ALIYEWAHI KUWA MKE WA SAID APATIKANA ASIMULIA ALICHOWAHI KUFANYIWA
Жүктеу.....
Пікірлер: 924
@angelyahya4182 жыл бұрын
i see watu wanalazimisha swalha kuonekana alikua na tatizo lkn huyo saidi hiyo ilikua ndoa ya ngap kwake? and besides ndoa still alikua na wanawake wa pembeni mpk mama yake mzazi alisema alikua na wanawame wengi sana hamuoni hiyo ni shida?? Shida ya wabongo mwanamke akiwa na muonekano mzur huyo ni malaya na hiki kitu kinapoteza wengi.... ingekua swalha ana sura ya mjomba wake kusengekuepo na comment za namna hiyo .... Tubadili Mtazamo ktk mahusiano if not kila siku kutakua na matukio na wanawake msikingie vifua wanaume wana mambo mengi sana na wao wanaona ni vzr kuwa na wanawake wengi pasipo kujua wanaharibu afya ya akili kwa mke au mpnz wake All in All RIP
@bettymwigune8150
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@annethsongwe6063
2 жыл бұрын
🙌
@olivamwaikuyu5757
2 жыл бұрын
1
@thomasdunstan8263
2 жыл бұрын
Nawewe nimojawapo mwenyetabia kama za huyomke
@vevo3130
2 жыл бұрын
umesema kweli....yaani at last nimekutana na mtu mwenye akili kwenye comments....so many ni psychos u can tell kwa comments tu
@mutomubaya2 жыл бұрын
Somo kubwa hapa ni Kwamba ndoa ilfanywa kwa desturi za Ki islamu. Makosa ya vijana wengi TZ wakusoma Dini vyema kiasi cha kufahamu elimu ya Tawhid. Kuna habari kwamba mganga au wanganga waliruhusiwa kuingilia mambo ya ndoa hiyo. Ikiwa ni hivyo, viumbe hao huwa ni hatari, hugombanisha watu na kuharibia mtu Dini kabisa. Ni jukumu la Ulamaa nchini wawaonye watu wasiangamie. Wawaelimishe vijana na hata wazazi na Waislamu wapya. Njia sahihi ni ile ya Allah.
@freduallughano2301
2 жыл бұрын
Njia sahihi ni ile ya asili yako kama ni mwafrika.
@ramadhanimtetu7246
2 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Afrika ni pana ina Dini nyingi ikiwepo Uislam Ukienda Misri , Moroco , Algeria au Tunisia au Sudani kote Huko ni Afrika Na Imani zao Za Asili ni Islam Hivyo Acha Maneno Maneno yenye Viashiria vya Chuki
@user-sc4iv7qp9b
2 жыл бұрын
shida kubwa ni ujinga wa wengi katika baadhi ya waislamu kutokuijua dini yao na misingi yake mtu huwezi kuidhulmu nafsi ya mwenzako na bado ukaongeza na yako mwenyewe pia.. ni sawa upitie shida au migogoro kiasi gani , pia ni wazi khofu ya Mungu haikuwepo vyote chanzo ni ujinga maana angejua alichokitenda matokeo yake kwa Mujibu wa dini yake ingemfanya apate khofu ya Mungu
@SMG109L
2 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Dini ya asili ni uislamu.
@esthershaban61032 жыл бұрын
Mmmh huyu dada kafanana na Masha love
@danielmtanda12232 жыл бұрын
Ila dada kwa miaka umetupiga chenga😅😀
@neemasawe7016
2 жыл бұрын
Alivyobabaika kwnz wakat wa kujibu😂
@madamhappymwalongo3653
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Ila huyu dada kafanana na Masha love kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa👇
@phelgonaamondi72512 жыл бұрын
Atleast amesema mabaya ma mazuri...wengine wanasema mazuri tu
@MsMayna-ih6uq2 жыл бұрын
Kuna wanaume hawafai au hawajaumbiwa ndoa kbsa... na baahdi ya wanawake vilevile!
@zuwenaabdallah77482 жыл бұрын
Ila said alikuwaga anachukua vyuma kwelikweli wake zake wote warembo😘
@ghostelmendez7206
2 жыл бұрын
Sahh uko sawa
@jacquelinekahamba7872
2 жыл бұрын
pesa
@ms_caramel26882 жыл бұрын
Hio nyumba ya huyo kaka wamepita wanawake wengi jmn 🤲🙌
@ghatititus7136
2 жыл бұрын
Yaani kwa kweli alioa wake wengi
@happinessteven2401
2 жыл бұрын
ameweka maagano na watu wengi
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Zaidi ya watano ata mama yk alisema
@hidayakisensi2747
2 жыл бұрын
Pesa a babuu🤣🤣
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Dini yake inamruhusu,mkumbuke hilo???
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah hasira hasara Mama yake Anamtetea mwanae kumbe mwanae ndie mkorofi upendo bila kuona wazazi bila wazazi mngepatikana? Mbona mama yake anakuja kutembelea ukimpenda uwa penda na boga lake matatizo kweli
@Official836402 жыл бұрын
Tangu nimeanza kufatilia interview huyu mwanamke wa5 niliyowaona wakihojiwa mama Ashraf mke wa kwanza watoto 2 Kuna mama Naa mke wa pili ndy aliyechuma nae kuanzia kiwanja hd nyumba miaka 6 wameishi wamepata mtoto 1 Kuna yule asiyemuoa kazaa nae watoto 2 kuna huyu hajazaa nae kakaa nae miaka 2 Mwisho Marehem Swalha wameishi ndy baadae ndoa miezi 5 wamependana ndy wakafa hawakubahatika kupata mtoto Hapo sasa asisemwe Swalha hajatulia wenyewe mnaona maneno ya ma x wanavyotoa ushuhuda 2022 ndy wameachana na huyu Swalha kaishi nae hd mwaka jana 2021 wamefunga ndoa sasa huyu wameishi wapi hd kufika mwaka huu na Swalha yupo humo ndani yaani Ma x hawaeleweki interview zao wanajikanyaga familia nayo vile vile dah. Tukubali Saidi alikuwa kivuruge hapo kuna watoto wengine hawajaonyeshwa wala kuhojiwa wazazi wao jaman ifike kusema tusihukumu mkamilifu hakuna
@wardw3022
2 жыл бұрын
umeona kumbe
@khamisdaima1455
2 жыл бұрын
Na hapo Huyo said asingelikua na Mali usinge muona mtu kujitokeza hapo
@judithcha-mushala8852
2 жыл бұрын
Huyu jamaa kwa shuhuda hizi anaonekana alikuwa na matatizo ya ugonjwa wa akili, shuhuda inaonyesha alishawai kumeza vidoge na pombe ili ajiue
@sarahgaula2220
2 жыл бұрын
Washafika 7
@mo_hustler9099
2 жыл бұрын
Sema huyu mwamba kazingua Bora angejiua akiwa hana watoto sasa amejiua huku ameacha watoto Unafikiri watoto wataishi kwenye mazingira gani? Cjapenda jamaa alichokifanya Bora angeachana na huyu mwanamke
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Said ulikuwa ukioa kilasiku. Hongera mama mzaa chema. pesa zinamfanya mtu afanye anacho weza
@ismailmatari9162 жыл бұрын
Unakimiss wakati ulisha achika kitambo na nyie waandishi ulizeni naswali ya msingi yanayoendana na wakati bush it: R I P wapendwa mungu awafanyie wepesi huko muendapo🤦
@issayasosolo60332 жыл бұрын
Marehemu kapuzika hawezi kuyajibu haya yote, Msimpe njia ngumu huko aliko nyinyi wanadamu kwani ninyi niwakamilifu, jibu litakuwa hapana si wamilifu Basi acheni apumzike, Tafakari ya kwako Kwanza marehemu kamaliza kazi yake hapa duniani!
@dorisonesmo8814
2 жыл бұрын
Ibaki kuwa fundisho kwa wengine kuua na kujiua ni dhambi kuliko yasemwayo
@yasinrasheed5743
2 жыл бұрын
Mungu amekataza kujiua ama kuua nafsi yoyote tayari Hilo Nikosa, mwenyezi Mungu anaahidi ukifanya kitendo cha kujiua utaishi motoni milele
@thedon8048
2 жыл бұрын
💪💪
@silyvesterrichard758
2 жыл бұрын
Ni kweli Kaka maana huyo aliyekuwa mke wake anakuambia alikuwa na upendo Sana sasa kwa sababu hawezi kujibu wamwache apumzike
@maximillianmagesa2758
2 жыл бұрын
Kabisa wamwache apumzike kwa amani.
