Magufuli akiwafungukia watanzania kuhusu uzazi wa mpango
Rais John Magufuli amepigia debe watanzania kuchapa kazi na kuzalisha mali kuendana na uwezo wa kuhudumia vizazi vyao. Msikilize akifafanua kwa mifano #MagufuliMeatu
Жүктеу.....
Пікірлер: 255
@sheiykingtv37132 жыл бұрын
Who misses JPM like me ?? Nipe like
@jumakimawa3633
2 жыл бұрын
I'm here bro! Big up
@joshuanyonyi3313
2 жыл бұрын
Nimemusssii JPM
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
I miss him a lot RIP Magufuli
@johnmalembo64642 жыл бұрын
"Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi"... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@tariqmaduga80512 жыл бұрын
Rais wangu Kipenz mungu akulaze mahali pema peponi. One love 🇹🇿
@josephatimasunga9470
2 жыл бұрын
JPM rest in peace
@leonardcharles96542 жыл бұрын
Nikukumbuka sana mzee wangu mungu ailaze roho yako mahali pema
@thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын
Hotuba zake mtu ukiwa na muda unaweza kuchukua siku nzima kuzisikiliza bila kuchoka.mungu akulaze mahali pema peponi.kwetu tuna msemo usemao kuwa hili ni due la mbegu,kweli JPM kama ni dume la mbegu basi ulistahili.
@armelngondet2619
2 жыл бұрын
Effectivement
@mrchick5193
2 жыл бұрын
Amina
@gilbertambila3371
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nickomdete7232
2 жыл бұрын
Me nikiwa mmiss tyu na sikiliza tyuu clip zake
@patrickbunduki3477
2 жыл бұрын
Saana kwakweli mi kunamasiku namfataga siku nzima yaani...
@jumakimawa3633 Жыл бұрын
You came and conquered the country and ÿou did an amazing job! Pumzika kwa amani Papa!
@danielcosmas51945 жыл бұрын
anaongea na kisukuma ili watu wa eneo hilo wamuelewa ukizingitia alikuwa anaongea na wasukuma kuna wengine hawaelewi kiswahili
@jongosalehe10362 жыл бұрын
Rais mkali kwa Mali za umma
@sonnyr18992 жыл бұрын
Hivi nikitu kilitokea tar 17/03/21 😭😭 Hadi sasa hatujaelewa. Huyu Baba alikua mtu tofauti na wengine.
@justinewalwa7387
2 жыл бұрын
Mimi sijakielewa kifo chake, kilitokeaje
@ashahamza28222 жыл бұрын
Da wewe nitakukumbuka ktk moyo wangu
@khamislisso91372 жыл бұрын
Hivi huyu Rais Daah Ila mipango ya Mungu daah😭😭
@festinamwakipale64462 жыл бұрын
Mpendwa wangu nilikupenda sana Magu lala sana
@agventure_tz89282 жыл бұрын
Nabii aliyetumwa kusema ukweli ambao si rahisi ku uelewa kwa elimu tulizo fundishwa darasani...he live forever.
@niyimpumurizamoise22562 жыл бұрын
From Burundi : namkumbuka sana huyu bulldoze ! Africa imehasarika!
