AMRI KUMU(10) NI USHENZI, UKIZIFUATA ZITAKUUA/UTAMWAMBIAJE RAIS SAMIA NI MWIZI?!
#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com
Пікірлер: 534
AMA KWELI NIMEMUONA IBILISI NA MACHO YANGU MWENYEWE 😮😮😮
@Emmatz26
2 ай бұрын
🤣🤣🤣 kumbe na ww ume onae
Wewe umejaa roho ya kuzimu, Unakufuru madhabahuni. Haumtumikii Bwana Yesu bali mungu wa dunia hii shetan na mapepe. Tubu tubu uokoe nafsi yako
Sanduku la agano lenye amri 10 Limehifadhiw pasipo julikana na siku ile ya hukumu litaonekn mbele ya kiti cha Enzi cha Mungu ili kuhukumu, kasome ufunuo wa yohana 11:19....... Hapo na watu wako uliowadanganya mtaelewa tu.
Kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa hao watu wanakaa kweli na kumsikiliza mtu ambaye anatapeli nafsi za watu tokeni Kati yao asema BWANA Mungu hadhihakiwa acheni dhihaka juu ya NENO la Mungu hizi Ni siku za mwisho jamani kuweni macho mathayo 24 inatimia na hamlioni hilo enyi watu tokeni hapo hakuna mbingu ya dhihaka efeso 4:30 msihuzunishe Roho mtakatifu ambaye kwa yeye mlikwisha kutiwa muhuri, hapo Kuna laana tokeni hapo yeye alisema sikuja kuitangia torati Bali kuitimiliza kuweni makini, Ila Leo hii watu wanapenda mahubiri Kama hayo
@hellenmsongole
Жыл бұрын
Wewe ustahili kuishi Kwa namna unavyopotosha neno la Mungu
@zadockking1602
Жыл бұрын
@@hellenmsongole wewe unaezinii ndoo unastahiliii kuishii au sio 😂😂 Ila watu bhana
@zadockking1602
Жыл бұрын
Wewe unaezinii ndoo una maarifa au sio 😂😂 mungu sio mjomba ako
A! A! A! A! Wewe haujui kwamba ule ndo msingi wa biblia nzima Bila amri za Mungu utakatifu haupo hauwezi ukasema Yesu amekuokoa wakati unaendelea kuiba, Heshimu mambo ya Mungu tafadhali
Tubu sasa,Wokovu ni sasa,Usipomrudia Mungu Ukatubu,basi Mungu Akukemee na Akuhukumu.
Pole sana, Mungu akusaidie, maana umechanganyikiwa. Na hao wanaokusikiliza nao wamechanganyikiwa pia.
Dah kweli ni mwisho wa dunia yan nimemuona obvious live namungu na atende kaziyake juu yako kwa mikono yake kwakumtusi yesu na mungu baba
PASTOR HUYU KASEMA KWELI YANI INJILI YA KRISTO ISIYO KUWA NA MAKOLOKOLO injili ya Kristo Yesu ni msumeno inakatakata. Injili za matendo comment za wengi mmezoea JITIHADA zenu.
Duuuuuuuuuh, God have mercy 🙏🏻
Unaupiga mwing sana Kristo ceaser, sikien wana wa Mungu hat Kaka Yesu aliwah kusema hakuna awezaye kuja na kumwamn yy icpokuwa ameonyeshwa na baba so cshangai Wang wacpo tuelewa cc wana wa Baba. Niny ni Baraka sana
@muromuro8037
Ай бұрын
Shetani mkubwa wewe
Pole Sana Unaitaji kusaidiwa
Shukuru kwasababu mungu ni waneema vinginevyo ungegeuka jiwe mpuuzi ww
@Emmatz26
2 ай бұрын
🤣🤣🤣
Bwana akukemee kwa jina la yesu today pepo
Mathayo 22:35-37 [35]Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu; [36]Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? [37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Binafsi ameniumiza sana, maana tumesoma kupitia vitabu ya walimwengu Eliza za kawaida tunaona faida zake, Bible ni kitabu chenye heshima kubwa Sana aisee, amekosea Sana, nahsi tiali yupo na rahana ya Mungu tiali, aisee serikali yetu pia inausika katika upuuzi huo, kwa Hali hizi Mungu ashuke tu, naomba Hilo kanisa lisifunguliwe na yeye afungwe ! na hao waumini wake sidhani Kama wanatimamu, maana nahsi ata Elimu hawana. Huyo ni wale waumini wa Freemason hakuna lolote, aiseee Mungu shuka leo
Unapoteza watu ila sio mbaya maana hawasomi ilihali wameenda shule 13 Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki. Warumi 2:13 Neema ni kwa wale waitendao sheria
Mwisho wa siku ukweli utafahamika iam proud to be muslim
Acha kupotosha watu wa MUNGU, biblia na maneno ndio vitatupeleka mbinguni. We subiria hicho kitabu chako kinachokuja ndio uwafundishe hao mataaira wenzio. Tens ushindwe kwa jina la YESU.
