MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa

Ойын-сауық

ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Askofu

Пікірлер: 237

  • @user-kn8pw7vk4e
    @user-kn8pw7vk4eАй бұрын

    Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...

  • @yustondelwa5986
    @yustondelwa5986 Жыл бұрын

    Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena

  • @zawadielisikay
    @zawadielisikay Жыл бұрын

    Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu

  • @amisamaurid1882

    @amisamaurid1882

    22 күн бұрын

    Kabisa

  • @evalinemagige495
    @evalinemagige4953 ай бұрын

    Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya

  • @amisamaurid1882

    @amisamaurid1882

    22 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha80513 ай бұрын

    Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Tinaanza na wewe

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu36563 ай бұрын

    Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani Kwa kweli Ushoga Hapana

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam24193 ай бұрын

    Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi

  • @josephatmargwe-kn4mu
    @josephatmargwe-kn4muАй бұрын

    Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu

  • @robertkatole3910
    @robertkatole3910 Жыл бұрын

    Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.

  • @drdd774
    @drdd774 Жыл бұрын

    Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.

  • @theresiachacha3068
    @theresiachacha3068 Жыл бұрын

    Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    @alhadajjmohammedsmith9042

    Жыл бұрын

    Wanaona haya na Wanaogopa hata kutembea Mitaani .

  • @brysonuronu5862

    @brysonuronu5862

    Жыл бұрын

    Mungu hadhiakiwi

  • @muznatshaban5089
    @muznatshaban5089 Жыл бұрын

    Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Жыл бұрын

    Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?

  • @upendogospelreaching6380
    @upendogospelreaching6380Ай бұрын

    Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Жыл бұрын

    Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia

  • @user-bw5wj8dw5q
    @user-bw5wj8dw5q26 күн бұрын

    Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote

  • @juanajuan3198
    @juanajuan3198 Жыл бұрын

    Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus3 ай бұрын

    Sabuni zake situmiiii teeeeeena

  • @user-ef7pn5wt7g

    @user-ef7pn5wt7g

    Ай бұрын

    Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa3 ай бұрын

    Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro30423 ай бұрын

    MITHALI 24:1-2 Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao, Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson6 күн бұрын

    Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache. Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_493623 күн бұрын

    Mnacheza na mungu yupo hai

  • @Nazareth8119
    @Nazareth81193 ай бұрын

    Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Wewe wasema

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson6 күн бұрын

    Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.

  • @rameckmarembo
    @rameckmaremboАй бұрын

    Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!? Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын

    Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni

  • @chulelubella2819

    @chulelubella2819

    Жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃

  • @gabrielzakaria2810

    @gabrielzakaria2810

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo

  • @heritier5119
    @heritier51192 ай бұрын

    Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Жыл бұрын

    Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    @alhadajjmohammedsmith9042

    Жыл бұрын

    Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi. Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?! Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?! Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu. WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.

  • @betuelmgullu4631
    @betuelmgullu4631 Жыл бұрын

    Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku41053 ай бұрын

    Bado hamjasema😂 Islam is my religion

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Жыл бұрын

    Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.

  • @brysonuronu5862

    @brysonuronu5862

    Жыл бұрын

    Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi.. Aliwahi kuita torati ni mavi Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi... Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi.. Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..

  • @josephmazengo1113
    @josephmazengo1113 Жыл бұрын

    Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 Жыл бұрын

    Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 Жыл бұрын

    Mungu tandika Hawa maana wamezidi

  • @Edwin-tw3yj
    @Edwin-tw3yj2 ай бұрын

    Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe

  • @deborambutu9547
    @deborambutu9547 Жыл бұрын

    Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Жыл бұрын

    Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.

  • @heritier5119
    @heritier51192 ай бұрын

    Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu

  • @PcgtMsalato
    @PcgtMsalato3 ай бұрын

    Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson44643 ай бұрын

    Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!

