"BIBLIA NI KABURI LA AJABU/KAMA NINGEKUWEPO PAULO NINGEMKEMEA" MZEE WA NEEMA

#SaaYaNeema #UkweliKuhusuKristo
Follow us:
FACEBOOK: / spiritwordministrytz
INSTAGRAM: / spiritwordministry
WHATSAPP: +255 753 999 989
Email: spiritwordministry@gmail.com

Пікірлер: 524

  • @selemanikitatungwa9283
    @selemanikitatungwa9283 Жыл бұрын

    Wateule wa Mungu muyaonapo hayo kuweni macho

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam6780 Жыл бұрын

    asante sana baba tuliambiwa katika hiyo hiyo biblia kua watu kama nyie pia mtakuwepo so nafurahi kua biblia haisemi uwongo

  • @reginamaganga4986

    @reginamaganga4986

    Жыл бұрын

    Amen

  • @rahelstanley

    @rahelstanley

    Жыл бұрын

    👏👏👏

  • @itikamlagalila1911

    @itikamlagalila1911

    4 ай бұрын

    Kabisa

  • @EliasSampa-wt1cz
    @EliasSampa-wt1cz Жыл бұрын

    Mpinga Kristo wew kwenda huko na maneno yako ya Upumbavu

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g Жыл бұрын

    Bwege kweli weye!

  • @makaumathew9392
    @makaumathew9392 Жыл бұрын

    Biblia ni pumzi la Mungu 🙏

  • @itikamlagalila1911
    @itikamlagalila19114 ай бұрын

    Ushindwe Kwa Jina la Yesu.Bwana na akukemee.

  • @jeanmusamba8448

    @jeanmusamba8448

    3 ай бұрын

    safi sana you are so smart ndugu,Bwana na amkemee

  • @simonlomayani5743
    @simonlomayani5743 Жыл бұрын

    Uyu ni mpinga KRISTO live haitaji ufafanuzi

  • @bibiayeiya6901
    @bibiayeiya6901 Жыл бұрын

    Nakukemea kwa jina la Yesu

  • @fredymbilinyi6323

    @fredymbilinyi6323

    Жыл бұрын

    🤔

  • @elizabethnyaki2355
    @elizabethnyaki2355 Жыл бұрын

    Hakika,,atakae yapunguza au kuyaongeza maneno ya kitabu cha Mungu basi ataongezewa hayo mapigo.. Mwenyezi Mungu tusamehe sisi binadamu kwa yote tunayoyatenda,,tusamehe sana Bwana wa Majeshi..Yesu Kristo wewe ni njia kweli na Uzima

  • @gracendola7195
    @gracendola7195 Жыл бұрын

    Ni roho ya mpinga KRISTO INATENDA KAZI

  • @mwl.enocktuza

    @mwl.enocktuza

    Жыл бұрын

    Huyu hajui kitu,anasema Paulo alipokuwa hajaokoka aliitwa Sauli. Hii nidalili huwa ni mchanga sana tumsamehe.

  • @itikamlagalila1911

    @itikamlagalila1911

    4 ай бұрын

    Kabisa.

  • @meshacksamsonmexher3377
    @meshacksamsonmexher3377 Жыл бұрын

    Raia kama hawa tulishaambiwa watakuja tu tena ni wengi mnooooo.....Unakomaa kumsema Paul sijui alikosea nn badala ya kufundisha watu habari za wokovu mwisho wa siku waiepuke jehanam..Hatar sana!!

  • @user-bp7yc8pb4c
    @user-bp7yc8pb4c Жыл бұрын

    Saa Yaja Wamwabuduo halisi watamwabudu MUNGU katika roho na kweli.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Жыл бұрын

    Nyoka akiingia ndani Kazi ni moja ni kumtoa na kumtupa.... Tuko nyakati za Mwisho.... Tuweni makini sana na mitandao ( watumishi wa mitandaoni ni Hatari Sana Lakini Sio wote).

  • @elizabethkisawa3407

    @elizabethkisawa3407

    Жыл бұрын

    Kwani huyu Yuko hai!!!!!!????

  • @edsonkumenya5626
    @edsonkumenya5626 Жыл бұрын

    Ibilisi mtupu...!

