Magufuli akiwafungukia watanzania kuhusu uzazi wa mpango

Rais John Magufuli amepigia debe watanzania kuchapa kazi na kuzalisha mali kuendana na uwezo wa kuhudumia vizazi vyao.
Msikilize akifafanua kwa mifano
#MagufuliMeatu

Пікірлер: 255

  • @sheiykingtv3713
    @sheiykingtv37132 жыл бұрын

    Who misses JPM like me ?? Nipe like

  • @jumakimawa3633

    @jumakimawa3633

    2 жыл бұрын

    I'm here bro! Big up

  • @joshuanyonyi3313

    @joshuanyonyi3313

    2 жыл бұрын

    Nimemusssii JPM

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    Жыл бұрын

    I miss him a lot RIP Magufuli

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    "Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi"... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga80512 жыл бұрын

    Rais wangu Kipenz mungu akulaze mahali pema peponi. One love 🇹🇿

  • @josephatimasunga9470

    @josephatimasunga9470

    2 жыл бұрын

    JPM rest in peace

  • @leonardcharles9654
    @leonardcharles96542 жыл бұрын

    Nikukumbuka sana mzee wangu mungu ailaze roho yako mahali pema

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын

    Hotuba zake mtu ukiwa na muda unaweza kuchukua siku nzima kuzisikiliza bila kuchoka.mungu akulaze mahali pema peponi.kwetu tuna msemo usemao kuwa hili ni due la mbegu,kweli JPM kama ni dume la mbegu basi ulistahili.

  • @armelngondet2619

    @armelngondet2619

    2 жыл бұрын

    Effectivement

  • @mrchick5193

    @mrchick5193

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @gilbertambila3371

    @gilbertambila3371

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @nickomdete7232

    @nickomdete7232

    2 жыл бұрын

    Me nikiwa mmiss tyu na sikiliza tyuu clip zake

  • @patrickbunduki3477

    @patrickbunduki3477

    2 жыл бұрын

    Saana kwakweli mi kunamasiku namfataga siku nzima yaani...

  • @jumakimawa3633
    @jumakimawa3633 Жыл бұрын

    You came and conquered the country and ÿou did an amazing job! Pumzika kwa amani Papa!

  • @danielcosmas5194
    @danielcosmas51945 жыл бұрын

    anaongea na kisukuma ili watu wa eneo hilo wamuelewa ukizingitia alikuwa anaongea na wasukuma kuna wengine hawaelewi kiswahili

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe10362 жыл бұрын

    Rais mkali kwa Mali za umma

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18992 жыл бұрын

    Hivi nikitu kilitokea tar 17/03/21 😭😭 Hadi sasa hatujaelewa. Huyu Baba alikua mtu tofauti na wengine.

  • @justinewalwa7387

    @justinewalwa7387

    2 жыл бұрын

    Mimi sijakielewa kifo chake, kilitokeaje

  • @ashahamza2822
    @ashahamza28222 жыл бұрын

    Da wewe nitakukumbuka ktk moyo wangu

  • @khamislisso9137
    @khamislisso91372 жыл бұрын

    Hivi huyu Rais Daah Ila mipango ya Mungu daah😭😭

  • @festinamwakipale6446
    @festinamwakipale64462 жыл бұрын

    Mpendwa wangu nilikupenda sana Magu lala sana

  • @agventure_tz8928
    @agventure_tz89282 жыл бұрын

    Nabii aliyetumwa kusema ukweli ambao si rahisi ku uelewa kwa elimu tulizo fundishwa darasani...he live forever.

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise22562 жыл бұрын

    From Burundi : namkumbuka sana huyu bulldoze ! Africa imehasarika!

  • @nuratkalinga581
    @nuratkalinga5812 жыл бұрын

    Mungu akurehemu

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe55402 жыл бұрын

    Kwa kweli baba yetu wewe ulitumwa na Mungu uje utukomboe watanzania rest in peace JPM

  • @adventsumari6967

    @adventsumari6967

    2 жыл бұрын

    Mungu akulaze maali pema pepon

  • @nassoroshaaban7279
    @nassoroshaaban72792 жыл бұрын

    Nataman urudi ufafanue hicho kilugha maana walifaidi Sana watu wa lugha hiyo, daaa rip magu

  • @kidstz2695

    @kidstz2695

    2 жыл бұрын

    Anachekesha sana huyu mzee

  • @noelymwakasege2428

    @noelymwakasege2428

    2 жыл бұрын

    Kabisa mkuu

  • @robertchuri3222
    @robertchuri32222 жыл бұрын

    Nakukubali sana mkuu lakni yote maisha tu

  • @laurinfred2931
    @laurinfred29312 жыл бұрын

    Huku tumekubari tozo, lakini bado na mikopo wanazidi kukopa 🤔

  • @rosemarysulle9288

    @rosemarysulle9288

    2 жыл бұрын

    Baba tangu atutoke tozo zimekuja nyingi sana,imebakia moja tu tozo ya roho😭😭😭

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan73462 жыл бұрын

    😀😀 dah mzee alikuw na story zuri sana yaani za ukweli hapa nimecheka

  • @augustintumbwe8809
    @augustintumbwe88092 жыл бұрын

    Asante baba nashukuru basi tuu mungu

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan59842 жыл бұрын

    R.l.P. 🤧🤧 Father mangu mungu akurehemu salama yale uliyoyapinga kwasasa yanaruhusiwa hali ni tete 😭😭😭😭

  • @Crabtree1844
    @Crabtree18442 жыл бұрын

    Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.