@fatumakassim37932 жыл бұрын
Wanawake mnaomhukum swallher mnaniumiza Sana,,aisee,,,hivi imeandikwa wapi ,mwanamke ndio anatakiwa kutulia kwenye ndoa tyu,,?jukumu la kutulia nilawanandoa wote mwanamke na mwanamme,,nasi mwanamke tyu,,,,,
@chrissmichaelmashouda17262 жыл бұрын
Yaaani Kusikia ajali imetokea hakukufanyi uache kusafiri...tusikiapo haya ya ndoa hakukufanyi kuacha kuamini bado kuna waume na wake Bora wanaishi it's matter of selection tuu🤞
@noonelike63822 жыл бұрын
SIFA ZA AKINA SAIDI: 1)Wana midudu (mibolo) mikubwaaa. 2)Wana hasira Sana 3)Wana roho za kwa Nini. 4)Wana sumbuliwaga Sana na maradhi ya tumbo. 5)Wana penda utani ila Wana wahi kukasirika. 6)Wana desturi ya kuperekesha wanawake (wapenzi wao). 7)Wana mapenzi Sana na mama zao wazazi. 8)wanapenda Sana ndugu zao. 9) asilimia kubwa wanapenda Sana michezo ya kubahatisha (kamari), Hawa jamaa huwaambii kitu Katika issues za kubeti. 10) wasafi kwa nje, ila siyo nguo za ndani. 11)Wana kuwaga na viarufu kama vya beberu la mbuzi lililo komaa. 12)Wana wivu Sana wa mapenzi ,ila ni wazinzi Sana, wanapenda Sana kuhisi vibaya wanawake wao. Ahsante!.
@noonelike6382
2 жыл бұрын
😆
@harousaissa7235
2 жыл бұрын
Iyo kwel my wala hujakosea
@teehassan4731
2 жыл бұрын
Ni kweli hujakosea ngumi mkononi
@luciamashauri5723
2 жыл бұрын
Inabid nicheke2 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deusdedit789
2 жыл бұрын
@No one like 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌nimecheka jaman 😂😂😂😂😂😆😆😆
@delphinkakudji2 жыл бұрын
😢he needed someone to help him ,he was stressed and he didn’t know what to do. Stress nyingi uzaa hasira 🙏🏾. So sad 😞
@Idafa2 жыл бұрын
Alikuwa ana wivu kwa vile alikuwa anajua anachokifanya huko nje na wanawake wengine. Mwizi always anahisi na yeye anaibiwa hivyo anachunga mali yake kwa uangalifu sana ila alikuwa na matatizo ya akili.
@emmanuelmwesongo71772 жыл бұрын
Mbona uyo dada mwingine kiherehere ivo kwan anaulizwa yeye khaa🤣
@victoriamajeni3474
2 жыл бұрын
Na alisema alikua rafiki wa swalher uyu alihojiwa Hadi msiban kwa swalher kumbe mnafikii tu
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
Anafanana na mke wa hamorapa
@SalmaBinyaga
2 ай бұрын
@@gracejonh4022Ni yy
@mwitaagness4552 жыл бұрын
Huyu alimkuta hana kazi na kuna mwingine anasema pia alimkuta hana kwa kifupi wanataka kusema mali ni halali yao Marehem ndo alimkuta akiwa vzr, hata wafanye nini haez pewa chochote hao, mama anakir said qlikuwa na wake wengi, swalleher ndo mke nhie wengine simliondoka swalleher kavumilia mpk kifo😭😭
@samwelpaul6944
2 жыл бұрын
je watoto wanatambulikaaa ?
@priscarkasitu8101
2 жыл бұрын
@@dorahwillson1807 Swalha angekuwa hai angepewa mali.sasa atapewa shemeji,mama mkwe, au Baba mkwe?Kwa hapo watoto walivyo wengi Yule Mama naa anaweza pewa.au huyo mama Saidi
@mwanduelizabeth22822 жыл бұрын
Basi hapa nimeamini huyu Said alikuwa ana wivu sana na alikuwa mkorofi sana maana kwa maelezo tu ya huyu dada wanawake wote hao walikimbia said alikuwa na matatizo .Wivu ukizidi sana matokeo yake ndio Kama haya ni mauti.R.I.P Swallher & Said.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Kumbe kakaang alikuwa mtu wa hivyo, mtihani kwakweli.
@fatmaqhta85282 жыл бұрын
Poleni Wafiwa Innalilah wa Innalilah Rajiun pepo iwe makaazi yake 😭😭😭🇰🇪🇰🇪
@lifeofyuri40202 жыл бұрын
Kwa maelezo ya make said alikua na shida kwenye mental health (he was depressed,he had an obsetion with perfection Yani watu wenye hii tunasema ni Alpha,what he says goes.. he had anxiety and he was late in it mpk akawa suicidal when things don't go the way he wanted)
@yudatadeimdoe9215
2 жыл бұрын
Of course you are right
@samueljoseph6542
2 жыл бұрын
Obsession***
@TAASISI
2 жыл бұрын
I need to know more about Alpha male I feel like I am like that
@mohamedally63902 жыл бұрын
Sema mwamba alikuwa anapenda kuchukuwa pisi kaliii
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
La!! maana hata huyu anauehojiwa!!! du!!! simchezo.
@ahz6907
2 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 wa kawaida sanaa
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
@@ahz6907 😂😂😂
@fauzimohamed5757
2 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 alikuwa anapenda wanawake wale cha wote
@uvuvweweonyetenyevwe1348
2 жыл бұрын
Wadangaji hao
@aishachambo86632 жыл бұрын
Mama alisema mwanawe alikuwa na wake wengi sana
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Yes alisema
@sarahomary3615
2 жыл бұрын
Yani aliropoka yule mama jamani
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
@@sarahomary3615 kasema kweli
@happnessjoseph7191
2 жыл бұрын
@@sarahomary3615 hajaropoka alisema kwa Nini amefanya tukio la hivi mbona hakuwahi kufanya kwa wake zake wengine.
@aminasuleiman81202 жыл бұрын
Huyo dada hapo pembeni anatamani ahojiwe yy au nayy x maana anavyosaidia kujibu maswali yasiomuhusu🤣🤣🤣💃💃💃
@felexulomi77932 жыл бұрын
Ukiona ela yako yako inakupeleka kwenye umalay maisha yako yatakua mafupi san
@doreencharles2836
2 жыл бұрын
𝙿𝚘𝚒𝚗𝚝
@azizaabeid2055
2 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@dorahwillson1807
2 жыл бұрын
Daaah umenena kweli
@limymasele21
2 жыл бұрын
Umeonaeee?
@kwisa4899
2 жыл бұрын
Duh word
@anithanithaa26512 жыл бұрын
Afadhali tuskie na upande wa Pili maan Hiyo familia ya Said wanajitahid Sana kumtetea Ndugu Yao 😪😪😪
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Hahahaahaha
@zulfahalily6095
2 жыл бұрын
Kabisa nawakati ndo kafanya tukio
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@TamuzaKale 😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@zulfahalily6095 kabisa
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Sio family ya Said tu mpaka shemeji yake anamtetea
@zaipazzi94902 жыл бұрын
Ata kama mkali lakini alikuwa anaishi na msongo wa mawazo na saikorojia yake haikuwa nzuri sema hakuwa na mtu wa kumfuatiria na kumrudisha kwenye mstari. Ni jibu la tatizo lake, msongo wa mawazo hakuwa sawa.
@olivajoseph16972 жыл бұрын
Huyu Said nae alikuwa na Majanga na mama ake alikuwa anakaa kimya tu
@dorothyannan81842 жыл бұрын
Kwa maelezo ya huyu, Said alikuwa na msongo wa mawazo pia.
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Nachokiona,ni huyu jamaa baada ya kufilisiwa hakukutana na watu wa kumkansel.Naalitembea na vidonda moyoni na akili mwake.Hivyo alijikaza kiume.Na ikapelekea kuwa nahofu na kila mtu ama niadui wa maisha yake.Kiukweli alilaumiwe kama aafufuka saizi kisha aelezee maswaiba yaliyo ndani ya moyo wake,yawezekana watu wengi watatoa machozi.
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Oooooh SALHA umekuwaa kama mchezo wakuingiza umemuachia wago zako historia ambayo haifutiki machoni mwao na taswirwa yako mama inampitia machoni kwake kama atakuona hivi saa nyingine ukisikiliza vizuri lNTAVYOO ukewenza ni mvaya ndio lile neno tukose wote R.I.P SWALHA ukewenza umekuponza sanda mlio iyona getini imejibu pole sana mama SWALHA kupoteza akiba yako mungu akupe faraja dada Amina R .I.P SWALHA
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
RIP SAIDI
@maisarah6819
2 жыл бұрын
Ukweli mtupu ddangu..wanawake Allah atustiri😭😭 utajir n mtihani/ Umaskin n mtihan.
@BM_Smart2-62 жыл бұрын
Kwa hiyo interview tu ya huyo mwanamke. Ni wazi kuwa jamaa alikuwa na wivu kupitiliza na hasira. Kosa kubwa hapo ni kumiliki chuma! Na kukosea maamuzi ya wapi kuitumia, hatujui ukweli ni upi na uongo ni upi ila ndiyo hivyo tena chuma kimeshatema shaba!!!
@anthonikabuye8210
2 жыл бұрын
😂😂😂
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Haha
@eliamaruma78462 жыл бұрын
Uwiiii kumbe alikuwa na wanawake wengi uwiii
@nengabablizer3332 жыл бұрын
Sema uyo said anajua kuchagua kweli yaaan 😂😂😂
@filberthabashi2870
2 жыл бұрын
Hahaha ni kweli alikuwa mchaguaji na mpambanaji saana
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@asifiwekitunga4655
2 жыл бұрын
Sanaa
@fleviakazungu4560
2 жыл бұрын
Apo kwel
@exaverymtumba7907
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣alikua anajua kuchagua
@zayanazayana53532 жыл бұрын
Kuna vitu majumbani tunavichukulia poa utaona mtu ana tabia za ajabu ukali mwingi kumbe ana tatizo la akili bl kujua matokeo yke hasara na misiba
Kwaiyo alikua anawivu sana na mkorofi pumzika kwa amani amen 🙏.
