MUME AMUUA MKEWE KWA RISASI, NDOA YAO YADUMU KWA MIEZI MITANO, MAMA WA MAREHEMU AONGEA KWA UCHUNGU
Жүктеу.....
Пікірлер: 2 400
@ummySheikh722 жыл бұрын
Pole saana mwanamke mwenzangu! Poleeh Dada! Sina zaidi ya hilo Mungu akupe Subra, mmmmmmh😭😭
@blandinamatagi6723
2 жыл бұрын
Pole sana sana
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Pole sana mama
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
Sasa hapo kwenye raha tumwachie mwenye raha yake yeey ndyo anajua kwamba anafaa kupata raha au hafai, swala ni sisi je? Tumejifunza kipi kuhusu hili tukioo? Ndy kitu cha kuangalia wewe mambo ya raha achana nayoooo
@hkk2450
2 жыл бұрын
Sema Inna lilah waina ilahi rajioon muislam uyo
@rithakuyala9951
2 жыл бұрын
Acheni kushoboka shoboka ovyo kila mtu anaandika anavyojiskia acheni kunipangia chefuuuu 😏😏😏
@ammydaniel8947
2 жыл бұрын
Raha tena ?? Na apumzike kwa amani?
@rasheedmbaraka75562 жыл бұрын
mama you're very strong mama..Allah akupe nguvu..ila hapo ndoa ilikuwa na changamoto nyingi..kuchukua roho ya mtu sio sawa ila hapa palikuwa na tatizo kubwa lilipaswa kutatuliwa mapema
@georgemlyuka604
2 жыл бұрын
Pole sana
@asiacruiz51652 жыл бұрын
Poleni Sana Wana familia yote ya Bi tiba Mohammed,kwa msiba huu mzito, ALLAH awape subra kubwa kwa kuondokewa na mpendwa wenu😭😭😭😭
@kebibasherry31172 жыл бұрын
Pole Sana mamangu ❤️ mungu akufanyie wepesi kwa mdada wako mpaka apumzike salama àmiin yaraab 🙏
@beatriceben86117 ай бұрын
Came here again after listening to Rapcha's 40 missed calls 😭😭😭 may their souls rest in peace🙏
@alibalushi46912 жыл бұрын
Rambirambi ziwafikie wafiwa mungu amlaze mahali pema marehemu Salha.asanteni milliard ayo tv.kwa umahiri kwa kutuletea habari za kijamii.
@fravoredstunner52 жыл бұрын
Jamaa kakimbilia kuoa kabla ya kuovercome his insecurities. Sad. RIP 🙏🏽.
@vicentmayanda3935
2 жыл бұрын
Umeongea point sanaa yan ameoa bila kuakikisha security ya mapenz yake
@monamackey569
2 жыл бұрын
Very correct yani alikuwa very insecure na iyo ni mbaya sana
@colletampechi9030
2 жыл бұрын
Exactly
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
@@vicentmayanda3935 hahaha babu kasome kamusi
@vicentmayanda3935
2 жыл бұрын
@@mathewdyzymaleyafrica9128 kwann mzee hana security hamwamini hata anayempenda maana ndoa changa mzee
@binti_jannet2 жыл бұрын
If you feel someone's son/daughter isn't giving you peace, just release them in peace and NOT in pieces. May she rest in peace 💔
@juliethhouseofdesigns147
2 жыл бұрын
True
@jeanmusamba8906
2 жыл бұрын
HHHAHAHAHHAHA excelent,in russian we say attlichna,in swahili barabara
@busagibelias2005
2 жыл бұрын
Kabisaa Angemuacha tu salama sisi tungemuoa
@dailystories4513
2 жыл бұрын
Imesemwa kirahisi kuliko vitendo 😂, Kwan si asingemuoa kama alimjua yuko hivyo
@erickwilliamakungu4092
2 жыл бұрын
Nim release bila kionjo
@elizabethpeter84562 жыл бұрын
Siku yako ikifika hauna ujanja tumuombe mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 🙏 wadada turidhike na kina bakari kichwa wetu🥴 matajiri siku zote maamuzi magumu kwao kitu Cha kawaida Sana. Riziki za kulazimisha matokeo yake ni mabaya.
@harrisonzoza6709
2 жыл бұрын
Ushasema kweli
@stellamsangi4281
2 жыл бұрын
Roho mbaya haina tajiri wala maskini wanaokatwa mikono huko vijijini waume zao nao ni matajiri? Tena maskini ndio wana hasira nyingi za umaskini stress zimewajaa sana. Hawa walikuwa na matatizo mengi ambayo hakuna anaweza kuyajua.
@elizabethpeter8456
2 жыл бұрын
@@stellamsangi4281 🤗🤗 nafikiri utakuwa ujanielewa nilicho maanisha hapo haijasemwa roho mbaya Ila ni ujasiri. Sasa kwenye ujasiri na roho mbaya ni Mambo mawili tofauti!! Kama ujawahi kupitia changamoto za hao wanao itwa matajiri. Nilicho kiandika uwezi kukielewa. kabisaaa
@stellamsangi4281
2 жыл бұрын
@@elizabethpeter8456 nazijua zote za matajiri na maskini pia. Hiki kitu ni kipana sana its about been poor or rich dear hapo ndipo tunapokosea na hii inasababisha shida kutoisha. Haya ni makuzi, depression, anger management, watu wanatembea lakini wana misongo ya mawazo ya kila aina na hawajui nani wakuongea nae so wanapoguswa kidogo tu hasira inapanda mpaka kupita kiwango. Kwa kitaalam huyo mwanaume tunamuweka kwenye kundi la watu waliokuwa na msongo mwitu na hawakupata tiba kwa wakati sahihi na huenda ni sababu hata yeye hakuwa anajijua kuwa ni mgonjwa. Hiki kitu ni kipana sana na chanzo huanzia toka utotoni ndio maana tunashauri wazazi kuwa makini sana na jinsi wanavyowalea watoto wao pia kuwa na muda wa kuongea na watoto kujua changamoto wanazopitia mashuleni, kwa marafiki zao na mengineyo. Hicho alichoganya huyo kaka ni matokeo ya vitu vingi vilivyokuwa vimejaa ndani yake. Tatizo ni kwamba watu wanaangalia tatizo ki wepesi sana kuliko lilivyo.
Pole sana mama,ndio maana mimi husema if marriage doesn’t work quit.long distance needs trust iko na challenges mingi sana maana huyu amekufa juu ya insecurities issues.ooh God
@MALENGWE
2 жыл бұрын
Uyu mama nae inaweza akawa sababu ya yote ndio maana ukienda kuoa mahali chunguza mama mkwe kwanza yukoje
@binhussain34452 жыл бұрын
Mtume Muhammadصلله عليه وسلم Amewahusia sana wazazi wa watoto wa kike kwamba.`` Wakiridhishwa na Tabia na Dini ya mwanaume basi wamuozeshe'' Sasa wazazi wetu leo wanatizama sana wanaume wenye pesa na hili ni tatizo kubwa sanaa
@mwagotimwanamvua5883
2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@gerrymroki509
2 жыл бұрын
Sasa maalim point yako ni ipi hapa.?
@binhussain3445
2 жыл бұрын
@@gerrymroki509 Point yangu ni kwamba Wazazi wa Mwanamke hawakutizama kigezo cha dini,, Laiti wangetizama kigezo cha Dini ungesikia Swalher kapewa Talaka moja au 3... YAANI Namaanisha nwanaume mwenye Dini aisngempiga risasi bali angemwacha kwa wema kama wameshindwana
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Allah tunamuomva Allah ampokee dada yetu. Amsamehe. A'miin.
@zaytunimkwata6949
2 жыл бұрын
Amiin yarabilghalamin
@zainabubalama88692 жыл бұрын
Poleni sana wafiwa kwakuondokewa na mpendwa wetu ALLAH amuhifadhi ampe qauli thabiti .
@heriethkusigwa39962 жыл бұрын
Huyu Mama anaujasiri sana...Mungu ni Mkuu sana .hakuna kitu kinauma kama Mzazi kumzika mtoto wake😥😥😭😭😭😭😭Nyie INAUMA Sana...Mola Akufute mchanga wa Usoni Mpenz..Ulale salama🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Kutokujiamini ndio sababu watoto wetu wa kiume na baadhi ya watoto wetu wakike wanaua wenza wao, hakuna kingine huyu kaka atakuwa alikuwa anagubu sasa kumuua ndio suluhu.
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Kbsaa wanaume n vishoiya Sana .jmn Kwan kuua mtu 🤔 ndo suluhu ya tatzoo.? Mkichomwa Moto 🔥 mnasem wanawake wanaroho mbya
@erickmichaelmugele2107
2 жыл бұрын
Mnasahau mna majibu ya hovyo...? Na mkiwa wazuri ndo kujiona na kunyoosha mdomo kunazidi......
@sulekun7245
2 жыл бұрын
Ww ulimuona kachepuka au unakurupuka tu!
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@sulekun7245 ANGEKUWA DADAKE ASINGESEMA HIVYO.
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@erickmichaelmugele2107 KWA HIYO UNAONA SAWA KUULIWA???
@rosemarymwakitwange62572 жыл бұрын
Pole sana mama wa marehemu, nafikiri kuna shida katika jamii zetu na malezi kwa ujumla. Mabinti wanatak financial freedom, vijana wanataka wake wenye kujitambua. Poleni sana
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
Wewe mama ise umesema kitu kikubwa sanaaaa 🤝🤝🤝🤝
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 ndio huyu mama ana akili sanaa nampenda japo simjui
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
mama umeongea kitu kizurii nakupenda sanaa mungu akulinde
@faylequlatein2 жыл бұрын
subhanallah! inasikitisha kuona habari kama hii…mungu aiongoze umma yetu na awape waliomo kwenye ndoa subira na maelewano
@jamesjoseph68252 жыл бұрын
Ukimwambia mtu acha hasira, basi yafaa uache kwanza mambo yanayomsababishia hasira! Ndoa zimekuwa changamoto hasa pale wanandoa wenyewe wanapoingia kwenye ndoa kabla hawajaumaliza ujana, mke mheshimu mumeo, mume mpende mkeo, kuwe na hofu ya Mungu kwa wanandoa, kama mmeshindwana basi gawaneni ustaarabu kila mtu ashike njia yake, japo Ni ngumu maana shetani kapiga kambi na anachochea vita, Mungu ampokee dada wa watu.
@juniorsamuelsamuel1224
2 жыл бұрын
Umeandika vizuri sana Mr James,dada hakuwa na heshima kwa mumewe hata kidogo, huwezi kumwambia mumeo eti acha nilale weweeeee lazima mfike pabaya,lkn mwanaume mwenzetu amefanya kitu kibaya sana,hakufakari kuhusu watakao hangaika kwa kukosa wazazi duniani.S
@goodmorning9142
2 жыл бұрын
@@juniorsamuelsamuel1224 ndo amuue eishhh
@reganshao
2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu yangu nimefurah kwa ulichoandika ..
@bakariomari8758
2 жыл бұрын
Mama hakuwa a namshauri binti yake nini maana ya mume.
@samxx411
2 жыл бұрын
Ata Dada awe na tabia mbaya huwezi muua si uachane nae basi, sasa ataoa wangapi mana aso hili ana lile, mwanamme uwe mstahamilivu kama huwezi bora usioe ndo mnaua hivyo
@mariamfritsi49432 жыл бұрын
Inna Lilah Wainnailah Rajuun Mungu akampe kauli thabit na akamsamehe makosa yake. Amina
@ladyt14712 жыл бұрын
Ndoa za siku hizi jamani miezi mitano tu mume keshauwa mke wake Mungu atusaidie
@limitoboe
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gGxk3M1vlK-sYNY.html
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Shetani yuko Kazini
@user-cm8yz3sb6t
2 жыл бұрын
Mtu anawekeza kwako anatumia resources kibao. Afu unamletea mauza uza lazima mfike huko tuu
@ladyt1471
2 жыл бұрын
Kweli kabisa shetani yuko kazini nachoona tu kama ikishindikana nafuu kuachana kuliko kuuwa
@leahmawazo4586
2 жыл бұрын
Analaanat uyo kaka duu
@OpportunityTvchambuaonline2 жыл бұрын
Sijafurahia alichokifanya huyu jamaa ila sasa ndoa nyingi zina changamoto, Wanawake kwa wanaume wana take their marriage for granted, pia maisha yamekosa uhalisia, wanawake walio kwenye ndoa wanajirahisisha wanapenda ulaini na miserereko wanaume pia wanapenda kila mrembo anayepita mbele na kuona huo ni umwamba ...ndoa zimekuwa one sided sana kuna anayeumia siku zote. Wanawake mlioolewa jitulizeni maana hali sio nzuri na inauma sana unapojua kuna mtu anakumegea kisela. Pia mwanamke kama hakuna sababu ya msingi kaa nyumbani. Ila kikubwa kwenye ndoa ni uaminifu tu.
