AMRI ZA 10(TORATI) NI LAANA NA NIHASIRA - KRISTO CHUMVI YA ULIMWENGU
#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com
#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com
Пікірлер: 76
Mpinga Kristo namba moja
We kajamaa wewe kaovyo Sana mjumbe wa ibilisi Bwana akukemee
Siku hizi vichaa mnavaa vizuri.zamani walionekana majalalani Leo wanahubiri injili Kwa uongo poleni waumini wake.
Pumbafu sana, hakuna kitu kinachokosa sheria na kanuni,, imani vilevile
Wewe Mzee tafuta kazi za kufanya nyingine nakuonea huruma. Sio hicho unachofanya.
Shetani kazini.
Wewe Mtumishi Wa Munguuu Ao Umetumwa Na Shetanii? Mungu Akusamee Maana Hujuwi Unacho Kifanya Kupotosha Kanisa La Kristo Alilo Lifiya Kweli?
Potosheni sana ila mshahara wenu upo
Wengine kwanza avute ndipo apande mazabahuni.
2 Wathesalonike 2:9-10 ; kwa sababu walikataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, naye ataleta nguvu ya upotevu , wauamini huo uongo,ili wapate malipo yawasitahiriyo Matendo yao upotevu wao
Waambieni wake zenu wasitumie mafuta mengi ktk mapishi huondoa uasilia wa ubongo !
Kwa kweli shetani anakutumia
Maiti zinazoongea....mashoga hawa daah
Huyu ndio yule wa ushoga twende tu mbinguni .
Yesu mwenyewe kila siku alikuwa akimponya mtu anamwambia usitende tena dhambi yasije yakakukuta makubwa kuliko hayo, mwanamke mzinzi pia aliambiwa na Yesu mwenyewe nenda lakini usitende tena dhambi, maana yake bado dhambi ipo. Acha kudanganya watu. Ni lazima kuishi maisha matakatifu maana Mungu ni mtakatifu. Hata Yesu aliishi Duniani bila kutenda dhambi
@faustinelias3284
Жыл бұрын
aiseee nimeamin kazi ya ibirisi unaifanya vizur siku ikifika atakuri vema
@abelsimon8830
Жыл бұрын
Utaishije maisha matakatifu Kama unadhambi? ILI UISHI MAISHA MATAKATIFU INAKUPASA USIWE NA DHAMBI.HESABU NDIYO HII.
@WTC492
Ай бұрын
Asante kumkosoa huyu jamaaa.
Nimesikiaaa wa pumbavu wengi ila wew ni grade A hahahahaha unapotoshaa live bila chengaa
@abelsimon8830
Жыл бұрын
Kumbe wewe unaipenda dhambi endelea kuimiliki.
Chumvi ya ulimwengu leo umekolea saana
@user-ez1ky4ls7c
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Biblia hauwezi kuielewa kwa kusoma nusunusu hivo. Biblia ni kwa muktadha
Nondo n nzito sana 😅
Makanisa ya mafundisho ya uongo huo
Ninyi mawakala washetani ninyi acha kuwapotosha wana wa Mungu utwo tu hela mnato pewa tutaishia hapa hapa duniani
Kina zumaridi hawa wamemezeshwa biblia na waganga wa kienyeji wa Nigeria
Amen
Kkkk hawana dhambi😂😂😂😂😂duh
Hivi kuna watu wanawafwata hawa wachungaji nitashangaa
Kondooo wako hapo wanasikiliza kwa makini😂😂😂
Pasta shoga
Masikio kama ya nguruwe wale waliokuwa na mapepo
Manabii wa uongo wa siku za mwisho.Mathew chapter 24
Watu wanataka kusafisha dhambi zao kwa nguvu zao wenyewe akat kwenye torati kuna sheria 623 kama binadam utaziweza??
Mungu anasema kitabu cha mwanzo 6: Nanukuu, Binadamu baada ya kuzidi,usoni pa nchi,Wana wa Mungu wakawaoa binadamu ni wazuri wakawaoa,...Maasi yalipozidi usoni pa nchi,.Mungu akagairi kumuumba mwanadamu aliyemuumba, akasema nitamfutilia mbali mwanadamu na wanyama: Mwanzo :6:6
Hii ndiyo injili ya kweli japo inashangaza sana kusoma maoni ya watu wengi yanayoonesha kuwa hawaelewi kabisa. Nadhani ni kwa sababu wengi hawaelewi wala kutambua kazi ya kifo cha Yesu msalabani. Ee Mungu tupe neema ya kufumgua akili na ufahamu ktk jina la Yesu Kristo, Amen! Asante mtumishi wa Mungu wa kweli!
Zinatafutwa.zinaliwa.
Ndio maana waisilamu wanauchoka ukristo.
@danielmrashani8710
18 күн бұрын
Huyo sio mkristo maana awezi kuhubiri neno la kristo
Hatuna dhambi kwa sababu kristo ameshamaliza dhambi zetu kalvari lakini watu wengi nadhan hawajui kazi ya Yesu . Endeleeni kutubu 😂😂sisi tupo kwenye neema ya KRISTO Yesu ameshatubebea dhambi zetu😊
Ukiua itahesabika nini?