  • @vsaintburundi9616
    @vsaintburundi96162 жыл бұрын

    Baba wewe na nkurunziza waburundi murazwe Pahari pema tutawakumbuka mirere

  • @florameza1028
    @florameza10282 жыл бұрын

    Rais wa mfano hakuna kama wewe tunakukumbuka mnooooo

  • @chumanondochuma1535
    @chumanondochuma15352 жыл бұрын

    Haya magufuli wetu tunakukumbuka Sana baba unafurahisha ila upo serious ,,tulia kwa amani huko uliko big daddy

  • @josephellytemu9645
    @josephellytemu96452 жыл бұрын

    Umemwachia mam tukajua atatupenda lakin Sasa anacho tufanya asee sas hamna kufanya kazi tumefukuzwa k Koo km kuku

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba53312 жыл бұрын

    RIP mzee wetu JPM 😭😭😭

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Hii brain haikuwa ya kawaida....Tungejua ungekuwa kuwa Rais kabla ya wengine....

  • @gwakubionga5428
    @gwakubionga54282 жыл бұрын

    Mungu tunaomba mbadala wa

  • @williammooshemollel7102
    @williammooshemollel71022 жыл бұрын

    Jembe letu endelea kupumzika kwa amani

  • @isayamganule1741
    @isayamganule17412 жыл бұрын

    Ni watu wachache kama Huyu kutokea Dunian

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle92882 жыл бұрын

    Mungu muweke huyu mtumishi wko panapostahili Amina😭😭😭😭

  • @joneskavoi3966
    @joneskavoi39662 жыл бұрын

    We all will miss our dear leader

  • @gracejonh4022
    @gracejonh40222 жыл бұрын

    Ulifata mpango wa MUNGU jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sharifujita7815
    @sharifujita78152 жыл бұрын

    We Remembering JPM, Rest In Peace

  • @suzanmbilinyi5169
    @suzanmbilinyi51692 жыл бұрын

    Utuombee tupone wa Tz kwa sasa tuko hali tete

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley41605 жыл бұрын

    Jamani zaeenitu

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia2 жыл бұрын

    Baba bora wa muda wote

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert11712 жыл бұрын

    Alikua na upendo wakweli

  • @husseinhamiss6538
    @husseinhamiss65382 жыл бұрын

    Tunakukumbuka sana jpm mwanga wa milele ukuangazie

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe55402 жыл бұрын

    Kwa kweli hili la uzazi wa mpango lifanyiwe utafiti wa kina maana wanawake wengi waliowahi kutumia uzazi wa mpango Wana matatizo ya kushika mimba na wengine hawana watoto kabisa waziri wa afya ummy mwalimu naomba ulifanyie kazi.

  • @rosemarysulle9288

    @rosemarysulle9288

    2 жыл бұрын

    Uzazi wa mpango ndo chanzo kikubwa cha saratani kwa akina mama.

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 жыл бұрын

    na inasababisha kancer

  • @fransicmushenyera9302

    @fransicmushenyera9302

    2 жыл бұрын

    nakumbuka saiti yako uliyotoa ukiwa kagera ukasema shule ya msimgi kingongo ya.Dar es salaam ambayo omeonyeshwa watoto wakiwa chini yamti na mwalimu walijifinza ukasema kabla ujamaliza ziara yako mkoani kagera ukute watoto wako madarasani siyo chini ya mti kweli yalijegwa madarasa tisa na.choo cha kisasa chenye matundu 24 kwa muda wa mwezi mmoja R.I.P.JPM

  • @patrobaselestine9017
    @patrobaselestine9017 Жыл бұрын

    Watanzania tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi. Mungu akulaze mahali pema. Amina

  • @noelswai172
    @noelswai1722 жыл бұрын

    Huku wanafanya Happy birthday Iliku

  • @vivianlucas6389
    @vivianlucas63892 жыл бұрын

    Aisee kizuri hakidumu jamn

  • @emanuelfissoo3700
    @emanuelfissoo37002 жыл бұрын

    Taifa ya Italia mimi nimekusaidia anko

  • @dhakomodherooherokoko6037

    @dhakomodherooherokoko6037

    2 жыл бұрын

    Kweli?