@nuratkalinga5812 жыл бұрын
Mungu akurehemu
@sr.elizabethmbuligwe55402 жыл бұрын
Kwa kweli baba yetu wewe ulitumwa na Mungu uje utukomboe watanzania rest in peace JPM
@adventsumari6967
2 жыл бұрын
Mungu akulaze maali pema pepon
@nassoroshaaban72792 жыл бұрын
Nataman urudi ufafanue hicho kilugha maana walifaidi Sana watu wa lugha hiyo, daaa rip magu
@kidstz2695
2 жыл бұрын
Anachekesha sana huyu mzee
@noelymwakasege2428
2 жыл бұрын
Kabisa mkuu
@robertchuri32222 жыл бұрын
Nakukubali sana mkuu lakni yote maisha tu
@laurinfred29312 жыл бұрын
Huku tumekubari tozo, lakini bado na mikopo wanazidi kukopa 🤔
@rosemarysulle9288
2 жыл бұрын
Baba tangu atutoke tozo zimekuja nyingi sana,imebakia moja tu tozo ya roho😭😭😭
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani mzee wetu
@nasrahassan73462 жыл бұрын
😀😀 dah mzee alikuw na story zuri sana yaani za ukweli hapa nimecheka
@augustintumbwe88092 жыл бұрын
Asante baba nashukuru basi tuu mungu
@khadhiriramadhan59842 жыл бұрын
R.l.P. 🤧🤧 Father mangu mungu akurehemu salama yale uliyoyapinga kwasasa yanaruhusiwa hali ni tete 😭😭😭😭
@Crabtree18442 жыл бұрын
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.
@vsaintburundi96162 жыл бұрын
Baba wewe na nkurunziza waburundi murazwe Pahari pema tutawakumbuka mirere
@florameza10282 жыл бұрын
Rais wa mfano hakuna kama wewe tunakukumbuka mnooooo
@chumanondochuma15352 жыл бұрын
Haya magufuli wetu tunakukumbuka Sana baba unafurahisha ila upo serious ,,tulia kwa amani huko uliko big daddy
@josephellytemu96452 жыл бұрын
Umemwachia mam tukajua atatupenda lakin Sasa anacho tufanya asee sas hamna kufanya kazi tumefukuzwa k Koo km kuku
@benjaminabisemba53312 жыл бұрын
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Hii brain haikuwa ya kawaida....Tungejua ungekuwa kuwa Rais kabla ya wengine....
@gwakubionga54282 жыл бұрын
Mungu tunaomba mbadala wa
@williammooshemollel71022 жыл бұрын
Jembe letu endelea kupumzika kwa amani
@isayamganule17412 жыл бұрын
Ni watu wachache kama Huyu kutokea Dunian
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Mungu muweke huyu mtumishi wko panapostahili Amina😭😭😭😭
@joneskavoi39662 жыл бұрын
We all will miss our dear leader
@gracejonh40222 жыл бұрын
Ulifata mpango wa MUNGU jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@sharifujita78152 жыл бұрын
We Remembering JPM, Rest In Peace
@suzanmbilinyi51692 жыл бұрын
Utuombee tupone wa Tz kwa sasa tuko hali tete
@sulleysonsulley41605 жыл бұрын
Jamani zaeenitu
@titus_maridhia2 жыл бұрын
Baba bora wa muda wote
@beatricefilbert11712 жыл бұрын
Alikua na upendo wakweli
@husseinhamiss65382 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana jpm mwanga wa milele ukuangazie
@sr.elizabethmbuligwe55402 жыл бұрын
Kwa kweli hili la uzazi wa mpango lifanyiwe utafiti wa kina maana wanawake wengi waliowahi kutumia uzazi wa mpango Wana matatizo ya kushika mimba na wengine hawana watoto kabisa waziri wa afya ummy mwalimu naomba ulifanyie kazi.
@rosemarysulle9288
2 жыл бұрын
Uzazi wa mpango ndo chanzo kikubwa cha saratani kwa akina mama.
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
na inasababisha kancer
@fransicmushenyera9302
2 жыл бұрын
nakumbuka saiti yako uliyotoa ukiwa kagera ukasema shule ya msimgi kingongo ya.Dar es salaam ambayo omeonyeshwa watoto wakiwa chini yamti na mwalimu walijifinza ukasema kabla ujamaliza ziara yako mkoani kagera ukute watoto wako madarasani siyo chini ya mti kweli yalijegwa madarasa tisa na.choo cha kisasa chenye matundu 24 kwa muda wa mwezi mmoja R.I.P.JPM
@patrobaselestine9017 Жыл бұрын
Watanzania tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi. Mungu akulaze mahali pema. Amina
@noelswai1722 жыл бұрын
Huku wanafanya Happy birthday Iliku
@vivianlucas63892 жыл бұрын
Aisee kizuri hakidumu jamn
@emanuelfissoo37002 жыл бұрын
Taifa ya Italia mimi nimekusaidia anko
@dhakomodherooherokoko6037
2 жыл бұрын
Kweli?