Huu nao niutapeli ila apandacho mtu ndicho atakachovuna fanya yote ila ujue Mungu ni mtakatifu 1Petro 1:14-16
duuu binadamu MUNGU atuhurumie,mbona tunaitumia Neema aliyoileta MUNGU kupitia Kristooo,kijana Mungu akuhurumie
Saa ya wokovu ni SASA hebu MWAMINI YESU na Ulithi Uzima WA milele na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10,2Kor6:2).
Kwani Mnauhuru gani mpaka mnakufuru kiasihicho dhaaaa Tanzania hii mnapotoka nyakati za mwisho 😭😭
Duh…! Kwasababu ya uongo kavaa miwani nyeusi , jamani ulimwengu unapo elekea nishida tupu.
Tulieni watoto wa mungu! Msisikilize huyu mtu' shetani lazima aonyeshe tabia yake ndio mjue hizi ni siku za mwisho.
@zawadilutufyo8771
Жыл бұрын
Ameni
@JoyceLemma-ts6re
Жыл бұрын
Naona umechanganyikiwa acha kudanganya watu kuzimu ndo wamekutana hivo
Mungu hajalala anakuona!! Jibu utapata
@zadockking1602
Жыл бұрын
Huu Ni kama mwaka wa sita na mungu anatuona mbn hakuna kitu kilichotokea huyo mungu aanze kwanza na wazinzii afuu ndoo aje kwetuu
wew usicheze na mungu atapigwa vibaya sana!
Ushindwe kwa jina la Yesu
Nasikia Mungu kamnyoosha..Mwacheni Mungu aitwe Mungu
@olivernyange2349
Ай бұрын
Tena anyooshwe na atangazwe na wanaomsikiliza ni wehu kama yeye
Mimi kwa kweli ni mara ya kwanza nimesikia mafundisho ya uongo mkubwa namna hii. Tuwe macho. Inawezekana ndio baadae ushoga na usagaji unaingia. Mafundisho ya wazungu hayo. Hamna toba hapo.
Kweli mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu Mungu aliyeziandika Amri kumi akizishusha katika mlima ule wa sinai akampa mtumishi wake Musa ww unasema ni upuuzi
Ama kweli this is real devi 👿👿👿 👿👿,,, hizi ni nyakati za mwisho
@angiringalyimo365
Жыл бұрын
huyu jamaa ni Shetani katika umbo la binadamu!
@obedlwinga9194
Жыл бұрын
Najitahidi sana kulinda kinywa change kisinene, lakini huyu jamaa ananilazimisha ninene, kwa hiyo wewe uko rohoni kuliko roho aliyenena na nabii Musa? Ndugu kuwa na akiba na maneno yako, kwa kinywa chako utahesabiwa haki na kwa kinywa chako utahukumiwa
@mathiasibrahimu-mt3bo
Жыл бұрын
Mungu atapiga,
Mungu atakuonyesha
@thobymsule6045
3 ай бұрын
Kishampiga stroke
@AnnaMkasa
22 күн бұрын
Natena atamnyoosha ktk majina ya mitume wote wali tumwa na mungu 😭😭
@AnnaMkasa
22 күн бұрын
@@thobymsule6045anastrok mara ???? Nabado mpaka mkubwa utoe funza ndiyo hatajua mungu sio yule ba by yake alie mfundisha usenge
Na wako washenzi apo wanaitikia aminaaaa. Yaani kuna wapumbavu wengi kweli Dunia hii
Siyo kweli mtumishi, hunyooshi Neno la uzima. Ili watu wawe na uzima lazima uwahubiri watubu dhambi zao, zinazowafarikisha na Mungu. Isaya 59:2. Huwezi kuwaremba watu kuwa hawana dhambi, dhambi zipo na Kila anayetaka kuwa karibu na Mungu lazima atubu dhambi na awe mtakatifu. Hilo ndilo la msingi "kutubu ,kuziacha na kutokuzitenda dhambi". Matendo 2:37-38.
