SIRI ya sababu ya MAANDAMANO Ubungo SIMU 2000/Wafanyabiashara wamjia Juu DC UBUNGO
Ойын-сауық
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Пікірлер: 48
Watanzania kuweni kama wakenya
Hapo Mtaondoka Lakini basi Wawatafutie Sehemu Sahihi. Serikali Huwa Ina Mbinu Nyingi.
@knight6757
15 күн бұрын
😂
Ikibidi pigeni moto gari lake!!
Kwa Sasa Tanzania na wakenya siku sio Mrefu watajiunga kwakufanya Maandamano
@maryamsaid1307
14 күн бұрын
😂😂😂😂
TANZANIA Umoja ziro ++.Na hao wanao andamana ikipigwa moja juu huwezi kumuona mtu.Ya kenya waachieni wakenya.Rais wetu hana shida makanjanja wake mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya ni shida hakuna wanachokifanya..Bora vyeo vingine viondolewe tu.Upotevu wa pesa za Serikali.Kuimba kwenyewe wanashindwa mtihani😂😂😂
Hiyo ni vita ya kisiasa...tutunze amani yetu
Acheni fujo tz
Mama Samia hiyeeeeee❤❤
Ebwanaaaa eeeeh kenya 🇰🇪 wameshatuamsha😂😂
Wabongo waoga sanaaaa cheki hao wapo nyumaaa uko wanajianda kukimbia
@bilid4128
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@mrambabashim3571
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂 aiseeeee nmechek
@user-cq4lp5rv1l
14 күн бұрын
Hawa wabongo kazi wiz tu uhuni wao na kufurhia uchawa ila kwenye umoja aaaaah
Aina ya viongozi tuliokuwa nao amesahau Jana alizungumza nini
Haya sio madamano nichemsha bongo tu
Kikaoo Cha Siri hajui nacho kiongea hapo huyo kijana
Mama Samia anaangushwa sana na viongozi wake. Mama ana mipango mizuri lakini walio chini yake wanafanya madudu matupu.
@knight6757
15 күн бұрын
🤔
@leinaamos
15 күн бұрын
Wanakubaliana wewe 😂😂
@BakariIssa-nx3yf
14 күн бұрын
Aangushwi na wateule shida wanajua watanzania nimanyumbu maana raisi nimungu watanzania nao nimalaika wake ss ni laia tu!!
Mwekezaji kaka ananguvu
Leo tandika wamevunja biashara za watu
Huyo bomboko akili hana sijui rais anashauliwa na nani kuteua watu wajinga kama hawa
Uchaguzi wanukia
Hv nyie raia mnapata wap mamlaka ya kuzuia raia mwenzako asfanye kle anachokiamin?
Hawa wanasiasa wanafiki walituambia2016 hawatufukuzi kazi matokeo yake2018 wametufukuza kazi sijui wanajisikiaje ila mujue mungu yupo anawaona
Hakuna watu waoga kama sisi watanzania. Hakuna kitu hapa
Hilo eneo sio la ccm msitoke
Kumbe mswahili ni muongo 😂😂
@knight6757
15 күн бұрын
😂
Panzi anamiguu mingapi
Uchawa wenu unawaponza huyomnaemwita mama samia ndy alie wazaa!?
@saidkipalo4427
15 күн бұрын
Kuwa na heshima mpuuzi wewe
WANANCHI WANATESWA NA VIONGOZI WABOVU
Hiyo ndiyo ccm hawataki mfanye biashara ila wanataka pesa zenu
That is pure example of poor leadership/inconsistence from our government as result causing chaos among ourselves, hinder productivity and society growth.
Selikali ya ccm wakezoea kusema uongo ndiyo maana tunafika sehemu hatuwezi kuwaamini kabisa
Tanzania na Kenya nchi zinaviongozi wa ovyo sana
@knight6757
15 күн бұрын
😮
@section8ight174
15 күн бұрын
Afrika nzima!!
@HamisiAbdallah-vu7fz
15 күн бұрын
mtetezi wa wanyonge ameshatangulia mbele ya haki
@hamisijuma3276
15 күн бұрын
@@section8ight174 Acha Ibrahim troule kule kwa Aziz K Ni jembe Kama J
Ndiyo mjue hamna watetezi wenu popote pale
ALAFU WAKIJA NA SIASA ZAO MIJITU INAWACHAGUA CCM TENA
Gen z wave
Haha! Hii namba nishaisoma, hawa viongozi wanataka kuchanganya watu makusudi ili watu wagome waanze kuleta vurugu kama kule Kenya! Hii kitu iko scripted, this is a huge PSYOP & I can already see the puppeteers hand. Rudini mkaisikilize speech ya yule “controlled opposition” Tundulisa keshawakanya hamkumsikiza, he said “we as a country are heading for very dangerous times 2024-2030” sit tight everyone and enjoy the ride, this is only the beginning.