AMRI KUMU(10) NI USHENZI, UKIZIFUATA ZITAKUUA/UTAMWAMBIAJE RAIS SAMIA NI MWIZI?!

#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com

Пікірлер: 534

  • @rehematikotiko4002
    @rehematikotiko4002 Жыл бұрын

    AMA KWELI NIMEMUONA IBILISI NA MACHO YANGU MWENYEWE 😮😮😮

  • @Emmatz26

    @Emmatz26

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣 kumbe na ww ume onae

  • @nibahati
    @nibahati Жыл бұрын

    Wewe umejaa roho ya kuzimu, Unakufuru madhabahuni. Haumtumikii Bwana Yesu bali mungu wa dunia hii shetan na mapepe. Tubu tubu uokoe nafsi yako

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 Жыл бұрын

    Sanduku la agano lenye amri 10 Limehifadhiw pasipo julikana na siku ile ya hukumu litaonekn mbele ya kiti cha Enzi cha Mungu ili kuhukumu, kasome ufunuo wa yohana 11:19....... Hapo na watu wako uliowadanganya mtaelewa tu.

  • @IsayaKonki-gf6vv
    @IsayaKonki-gf6vv Жыл бұрын

    Kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa hao watu wanakaa kweli na kumsikiliza mtu ambaye anatapeli nafsi za watu tokeni Kati yao asema BWANA Mungu hadhihakiwa acheni dhihaka juu ya NENO la Mungu hizi Ni siku za mwisho jamani kuweni macho mathayo 24 inatimia na hamlioni hilo enyi watu tokeni hapo hakuna mbingu ya dhihaka efeso 4:30 msihuzunishe Roho mtakatifu ambaye kwa yeye mlikwisha kutiwa muhuri, hapo Kuna laana tokeni hapo yeye alisema sikuja kuitangia torati Bali kuitimiliza kuweni makini, Ila Leo hii watu wanapenda mahubiri Kama hayo

  • @hellenmsongole

    @hellenmsongole

    Жыл бұрын

    Wewe ustahili kuishi Kwa namna unavyopotosha neno la Mungu

  • @zadockking1602

    @zadockking1602

    Жыл бұрын

    @@hellenmsongole wewe unaezinii ndoo unastahiliii kuishii au sio 😂😂 Ila watu bhana

  • @zadockking1602

    @zadockking1602

    Жыл бұрын

    Wewe unaezinii ndoo una maarifa au sio 😂😂 mungu sio mjomba ako

  • @juliusmiki604
    @juliusmiki604 Жыл бұрын

    A! A! A! A! Wewe haujui kwamba ule ndo msingi wa biblia nzima Bila amri za Mungu utakatifu haupo hauwezi ukasema Yesu amekuokoa wakati unaendelea kuiba, Heshimu mambo ya Mungu tafadhali

  • @annak6738
    @annak6738 Жыл бұрын

    Tubu sasa,Wokovu ni sasa,Usipomrudia Mungu Ukatubu,basi Mungu Akukemee na Akuhukumu.

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi Жыл бұрын

    Pole sana, Mungu akusaidie, maana umechanganyikiwa. Na hao wanaokusikiliza nao wamechanganyikiwa pia.

  • @AnnaMkasa
    @AnnaMkasa22 күн бұрын

    Dah kweli ni mwisho wa dunia yan nimemuona obvious live namungu na atende kaziyake juu yako kwa mikono yake kwakumtusi yesu na mungu baba

  • @nicolasnzema08
    @nicolasnzema0816 күн бұрын

    PASTOR HUYU KASEMA KWELI YANI INJILI YA KRISTO ISIYO KUWA NA MAKOLOKOLO injili ya Kristo Yesu ni msumeno inakatakata. Injili za matendo comment za wengi mmezoea JITIHADA zenu.