@sashahauke2032
2 жыл бұрын
Ungeongea 👍kabisa mambo ni mengi sana na watu wanaigiza sana hakuna ualisia kabisa na wadada tuna mambo mengi sana san
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@sashahauke2032 kwa hiyo wanawake ndio wenye makosa etiiii
@vicentvenent447
2 жыл бұрын
Shikamoo bro...umenena nilioyameza
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
@@sashahauke2032 wanaume ndio wana mambo mengi,,fungua macho ww au utaonewa kila siku
@antonipius1365
2 жыл бұрын
kazi + ndoa + changamoto za maisha
@abelsabibi88362 жыл бұрын
Sababu za ovyo ovyo tu,tatizo hatupendi Mungu asimamie mambo yetu duniani hata haya ya ndoa.Hakuna legitimacy ya kumuua binadam mwenzako kwa sbb yoyote.
@skyneNews2 жыл бұрын
Mwisho Kabisa Kila Nafsi Itaonja Mauti Na Kifo Hakikosi Sababu . Tujiandae Tulio Baki, R.I.P swalha
@kazkaz19432 жыл бұрын
Sikuiz hakuna ndoa kuna maonyesho ya mavazi na show yanayosimamiwa na kina mcgara b kubwa
@aggreyenock1221
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fadhilajamal217
2 жыл бұрын
@@aggreyenock1221 sio kitu cha kucheka ila nimecheka 😀😂😂😂😂💔
@cheiknamouna2058
2 жыл бұрын
Na MC Gara B humo humo amechanganywa
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
@@cheiknamouna2058 kabisaa
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
Umenena 100%
@shyfettymtunda46192 жыл бұрын
Mama Mungu akutie nguvu.Hilo tu ndo naweza kusema kwa sasa. Pole sana.
@georgeburchard48722 жыл бұрын
Kwa maelezo ya mama tunapata fundisho kuwa wivu Ni sumu inayoweza kukumaliza wewe mwenyewe! Lakini pia tunapata fundisho kuwa mapenzi Ni kuaminiana, kusikilizana, kuoneana huruma na kujaliana! Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi Amina!
@mathiaslyamunda2526
2 жыл бұрын
Sahihi kabisa Wivu ni sumu ya kukumaliza mwenyewe pia.
@swabrinnahally8747
2 жыл бұрын
Wengine sisi tutaogopa ndoa...Allah amlaze pema peponi inshaAllah🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@georgeburchard4872
2 жыл бұрын
@@swabrinnahally8747 hapana usiogope kwa maana kila mtu Ana riziki yake!
@marrymaige24812 жыл бұрын
Huyu nature ya kazi yake asingeolewa kwanza,wanaume waelewa ni kama hawapo tena duniani..RIP. Kuolewa sio lazima jamani, your happiness comes first.
@blackcolour8183
2 жыл бұрын
Wanaume waelewa wapo ila tu huyo kaka hakutaka kumuelewa mwenzake ila hatuwezi jua huenda kunalingine zaidi ya hili tunalioambiwa
@jumannerajabu1356
2 жыл бұрын
kwani wivu mpaka uoe ata bira kuoa Kama nakupenda arafu unareta mambo ya mazanga razim nikutangurize2 japokua njia moja hakuna mwanaume anaependa kuzarauliwa
@Qaswararafashion5041
2 жыл бұрын
Wapo kibao tu wew ndo hujawaona wengi tu
@sulekun7245
2 жыл бұрын
Hajakosea kukubali kuolewa, Kama mume ameona kazi yake ni kikwazo kwake c angemzuia tu abaki nyumbani. Au laa Angemrejesha kwao
@Clex-f5s
2 жыл бұрын
Tupo Marry maisha ni kutafuta yaani mke anatafuta amechoka anauliwa kisa kula wakati wadogo wapo wa kufika ukatili
@Baba-JJ2 жыл бұрын
Unaua halafu unaishi kama digidigi si ujinga huo! Kabla hujaua ulikuwa unaishi kwa wasiwasi wa wivu, sasa umeua unaishi kwa wasiwasi wa kwenda kunyongwa, sasa umetatua nini?
@johnswai9986
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mathewdeus9978
2 жыл бұрын
Wewe bado mtoto omba YASIKUKUTE
@dorisfabian4776
2 жыл бұрын
@@mathewdeus9978 huyo mwanaume alikua chiziii kabisaaa kichwani kwake hakuko sawa kabisaaa ni kichaaa
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
Hahahahaha
@Baba-JJ
2 жыл бұрын
@@mathewdeus9978 mbona unaongea kama vile simu ulininunulia wewe? Nina miaka 50, mke na watoto, hiyo ndo unaita bado ni mtoto? Jifunze kumheshimu mwenzako hata kama wazo lake hukubaliani nalo.
@HASSANNGITUАй бұрын
Daa poleni sana family yote Mungu awatie nguvu amen.
@alphaxhosa82482 жыл бұрын
Warangi Watu wa Imani sana just imagine Mama Mzazi anaweza kuhadithia tukio zima Namna hio
@mariamsaid70762 жыл бұрын
pole sana mama mtoto anauma vibaya yaani nimejikuta nalia tuuuuu nikiwaza,mungu akupe nguvu yarab😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@magerebudodi84712 жыл бұрын
Mwanamke akimueshimu mme, mme automatically atampenda. Wanawake wa siku hizi wanakosa heshima umetoka kazini kwako umefikia kwenu na unajua umeolewa kwanini usienda kwako. Nabado mwanaume anakupigia sim hupokei unamtia hasira mtu. Lakini sisi wanaume nao tuwe na huruma hata kama mwenzako kakuuzi mkanye kwa hekima akili na kwa upole jitahidi kumjua mwenzako ni wa aina gani. Tuishi na wake zetu kwa akili ....
@TheBestPhone7918
2 жыл бұрын
Umeongea Vyema Mkuu ila Hapo kiukweli mdada amejisababishia Kwa kumtia Hasira Jamaa ww huwez toka Kwenye mishe zako ukafikia Kwenu wakat umeolewa halaf mbaya zaidi hupokei sm unadhid kumuudhi tu, na kwa uzuri huo akajua kabisa Huko uliko kuwa umetoka Kumegwa upo hoi na bado unaendelea Kumegwa
@fatmatwalib8179
2 жыл бұрын
Nyie wawili akili zenu ni sawa na uyo jamaa the fact is wanaume muache unyanyasaji hamtuoi ili tuwe watumwa kwenu kwaiyo mtu huna haki ya kuwasalimia wazee wako
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
Unyama sana 🔥🔥
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
@@fatmatwalib8179 Kusalmia haukatazwi lakini iwe kiutaritibu sio kwa unavyojisikia weewe kumbuka umeolewa ili ukamtumikie mmeo na ukiolewa wewe hauna amri tena juu ya mwili wako yaan mwanaum ndiyo anakua mmliki wa mwili wako uelewe hilo au haujui maana ya Mwili mmoja??
@jasminshemsanga8727
2 жыл бұрын
Fact
@jasminshemsanga87272 жыл бұрын
Daaah !Mungu azid kumpa hekima Mume wangu ht mm pia atupe mioyo ya kumuofia yeye. Polen kwa familia daah Dunia hii inaelekea ukingon kwakwel
@abdulbasittv98492 жыл бұрын
Poleni sana wafiwa nyote, Mungu awape subra , Amina Ali Hamad Mkurugenzi mafunzo na vyuo Vikuu CUF-Chama Cha Wananchi
@princessmoses40812 жыл бұрын
Ule msemo wa haki sawa kwa wote madhala yake ndo haya wanawake wengine wanatumia vibaya ndoa ina miaka mitano kaa nyumban tulia kwa mumeo uone changamoto za ndoa ziko vipi na kama una kazi fanya ila kuwa na heshima kwa mumeo kuna wakati tunaweza laumu wanaume ila ukweli wanawake wengine huwa wanataka kuwa wababe kwa waumezao sio vizuri polen sana wanafamily wote
@divine6145
2 жыл бұрын
Ndo maamuzi ya kuua yatumike... Wenyewe wakizingua wanauwawa ?
@ariphkimani3790
2 жыл бұрын
Miezi
@princessmoses4081
2 жыл бұрын
@@divine6145 hasira sidhani kama mume alizamilia kama ukiyasikiliza mahojiano ya mama na hatuwezi jua walipishana nini huko ndani
@princessmoses4081
2 жыл бұрын
@@ariphkimani3790 miezi mi5
@jumannerajabu1356
2 жыл бұрын
watu wanaongea2 rakini ki2 ambayo hukijui usiseme sana mana wanawake nao wasiku is niwashenzi sana hasa kwenye mahusiano mtu anakusalit arafu ww unajua kabx kwamba hili jambo lipo kweri unamuuriza mtu anakujibu kunya hata mm sitaweza Moyo uwo sina mm
@patrickkatanawachengo43172 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake pema peponi but wivu ndio umemfanya jamaa akaua😭😭😭
Pole Kwa wafiwa. Hata mke akukosee vipi kuua hapana, tutafute njia salama kusuluhisha migogoro yetu. Mwisho, tuweni waaminifu kwenye ndoa, upendo utawale na kuheshimiana, pia kujaliana, tamaa za dunia tuziepuka ili tusije ingia kwenye matatizo.
@maryamabdullah91692 жыл бұрын
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah awape Subra Wafiwa
@johnmkama50632 жыл бұрын
Pole Sana Mama kwa kuondokewa na mwanao
@michaelnjobo9242
Жыл бұрын
Pole sana mama tumwombee alale salama mwanao ya Dunia ndo yalivyo to
@abdulmubason75422 жыл бұрын
Huenda kweli mke alikuwa na jeuri ,na mume anaonekana mwenye hasira na wivu mkali mno ,lakini kutoa roho ya mtu sio sawa ,huwezi kumuua mkeo kwa wivu ,kama imethibit umechoka kuvumilia ni bora umpe talaka inatosha
@marryeliasmarryelias9289
2 жыл бұрын
Jamani kweli miezi4 na mda wote hawakai wote hasira gani hizo jamani😭😭😭
@magnomint-254
2 жыл бұрын
Jamani kabisaaa Kaa umechoka na mtoto wa mtu mrudishe kwao
@ahmadzubeir3363
2 жыл бұрын
Hata uwe na wivu gani lakini huwezi kumuua mkewako
@solomonnkohozi607
2 жыл бұрын
Umeongea point
@josephfelicianlugakingira8322 жыл бұрын
Pole Sana Mama , mungu Ampumzishe Roho yake kwa Amani Amina
@askofkibwe61062 жыл бұрын
Nd mana nawakubali sn wa Afghanistan kwakuwazuwia wanawake kufanya kz nje na kwake !!!!wanawake wameumbwa km ubavu! Wamepinda pinda!! Mda mwingi wanawake wanatakiwa kuusiwa mema!! Mwanaume lzm uwe na wivu kwa mkeo tena sn ! Ni wivu ni sunna na hatoingia peponi mwanaume ambae hana wivu! Nd mana mtume muhammad s a w amesema tuoe wanawake wenye dini! Kwasababu ukiwa na wivu alf ukamuoa mwanamke hana dini bs tambueni kuna hatari kubwa itakuja kutokezea !!
@jeanmusamba89062 жыл бұрын
tatizo kubwa wa tz wengi sana tuna maisha ya kuigiza,wengi wapo kwenye ndoa huku wana tamaa ya kuwa na wapenzi wengine,unaweza kuta dada mzuri kweli kaolewa ila hawezi acha wapenzi wengine,na hata kumjibu mumewe vibaya akiomuona hana thamani maana anajua pa kwenda ukimuacha.Na wanaume michepuko kibao,na ku over love,mtu mmoja amewahi sema ndoa ni a couple of best forgivers.watu hawawezi samehe na kuachilia,maisha ya duniani sio matamu kama wengi tunavyojidanganya.