@salomewandya72572 жыл бұрын
Wote wanawake zake warembo lazima awe na wivu
@petermahimbo3458
2 жыл бұрын
Nilikuwa naitafuta hii
@ummyhasheem2245
2 жыл бұрын
@@petermahimbo3458 Akii ata mimi🤣🤣🤣tena Masha Allah hasa
@anthonikabuye82102 жыл бұрын
Hasira kupitiliza,wivu kupitiliza,madeni ya mamilioni na anamiliki chuma ya moto😂😂😂😂 kaa mbali hapo ni hatar sana
@ashurajengela39262 жыл бұрын
Jamani sasa mbona awa wake zake wamekua wengi mno khaaa ?! Kila mtu ni mke wake ?! Saidi nayeye hapana khaaa haya uyu anasema kaishi nae adi 2022 na uku ndo na swalha wamefunga ndoa mwezi wa 12 jamani 🙌🏻,, sema mama ake alisha sema alikua nao wengi
@ngoshachaula1722 жыл бұрын
Muongo uyu dada miaka 23 khaaaaaaa😆😆😆😆😆👏
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Innalillah wainna ilaih rajiun. RIP brothers.
@nataliakenny94992 жыл бұрын
Nyoote mlikua wake zake akini nahisi mtu aliempenda Sana alikua swallher,,maana hi inaitwa kufa na kuziana jmn duh
@bettynkunga2321
2 жыл бұрын
Angekuwa anampenda angempiga na kumuua, angejiua mwenyewe kuthibitisha anampenda
@miriamwinston9908
2 жыл бұрын
Upo sahih kwan ameshindwa kuwaua wote hao.aliopita nao kaamua kumuua swallher ili asibaki akapendwa na mwingine ameona bora wote waende tu
@emmysfitnessandforex9403
2 жыл бұрын
Nyoko nyie ndo mkinyanyaswa mnahisi mnapendwa...jua kutofautisha...huenda kafanya hayo kwasababu ya aibu...huwez kumuua unayempenda
Mwanza Uyuu Dada Ni Muongoo Na Umrii Amedanganya pili Amesema Aliondoka kwenye Ndoa Yke na Said Mwanzo mwa Mwaka 2022 mpka hpo ni Muongoo Akiwa Saidi Alimuoa Swalha December mwaka 2021 Uyuu Danga ni Muhungo Jmn
@isackakyoo1533
2 жыл бұрын
Kwakwel umri amedanganya
@khadijasalum23022 жыл бұрын
Huyu marehemu alikuwa na mitihani mingi yote pombe
@hamidayanga82242 жыл бұрын
Huyu mwanamke wa 6 sasa🙌🙌🙌
@piusphilip3072 жыл бұрын
Mwandishi mbona umemtolea mbavuni huyo mpambe wa mjane hahahahahahaha
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Kijana utulivu ziroo,tamaa mbele mauti nyuma,nakwasasa wanawake kuna jambo la kujifunza,ukiiona mwanaume haeleweki muachie mbolo yake,tembea na kuma yako huenda ukapata mtakae endana nae,maisha matamu hakuna mtu atafurahi mateso,swalha aliishi kwa mateso makubwa
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
Ila mama iyo miaka 23 hapo kwa umri wako uwenda tumepigwaa🤣🤣
@pretykileotv4186
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@missshenenga3220
2 жыл бұрын
Tena na kitu kizito
@teddyoscar68762 жыл бұрын
Na yule mtoto wake Ashrafu anaonekana atakua kama baba yake daah maskini Mungu amnusuru huyo Ashrafu, Said hakuwa mtu mzuri naona alikua na madudu kichwani
@rinaldaoman7892
2 жыл бұрын
KWELI kabisa yuke ashrafunanaonekana ana roho.mbaya sana
@monadinadi52952 жыл бұрын
Hyo said ni mkorofi Sana pia labda alikuwa na maden bank yote yanawezekana. Jmn marehem asemwi lkn mmmh alikuwa htr said. Hya hyo mama mkwe amesema kaonewa wkt said ndio alikuwa mkorofi Asante Dada umeongea km familya ya swallaher.
@jacklinegideon80742 жыл бұрын
Masikini alikuwa na shida jamani 😭😭 ni vile watu hawakuona hilo
@athumanibakari56562 жыл бұрын
Alimuachia watoto 3 alaf hajawah kuzaa nae apo sijaelewa😂😂😂
@verenabenjamin7893
2 жыл бұрын
Amjamuelewa alikuwa akiishi nae na watoto watatu means watoto wa said
@shaniramsale5324
2 жыл бұрын
Hata mimi sikuelewa🤣🤣🤣
@samiajabu2256
2 жыл бұрын
Hapo tyu kwa miaka 23 unaongopa
@naftaribulenya5847
2 жыл бұрын
Si ndio hapo Sasa kumbe umeisoma na wewe🤣🤣
@virginiamutisya62162 жыл бұрын
Said alitaka makuu. Said wa mapepo congratulations gal u left him
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
apepoulimpa hii ni mitihani amabayo hakufanikiwa kushinda wivu ulizaliwa na upendo wakupitiliza kwa wake zake hata kujiua na kuchanganyikiwa uchumi ulikua unamsumbua kuhusu ushirikina mke a mwisho ndio alikutwa na hivyo vijimambo mpaka babayake kuitwa na kuja na mganga kitulize
@mariej69622 жыл бұрын
Yeye mwenyewe na mazingira aliyopitia ilikuwa ni timed bomb 💣. Vidada vyenyewe maskini haviwezi kujua hatari yoyote, vinajipeleka tu, moral of the story, olewa na mtu unayemjua kweli siyo kwa hisia za mapenzi ya siku 2 au 3.
@mariamjuma41362 жыл бұрын
Siye tunataka aliofunga nao ndoa Ao wapita njia imekula kwao Alikuwa ana subira na wanawake😔😌mungu amsamehe alipokosea
@rosestigeneriksson83872 жыл бұрын
Una miaka 23🤣🤣🤣
@madamhappymwalongo3653
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mrpresident36202 жыл бұрын
Huyu saliha ilikuwa hapendeki na wazee wake wanasema uongo leo ukalale mkoa siku 3 unatoka unaenda mpirani bila ya izini ya mumeo
@mwawekomiuda97792 жыл бұрын
Kutokana na maelezo inaonekana ana matatizo tangu kazini kwake na na wivu mwingi vyote vilikua vinamzingua na kwa kua alikua na hasira za karibu. Bila shaka ndio yametokea hoyo. Lkn kila mtu ana mwisho wake.
@alextz58773 ай бұрын
Ndo muache kukimbilia wanaume wenye pesa hamjui wanapata je hzo money but mapenz ya kweli siyo pesa ni upendo na amani ndani ya nyumba
@gtgmediaproduction7642 жыл бұрын
Alikuwa maraya tu pesa bira Yesu
@Awatee
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Yesu kafanyaje tena jmn
@hawasaid71512 жыл бұрын
Amefanana na mashalove
@annayessa5256
2 жыл бұрын
Sana had me nimeona ivo
@maisarah6819
2 жыл бұрын
Tofauti n maziwa tuu apa
@mcback43842 жыл бұрын
Huyo Dada nyuma si ndio alisema ni rafiki yake salha kabisa kumbe ni rafiki yake pia huyu, inaelekea pia alikua mke wake
@ahz6907
2 жыл бұрын
sishangai kusikia hata huyo dada wanyuma keshaliwa na saidi
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
😂😂😂
@paulinaswalehe52982 жыл бұрын
Ww umesemaa ukwelii,mshukuruu Mungu Kwa kuchukua hatua.