@barakawatu9226 Жыл бұрын
Rest In Possible our hero president, every hour, every day, every minute, we remember you, 🇹🇿🙏😭♥️.
@barakamafulu86602 жыл бұрын
Mwenyez mungu akupmzshe kwaa aman amina
@sadickponera24642 жыл бұрын
Sawaaaaaaaaaa baba nmekuelewa 😭😭😭😭
@nehemiatesha57632 жыл бұрын
Kazi ya mungu haikosolewi
@ibrahimjohnace16632 жыл бұрын
Magufuri Baba lao ,huu ni UKWELI kabisa mwanamke akishajihusisha na maswala ya uzazi wa Mpango hana uwezo mzuri wa kufanya kazi zenye nguvu.Tuishi tukimuelewa Mzee wetu.Pumziko la milele umjalie Dr.Magufuri.Amina.
@gatabazitheogene3222 жыл бұрын
Mungu ulimupenda zaidi
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Tuzae bwana umeona ukrane wanavyotesekana viya lakini tukiwa wengi tutaweza kuilinda nchi yetu!
@atrick.2 жыл бұрын
Lala salama pia pumzika kwa Aman mwenyez Mungu akupe ulinzi wa nilale AMEN
@gabrielgodwin26982 жыл бұрын
Naenjoy spich ya hayati magufuli kweli Ni mafundisho yasiyopoteza wakati.pumzika Rais wangu nitakukumbuka daima.
@scorasticaclement63082 жыл бұрын
R.I.P Daddy
@mwajumabakari37302 жыл бұрын
Mh Àllha akurehemu unatupa shida sana kukusahau sielewi hata nasema nn basi Allha ndy mkuu zaidi
@agathaandrew4032 жыл бұрын
Hotuba za huyu mwamba inabida ziwe mnazirusha kwenye tv mara kwa mara ili watu wazidi kuzienzi fikra zake . Huu ndiyo ukuu wa mwafrika. Japo hatupo pamoja ila tunakupenda sana mioyoni mwetu. Na Imani ipo siku Mungu atakuleta kivingine. Pumzika kwa amani mzee
@princehancesam98925 жыл бұрын
Nimependa
@michaelmuhando14612 жыл бұрын
Yaan inabidi utengenezewe sanam hata posta au morogoro maana haijawaitokea rais kama wew na ningum kuja kutokea mwingine kama ww
@hermanndongolo15502 жыл бұрын
Chuma
@leonardkambona36082 жыл бұрын
Uyu mpuuz alokuwa anacheka kanivunja mbavu
@shinjegadala90922 жыл бұрын
Sasa usipo zaa unategemea nn
@gaspermganga89002 жыл бұрын
Rip my president
@osamaabdallah46482 жыл бұрын
Nimekubali
@arenyutenga10522 жыл бұрын
Rip raisi wetu
@joshuajofrey98322 жыл бұрын
Sasa haupo tena ila Elimu yako tuko nayo love you .RIP JPM
@shubackmashinga35352 жыл бұрын
Nimesikia tu maziwa yanatoka
@sulleysonsulley41605 жыл бұрын
Kweli Mzee zaeeni sana
@samwelmushi17832 жыл бұрын
Man of the match, my dream president, one day God he will rise again president like you
@majaysjrmtitu53002 жыл бұрын
Asante JPM...rip ...Dad
@khalidmwinyi19812 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba hakika umepiga kaz
@scorpiondastan11792 жыл бұрын
Aliongea kilugha ili baadhi ya maneno wazungu wasiyaelewe
@user-ns1tn4sl8l
10 ай бұрын
Ndiyo maana yake.
