"BIBLIA NI KABURI LA AJABU/KAMA NINGEKUWEPO PAULO NINGEMKEMEA" MZEE WA NEEMA
#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com
Пікірлер: 524
Wateule wa Mungu muyaonapo hayo kuweni macho
asante sana baba tuliambiwa katika hiyo hiyo biblia kua watu kama nyie pia mtakuwepo so nafurahi kua biblia haisemi uwongo
@reginamaganga4986
Жыл бұрын
Amen
@rahelstanley
Жыл бұрын
👏👏👏
@itikamlagalila1911
4 ай бұрын
Kabisa
Mpinga Kristo wew kwenda huko na maneno yako ya Upumbavu
Bwege kweli weye!
Biblia ni pumzi la Mungu 🙏
Ushindwe Kwa Jina la Yesu.Bwana na akukemee.
@jeanmusamba8448
3 ай бұрын
safi sana you are so smart ndugu,Bwana na amkemee
Uyu ni mpinga KRISTO live haitaji ufafanuzi
Nakukemea kwa jina la Yesu
@fredymbilinyi6323
Жыл бұрын
🤔
Hakika,,atakae yapunguza au kuyaongeza maneno ya kitabu cha Mungu basi ataongezewa hayo mapigo.. Mwenyezi Mungu tusamehe sisi binadamu kwa yote tunayoyatenda,,tusamehe sana Bwana wa Majeshi..Yesu Kristo wewe ni njia kweli na Uzima
Ni roho ya mpinga KRISTO INATENDA KAZI
@mwl.enocktuza
Жыл бұрын
Huyu hajui kitu,anasema Paulo alipokuwa hajaokoka aliitwa Sauli. Hii nidalili huwa ni mchanga sana tumsamehe.
@itikamlagalila1911
4 ай бұрын
Kabisa.
Raia kama hawa tulishaambiwa watakuja tu tena ni wengi mnooooo.....Unakomaa kumsema Paul sijui alikosea nn badala ya kufundisha watu habari za wokovu mwisho wa siku waiepuke jehanam..Hatar sana!!
Saa Yaja Wamwabuduo halisi watamwabudu MUNGU katika roho na kweli.
Nyoka akiingia ndani Kazi ni moja ni kumtoa na kumtupa.... Tuko nyakati za Mwisho.... Tuweni makini sana na mitandao ( watumishi wa mitandaoni ni Hatari Sana Lakini Sio wote).
@elizabethkisawa3407
Жыл бұрын
Kwani huyu Yuko hai!!!!!!????
Ibilisi mtupu...!
Pole sana,Mungu akuhurumie na kukuokoa,maana haujui ulitendalo
Sasa nyinyi masela hamuamini katika Biblia mngetunga Novel yenu nzuri iwaongoze mtakavyo ila mnavowapotosha watu ipo siku tutasimama mbele za Yesu mwenyewe kujibu kwa kila tulichokipanda
@joasyeliya
Жыл бұрын
Hahahahah! Acha afanye yake ila kila kazi itapimwa
@alkadonkundwe
Жыл бұрын
Tunasema kila siku,hizi habari za Paulo hamsikii, sasa wachungaji wenu wameanza kuelewa.