@allthingdranabeauty
2 жыл бұрын
Awww ndoa zina sili nyingi mno usijaji watu mpak huwe uko mwanamke ambaye anampenda Mume wke atakama anakitu atavumilia ukimwona anatoka ujue kuna tatizo kubwa arafu atujui ukweli wapo wanaume wanawivu kam ugonjwa atakama unamtu wamezaliwa ivyo yan mwanaume anayepiga mkimbie siku ni kifo
@jeanmusamba8906
2 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty noo! let us be practical tusiiishi kwa kufuata hisia na mihemko,wote walikuwa na makosa,hao nimeisoma na kufuatilia kwa karibu,me taaluma yangu ni ya kumsoma binadamu,movie zinawadanganya sana,mnadhani maisha ya ndoa ni that too superficial?why ur husband calls you hupokei?mara 35?why should you shoot ur wife?mbona hukufanya hivyo last year unafanya leo?THINK AND NOT SINK
@trumptz6821
2 жыл бұрын
Fact sana kaka
@aishaathuman3592
2 жыл бұрын
@@jeanmusamba8906 ww acha uongo
@ashooraashoora11802 жыл бұрын
Innalilah wainnaillah rajiuun mwenyez Mungu ampe kauli thabiti yarabiy polen sana Allah awape subra njemaa familia kwa ujmla
@mwanakomboernest59412 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali panapo sitahiki Amina
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Ndoa ni nzur mnapokua ukumbin na mnapokua katka maandalz ya ndoa! Ila mkishaingia ndani ya nyumba ndo mtajuamjui 😢😢😢😢
@maryamconstantine2232
2 жыл бұрын
Jn lako zuri
@magrethxamir9816
2 жыл бұрын
Hata mimi nimelipenda
@maryamconstantine2232
2 жыл бұрын
@@magrethxamir9816 😋jmn
@frankmasamaki9640
2 жыл бұрын
Acha kudanganya watu
@konderaelias73252 жыл бұрын
Jaman polen sana ndugu wa marehem mungu ailaze loho yake mahali pema pepon
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Pole sana mama Allah akupe subir kwa wakat huumgum😭😭🤝🤝
@rahmarama56692 жыл бұрын
Pole mama yangu pole sana,pole na Baba kwa kupoteza kipnz chako,Mungu wa Mbinguni Awape Subra tu
@jojigeorige10562 жыл бұрын
Kwa namna alivyosema bi mkubwa inaonesha kwamba mwanaume alikua na wivu mkali sana kwa mkewe, na mkewe alikua bado hajawa tayari kwa ndoa. Inaonekana wazi hakua mkweli hata kwa mama yake. Pia hata kama alikua hajachepuka upo nje ya nyumba kwa nini unapigiwa na mumeo simu hupokei? Unamjaza maswali mengi na hisia mbaya kichwani, hilo linatemgeneza hasira mwanaume. Kingine huenda majibu hayakua mazuri waliokutana face to face, ila maamuzi ya mwanaume ni wazi kwa sasa anayajutia sana. Wanawake wana changamoto sana, ila huona wapo sahihi. Mungu atujalie akili kuishi na wanawake hasa wale wasiokua tayari kuolewa wakaolewa
@darajalakidatukilomgi2362
2 жыл бұрын
Ndugu hata siku moja usitetee ukatili kwa kuuwekea sababu eti kwa nini hakupokea simu, acha kabisa kuweka sababu, huyu Mwanaume ni katili na mnyanyasaji na ni mgonjwa wa akili
@nouratykatimba1357
2 жыл бұрын
ameen inshallah natamani nipate mume mem na mwenye mapenzi
@paskaziasholla7471
2 жыл бұрын
Point mabint wengi hawaheshimu ndoa
@digonzakeimbe8435
2 жыл бұрын
Kweli kbs..
@mtotowayesu2733
2 жыл бұрын
Alikuwa malaya huyu mwanamke
@nth35122 жыл бұрын
Kuna haja ya serikali kuweka mafunzo ya ndoa kwa kila channel ya TV kwa lazima japo siku moja kwa wiki. Sio mnaweka kampeni za choo kizuri mnasahau jambo hili. Vianamke vya siku hizi hasa vinavyotumia mitandao sana havina adabu kabisa, vinawaza kudanga ndo alternative. Alafu kuna nyimbo nazo zizuiliwe hasa singeli sababu zinapotosha jamii. Mfano nyimbo kuachana shilingi ngapi. Yani shetwan ametulia plan kona mbalimbali
@daudlukumay2741
2 жыл бұрын
Asante umeongea kitu..
@mwamvitajeki92122 жыл бұрын
Allah akupe kaul thabeet Swalha,aameen.. Dah! Inauma sana wallah! Mwenyew unahangaika kujitafutia rizki,halafu mtu anakukatisha maisha hivi hivi yani. 😭
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Mwenyezimungu awasamehe wote marhemu na sisi pia atupe mwisho mwema. AMIIIN
@erickmichaelmugele21072 жыл бұрын
Usikivu,Heshima,Kuiga,Magroup,Umaarufu kunawafelisha sana wanawake..... Nature yetu wanaume mwanamke wewe ni uwe msikivu.
@modeemojombo5662
2 жыл бұрын
Acha kukariri maisha, kwa hiyo watu wasifanye kazi? Mnaweza kutoa mahitaji ya wake zenu? Huyo Mwanaume hajiamini, ana gubu
@yasnaghump5763
2 жыл бұрын
tatzo unaweza kuwa msikivu sehem ambyo haikunufahishi kwa maish ya baadae kwasabab unanilish isiwe sababu ya kuninyima uhuru wangu
@kingmtetezi6670
2 жыл бұрын
@@yasnaghump5763 ukiisi hujawa tayali kuolewa ishi maisha yako pekeako maana si lazima kuolewa
@angelmushi8044
2 жыл бұрын
@@kingmtetezi6670 kuolewa si utumwa acheni kukariri maisha yamebadilika
@jessykadaraja2691
2 жыл бұрын
@@yasnaghump5763 omba talaka ukafanye Mambo yako..mbona simple.
@khadijaymohammed40022 жыл бұрын
ndoa zasaiv mtihan sanaaa,ni kuomba mungu sanaa awasimamie na ndoa ukiona imedumu ujue mmoja alijifanya mjinga polen wafiwa
Poleni sana wafiwa, Allah awajaalie Subra. Nae ampokee kwa wema In Shaa Allah. Ameen. Kwa maelezo ya huyu mama, mume anaonekana kuwa na wivu kupitiliza, ana gubu pia... huyo dada anaonekana sio mtu wa kudanga, ni mtu wa kujituma. Siku zote mume anatakiwa awe mlezi kwa mwenziwe. Miezi 5 ni michache sana kushindwa kumchukulia mwenzio. Tukisema hayuko serious na ndoa tunakosea, maturity ni suala la msingi ktk ndoa. Dada anaounekana bado ana utoto fulani, alipaswa amvumilie... kuna vitu vidogo vidogo angeweza kumanage yy km yy (mume). Wapo watu wanachukua miaka kupata quality ya mke wanaemtaka, wanasubiri ikibidi wanajitoa kwa ajili ya wake zao. Subra ni changamoto kwa huyu mume. All in all, hakupaswa kuua. Amekosea!
@emmanuelmashallo9739
2 жыл бұрын
we umeonaje? mambo ya gubu yanakuhusu nn we tulia bhana HUJUI KITU
@ummymuya.2060
2 жыл бұрын
@@emmanuelmashallo9739 Uko sahihi, mjuzi ni mmoja tu... Allah pekee! Ila ametuqadiria viumbe vyake kw kiasi alichopenda. Huo ni mtazamo wangu. Kukukumbusha ni kuwa comments haziko turned off, instead of criticizing what I said, uko huru kuandika uonavyo wewe. Hatuko kwenye mabishano hapa as if tunatarajia mmoja amshinde mwengine... Sio kila wakati tuoneshe tuko wajinga kiasi gani!
@salomemakore4809
2 жыл бұрын
Wivu uliopitiliza kabisa na ujinga pia .....huyo mwanaume hakuwa na hekima,unapigaje sm 42 missed call serious??. Mungu amrehemu dada yetu
@ummymuya.2060
2 жыл бұрын
@@salomemakore4809 Mmmh, kuna mjinga mmoja eti amejibu sijui kitu nitulie... Hivi utapigaje call zote hizo km wewe si mtu wa bugdha? Kwnn asifikirie kuwa labda mkewe amepumzika? Negative thoughts muda wote... hakuwa akimuamini wala kujiamini yy mwenyewe!
@MALENGWE
2 жыл бұрын
Mwanamke sio mdogo ni ndoa yake yapili kwaiyo uyu mwanamke ni malaya kwasababu hata kampani zake wote malaya so uyu mwanaume yuko sawa kumpiga lisasi dawa ya msaliti nikifo
@mathewdeus99782 жыл бұрын
Wanao jua maumivu ya mapenzi naombeni like zenu. Mshikaji kama namwona ambavyo hakupata usingizi mke wake hapokei simu dah inauma hasikwambie mtu bia tamu
@godymbanyi18782 жыл бұрын
Huu ni ugonjwa akili. Kama mtu humpendi, unamuoa wa nini? Na kama mna migogoro, kwanini umuue mwenzio? Huu ni upuuzi
@mamananga2849
2 жыл бұрын
Yani ingekua anae uwa nayeye anauliwa hii tabia ingekoma
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@mamananga2849 KWELI KABISA
@joharishabani2893
2 жыл бұрын
Huyu alikua ana mpenda mkewe ila mwanamke alikua hampend. Mwanaume alipenda pesa tu
@bahatinassor9980
2 жыл бұрын
Tena upuuzi uliopitiza
@Munyama675
2 жыл бұрын
Tatizo ni huyo mwanamke
@sheillalukuba45262 жыл бұрын
Huyu mwanaume alitoa mahari shilling ngapi mpaka kauwa binti wa watu. Ukimshindwa mrudishe kwao. Huyu baba ni wivu
@JumaRashidi-qu6nv2 жыл бұрын
Poleni Sana Sana inalilah wainailahragiun 😭😭😭,Ila kwanamna alivyosema mama was marehemu inaonekana hawo hawakua na amani ya mahusiano,ni Bora inapofikia hapo watu waachane tuuuuu
@ney41212 жыл бұрын
Kila mtu ana tabia zake acheni kusema warangi nyie wenyewe ni wachafu haswa wa tabia
@williambayo1481
2 жыл бұрын
Waja wanakera kila tabia mbovu wanatupià lawama warang na wambulu wakat saiv kila kabila n malaya tu
@aminaibrahim41482 жыл бұрын
Innalilah Wainna lilah rajioun poleni sana familya 😭😭
@hannanommy3022 жыл бұрын
Sasa kuuwa ndo solution ?? Wote hawakuwa naibada ya Mungu,Mitihani mtupu yaraby
@philemornmutta15972 жыл бұрын
Hii inaonyesha Hawa wanandoa walikuwa na mzozano wa mda lkn pia mume alikuwa na wivu na hakumuamin mkewe.hii ni tatizo kubwa jaman polen wafiwa Mungu awape faraja
@mudynkofia40632 жыл бұрын
Ukishajua una Moyo mdogo usimruhusu mkeo afanye kazi mfanye tu awe mama wa nyumbani
@gracemrema98152 жыл бұрын
Jmn msiwe wepesi wa kununua au kumiliki silaha za moto. Iwe kwa namna yoyote ile, nikimaanisha nia nzuri au mbaya kwa sababu ukishakua na silaha shetani (roho ya mauaji) haitaacha kukuandama akili ya kuua itakua inakuandama kila siku japo unaweza usielewe lkn ndivyo inavyokua. Wanaomiliki wanaweza kunielewa kwa urahisi, hata paka unaemfuga mwenyewe siku akidokoa samaki akili inayokuja fasta ni hivi huyu paka hajui naweza mshoot moja tu chali, like jokes lakin ndicho kinachokua kwenye akil zao
@jumannerajabu1356
2 жыл бұрын
mbona wengne wanachomana visu marungu nahata bira siraha unaweza kupigwa2 mpaka ukafa kikubwa nikueshimiana2 kira mtu kwenye nafasi yake
@nelsonjonathan5296
2 жыл бұрын
𝙉𝙤𝙩 𝙩𝙧𝙪𝙚
@marechojohn4289
2 жыл бұрын
sio kweli
@darajalakidatukilomgi2362
2 жыл бұрын
Unaponunua silaha ya moto ujue umenunua na roho ya kuua, na uchizi wa akili nao lazima, huyo mshenzi anyongwe Hadi kufa
@gracemrema9815
2 жыл бұрын
Kikubwa kumshika sana Mungu usibishe maroho yapoo
@Burner_Acc2 жыл бұрын
Hakuna sababu yeyote ile inayo halalisha mauaji let alone hizo petty reasons. Mtu aende kwenye show ndo sababu ya kumuua au kisa hakusikilizi ndo umuue? Mke sio mtumwa wako akose uhuru wake na kuacha Kila kitu anachopenda na kufanya unayotaka wewe tu sio kifungo hicho. Hii victim blaming inabidi iishe na watu wajue ndoa sio utumwa. Mkishindwana mnaachana it's that simple sio kutoa uhai wa mtu. Imagine dada au Binti yako anauwawa kwa hivi visababu uchwara. Hakuna sababu yeyote ile inayo guarantee kutoa uhai wa mtu.