Kwani Paulo si ndiyo huyohuyo mmemkataa kwenye mafundisho yenu? Hapa tena mnamkubali?
@judithmtiesa8945
5 күн бұрын
Mwenzangu ,hata Mimi nimesema hivyohivyo kama umenisikia hapa!kaah!
Mawazo yako
Man of comedy
kweli wakati umewadia mafundisho haya duuh yesu tusaidie ili tufike
@fredymbilinyi6323
Жыл бұрын
Nani anamwelewa huyu jamaa . Anieleweshe🤔
Ninani alikuabia bona mnaubiri kwakukurupuka tu
Chuma hunoa chuma
Tusemeje nini basi? Tudumu kutenda dhambi ili Neema izidi kuwa nyingi? La hasha! Sisi tulioifia dhambi tuishi ktk dhambi? Waumi 6:1-2;
Ndomaan ss waislam tunamashaka nabibilia sio kitabu chamungu natunauhakika kutokana nakufuru zilizomo
Huyu ni mbwa mwitu Mkali
Wenzako wanasema Yesu ni mungu .....naww nikuulize swali , Torati ni kitabu cha mungu alichokitelemsha mungu mwenyewe kupitia malaika Jibril ktk kifua cha Nabii Mussa . Sasa wewe unasema torati itoke ije neema , kwani ninani huyo aletaye neema hata amshinde mungu ? Yaan neema ni ya nani ?
Ila nyie Ila nyie mmepotoka wazi wazi wala kuwajua ninyi mnafundisha uongo ni rahisi,
Hivi hata kama huna akiri timamu or unavundisha mazezeta broo
Wewe unasikiliza cheka tu unadhan labda ni furaha,jaman wakati wa mwisho huu tubadilike sabato ITABAKI pale pale ndo inayo mtambulisha MUNGU mwenyewe,NAJISI vitabaki kuwa najisi,DHAMBI ITABAKI kuwa DHAMBI,POMBE ni halam, kama una mbingu yakwako endelea kutumia na kumfhata mfuasi wa JOKA atakufanya nawewe ukose MBINGU
Wewe.kama.unataka.kuogerea.katika.dhambi.ogerea.mpaka.mwisho.na.mtakatifu.azidi.kujitakasa.mpaka.mwishoo.acha.uongokama.nbaba.yako.shetani.kama.ilikwisha.hiyo.hdambi.utakiwi.kudumu.katika.hiyo.dhambi.kaaa.kimyaaa.katika.jina.la.yesu
Huyu Ni nabii Wa uongo. Yes mwenyewe Ni mdhambi Wa ajabu Wa kukana yesu. . Ndigvyo unaona wengihawataki kufuata biblia. Wewe utapotea Na wwengi
Nyoko
@user-ez1ky4ls7c
Ай бұрын
😂😂😂😂
Imekwisha nini mwanadamu?
Anaubiri pumba tu huyu
Acha kuongea mambo usio yajua warumi 6.1
@amanimolell4204
Жыл бұрын
Ufunuo 21.6-8
@daniellaiser4672
Жыл бұрын
Huyu sio mchungaji hata neno hajui
BIBLIA nikitabu pekee cha Mungu mwenyewe fuatilia ufaransa kiliwakuta Kwa sababu kukataa BIBLIA na Mungu mwenyewe shetan hawatakii mema Wanadamu ndio maana kunamawakala kama hao wanaohubiri uongoo,wewe mwislamu nenda urudi BIBLIA ita aki kuwa takatifu 2timotheo3:16-17,waebrania4:12,mithali30:5-6,zaburi119:9-11,99,155,165,isaya8:20,mathayo5:17-19,ufunuo22:19,soma utaelewa,DHAMBI ITABAKI TU KUWA DHAMBI msimsikilize anaye Nena kama JOKA ufunuo13:6,
Hahahahaha
Hawa jamaa nashanga,wameikataa Biblia na kuna Bible wanaisubili iletwe .hivo nafikri haitaandika dhambi.
Hahahaha hawa wapotevu bhna wanapotesha watu wazi wazi hakuna Aliya kamilika nyie mashetani tuu eti nenda kituo Cha polisi katukane hahaha Anza wewe alafu utaona shoo wewe pepo
yesu ali acha sala gani itunike? kunakifungu cha kufanya toba kila tusalipo lakini wewe unapotosha jipime sawasaw
@noahmfinanga507
Жыл бұрын
Huyu jamaa serious Kuna waumini kweli anawahubiria na wanamkubali? au Yuko peke yake? Mbona Huwa hawaonyeshwagi?
Shoga wewe
Wewe acha KUNENA kama JOKA naona unamsaidia kazi shetani MUNGU alisema amesema nyiee waumini wake somenii BIBLIA hamtadanganyika tena
Ila shetani amewaleta wahuni wengi.