  • @ednajustin4763
    @ednajustin4763 Жыл бұрын

    Duuuuuuuuuh, God have mercy 🙏🏻

  • @pharlescostantine8692
    @pharlescostantine86925 ай бұрын

    Unaupiga mwing sana Kristo ceaser, sikien wana wa Mungu hat Kaka Yesu aliwah kusema hakuna awezaye kuja na kumwamn yy icpokuwa ameonyeshwa na baba so cshangai Wang wacpo tuelewa cc wana wa Baba. Niny ni Baraka sana

  • @muromuro8037

    @muromuro8037

    Ай бұрын

    Shetani mkubwa wewe

  • @nyehasmedia4142
    @nyehasmedia4142 Жыл бұрын

    Pole Sana Unaitaji kusaidiwa

  • @eliyahnkembo5245
    @eliyahnkembo5245 Жыл бұрын

    Shukuru kwasababu mungu ni waneema vinginevyo ungegeuka jiwe mpuuzi ww

  • @Emmatz26

    @Emmatz26

    2 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @chritinaphilip7439
    @chritinaphilip7439 Жыл бұрын

    Bwana akukemee kwa jina la yesu today pepo

  • @ShalomSameTV
    @ShalomSameTV3 күн бұрын

    Mathayo 22:35-37 [35]Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu; [36]Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? [37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.

  • @nellychamba1507
    @nellychamba1507 Жыл бұрын

    Binafsi ameniumiza sana, maana tumesoma kupitia vitabu ya walimwengu Eliza za kawaida tunaona faida zake, Bible ni kitabu chenye heshima kubwa Sana aisee, amekosea Sana, nahsi tiali yupo na rahana ya Mungu tiali, aisee serikali yetu pia inausika katika upuuzi huo, kwa Hali hizi Mungu ashuke tu, naomba Hilo kanisa lisifunguliwe na yeye afungwe ! na hao waumini wake sidhani Kama wanatimamu, maana nahsi ata Elimu hawana. Huyo ni wale waumini wa Freemason hakuna lolote, aiseee Mungu shuka leo

  • @franknambaya5368
    @franknambaya5368Ай бұрын

    Unapoteza watu ila sio mbaya maana hawasomi ilihali wameenda shule 13 Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki. Warumi 2:13 Neema ni kwa wale waitendao sheria

  • @ShafrahKarinayn
    @ShafrahKarinaynАй бұрын

    Mwisho wa siku ukweli utafahamika iam proud to be muslim

  • @user-yd4et4sd9b
    @user-yd4et4sd9bАй бұрын

    Acha kupotosha watu wa MUNGU, biblia na maneno ndio vitatupeleka mbinguni. We subiria hicho kitabu chako kinachokuja ndio uwafundishe hao mataaira wenzio. Tens ushindwe kwa jina la YESU.

  • @powerofgospeltorecover804
    @powerofgospeltorecover8043 ай бұрын

    Huu nao niutapeli ila apandacho mtu ndicho atakachovuna fanya yote ila ujue Mungu ni mtakatifu 1Petro 1:14-16

  • @humphreyngallawa5630
    @humphreyngallawa56302 ай бұрын

    duuu binadamu MUNGU atuhurumie,mbona tunaitumia Neema aliyoileta MUNGU kupitia Kristooo,kijana Mungu akuhurumie

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Жыл бұрын

    Saa ya wokovu ni SASA hebu MWAMINI YESU na Ulithi Uzima WA milele na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10,2Kor6:2).

  • @user-db8sk1wl9u
    @user-db8sk1wl9u6 күн бұрын

    Kwani Mnauhuru gani mpaka mnakufuru kiasihicho dhaaaa Tanzania hii mnapotoka nyakati za mwisho 😭😭

  • @songoloemedi3466
    @songoloemedi3466 Жыл бұрын

    Duh…! Kwasababu ya uongo kavaa miwani nyeusi , jamani ulimwengu unapo elekea nishida tupu.

  • @kasembojackson6850
    @kasembojackson6850 Жыл бұрын

    Tulieni watoto wa mungu! Msisikilize huyu mtu' shetani lazima aonyeshe tabia yake ndio mjue hizi ni siku za mwisho.

  • @zawadilutufyo8771

    @zawadilutufyo8771

    Жыл бұрын

    Ameni

  • @JoyceLemma-ts6re

    @JoyceLemma-ts6re

    Жыл бұрын

    Naona umechanganyikiwa acha kudanganya watu kuzimu ndo wamekutana hivo

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Жыл бұрын

    Mungu hajalala anakuona!! Jibu utapata

  • @zadockking1602

    @zadockking1602

    Жыл бұрын

    Huu Ni kama mwaka wa sita na mungu anatuona mbn hakuna kitu kilichotokea huyo mungu aanze kwanza na wazinzii afuu ndoo aje kwetuu

  • @deborahmangula-lg4zf
    @deborahmangula-lg4zf14 күн бұрын

    wew usicheze na mungu atapigwa vibaya sana!