Duh..! Kwa hiyo Mungu ameruhusu magugu yamee pamoja na ngano..!
@revocatusbahatibussiah5201
Жыл бұрын
Dah!!! Nabii wa uongo ndo huyu sasa!!! Ila kwasababu Mungu n mwenye rehema ndo maana anaishi!!!! Ila Neema hiyo ikiisha.......nae basi
@mamertarweyemamu3438
Жыл бұрын
Kumbe na wewe ni mjinga Sana. Unaogopa cheo. Amri ya mungu itaendelea kusimama. Mungu ndiye aliweka amri hizo. Wewe unatafutA sifa tu
@SahaniKihongwe
Жыл бұрын
Hatari sana mungu akusamehe sana
Mungu anamuona
MARKO 13:5-6 Yesu akaanza kuwaambia, jihadharini, mtu asiwadanganye. Wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, mimi ndiye, nao watawadanganya wengi.
Mungu anakusubiri
Kweli gogu na magogu sasa wanajitokeza wale wapinga kristo .hongera Sana nabii Eliasi/Eria wewe endelea kufundisha na aje ajifunze kwako
@angiringalyimo365
Жыл бұрын
hahaha hahaha gogu wa magogu!! ila huyu jamaa ni Shetani katika umbo la mwanadamu
Mungu akurehemu inapotosha watu,
SOMA HAPA UJUE KAULI YA MWISHO YA YESU UNAPOTOSHA WATU Biblia. Yohana 8:10-11 [10]Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? [11]Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
Manabii wa uongo mtawajua kwa matunda yao. Kuzikataa amri 10 za Mungu ni kumkataa Yesu na Musa. Nabii mapovu amejizatiti kuandaa kundi lake Ili wawe watu wa motoni.
Hatari Sana....
Yametimia Uf 14:12 haifutiki watakatifu ni wale wazishikao amri za Mungu na imani ya Yesu. Danganya hukumu
Jamani mama samia hamumuoni huyo mtu anavopoteza watu
Umekufuru mungu Dhambi ya kukufuru haisameheweeee ila umeanza moto
Mungu akusamehe maana haujui hutendalo njaa mbaya
Wewe unachanganya kati ya amri kumi na sheria, sheria zipo karibu mia sita, amri za Mungu zipo kumi na Yesu akaja kuongeza ya upendo ndo amri kuu, na Yesu anasema wampendao watazishika amri zake alipo ulizwa zipi alisema usizini, usiibe nk wewe mbona una akili ya mbuzi
Mungu ashughulike nae,hawa ndo wale wanaunga mkono upuuzi
Mungu tusamehe
Mungu umsamehe maana hajui alitendalo, mpe roho mtakatifu amuongoze.
Huyu jamaa yuko sawa kabisa, tuache kuishi kwa kukalilishwa kwa amri za kizamani, amri za wazungu, ushenzi mtupu huu
That's absolutely right. Ndugu Caesar unafundisha kitu kigumu sana na wengi hawawezi kukuelewa kwa sababu ya mapokeo ya kimwili tuliyofundishwa na kuyapokea. Watu wengi wamekushambulia kwa kusema kuwa hakuna dhambi kwa wote walio katika Kristo. Na hii ni kweli kabisa. Lakini pia hii haimaanishi kuwa, watu tuishi maisha ya hovyohovyo yasiyozingatia kanuni za kimaandiko. Ni lazima tuishi maisha yanayoongozwa na kanuni kuu ya ROHO WA UZIMA ambaye ni Kristo ndani ya Kila mwana wa Mungu, Na Ukweli mwingine mchungu ni huu hapa, kuwa watu wengi tunajiita wa - Kristo lakini kiuhalisia ni wa - Kristo jina tu huku Ukweli ukiwa ni kwamba, bado hatumjui Yesu Kristo na kazi ya msalaba aliyoifanya pale Golgotha. Laiti kama tukielewa hili [la kazi ya msalaba], basi maisha ya U - Kristo yaliyojengwa katika msingi wa "Sheria ya roho" ni rahisi na mepesi sana yasiyohitaji mbwembwe wala complications zozote ktk kuyaishi. Watu wengi wataikosa mbingu kwa sababu ya mbwembwe nyingi za kujihukumu sisi wenyewe kusikoisha usiku na mchana. Na Yesu Kristo aliliona hili na kuwaambia watu wa dizaini hii kuwa, "makahaba watawaacha na kuwatangulia kuingia mbinguni" huku nyie na mbwembwe zenu mkibaki mmeduwaa!!