@alphoncemaganga58872 жыл бұрын
Msema kweli sema baba, tutakukumbuka milele 🙏🙏🙏
@kurumwagodfrey70522 жыл бұрын
Nakukubali Sana mzeee wangu jpm
@user-jq9zg1lh4m4 ай бұрын
Kweli kabisa 😅
@deusdebitkowa96572 жыл бұрын
Very good teacher.
@mhebaniemmanuel932 Жыл бұрын
Tutakukumbuka sana mkuuu
@reformerthrone972 Жыл бұрын
Maneno yake ni kweli kabisa..
@floraladislaus11422 жыл бұрын
Bado siamin hata kidogo bado sana
@caritaspascal906
2 жыл бұрын
Baba nitakukumbuka daima tutakukumbuka Sana Sana,Mungu akuweke mahali pema peponi amina
@caritaspascal906
2 жыл бұрын
Hakuna wa kuziba pengo lako kamwe
@etemesiedward1508 Жыл бұрын
I miss y
@kassimjuma87135 жыл бұрын
ongea kisukuma ndo luga ya taifa nakukubali
@omanmwajabumbeguoman86422 жыл бұрын
Atali uku baba peter anatu maliza
@isayamganule17412 жыл бұрын
RIP JPM
@salimnjowoka43572 жыл бұрын
Daah magu, pumzika kwa Amani baba
@justinkisinza35052 жыл бұрын
Tuseme nini Basi baba kwa kukupoteza ww bado tuna kulilia maumivu bado hayajatuisha kwa kukupoteza mungu tusamehe tulishindwa kumlinda rais wetu mpendwa
@claudfute10472 жыл бұрын
Safi
@njikuhr18752 жыл бұрын
Mwanaume anaunguruma
@ndewariopeter13702 жыл бұрын
Eeeee MUNGU wangu,utuzawadie WATANZANIA kumuona tena ktk ulimwengu ujao,, Ulitupenda sana watanzania,ukatuzawadia kiongozi mwenye sauti,akili,na maamuzi kipekee,,kwa kipindi kifupi mno,,RIP JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI Amen
@kenedythomasi94782 жыл бұрын
I Remember jpm
@georgedidas-ngatena7955 жыл бұрын
Raisi awe anaongea kiswahili tu. kuna mambo mengine anayaongea na niyamuhimu ila msikilizaji anashindwa kuelewa kaongea nini. Tanzania ni zaidi ya makabila 100 , kutumia lugha moja ya kabila ni kuwafanya wa Tz zaidi ya makabila 100 kubaki wanaduwaa ""raisi kasema nini!!"""
@leilainnocent6532
5 жыл бұрын
Mbona watu hua wanaongea kingereza kwani haya makabila 100 yote yanafahamu kingereza?.....tafuta wasukuma wakutafasilie.
@georgedidas-ngatena795
5 жыл бұрын
Leila Innocent lugha rasimi za taifa ni mbili kiswahili na kingereza. yeyote anayezitumia hajakosea. wala anayeongea kisukuma hajakosea ila unapohutubia na watu zaidi ya kabila moja ..unapunguza uwezo wa tarifa kuwafikia wote. umesema jambo jema " walio elewa na watutafsirie"" maaana sina hakika kama alikuwa anaongea kisukuma pia maana sikijui .
@kingfisher101
5 жыл бұрын
Upo sawa ila mbona anaongea kiswahil kabisa but anapotaka kusisitiza na kukazia inambidi atumie lugha hiyo cuz anazungumza na watu wa jamii husika wa lugha hiyo na sizan kama angekuwa pwani angeitumia!