@neemamathew74652 жыл бұрын
Haya mambo ya uke wenza sass jamn,, kumbe alikuwa na wanawake weng
@amirmbuyu5733
2 жыл бұрын
Huo sio ukewenza,wakewenza huishi kwenye ndoa ya mume mmoja kwa wakati mmoja,hao wanawake wa Said Kila mmoja ameishi nae kwa wakati tofauti, acha upotoshaji kama hauelewi waulize wanaojua
@neemamathew7465
2 жыл бұрын
Ndyo ni sawa,,, rakn hayo ndo madhara ya kuolewa na mwanamme ambae alishawahi kuwa na wanawake weng wengne amezaaanao🙄🙄
@fizomedia51122 жыл бұрын
Shida siijui mi nadhan hayo maden aliyolipa yalimchanganya huyu jamaa
@fizomedia5112
2 жыл бұрын
Mi wala simsemi huyo jamaa mpaka kuamua kujiua sio jambo dogo
@fizomedia5112
2 жыл бұрын
Maisha yangekua bila mawazo yoyote makubwa wala sio sababu kusema mwanamke bali kachanganywa tu na maisha aisee🤮😓dah haya maisha yana siri nyingi
@catherinemuhagama7338
2 жыл бұрын
Namm nlsema hvyo huyu jamaa maisha ndo yalmchanganya tu swalher imekua njia ya yy kujiua tu basii,ila kama alyachoka si angejiua mwenyew tu kulko kuua dada wawatu yan binadamu bhana
@fizomedia5112
2 жыл бұрын
@@catherinemuhagama7338 kweli kabisa yani
@sarahomary3615
2 жыл бұрын
@@catherinemuhagama7338 kwakweli yani dah mdada WA watu ndiyo tegemezi kubwa kwao maskini
@nickodemsimchimba5942 жыл бұрын
Naona pembeni Kuna danga lingne linataman kuongea au kuchomekea maneno 🤣🤣🤣🤣
@hidayamakuka7876
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@emmakifimbo67922 жыл бұрын
Mmmh jamaa marehemu alijua kuchagua wake zake wote wazuri sana kama mke wangu
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Wapo wengi hao wake utahoji wangapi
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kazkaz19432 жыл бұрын
Kuoa oa ni kujitia mikos tu kila nyuchi ina mambo yake nyingine ukilamba kali kama jiki na maisha yako yanakua meupee kama yameoshewa jik mia mbovu hupati🥺🥺
@happinessteven2401
2 жыл бұрын
😅sitaki bhn
@noonelike6382
2 жыл бұрын
Kweli kabisa 👌
@daudimwidimakihanda5386
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyuchi ina jiki we bwana mbavu zangu
@Awatee
2 жыл бұрын
@@daudimwidimakihanda5386 🤣🤣🤣🤣watu wana maneno humu
Dah! Huyo Chawa wa mke wa marehemu alivyo na Kipwipwi cha kuonekana kwenye camera na kuhojiwa 🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@raphaelsenzia8835
2 жыл бұрын
Kumbe na ww umeona😂😂
@mariamomar1735
2 жыл бұрын
Hahaha huyo cyo chawa kunguni haswa
@shukranichomolla49772 жыл бұрын
Mmmh dada eti tuangalie na wanaume wenyewe utamjuaje si mpaka uingie uyaone
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
Sifa za marehem kumbe hata swalha angeachika balaaaa huyo said hapo mwanza maana hana sifa za kuzungumzia bora mtu unyamazee
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Duh nasikia Mwanza wasichana wengi kapita nao
@josephlorri431
2 жыл бұрын
Ashura ulimfanya nini diwani wetu
@mbarikiwambarikiwa6479
2 жыл бұрын
Pesa dear ukiwa nayo unafanya lolote.
@nururaymond52 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema Ila Said inaonyesha hakuwa mwaminifu...ana wanawake wengi kwa kipindi kifupi kifupi...na inaonyesha wkt anaoa na nje Anaendelea kuupiga mwingi kulingana na hadithi za hao wanawake wengine unagundia jamaa alikuwa anakata mti na kupanda mwingine.,.,,na huenda Swallah Ndio aliolewa KWA NDOA wengine waliishi ama walifunga Ndoa ya kimila maana Hawa wanawake wengine wanavyopenda Camera wangeshatoa na picha zao za harusi
@isaacmwaseba99722 жыл бұрын
KUNA WATANZANIA AKILI KICHWANI HATUNA MMEAMBIWA NI KAZIKWA WAPI MOJA KWA MOJA TAFAKARI WANAUME WA HUKO KABLA YA KUMLAUMU MTU TAMBUA ASILI YAKE KUPIGA NI KAWAIDA TU. HUYO MWAMBA KWAO HUKO MARA NI SHUJAA ILA KIBINADAMU SIO KABISA.
@timelessdaddy.25422 жыл бұрын
Sura imevimba iyo ati miaka 23 kenge ww
@zainabwage4658
2 жыл бұрын
Labda 46
@catherinemuhagama7338
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Jamanii watuuu
@mdta8161
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sophiakassim6784
2 жыл бұрын
😅😅😅😅 kajua kutuvunga zee zima iloo
@suzyclement3899
2 жыл бұрын
Si alikua analia jamani... Na wengn ndo walivyo umbwa na Mungu
@vesitinarevocatus73332 жыл бұрын
Kwani saidi alikuwa nawakewangapi
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Saidi wa kumuombea tu Mungu amsamehe alikuwa na matatizo. Swallha kawa victim tu Mungu ampumzishe kwa amani Swallha watu wamemzomea sana bora ukweli uwekwe hadharani hakuwa malaika
@missmoona44972 жыл бұрын
Bora shoga uli move on mapemaaaa vinginevyo saaiz tungelikuwa tuna lia msiba wako, pia mkulya si wakumchezea nina historia nao hilo kabila ali wah ishi na ndugu yangu alinusurika kukatwa sikio sio kwa mbio zile ndugu yangu yule😂😂😂😂hapo ndio siku alio move on mbali na hapo alichezea vipigo vya mbwakoko yule hata ndugu alikuwa hapend no kutoka mke lkn vipigo sasa🙌🙌🙌🙌nakushikiwa silaha mara kwa mara kina muraa wanatabu sana aiseee
@fatmafatu1128
2 жыл бұрын
🤣🤣
@musason16802 жыл бұрын
Aseee Huyu mtoto nimemwelewa kichiz naipataje mawasiliano #millardayo
@doreencharles2836
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@musason1680
2 жыл бұрын
@@doreencharles2836 frusa asee nikiipata hii najiweka
@mbarikiwambarikiwa6479
2 жыл бұрын
Unataka ukachote maji kwenye kisima cha said 😅😅
@musason1680
2 жыл бұрын
@@mbarikiwambarikiwa6479 🤣🤣🤣 me nimemwelewa t mtoto asee
@goodhelpnolland67922 жыл бұрын
Sasa huyo mwingine mbona anadakia maada wakati hajahojiwa yeye
@zainabwage4658
2 жыл бұрын
Uyo mwengne mke wa homorapa pia ni rafik wa marehem wote
@ciarmnyone738
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@neemaboniphace349
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@suleimanrashid39182 жыл бұрын
Mungu awalaze mahala pema marehem. Ila namshukuru sana said kwa kutuletea hii habari ya mjini maana kinyume na hivyo yanga wangepata nguvu sana kutu sumbua kwa interview zao ila said kazima kila kitu. Sijui alikua simba nae shikamoo said. Ila marehem nae alikua malaya akitia magoli km mayele. Mungu amsamehe pia. Yote tisa ila yanga walitushika pabaya mwaka huu.
@dottolubinza53322 жыл бұрын
Jamaaaa duuuu alikuwa anajua kuchagua duuu alikuwa ana piece Kali ndo maaana alikuwa na wivu
@rosefredy53982 жыл бұрын
Miaka 23 jaman hahaha mbon mkubwa usoni au macho angu
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Ngono za mapema. Miaka 23 ashaolewa na kuachika?
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Mambo mengi mjini mtu akifka miaka 20 utasema anamiaka 40 🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦jua kali
@rosefredy5398
2 жыл бұрын
kwakweli tunazeeka mapema uwii
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Wabongo kwa kujifanya watoto hawakuwii bs mastaa wamezidi kabisa.
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
@@malak-lz6kx Mi mwenyewe Nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia 25😂😂😂 sijali Wala nn 😂 😂
@zaraally22952 жыл бұрын
Wakurya na wasukuma wanapenda kumiliki wanawake wengiwengi ni tatzo😢😢😢😢
@jacklinekanunu5390
2 жыл бұрын
Usiwafananishe wasukuma na wakurya wako tofauti sana.
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Yakobo 4a: 6 Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi;....." *TUNAPOKEA SASA TOKA KWA MUNGU NEEMA ZAIDI NA KUONGEZEKA KWA UTENDAJI WA NGUVU ZAKE MAISHANI MWETU. UJUZI WA NENO LAKE UNATUFANYA TUTEMBEE KATIKA WINGI WA NEEMA AMBAYO HUZAA UPENDELEO, UZURI, NIA NJEMA, MAPENZI MEMA, UKAMILIFU, UTUKUFU NA UWEZO KATIKA MAISHA YETU, HALELUYA!!!*
@ashamohamed93742 жыл бұрын
Nimejaribu kufatilia lakin asilimia kubwa ya ss wanawake tunatak kushindan na mwanaume ww ukisha olewa kubali kuwa chin mumeo akikukataz jambo usifany pia kuna kuomba ruhusa na kuaga asilimia kubwa ss wanawake hatujui kuomba ruhusa tunaaga pia pale tunapoag tukikataziwa bc usiende lakin mtu umekataziw ila ww unaenda mwish wa siku utatokea tu ugomv wanawak wote walio ojiwa wote hawakubali kushindwa nao wanatak wafany kama mwanaume anavyo fany
@estherkimario79402 жыл бұрын
Said alikuwa kivuruge Ila sasa dada kwel una miaka 23 mmmmh uwongo huo mbona hufananii kuwa na miaka hyo
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
Kwahiyo ulitaka akuambie miaka 30 Ni miaka yake kwani inakuuma nini kwanza humfaham hebu tuachie ndugu yetu
@mariyamgharib940
2 жыл бұрын
😁😁😁
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Hata mimi pia nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia Nina 25 😂😂😂sijali Wala nn 😂😂
@fatmasaid94002 жыл бұрын
Roho ya kujua kumbe ni yake
@MisosimitamuC2 жыл бұрын
Wanawake tuache kupenda hovyo. Mchunguze mtu tabia Yale kwanza. Tabia haijifichi IPO Siku tu itajionyesha. Ila tukiona héla tu tunajiweka pale. Pole Salha
@ellymaz2187
2 жыл бұрын
Pesa ndiyo mchawi wenu. Mkiona hela akili inahama. Hamuwezi kukumbuka mambo mengine
@irenemnemba50082 жыл бұрын
Huna miaka 23 dada acha uogo ubwaa wew
@jacklinebrightness45132 жыл бұрын
Marehemu Side alikuwa anapenda wanawake weupe mwee
Ifike mahali muache ujinga wa kusifia marehemu, kama ni mshenzi ni mshenzi tu.