@dani72130
9 ай бұрын
kwa hiyo na wewe ni mzinzi na mwizi, endelea Bwana Yesu u karibu.
Kichaa,mungu akufunge kinywa,tena ufe unatuharibia dunia
Kwa sasa ni neema iko juu ya Sheria, nikwamba unaamini yesu kristo kwa roho yako, ili upate kufuata Yale amri, Huwesi kuhishi kwa Imani ya kristo bila hayo kumi yalio andikwa
Ilikuwa lazima uwepo lazima ukufuru, lazima upoteshe lazima uwe kimwili zaidi, lazima udhihaki kwasababu ilitabiriwa kuwa manabii wa uongo mtatokea na mtapitosha watu!😮 Mungu awasaidie wanaokusiliza maana umewafunga katika giza linalikuongoza!! Neema ya kweli uwaokoe! Yesu wa kweli awatetee! Zaidi yoyote Mungu turehemu zaidi tuonhozwe na neno lako kwa Roho wako na si vinginevyo
@mayungakasiga-qh3xs
Жыл бұрын
Your so stupid , wewe in bibilia yako au shangazi yako ,, kweli wewe mshenzi,
@mayungakasiga-qh3xs
Жыл бұрын
Your so stupid , wewe in bibilia yako au shangazi yako ,, kweli wewe mshenzi,
YESU KRISTO. Akusamehe na hao unao wapotosha. Kwa sababu umeseme yote Ila hujatoa andiko lolote. YESU KRISTO. Ukoa na kumsamehe mtu huyu na wapatie ufaham wanaopotoshwa hapo.
Chukizo la uharibifu lililosimama patakatifu ndo Hilo kabisa.... Uite amri kumi ni ushenzi!!! Hiyo ni laana kubwa...eti unaishi0kwa roho yupi huyo anyetukana amri za MUNGU?
Yani wewe mungu mzee mungu akulehemu Sana
Wewe unamatatizo sana, haustahili kusikilizwa. . Taasisi ya kutetea ukristo iko wapi? Huyu ni wa giza 100%.
Hivi ata kama ni uhuru kweli jamani😢 hii imezidi Yani imeshindikana ata huyu mtu kifungiwa ,. Mbona hii ni hatari ,. Nadhani Bible inazungumza kuhusu kuwa na kiasi ata kama ndo upole huyu kazidi kupotosha na kudhalilisha kitabu Cha Mungu
Upuuuzi...
Yani we mzee Soma yohana 1. 8. Asemaye Hana dhambi ajidanganya Wala kweli haimo ndani yake kweli mzee hapo ulipo fikia kweli mungu atakupiga kweli Yani inafikia mahali una itukuna bibilia una sema bibilia kaburi kweli subiria kipigo kina kuja juuu yako
Duhu jamanidunia imeisha huyu mchangaji anamtukana mungu dainasikitisha hiviamrizamungu anaziitahivyo
Huyu jamaa ni Shetani katika umbo la binadamu
Ghazabu ya mungu ukukumbe kwa kupotosha mataifa
Naona humjui vizuri Mungu
Mungu adhihakiwi apandacho mtu atavuna acha kupotosha watu neno la Mungu ni hai na lina pumzi ya Mungu ooooh utakufa mdomo wazi....kwa maana hiyo watu wazini au sio
Ee Mungu uturehemu....