  • @justicemwakikung876
    @justicemwakikung876Ай бұрын

    Ushindwe kwa jina la Yesu

  • @neemashuma4884
    @neemashuma4884Ай бұрын

    Nasikia Mungu kamnyoosha..Mwacheni Mungu aitwe Mungu

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    Ай бұрын

    Tena anyooshwe na atangazwe na wanaomsikiliza ni wehu kama yeye

  • @jumahili8121
    @jumahili81213 ай бұрын

    Mimi kwa kweli ni mara ya kwanza nimesikia mafundisho ya uongo mkubwa namna hii. Tuwe macho. Inawezekana ndio baadae ushoga na usagaji unaingia. Mafundisho ya wazungu hayo. Hamna toba hapo.

  • @eltabusenzia765
    @eltabusenzia765 Жыл бұрын

    Kweli mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu Mungu aliyeziandika Amri kumi akizishusha katika mlima ule wa sinai akampa mtumishi wake Musa ww unasema ni upuuzi

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Жыл бұрын

    Ama kweli this is real devi 👿👿👿 👿👿,,, hizi ni nyakati za mwisho

  • @angiringalyimo365

    @angiringalyimo365

    Жыл бұрын

    huyu jamaa ni Shetani katika umbo la binadamu!

  • @obedlwinga9194

    @obedlwinga9194

    Жыл бұрын

    Najitahidi sana kulinda kinywa change kisinene, lakini huyu jamaa ananilazimisha ninene, kwa hiyo wewe uko rohoni kuliko roho aliyenena na nabii Musa? Ndugu kuwa na akiba na maneno yako, kwa kinywa chako utahesabiwa haki na kwa kinywa chako utahukumiwa

  • @mathiasibrahimu-mt3bo

    @mathiasibrahimu-mt3bo

    Жыл бұрын

    Mungu atapiga,

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 Жыл бұрын

    Mungu atakuonyesha

  • @thobymsule6045

    @thobymsule6045

    3 ай бұрын

    Kishampiga stroke

  • @AnnaMkasa

    @AnnaMkasa

    22 күн бұрын

    Natena atamnyoosha ktk majina ya mitume wote wali tumwa na mungu 😭😭

  • @AnnaMkasa

    @AnnaMkasa

    22 күн бұрын

    ​@@thobymsule6045anastrok mara ???? Nabado mpaka mkubwa utoe funza ndiyo hatajua mungu sio yule ba by yake alie mfundisha usenge

  • @abeljohnsonnaman.7635
    @abeljohnsonnaman.7635Ай бұрын

    Na wako washenzi apo wanaitikia aminaaaa. Yaani kuna wapumbavu wengi kweli Dunia hii

  • @lamecksmbeya1027
    @lamecksmbeya1027 Жыл бұрын

    Siyo kweli mtumishi, hunyooshi Neno la uzima. Ili watu wawe na uzima lazima uwahubiri watubu dhambi zao, zinazowafarikisha na Mungu. Isaya 59:2. Huwezi kuwaremba watu kuwa hawana dhambi, dhambi zipo na Kila anayetaka kuwa karibu na Mungu lazima atubu dhambi na awe mtakatifu. Hilo ndilo la msingi "kutubu ,kuziacha na kutokuzitenda dhambi". Matendo 2:37-38.

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe7387 Жыл бұрын

    Duh..! Kwa hiyo Mungu ameruhusu magugu yamee pamoja na ngano..!