@kefajoseph1582 жыл бұрын
Huyo ndo alikuwa raisi achana na samia malaya mtembeza uchi
@nassorozawiya57782 жыл бұрын
I wish I could be him
@mrpeace89742 жыл бұрын
Jaman JP n nan alikuua rais wang kipenz kila nikikukumbuka machoz yananifumba macho nakuombea heri kwa mwenyez mungu akupe pumzko jema huko mbinguni
@user-zf1op1ez9l4 ай бұрын
Haki I miss this man,Niko kisii Kenya,let him rest in peace
@angelpaulopaulovivan73252 жыл бұрын
Pumzka kwa Aman Baba yetu tulikupenda San lakn mungu kakupend zaid
Пікірлер: 255
Who misses JPM like me ?? Nipe like
@jumakimawa3633
2 жыл бұрын
I'm here bro! Big up
@joshuanyonyi3313
2 жыл бұрын
Nimemusssii JPM
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
I miss him a lot RIP Magufuli
"Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi"... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Rais wangu Kipenz mungu akulaze mahali pema peponi. One love 🇹🇿
@josephatimasunga9470
2 жыл бұрын
JPM rest in peace
Nikukumbuka sana mzee wangu mungu ailaze roho yako mahali pema
Hotuba zake mtu ukiwa na muda unaweza kuchukua siku nzima kuzisikiliza bila kuchoka.mungu akulaze mahali pema peponi.kwetu tuna msemo usemao kuwa hili ni due la mbegu,kweli JPM kama ni dume la mbegu basi ulistahili.
@armelngondet2619
2 жыл бұрын
Effectivement
@mrchick5193
2 жыл бұрын
Amina
@gilbertambila3371
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nickomdete7232
2 жыл бұрын
Me nikiwa mmiss tyu na sikiliza tyuu clip zake
@patrickbunduki3477
2 жыл бұрын
Saana kwakweli mi kunamasiku namfataga siku nzima yaani...
You came and conquered the country and ÿou did an amazing job! Pumzika kwa amani Papa!
anaongea na kisukuma ili watu wa eneo hilo wamuelewa ukizingitia alikuwa anaongea na wasukuma kuna wengine hawaelewi kiswahili
Rais mkali kwa Mali za umma
Hivi nikitu kilitokea tar 17/03/21 😭😭 Hadi sasa hatujaelewa. Huyu Baba alikua mtu tofauti na wengine.
@justinewalwa7387
2 жыл бұрын
Mimi sijakielewa kifo chake, kilitokeaje
Da wewe nitakukumbuka ktk moyo wangu
Hivi huyu Rais Daah Ila mipango ya Mungu daah😭😭
Mpendwa wangu nilikupenda sana Magu lala sana
Nabii aliyetumwa kusema ukweli ambao si rahisi ku uelewa kwa elimu tulizo fundishwa darasani...he live forever.
From Burundi : namkumbuka sana huyu bulldoze ! Africa imehasarika!
Mungu akurehemu
Kwa kweli baba yetu wewe ulitumwa na Mungu uje utukomboe watanzania rest in peace JPM
@adventsumari6967
2 жыл бұрын
Mungu akulaze maali pema pepon
Nataman urudi ufafanue hicho kilugha maana walifaidi Sana watu wa lugha hiyo, daaa rip magu
@kidstz2695
2 жыл бұрын
Anachekesha sana huyu mzee
@noelymwakasege2428
2 жыл бұрын
Kabisa mkuu
Nakukubali sana mkuu lakni yote maisha tu
Huku tumekubari tozo, lakini bado na mikopo wanazidi kukopa 🤔
@rosemarysulle9288
2 жыл бұрын
Baba tangu atutoke tozo zimekuja nyingi sana,imebakia moja tu tozo ya roho😭😭😭
Pumzika kwa amani mzee wetu
😀😀 dah mzee alikuw na story zuri sana yaani za ukweli hapa nimecheka
Asante baba nashukuru basi tuu mungu
R.l.P. 🤧🤧 Father mangu mungu akurehemu salama yale uliyoyapinga kwasasa yanaruhusiwa hali ni tete 😭😭😭😭
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.
