MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa
Ойын-сауық
ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Askofu
Пікірлер: 237
Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...
Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena
Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu
@amisamaurid1882
22 күн бұрын
Kabisa
Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya
@amisamaurid1882
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu
@drelizakilili
Ай бұрын
Tinaanza na wewe
Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani Kwa kweli Ushoga Hapana
Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi
Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu
Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.
Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.
Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi
@alhadajjmohammedsmith9042
Жыл бұрын
Wanaona haya na Wanaogopa hata kutembea Mitaani .
@brysonuronu5862
Жыл бұрын
Mungu hadhiakiwi
Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee
Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...
@drelizakilili
Ай бұрын
Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?
Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana
Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu
Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia
Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote
Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.
Sabuni zake situmiiii teeeeeena
@user-ef7pn5wt7g
Ай бұрын
Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu
Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola
MITHALI 24:1-2 Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao, Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.
Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache. Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu
Mnacheza na mungu yupo hai
Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.
@MsAggie5
3 ай бұрын
Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.
@drelizakilili
Ай бұрын
Wewe wasema
Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.
Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!? Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi
Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni
@chulelubella2819
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃
@gabrielzakaria2810
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo
Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali
Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea
@alhadajjmohammedsmith9042
Жыл бұрын
Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi. Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?! Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?! Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu. WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.
Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza
Bado hamjasema😂 Islam is my religion
Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.
@brysonuronu5862
Жыл бұрын
Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi.. Aliwahi kuita torati ni mavi Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi... Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi.. Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..
Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo
Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.
Mungu tandika Hawa maana wamezidi
Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe
Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa
@MsAggie5
3 ай бұрын
Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.
Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.
Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu
Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.
Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!
@MwanjiNzala-mo5ni
2 ай бұрын
Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj
@drelizakilili
Ай бұрын
Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana
Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.
HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA
@MsAggie5
3 ай бұрын
Ndo huyo kumbe! Lol Mungu ampige eti askof!
@drelizakilili
Ай бұрын
Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana
Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu
Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.
@brysonuronu5862
Жыл бұрын
Aah sana kabisa kabisa
@zebedayokatamaduni9676
3 ай бұрын
Kweli
😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila
Amepigwa Kofi zito na Mungu
Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa
U Dr haukufanyi kumjua Mungu.
@user-vl5tz6xt2m
2 ай бұрын
Ana U Dr gani mavi tu hawa
Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo
hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa
@brysonuronu5862
Жыл бұрын
Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu
@gabrielzakaria2810
3 ай бұрын
Michizi hii
@drelizakilili
Ай бұрын
Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure
Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅
Nema ya wasenge wote imefunuliwa
Mapepo nyinyi mungu awahukum
Mama chizi mzee chizi ushoga ?
Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo
Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie
Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi
Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa
Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha
Unavyosoma kwa hisia utafikiri kweli jinga kabisa
Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu
Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.
Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,
Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU
@brysonuronu5862
Жыл бұрын
Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini.. Aiseeee
Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana
Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.
mbona walawi 20:13-14 hamuisomagi na kuihubiri??
😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi
Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana
Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO
2 Wakorinth 11:13-15 "Shetani kujigeuza
Mungu atashulika na nyie😢
Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae
Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome
Mchungaji shoga huyo
Amesema kweli acheee tabia yake Amuogepe Allah Khaa video yake imesambaa ile kubwa
Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya
Mapepo wakubwa nyinyinyi
Huyu Askof anatakiwa kwenda kuwashitaki mahakamani wale anaosema kuwa walimchafua ili ukweli ujulikane na mwongo ajulikane pia. Kueleza hayo hakutoshi kwasababu taarifa kamili aliyoitoa Askofu hatukuiona kwahiyo tutaamini hiyo tuliyoiona kuwa ni ya kwake mpaka atakapowexa kuwashitaki waliomchonganisha na jamii na watiwe hatiani. Vinginevyo huyu askofu ataendelea kusomeka hivyo ilivyo kwenye video zake hizo ambazo sasa anazikataa.
Upingwe kanza ufe life chakora ufe kifo Cha jeshi lafarao
Hawa n mashoga hmn kitu hapo
Myshindwe ktk jina la yesu kristo aliye hai.
How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?
Nabado naomuombea aendelee kuwa hoi mpaka afe kwani huyu ni wakala wa shetani,
Uyoo si alisema yye ni shoga
Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.
Aki au haki???... Unachafua Kiswahili
Sema shoga Martin bashwanda siyo mtume
Yaani hata unavyosoma TU hapo we kimama unakera ondokaaa
Mnaimba NEEMA Kwa mashoga,biblia kitabu Cha ajabu mmmh
Msitumie defence ya vipande kukiri kosa wazi wazi ni bora kuliko kuzunguka zunguka, hawa watu wahakikiwe elimu zao naona hawako sawa
Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo
Don't be deceived God is not Mocked
Nyinyi ni mashoga na wasagaji,bado hamjapigwa hadi mfe tu
SUUUUUUUUKUMAAA NDANIIIIIIIIIIIIIIII WOTE HAWA
Njaa ni chanzo cha dhambi
@drelizakilili
Ай бұрын
Sina njaa kabisa natafuta pesa kwa jasho langu mwenyewe. Bila kulala usiku na mchana tuonyeshe cha kwako
Mtumishi Ceaser mwanzoni nilimuona wa maana sana, lakini baada ya kumsikia na kumwona akikashifu Biblia na watumishi mitume wa zamani kama Paul, nilianza kumwona mpotofu, binadamu sio wakamilifu sisi lakini kwa upotoshaji wake na watumishi wengine katika huduma hiyo na kujiinua wanakojiinua yaani ni dalili za ushetani. Kujiita majina makubwa na kutaka kutunga mavitabu yao kujihalalishia upotofu. Kuhalalisha USHOGA tena anatumia nguvu nyingi kukengeusha injili.
Nimesilikiliza sana hawa watu. Nimewaelewa nia yao. Kwa sasa naogapa kununua biadhaa zao ziwe za kupaka au kunywa naogopa huenda wakaweka viambatisho vya kuchochea vile vitu
@MsAggie5
3 ай бұрын
Dawa ni kuacha kutumia na waumini kutoenda kanisani kwao mbona ni rahisi tu
Msihalibu thehebu la Kristo