  • @revocatusbahatibussiah5201

    @revocatusbahatibussiah5201

    Жыл бұрын

    Dah!!! Nabii wa uongo ndo huyu sasa!!! Ila kwasababu Mungu n mwenye rehema ndo maana anaishi!!!! Ila Neema hiyo ikiisha.......nae basi

  • @mamertarweyemamu3438

    @mamertarweyemamu3438

    Жыл бұрын

    Kumbe na wewe ni mjinga Sana. Unaogopa cheo. Amri ya mungu itaendelea kusimama. Mungu ndiye aliweka amri hizo. Wewe unatafutA sifa tu

  • @SahaniKihongwe

    @SahaniKihongwe

    Жыл бұрын

    Hatari sana mungu akusamehe sana

  • @moseskenedy7042
    @moseskenedy7042 Жыл бұрын

    Mungu anamuona

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro30423 ай бұрын

    MARKO 13:5-6 Yesu akaanza kuwaambia, jihadharini, mtu asiwadanganye. Wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, mimi ndiye, nao watawadanganya wengi.

  • @MsetiRyoba-el3ye
    @MsetiRyoba-el3yeАй бұрын

    Mungu anakusubiri

  • @sirvestartumia1064
    @sirvestartumia1064 Жыл бұрын

    Kweli gogu na magogu sasa wanajitokeza wale wapinga kristo .hongera Sana nabii Eliasi/Eria wewe endelea kufundisha na aje ajifunze kwako

  • @angiringalyimo365

    @angiringalyimo365

    Жыл бұрын

    hahaha hahaha gogu wa magogu!! ila huyu jamaa ni Shetani katika umbo la mwanadamu

  • @tumsiimekente1656
    @tumsiimekente1656 Жыл бұрын

    Mungu akurehemu inapotosha watu,

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Жыл бұрын

    SOMA HAPA UJUE KAULI YA MWISHO YA YESU UNAPOTOSHA WATU Biblia. Yohana 8:10-11 [10]Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? [11]Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Жыл бұрын

    Manabii wa uongo mtawajua kwa matunda yao. Kuzikataa amri 10 za Mungu ni kumkataa Yesu na Musa. Nabii mapovu amejizatiti kuandaa kundi lake Ili wawe watu wa motoni.

  • @stevenmwanyika1674
    @stevenmwanyika1674 Жыл бұрын

    Hatari Sana....

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 Жыл бұрын

    Yametimia Uf 14:12 haifutiki watakatifu ni wale wazishikao amri za Mungu na imani ya Yesu. Danganya hukumu

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Жыл бұрын

    Jamani mama samia hamumuoni huyo mtu anavopoteza watu

  • @benibaraka1701
    @benibaraka1701 Жыл бұрын

    Umekufuru mungu Dhambi ya kukufuru haisameheweeee ila umeanza moto

  • @furaharyana5019
    @furaharyana5019 Жыл бұрын

    Mungu akusamehe maana haujui hutendalo njaa mbaya

  • @yohanashayo1822
    @yohanashayo1822 Жыл бұрын

    Wewe unachanganya kati ya amri kumi na sheria, sheria zipo karibu mia sita, amri za Mungu zipo kumi na Yesu akaja kuongeza ya upendo ndo amri kuu, na Yesu anasema wampendao watazishika amri zake alipo ulizwa zipi alisema usizini, usiibe nk wewe mbona una akili ya mbuzi

  • @msuyafadhil4451
    @msuyafadhil4451 Жыл бұрын

    Mungu ashughulike nae,hawa ndo wale wanaunga mkono upuuzi

  • @AnnOpondo-tf3uf
    @AnnOpondo-tf3uf Жыл бұрын

    Mungu tusamehe

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130Ай бұрын

    Mungu umsamehe maana hajui alitendalo, mpe roho mtakatifu amuongoze.

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378Ай бұрын

    Huyu jamaa yuko sawa kabisa, tuache kuishi kwa kukalilishwa kwa amri za kizamani, amri za wazungu, ushenzi mtupu huu