@nth3512
2 жыл бұрын
Wewe ni mwanaume au mwanamke? Km we ni mwanamke basi faham mke kutoka nyumban bila taarifa ni jambo linalopelekea makubwa, hata km alienda kwenye mpira alipashwa ampe taarifa mumewe, mume itakua kawaza vingine, na huenda sjo mara ya kwanza. Jitahidi kuwatii waume zenu
@Burner_Acc
2 жыл бұрын
@@nth3512 Mimi ni mwanaume. Hata mke wangu akienda kulala huko huko mwaka mzima hapo tunaachana tu siwezi kuua mtu au kutetea mauaji kwa sababu yeyote ile. Ukiua unapata faida gani? Ukaidi sio uhalali wa kufanya mauaji. It's that simple.
@aggreyenock1221
2 жыл бұрын
@@nth3512 bado haihalalishi kuua
@yasnaghump5763
2 жыл бұрын
yaan nashukur wew uliocomment hata mm nipo kwenye ndoa ambyo ni Kama vile mtumwa au mfungwa wallah nataman nifanye kaz lkn amefungua kaduka nje ambcho ameweka mm niwe nauza hzo pesa tunatumia ndan lkn nataman nifanye kaz zangu niwe na pesa zangu anakataa ukizingatia alinioa nikiwa na mtot naumia Sana sielewi nifanye nn
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Hakika
@salimmariga1492 жыл бұрын
Innalillahi wainnaillayhi rajioun...Allah amrehemu....wivu ukizd na kukosa uaminifu Kwa mwenza wako ni hatar sana
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Mimi situmi lawama kwa jama Mimi nililipa mali yote zikiwa zimebaki Siku 114 kufunga ndoa mwanamke akatoa mimba akisingizia wazazi wake kwamba wamemwambia atoe nilipo funga ndoa ndani ya Siku 30 niligundua anawanaume 6 ndani yake yupo Ndugu yangu sasa ukiwa na roho ya kipepo unatwanga lisasi 7000
@satwanthoogan64292 жыл бұрын
Dah! Inasikitisha kwa kweli,mume katili na sijui kama sio jambazi...anamiliki mpaka bastola! Ila Marehemu alikuwa Mzuri Masikini!😥😭kajaliwa na shepu na sura Mungu Amrehemu!🤲🏻
@@casmiraugust6853 ni kweli Shep bila akili ni ujinga kingine wanaume tujifunze tunapokuwa na uwezo kifedha tusiwaruhusu wake zetu kufanya kazi binafsi ni heri tuwafungulie miduka au akae tuu
@adamphinias2457
2 жыл бұрын
umeona shape tu au sio,,, hcho ndo kilimpa kibur mwenzio mpk leo hayupo tena,,,,, vtulizeni hvyo vishape vyenu kama bado hujamaliza kudanga usiolewe!!!
@netlity55322 жыл бұрын
Hapa nachokiona ni dharau au kutokujali maswala mazima ya ndoa. Au yawezekana kauli zilizotumika kwenye majibizano ni kali. R.I.P Lakini huyu mama mtu nae hata chozi hamna ... Mkavu kama marehem sio mwanae duh 😱
@zoey2635
2 жыл бұрын
Don't judge Kesha Lia sanaaaa
@mankarichard5851
2 жыл бұрын
Kuna mtu atoi chozi anaumia ndan na aneza lia kwa sauti tu uwez amin uwaga wanaumia sanaah kuzid watu wanaolia machozi yakatoka.
@jenniphergiovane2688
2 жыл бұрын
Yaan hata hizo nguvu za kujieleza kaitoa wp
@smarttv3272
2 жыл бұрын
@@jenniphergiovane2688 c anajua mwanae labda alikuwa anamakosa
@whitestartz50242 жыл бұрын
Polen sana ndugu jamaa na marafiki,,shida ni kwamba wanaume wengi wanashindwa kutambuah kuwa kumfuatilia sana mwanamke ni kuanza kujenga chuki,,,muamin mpende akikosea muelekeze sio kujichukulia maamuzi mkononi
@kuryaboytv34262 жыл бұрын
Mwanamke akiwa anatafta ndoa huwa anakuwa mpole mno na hapo ndo wanaume wengi huwa tunaingia kingi.
@omarykusah97192 жыл бұрын
Wadada wamekapu wanaume Kama hamuezi Bora mtulie 2 kwasabubu Kaz zao muwe wavumilivu
@miriamcheya31362 жыл бұрын
Mwanamke ni mzuri sana kama wanaume hawawezi kuvumilia mapungufu ya wanawake wazuri oeni wa kawaida muishi mpk kofi
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
👍💯
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Exactly
@Tee-King
2 жыл бұрын
Na kama uwez kutulia usiolewe kwa nn ukubar kuolewa nan mwenye kosa sasa apo muolewaj au muoaji.
@kelvinaudax8287
2 жыл бұрын
So kwa sababu mzuri ndio usitulie??
@haniikim4876
2 жыл бұрын
@@kelvinaudax8287 comment ya kijinga hii kuna wanawake wazur huyo mbaya na wanatulia kwenye ndoa zao.
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Poleni wafiwa Jamaa kafanya maamuz ya ovyo Anyway,kuna aina fulani ya wanawake hutakiwi kuoa kabisa
@aminaramdan32832 жыл бұрын
POLE SANA MAMA UCHUNGU WA MWANA AJUAYE MZAZI JAMANI,, HALAFU SALHA NI MRANGI NIMEUMIA ALLAH AKUREHEM HABIBTY. SALHA
@gabrielnyangasi2402 жыл бұрын
Kitu kingine nilicho jifunza ktk tukio hili ni kuepuka kuishi na mwanamke jilani na mazingira ya kwao.ukichunguza kwa makini utagundua huyu dada alikua akai au kushinda nyumbani kwake muda mwingi .
Angelimuacha tu..katika sababu zote ,a kumuua mwenzio ni hio..wanawake wapo tele...hakuna cha kumruhusu unyama kama huo..
@musason1680
2 жыл бұрын
Juzi mama alienda kwao Leo baba kawaida watoto hawa ndo wanawaharbia watoto ndoa zao
@magejuliani52932 жыл бұрын
Apumzike kwa amani! Ila kuwa na silaha ndani ya nyumba ni shida! Huyo mwanaume anaroho mbaya humuwezi mkeo muache!
@jacobolucas59352 жыл бұрын
Wanawake wanatia hasira mm nilikuwa na mtu tuliahidiana kuoana na ilikuwa ukimaliza 4m 6 tuoane kamaliza na kunichenjia nakuhudumia kote mbaya zaidi mm nikimpigia sm anasema Yuko busy kumbe ako na mtu kwingine sema tu Sina bastola
@severinmillingasp21452 жыл бұрын
Duuuh! Inaumiza sana pole sana mama kwa kuondolewa uhai, binadamu wenzangu ususani wanaume au wanawake tumuogope mungu jamani tuwe na hali ya imani ya kiroho ktk kujali uhai wa kila kiumbe, tusihukumu tusija tukahukumiwa maana siku zaja
@thomthegotti2 жыл бұрын
Genuine love is not about holding very tight but letting things to flow and nourishing.
@ahz6907
2 жыл бұрын
hii kibongo bongo tunafeli sana labda huko kwa wazungu
@faithjuma6145
2 жыл бұрын
true dear
@bestsuma5826
2 жыл бұрын
Well said🤝
@faizakassim5699
2 жыл бұрын
Well put brother!
@Stunners4Life2 жыл бұрын
Mapenzi ya siku hizi siyo Kama ya zamani. Siku hikuhizi mahusiano yamebadilika sana digital inaharibu vijana na mahusiano ya watu wengi unadhani Kama siyo mitandao sangapi angepigwa risasi hizo
@ashrafhashimu72612 жыл бұрын
Innalillah wainnaailayh raajiuun , Poleni sana Siku yake ilikua imefika, hakuna ambae angeweza kuzuia 🙏
@jeenahassan2 жыл бұрын
Dhulma haidumu, Allah atamlipa huyo alouwa, Huwezi kudhulumu nafsi isiyo na hatia!! Allah ni mjuzi wa yote…Innalillah wainailahi rajiun… sending love and condolences 💐 to the family
@lilianestephanie7881
2 жыл бұрын
Na huyo mwanaume amejiua
@mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Poleni Ndugu,jamaa.
Angemuaacha, ila shida ninayoiona hapa pengine palikuwa na maneno ya kukwazana... pengine jamaa kaambiwa hamkuni vizuri... hasira inapokuja ndio kinachotokea.
@wedream7506
2 жыл бұрын
@@hamisiwengi2498 NONSENSE
@saradaniel4579
2 жыл бұрын
@@manish-fp1fb hata kama jaman 😢😢😢😢 OMG naumia jaman kamkatisha uhai kweli?? hiyo adhabu kubwa sana
@nicklassshaypanga87942 жыл бұрын
Inaumiza sanaaa inabidiii hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya huyo mhusika ili kukomeshaa matukio kama haya yasiendeleee kutokeaa mwenyezi mungu ailazee roho ya marehemu mahala pema peponii🙏🙏
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
mmh jmn hii inaonekana kwamba mwanamke alikua ana majibu mabaya na alikua anajivunia uzuri wake na shepu yk na kipato chake ndio maana alikua na majibu machafu😢p0le sn mama na p0le sn dada yetu swalha Allah akupunguzie adhabu ya kaburi na akusamehee zambi zako😢
@nicklassshaypanga8794
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hata kama anamajibu mabaya ndooo uaamue kutoaa uhai wa mtuu na hyo laana haitamuachaa huwezi kuitoa roho ya mtuuu et kisa anamajibu mabayaa hapana 😥😥
@daathuma78432 жыл бұрын
Mama ungemkalisha chini mwanao ukamwambia haiwezekani anapuuza cmu za mumewe hapokei na wewe humkanyi hata unge mfukuza aende kwa mumewe hasira ni mbaya unaweza kuua bila kukusudia. Mtu katoka kazini ana stress akija nyumbani mke hayuko na akipiga cmu haipokewi anazidi kuwa na stress.
@gabrielmshiu6719
22 күн бұрын
Mwanàmke Yuko kwenye ndoa, uondoke nyumbani, usafiri kwenda mkoa mwingine, ukafanye kazi Hadi usiku wa manane, utoke huko, badala ya kwenda nyumbani kwa mmeo, unaenda Kwa mama yako kwanzà, ulale, alafu asubui ndio uende Kwa mmeo! Inaingia akilini kweli?
@nancyvaati53372 жыл бұрын
May her soul rest in peace😭😭
@chikuomary72072 жыл бұрын
Acheni kuoa wanawake warembo by pastor mgogo mana wivu sio mzur
@sumeiyamaddy952 жыл бұрын
Allah awape subra wafiwa na kauli thabiti kwa marehemu na mwisho mwema kwetu
@zainulahmed82062 жыл бұрын
Pole sana mama etu mungu akupe subra juu ya mtihani huu
@progressivemetallicmineral46012 жыл бұрын
" KUMBUKENI KWA JINSI HUYO MAMA ANAVYOONGEA NAONA KAMA NI MRANGI " NA KAMA WARANGI WANAVYOJULIKANA JAMANI.