@ednajustin4763
Жыл бұрын
Kwa kweli
@adrianernest6232
Жыл бұрын
Kila mtu atajibuu
@salimali-rf9er
Жыл бұрын
Muacheni aseme ukweli ni haki yake
Watu wa Mungu tutunze maandiko mioyon
Wapendwa tumwombe Mungu wetu atupe njia ya kuifuata, in vigumu sana kuchambua kwa kusikiliza haya tu, kila mtumishi anasema kwa jinsi anavyoelewa neno
@blackkfeezy916
Жыл бұрын
Njo take Islam ndio inakufaa ndugu yangu
Neno la Mungu ni hakika na kweli na amen
Na ushindwe kwa jina la yesu
Mission yenu tumeishaijua mmejipanga kuifuta biblia kuanzia kwa baba yenu papa wa roma,.. msifikiri ninyi ni wajanja sana hatuwajui
Mara yangu ya kwanza kuona pastor anaepakwa wese
Bibilia ni ufunuo usipojaa Roho mtakatifu itakupoteza ndo hichi kinachotokea Mungu tusaidie na haya mafunuo ya wasomi wa theologia za duniani🙏
@blackkfeezy916
Жыл бұрын
Ukweli huo ndugu yang tatiz umekua aujasomewa ila ndio ukwel
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Ndo maana sijawah kuipenda teolojia na hata nilipopata promotion ya kwenda kusomea nilikataa
Kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote wawili __________,
Mhubiri, “Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa. ” Mathayo 12:37
Kweli Pastor Ian ndlovu alitabiri kwamba watu wataondoa neno la Mungu na kuingiza vya kishetani,sasa imetukia.amepotezwa huyu
Hapa wakati umefika Sisi wa Afrika tuludi kwa mungu wetu huyu mungu wa bibilia tuliyo letewa na wazungu wa baki naye wenyewe
Mmh Mungu akusaidie
Akika wew Nimtu wa mungu kabisa kweli kila kitu kita kuwa wazi kwa Mana watu wa licho Ami Nishwa sicho ndicho kina Cho wa Umiza Na kuwa leteA matatizo ma kubwa Sana kwenye Taifa letu👏👏
Ndugu unamuharibia sana yule mama biashara zake kwakufanya aonekane mpumbavu hao wajinga wanaokuskiliza kwa sababu ya njaa zao hapo wanakufanya upate kiburi nakuona una maarifa mengi mpaka unaita neno la Mungu ni uozo hakika utaoza ukiwa hai amini hilo ili ujue kwamba Mungu hadhiakiwi Vijipesa viskikudanganye ukaongea ujinga uliopitiliza
Mchungaji anafundisha neno huku kavaa miwani ya kibrazameni. 😂😂😂 Biblia iliandikwa kwa uwezo wa roho mtakatifu sio kwa matakwa yao wenyewe. Sasa mchungaji jikamatie wajinga na sadaka zao hapo nakuelewa. 😂😂 Ila uhubiri neno la Mungu unahubiri maono yako mwenyewe
@nicodemvenant9855
Жыл бұрын
Huyu ni pure Satan man na sijui hawa waumini anawapataje kwaupuuzi huu, nashangaa hata hayo anayohubiri ameyatoa Kwa biblia alaf naitukana biblia. Kweli wanamaskio lakini hawasikii
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Hakuna dini hapo biashara tu hiyo
Ndio maana una kengeza utapinda mdomo kwa jina la Yesu KRISTO
Umechelewa sana,pole sana. Ukristu hakuna kitu kitakachoushinda.Kifo pamoja na kutisha kimeshindwa kujizuia Biblia. Mpaka kufikia mwaka 1500 Bk Kulikuwa na Ukatoliki tu.Hakuna awezae kulishinda Kanisa Katoliki. Huna lolote unatafuta kiki
Huyu yeye anamjua paulo tu😅😅😅😅😅 mungu tusaidie sana aseeee
kwa tanzania kumetokea waongo handsome
Kumuelewa Dr masisi inaitaji utulivu wa Hali ya juu Sana sio mihemuko
@rahelstanley
Жыл бұрын
Kumbe?Dr wa vichaa au Dr wamifugo,?maana najaribu kufikiria hiyo point yako sioni doctor hapo labda Ni witch doctor,kapokea hela ya LGBTQ KUPROMOT UPUMBAVU na nyinyi mnamfwata ngojeni yawatokee puani.
Mungu akusamehe
Nimecheka ase😅😍🤣acha kanisa lako lifungwetu maana sijakuelewa mimi
Naogopa Sanaa hata kucoment
Huyu ni shoga direct.harafu hajui kuhubiri hata kidogo na wafuasi wake wapumbavu mtoke humo ndani sio kila kitu mfuate Kama bendela fauta upepo anakremisha mahubiri Natamka kwa jina La Mungu UFE kwa kuita biblia ni kaburi wewe ndio mpinga christu umeshajitokeza Haleluyah .fauta mafundisho kwa KUHANi MUSA Temboni au MWAMPOSA ndio habari ya MUNGU ❤❤❤❤❤
Bible is inspired word of God, Yote yaliyoandikwa Mungu alikusudia yawepo na HATA NENO MOJA HALITAONDOSHWA.