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain10 ай бұрын

    That's absolutely right. Ndugu Caesar unafundisha kitu kigumu sana na wengi hawawezi kukuelewa kwa sababu ya mapokeo ya kimwili tuliyofundishwa na kuyapokea. Watu wengi wamekushambulia kwa kusema kuwa hakuna dhambi kwa wote walio katika Kristo. Na hii ni kweli kabisa. Lakini pia hii haimaanishi kuwa, watu tuishi maisha ya hovyohovyo yasiyozingatia kanuni za kimaandiko. Ni lazima tuishi maisha yanayoongozwa na kanuni kuu ya ROHO WA UZIMA ambaye ni Kristo ndani ya Kila mwana wa Mungu, Na Ukweli mwingine mchungu ni huu hapa, kuwa watu wengi tunajiita wa - Kristo lakini kiuhalisia ni wa - Kristo jina tu huku Ukweli ukiwa ni kwamba, bado hatumjui Yesu Kristo na kazi ya msalaba aliyoifanya pale Golgotha. Laiti kama tukielewa hili [la kazi ya msalaba], basi maisha ya U - Kristo yaliyojengwa katika msingi wa "Sheria ya roho" ni rahisi na mepesi sana yasiyohitaji mbwembwe wala complications zozote ktk kuyaishi. Watu wengi wataikosa mbingu kwa sababu ya mbwembwe nyingi za kujihukumu sisi wenyewe kusikoisha usiku na mchana. Na Yesu Kristo aliliona hili na kuwaambia watu wa dizaini hii kuwa, "makahaba watawaacha na kuwatangulia kuingia mbinguni" huku nyie na mbwembwe zenu mkibaki mmeduwaa!!

  • @dani72130

    @dani72130

    9 ай бұрын

    kwa hiyo na wewe ni mzinzi na mwizi, endelea Bwana Yesu u karibu.

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya42863 ай бұрын

    Kichaa,mungu akufunge kinywa,tena ufe unatuharibia dunia

  • @user-fl9ig8wx7t
    @user-fl9ig8wx7t3 ай бұрын

    Kwa sasa ni neema iko juu ya Sheria, nikwamba unaamini yesu kristo kwa roho yako, ili upate kufuata Yale amri, Huwesi kuhishi kwa Imani ya kristo bila hayo kumi yalio andikwa

  • @zawadilutufyo8771
    @zawadilutufyo8771 Жыл бұрын

    Ilikuwa lazima uwepo lazima ukufuru, lazima upoteshe lazima uwe kimwili zaidi, lazima udhihaki kwasababu ilitabiriwa kuwa manabii wa uongo mtatokea na mtapitosha watu!😮 Mungu awasaidie wanaokusiliza maana umewafunga katika giza linalikuongoza!! Neema ya kweli uwaokoe! Yesu wa kweli awatetee! Zaidi yoyote Mungu turehemu zaidi tuonhozwe na neno lako kwa Roho wako na si vinginevyo

  • @mayungakasiga-qh3xs

    @mayungakasiga-qh3xs

    Жыл бұрын

    Your so stupid , wewe in bibilia yako au shangazi yako ,, kweli wewe mshenzi,

  • @mayungakasiga-qh3xs

    @mayungakasiga-qh3xs

    Жыл бұрын

    Your so stupid , wewe in bibilia yako au shangazi yako ,, kweli wewe mshenzi,

  • @vailethmalack6148
    @vailethmalack6148 Жыл бұрын

    YESU KRISTO. Akusamehe na hao unao wapotosha. Kwa sababu umeseme yote Ila hujatoa andiko lolote. YESU KRISTO. Ukoa na kumsamehe mtu huyu na wapatie ufaham wanaopotoshwa hapo.

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 Жыл бұрын

    Chukizo la uharibifu lililosimama patakatifu ndo Hilo kabisa.... Uite amri kumi ni ushenzi!!! Hiyo ni laana kubwa...eti unaishi0kwa roho yupi huyo anyetukana amri za MUNGU?

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Жыл бұрын

    Yani wewe mungu mzee mungu akulehemu Sana

  • @bravebrain642
    @bravebrain6423 ай бұрын

    Wewe unamatatizo sana, haustahili kusikilizwa. . Taasisi ya kutetea ukristo iko wapi? Huyu ni wa giza 100%.

  • @AyshaHamza-yd7so
    @AyshaHamza-yd7so3 ай бұрын

    Hivi ata kama ni uhuru kweli jamani😢 hii imezidi Yani imeshindikana ata huyu mtu kifungiwa ,. Mbona hii ni hatari ,. Nadhani Bible inazungumza kuhusu kuwa na kiasi ata kama ndo upole huyu kazidi kupotosha na kudhalilisha kitabu Cha Mungu

  • @Michael_Msanzya
    @Michael_Msanzya Жыл бұрын

    Upuuuzi...

