MAMA ALIYELALAMIKA MBELE YA MAKONDA KUDHULUMIWA MALI AIBUA MAPYA/ AWATAJA POLISI ''NATESEKA SANA''
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 62
Mama usitange tangeeee MWACHIE MAKONDA HILO SWALIIII SABINA WEWE NA MAKONDA NA WEWE MAKONDA
Nakushauri Dada anza maisha mapya nenda mkoa mwingine utajikuta unasahau yote,bila ivyo utachanganyikiwa bure,sio wewe tu yamekukuta ata sisi pia ila tumezubutu kuanza maisha mapya na sasaivi tunamijengo yetu na maisha ya furaha
Dada ungehitaji hela ya mtaji tu ufanye biashara zako Mungu atakuinua tena uachane na hizo kesi usije ukafa ukaacha watoto na shida ungeacha kesi utafute mtaji tu jamani halafu magari achana nayo yatakufilisi tafuta hela ya mtaji ujipambanie mdogo wangu hatuna mji udumuo hapa tutaacha vyote
@JuniorMbando
9 сағат бұрын
Hapana Julia's aongee kwanza hivi kwani mahakama inafanya kazi gani huyo dada anamtaka bwana ake
Jaman sabina pole tulikumisi sana sanawar
Waje mbele wote wanaotajwa.haya ni mambo ya kishetan.polisi hongeren.
Pole sana dada Sabina mungu atakulipia
Naomba no ya huyu mama
Hivi jamani serekali iko hai au hoiiiiii. Mimi ninaimani sana na mama Samia jamani mtetee mwanamke mwenzako jamani. Wanawake amkeni mteteeni mwenzenu daaaah mbona hamna huruma jamani
Dada, Mungu akusaidie uachane na haya mambo!nimesema MUNGU akusaidie maana sio rahisi,inauma.Kwa msaada wa MUNGU utaweza,tuliza akili anza upya maisha achana mitandao na vyombo vya habari na makesi kesi haya focus kwenye mwanzo mpya
Dada Pole sana, ila Amini Mungu yupo upande wako😢, mtafute mtumishi wa Mungu yupo hapo Arusha Kisongo Waya , anaitwa Elibariki Sumbe! Atazidi kukuombea na kila kitu chako nitarudi na Mungu atazidi kupata utukufu wake, huo ni mpango wa Ibilisi kukushusha! Endelea kumtumainia Mungu kila dakika!!! Wale walikuwa wakikucheka watadhalilika wao na kuona ukuu wa Mungu!!! Niamini hiki nilichokuambia!!! God is Good kila wakati Muamini pia Yesu, itumie damu yake kila wakati!!!! Utashangaa miracle!!! ❤
@nashnene6326
Күн бұрын
Hao watumishi ndio sio kabisaaa, M'Mungu unaenda direct kwake ukiwa umejaa imani na unyenyekevu na kwa hakika Mungu ni mwema na muaminifu
Pole dada,naomba namba yako naitwa Paulo kushauriana pia nimuhimu
@pascalmsechu6874
Күн бұрын
Kushauriana tena.?!
Uende kwenye account STRAIGHT
Sasa jamani hata mtu katajwa kama jambazi daaah hata kukamatwa hakamatwi. Mh makonda fanya mambo mkuu
duh naumia kuona kashindwa kusaidika
WEWE na MAKONDA TUUUUUU NO HUWA ANAAMUA HAKIIII
Ulivyo mzuri unatesekea njiani kumaliza siku zako katika huzuni na kesi achana na hizo kesi kwanza mali ni nini jali afya yako kwa sasa tu usije fia mali jamani acha julius achukue hatakaa nayo milele tumeona matajiri na hawapo wameacha ooooh
Jamani hii atuelewi huyo bwana ake mbona hamumtafuti ili na yeye aongee kila siku ni Sabina tu huyo juliasi kafa au ni kipofu au ni kiziwi Pana kitu hapo na nyie waandishi wahabari mnashindwa kunatafuta huyo juliasi kama na nyie siyo wambeya tungemsikiliza na yeye kila siku ni huyo mama
Nyie waandishi wa habari mnashindwa kumtafuta mume wa huyo dada ili tusikie maelezo ya upande wa pili? Maana naona mnaegemea upande mmoja.