@fulgencejackson5340
2 жыл бұрын
Haswaaaa
@jacquelineadrian6436
2 жыл бұрын
Nimejikuta nacheka jaman 🤣🤣 looh
@hamidamnyika5866
2 жыл бұрын
hujakosea kabisa
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mcback4384
2 жыл бұрын
Mrangi kabisa
@jumapiliissa48352 жыл бұрын
M/mungu ilaze rohoyamarehem mahali pema peponi..poleni sana familia
@zahrathomary18052 жыл бұрын
Pole sana kwa familiaa, ila mm ningeomba tu vyombo vaa dola, laia jaman wasipewee vyombo vya moto jaman, hizi kesi zimekuwa nyingi jaman, dah poleni sana familia
@wenceslausmpanduji1342 жыл бұрын
Mwanamke Mzuri wa kiislam Kama Avai zile Baibui kujistili na Umemruhusu ww kama mwanaume kujiachia hivo Ndgu yangu kama una wivu utauwa au utajiuwa tu
Пікірлер: 2 400
Pole saana mwanamke mwenzangu! Poleeh Dada! Sina zaidi ya hilo Mungu akupe Subra, mmmmmmh😭😭
@blandinamatagi6723
2 жыл бұрын
Pole sana sana
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Pole sana mama
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
Sasa hapo kwenye raha tumwachie mwenye raha yake yeey ndyo anajua kwamba anafaa kupata raha au hafai, swala ni sisi je? Tumejifunza kipi kuhusu hili tukioo? Ndy kitu cha kuangalia wewe mambo ya raha achana nayoooo
@hkk2450
2 жыл бұрын
Sema Inna lilah waina ilahi rajioon muislam uyo
@rithakuyala9951
2 жыл бұрын
Acheni kushoboka shoboka ovyo kila mtu anaandika anavyojiskia acheni kunipangia chefuuuu 😏😏😏
@ammydaniel8947
2 жыл бұрын
Raha tena ?? Na apumzike kwa amani?
mama you're very strong mama..Allah akupe nguvu..ila hapo ndoa ilikuwa na changamoto nyingi..kuchukua roho ya mtu sio sawa ila hapa palikuwa na tatizo kubwa lilipaswa kutatuliwa mapema
@georgemlyuka604
2 жыл бұрын
Pole sana
Poleni Sana Wana familia yote ya Bi tiba Mohammed,kwa msiba huu mzito, ALLAH awape subra kubwa kwa kuondokewa na mpendwa wenu😭😭😭😭
Pole Sana mamangu ❤️ mungu akufanyie wepesi kwa mdada wako mpaka apumzike salama àmiin yaraab 🙏
Came here again after listening to Rapcha's 40 missed calls 😭😭😭 may their souls rest in peace🙏
Rambirambi ziwafikie wafiwa mungu amlaze mahali pema marehemu Salha.asanteni milliard ayo tv.kwa umahiri kwa kutuletea habari za kijamii.
Jamaa kakimbilia kuoa kabla ya kuovercome his insecurities. Sad. RIP 🙏🏽.
@vicentmayanda3935
2 жыл бұрын
Umeongea point sanaa yan ameoa bila kuakikisha security ya mapenz yake
@monamackey569
2 жыл бұрын
Very correct yani alikuwa very insecure na iyo ni mbaya sana
@colletampechi9030
2 жыл бұрын
Exactly
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
@@vicentmayanda3935 hahaha babu kasome kamusi
@vicentmayanda3935
2 жыл бұрын
@@mathewdyzymaleyafrica9128 kwann mzee hana security hamwamini hata anayempenda maana ndoa changa mzee
If you feel someone's son/daughter isn't giving you peace, just release them in peace and NOT in pieces. May she rest in peace 💔
@juliethhouseofdesigns147
2 жыл бұрын
True
@jeanmusamba8906
2 жыл бұрын
HHHAHAHAHHAHA excelent,in russian we say attlichna,in swahili barabara
@busagibelias2005
2 жыл бұрын
Kabisaa Angemuacha tu salama sisi tungemuoa
@dailystories4513
2 жыл бұрын
Imesemwa kirahisi kuliko vitendo 😂, Kwan si asingemuoa kama alimjua yuko hivyo
@erickwilliamakungu4092
2 жыл бұрын
Nim release bila kionjo
Siku yako ikifika hauna ujanja tumuombe mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 🙏 wadada turidhike na kina bakari kichwa wetu🥴 matajiri siku zote maamuzi magumu kwao kitu Cha kawaida Sana. Riziki za kulazimisha matokeo yake ni mabaya.
@harrisonzoza6709
2 жыл бұрын
Ushasema kweli
@stellamsangi4281
2 жыл бұрын
Roho mbaya haina tajiri wala maskini wanaokatwa mikono huko vijijini waume zao nao ni matajiri? Tena maskini ndio wana hasira nyingi za umaskini stress zimewajaa sana. Hawa walikuwa na matatizo mengi ambayo hakuna anaweza kuyajua.
@elizabethpeter8456
2 жыл бұрын
@@stellamsangi4281 🤗🤗 nafikiri utakuwa ujanielewa nilicho maanisha hapo haijasemwa roho mbaya Ila ni ujasiri. Sasa kwenye ujasiri na roho mbaya ni Mambo mawili tofauti!! Kama ujawahi kupitia changamoto za hao wanao itwa matajiri. Nilicho kiandika uwezi kukielewa. kabisaaa
@stellamsangi4281
2 жыл бұрын
@@elizabethpeter8456 nazijua zote za matajiri na maskini pia. Hiki kitu ni kipana sana its about been poor or rich dear hapo ndipo tunapokosea na hii inasababisha shida kutoisha. Haya ni makuzi, depression, anger management, watu wanatembea lakini wana misongo ya mawazo ya kila aina na hawajui nani wakuongea nae so wanapoguswa kidogo tu hasira inapanda mpaka kupita kiwango. Kwa kitaalam huyo mwanaume tunamuweka kwenye kundi la watu waliokuwa na msongo mwitu na hawakupata tiba kwa wakati sahihi na huenda ni sababu hata yeye hakuwa anajijua kuwa ni mgonjwa. Hiki kitu ni kipana sana na chanzo huanzia toka utotoni ndio maana tunashauri wazazi kuwa makini sana na jinsi wanavyowalea watoto wao pia kuwa na muda wa kuongea na watoto kujua changamoto wanazopitia mashuleni, kwa marafiki zao na mengineyo. Hicho alichoganya huyo kaka ni matokeo ya vitu vingi vilivyokuwa vimejaa ndani yake. Tatizo ni kwamba watu wanaangalia tatizo ki wepesi sana kuliko lilivyo.
Inna lillahi wainna ilaihim raajiun,mama jasiri sana,Allah akupe subra hivyohivyo mamaangu,mm japo mwanaume lkn nna roho ndogo,siwezi kuvumilia kwakweli.
Pole sana mama,ndio maana mimi husema if marriage doesn’t work quit.long distance needs trust iko na challenges mingi sana maana huyu amekufa juu ya insecurities issues.ooh God
@MALENGWE
2 жыл бұрын
Uyu mama nae inaweza akawa sababu ya yote ndio maana ukienda kuoa mahali chunguza mama mkwe kwanza yukoje
Mtume Muhammadصلله عليه وسلم Amewahusia sana wazazi wa watoto wa kike kwamba.`` Wakiridhishwa na Tabia na Dini ya mwanaume basi wamuozeshe'' Sasa wazazi wetu leo wanatizama sana wanaume wenye pesa na hili ni tatizo kubwa sanaa
@mwagotimwanamvua5883
2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@gerrymroki509
2 жыл бұрын
Sasa maalim point yako ni ipi hapa.?
@binhussain3445
2 жыл бұрын
@@gerrymroki509 Point yangu ni kwamba Wazazi wa Mwanamke hawakutizama kigezo cha dini,, Laiti wangetizama kigezo cha Dini ungesikia Swalher kapewa Talaka moja au 3... YAANI Namaanisha nwanaume mwenye Dini aisngempiga risasi bali angemwacha kwa wema kama wameshindwana
Allah tunamuomva Allah ampokee dada yetu. Amsamehe. A'miin.
@zaytunimkwata6949
2 жыл бұрын
Amiin yarabilghalamin
Poleni sana wafiwa kwakuondokewa na mpendwa wetu ALLAH amuhifadhi ampe qauli thabiti .
Huyu Mama anaujasiri sana...Mungu ni Mkuu sana .hakuna kitu kinauma kama Mzazi kumzika mtoto wake😥😥😭😭😭😭😭Nyie INAUMA Sana...Mola Akufute mchanga wa Usoni Mpenz..Ulale salama🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kutokujiamini ndio sababu watoto wetu wa kiume na baadhi ya watoto wetu wakike wanaua wenza wao, hakuna kingine huyu kaka atakuwa alikuwa anagubu sasa kumuua ndio suluhu.
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Kbsaa wanaume n vishoiya Sana .jmn Kwan kuua mtu 🤔 ndo suluhu ya tatzoo.? Mkichomwa Moto 🔥 mnasem wanawake wanaroho mbya
@erickmichaelmugele2107
2 жыл бұрын
Mnasahau mna majibu ya hovyo...? Na mkiwa wazuri ndo kujiona na kunyoosha mdomo kunazidi......
@sulekun7245
2 жыл бұрын
Ww ulimuona kachepuka au unakurupuka tu!
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@sulekun7245 ANGEKUWA DADAKE ASINGESEMA HIVYO.
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@erickmichaelmugele2107 KWA HIYO UNAONA SAWA KUULIWA???
Pole sana mama wa marehemu, nafikiri kuna shida katika jamii zetu na malezi kwa ujumla. Mabinti wanatak financial freedom, vijana wanataka wake wenye kujitambua. Poleni sana
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
Wewe mama ise umesema kitu kikubwa sanaaaa 🤝🤝🤝🤝
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
@@jay-nyeye1900 ndio huyu mama ana akili sanaa nampenda japo simjui
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
mama umeongea kitu kizurii nakupenda sanaa mungu akulinde
subhanallah! inasikitisha kuona habari kama hii…mungu aiongoze umma yetu na awape waliomo kwenye ndoa subira na maelewano
Ukimwambia mtu acha hasira, basi yafaa uache kwanza mambo yanayomsababishia hasira! Ndoa zimekuwa changamoto hasa pale wanandoa wenyewe wanapoingia kwenye ndoa kabla hawajaumaliza ujana, mke mheshimu mumeo, mume mpende mkeo, kuwe na hofu ya Mungu kwa wanandoa, kama mmeshindwana basi gawaneni ustaarabu kila mtu ashike njia yake, japo Ni ngumu maana shetani kapiga kambi na anachochea vita, Mungu ampokee dada wa watu.
@juniorsamuelsamuel1224
2 жыл бұрын
Umeandika vizuri sana Mr James,dada hakuwa na heshima kwa mumewe hata kidogo, huwezi kumwambia mumeo eti acha nilale weweeeee lazima mfike pabaya,lkn mwanaume mwenzetu amefanya kitu kibaya sana,hakufakari kuhusu watakao hangaika kwa kukosa wazazi duniani.S
@goodmorning9142
2 жыл бұрын
@@juniorsamuelsamuel1224 ndo amuue eishhh
@reganshao
2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu yangu nimefurah kwa ulichoandika ..
@bakariomari8758
2 жыл бұрын
Mama hakuwa a namshauri binti yake nini maana ya mume.
@samxx411
2 жыл бұрын
Ata Dada awe na tabia mbaya huwezi muua si uachane nae basi, sasa ataoa wangapi mana aso hili ana lile, mwanamme uwe mstahamilivu kama huwezi bora usioe ndo mnaua hivyo
Inna Lilah Wainnailah Rajuun Mungu akampe kauli thabit na akamsamehe makosa yake. Amina
Ndoa za siku hizi jamani miezi mitano tu mume keshauwa mke wake Mungu atusaidie
@limitoboe
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gGxk3M1vlK-sYNY.html
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Shetani yuko Kazini
@user-cm8yz3sb6t
2 жыл бұрын
Mtu anawekeza kwako anatumia resources kibao. Afu unamletea mauza uza lazima mfike huko tuu
@ladyt1471
2 жыл бұрын
Kweli kabisa shetani yuko kazini nachoona tu kama ikishindikana nafuu kuachana kuliko kuuwa
@leahmawazo4586
2 жыл бұрын
Analaanat uyo kaka duu
Sijafurahia alichokifanya huyu jamaa ila sasa ndoa nyingi zina changamoto, Wanawake kwa wanaume wana take their marriage for granted, pia maisha yamekosa uhalisia, wanawake walio kwenye ndoa wanajirahisisha wanapenda ulaini na miserereko wanaume pia wanapenda kila mrembo anayepita mbele na kuona huo ni umwamba ...ndoa zimekuwa one sided sana kuna anayeumia siku zote. Wanawake mlioolewa jitulizeni maana hali sio nzuri na inauma sana unapojua kuna mtu anakumegea kisela. Pia mwanamke kama hakuna sababu ya msingi kaa nyumbani. Ila kikubwa kwenye ndoa ni uaminifu tu.