  • @robertmussa5836
    @robertmussa5836 Жыл бұрын

    Pole sana,Mungu akuhurumie na kukuokoa,maana haujui ulitendalo

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule16352 жыл бұрын

    Sasa nyinyi masela hamuamini katika Biblia mngetunga Novel yenu nzuri iwaongoze mtakavyo ila mnavowapotosha watu ipo siku tutasimama mbele za Yesu mwenyewe kujibu kwa kila tulichokipanda

  • @joasyeliya

    @joasyeliya

    Жыл бұрын

    Hahahahah! Acha afanye yake ila kila kazi itapimwa

  • @alkadonkundwe

    @alkadonkundwe

    Жыл бұрын

    Tunasema kila siku,hizi habari za Paulo hamsikii, sasa wachungaji wenu wameanza kuelewa.

  • @ednajustin4763

    @ednajustin4763

    Жыл бұрын

    Kwa kweli

  • @adrianernest6232

    @adrianernest6232

    Жыл бұрын

    Kila mtu atajibuu

  • @salimali-rf9er

    @salimali-rf9er

    Жыл бұрын

    Muacheni aseme ukweli ni haki yake

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Жыл бұрын

    Watu wa Mungu tutunze maandiko mioyon

  • @franktarimo271
    @franktarimo271 Жыл бұрын

    Wapendwa tumwombe Mungu wetu atupe njia ya kuifuata, in vigumu sana kuchambua kwa kusikiliza haya tu, kila mtumishi anasema kwa jinsi anavyoelewa neno

  • @blackkfeezy916

    @blackkfeezy916

    Жыл бұрын

    Njo take Islam ndio inakufaa ndugu yangu

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 Жыл бұрын

    Neno la Mungu ni hakika na kweli na amen

  • @martinisamva
    @martinisamva Жыл бұрын

    Na ushindwe kwa jina la yesu

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Жыл бұрын

    Mission yenu tumeishaijua mmejipanga kuifuta biblia kuanzia kwa baba yenu papa wa roma,.. msifikiri ninyi ni wajanja sana hatuwajui

  • @ChrispinAchilah
    @ChrispinAchilahАй бұрын

    Mara yangu ya kwanza kuona pastor anaepakwa wese

  • @lawrencenardo3919
    @lawrencenardo3919 Жыл бұрын

    Bibilia ni ufunuo usipojaa Roho mtakatifu itakupoteza ndo hichi kinachotokea Mungu tusaidie na haya mafunuo ya wasomi wa theologia za duniani🙏

  • @blackkfeezy916

    @blackkfeezy916

    Жыл бұрын

    Ukweli huo ndugu yang tatiz umekua aujasomewa ila ndio ukwel

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    Ndo maana sijawah kuipenda teolojia na hata nilipopata promotion ya kwenda kusomea nilikataa

  • @emanuelndaki1703
    @emanuelndaki1703 Жыл бұрын

    Kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote wawili __________,

  • @daniered1501
    @daniered1501 Жыл бұрын

    Mhubiri, “Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa. ” Mathayo 12:37

  • @aginiwenathan6018
    @aginiwenathan6018 Жыл бұрын

    Kweli Pastor Ian ndlovu alitabiri kwamba watu wataondoa neno la Mungu na kuingiza vya kishetani,sasa imetukia.amepotezwa huyu

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 Жыл бұрын

    Hapa wakati umefika Sisi wa Afrika tuludi kwa mungu wetu huyu mungu wa bibilia tuliyo letewa na wazungu wa baki naye wenyewe

  • @letsloveandshare7487
    @letsloveandshare7487 Жыл бұрын

    Mmh Mungu akusaidie

  • @user-ls1es8sd1s
    @user-ls1es8sd1s3 ай бұрын

    Akika wew Nimtu wa mungu kabisa kweli kila kitu kita kuwa wazi kwa Mana watu wa licho Ami Nishwa sicho ndicho kina Cho wa Umiza Na kuwa leteA matatizo ma kubwa Sana kwenye Taifa letu👏👏