Hii ni Neema juu ya laana Mungu atusaidie sana biashara ni nyingi
mhhhh.....kweli wanaibuka wasio wa Mungu
Kwakweli nisiku zamwisho Wakristo tuwemacho yotealiyosema yesu yanatimiya msishangae nawengine zaidi Yako watatokeya ili wapoteze wengi ila kumbuka upandacho ndicho utakachovuna
Aah Bwana Yesu atusaidie maana
Fumbueni macho, mtumish gan ht hajui kufunga vfungo vya shati lake , c ndo uhun huo, nyamaz kimya kwa jina la YESU!!
Wewe umelaniwa sanaaaaaa mungu wa mbinguni akulaani ushindwe kwajina la yesu😅
Mwisho wa uchawi ni mbaya sana,mwisho wako umekaribia
Kama Munguaishivyo ashindwi kuinua mtu SAHIHi kulekebisha mafundisho potofu wanayofundisha Makanisa na kusimamisha/kuhubiri kweli wa ujumbe huu NDIYE.
Mungu TUTETEE na mafundisho ya KILA leo😁🤔😑😅 mwenye macho haambiwi tzm.
MUNGU muumba wa Mbingu na Ardhi nakuomba ikikupendeza Hawa miungu watu waangamizwe Sasa 😢😢😢
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
IMEANDKWA, WAMEWEKWA KWA MUDA TU
mpinga kristo ameanza
Maashaallah bola usilim najua ukweri unaujua pesa zinawschangany nibola umeamuakuwaambia kweri wakilisto wamepotea
Wakristo bana wanampinga mtume wap wenyew😂😂
MUNGU AKUREHEMU,
Nanyi mkiisha kuijua KWELI nayo KWELI itawaweka HURU
Kwer kama anaakir angetunga chake asionyeshe ujuz kwenye kitabu kilichotunga na hao anao wakashifu leo jinga kubwa hili halifai
Kwel mungu anahuruma! Kma angekuwa ni mwanadam hyu jmaa angekuwa kaishaliwa kichwa
@essaukalinga5516
Жыл бұрын
Huyu JAMAa angepigwa sana bas tu
Ungesema mengne sio kuhusu mungu bro had sikuelew u have Short life brother mungu hawamukufuru hujui ulipo toka ndiyo maan upo hivyo
We mzee unahubili nin hayo unayo ongea yatakuangamiza mludie Mungu acha kupotosha wat
Mungu atakuonyesha yeye ni nani
Neno la Mungu katika ufunuo ljnasema atakayeongeza au kupunguza tu yaliyoandikwa katika biblia takatifu Mungu atadeal naye so huwez Pinga neno la Mungu hata uwe nani na uwe na uwezo gani kwani biblia umeikuta Neno la Mungu umelikuta na litadumu hata milele ila wewe ndio utapita na utaliacha hata kizazi chako kitapita na kitaliacha na huo ndio ukweli. Mungu akubariki wewe unayeishikilia Imani yako.
Ukiwa mjinga utapotea huku unaona afu viumbe vimekaa kbx vinamsiklza poleni sana
Swez kukusaport adui wa neno la Mungu,Rudi nyuma ibilisi
@josephkaveya4284
Жыл бұрын
Wewe nijini umekuwa duniani kupotosha
Hayo unayohubiri umeyapata wapi kama si kuyasoma kwenye hicho kitabu unachokiita kaburi?
Nakuonea huruma ndugu bado mda mchache TU
@focusernest5610
Жыл бұрын
Watu wamefungwa hawaoni ya rohoni
We baba wewe muogopen mungu
@duncankipendaroho8833
Жыл бұрын
Huyu hahitaji kumwogopa Mungu, kiti alichokalia ndiyo kinamsukuma kusema hayo
Saa ya wokovu ni SASA hebu Mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA milele.(Yohana14:6, Warumi10:9-10,2Kor6:2).
Mungu hadhihakiwi we . Unaona umefungiwa kanisa nenda katunge kitabu chako uanzishe dini yako
hahahahhahahah yanapenda pesa sana,wazungu wameyapa pesa kupoteesha eti,mtumishi hahahhahah pumba tupu jinga kweli,eti amri za Mungu ni ushenzi hahah
Kweli mchungaji anglia hapa anavyomtukana Mungu (1 Wakorintho 1:25 NEN Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.)