  • @MwanjiNzala-mo5ni

    @MwanjiNzala-mo5ni

    2 ай бұрын

    Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile46813 ай бұрын

    Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle3 ай бұрын

    HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Ndo huyo kumbe! Lol Mungu ampige eti askof!

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana

  • @hassanchuji8965
    @hassanchuji8965 Жыл бұрын

    Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын

    Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.

  • @brysonuronu5862

    @brysonuronu5862

    Жыл бұрын

    Aah sana kabisa kabisa

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    3 ай бұрын

    Kweli

  • @heritier5119
    @heritier51192 ай бұрын

    😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila

  • @pendogwisu
    @pendogwisu3 ай бұрын

    Amepigwa Kofi zito na Mungu

  • @user-vl5tz6xt2m
    @user-vl5tz6xt2m2 ай бұрын

    Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv5473 ай бұрын

    U Dr haukufanyi kumjua Mungu.

  • @user-vl5tz6xt2m

    @user-vl5tz6xt2m

    2 ай бұрын

    Ana U Dr gani mavi tu hawa

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Жыл бұрын

    Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын

    hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa

  • @brysonuronu5862

    @brysonuronu5862

    Жыл бұрын

    Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu

  • @gabrielzakaria2810

    @gabrielzakaria2810

    3 ай бұрын

    Michizi hii

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure

  • @DeborahLemboto-yf8jw
    @DeborahLemboto-yf8jwАй бұрын

    Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅

  • @kelvinmwalunenge6224
    @kelvinmwalunenge62243 ай бұрын

    Nema ya wasenge wote imefunuliwa

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa3 ай бұрын

    Mapepo nyinyi mungu awahukum

  • @mkuubonyo1713
    @mkuubonyo17133 ай бұрын

    Mama chizi mzee chizi ushoga ?

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda75743 ай бұрын

    Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama42293 ай бұрын

    Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie

  • @joyceregani9778
    @joyceregani97783 ай бұрын

    Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid188222 күн бұрын

    Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa

  • @kdazzy9967
    @kdazzy9967 Жыл бұрын

    Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha

  • @olivajohn9301
    @olivajohn93012 ай бұрын

    Unavyosoma kwa hisia utafikiri kweli jinga kabisa

  • @HabilyTech
    @HabilyTech Жыл бұрын

    Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyangaАй бұрын

    Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.

  • @esthermwaibasa4778
    @esthermwaibasa4778 Жыл бұрын

    Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 Жыл бұрын

    Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU

  • @brysonuronu5862

    @brysonuronu5862

    Жыл бұрын

    Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini.. Aiseeee

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Жыл бұрын

    Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Жыл бұрын

    Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 Жыл бұрын

    mbona walawi 20:13-14 hamuisomagi na kuihubiri??

  • @paulinbyonge8478
    @paulinbyonge8478 Жыл бұрын

    😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi

  • @bettynovertyfrances9620
    @bettynovertyfrances9620 Жыл бұрын

    Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Жыл бұрын

    Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    2 Wakorinth 11:13-15 "Shetani kujigeuza

  • @olivajohn9301
    @olivajohn93012 ай бұрын

    Mungu atashulika na nyie😢

  • @emmanuelmanka
    @emmanuelmanka3 ай бұрын

    Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Жыл бұрын

    Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome

  • @mussawambwe5853
    @mussawambwe5853 Жыл бұрын

    Mchungaji shoga huyo

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 Жыл бұрын

    Amesema kweli acheee tabia yake Amuogepe Allah Khaa video yake imesambaa ile kubwa

  • @aziza9093
    @aziza90933 ай бұрын

    Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa2 ай бұрын

    Mapepo wakubwa nyinyinyi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko44003 ай бұрын

    Huyu Askof anatakiwa kwenda kuwashitaki mahakamani wale anaosema kuwa walimchafua ili ukweli ujulikane na mwongo ajulikane pia. Kueleza hayo hakutoshi kwasababu taarifa kamili aliyoitoa Askofu hatukuiona kwahiyo tutaamini hiyo tuliyoiona kuwa ni ya kwake mpaka atakapowexa kuwashitaki waliomchonganisha na jamii na watiwe hatiani. Vinginevyo huyu askofu ataendelea kusomeka hivyo ilivyo kwenye video zake hizo ambazo sasa anazikataa.