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Uishi na mtu mkorofi alafu uwende mazikon kwake alafu useme alikua anakupenda sna sna hafahamiki.
@OmanKill2 жыл бұрын
Innalilah wainnailah ranjiuun
@marryeliasmarryelias92892 жыл бұрын
Mimi Dada huyu dada kanipiga na kitu kizito, alikaa na saidi miaka 2 afu Ana watoto3, inaana alikua akijifungua na kubeba mimba au Mimi ndio sijaelewa🙇🙇🙇
@peterdavid42302 жыл бұрын
apa tumepigwa na jiwe zito utosini ety nina miaka 23 ushuzi😂
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
Kwani wee mwanao
@mwanas2
2 жыл бұрын
🤣
@peterdavid4230
2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 we mavi nini kwanini unawashwa au unataka kufirwa🖕
@giftmassawe9419
2 жыл бұрын
😂mm mwenyw nimeshtuka
@ciarmnyone738
2 жыл бұрын
Hv Peter na wew kwelii unatamka ivo ety ushuziiii....🤣🤣🤣 jamaaani mzee wa royal tour
Пікірлер: 924
i see watu wanalazimisha swalha kuonekana alikua na tatizo lkn huyo saidi hiyo ilikua ndoa ya ngap kwake? and besides ndoa still alikua na wanawake wa pembeni mpk mama yake mzazi alisema alikua na wanawame wengi sana hamuoni hiyo ni shida?? Shida ya wabongo mwanamke akiwa na muonekano mzur huyo ni malaya na hiki kitu kinapoteza wengi.... ingekua swalha ana sura ya mjomba wake kusengekuepo na comment za namna hiyo .... Tubadili Mtazamo ktk mahusiano if not kila siku kutakua na matukio na wanawake msikingie vifua wanaume wana mambo mengi sana na wao wanaona ni vzr kuwa na wanawake wengi pasipo kujua wanaharibu afya ya akili kwa mke au mpnz wake All in All RIP
@bettymwigune8150
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@annethsongwe6063
2 жыл бұрын
🙌
@olivamwaikuyu5757
2 жыл бұрын
1
@thomasdunstan8263
2 жыл бұрын
Nawewe nimojawapo mwenyetabia kama za huyomke
@vevo3130
2 жыл бұрын
umesema kweli....yaani at last nimekutana na mtu mwenye akili kwenye comments....so many ni psychos u can tell kwa comments tu
Somo kubwa hapa ni Kwamba ndoa ilfanywa kwa desturi za Ki islamu. Makosa ya vijana wengi TZ wakusoma Dini vyema kiasi cha kufahamu elimu ya Tawhid. Kuna habari kwamba mganga au wanganga waliruhusiwa kuingilia mambo ya ndoa hiyo. Ikiwa ni hivyo, viumbe hao huwa ni hatari, hugombanisha watu na kuharibia mtu Dini kabisa. Ni jukumu la Ulamaa nchini wawaonye watu wasiangamie. Wawaelimishe vijana na hata wazazi na Waislamu wapya. Njia sahihi ni ile ya Allah.
@freduallughano2301
2 жыл бұрын
Njia sahihi ni ile ya asili yako kama ni mwafrika.
@ramadhanimtetu7246
2 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Afrika ni pana ina Dini nyingi ikiwepo Uislam Ukienda Misri , Moroco , Algeria au Tunisia au Sudani kote Huko ni Afrika Na Imani zao Za Asili ni Islam Hivyo Acha Maneno Maneno yenye Viashiria vya Chuki
@user-sc4iv7qp9b
2 жыл бұрын
shida kubwa ni ujinga wa wengi katika baadhi ya waislamu kutokuijua dini yao na misingi yake mtu huwezi kuidhulmu nafsi ya mwenzako na bado ukaongeza na yako mwenyewe pia.. ni sawa upitie shida au migogoro kiasi gani , pia ni wazi khofu ya Mungu haikuwepo vyote chanzo ni ujinga maana angejua alichokitenda matokeo yake kwa Mujibu wa dini yake ingemfanya apate khofu ya Mungu
@SMG109L
2 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Dini ya asili ni uislamu.
Mmmh huyu dada kafanana na Masha love
Ila dada kwa miaka umetupiga chenga😅😀
@neemasawe7016
2 жыл бұрын
Alivyobabaika kwnz wakat wa kujibu😂
@madamhappymwalongo3653
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Ila huyu dada kafanana na Masha love kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa👇
Atleast amesema mabaya ma mazuri...wengine wanasema mazuri tu
Kuna wanaume hawafai au hawajaumbiwa ndoa kbsa... na baahdi ya wanawake vilevile!
Ila said alikuwaga anachukua vyuma kwelikweli wake zake wote warembo😘
@ghostelmendez7206
2 жыл бұрын
Sahh uko sawa
@jacquelinekahamba7872
2 жыл бұрын
pesa
Hio nyumba ya huyo kaka wamepita wanawake wengi jmn 🤲🙌
@ghatititus7136
2 жыл бұрын
Yaani kwa kweli alioa wake wengi
@happinessteven2401
2 жыл бұрын
ameweka maagano na watu wengi
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Zaidi ya watano ata mama yk alisema
@hidayakisensi2747
2 жыл бұрын
Pesa a babuu🤣🤣
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Dini yake inamruhusu,mkumbuke hilo???
Subhanaallah hasira hasara Mama yake Anamtetea mwanae kumbe mwanae ndie mkorofi upendo bila kuona wazazi bila wazazi mngepatikana? Mbona mama yake anakuja kutembelea ukimpenda uwa penda na boga lake matatizo kweli
Tangu nimeanza kufatilia interview huyu mwanamke wa5 niliyowaona wakihojiwa mama Ashraf mke wa kwanza watoto 2 Kuna mama Naa mke wa pili ndy aliyechuma nae kuanzia kiwanja hd nyumba miaka 6 wameishi wamepata mtoto 1 Kuna yule asiyemuoa kazaa nae watoto 2 kuna huyu hajazaa nae kakaa nae miaka 2 Mwisho Marehem Swalha wameishi ndy baadae ndoa miezi 5 wamependana ndy wakafa hawakubahatika kupata mtoto Hapo sasa asisemwe Swalha hajatulia wenyewe mnaona maneno ya ma x wanavyotoa ushuhuda 2022 ndy wameachana na huyu Swalha kaishi nae hd mwaka jana 2021 wamefunga ndoa sasa huyu wameishi wapi hd kufika mwaka huu na Swalha yupo humo ndani yaani Ma x hawaeleweki interview zao wanajikanyaga familia nayo vile vile dah. Tukubali Saidi alikuwa kivuruge hapo kuna watoto wengine hawajaonyeshwa wala kuhojiwa wazazi wao jaman ifike kusema tusihukumu mkamilifu hakuna
@wardw3022
2 жыл бұрын
umeona kumbe
@khamisdaima1455
2 жыл бұрын
Na hapo Huyo said asingelikua na Mali usinge muona mtu kujitokeza hapo
@judithcha-mushala8852
2 жыл бұрын
Huyu jamaa kwa shuhuda hizi anaonekana alikuwa na matatizo ya ugonjwa wa akili, shuhuda inaonyesha alishawai kumeza vidoge na pombe ili ajiue
@sarahgaula2220
2 жыл бұрын
Washafika 7
@mo_hustler9099
2 жыл бұрын
Sema huyu mwamba kazingua Bora angejiua akiwa hana watoto sasa amejiua huku ameacha watoto Unafikiri watoto wataishi kwenye mazingira gani? Cjapenda jamaa alichokifanya Bora angeachana na huyu mwanamke
Said ulikuwa ukioa kilasiku. Hongera mama mzaa chema. pesa zinamfanya mtu afanye anacho weza
Unakimiss wakati ulisha achika kitambo na nyie waandishi ulizeni naswali ya msingi yanayoendana na wakati bush it: R I P wapendwa mungu awafanyie wepesi huko muendapo🤦
Marehemu kapuzika hawezi kuyajibu haya yote, Msimpe njia ngumu huko aliko nyinyi wanadamu kwani ninyi niwakamilifu, jibu litakuwa hapana si wamilifu Basi acheni apumzike, Tafakari ya kwako Kwanza marehemu kamaliza kazi yake hapa duniani!
@dorisonesmo8814
2 жыл бұрын
Ibaki kuwa fundisho kwa wengine kuua na kujiua ni dhambi kuliko yasemwayo
@yasinrasheed5743
2 жыл бұрын
Mungu amekataza kujiua ama kuua nafsi yoyote tayari Hilo Nikosa, mwenyezi Mungu anaahidi ukifanya kitendo cha kujiua utaishi motoni milele
@thedon8048
2 жыл бұрын
💪💪
@silyvesterrichard758
2 жыл бұрын
Ni kweli Kaka maana huyo aliyekuwa mke wake anakuambia alikuwa na upendo Sana sasa kwa sababu hawezi kujibu wamwache apumzike
@maximillianmagesa2758
2 жыл бұрын
Kabisa wamwache apumzike kwa amani.
