AMRI ZA 10(TORATI) NI LAANA NA NIHASIRA - KRISTO CHUMVI YA ULIMWENGU

#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com

Пікірлер: 76

  • @VickyChami-v7k
    @VickyChami-v7k12 күн бұрын

    Mpinga Kristo namba moja

  • @juliethnyagawa4102
    @juliethnyagawa4102 Жыл бұрын

    We kajamaa wewe kaovyo Sana mjumbe wa ibilisi Bwana akukemee

  • @mayaladominico2126
    @mayaladominico2126 Жыл бұрын

    Siku hizi vichaa mnavaa vizuri.zamani walionekana majalalani Leo wanahubiri injili Kwa uongo poleni waumini wake.

  • @yudachelango6824
    @yudachelango68242 ай бұрын

    Pumbafu sana, hakuna kitu kinachokosa sheria na kanuni,, imani vilevile

  • @WTC492
    @WTC492Ай бұрын

    Wewe Mzee tafuta kazi za kufanya nyingine nakuonea huruma. Sio hicho unachofanya.

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay74153 ай бұрын

    Shetani kazini.

  • @usausatv2781
    @usausatv2781 Жыл бұрын

    Wewe Mtumishi Wa Munguuu Ao Umetumwa Na Shetanii? Mungu Akusamee Maana Hujuwi Unacho Kifanya Kupotosha Kanisa La Kristo Alilo Lifiya Kweli?

  • @focusernest5610
    @focusernest5610 Жыл бұрын

    Potosheni sana ila mshahara wenu upo

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah78927 ай бұрын

    Wengine kwanza avute ndipo apande mazabahuni.

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    2 Wathesalonike 2:9-10 ; kwa sababu walikataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, naye ataleta nguvu ya upotevu , wauamini huo uongo,ili wapate malipo yawasitahiriyo Matendo yao upotevu wao

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah78927 ай бұрын

    Waambieni wake zenu wasitumie mafuta mengi ktk mapishi huondoa uasilia wa ubongo !

  • @georgeahadi-zg2fn
    @georgeahadi-zg2fn Жыл бұрын

    Kwa kweli shetani anakutumia

  • @SalomeMpota
    @SalomeMpotaАй бұрын

    Maiti zinazoongea....mashoga hawa daah

  • @loner_wolf
    @loner_wolfАй бұрын

    Huyu ndio yule wa ushoga twende tu mbinguni .

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 Жыл бұрын

    Yesu mwenyewe kila siku alikuwa akimponya mtu anamwambia usitende tena dhambi yasije yakakukuta makubwa kuliko hayo, mwanamke mzinzi pia aliambiwa na Yesu mwenyewe nenda lakini usitende tena dhambi, maana yake bado dhambi ipo. Acha kudanganya watu. Ni lazima kuishi maisha matakatifu maana Mungu ni mtakatifu. Hata Yesu aliishi Duniani bila kutenda dhambi

  • @faustinelias3284

    @faustinelias3284

    Жыл бұрын

    aiseee nimeamin kazi ya ibirisi unaifanya vizur siku ikifika atakuri vema

  • @abelsimon8830

    @abelsimon8830

    Жыл бұрын

    Utaishije maisha matakatifu Kama unadhambi? ILI UISHI MAISHA MATAKATIFU INAKUPASA USIWE NA DHAMBI.HESABU NDIYO HII.

  • @WTC492

    @WTC492

    Ай бұрын

    Asante kumkosoa huyu jamaaa.

  • @ezekelmabesa4324
    @ezekelmabesa4324 Жыл бұрын

    Nimesikiaaa wa pumbavu wengi ila wew ni grade A hahahahaha unapotoshaa live bila chengaa

  • @abelsimon8830

    @abelsimon8830

    Жыл бұрын

    Kumbe wewe unaipenda dhambi endelea kuimiliki.

  • @petermpenjwa1225
    @petermpenjwa1225 Жыл бұрын

    Chumvi ya ulimwengu leo umekolea saana

  • @user-ez1ky4ls7c

    @user-ez1ky4ls7c

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Жыл бұрын

    Biblia hauwezi kuielewa kwa kusoma nusunusu hivo. Biblia ni kwa muktadha

  • @ludovickvedastus3979
    @ludovickvedastus3979 Жыл бұрын

    Nondo n nzito sana 😅

  • @sylvesterjoseph4575
    @sylvesterjoseph4575 Жыл бұрын

    Makanisa ya mafundisho ya uongo huo

  • @manumunemanumune-uj6jq
    @manumunemanumune-uj6jq11 күн бұрын

    Ninyi mawakala washetani ninyi acha kuwapotosha wana wa Mungu utwo tu hela mnato pewa tutaishia hapa hapa duniani