@sashahauke2032
2 жыл бұрын
Ungeongea 👍kabisa mambo ni mengi sana na watu wanaigiza sana hakuna ualisia kabisa na wadada tuna mambo mengi sana san
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@sashahauke2032 kwa hiyo wanawake ndio wenye makosa etiiii
@vicentvenent447
2 жыл бұрын
Shikamoo bro...umenena nilioyameza
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
@@sashahauke2032 wanaume ndio wana mambo mengi,,fungua macho ww au utaonewa kila siku
@antonipius1365
2 жыл бұрын
kazi + ndoa + changamoto za maisha
Sababu za ovyo ovyo tu,tatizo hatupendi Mungu asimamie mambo yetu duniani hata haya ya ndoa.Hakuna legitimacy ya kumuua binadam mwenzako kwa sbb yoyote.
Mwisho Kabisa Kila Nafsi Itaonja Mauti Na Kifo Hakikosi Sababu . Tujiandae Tulio Baki, R.I.P swalha
Sikuiz hakuna ndoa kuna maonyesho ya mavazi na show yanayosimamiwa na kina mcgara b kubwa
@aggreyenock1221
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fadhilajamal217
2 жыл бұрын
@@aggreyenock1221 sio kitu cha kucheka ila nimecheka 😀😂😂😂😂💔
@cheiknamouna2058
2 жыл бұрын
Na MC Gara B humo humo amechanganywa
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
@@cheiknamouna2058 kabisaa
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
Umenena 100%
Mama Mungu akutie nguvu.Hilo tu ndo naweza kusema kwa sasa. Pole sana.
Kwa maelezo ya mama tunapata fundisho kuwa wivu Ni sumu inayoweza kukumaliza wewe mwenyewe! Lakini pia tunapata fundisho kuwa mapenzi Ni kuaminiana, kusikilizana, kuoneana huruma na kujaliana! Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi Amina!
@mathiaslyamunda2526
2 жыл бұрын
Sahihi kabisa Wivu ni sumu ya kukumaliza mwenyewe pia.
@swabrinnahally8747
2 жыл бұрын
Wengine sisi tutaogopa ndoa...Allah amlaze pema peponi inshaAllah🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@georgeburchard4872
2 жыл бұрын
@@swabrinnahally8747 hapana usiogope kwa maana kila mtu Ana riziki yake!
Huyu nature ya kazi yake asingeolewa kwanza,wanaume waelewa ni kama hawapo tena duniani..RIP. Kuolewa sio lazima jamani, your happiness comes first.
@blackcolour8183
2 жыл бұрын
Wanaume waelewa wapo ila tu huyo kaka hakutaka kumuelewa mwenzake ila hatuwezi jua huenda kunalingine zaidi ya hili tunalioambiwa
@jumannerajabu1356
2 жыл бұрын
kwani wivu mpaka uoe ata bira kuoa Kama nakupenda arafu unareta mambo ya mazanga razim nikutangurize2 japokua njia moja hakuna mwanaume anaependa kuzarauliwa
@Qaswararafashion5041
2 жыл бұрын
Wapo kibao tu wew ndo hujawaona wengi tu
@sulekun7245
2 жыл бұрын
Hajakosea kukubali kuolewa, Kama mume ameona kazi yake ni kikwazo kwake c angemzuia tu abaki nyumbani. Au laa Angemrejesha kwao
@Clex-f5s
2 жыл бұрын
Tupo Marry maisha ni kutafuta yaani mke anatafuta amechoka anauliwa kisa kula wakati wadogo wapo wa kufika ukatili
Unaua halafu unaishi kama digidigi si ujinga huo! Kabla hujaua ulikuwa unaishi kwa wasiwasi wa wivu, sasa umeua unaishi kwa wasiwasi wa kwenda kunyongwa, sasa umetatua nini?
@johnswai9986
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mathewdeus9978
2 жыл бұрын
Wewe bado mtoto omba YASIKUKUTE
@dorisfabian4776
2 жыл бұрын
@@mathewdeus9978 huyo mwanaume alikua chiziii kabisaaa kichwani kwake hakuko sawa kabisaaa ni kichaaa
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
Hahahahaha
@Baba-JJ
2 жыл бұрын
@@mathewdeus9978 mbona unaongea kama vile simu ulininunulia wewe? Nina miaka 50, mke na watoto, hiyo ndo unaita bado ni mtoto? Jifunze kumheshimu mwenzako hata kama wazo lake hukubaliani nalo.
Daa poleni sana family yote Mungu awatie nguvu amen.
Warangi Watu wa Imani sana just imagine Mama Mzazi anaweza kuhadithia tukio zima Namna hio
pole sana mama mtoto anauma vibaya yaani nimejikuta nalia tuuuuu nikiwaza,mungu akupe nguvu yarab😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mwanamke akimueshimu mme, mme automatically atampenda. Wanawake wa siku hizi wanakosa heshima umetoka kazini kwako umefikia kwenu na unajua umeolewa kwanini usienda kwako. Nabado mwanaume anakupigia sim hupokei unamtia hasira mtu. Lakini sisi wanaume nao tuwe na huruma hata kama mwenzako kakuuzi mkanye kwa hekima akili na kwa upole jitahidi kumjua mwenzako ni wa aina gani. Tuishi na wake zetu kwa akili ....
@TheBestPhone7918
2 жыл бұрын
Umeongea Vyema Mkuu ila Hapo kiukweli mdada amejisababishia Kwa kumtia Hasira Jamaa ww huwez toka Kwenye mishe zako ukafikia Kwenu wakat umeolewa halaf mbaya zaidi hupokei sm unadhid kumuudhi tu, na kwa uzuri huo akajua kabisa Huko uliko kuwa umetoka Kumegwa upo hoi na bado unaendelea Kumegwa
@fatmatwalib8179
2 жыл бұрын
Nyie wawili akili zenu ni sawa na uyo jamaa the fact is wanaume muache unyanyasaji hamtuoi ili tuwe watumwa kwenu kwaiyo mtu huna haki ya kuwasalimia wazee wako
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
Unyama sana 🔥🔥
@jay-nyeye1900
2 жыл бұрын
@@fatmatwalib8179 Kusalmia haukatazwi lakini iwe kiutaritibu sio kwa unavyojisikia weewe kumbuka umeolewa ili ukamtumikie mmeo na ukiolewa wewe hauna amri tena juu ya mwili wako yaan mwanaum ndiyo anakua mmliki wa mwili wako uelewe hilo au haujui maana ya Mwili mmoja??
@jasminshemsanga8727
2 жыл бұрын
Fact
Daaah !Mungu azid kumpa hekima Mume wangu ht mm pia atupe mioyo ya kumuofia yeye. Polen kwa familia daah Dunia hii inaelekea ukingon kwakwel
Poleni sana wafiwa nyote, Mungu awape subra , Amina Ali Hamad Mkurugenzi mafunzo na vyuo Vikuu CUF-Chama Cha Wananchi
Ule msemo wa haki sawa kwa wote madhala yake ndo haya wanawake wengine wanatumia vibaya ndoa ina miaka mitano kaa nyumban tulia kwa mumeo uone changamoto za ndoa ziko vipi na kama una kazi fanya ila kuwa na heshima kwa mumeo kuna wakati tunaweza laumu wanaume ila ukweli wanawake wengine huwa wanataka kuwa wababe kwa waumezao sio vizuri polen sana wanafamily wote
@divine6145
2 жыл бұрын
Ndo maamuzi ya kuua yatumike... Wenyewe wakizingua wanauwawa ?
@ariphkimani3790
2 жыл бұрын
Miezi
@princessmoses4081
2 жыл бұрын
@@divine6145 hasira sidhani kama mume alizamilia kama ukiyasikiliza mahojiano ya mama na hatuwezi jua walipishana nini huko ndani
@princessmoses4081
2 жыл бұрын
@@ariphkimani3790 miezi mi5
@jumannerajabu1356
2 жыл бұрын
watu wanaongea2 rakini ki2 ambayo hukijui usiseme sana mana wanawake nao wasiku is niwashenzi sana hasa kwenye mahusiano mtu anakusalit arafu ww unajua kabx kwamba hili jambo lipo kweri unamuuriza mtu anakujibu kunya hata mm sitaweza Moyo uwo sina mm
Mungu ailaze roho yake pema peponi but wivu ndio umemfanya jamaa akaua😭😭😭
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Kabisaaa
@georgeigogo9259
2 жыл бұрын
si wivu nikiburi cha wanawake
@irenewilbard9746
2 жыл бұрын
Mwanaume mkorofi tuu uyo, alitaka muuwa mwanzoni. Anavuta bangi mkrofi na mbaba tuu
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@georgeigogo9259 ANGEULIWA DADAKO UNGESEMA HIVYO????
@suziedaffa3500
2 жыл бұрын
@@georgeigogo9259 ulikuwepo kwenye ugomvi
Pole Kwa wafiwa. Hata mke akukosee vipi kuua hapana, tutafute njia salama kusuluhisha migogoro yetu. Mwisho, tuweni waaminifu kwenye ndoa, upendo utawale na kuheshimiana, pia kujaliana, tamaa za dunia tuziepuka ili tusije ingia kwenye matatizo.
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah awape Subra Wafiwa
Pole Sana Mama kwa kuondokewa na mwanao
@michaelnjobo9242
Жыл бұрын
Pole sana mama tumwombee alale salama mwanao ya Dunia ndo yalivyo to
Huenda kweli mke alikuwa na jeuri ,na mume anaonekana mwenye hasira na wivu mkali mno ,lakini kutoa roho ya mtu sio sawa ,huwezi kumuua mkeo kwa wivu ,kama imethibit umechoka kuvumilia ni bora umpe talaka inatosha
@marryeliasmarryelias9289
2 жыл бұрын
Jamani kweli miezi4 na mda wote hawakai wote hasira gani hizo jamani😭😭😭
@magnomint-254
2 жыл бұрын
Jamani kabisaaa Kaa umechoka na mtoto wa mtu mrudishe kwao
@ahmadzubeir3363
2 жыл бұрын
Hata uwe na wivu gani lakini huwezi kumuua mkewako
@solomonnkohozi607
2 жыл бұрын
Umeongea point
Pole Sana Mama , mungu Ampumzishe Roho yake kwa Amani Amina
Nd mana nawakubali sn wa Afghanistan kwakuwazuwia wanawake kufanya kz nje na kwake !!!!wanawake wameumbwa km ubavu! Wamepinda pinda!! Mda mwingi wanawake wanatakiwa kuusiwa mema!! Mwanaume lzm uwe na wivu kwa mkeo tena sn ! Ni wivu ni sunna na hatoingia peponi mwanaume ambae hana wivu! Nd mana mtume muhammad s a w amesema tuoe wanawake wenye dini! Kwasababu ukiwa na wivu alf ukamuoa mwanamke hana dini bs tambueni kuna hatari kubwa itakuja kutokezea !!
tatizo kubwa wa tz wengi sana tuna maisha ya kuigiza,wengi wapo kwenye ndoa huku wana tamaa ya kuwa na wapenzi wengine,unaweza kuta dada mzuri kweli kaolewa ila hawezi acha wapenzi wengine,na hata kumjibu mumewe vibaya akiomuona hana thamani maana anajua pa kwenda ukimuacha.Na wanaume michepuko kibao,na ku over love,mtu mmoja amewahi sema ndoa ni a couple of best forgivers.watu hawawezi samehe na kuachilia,maisha ya duniani sio matamu kama wengi tunavyojidanganya.