  • @MathayoLoboi-uw2uj
    @MathayoLoboi-uw2uj3 ай бұрын

    Upingwe kanza ufe life chakora ufe kifo Cha jeshi lafarao

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Жыл бұрын

    Hawa n mashoga hmn kitu hapo

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo183 ай бұрын

    Myshindwe ktk jina la yesu kristo aliye hai.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 ай бұрын

    How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli213 ай бұрын

    Nabado naomuombea aendelee kuwa hoi mpaka afe kwani huyu ni wakala wa shetani,

  • @ConfusedCalicoCat-vz3iu
    @ConfusedCalicoCat-vz3iu2 ай бұрын

    Uyoo si alisema yye ni shoga

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa22583 ай бұрын

    Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.

  • @patrickmsekwa4947
    @patrickmsekwa4947Ай бұрын

    Aki au haki???... Unachafua Kiswahili

  • @hono1232
    @hono12323 ай бұрын

    Sema shoga Martin bashwanda siyo mtume

  • @upendogospelreaching6380
    @upendogospelreaching6380Ай бұрын

    Yaani hata unavyosoma TU hapo we kimama unakera ondokaaa

  • @theodosiampogole2672
    @theodosiampogole26723 ай бұрын

    Mnaimba NEEMA Kwa mashoga,biblia kitabu Cha ajabu mmmh

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Жыл бұрын

    Msitumie defence ya vipande kukiri kosa wazi wazi ni bora kuliko kuzunguka zunguka, hawa watu wahakikiwe elimu zao naona hawako sawa

  • @evalinemagige495
    @evalinemagige4953 ай бұрын

    Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l3 ай бұрын

    Don't be deceived God is not Mocked

  • @amanbeyanga8055
    @amanbeyanga80552 ай бұрын

    Nyinyi ni mashoga na wasagaji,bado hamjapigwa hadi mfe tu

  • @Chemba67
    @Chemba67 Жыл бұрын

    SUUUUUUUUKUMAAA NDANIIIIIIIIIIIIIIII WOTE HAWA

  • @zaqusdaudi3296
    @zaqusdaudi32963 ай бұрын

    Njaa ni chanzo cha dhambi

  • @drelizakilili

    @drelizakilili

    Ай бұрын

    Sina njaa kabisa natafuta pesa kwa jasho langu mwenyewe. Bila kulala usiku na mchana tuonyeshe cha kwako

  • @domycossan1395
    @domycossan1395 Жыл бұрын

    Mtumishi Ceaser mwanzoni nilimuona wa maana sana, lakini baada ya kumsikia na kumwona akikashifu Biblia na watumishi mitume wa zamani kama Paul, nilianza kumwona mpotofu, binadamu sio wakamilifu sisi lakini kwa upotoshaji wake na watumishi wengine katika huduma hiyo na kujiinua wanakojiinua yaani ni dalili za ushetani. Kujiita majina makubwa na kutaka kutunga mavitabu yao kujihalalishia upotofu. Kuhalalisha USHOGA tena anatumia nguvu nyingi kukengeusha injili.

  • @salumurembo6525
    @salumurembo6525 Жыл бұрын

    Nimesilikiliza sana hawa watu. Nimewaelewa nia yao. Kwa sasa naogapa kununua biadhaa zao ziwe za kupaka au kunywa naogopa huenda wakaweka viambatisho vya kuchochea vile vitu

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Dawa ni kuacha kutumia na waumini kutoenda kanisani kwao mbona ni rahisi tu

  • @patmercysecuritycompanylim5689
    @patmercysecuritycompanylim5689 Жыл бұрын

    Msihalibu thehebu la Kristo

Келесі