  • @Harrison-zh9sb
    @Harrison-zh9sb Жыл бұрын

    Ndugu unamuharibia sana yule mama biashara zake kwakufanya aonekane mpumbavu hao wajinga wanaokuskiliza kwa sababu ya njaa zao hapo wanakufanya upate kiburi nakuona una maarifa mengi mpaka unaita neno la Mungu ni uozo hakika utaoza ukiwa hai amini hilo ili ujue kwamba Mungu hadhiakiwi Vijipesa viskikudanganye ukaongea ujinga uliopitiliza

  • @ivanf.lekule5618
    @ivanf.lekule56182 жыл бұрын

    Mchungaji anafundisha neno huku kavaa miwani ya kibrazameni. 😂😂😂 Biblia iliandikwa kwa uwezo wa roho mtakatifu sio kwa matakwa yao wenyewe. Sasa mchungaji jikamatie wajinga na sadaka zao hapo nakuelewa. 😂😂 Ila uhubiri neno la Mungu unahubiri maono yako mwenyewe

  • @nicodemvenant9855

    @nicodemvenant9855

    Жыл бұрын

    Huyu ni pure Satan man na sijui hawa waumini anawapataje kwaupuuzi huu, nashangaa hata hayo anayohubiri ameyatoa Kwa biblia alaf naitukana biblia. Kweli wanamaskio lakini hawasikii

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    Жыл бұрын

    Hakuna dini hapo biashara tu hiyo

  • @bishopstephanosaid9205
    @bishopstephanosaid9205 Жыл бұрын

    Ndio maana una kengeza utapinda mdomo kwa jina la Yesu KRISTO

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Umechelewa sana,pole sana. Ukristu hakuna kitu kitakachoushinda.Kifo pamoja na kutisha kimeshindwa kujizuia Biblia. Mpaka kufikia mwaka 1500 Bk Kulikuwa na Ukatoliki tu.Hakuna awezae kulishinda Kanisa Katoliki. Huna lolote unatafuta kiki

  • @Dawiti00
    @Dawiti00 Жыл бұрын

    Huyu yeye anamjua paulo tu😅😅😅😅😅 mungu tusaidie sana aseeee

  • @jjtm164
    @jjtm164Ай бұрын

    kwa tanzania kumetokea waongo handsome

  • @hanskidd2290
    @hanskidd2290 Жыл бұрын

    Kumuelewa Dr masisi inaitaji utulivu wa Hali ya juu Sana sio mihemuko

  • @rahelstanley

    @rahelstanley

    Жыл бұрын

    Kumbe?Dr wa vichaa au Dr wamifugo,?maana najaribu kufikiria hiyo point yako sioni doctor hapo labda Ni witch doctor,kapokea hela ya LGBTQ KUPROMOT UPUMBAVU na nyinyi mnamfwata ngojeni yawatokee puani.

  • @twendekwayesu5325
    @twendekwayesu5325 Жыл бұрын

    Mungu akusamehe

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Жыл бұрын

    Nimecheka ase😅😍🤣acha kanisa lako lifungwetu maana sijakuelewa mimi

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 Жыл бұрын

    Naogopa Sanaa hata kucoment

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Жыл бұрын

    Huyu ni shoga direct.harafu hajui kuhubiri hata kidogo na wafuasi wake wapumbavu mtoke humo ndani sio kila kitu mfuate Kama bendela fauta upepo anakremisha mahubiri Natamka kwa jina La Mungu UFE kwa kuita biblia ni kaburi wewe ndio mpinga christu umeshajitokeza Haleluyah .fauta mafundisho kwa KUHANi MUSA Temboni au MWAMPOSA ndio habari ya MUNGU ❤❤❤❤❤

  • @ednajustin4763
    @ednajustin4763 Жыл бұрын

    Bible is inspired word of God, Yote yaliyoandikwa Mungu alikusudia yawepo na HATA NENO MOJA HALITAONDOSHWA.