Baba wewe na nkurunziza waburundi murazwe Pahari pema tutawakumbuka mirere
Rais wa mfano hakuna kama wewe tunakukumbuka mnooooo
Haya magufuli wetu tunakukumbuka Sana baba unafurahisha ila upo serious ,,tulia kwa amani huko uliko big daddy
Umemwachia mam tukajua atatupenda lakin Sasa anacho tufanya asee sas hamna kufanya kazi tumefukuzwa k Koo km kuku
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
Hii brain haikuwa ya kawaida....Tungejua ungekuwa kuwa Rais kabla ya wengine....
Mungu tunaomba mbadala wa
Jembe letu endelea kupumzika kwa amani
Ni watu wachache kama Huyu kutokea Dunian
Mungu muweke huyu mtumishi wko panapostahili Amina😭😭😭😭
We all will miss our dear leader
Ulifata mpango wa MUNGU jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
We Remembering JPM, Rest In Peace
Utuombee tupone wa Tz kwa sasa tuko hali tete
Jamani zaeenitu
Baba bora wa muda wote
Alikua na upendo wakweli
Tunakukumbuka sana jpm mwanga wa milele ukuangazie
Kwa kweli hili la uzazi wa mpango lifanyiwe utafiti wa kina maana wanawake wengi waliowahi kutumia uzazi wa mpango Wana matatizo ya kushika mimba na wengine hawana watoto kabisa waziri wa afya ummy mwalimu naomba ulifanyie kazi.
@rosemarysulle9288
2 жыл бұрын
Uzazi wa mpango ndo chanzo kikubwa cha saratani kwa akina mama.
@aishaalbalushaishabalush8291
2 жыл бұрын
na inasababisha kancer
@fransicmushenyera9302
2 жыл бұрын
nakumbuka saiti yako uliyotoa ukiwa kagera ukasema shule ya msimgi kingongo ya.Dar es salaam ambayo omeonyeshwa watoto wakiwa chini yamti na mwalimu walijifinza ukasema kabla ujamaliza ziara yako mkoani kagera ukute watoto wako madarasani siyo chini ya mti kweli yalijegwa madarasa tisa na.choo cha kisasa chenye matundu 24 kwa muda wa mwezi mmoja R.I.P.JPM
Watanzania tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi. Mungu akulaze mahali pema. Amina
Huku wanafanya Happy birthday Iliku
Aisee kizuri hakidumu jamn
Taifa ya Italia mimi nimekusaidia anko
@dhakomodherooherokoko6037
2 жыл бұрын
Kweli?
Rest In Possible our hero president, every hour, every day, every minute, we remember you, 🇹🇿🙏😭♥️.
Mwenyez mungu akupmzshe kwaa aman amina
Sawaaaaaaaaaa baba nmekuelewa 😭😭😭😭
Kazi ya mungu haikosolewi
Magufuri Baba lao ,huu ni UKWELI kabisa mwanamke akishajihusisha na maswala ya uzazi wa Mpango hana uwezo mzuri wa kufanya kazi zenye nguvu.Tuishi tukimuelewa Mzee wetu.Pumziko la milele umjalie Dr.Magufuri.Amina.
Mungu ulimupenda zaidi
Tuzae bwana umeona ukrane wanavyotesekana viya lakini tukiwa wengi tutaweza kuilinda nchi yetu!
Lala salama pia pumzika kwa Aman mwenyez Mungu akupe ulinzi wa nilale AMEN
Naenjoy spich ya hayati magufuli kweli Ni mafundisho yasiyopoteza wakati.pumzika Rais wangu nitakukumbuka daima.