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Kina zumaridi hawa wamemezeshwa biblia na waganga wa kienyeji wa Nigeria

  • @ameliaamos3903
    @ameliaamos3903 Жыл бұрын

    Amen

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8oАй бұрын

    Kkkk hawana dhambi😂😂😂😂😂duh

  • @user-bg3tl6qi3u
    @user-bg3tl6qi3u13 күн бұрын

    Hivi kuna watu wanawafwata hawa wachungaji nitashangaa

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8oАй бұрын

    Kondooo wako hapo wanasikiliza kwa makini😂😂😂

  • @HappyAtom-qd5sz
    @HappyAtom-qd5sz3 ай бұрын

    Pasta shoga

  • @muromuro8037
    @muromuro8037Ай бұрын

    Masikio kama ya nguruwe wale waliokuwa na mapepo

  • @simonchege2296
    @simonchege2296Ай бұрын

    Manabii wa uongo wa siku za mwisho.Mathew chapter 24

  • @aluneanthony3468
    @aluneanthony34684 ай бұрын

    Watu wanataka kusafisha dhambi zao kwa nguvu zao wenyewe akat kwenye torati kuna sheria 623 kama binadam utaziweza??

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Mungu anasema kitabu cha mwanzo 6: Nanukuu, Binadamu baada ya kuzidi,usoni pa nchi,Wana wa Mungu wakawaoa binadamu ni wazuri wakawaoa,...Maasi yalipozidi usoni pa nchi,.Mungu akagairi kumuumba mwanadamu aliyemuumba, akasema nitamfutilia mbali mwanadamu na wanyama: Mwanzo :6:6

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain10 ай бұрын

    Hii ndiyo injili ya kweli japo inashangaza sana kusoma maoni ya watu wengi yanayoonesha kuwa hawaelewi kabisa. Nadhani ni kwa sababu wengi hawaelewi wala kutambua kazi ya kifo cha Yesu msalabani. Ee Mungu tupe neema ya kufumgua akili na ufahamu ktk jina la Yesu Kristo, Amen! Asante mtumishi wa Mungu wa kweli!

  • @mayaladominico2126
    @mayaladominico2126 Жыл бұрын

    Zinatafutwa.zinaliwa.

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah78927 ай бұрын

    Ndio maana waisilamu wanauchoka ukristo.

  • @danielmrashani8710

    @danielmrashani8710

    18 күн бұрын

    Huyo sio mkristo maana awezi kuhubiri neno la kristo

  • @aluneanthony3468
    @aluneanthony34684 ай бұрын

    Hatuna dhambi kwa sababu kristo ameshamaliza dhambi zetu kalvari lakini watu wengi nadhan hawajui kazi ya Yesu . Endeleeni kutubu 😂😂sisi tupo kwenye neema ya KRISTO Yesu ameshatubebea dhambi zetu😊

  • @titojb4703
    @titojb4703Ай бұрын

    Ukiua itahesabika nini?

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Жыл бұрын

    Kwani Paulo si ndiyo huyohuyo mmemkataa kwenye mafundisho yenu? Hapa tena mnamkubali?

  • @judithmtiesa8945

    @judithmtiesa8945

    5 күн бұрын

    Mwenzangu ,hata Mimi nimesema hivyohivyo kama umenisikia hapa!kaah!

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 Жыл бұрын

    Mawazo yako

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Жыл бұрын

    Man of comedy

  • @salarose5980
    @salarose5980 Жыл бұрын

    kweli wakati umewadia mafundisho haya duuh yesu tusaidie ili tufike

  • @fredymbilinyi6323

    @fredymbilinyi6323

    Жыл бұрын

    Nani anamwelewa huyu jamaa . Anieleweshe🤔

  • @pastoralexanderofficial6023
    @pastoralexanderofficial602311 күн бұрын

    Ninani alikuabia bona mnaubiri kwakukurupuka tu

  • @petermpenjwa1225
    @petermpenjwa1225 Жыл бұрын

    Chuma hunoa chuma

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Tusemeje nini basi? Tudumu kutenda dhambi ili Neema izidi kuwa nyingi? La hasha! Sisi tulioifia dhambi tuishi ktk dhambi? Waumi 6:1-2;

  • @user-yt1lz6hz5p
    @user-yt1lz6hz5p3 ай бұрын

    Ndomaan ss waislam tunamashaka nabibilia sio kitabu chamungu natunauhakika kutokana nakufuru zilizomo

  • @danmike5701
    @danmike5701 Жыл бұрын

    Huyu ni mbwa mwitu Mkali

  • @loner_wolf
    @loner_wolfАй бұрын

    Wenzako wanasema Yesu ni mungu .....naww nikuulize swali , Torati ni kitabu cha mungu alichokitelemsha mungu mwenyewe kupitia malaika Jibril ktk kifua cha Nabii Mussa . Sasa wewe unasema torati itoke ije neema , kwani ninani huyo aletaye neema hata amshinde mungu ? Yaan neema ni ya nani ?