  • @reginamlay5263
    @reginamlay52636 ай бұрын

    Hii ni Neema juu ya laana Mungu atusaidie sana biashara ni nyingi

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609Ай бұрын

    mhhhh.....kweli wanaibuka wasio wa Mungu

  • @furahaclaudineofficial2318
    @furahaclaudineofficial2318 Жыл бұрын

    Kwakweli nisiku zamwisho Wakristo tuwemacho yotealiyosema yesu yanatimiya msishangae nawengine zaidi Yako watatokeya ili wapoteze wengi ila kumbuka upandacho ndicho utakachovuna

  • @deuscosmas793
    @deuscosmas793 Жыл бұрын

    Aah Bwana Yesu atusaidie maana

  • @isaackkimotta6855
    @isaackkimotta6855 Жыл бұрын

    Fumbueni macho, mtumish gan ht hajui kufunga vfungo vya shati lake , c ndo uhun huo, nyamaz kimya kwa jina la YESU!!

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise3 ай бұрын

    Wewe umelaniwa sanaaaaaa mungu wa mbinguni akulaani ushindwe kwajina la yesu😅

  • @adelaidapeter1796
    @adelaidapeter1796 Жыл бұрын

    Mwisho wa uchawi ni mbaya sana,mwisho wako umekaribia

  • @mteulefaini
    @mteulefaini Жыл бұрын

    Kama Munguaishivyo ashindwi kuinua mtu SAHIHi kulekebisha mafundisho potofu wanayofundisha Makanisa na kusimamisha/kuhubiri kweli wa ujumbe huu NDIYE.

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Жыл бұрын

    Mungu TUTETEE na mafundisho ya KILA leo😁🤔😑😅 mwenye macho haambiwi tzm.

  • @issayaahimidiwe9681
    @issayaahimidiwe9681 Жыл бұрын

    MUNGU muumba wa Mbingu na Ardhi nakuomba ikikupendeza Hawa miungu watu waangamizwe Sasa 😢😢😢

  • @gosbertmuta5421

    @gosbertmuta5421

    Жыл бұрын

    IMEANDKWA, WAMEWEKWA KWA MUDA TU

  • @pmatrida9300
    @pmatrida9300 Жыл бұрын

    mpinga kristo ameanza

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Maashaallah bola usilim najua ukweri unaujua pesa zinawschangany nibola umeamuakuwaambia kweri wakilisto wamepotea

  • @blackkfeezy916
    @blackkfeezy916 Жыл бұрын

    Wakristo bana wanampinga mtume wap wenyew😂😂

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Жыл бұрын

    MUNGU AKUREHEMU,

  • @damasmayanja2930
    @damasmayanja29302 жыл бұрын

    Nanyi mkiisha kuijua KWELI nayo KWELI itawaweka HURU

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Жыл бұрын

    Kwer kama anaakir angetunga chake asionyeshe ujuz kwenye kitabu kilichotunga na hao anao wakashifu leo jinga kubwa hili halifai

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Жыл бұрын

    Kwel mungu anahuruma! Kma angekuwa ni mwanadam hyu jmaa angekuwa kaishaliwa kichwa

  • @essaukalinga5516

    @essaukalinga5516

    Жыл бұрын

    Huyu JAMAa angepigwa sana bas tu

  • @jacksondavid1419
    @jacksondavid1419 Жыл бұрын

    Ungesema mengne sio kuhusu mungu bro had sikuelew u have Short life brother mungu hawamukufuru hujui ulipo toka ndiyo maan upo hivyo

  • @yohanamp-ec7im
    @yohanamp-ec7im6 ай бұрын

    We mzee unahubili nin hayo unayo ongea yatakuangamiza mludie Mungu acha kupotosha wat

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 Жыл бұрын

    Mungu atakuonyesha yeye ni nani

  • @josephmussa0625
    @josephmussa0625 Жыл бұрын

    Neno la Mungu katika ufunuo ljnasema atakayeongeza au kupunguza tu yaliyoandikwa katika biblia takatifu Mungu atadeal naye so huwez Pinga neno la Mungu hata uwe nani na uwe na uwezo gani kwani biblia umeikuta Neno la Mungu umelikuta na litadumu hata milele ila wewe ndio utapita na utaliacha hata kizazi chako kitapita na kitaliacha na huo ndio ukweli. Mungu akubariki wewe unayeishikilia Imani yako.