Wanawake mnaomhukum swallher mnaniumiza Sana,,aisee,,,hivi imeandikwa wapi ,mwanamke ndio anatakiwa kutulia kwenye ndoa tyu,,?jukumu la kutulia nilawanandoa wote mwanamke na mwanamme,,nasi mwanamke tyu,,,,,
Yaaani Kusikia ajali imetokea hakukufanyi uache kusafiri...tusikiapo haya ya ndoa hakukufanyi kuacha kuamini bado kuna waume na wake Bora wanaishi it's matter of selection tuu🤞
SIFA ZA AKINA SAIDI: 1)Wana midudu (mibolo) mikubwaaa. 2)Wana hasira Sana 3)Wana roho za kwa Nini. 4)Wana sumbuliwaga Sana na maradhi ya tumbo. 5)Wana penda utani ila Wana wahi kukasirika. 6)Wana desturi ya kuperekesha wanawake (wapenzi wao). 7)Wana mapenzi Sana na mama zao wazazi. 8)wanapenda Sana ndugu zao. 9) asilimia kubwa wanapenda Sana michezo ya kubahatisha (kamari), Hawa jamaa huwaambii kitu Katika issues za kubeti. 10) wasafi kwa nje, ila siyo nguo za ndani. 11)Wana kuwaga na viarufu kama vya beberu la mbuzi lililo komaa. 12)Wana wivu Sana wa mapenzi ,ila ni wazinzi Sana, wanapenda Sana kuhisi vibaya wanawake wao. Ahsante!.
@noonelike6382
2 жыл бұрын
😆
@harousaissa7235
2 жыл бұрын
Iyo kwel my wala hujakosea
@teehassan4731
2 жыл бұрын
Ni kweli hujakosea ngumi mkononi
@luciamashauri5723
2 жыл бұрын
Inabid nicheke2 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deusdedit789
2 жыл бұрын
@No one like 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌nimecheka jaman 😂😂😂😂😂😆😆😆
😢he needed someone to help him ,he was stressed and he didn’t know what to do. Stress nyingi uzaa hasira 🙏🏾. So sad 😞
Alikuwa ana wivu kwa vile alikuwa anajua anachokifanya huko nje na wanawake wengine. Mwizi always anahisi na yeye anaibiwa hivyo anachunga mali yake kwa uangalifu sana ila alikuwa na matatizo ya akili.
Mbona uyo dada mwingine kiherehere ivo kwan anaulizwa yeye khaa🤣
@victoriamajeni3474
2 жыл бұрын
Na alisema alikua rafiki wa swalher uyu alihojiwa Hadi msiban kwa swalher kumbe mnafikii tu
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
Anafanana na mke wa hamorapa
@SalmaBinyaga
2 ай бұрын
@@gracejonh4022Ni yy
Huyu alimkuta hana kazi na kuna mwingine anasema pia alimkuta hana kwa kifupi wanataka kusema mali ni halali yao Marehem ndo alimkuta akiwa vzr, hata wafanye nini haez pewa chochote hao, mama anakir said qlikuwa na wake wengi, swalleher ndo mke nhie wengine simliondoka swalleher kavumilia mpk kifo😭😭
@samwelpaul6944
2 жыл бұрын
je watoto wanatambulikaaa ?
@priscarkasitu8101
2 жыл бұрын
@@dorahwillson1807 Swalha angekuwa hai angepewa mali.sasa atapewa shemeji,mama mkwe, au Baba mkwe?Kwa hapo watoto walivyo wengi Yule Mama naa anaweza pewa.au huyo mama Saidi
Basi hapa nimeamini huyu Said alikuwa ana wivu sana na alikuwa mkorofi sana maana kwa maelezo tu ya huyu dada wanawake wote hao walikimbia said alikuwa na matatizo .Wivu ukizidi sana matokeo yake ndio Kama haya ni mauti.R.I.P Swallher & Said.
Kumbe kakaang alikuwa mtu wa hivyo, mtihani kwakweli.
Poleni Wafiwa Innalilah wa Innalilah Rajiun pepo iwe makaazi yake 😭😭😭🇰🇪🇰🇪
Kwa maelezo ya make said alikua na shida kwenye mental health (he was depressed,he had an obsetion with perfection Yani watu wenye hii tunasema ni Alpha,what he says goes.. he had anxiety and he was late in it mpk akawa suicidal when things don't go the way he wanted)
@yudatadeimdoe9215
2 жыл бұрын
Of course you are right
@samueljoseph6542
2 жыл бұрын
Obsession***
@TAASISI
2 жыл бұрын
I need to know more about Alpha male I feel like I am like that
Sema mwamba alikuwa anapenda kuchukuwa pisi kaliii
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
La!! maana hata huyu anauehojiwa!!! du!!! simchezo.
@ahz6907
2 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 wa kawaida sanaa
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
@@ahz6907 😂😂😂
@fauzimohamed5757
2 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 alikuwa anapenda wanawake wale cha wote
@uvuvweweonyetenyevwe1348
2 жыл бұрын
Wadangaji hao
Mama alisema mwanawe alikuwa na wake wengi sana
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Yes alisema
@sarahomary3615
2 жыл бұрын
Yani aliropoka yule mama jamani
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
@@sarahomary3615 kasema kweli
@happnessjoseph7191
2 жыл бұрын
@@sarahomary3615 hajaropoka alisema kwa Nini amefanya tukio la hivi mbona hakuwahi kufanya kwa wake zake wengine.
Huyo dada hapo pembeni anatamani ahojiwe yy au nayy x maana anavyosaidia kujibu maswali yasiomuhusu🤣🤣🤣💃💃💃
Ukiona ela yako yako inakupeleka kwenye umalay maisha yako yatakua mafupi san
@doreencharles2836
2 жыл бұрын
𝙿𝚘𝚒𝚗𝚝
@azizaabeid2055
2 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@dorahwillson1807
2 жыл бұрын
Daaah umenena kweli
@limymasele21
2 жыл бұрын
Umeonaeee?
@kwisa4899
2 жыл бұрын
Duh word
Afadhali tuskie na upande wa Pili maan Hiyo familia ya Said wanajitahid Sana kumtetea Ndugu Yao 😪😪😪
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Hahahaahaha
@zulfahalily6095
2 жыл бұрын
Kabisa nawakati ndo kafanya tukio
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@TamuzaKale 😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@zulfahalily6095 kabisa
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Sio family ya Said tu mpaka shemeji yake anamtetea
Ata kama mkali lakini alikuwa anaishi na msongo wa mawazo na saikorojia yake haikuwa nzuri sema hakuwa na mtu wa kumfuatiria na kumrudisha kwenye mstari. Ni jibu la tatizo lake, msongo wa mawazo hakuwa sawa.
Huyu Said nae alikuwa na Majanga na mama ake alikuwa anakaa kimya tu
Kwa maelezo ya huyu, Said alikuwa na msongo wa mawazo pia.
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Nachokiona,ni huyu jamaa baada ya kufilisiwa hakukutana na watu wa kumkansel.Naalitembea na vidonda moyoni na akili mwake.Hivyo alijikaza kiume.Na ikapelekea kuwa nahofu na kila mtu ama niadui wa maisha yake.Kiukweli alilaumiwe kama aafufuka saizi kisha aelezee maswaiba yaliyo ndani ya moyo wake,yawezekana watu wengi watatoa machozi.
Oooooh SALHA umekuwaa kama mchezo wakuingiza umemuachia wago zako historia ambayo haifutiki machoni mwao na taswirwa yako mama inampitia machoni kwake kama atakuona hivi saa nyingine ukisikiliza vizuri lNTAVYOO ukewenza ni mvaya ndio lile neno tukose wote R.I.P SWALHA ukewenza umekuponza sanda mlio iyona getini imejibu pole sana mama SWALHA kupoteza akiba yako mungu akupe faraja dada Amina R .I.P SWALHA
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
RIP SAIDI
@maisarah6819
2 жыл бұрын
Ukweli mtupu ddangu..wanawake Allah atustiri😭😭 utajir n mtihani/ Umaskin n mtihan.
Kwa hiyo interview tu ya huyo mwanamke. Ni wazi kuwa jamaa alikuwa na wivu kupitiliza na hasira. Kosa kubwa hapo ni kumiliki chuma! Na kukosea maamuzi ya wapi kuitumia, hatujui ukweli ni upi na uongo ni upi ila ndiyo hivyo tena chuma kimeshatema shaba!!!
@anthonikabuye8210
2 жыл бұрын
😂😂😂
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Haha
Uwiiii kumbe alikuwa na wanawake wengi uwiii
Sema uyo said anajua kuchagua kweli yaaan 😂😂😂
@filberthabashi2870
2 жыл бұрын
Hahaha ni kweli alikuwa mchaguaji na mpambanaji saana
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@asifiwekitunga4655
2 жыл бұрын
Sanaa
@fleviakazungu4560
2 жыл бұрын
Apo kwel
@exaverymtumba7907
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣alikua anajua kuchagua
Kuna vitu majumbani tunavichukulia poa utaona mtu ana tabia za ajabu ukali mwingi kumbe ana tatizo la akili bl kujua matokeo yke hasara na misiba
@judithcha-mushala8852
2 жыл бұрын
Kweli kabisa alikuwa mgonjwa wa akili
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Kabisaaa ukiona hivi bora ujitoe
Alhamndulillah 🤲🤲innalillah wainna ilayh rajiunah 😥
Kwaiyo alikua anawivu sana na mkorofi pumzika kwa amani amen 🙏.