Nimesiliza clip yako et unasema amri za Mungu ni upuuzi haraf et unalitaja jina la yesu, yesu mwenyewe alisema mkinipenda mtazishika amri zangu wewe unasemaje kuwa ni upuuzi kama siyo ibilis wewe,et kwa kigezo wewe ni mwana wa ufalme iv unadhan mbinguni ni kuchafu kana kwamba kila mtu mwovu mfano wako ataingia2,yaan kama wana mtu wapo hivyo bas dunia yote imeokoka,dah yaana nataman hata ningekuona tujibizane uso kwa uso ewe shetan mim sikuogopi hata kidogo
Mwezi wa sita utakua unaharisha sanaaa Mungu hadhihakiwi
@ndayisabapierreclaver5037
Жыл бұрын
Koma kwa jina la christo yesu, wewe mwizi na mnyanganyi !! Ma compuni yenu ya kumnyanganya masikini na yatima! Hamna hata haya ninyi adui wa kazi alio itenda christo msalabani!! Waongo,wanyanyangani, roho chafu, uombee,uteteji, uvunjaji wa ndoa za watu, judgers, hamna hata huruma mioyoni mwenu,ambao hamuwezi hata kumuhurumia masikini!! Wezi na wafisadi kila kikampuni chenu ni kuiba na kunyanganya ! Fungeni vikampuni vya wezi, na masiasa ya kishetani wauwaji kiadharani ,kupingania na kuuania vyeo ma fisi ya uongo ! Sisi tuna Mfalme ayie tuwea yalio tushinda chini ya jua!! Vizazi na wanyangani tu na kufirisisha familia zenu na kumponda masikini!
@nantaembanusurupia5674
3 ай бұрын
Nasikia amepararaizi😢
@TeresaNjoroge-tl8wo
23 күн бұрын
who gave the 10 commandments? you are the devil himself?
Hii ndiyo shida shetani anapokuja kwa sura ya binadamu.Yaani Mungu kaandika Amri kumi na kuwapatia wanadamu kama mwongozo wa maisha ya hapa duniani na kisha ahera.Huyu pepo anasema Amri kumi na ushenzi maana yake na aliyeziandika je???
Ko kukemea dhambi ni kutukana!?? Ndo maana upo hapo kila siku kukejeli neno kutetea dhambi coz mision yako ni kupeleka watu jehanamu na si mbinguni!! Hasira ya Mungu na iwake juu yako binafsi!! Na hizo roho za wana wa Mungu unazozipotesha ziokolewe kwa Jina La Yesu!!
Yesu aliwaambia wanafunzi wake kutakuja watu watajiita manabii na jina la yesu watandanganya wengi na kupoteza ,someni mathayo 24 :1:19 na msisomewe na mtu mjisomee utapata hawa walitabiliwa watatokea
Yesu mwenyewe unayemtaja alisema yeyote anayejisema Hana dhambi anajidanganya.wewe unajidanganya nakudanganya wenzio ulikotoka nao kuzimu
Yaani mpaka nywele zimenisisimka,eti unasema Amri.kumi ni nini? Inaamana Mungu ni mwanadamu kama wewe aseme USIABUDU MIUNGU MINGINE ILA YEYE! Kwa mahubiri yako hayo YESU aliyemgeuza sauli akugeuze kwa JINA LA YESU, Usiendelee kuwa potosha wana wa Mungu.
Utafanyaje kitu amabacho akipo, kwo unataka kusema dhambi haipo???!! Unamatatizo pastor
@ndayisabapierreclaver5037
Жыл бұрын
Kevin kizazi cha christo nakupenda !!
Uhuru umezidi Sasa😃😃daaah Yesu Rudi tyu
kwanza mbona kamera haionyeshi hao wehu wanyuma tuka waona
Jiulize kua Mpotoshaji huyu Agent wa Kuzimu na Mke wake Wana Bidhaa za Zoa Zoa. Ajabu Wakristo tunazikimbilia kununua na kutumia😪😪😪Tuwe Macho na Pepo hawa wa kuzimu
Nahisi wewe ni pepo katika fomu ya binadamu Ili uwapotoshe watu waende Jehanamu
@angiringalyimo365
Жыл бұрын
exactly
@sylvanusbinemungu-wt1fb
Жыл бұрын
Umelaaniwa wewe umeumbwa nani jitathimini
@daniered1501
Жыл бұрын
@@sylvanusbinemungu-wt1fb punguza ukali wa maneno, Hasira humuua mpumbavu na wivu humuua mjinga Ayubu 5:2
@godfreyobadiah7892
Жыл бұрын
Ww ni Iluminati mshenzi unavuta bangi tangu tulikuwa form two !