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Жыл бұрын

    Yani we mzee Soma yohana 1. 8. Asemaye Hana dhambi ajidanganya Wala kweli haimo ndani yake kweli mzee hapo ulipo fikia kweli mungu atakupiga kweli Yani inafikia mahali una itukuna bibilia una sema bibilia kaburi kweli subiria kipigo kina kuja juuu yako

  • @PatriceDakho
    @PatriceDakhoАй бұрын

    Duhu jamanidunia imeisha huyu mchangaji anamtukana mungu dainasikitisha hiviamrizamungu anaziitahivyo

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni Shetani katika umbo la binadamu

  • @agneskihinga1110
    @agneskihinga1110 Жыл бұрын

    Ghazabu ya mungu ukukumbe kwa kupotosha mataifa

  • @HerieliParesso-yb4oy
    @HerieliParesso-yb4oy3 ай бұрын

    Naona humjui vizuri Mungu

  • @doreenmwakisyala7052
    @doreenmwakisyala7052 Жыл бұрын

    Mungu adhihakiwi apandacho mtu atavuna acha kupotosha watu neno la Mungu ni hai na lina pumzi ya Mungu ooooh utakufa mdomo wazi....kwa maana hiyo watu wazini au sio

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Жыл бұрын

    Ee Mungu uturehemu....

  • @helbalchota9417
    @helbalchota94173 ай бұрын

    Nimesiliza clip yako et unasema amri za Mungu ni upuuzi haraf et unalitaja jina la yesu, yesu mwenyewe alisema mkinipenda mtazishika amri zangu wewe unasemaje kuwa ni upuuzi kama siyo ibilis wewe,et kwa kigezo wewe ni mwana wa ufalme iv unadhan mbinguni ni kuchafu kana kwamba kila mtu mwovu mfano wako ataingia2,yaan kama wana mtu wapo hivyo bas dunia yote imeokoka,dah yaana nataman hata ningekuona tujibizane uso kwa uso ewe shetan mim sikuogopi hata kidogo

  • @eltabusenzia765
    @eltabusenzia765 Жыл бұрын

    Mwezi wa sita utakua unaharisha sanaaa Mungu hadhihakiwi

  • @ndayisabapierreclaver5037

    @ndayisabapierreclaver5037

    Жыл бұрын

    Koma kwa jina la christo yesu, wewe mwizi na mnyanganyi !! Ma compuni yenu ya kumnyanganya masikini na yatima! Hamna hata haya ninyi adui wa kazi alio itenda christo msalabani!! Waongo,wanyanyangani, roho chafu, uombee,uteteji, uvunjaji wa ndoa za watu, judgers, hamna hata huruma mioyoni mwenu,ambao hamuwezi hata kumuhurumia masikini!! Wezi na wafisadi kila kikampuni chenu ni kuiba na kunyanganya ! Fungeni vikampuni vya wezi, na masiasa ya kishetani wauwaji kiadharani ,kupingania na kuuania vyeo ma fisi ya uongo ! Sisi tuna Mfalme ayie tuwea yalio tushinda chini ya jua!! Vizazi na wanyangani tu na kufirisisha familia zenu na kumponda masikini!

  • @nantaembanusurupia5674

    @nantaembanusurupia5674

    3 ай бұрын

    Nasikia amepararaizi😢

  • @TeresaNjoroge-tl8wo

    @TeresaNjoroge-tl8wo

    23 күн бұрын

    who gave the 10 commandments? you are the devil himself?

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Жыл бұрын

    Hii ndiyo shida shetani anapokuja kwa sura ya binadamu.Yaani Mungu kaandika Amri kumi na kuwapatia wanadamu kama mwongozo wa maisha ya hapa duniani na kisha ahera.Huyu pepo anasema Amri kumi na ushenzi maana yake na aliyeziandika je???

  • @zawadilutufyo8771
    @zawadilutufyo8771 Жыл бұрын

    Ko kukemea dhambi ni kutukana!?? Ndo maana upo hapo kila siku kukejeli neno kutetea dhambi coz mision yako ni kupeleka watu jehanamu na si mbinguni!! Hasira ya Mungu na iwake juu yako binafsi!! Na hizo roho za wana wa Mungu unazozipotesha ziokolewe kwa Jina La Yesu!!

