SIRI ya sababu ya MAANDAMANO Ubungo SIMU 2000/Wafanyabiashara wamjia Juu DC UBUNGO

Ойын-сауық

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZread channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 48

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj14 күн бұрын

    Watanzania kuweni kama wakenya

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa15 күн бұрын

    Hapo Mtaondoka Lakini basi Wawatafutie Sehemu Sahihi. Serikali Huwa Ina Mbinu Nyingi.

  • @knight6757

    @knight6757

    15 күн бұрын

    😂

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce93215 күн бұрын

    Ikibidi pigeni moto gari lake!!

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa897915 күн бұрын

    Kwa Sasa Tanzania na wakenya siku sio Mrefu watajiunga kwakufanya Maandamano

  • @maryamsaid1307

    @maryamsaid1307

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @jtheophil5499
    @jtheophil549913 күн бұрын

    TANZANIA Umoja ziro ++.Na hao wanao andamana ikipigwa moja juu huwezi kumuona mtu.Ya kenya waachieni wakenya.Rais wetu hana shida makanjanja wake mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya ni shida hakuna wanachokifanya..Bora vyeo vingine viondolewe tu.Upotevu wa pesa za Serikali.Kuimba kwenyewe wanashindwa mtihani😂😂😂

  • @Tango696
    @Tango69612 күн бұрын

    Hiyo ni vita ya kisiasa...tutunze amani yetu

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin952014 күн бұрын

    Acheni fujo tz

  • @leinaamos
    @leinaamos15 күн бұрын

    Mama Samia hiyeeeeee❤❤

  • @donaldelias2267
    @donaldelias226715 күн бұрын

    Ebwanaaaa eeeeh kenya 🇰🇪 wameshatuamsha😂😂

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu662415 күн бұрын

    Wabongo waoga sanaaaa cheki hao wapo nyumaaa uko wanajianda kukimbia

  • @bilid4128

    @bilid4128

    15 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mrambabashim3571

    @mrambabashim3571

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 aiseeeee nmechek

  • @user-cq4lp5rv1l

    @user-cq4lp5rv1l

    14 күн бұрын

    Hawa wabongo kazi wiz tu uhuni wao na kufurhia uchawa ila kwenye umoja aaaaah

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq15 күн бұрын

    Aina ya viongozi tuliokuwa nao amesahau Jana alizungumza nini

  • @mtumewawengi_onlineTV
    @mtumewawengi_onlineTV15 күн бұрын

    Haya sio madamano nichemsha bongo tu

  • @janettarimo
    @janettarimo15 күн бұрын

    Kikaoo Cha Siri hajui nacho kiongea hapo huyo kijana

  • @vinny.morales
    @vinny.morales15 күн бұрын

    Mama Samia anaangushwa sana na viongozi wake. Mama ana mipango mizuri lakini walio chini yake wanafanya madudu matupu.

  • @knight6757

    @knight6757

    15 күн бұрын

    🤔

  • @leinaamos

    @leinaamos

    15 күн бұрын

    Wanakubaliana wewe 😂😂

  • @BakariIssa-nx3yf

    @BakariIssa-nx3yf

    14 күн бұрын

    Aangushwi na wateule shida wanajua watanzania nimanyumbu maana raisi nimungu watanzania nao nimalaika wake ss ni laia tu!!

  • @leinaamos
    @leinaamos15 күн бұрын

    Mwekezaji kaka ananguvu

  • @othmanisaidsaid6698
    @othmanisaidsaid669814 күн бұрын

    Leo tandika wamevunja biashara za watu

  • @user-xc5tv9dl5k
    @user-xc5tv9dl5k15 күн бұрын

    Huyo bomboko akili hana sijui rais anashauliwa na nani kuteua watu wajinga kama hawa

  • @user-dr9xs5cf2q
    @user-dr9xs5cf2q14 күн бұрын

    Uchaguzi wanukia

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e15 күн бұрын

    Hv nyie raia mnapata wap mamlaka ya kuzuia raia mwenzako asfanye kle anachokiamin?

  • @user-fq3bf4cd1s
    @user-fq3bf4cd1s14 күн бұрын

    Hawa wanasiasa wanafiki walituambia2016 hawatufukuzi kazi matokeo yake2018 wametufukuza kazi sijui wanajisikiaje ila mujue mungu yupo anawaona

  • @florencejohn6427
    @florencejohn642715 күн бұрын

    Hakuna watu waoga kama sisi watanzania. Hakuna kitu hapa

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers320515 күн бұрын

    Hilo eneo sio la ccm msitoke

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo906415 күн бұрын

    Kumbe mswahili ni muongo 😂😂

  • @knight6757

    @knight6757

    15 күн бұрын

    😂

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq15 күн бұрын

    Panzi anamiguu mingapi

  • @MasterPetro-oj1fd
    @MasterPetro-oj1fd15 күн бұрын

    Uchawa wenu unawaponza huyomnaemwita mama samia ndy alie wazaa!?

  • @saidkipalo4427

    @saidkipalo4427

    15 күн бұрын

    Kuwa na heshima mpuuzi wewe

  • @mjemamjema9695
    @mjemamjema969515 күн бұрын

    WANANCHI WANATESWA NA VIONGOZI WABOVU

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers320515 күн бұрын

    Hiyo ndiyo ccm hawataki mfanye biashara ila wanataka pesa zenu

  • @deohaule8161
    @deohaule816115 күн бұрын

    That is pure example of poor leadership/inconsistence from our government as result causing chaos among ourselves, hinder productivity and society growth.

  • @mwakalikuhossana3942
    @mwakalikuhossana394215 күн бұрын

    Selikali ya ccm wakezoea kusema uongo ndiyo maana tunafika sehemu hatuwezi kuwaamini kabisa

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y15 күн бұрын

    Tanzania na Kenya nchi zinaviongozi wa ovyo sana

  • @knight6757

    @knight6757

    15 күн бұрын

    😮

  • @section8ight174

    @section8ight174

    15 күн бұрын

    Afrika nzima!!

  • @HamisiAbdallah-vu7fz

    @HamisiAbdallah-vu7fz

    15 күн бұрын

    mtetezi wa wanyonge ameshatangulia mbele ya haki

  • @hamisijuma3276

    @hamisijuma3276

    15 күн бұрын

    ​@@section8ight174 Acha Ibrahim troule kule kwa Aziz K Ni jembe Kama J

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers320515 күн бұрын

    Ndiyo mjue hamna watetezi wenu popote pale

  • @mjemamjema9695
    @mjemamjema969515 күн бұрын

    ALAFU WAKIJA NA SIASA ZAO MIJITU INAWACHAGUA CCM TENA

  • @willymudhax99
    @willymudhax9915 күн бұрын

    Gen z wave

  • @section8ight174
    @section8ight17415 күн бұрын

    Haha! Hii namba nishaisoma, hawa viongozi wanataka kuchanganya watu makusudi ili watu wagome waanze kuleta vurugu kama kule Kenya! Hii kitu iko scripted, this is a huge PSYOP & I can already see the puppeteers hand. Rudini mkaisikilize speech ya yule “controlled opposition” Tundulisa keshawakanya hamkumsikiza, he said “we as a country are heading for very dangerous times 2024-2030” sit tight everyone and enjoy the ride, this is only the beginning.

Келесі