Wote wanawake zake warembo lazima awe na wivu
@petermahimbo3458
2 жыл бұрын
Nilikuwa naitafuta hii
@ummyhasheem2245
2 жыл бұрын
@@petermahimbo3458 Akii ata mimi🤣🤣🤣tena Masha Allah hasa
Hasira kupitiliza,wivu kupitiliza,madeni ya mamilioni na anamiliki chuma ya moto😂😂😂😂 kaa mbali hapo ni hatar sana
Jamani sasa mbona awa wake zake wamekua wengi mno khaaa ?! Kila mtu ni mke wake ?! Saidi nayeye hapana khaaa haya uyu anasema kaishi nae adi 2022 na uku ndo na swalha wamefunga ndoa mwezi wa 12 jamani 🙌🏻,, sema mama ake alisha sema alikua nao wengi
Muongo uyu dada miaka 23 khaaaaaaa😆😆😆😆😆👏
Innalillah wainna ilaih rajiun. RIP brothers.
Nyoote mlikua wake zake akini nahisi mtu aliempenda Sana alikua swallher,,maana hi inaitwa kufa na kuziana jmn duh
@bettynkunga2321
2 жыл бұрын
Angekuwa anampenda angempiga na kumuua, angejiua mwenyewe kuthibitisha anampenda
@miriamwinston9908
2 жыл бұрын
Upo sahih kwan ameshindwa kuwaua wote hao.aliopita nao kaamua kumuua swallher ili asibaki akapendwa na mwingine ameona bora wote waende tu
@emmysfitnessandforex9403
2 жыл бұрын
Nyoko nyie ndo mkinyanyaswa mnahisi mnapendwa...jua kutofautisha...huenda kafanya hayo kwasababu ya aibu...huwez kumuua unayempenda
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
@@emmysfitnessandforex9403 waambie hao hawajitambui
Mmmmmmh Tanzania 👑😇
Mwanza Uyuu Dada Ni Muongoo Na Umrii Amedanganya pili Amesema Aliondoka kwenye Ndoa Yke na Said Mwanzo mwa Mwaka 2022 mpka hpo ni Muongoo Akiwa Saidi Alimuoa Swalha December mwaka 2021 Uyuu Danga ni Muhungo Jmn
@isackakyoo1533
2 жыл бұрын
Kwakwel umri amedanganya
Huyu marehemu alikuwa na mitihani mingi yote pombe
Huyu mwanamke wa 6 sasa🙌🙌🙌
Mwandishi mbona umemtolea mbavuni huyo mpambe wa mjane hahahahahahaha
Kijana utulivu ziroo,tamaa mbele mauti nyuma,nakwasasa wanawake kuna jambo la kujifunza,ukiiona mwanaume haeleweki muachie mbolo yake,tembea na kuma yako huenda ukapata mtakae endana nae,maisha matamu hakuna mtu atafurahi mateso,swalha aliishi kwa mateso makubwa
Ila mama iyo miaka 23 hapo kwa umri wako uwenda tumepigwaa🤣🤣
@pretykileotv4186
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@missshenenga3220
2 жыл бұрын
Tena na kitu kizito
Na yule mtoto wake Ashrafu anaonekana atakua kama baba yake daah maskini Mungu amnusuru huyo Ashrafu, Said hakuwa mtu mzuri naona alikua na madudu kichwani
@rinaldaoman7892
2 жыл бұрын
KWELI kabisa yuke ashrafunanaonekana ana roho.mbaya sana
Hyo said ni mkorofi Sana pia labda alikuwa na maden bank yote yanawezekana. Jmn marehem asemwi lkn mmmh alikuwa htr said. Hya hyo mama mkwe amesema kaonewa wkt said ndio alikuwa mkorofi Asante Dada umeongea km familya ya swallaher.
Masikini alikuwa na shida jamani 😭😭 ni vile watu hawakuona hilo
Alimuachia watoto 3 alaf hajawah kuzaa nae apo sijaelewa😂😂😂
@verenabenjamin7893
2 жыл бұрын
Amjamuelewa alikuwa akiishi nae na watoto watatu means watoto wa said
@shaniramsale5324
2 жыл бұрын
Hata mimi sikuelewa🤣🤣🤣
@samiajabu2256
2 жыл бұрын
Hapo tyu kwa miaka 23 unaongopa
@naftaribulenya5847
2 жыл бұрын
Si ndio hapo Sasa kumbe umeisoma na wewe🤣🤣
Said alitaka makuu. Said wa mapepo congratulations gal u left him
@mathewdyzymaleyafrica9128
2 жыл бұрын
apepoulimpa hii ni mitihani amabayo hakufanikiwa kushinda wivu ulizaliwa na upendo wakupitiliza kwa wake zake hata kujiua na kuchanganyikiwa uchumi ulikua unamsumbua kuhusu ushirikina mke a mwisho ndio alikutwa na hivyo vijimambo mpaka babayake kuitwa na kuja na mganga kitulize
Yeye mwenyewe na mazingira aliyopitia ilikuwa ni timed bomb 💣. Vidada vyenyewe maskini haviwezi kujua hatari yoyote, vinajipeleka tu, moral of the story, olewa na mtu unayemjua kweli siyo kwa hisia za mapenzi ya siku 2 au 3.
Siye tunataka aliofunga nao ndoa Ao wapita njia imekula kwao Alikuwa ana subira na wanawake😔😌mungu amsamehe alipokosea
Una miaka 23🤣🤣🤣
@madamhappymwalongo3653
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Huyu saliha ilikuwa hapendeki na wazee wake wanasema uongo leo ukalale mkoa siku 3 unatoka unaenda mpirani bila ya izini ya mumeo
Kutokana na maelezo inaonekana ana matatizo tangu kazini kwake na na wivu mwingi vyote vilikua vinamzingua na kwa kua alikua na hasira za karibu. Bila shaka ndio yametokea hoyo. Lkn kila mtu ana mwisho wake.
Ndo muache kukimbilia wanaume wenye pesa hamjui wanapata je hzo money but mapenz ya kweli siyo pesa ni upendo na amani ndani ya nyumba
Alikuwa maraya tu pesa bira Yesu
@Awatee
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Yesu kafanyaje tena jmn
Amefanana na mashalove
@annayessa5256
2 жыл бұрын
Sana had me nimeona ivo
@maisarah6819
2 жыл бұрын
Tofauti n maziwa tuu apa
Huyo Dada nyuma si ndio alisema ni rafiki yake salha kabisa kumbe ni rafiki yake pia huyu, inaelekea pia alikua mke wake
@ahz6907
2 жыл бұрын
sishangai kusikia hata huyo dada wanyuma keshaliwa na saidi
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
😂😂😂
Ww umesemaa ukwelii,mshukuruu Mungu Kwa kuchukua hatua.
Haya mambo ya uke wenza sass jamn,, kumbe alikuwa na wanawake weng
@amirmbuyu5733
2 жыл бұрын
Huo sio ukewenza,wakewenza huishi kwenye ndoa ya mume mmoja kwa wakati mmoja,hao wanawake wa Said Kila mmoja ameishi nae kwa wakati tofauti, acha upotoshaji kama hauelewi waulize wanaojua
@neemamathew7465
2 жыл бұрын
Ndyo ni sawa,,, rakn hayo ndo madhara ya kuolewa na mwanamme ambae alishawahi kuwa na wanawake weng wengne amezaaanao🙄🙄
Shida siijui mi nadhan hayo maden aliyolipa yalimchanganya huyu jamaa
@fizomedia5112
2 жыл бұрын
Mi wala simsemi huyo jamaa mpaka kuamua kujiua sio jambo dogo
@fizomedia5112
2 жыл бұрын
Maisha yangekua bila mawazo yoyote makubwa wala sio sababu kusema mwanamke bali kachanganywa tu na maisha aisee🤮😓dah haya maisha yana siri nyingi
@catherinemuhagama7338
2 жыл бұрын
Namm nlsema hvyo huyu jamaa maisha ndo yalmchanganya tu swalher imekua njia ya yy kujiua tu basii,ila kama alyachoka si angejiua mwenyew tu kulko kuua dada wawatu yan binadamu bhana
@fizomedia5112
2 жыл бұрын
@@catherinemuhagama7338 kweli kabisa yani
@sarahomary3615
2 жыл бұрын
@@catherinemuhagama7338 kwakweli yani dah mdada WA watu ndiyo tegemezi kubwa kwao maskini
Naona pembeni Kuna danga lingne linataman kuongea au kuchomekea maneno 🤣🤣🤣🤣
@hidayamakuka7876
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Mmmh jamaa marehemu alijua kuchagua wake zake wote wazuri sana kama mke wangu
Wapo wengi hao wake utahoji wangapi
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Kuoa oa ni kujitia mikos tu kila nyuchi ina mambo yake nyingine ukilamba kali kama jiki na maisha yako yanakua meupee kama yameoshewa jik mia mbovu hupati🥺🥺
@happinessteven2401
2 жыл бұрын
😅sitaki bhn
@noonelike6382
2 жыл бұрын
Kweli kabisa 👌
@daudimwidimakihanda5386
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyuchi ina jiki we bwana mbavu zangu
@Awatee
2 жыл бұрын
@@daudimwidimakihanda5386 🤣🤣🤣🤣watu wana maneno humu
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Punguzeni uongo. Usi uwo miaka 23 loooh wabongo taireni. Hupungui. 38
Dah! Huyo Chawa wa mke wa marehemu alivyo na Kipwipwi cha kuonekana kwenye camera na kuhojiwa 🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@raphaelsenzia8835
2 жыл бұрын
Kumbe na ww umeona😂😂
@mariamomar1735
2 жыл бұрын
Hahaha huyo cyo chawa kunguni haswa
Mmmh dada eti tuangalie na wanaume wenyewe utamjuaje si mpaka uingie uyaone
Sifa za marehem kumbe hata swalha angeachika balaaaa huyo said hapo mwanza maana hana sifa za kuzungumzia bora mtu unyamazee
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Duh nasikia Mwanza wasichana wengi kapita nao
@josephlorri431
2 жыл бұрын
Ashura ulimfanya nini diwani wetu
@mbarikiwambarikiwa6479
2 жыл бұрын
Pesa dear ukiwa nayo unafanya lolote.