  • @faywaigui3412
    @faywaigui3412 Жыл бұрын

    Yesu aliwaambia wanafunzi wake kutakuja watu watajiita manabii na jina la yesu watandanganya wengi na kupoteza ,someni mathayo 24 :1:19 na msisomewe na mtu mjisomee utapata hawa walitabiliwa watatokea

  • @catherinenicander7468
    @catherinenicander7468 Жыл бұрын

    Yesu mwenyewe unayemtaja alisema yeyote anayejisema Hana dhambi anajidanganya.wewe unajidanganya nakudanganya wenzio ulikotoka nao kuzimu

  • @BenetsonKimbisa-zc9ni
    @BenetsonKimbisa-zc9ni3 ай бұрын

    Yaani mpaka nywele zimenisisimka,eti unasema Amri.kumi ni nini? Inaamana Mungu ni mwanadamu kama wewe aseme USIABUDU MIUNGU MINGINE ILA YEYE! Kwa mahubiri yako hayo YESU aliyemgeuza sauli akugeuze kwa JINA LA YESU, Usiendelee kuwa potosha wana wa Mungu.

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Жыл бұрын

    Utafanyaje kitu amabacho akipo, kwo unataka kusema dhambi haipo???!! Unamatatizo pastor

  • @ndayisabapierreclaver5037

    @ndayisabapierreclaver5037

    Жыл бұрын

    Kevin kizazi cha christo nakupenda !!

  • @josephmazengo1113
    @josephmazengo1113 Жыл бұрын

    Uhuru umezidi Sasa😃😃daaah Yesu Rudi tyu

  • @Emmatz26
    @Emmatz262 ай бұрын

    kwanza mbona kamera haionyeshi hao wehu wanyuma tuka waona

  • @davidkehogo3230
    @davidkehogo3230 Жыл бұрын

    Jiulize kua Mpotoshaji huyu Agent wa Kuzimu na Mke wake Wana Bidhaa za Zoa Zoa. Ajabu Wakristo tunazikimbilia kununua na kutumia😪😪😪Tuwe Macho na Pepo hawa wa kuzimu

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Жыл бұрын

    Nahisi wewe ni pepo katika fomu ya binadamu Ili uwapotoshe watu waende Jehanamu

  • @angiringalyimo365

    @angiringalyimo365

    Жыл бұрын

    exactly

  • @sylvanusbinemungu-wt1fb

    @sylvanusbinemungu-wt1fb

    Жыл бұрын

    Umelaaniwa wewe umeumbwa nani jitathimini

  • @daniered1501

    @daniered1501

    Жыл бұрын

    @@sylvanusbinemungu-wt1fb punguza ukali wa maneno, Hasira humuua mpumbavu na wivu humuua mjinga Ayubu 5:2

  • @godfreyobadiah7892

    @godfreyobadiah7892

    Жыл бұрын

    Ww ni Iluminati mshenzi unavuta bangi tangu tulikuwa form two !

  • @reginapius1746

    @reginapius1746

    Жыл бұрын

    Ua ndio ndio utajua

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Жыл бұрын

    Wakolosai 3:5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;

  • @hassanmanjoti821
    @hassanmanjoti8213 ай бұрын

    Hatari sana

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverinoАй бұрын

    Mungu wamsamehe hawajui walitendalo, ila moto unawasubili

  • @barakakamili
    @barakakamili Жыл бұрын

    Unajikubi nn we mpuzi hujui hayo maneno mbingu inaandika ee kweli nakuone huruma MUNGU wa Israeli akurehem sana

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Жыл бұрын

    Kwavile ndio dini yenu ya ujanja ujanja sikushangai

  • @catherinenicander7468
    @catherinenicander7468 Жыл бұрын

    Wewe subiri mapigo kumi ya misri ndio utakuwa kuwa mungu ndiye muumba wako???huyo roho wa bwana ,Yesu alikuwa neno na neno lilikuwa kwa Mungu naye alikuwa Mungu,na kila kitu hapa duniani kiliumbwa kwa neno,neno ni Kristo wa bwana,Acha kupoteza watu kwa kuwatangazia ushenzi wako,kama wewe ni mzinzi kaendelee na uzinzi wako na hao wafuasi wako ambayo mmetoka wote kuzimu kuja duniani kufanya KAZI ya shetani.utakfa katika maneno yako kwa nini ujite mchungaji we jiite shetani .