Nakukemea kwa jina la yesu pepo Hilo likutoke
Watu wanaamin wanadamu kuliko maandiko ata Biblia iyo unayosema ni kaburi inaeleza manabii wa uongo watakuja mamb yatokea na ukiyasoma. Kwenye biblia unayakuta Mungu atulinde sana uwez tafsiri Biblia kinyume mamb yanajieleza yenyewe
Hakuna kitabu kitakuja kuwa bora zaidi ya biblia!! Hivyo vitakavyokuja na vilivyokuja ni mpango wa mpinfa kristo tu but neno la Kwdli bible litasimama milele maana neno la Mungu ni Yesu, sasa ni kwa namna gani unajiandaa kufika mbinguni na huku umemuacha Yesu
Kweli
Umeshiba , achakutapika huo uchafu ulio kula, juu ya Mitume wA Mungu,
Mpinga Kristo mwana was JOKA MUNGU akusaidie wewe na uliowapoteza
Pepo kabisaaaa.....Ombi langu kuu Yesu akuokoe...Kwani wewe pia ni WA kwake.....
Kiazi kweli wewe, unatumika vibaya sana aise
Biblia ni kitabu kitakatifu,,kila andiko limepuliziwa pumzi ya Mungu,,Ndugu yangu Hakuna uozo kwenye biblia,,, Wewe ndio uozo,, Mungu hajipingi,,Mananeo yake ni kweli na amini,, Mungu sio kigeugeu,, Mungu hawezi kuwachanganya watoto wake,,leo aseme hiki kesho aseme hiki,tubu ndugu yangu,,,unapotea na kupotosha watu...
Mungu akurehemu maana hujui ulinenalo shetani ameteka moyo wako
Kitabu kitatokea Cha Mpinga Kristo boss wako Lakini hakitakuja kufunika Biblia, hayo kawafundishe mashoga Sisi Wakristo hauwezi kutuchanganya.
Daaaah noma xana ivi uyu mtu au pepo
Can you be greater than apostle Paul, Yaani apostle Paul ni MJINGA!!!!......LOL, GOD HAVE MERCY ON US, UFAHAMU NA HEKIMA ZINATOKA KWA ROHO MTAKATIFU, MAY GOD REBUKE YOU HIMSELF
Roho ya MPINGA KRISTO Inafanya kazi...
Kwa hiyo unataka kutuambia wewe unajua kuliko Paulo aliyekuwepo wakati huo na pennine alikuwa eye witness, wewe unasoma kilichoandikwa na akina Paulo
Wenye hamna bibilia na kujisomea kwakweli mtapotoshwa na hawa matapeli wanao jiita nabii
Tanzanie ole wako kwa kuwa unawachunga wapinga kristo wengi ole wako Tanzanie.
Biblia ni Neno la Mungu lenye pumzi ya Mungu aliye hai na limejaribiwa Mara SABA likathibitika. Na hakuna apingaye Neno hili zaidi ya shetani tu, maana ni ole kwa aongezaye au apunguzaye kitu katika Unabii huu.
Umesema kweli Paulo kaja kuwavuruga alitumika kweli, Mfano Yesu anafundisha yeye ni mtume wa mungu yohana17:3 ,Paulo anafundisha Yesu ndiyo mungu mwenyewe kauvaa mwili Tito 2:13 hatar hii , watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa
koma wew Shetani
Kweli shetan kakutuma na umetumika.
Huyu Naye ametokelezea wapi? Hiyo Habari anazungumza amepewa Na Nani, Na kutoka wapi? Amepotoka na anapoteza watu. Mungu Amkanye!!
Ole wako
Huyu ndo anayetuaribia kazi ya Mungu
Jamaa anaongea ukweli 😂 kwanini sasa Paulo alisema msiwafate hawa inaonekana wazi hata wao hawakupendana Paulo alitaka yeye ndo aaminiwe mbele zawatu nawale wengine wapuuzwe
Yaani unasema kwenye Neno la Mungu kuna uozo ambao utarekebishwa na kitabu kipya kinachokuja. Huo ufunuo umetoka kwa nani? Lucifer? Pole sana unahitaji toba.
SAULI hakumuuwa STEFANO.
Hata Yesu alipingwa Wala sio Paulo tuu. Hicho kitabu unachokitaka wewe ndiyo Cha mpinga Kristo na mawakala wake. Hao wanaokulipa Ili udanganye watu wanakuweka kwenye hasira ya Mungu ila hujui.
Subiri moto tu mtumishi wa shetani