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Жыл бұрын

    Ukiwa mjinga utapotea huku unaona afu viumbe vimekaa kbx vinamsiklza poleni sana

  • @cmb6342
    @cmb6342 Жыл бұрын

    Swez kukusaport adui wa neno la Mungu,Rudi nyuma ibilisi

  • @josephkaveya4284

    @josephkaveya4284

    Жыл бұрын

    Wewe nijini umekuwa duniani kupotosha

  • @ShalomSameTV
    @ShalomSameTV4 күн бұрын

    Hayo unayohubiri umeyapata wapi kama si kuyasoma kwenye hicho kitabu unachokiita kaburi?

  • @gervasexavery2977
    @gervasexavery2977 Жыл бұрын

    Nakuonea huruma ndugu bado mda mchache TU

  • @focusernest5610

    @focusernest5610

    Жыл бұрын

    Watu wamefungwa hawaoni ya rohoni

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 Жыл бұрын

    We baba wewe muogopen mungu

  • @duncankipendaroho8833

    @duncankipendaroho8833

    Жыл бұрын

    Huyu hahitaji kumwogopa Mungu, kiti alichokalia ndiyo kinamsukuma kusema hayo

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Жыл бұрын

    Saa ya wokovu ni SASA hebu Mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA milele.(Yohana14:6, Warumi10:9-10,2Kor6:2).

  • @bibiayeiya6901
    @bibiayeiya6901 Жыл бұрын

    Mungu hadhihakiwi we . Unaona umefungiwa kanisa nenda katunge kitabu chako uanzishe dini yako

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba84483 ай бұрын

    hahahahhahahah yanapenda pesa sana,wazungu wameyapa pesa kupoteesha eti,mtumishi hahahhahah pumba tupu jinga kweli,eti amri za Mungu ni ushenzi hahah

  • @AW-vt9pw
    @AW-vt9pw Жыл бұрын

    Kweli mchungaji anglia hapa anavyomtukana Mungu (1 Wakorintho 1:25 NEN Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.)

  • @BarazilLwezaula
    @BarazilLwezaula Жыл бұрын

    Nakukemea kwa jina la yesu pepo Hilo likutoke

  • @user-zf5rj1so8m
    @user-zf5rj1so8m Жыл бұрын

    Watu wanaamin wanadamu kuliko maandiko ata Biblia iyo unayosema ni kaburi inaeleza manabii wa uongo watakuja mamb yatokea na ukiyasoma. Kwenye biblia unayakuta Mungu atulinde sana uwez tafsiri Biblia kinyume mamb yanajieleza yenyewe

  • @zawadilutufyo8771
    @zawadilutufyo8771 Жыл бұрын

    Hakuna kitabu kitakuja kuwa bora zaidi ya biblia!! Hivyo vitakavyokuja na vilivyokuja ni mpango wa mpinfa kristo tu but neno la Kwdli bible litasimama milele maana neno la Mungu ni Yesu, sasa ni kwa namna gani unajiandaa kufika mbinguni na huku umemuacha Yesu

  • @milliardere9177
    @milliardere9177Ай бұрын

    Kweli

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Жыл бұрын

    Umeshiba , achakutapika huo uchafu ulio kula, juu ya Mitume wA Mungu,

  • @magrethmukama3996
    @magrethmukama3996 Жыл бұрын

    Mpinga Kristo mwana was JOKA MUNGU akusaidie wewe na uliowapoteza

  • @DoreenAmaniGolugwa-cx7je
    @DoreenAmaniGolugwa-cx7je Жыл бұрын

    Pepo kabisaaaa.....Ombi langu kuu Yesu akuokoe...Kwani wewe pia ni WA kwake.....

  • @robertchazya2351
    @robertchazya23514 ай бұрын

    Kiazi kweli wewe, unatumika vibaya sana aise

  • @elizabethnyaki2355
    @elizabethnyaki2355 Жыл бұрын

    Biblia ni kitabu kitakatifu,,kila andiko limepuliziwa pumzi ya Mungu,,Ndugu yangu Hakuna uozo kwenye biblia,,, Wewe ndio uozo,, Mungu hajipingi,,Mananeo yake ni kweli na amini,, Mungu sio kigeugeu,, Mungu hawezi kuwachanganya watoto wake,,leo aseme hiki kesho aseme hiki,tubu ndugu yangu,,,unapotea na kupotosha watu...