@allthingdranabeauty
2 жыл бұрын
Awww ndoa zina sili nyingi mno usijaji watu mpak huwe uko mwanamke ambaye anampenda Mume wke atakama anakitu atavumilia ukimwona anatoka ujue kuna tatizo kubwa arafu atujui ukweli wapo wanaume wanawivu kam ugonjwa atakama unamtu wamezaliwa ivyo yan mwanaume anayepiga mkimbie siku ni kifo
@jeanmusamba8906
2 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty noo! let us be practical tusiiishi kwa kufuata hisia na mihemko,wote walikuwa na makosa,hao nimeisoma na kufuatilia kwa karibu,me taaluma yangu ni ya kumsoma binadamu,movie zinawadanganya sana,mnadhani maisha ya ndoa ni that too superficial?why ur husband calls you hupokei?mara 35?why should you shoot ur wife?mbona hukufanya hivyo last year unafanya leo?THINK AND NOT SINK
@trumptz6821
2 жыл бұрын
Fact sana kaka
@aishaathuman3592
2 жыл бұрын
@@jeanmusamba8906 ww acha uongo
Innalilah wainnaillah rajiuun mwenyez Mungu ampe kauli thabiti yarabiy polen sana Allah awape subra njemaa familia kwa ujmla
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali panapo sitahiki Amina
Ndoa ni nzur mnapokua ukumbin na mnapokua katka maandalz ya ndoa! Ila mkishaingia ndani ya nyumba ndo mtajuamjui 😢😢😢😢
@maryamconstantine2232
2 жыл бұрын
Jn lako zuri
@magrethxamir9816
2 жыл бұрын
Hata mimi nimelipenda
@maryamconstantine2232
2 жыл бұрын
@@magrethxamir9816 😋jmn
@frankmasamaki9640
2 жыл бұрын
Acha kudanganya watu
Jaman polen sana ndugu wa marehem mungu ailaze loho yake mahali pema pepon
Pole sana mama Allah akupe subir kwa wakat huumgum😭😭🤝🤝
Pole mama yangu pole sana,pole na Baba kwa kupoteza kipnz chako,Mungu wa Mbinguni Awape Subra tu
Kwa namna alivyosema bi mkubwa inaonesha kwamba mwanaume alikua na wivu mkali sana kwa mkewe, na mkewe alikua bado hajawa tayari kwa ndoa. Inaonekana wazi hakua mkweli hata kwa mama yake. Pia hata kama alikua hajachepuka upo nje ya nyumba kwa nini unapigiwa na mumeo simu hupokei? Unamjaza maswali mengi na hisia mbaya kichwani, hilo linatemgeneza hasira mwanaume. Kingine huenda majibu hayakua mazuri waliokutana face to face, ila maamuzi ya mwanaume ni wazi kwa sasa anayajutia sana. Wanawake wana changamoto sana, ila huona wapo sahihi. Mungu atujalie akili kuishi na wanawake hasa wale wasiokua tayari kuolewa wakaolewa
@darajalakidatukilomgi2362
2 жыл бұрын
Ndugu hata siku moja usitetee ukatili kwa kuuwekea sababu eti kwa nini hakupokea simu, acha kabisa kuweka sababu, huyu Mwanaume ni katili na mnyanyasaji na ni mgonjwa wa akili
@nouratykatimba1357
2 жыл бұрын
ameen inshallah natamani nipate mume mem na mwenye mapenzi
@paskaziasholla7471
2 жыл бұрын
Point mabint wengi hawaheshimu ndoa
@digonzakeimbe8435
2 жыл бұрын
Kweli kbs..
@mtotowayesu2733
2 жыл бұрын
Alikuwa malaya huyu mwanamke
Kuna haja ya serikali kuweka mafunzo ya ndoa kwa kila channel ya TV kwa lazima japo siku moja kwa wiki. Sio mnaweka kampeni za choo kizuri mnasahau jambo hili. Vianamke vya siku hizi hasa vinavyotumia mitandao sana havina adabu kabisa, vinawaza kudanga ndo alternative. Alafu kuna nyimbo nazo zizuiliwe hasa singeli sababu zinapotosha jamii. Mfano nyimbo kuachana shilingi ngapi. Yani shetwan ametulia plan kona mbalimbali
@daudlukumay2741
2 жыл бұрын
Asante umeongea kitu..
Allah akupe kaul thabeet Swalha,aameen.. Dah! Inauma sana wallah! Mwenyew unahangaika kujitafutia rizki,halafu mtu anakukatisha maisha hivi hivi yani. 😭
Mwenyezimungu awasamehe wote marhemu na sisi pia atupe mwisho mwema. AMIIIN
Usikivu,Heshima,Kuiga,Magroup,Umaarufu kunawafelisha sana wanawake..... Nature yetu wanaume mwanamke wewe ni uwe msikivu.
@modeemojombo5662
2 жыл бұрын
Acha kukariri maisha, kwa hiyo watu wasifanye kazi? Mnaweza kutoa mahitaji ya wake zenu? Huyo Mwanaume hajiamini, ana gubu
@yasnaghump5763
2 жыл бұрын
tatzo unaweza kuwa msikivu sehem ambyo haikunufahishi kwa maish ya baadae kwasabab unanilish isiwe sababu ya kuninyima uhuru wangu
@kingmtetezi6670
2 жыл бұрын
@@yasnaghump5763 ukiisi hujawa tayali kuolewa ishi maisha yako pekeako maana si lazima kuolewa
@angelmushi8044
2 жыл бұрын
@@kingmtetezi6670 kuolewa si utumwa acheni kukariri maisha yamebadilika
@jessykadaraja2691
2 жыл бұрын
@@yasnaghump5763 omba talaka ukafanye Mambo yako..mbona simple.
ndoa zasaiv mtihan sanaaa,ni kuomba mungu sanaa awasimamie na ndoa ukiona imedumu ujue mmoja alijifanya mjinga polen wafiwa
@salimtsuma3391
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ep2nuMxugrTbhLQ.html #zuhurashaaban #kimasomaso👌
Poleni sana wafiwa, Allah awajaalie Subra. Nae ampokee kwa wema In Shaa Allah. Ameen. Kwa maelezo ya huyu mama, mume anaonekana kuwa na wivu kupitiliza, ana gubu pia... huyo dada anaonekana sio mtu wa kudanga, ni mtu wa kujituma. Siku zote mume anatakiwa awe mlezi kwa mwenziwe. Miezi 5 ni michache sana kushindwa kumchukulia mwenzio. Tukisema hayuko serious na ndoa tunakosea, maturity ni suala la msingi ktk ndoa. Dada anaounekana bado ana utoto fulani, alipaswa amvumilie... kuna vitu vidogo vidogo angeweza kumanage yy km yy (mume). Wapo watu wanachukua miaka kupata quality ya mke wanaemtaka, wanasubiri ikibidi wanajitoa kwa ajili ya wake zao. Subra ni changamoto kwa huyu mume. All in all, hakupaswa kuua. Amekosea!
@emmanuelmashallo9739
2 жыл бұрын
we umeonaje? mambo ya gubu yanakuhusu nn we tulia bhana HUJUI KITU
@ummymuya.2060
2 жыл бұрын
@@emmanuelmashallo9739 Uko sahihi, mjuzi ni mmoja tu... Allah pekee! Ila ametuqadiria viumbe vyake kw kiasi alichopenda. Huo ni mtazamo wangu. Kukukumbusha ni kuwa comments haziko turned off, instead of criticizing what I said, uko huru kuandika uonavyo wewe. Hatuko kwenye mabishano hapa as if tunatarajia mmoja amshinde mwengine... Sio kila wakati tuoneshe tuko wajinga kiasi gani!
@salomemakore4809
2 жыл бұрын
Wivu uliopitiliza kabisa na ujinga pia .....huyo mwanaume hakuwa na hekima,unapigaje sm 42 missed call serious??. Mungu amrehemu dada yetu
@ummymuya.2060
2 жыл бұрын
@@salomemakore4809 Mmmh, kuna mjinga mmoja eti amejibu sijui kitu nitulie... Hivi utapigaje call zote hizo km wewe si mtu wa bugdha? Kwnn asifikirie kuwa labda mkewe amepumzika? Negative thoughts muda wote... hakuwa akimuamini wala kujiamini yy mwenyewe!
@MALENGWE
2 жыл бұрын
Mwanamke sio mdogo ni ndoa yake yapili kwaiyo uyu mwanamke ni malaya kwasababu hata kampani zake wote malaya so uyu mwanaume yuko sawa kumpiga lisasi dawa ya msaliti nikifo
Wanao jua maumivu ya mapenzi naombeni like zenu. Mshikaji kama namwona ambavyo hakupata usingizi mke wake hapokei simu dah inauma hasikwambie mtu bia tamu
Huu ni ugonjwa akili. Kama mtu humpendi, unamuoa wa nini? Na kama mna migogoro, kwanini umuue mwenzio? Huu ni upuuzi
@mamananga2849
2 жыл бұрын
Yani ingekua anae uwa nayeye anauliwa hii tabia ingekoma
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@mamananga2849 KWELI KABISA
@joharishabani2893
2 жыл бұрын
Huyu alikua ana mpenda mkewe ila mwanamke alikua hampend. Mwanaume alipenda pesa tu
@bahatinassor9980
2 жыл бұрын
Tena upuuzi uliopitiza
@Munyama675
2 жыл бұрын
Tatizo ni huyo mwanamke
Huyu mwanaume alitoa mahari shilling ngapi mpaka kauwa binti wa watu. Ukimshindwa mrudishe kwao. Huyu baba ni wivu
Poleni Sana Sana inalilah wainailahragiun 😭😭😭,Ila kwanamna alivyosema mama was marehemu inaonekana hawo hawakua na amani ya mahusiano,ni Bora inapofikia hapo watu waachane tuuuuu
Kila mtu ana tabia zake acheni kusema warangi nyie wenyewe ni wachafu haswa wa tabia
@williambayo1481
2 жыл бұрын
Waja wanakera kila tabia mbovu wanatupià lawama warang na wambulu wakat saiv kila kabila n malaya tu
Innalilah Wainna lilah rajioun poleni sana familya 😭😭
Sasa kuuwa ndo solution ?? Wote hawakuwa naibada ya Mungu,Mitihani mtupu yaraby
Hii inaonyesha Hawa wanandoa walikuwa na mzozano wa mda lkn pia mume alikuwa na wivu na hakumuamin mkewe.hii ni tatizo kubwa jaman polen wafiwa Mungu awape faraja
Ukishajua una Moyo mdogo usimruhusu mkeo afanye kazi mfanye tu awe mama wa nyumbani
Jmn msiwe wepesi wa kununua au kumiliki silaha za moto. Iwe kwa namna yoyote ile, nikimaanisha nia nzuri au mbaya kwa sababu ukishakua na silaha shetani (roho ya mauaji) haitaacha kukuandama akili ya kuua itakua inakuandama kila siku japo unaweza usielewe lkn ndivyo inavyokua. Wanaomiliki wanaweza kunielewa kwa urahisi, hata paka unaemfuga mwenyewe siku akidokoa samaki akili inayokuja fasta ni hivi huyu paka hajui naweza mshoot moja tu chali, like jokes lakin ndicho kinachokua kwenye akil zao
@jumannerajabu1356
2 жыл бұрын
mbona wengne wanachomana visu marungu nahata bira siraha unaweza kupigwa2 mpaka ukafa kikubwa nikueshimiana2 kira mtu kwenye nafasi yake
@nelsonjonathan5296
2 жыл бұрын
𝙉𝙤𝙩 𝙩𝙧𝙪𝙚
@marechojohn4289
2 жыл бұрын
sio kweli
@darajalakidatukilomgi2362
2 жыл бұрын
Unaponunua silaha ya moto ujue umenunua na roho ya kuua, na uchizi wa akili nao lazima, huyo mshenzi anyongwe Hadi kufa
@gracemrema9815
2 жыл бұрын
Kikubwa kumshika sana Mungu usibishe maroho yapoo
Hakuna sababu yeyote ile inayo halalisha mauaji let alone hizo petty reasons. Mtu aende kwenye show ndo sababu ya kumuua au kisa hakusikilizi ndo umuue? Mke sio mtumwa wako akose uhuru wake na kuacha Kila kitu anachopenda na kufanya unayotaka wewe tu sio kifungo hicho. Hii victim blaming inabidi iishe na watu wajue ndoa sio utumwa. Mkishindwana mnaachana it's that simple sio kutoa uhai wa mtu. Imagine dada au Binti yako anauwawa kwa hivi visababu uchwara. Hakuna sababu yeyote ile inayo guarantee kutoa uhai wa mtu.
