingi tena tajiri zinatangaza ata kwenye treni au mabasi uku ulaya

  • @lameckmtaka2659
    @lameckmtaka26594 жыл бұрын

    Wambie

  • @brianlaurent4806
    @brianlaurent48064 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi63784 жыл бұрын

    Kanuni ya 28 dah! Umetuzalilisha wanaichi wako mbunge,hata huijui hiyo kanuni

  • @ahmadishaibufataha1481
    @ahmadishaibufataha14814 жыл бұрын

    Dah bunge la aibu kabisa inaonyesha watu.wapo hapo kwa maslahi yao tuu

  • @vicentvaleliani4200
    @vicentvaleliani42004 жыл бұрын

    Et unaniacha hoi kuloga loga ndio nini??

  • @mrperfect8852
    @mrperfect88524 жыл бұрын

    😂😂😂😂mcgwa hatak masihar kila wa taarifa ni panga2

  • @erickmsigwa88

    @erickmsigwa88

    4 жыл бұрын

    good sana MMBUNGE

Келесі