Mungu atupe mwisho mwema Ila Said inaonyesha hakuwa mwaminifu...ana wanawake wengi kwa kipindi kifupi kifupi...na inaonyesha wkt anaoa na nje Anaendelea kuupiga mwingi kulingana na hadithi za hao wanawake wengine unagundia jamaa alikuwa anakata mti na kupanda mwingine.,.,,na huenda Swallah Ndio aliolewa KWA NDOA wengine waliishi ama walifunga Ndoa ya kimila maana Hawa wanawake wengine wanavyopenda Camera wangeshatoa na picha zao za harusi
KUNA WATANZANIA AKILI KICHWANI HATUNA MMEAMBIWA NI KAZIKWA WAPI MOJA KWA MOJA TAFAKARI WANAUME WA HUKO KABLA YA KUMLAUMU MTU TAMBUA ASILI YAKE KUPIGA NI KAWAIDA TU. HUYO MWAMBA KWAO HUKO MARA NI SHUJAA ILA KIBINADAMU SIO KABISA.
Sura imevimba iyo ati miaka 23 kenge ww
@zainabwage4658
2 жыл бұрын
Labda 46
@catherinemuhagama7338
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Jamanii watuuu
@mdta8161
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sophiakassim6784
2 жыл бұрын
😅😅😅😅 kajua kutuvunga zee zima iloo
@suzyclement3899
2 жыл бұрын
Si alikua analia jamani... Na wengn ndo walivyo umbwa na Mungu
Kwani saidi alikuwa nawakewangapi
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Saidi wa kumuombea tu Mungu amsamehe alikuwa na matatizo. Swallha kawa victim tu Mungu ampumzishe kwa amani Swallha watu wamemzomea sana bora ukweli uwekwe hadharani hakuwa malaika
Bora shoga uli move on mapemaaaa vinginevyo saaiz tungelikuwa tuna lia msiba wako, pia mkulya si wakumchezea nina historia nao hilo kabila ali wah ishi na ndugu yangu alinusurika kukatwa sikio sio kwa mbio zile ndugu yangu yule😂😂😂😂hapo ndio siku alio move on mbali na hapo alichezea vipigo vya mbwakoko yule hata ndugu alikuwa hapend no kutoka mke lkn vipigo sasa🙌🙌🙌🙌nakushikiwa silaha mara kwa mara kina muraa wanatabu sana aiseee
@fatmafatu1128
2 жыл бұрын
🤣🤣
Aseee Huyu mtoto nimemwelewa kichiz naipataje mawasiliano #millardayo
@doreencharles2836
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@musason1680
2 жыл бұрын
@@doreencharles2836 frusa asee nikiipata hii najiweka
@mbarikiwambarikiwa6479
2 жыл бұрын
Unataka ukachote maji kwenye kisima cha said 😅😅
@musason1680
2 жыл бұрын
@@mbarikiwambarikiwa6479 🤣🤣🤣 me nimemwelewa t mtoto asee
Sasa huyo mwingine mbona anadakia maada wakati hajahojiwa yeye
@zainabwage4658
2 жыл бұрын
Uyo mwengne mke wa homorapa pia ni rafik wa marehem wote
@ciarmnyone738
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@neemaboniphace349
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu awalaze mahala pema marehem. Ila namshukuru sana said kwa kutuletea hii habari ya mjini maana kinyume na hivyo yanga wangepata nguvu sana kutu sumbua kwa interview zao ila said kazima kila kitu. Sijui alikua simba nae shikamoo said. Ila marehem nae alikua malaya akitia magoli km mayele. Mungu amsamehe pia. Yote tisa ila yanga walitushika pabaya mwaka huu.
Jamaaaa duuuu alikuwa anajua kuchagua duuu alikuwa ana piece Kali ndo maaana alikuwa na wivu
Miaka 23 jaman hahaha mbon mkubwa usoni au macho angu
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Ngono za mapema. Miaka 23 ashaolewa na kuachika?
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Mambo mengi mjini mtu akifka miaka 20 utasema anamiaka 40 🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦jua kali
@rosefredy5398
2 жыл бұрын
kwakweli tunazeeka mapema uwii
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Wabongo kwa kujifanya watoto hawakuwii bs mastaa wamezidi kabisa.
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
@@malak-lz6kx Mi mwenyewe Nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia 25😂😂😂 sijali Wala nn 😂 😂
Wakurya na wasukuma wanapenda kumiliki wanawake wengiwengi ni tatzo😢😢😢😢
@jacklinekanunu5390
2 жыл бұрын
Usiwafananishe wasukuma na wakurya wako tofauti sana.
Yakobo 4a: 6 Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi;....." *TUNAPOKEA SASA TOKA KWA MUNGU NEEMA ZAIDI NA KUONGEZEKA KWA UTENDAJI WA NGUVU ZAKE MAISHANI MWETU. UJUZI WA NENO LAKE UNATUFANYA TUTEMBEE KATIKA WINGI WA NEEMA AMBAYO HUZAA UPENDELEO, UZURI, NIA NJEMA, MAPENZI MEMA, UKAMILIFU, UTUKUFU NA UWEZO KATIKA MAISHA YETU, HALELUYA!!!*
Nimejaribu kufatilia lakin asilimia kubwa ya ss wanawake tunatak kushindan na mwanaume ww ukisha olewa kubali kuwa chin mumeo akikukataz jambo usifany pia kuna kuomba ruhusa na kuaga asilimia kubwa ss wanawake hatujui kuomba ruhusa tunaaga pia pale tunapoag tukikataziwa bc usiende lakin mtu umekataziw ila ww unaenda mwish wa siku utatokea tu ugomv wanawak wote walio ojiwa wote hawakubali kushindwa nao wanatak wafany kama mwanaume anavyo fany
Said alikuwa kivuruge Ila sasa dada kwel una miaka 23 mmmmh uwongo huo mbona hufananii kuwa na miaka hyo
@jackyluns8224
2 жыл бұрын
Kwahiyo ulitaka akuambie miaka 30 Ni miaka yake kwani inakuuma nini kwanza humfaham hebu tuachie ndugu yetu
@mariyamgharib940
2 жыл бұрын
😁😁😁
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Hata mimi pia nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia Nina 25 😂😂😂sijali Wala nn 😂😂
Roho ya kujua kumbe ni yake
Wanawake tuache kupenda hovyo. Mchunguze mtu tabia Yale kwanza. Tabia haijifichi IPO Siku tu itajionyesha. Ila tukiona héla tu tunajiweka pale. Pole Salha
@ellymaz2187
2 жыл бұрын
Pesa ndiyo mchawi wenu. Mkiona hela akili inahama. Hamuwezi kukumbuka mambo mengine
Huna miaka 23 dada acha uogo ubwaa wew
Marehemu Side alikuwa anapenda wanawake weupe mwee
@ashamakelele7002
2 жыл бұрын
Alikuwa anapenda mashangingiiiiii
@ezabethenock3564
2 жыл бұрын
Wakury wanapend wanawak weupe
Wew mwenzio ashakufa usiseme mkorofi na usimseme vby sio vzl 😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔!!!!!!!!!
@karlymathew5500
2 жыл бұрын
Kasema ukweli Mungu apendi uongo
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
@@karlymathew5500 bora ulvyomjibu
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Ifike mahali muache ujinga wa kusifia marehemu, kama ni mshenzi ni mshenzi tu.
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Uishi na mtu mkorofi alafu uwende mazikon kwake alafu useme alikua anakupenda sna sna hafahamiki.
Innalilah wainnailah ranjiuun
Mimi Dada huyu dada kanipiga na kitu kizito, alikaa na saidi miaka 2 afu Ana watoto3, inaana alikua akijifungua na kubeba mimba au Mimi ndio sijaelewa🙇🙇🙇
apa tumepigwa na jiwe zito utosini ety nina miaka 23 ushuzi😂
@aishaarusha894
2 жыл бұрын
Kwani wee mwanao
@mwanas2
2 жыл бұрын
🤣
@peterdavid4230
2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 we mavi nini kwanini unawashwa au unataka kufirwa🖕
@giftmassawe9419
2 жыл бұрын
😂mm mwenyw nimeshtuka
@ciarmnyone738
2 жыл бұрын
Hv Peter na wew kwelii unatamka ivo ety ushuziiii....🤣🤣🤣 jamaaani mzee wa royal tour