Hivi jamani huyu mwanaume huko aliko anajickia furaha anavyomuona mzazi mwenzako akiteseka kweli ..yani mbona anamnyanyasa hy dada. Yaani huyo mwanaume atakuja kufilicka na IPO siku atamkumbika hy dada. Ee Mungu tenda miuji za akapate haki zake😢
Huyu dada ana msongo mkubwa wa mawazo, amevurugwa na mambo mengi sana, ukiona idadi ya majina ya watu alitaja ina picha kuuuuubwa sana. Na nahisi kuna issue ya dini , na ndoa
Jamani nyie waandishi wa habari mmeshindwa kabisa kumtafuta julias kila siku ni huyo dada tumechoka wako wengi wenye matatizo magumu huyo sabina anamtaka bwana ake
😂😂eti nilikuwa mwanamke bora mwaminifu nafanya kazi kwa bidii namtreat kama mtoto mdogo😅😅😅....umenifurahisha
Dada mbona kama vile shida yake kubwa anamtaka Julius 😊....Hayo ya Mali anaongea tu ila shida yake Kubwa ni Julius
Uyu mwanamke atakuwa anajuta sana kwa makelele aliyomfanyia uyu baba watoto wake mpka kukasirika na kumuacha.. Maisha yalikuwa yanaenda vzr ila mwanamke aliyaaribu bila kujali..
Makonda ulivyo kamanda tunakujua hushindwagi kitu tumeona wengi umewasaidia umeshindwa kumpata julias
Pale kwake analea watoto weng na matatizo yake hukosi chakula Tena Tena asubuh Sasa atashindwa kuwalea watoto wake? njooo mtaan tutawaambia na ya wiz ilivyokuwa.
Pale kwake analea watoto weng na matatizo yake hukosi chakula Tena Tena asubuh Sasa atashindwa kuwalea watoto wake? njooo mtaan tutawaambia na ya wiz ilivyokuwa 13:56
Polesana dada yangu
Huyu mama asaidiwe jamani
hapo utafuta
Makonda ulivyo kamanda tunakujua hushindwagi kitu tumeona wengi umewasaidia umeshindwa kumpata julias 11:04
Naomba namba za huyu mama.
Huyu dada n msom hata kama hana madegree pia mzur ananyoosha maneno japo anastress zake embu waitwe wote wamerajwa mbele.sasa hivi mambo yawe yanakuwa mbele ndo mahakaman.UTAACHAJE MABILION UKATAFUTE UPYA.SERIKAL ANGALIEN JAMAN.
Hee huyu si ma dangote?hapa mtaan walitisha walikuwa wanatembea Kama mapacha tunaona wivu hatar Kama tunaringishiwa vile.apewe Mali zake nae atafute mtu was kula nae.hapo kwa watoto mtamuona upande wake wa pili
Utafundishwaje na wakili wa mtesi wako.Dada wacha utachoshwa mno ,haki ipo kwa Mungu Mahakama zetu utakanyaga mpaka uchoke mwisho wake watakuzunguka mpaka ukome .
@mariakiwia
2 күн бұрын
Siyo kosa lake walikuwa wakimzunguka akifikiri wanamsaidia!
@huldamichael4445
Күн бұрын
Mara aseme "kuna kitu Juliasi alikiona akasema Sabina asidaiwe chochote" daah.... mapenzi ni kitu cha ajabu sana
@leokamil6284
Күн бұрын
@@mariakiwia Ndio lakini ndugu mtu anaemsaidia mtesi wako atakuwaje mwema kwako ?