  • @nellychamba1507

    @nellychamba1507

    Жыл бұрын

    Nasema serikali isikubali kuruhusu vitu hivi, Kama inataka nchi iwe na timamu pamoja na watu wake,Basi uchukue hatua, maana hakuja serikali Bora bila kumshomu Mungu, huyo mshenzi ni pepo toka kuzimu ,na Mungu amesikia atakushughulikia mapema tu, maana ajalala,aise

  • @rehematikotiko4002
    @rehematikotiko4002 Жыл бұрын

    HUYU BABA SIMUELEWI SABABU HATA YESU HAKUKANA AGANO LA KALE.YESU ALISEMA SIKUJA KUITANGUA TORATI BALI KUIKAMILISHA.....HELOOOO👋

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 Жыл бұрын

    Eti liliomba msamaha mkewe ndio akamsomea msamaha eti hajatamka,sasa hili ni jini au linguruwe,mungu hatakuacha hivihivi,

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila30033 ай бұрын

    Bado yuko hai huyu unaishi kwazo kwa hiyo unafikiri Amri na Sheria za Musa

  • @henrymlandali9187
    @henrymlandali9187 Жыл бұрын

    Waumini mnapotezwa mkimbieni huyu pumbavu zake. SHERIA ZA MUNGU CYO UPUUZI NA NYAMAZA KIMYA KWA JINA LA YESU KRISTO HATA MILELE

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 Жыл бұрын

    Ko watu wasiambiwe kuacha dhambi? mbona himo makanisani Kuna wachawi,wazinzi,waongo na wachafu wakubwa! Utahukumiwa vibaya sana WEWE....! Hayo mahubiri TU ni dhambi halafu useme hatuna dhambi ko unamfanya MUNGU KUWA MWONGO? SIKU INAKUJA YAKULIPA HESABU

  • @jersonmpeka4984
    @jersonmpeka4984 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu apa ndipo anapowahaibisha wahubili wa mchongo akili zimeshafiatuka wakina kibwetele kina Makenzie wapo wengi serikali isinyamaze kmy maana waumini wanapelekwa spo Hawa watu wakiachwa hivi ipo yatatokea Mambo ya ajabu ambayo ayategemewi kutokea huyu Ni wakala wa shetani

  • @catherineangel2529
    @catherineangel2529 Жыл бұрын

    Daaa mungu uliehukum sodoma na gomola tuhukumie makanisa haya yasiona stahaa ya maneno wachungaji wauongo na manabii wauongo wanazidi kulithiaki neno lako Yesu wetu uliejitoa pale msalabanii

  • @athumanijuma8899
    @athumanijuma889910 ай бұрын

    biblia umeletewa na wakoloni alafu unajifanya unamjua Mungu acheni unafiki tangu lini mkoloni aliyekutawala akuonyeshe pepo

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Жыл бұрын

    Ww umesahau kilichowakuta Brazil Kwa kuabudu Ile sanamu ,mungu atakutia opofu.

  • @essaudavid5113
    @essaudavid5113 Жыл бұрын

    Tutaijua kweli na kweli itatuweka huru,huyu jamaa ipo siku ataijua kweli bado hajui anachofanya na wanaomsikiliza woote hawaja ijua kweli.wanafata bendera tuu fata upepo.

  • @AlbertFaustineSendeu-qt2cs
    @AlbertFaustineSendeu-qt2cs Жыл бұрын

    Huyu MUNGU angemvuna mapema kusudi asiendelee kupotosha watu, maana ni hatari huyu mtu kuliko hata shetani mwenyewe!! na kumbuka huo sio ukristo anayouzungumzia Bali ni ushetani wake maana huyu ni chawa wa ibilisi.

  • @florasingano5859
    @florasingano58593 ай бұрын

    1yoh1:8-10..tukisema hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe na kweli haipo mioyoni mwetu...acha kupotosha..unapinga biblia

Келесі