R.I.P Daddy
Mh Àllha akurehemu unatupa shida sana kukusahau sielewi hata nasema nn basi Allha ndy mkuu zaidi
Hotuba za huyu mwamba inabida ziwe mnazirusha kwenye tv mara kwa mara ili watu wazidi kuzienzi fikra zake . Huu ndiyo ukuu wa mwafrika. Japo hatupo pamoja ila tunakupenda sana mioyoni mwetu. Na Imani ipo siku Mungu atakuleta kivingine. Pumzika kwa amani mzee
Nimependa
Yaan inabidi utengenezewe sanam hata posta au morogoro maana haijawaitokea rais kama wew na ningum kuja kutokea mwingine kama ww
Chuma
Uyu mpuuz alokuwa anacheka kanivunja mbavu
Sasa usipo zaa unategemea nn
Rip my president
Nimekubali
Rip raisi wetu
Sasa haupo tena ila Elimu yako tuko nayo love you .RIP JPM
Nimesikia tu maziwa yanatoka
Kweli Mzee zaeeni sana
Man of the match, my dream president, one day God he will rise again president like you
Asante JPM...rip ...Dad
Pumzika kwa amani baba hakika umepiga kaz
Aliongea kilugha ili baadhi ya maneno wazungu wasiyaelewe
@user-ns1tn4sl8l
10 ай бұрын
Ndiyo maana yake.
Msema kweli sema baba, tutakukumbuka milele 🙏🙏🙏
Nakukubali Sana mzeee wangu jpm
Kweli kabisa 😅
Very good teacher.
Tutakukumbuka sana mkuuu
Maneno yake ni kweli kabisa..
Bado siamin hata kidogo bado sana
@caritaspascal906
2 жыл бұрын
Baba nitakukumbuka daima tutakukumbuka Sana Sana,Mungu akuweke mahali pema peponi amina
@caritaspascal906
2 жыл бұрын
Hakuna wa kuziba pengo lako kamwe
I miss y
ongea kisukuma ndo luga ya taifa nakukubali
Atali uku baba peter anatu maliza
RIP JPM
Daah magu, pumzika kwa Amani baba
Tuseme nini Basi baba kwa kukupoteza ww bado tuna kulilia maumivu bado hayajatuisha kwa kukupoteza mungu tusamehe tulishindwa kumlinda rais wetu mpendwa
Safi
Mwanaume anaunguruma
Eeeee MUNGU wangu,utuzawadie WATANZANIA kumuona tena ktk ulimwengu ujao,, Ulitupenda sana watanzania,ukatuzawadia kiongozi mwenye sauti,akili,na maamuzi kipekee,,kwa kipindi kifupi mno,,RIP JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI Amen
I Remember jpm
Raisi awe anaongea kiswahili tu. kuna mambo mengine anayaongea na niyamuhimu ila msikilizaji anashindwa kuelewa kaongea nini. Tanzania ni zaidi ya makabila 100 , kutumia lugha moja ya kabila ni kuwafanya wa Tz zaidi ya makabila 100 kubaki wanaduwaa ""raisi kasema nini!!"""
@leilainnocent6532
5 жыл бұрын
Mbona watu hua wanaongea kingereza kwani haya makabila 100 yote yanafahamu kingereza?.....tafuta wasukuma wakutafasilie.
@georgedidas-ngatena795
5 жыл бұрын
Leila Innocent lugha rasimi za taifa ni mbili kiswahili na kingereza. yeyote anayezitumia hajakosea. wala anayeongea kisukuma hajakosea ila unapohutubia na watu zaidi ya kabila moja ..unapunguza uwezo wa tarifa kuwafikia wote. umesema jambo jema " walio elewa na watutafsirie"" maaana sina hakika kama alikuwa anaongea kisukuma pia maana sikijui .
@kingfisher101
5 жыл бұрын
Upo sawa ila mbona anaongea kiswahil kabisa but anapotaka kusisitiza na kukazia inambidi atumie lugha hiyo cuz anazungumza na watu wa jamii husika wa lugha hiyo na sizan kama angekuwa pwani angeitumia!
Huyo ndo alikuwa raisi achana na samia malaya mtembeza uchi
I wish I could be him
Jaman JP n nan alikuua rais wang kipenz kila nikikukumbuka machoz yananifumba macho nakuombea heri kwa mwenyez mungu akupe pumzko jema huko mbinguni
Haki I miss this man,Niko kisii Kenya,let him rest in peace
Pumzka kwa Aman Baba yetu tulikupenda San lakn mungu kakupend zaid
Alwayz remember you father of the dvt
Pumzika bb yetu
Tombo mission tv