@leokamil6284
Күн бұрын
@@huldamichael4445 Ni kweli pole sana kwake kwani anamambo mengi kichwani mwake na ameumia kimapenzi
Ushauri wangu kwako, Dada navyoona unauchungu kuachwa na Mwanamme unaempenda. Ila omba Mungu akujaalie afya njema ridhika na chochote ulichopata dai alee watoto wake, hizo mali muache Mungu atajua cha kumfanya huyo Mwanaumme kwani Mungu hafanyiwi dhihaka .Shukuru Mungu kwa afya yako ndio kikubwa mali kila mtu atawacha Duniani .Hata ukipewa hizo gari wakati sio aseti si yanaweza kupata ajali yakawa hayana thamani .
Juliasi mahali ulipo utalipa machozi ya huyu mama, utavuna 2 kama ni kweli anayaongea
@JuniorMbando
9 сағат бұрын
Muongo
Unasema Julius alikulazimisha kufunga ndoa. imekaaje apo ili kubalance story inapaswa Julius naye asikilizwe utapatikana ukweli
@DM.2200
2 күн бұрын
Kwa kweli kesi kama ilfika adi ngaz za juu na ikaishia hivyo maana yake kuna namna hapo ya kifamilua zaidi so ni bora wamtafute na huyo baba aongee kwa upande wake
@JuniorMbando
9 сағат бұрын
Kweli kabisa
Dah poleee snaaa dada aseee maishaaa ndio yalivyo ni kam ukurasa wa kitabuu
Julius huko aliko aliona GIZA mbeleni, ukisikiliza hii clip hadi mwisho utagundua upo umuhimu wa kupima IQ ya mtu wa kuoa kabla
@JuniorMbando
9 сағат бұрын
Shee ni kweli
Lkn hatujui unemfanya nini mumewo Maana sisi waname ni wavumilivu sana Sasa huruma haiwezipatikana mpaka tumsikie juliasi
kwani makonda ameshindwa kumsaidia kulikoni
@leokamil6284
2 күн бұрын
Watu wasilolijua yule ni mtu wa drama inapokuja kwenye masuala yasiyomhusu kama ya Mahakama hawezi kuingilia Mahakama. Kuna vitu vingi hawezi kuingilia ndio maana unaona mara leo aanzishe hili mara lile drama tu kughilibu watu wasiojitambua
Kweli Mh Rais hebu hebu tuma hata mashushu wako tukupe kura zote jamani mama hebu tunaamini unakifua na huruma kama mama hebu amka basi tuone hata tofauti na tatizo hili la dada huyu liishe
Makonda ulivyo kamanda tunakujua hushindwagi kitu tumeona wengi umewasaidia umeshindwa kumpata julias
Pale kwake analea watoto weng na matatizo yake hukosi chakula Tena Tena asubuh Sasa atashindwa kuwalea watoto wake? njooo mtaan tutawaambia na ya wiz ilivyokuwa.
Makonda ulivyo kamanda tunakujua hushindwagi kitu tumeona wengi umewasaidia umeshindwa kumpata julias 11:04
Makonda ulivyo kamanda tunakujua hushindwagi kitu tumeona wengi umewasaidia umeshindwa kumpata julias
Pale kwake analea watoto weng na matatizo yake hukosi chakula Tena Tena asubuh Sasa atashindwa kuwalea watoto wake? njooo mtaan tutawaambia na ya wiz ilivyokuwa
Pale kwake analea watoto weng na matatizo yake hukosi chakula Tena Tena asubuh Sasa atashindwa kuwalea watoto wake? njooo mtaan tutawaambia na ya wiz ilivyokuwa
Pale kwake analea watoto weng na matatizo yake hukosi chakula Tena Tena asubuh Sasa atashindwa kuwalea watoto wake? njooo mtaan tutawaambia na ya wiz ilivyokuwa