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Жыл бұрын

    Ila nyie Ila nyie mmepotoka wazi wazi wala kuwajua ninyi mnafundisha uongo ni rahisi,

  • @robertmondu3878
    @robertmondu3878 Жыл бұрын

    Hivi hata kama huna akiri timamu or unavundisha mazezeta broo

  • @EdwinKapinga-hg5kw
    @EdwinKapinga-hg5kwАй бұрын

    Wewe unasikiliza cheka tu unadhan labda ni furaha,jaman wakati wa mwisho huu tubadilike sabato ITABAKI pale pale ndo inayo mtambulisha MUNGU mwenyewe,NAJISI vitabaki kuwa najisi,DHAMBI ITABAKI kuwa DHAMBI,POMBE ni halam, kama una mbingu yakwako endelea kutumia na kumfhata mfuasi wa JOKA atakufanya nawewe ukose MBINGU

  • @frolatimotheo8107
    @frolatimotheo8107 Жыл бұрын

    Wewe.kama.unataka.kuogerea.katika.dhambi.ogerea.mpaka.mwisho.na.mtakatifu.azidi.kujitakasa.mpaka.mwishoo.acha.uongokama.nbaba.yako.shetani.kama.ilikwisha.hiyo.hdambi.utakiwi.kudumu.katika.hiyo.dhambi.kaaa.kimyaaa.katika.jina.la.yesu

  • @solomonmugao4733
    @solomonmugao473314 күн бұрын

    Huyu Ni nabii Wa uongo. Yes mwenyewe Ni mdhambi Wa ajabu Wa kukana yesu. . Ndigvyo unaona wengihawataki kufuata biblia. Wewe utapotea Na wwengi

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah78927 ай бұрын

    Nyoko

  • @user-ez1ky4ls7c

    @user-ez1ky4ls7c

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Жыл бұрын

    Imekwisha nini mwanadamu?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936Ай бұрын

    Anaubiri pumba tu huyu

  • @amanimolell4204
    @amanimolell4204 Жыл бұрын

    Acha kuongea mambo usio yajua warumi 6.1

  • @amanimolell4204

    @amanimolell4204

    Жыл бұрын

    Ufunuo 21.6-8

  • @daniellaiser4672

    @daniellaiser4672

    Жыл бұрын

    Huyu sio mchungaji hata neno hajui

  • @EdwinKapinga-hg5kw
    @EdwinKapinga-hg5kwАй бұрын

    BIBLIA nikitabu pekee cha Mungu mwenyewe fuatilia ufaransa kiliwakuta Kwa sababu kukataa BIBLIA na Mungu mwenyewe shetan hawatakii mema Wanadamu ndio maana kunamawakala kama hao wanaohubiri uongoo,wewe mwislamu nenda urudi BIBLIA ita aki kuwa takatifu 2timotheo3:16-17,waebrania4:12,mithali30:5-6,zaburi119:9-11,99,155,165,isaya8:20,mathayo5:17-19,ufunuo22:19,soma utaelewa,DHAMBI ITABAKI TU KUWA DHAMBI msimsikilize anaye Nena kama JOKA ufunuo13:6,

  • @fidelisbutondo1659
    @fidelisbutondo1659 Жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Жыл бұрын

    Hawa jamaa nashanga,wameikataa Biblia na kuna Bible wanaisubili iletwe .hivo nafikri haitaandika dhambi.

  • @nicodemusmsangi284
    @nicodemusmsangi284 Жыл бұрын

    Hahahaha hawa wapotevu bhna wanapotesha watu wazi wazi hakuna Aliya kamilika nyie mashetani tuu eti nenda kituo Cha polisi katukane hahaha Anza wewe alafu utaona shoo wewe pepo

  • @salarose5980
    @salarose5980 Жыл бұрын

    yesu ali acha sala gani itunike? kunakifungu cha kufanya toba kila tusalipo lakini wewe unapotosha jipime sawasaw

  • @noahmfinanga507

    @noahmfinanga507

    Жыл бұрын

    Huyu jamaa serious Kuna waumini kweli anawahubiria na wanamkubali? au Yuko peke yake? Mbona Huwa hawaonyeshwagi?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936Ай бұрын

    Shoga wewe

  • @EdwinKapinga-hg5kw
    @EdwinKapinga-hg5kwАй бұрын

    Wewe acha KUNENA kama JOKA naona unamsaidia kazi shetani MUNGU alisema amesema nyiee waumini wake somenii BIBLIA hamtadanganyika tena

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Жыл бұрын

    Ila shetani amewaleta wahuni wengi.

Келесі