@reginapius1746
Жыл бұрын
Ua ndio ndio utajua
Wakolosai 3:5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;
Hatari sana
Mungu wamsamehe hawajui walitendalo, ila moto unawasubili
Unajikubi nn we mpuzi hujui hayo maneno mbingu inaandika ee kweli nakuone huruma MUNGU wa Israeli akurehem sana
Kwavile ndio dini yenu ya ujanja ujanja sikushangai
Wewe subiri mapigo kumi ya misri ndio utakuwa kuwa mungu ndiye muumba wako???huyo roho wa bwana ,Yesu alikuwa neno na neno lilikuwa kwa Mungu naye alikuwa Mungu,na kila kitu hapa duniani kiliumbwa kwa neno,neno ni Kristo wa bwana,Acha kupoteza watu kwa kuwatangazia ushenzi wako,kama wewe ni mzinzi kaendelee na uzinzi wako na hao wafuasi wako ambayo mmetoka wote kuzimu kuja duniani kufanya KAZI ya shetani.utakfa katika maneno yako kwa nini ujite mchungaji we jiite shetani .
@nellychamba1507
Жыл бұрын
Nasema serikali isikubali kuruhusu vitu hivi, Kama inataka nchi iwe na timamu pamoja na watu wake,Basi uchukue hatua, maana hakuja serikali Bora bila kumshomu Mungu, huyo mshenzi ni pepo toka kuzimu ,na Mungu amesikia atakushughulikia mapema tu, maana ajalala,aise
HUYU BABA SIMUELEWI SABABU HATA YESU HAKUKANA AGANO LA KALE.YESU ALISEMA SIKUJA KUITANGUA TORATI BALI KUIKAMILISHA.....HELOOOO👋
Eti liliomba msamaha mkewe ndio akamsomea msamaha eti hajatamka,sasa hili ni jini au linguruwe,mungu hatakuacha hivihivi,
Bado yuko hai huyu unaishi kwazo kwa hiyo unafikiri Amri na Sheria za Musa
Waumini mnapotezwa mkimbieni huyu pumbavu zake. SHERIA ZA MUNGU CYO UPUUZI NA NYAMAZA KIMYA KWA JINA LA YESU KRISTO HATA MILELE
Ko watu wasiambiwe kuacha dhambi? mbona himo makanisani Kuna wachawi,wazinzi,waongo na wachafu wakubwa! Utahukumiwa vibaya sana WEWE....! Hayo mahubiri TU ni dhambi halafu useme hatuna dhambi ko unamfanya MUNGU KUWA MWONGO? SIKU INAKUJA YAKULIPA HESABU
Mwenyezi Mungu apa ndipo anapowahaibisha wahubili wa mchongo akili zimeshafiatuka wakina kibwetele kina Makenzie wapo wengi serikali isinyamaze kmy maana waumini wanapelekwa spo Hawa watu wakiachwa hivi ipo yatatokea Mambo ya ajabu ambayo ayategemewi kutokea huyu Ni wakala wa shetani
Daaa mungu uliehukum sodoma na gomola tuhukumie makanisa haya yasiona stahaa ya maneno wachungaji wauongo na manabii wauongo wanazidi kulithiaki neno lako Yesu wetu uliejitoa pale msalabanii
biblia umeletewa na wakoloni alafu unajifanya unamjua Mungu acheni unafiki tangu lini mkoloni aliyekutawala akuonyeshe pepo
Ww umesahau kilichowakuta Brazil Kwa kuabudu Ile sanamu ,mungu atakutia opofu.
Tutaijua kweli na kweli itatuweka huru,huyu jamaa ipo siku ataijua kweli bado hajui anachofanya na wanaomsikiliza woote hawaja ijua kweli.wanafata bendera tuu fata upepo.
Huyu MUNGU angemvuna mapema kusudi asiendelee kupotosha watu, maana ni hatari huyu mtu kuliko hata shetani mwenyewe!! na kumbuka huo sio ukristo anayouzungumzia Bali ni ushetani wake maana huyu ni chawa wa ibilisi.
1yoh1:8-10..tukisema hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe na kweli haipo mioyoni mwetu...acha kupotosha..unapinga biblia