@nth3512
2 жыл бұрын
Wewe ni mwanaume au mwanamke? Km we ni mwanamke basi faham mke kutoka nyumban bila taarifa ni jambo linalopelekea makubwa, hata km alienda kwenye mpira alipashwa ampe taarifa mumewe, mume itakua kawaza vingine, na huenda sjo mara ya kwanza. Jitahidi kuwatii waume zenu
@Burner_Acc
2 жыл бұрын
@@nth3512 Mimi ni mwanaume. Hata mke wangu akienda kulala huko huko mwaka mzima hapo tunaachana tu siwezi kuua mtu au kutetea mauaji kwa sababu yeyote ile. Ukiua unapata faida gani? Ukaidi sio uhalali wa kufanya mauaji. It's that simple.
@aggreyenock1221
2 жыл бұрын
@@nth3512 bado haihalalishi kuua
@yasnaghump5763
2 жыл бұрын
yaan nashukur wew uliocomment hata mm nipo kwenye ndoa ambyo ni Kama vile mtumwa au mfungwa wallah nataman nifanye kaz lkn amefungua kaduka nje ambcho ameweka mm niwe nauza hzo pesa tunatumia ndan lkn nataman nifanye kaz zangu niwe na pesa zangu anakataa ukizingatia alinioa nikiwa na mtot naumia Sana sielewi nifanye nn
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Hakika
Innalillahi wainnaillayhi rajioun...Allah amrehemu....wivu ukizd na kukosa uaminifu Kwa mwenza wako ni hatar sana
Mimi situmi lawama kwa jama Mimi nililipa mali yote zikiwa zimebaki Siku 114 kufunga ndoa mwanamke akatoa mimba akisingizia wazazi wake kwamba wamemwambia atoe nilipo funga ndoa ndani ya Siku 30 niligundua anawanaume 6 ndani yake yupo Ndugu yangu sasa ukiwa na roho ya kipepo unatwanga lisasi 7000
Dah! Inasikitisha kwa kweli,mume katili na sijui kama sio jambazi...anamiliki mpaka bastola! Ila Marehemu alikuwa Mzuri Masikini!😥😭kajaliwa na shepu na sura Mungu Amrehemu!🤲🏻
@josephmoses2469
2 жыл бұрын
Juwa chanzo acha kutia huluma ww mwanamke danga acha afe
@adamyasin4089
2 жыл бұрын
Kweli wewe mjinga umeona shepu tu huna akili
@casmiraugust6853
2 жыл бұрын
shepu bila akili
@adamfundikira742
2 жыл бұрын
@@casmiraugust6853 ni kweli Shep bila akili ni ujinga kingine wanaume tujifunze tunapokuwa na uwezo kifedha tusiwaruhusu wake zetu kufanya kazi binafsi ni heri tuwafungulie miduka au akae tuu
@adamphinias2457
2 жыл бұрын
umeona shape tu au sio,,, hcho ndo kilimpa kibur mwenzio mpk leo hayupo tena,,,,, vtulizeni hvyo vishape vyenu kama bado hujamaliza kudanga usiolewe!!!
Hapa nachokiona ni dharau au kutokujali maswala mazima ya ndoa. Au yawezekana kauli zilizotumika kwenye majibizano ni kali. R.I.P Lakini huyu mama mtu nae hata chozi hamna ... Mkavu kama marehem sio mwanae duh 😱
@zoey2635
2 жыл бұрын
Don't judge Kesha Lia sanaaaa
@mankarichard5851
2 жыл бұрын
Kuna mtu atoi chozi anaumia ndan na aneza lia kwa sauti tu uwez amin uwaga wanaumia sanaah kuzid watu wanaolia machozi yakatoka.
@jenniphergiovane2688
2 жыл бұрын
Yaan hata hizo nguvu za kujieleza kaitoa wp
@smarttv3272
2 жыл бұрын
@@jenniphergiovane2688 c anajua mwanae labda alikuwa anamakosa
Polen sana ndugu jamaa na marafiki,,shida ni kwamba wanaume wengi wanashindwa kutambuah kuwa kumfuatilia sana mwanamke ni kuanza kujenga chuki,,,muamin mpende akikosea muelekeze sio kujichukulia maamuzi mkononi
Mwanamke akiwa anatafta ndoa huwa anakuwa mpole mno na hapo ndo wanaume wengi huwa tunaingia kingi.
Wadada wamekapu wanaume Kama hamuezi Bora mtulie 2 kwasabubu Kaz zao muwe wavumilivu
Mwanamke ni mzuri sana kama wanaume hawawezi kuvumilia mapungufu ya wanawake wazuri oeni wa kawaida muishi mpk kofi
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
👍💯
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Exactly
@Tee-King
2 жыл бұрын
Na kama uwez kutulia usiolewe kwa nn ukubar kuolewa nan mwenye kosa sasa apo muolewaj au muoaji.
@kelvinaudax8287
2 жыл бұрын
So kwa sababu mzuri ndio usitulie??
@haniikim4876
2 жыл бұрын
@@kelvinaudax8287 comment ya kijinga hii kuna wanawake wazur huyo mbaya na wanatulia kwenye ndoa zao.
Poleni wafiwa Jamaa kafanya maamuz ya ovyo Anyway,kuna aina fulani ya wanawake hutakiwi kuoa kabisa
POLE SANA MAMA UCHUNGU WA MWANA AJUAYE MZAZI JAMANI,, HALAFU SALHA NI MRANGI NIMEUMIA ALLAH AKUREHEM HABIBTY. SALHA
Kitu kingine nilicho jifunza ktk tukio hili ni kuepuka kuishi na mwanamke jilani na mazingira ya kwao.ukichunguza kwa makini utagundua huyu dada alikua akai au kushinda nyumbani kwake muda mwingi .
@smarttv3272
2 жыл бұрын
Kbsa yaan mzururaji acha amekiona alichokuwa anakitafuta
@comulusnimbuss931
2 жыл бұрын
Angelimuacha tu..katika sababu zote ,a kumuua mwenzio ni hio..wanawake wapo tele...hakuna cha kumruhusu unyama kama huo..
@musason1680
2 жыл бұрын
Juzi mama alienda kwao Leo baba kawaida watoto hawa ndo wanawaharbia watoto ndoa zao
Apumzike kwa amani! Ila kuwa na silaha ndani ya nyumba ni shida! Huyo mwanaume anaroho mbaya humuwezi mkeo muache!
Wanawake wanatia hasira mm nilikuwa na mtu tuliahidiana kuoana na ilikuwa ukimaliza 4m 6 tuoane kamaliza na kunichenjia nakuhudumia kote mbaya zaidi mm nikimpigia sm anasema Yuko busy kumbe ako na mtu kwingine sema tu Sina bastola
Duuuh! Inaumiza sana pole sana mama kwa kuondolewa uhai, binadamu wenzangu ususani wanaume au wanawake tumuogope mungu jamani tuwe na hali ya imani ya kiroho ktk kujali uhai wa kila kiumbe, tusihukumu tusija tukahukumiwa maana siku zaja
Genuine love is not about holding very tight but letting things to flow and nourishing.
@ahz6907
2 жыл бұрын
hii kibongo bongo tunafeli sana labda huko kwa wazungu
@faithjuma6145
2 жыл бұрын
true dear
@bestsuma5826
2 жыл бұрын
Well said🤝
@faizakassim5699
2 жыл бұрын
Well put brother!
Mapenzi ya siku hizi siyo Kama ya zamani. Siku hikuhizi mahusiano yamebadilika sana digital inaharibu vijana na mahusiano ya watu wengi unadhani Kama siyo mitandao sangapi angepigwa risasi hizo
Innalillah wainnaailayh raajiuun , Poleni sana Siku yake ilikua imefika, hakuna ambae angeweza kuzuia 🙏
Dhulma haidumu, Allah atamlipa huyo alouwa, Huwezi kudhulumu nafsi isiyo na hatia!! Allah ni mjuzi wa yote…Innalillah wainailahi rajiun… sending love and condolences 💐 to the family
@lilianestephanie7881
2 жыл бұрын
Na huyo mwanaume amejiua
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Poleni Ndugu,jamaa.
@salimtsuma3391
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ep2nuMxugrTbhLQ.html #zuhurashaaban #kimasomaso👌
yaaaani kwa nini amueee....siangemuacha tu😢😢😢😢
@limitoboe
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gGxk3M1vlK-sYNY.html
@hamisiwengi2498
2 жыл бұрын
Ukitendwa utajua kwa nini
@manish-fp1fb
2 жыл бұрын
Angemuaacha, ila shida ninayoiona hapa pengine palikuwa na maneno ya kukwazana... pengine jamaa kaambiwa hamkuni vizuri... hasira inapokuja ndio kinachotokea.
@wedream7506
2 жыл бұрын
@@hamisiwengi2498 NONSENSE
@saradaniel4579
2 жыл бұрын
@@manish-fp1fb hata kama jaman 😢😢😢😢 OMG naumia jaman kamkatisha uhai kweli?? hiyo adhabu kubwa sana
Inaumiza sanaaa inabidiii hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi ya huyo mhusika ili kukomeshaa matukio kama haya yasiendeleee kutokeaa mwenyezi mungu ailazee roho ya marehemu mahala pema peponii🙏🙏
@kiehbhzh7044
2 жыл бұрын
mmh jmn hii inaonekana kwamba mwanamke alikua ana majibu mabaya na alikua anajivunia uzuri wake na shepu yk na kipato chake ndio maana alikua na majibu machafu😢p0le sn mama na p0le sn dada yetu swalha Allah akupunguzie adhabu ya kaburi na akusamehee zambi zako😢
@nicklassshaypanga8794
2 жыл бұрын
@@kiehbhzh7044 hata kama anamajibu mabaya ndooo uaamue kutoaa uhai wa mtuu na hyo laana haitamuachaa huwezi kuitoa roho ya mtuuu et kisa anamajibu mabayaa hapana 😥😥
Mama ungemkalisha chini mwanao ukamwambia haiwezekani anapuuza cmu za mumewe hapokei na wewe humkanyi hata unge mfukuza aende kwa mumewe hasira ni mbaya unaweza kuua bila kukusudia. Mtu katoka kazini ana stress akija nyumbani mke hayuko na akipiga cmu haipokewi anazidi kuwa na stress.
@gabrielmshiu6719
22 күн бұрын
Mwanàmke Yuko kwenye ndoa, uondoke nyumbani, usafiri kwenda mkoa mwingine, ukafanye kazi Hadi usiku wa manane, utoke huko, badala ya kwenda nyumbani kwa mmeo, unaenda Kwa mama yako kwanzà, ulale, alafu asubui ndio uende Kwa mmeo! Inaingia akilini kweli?
May her soul rest in peace😭😭
Acheni kuoa wanawake warembo by pastor mgogo mana wivu sio mzur
Allah awape subra wafiwa na kauli thabiti kwa marehemu na mwisho mwema kwetu
Pole sana mama etu mungu akupe subra juu ya mtihani huu
" KUMBUKENI KWA JINSI HUYO MAMA ANAVYOONGEA NAONA KAMA NI MRANGI " NA KAMA WARANGI WANAVYOJULIKANA JAMANI.
@fulgencejackson5340
2 жыл бұрын
Haswaaaa
@jacquelineadrian6436
2 жыл бұрын
Nimejikuta nacheka jaman 🤣🤣 looh
@hamidamnyika5866
2 жыл бұрын
hujakosea kabisa
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mcback4384
2 жыл бұрын
Mrangi kabisa
M/mungu ilaze rohoyamarehem mahali pema peponi..poleni sana familia
Pole sana kwa familiaa, ila mm ningeomba tu vyombo vaa dola, laia jaman wasipewee vyombo vya moto jaman, hizi kesi zimekuwa nyingi jaman, dah poleni sana familia
Mwanamke Mzuri wa kiislam Kama Avai zile Baibui kujistili na Umemruhusu ww kama mwanaume kujiachia hivo Ndgu yangu kama una wivu utauwa au utajiuwa tu
Mungu wangu pole Mama 😭😭😭😭
@salimtsuma3391
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ep2nuMxugrTbhLQ.html #zuhurashaaban #kimasomaso👌