  • @atugolawrence5533
    @atugolawrence5533 Жыл бұрын

    Mungu akurehemu maana hujui ulinenalo shetani ameteka moyo wako

  • @msadikikimaro6356
    @msadikikimaro6356 Жыл бұрын

    Kitabu kitatokea Cha Mpinga Kristo boss wako Lakini hakitakuja kufunika Biblia, hayo kawafundishe mashoga Sisi Wakristo hauwezi kutuchanganya.

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Жыл бұрын

    Daaaah noma xana ivi uyu mtu au pepo

  • @ednajustin4763
    @ednajustin4763 Жыл бұрын

    Can you be greater than apostle Paul, Yaani apostle Paul ni MJINGA!!!!......LOL, GOD HAVE MERCY ON US, UFAHAMU NA HEKIMA ZINATOKA KWA ROHO MTAKATIFU, MAY GOD REBUKE YOU HIMSELF

  • @Michael_Msanzya
    @Michael_Msanzya Жыл бұрын

    Roho ya MPINGA KRISTO Inafanya kazi...

  • @deogratiashaule8958
    @deogratiashaule8958 Жыл бұрын

    Kwa hiyo unataka kutuambia wewe unajua kuliko Paulo aliyekuwepo wakati huo na pennine alikuwa eye witness, wewe unasoma kilichoandikwa na akina Paulo

  • @AnnOpondo-tf3uf
    @AnnOpondo-tf3uf Жыл бұрын

    Wenye hamna bibilia na kujisomea kwakweli mtapotoshwa na hawa matapeli wanao jiita nabii

  • @stephanebulambo3855
    @stephanebulambo3855 Жыл бұрын

    Tanzanie ole wako kwa kuwa unawachunga wapinga kristo wengi ole wako Tanzanie.

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Жыл бұрын

    Biblia ni Neno la Mungu lenye pumzi ya Mungu aliye hai na limejaribiwa Mara SABA likathibitika. Na hakuna apingaye Neno hili zaidi ya shetani tu, maana ni ole kwa aongezaye au apunguzaye kitu katika Unabii huu.

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 Жыл бұрын

    Umesema kweli Paulo kaja kuwavuruga alitumika kweli, Mfano Yesu anafundisha yeye ni mtume wa mungu yohana17:3 ,Paulo anafundisha Yesu ndiyo mungu mwenyewe kauvaa mwili Tito 2:13 hatar hii , watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa

  • @mkp8455
    @mkp8455 Жыл бұрын

    koma wew Shetani

  • @joshuamwamala4795
    @joshuamwamala4795 Жыл бұрын

    Kweli shetan kakutuma na umetumika.

  • @JerusalemTruthWitnessJn8-32
    @JerusalemTruthWitnessJn8-323 ай бұрын

    Huyu Naye ametokelezea wapi? Hiyo Habari anazungumza amepewa Na Nani, Na kutoka wapi? Amepotoka na anapoteza watu. Mungu Amkanye!!

  • @andrewmwaniki4026
    @andrewmwaniki40262 жыл бұрын

    Ole wako

  • @IzraelyHerman
    @IzraelyHerman2 ай бұрын

    Huyu ndo anayetuaribia kazi ya Mungu

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Жыл бұрын

    Jamaa anaongea ukweli 😂 kwanini sasa Paulo alisema msiwafate hawa inaonekana wazi hata wao hawakupendana Paulo alitaka yeye ndo aaminiwe mbele zawatu nawale wengine wapuuzwe

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Жыл бұрын

    Yaani unasema kwenye Neno la Mungu kuna uozo ambao utarekebishwa na kitabu kipya kinachokuja. Huo ufunuo umetoka kwa nani? Lucifer? Pole sana unahitaji toba.

  • @samwelhassan2236
    @samwelhassan2236 Жыл бұрын

    SAULI hakumuuwa STEFANO.

  • @ShalomSameTV
    @ShalomSameTV4 күн бұрын

    Hata Yesu alipingwa Wala sio Paulo tuu. Hicho kitabu unachokitaka wewe ndiyo Cha mpinga Kristo na mawakala wake. Hao wanaokulipa Ili udanganye watu wanakuweka kwenye hasira ya Mungu ila hujui.

  • @abisairobert4864
    @abisairobert4864 Жыл бұрын

    Subiri moto tu mtumishi wa shetani

Келесі