  • @barakawatu9226
    @barakawatu9226 Жыл бұрын

    Rest In Possible our hero president, every hour, every day, every minute, we remember you, 🇹🇿🙏😭♥️.

  • @barakamafulu8660
    @barakamafulu86602 жыл бұрын

    Mwenyez mungu akupmzshe kwaa aman amina

  • @sadickponera2464
    @sadickponera24642 жыл бұрын

    Sawaaaaaaaaaa baba nmekuelewa 😭😭😭😭

  • @nehemiatesha5763
    @nehemiatesha57632 жыл бұрын

    Kazi ya mungu haikosolewi

  • @ibrahimjohnace1663
    @ibrahimjohnace16632 жыл бұрын

    Magufuri Baba lao ,huu ni UKWELI kabisa mwanamke akishajihusisha na maswala ya uzazi wa Mpango hana uwezo mzuri wa kufanya kazi zenye nguvu.Tuishi tukimuelewa Mzee wetu.Pumziko la milele umjalie Dr.Magufuri.Amina.

  • @gatabazitheogene322
    @gatabazitheogene3222 жыл бұрын

    Mungu ulimupenda zaidi

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani70142 жыл бұрын

    Tuzae bwana umeona ukrane wanavyotesekana viya lakini tukiwa wengi tutaweza kuilinda nchi yetu!

  • @atrick.
    @atrick.2 жыл бұрын

    Lala salama pia pumzika kwa Aman mwenyez Mungu akupe ulinzi wa nilale AMEN

  • @gabrielgodwin2698
    @gabrielgodwin26982 жыл бұрын

    Naenjoy spich ya hayati magufuli kweli Ni mafundisho yasiyopoteza wakati.pumzika Rais wangu nitakukumbuka daima.

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement63082 жыл бұрын

    R.I.P Daddy

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari37302 жыл бұрын

    Mh Àllha akurehemu unatupa shida sana kukusahau sielewi hata nasema nn basi Allha ndy mkuu zaidi

  • @agathaandrew403
    @agathaandrew4032 жыл бұрын

    Hotuba za huyu mwamba inabida ziwe mnazirusha kwenye tv mara kwa mara ili watu wazidi kuzienzi fikra zake . Huu ndiyo ukuu wa mwafrika. Japo hatupo pamoja ila tunakupenda sana mioyoni mwetu. Na Imani ipo siku Mungu atakuleta kivingine. Pumzika kwa amani mzee

  • @princehancesam9892
    @princehancesam98925 жыл бұрын

    Nimependa

  • @michaelmuhando1461
    @michaelmuhando14612 жыл бұрын

    Yaan inabidi utengenezewe sanam hata posta au morogoro maana haijawaitokea rais kama wew na ningum kuja kutokea mwingine kama ww

  • @hermanndongolo1550
    @hermanndongolo15502 жыл бұрын

    Chuma

  • @leonardkambona3608
    @leonardkambona36082 жыл бұрын

    Uyu mpuuz alokuwa anacheka kanivunja mbavu

  • @shinjegadala9092
    @shinjegadala90922 жыл бұрын

    Sasa usipo zaa unategemea nn

  • @gaspermganga8900
    @gaspermganga89002 жыл бұрын

    Rip my president

  • @osamaabdallah4648
    @osamaabdallah46482 жыл бұрын

    Nimekubali

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga10522 жыл бұрын

    Rip raisi wetu

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey98322 жыл бұрын

    Sasa haupo tena ila Elimu yako tuko nayo love you .RIP JPM

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga35352 жыл бұрын

    Nimesikia tu maziwa yanatoka

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley41605 жыл бұрын

    Kweli Mzee zaeeni sana

  • @samwelmushi1783
    @samwelmushi17832 жыл бұрын

    Man of the match, my dream president, one day God he will rise again president like you

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu53002 жыл бұрын

    Asante JPM...rip ...Dad

  • @khalidmwinyi1981
    @khalidmwinyi19812 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba hakika umepiga kaz

  • @scorpiondastan1179
    @scorpiondastan11792 жыл бұрын

    Aliongea kilugha ili baadhi ya maneno wazungu wasiyaelewe

  • @user-ns1tn4sl8l

    @user-ns1tn4sl8l

    10 ай бұрын

    Ndiyo maana yake.

  • @alphoncemaganga5887
    @alphoncemaganga58872 жыл бұрын

    Msema kweli sema baba, tutakukumbuka milele 🙏🙏🙏

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey70522 жыл бұрын

    Nakukubali Sana mzeee wangu jpm

  • @user-jq9zg1lh4m
    @user-jq9zg1lh4m4 ай бұрын

    Kweli kabisa 😅

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa96572 жыл бұрын

    Very good teacher.

  • @mhebaniemmanuel932
    @mhebaniemmanuel932 Жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana mkuuu

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 Жыл бұрын

    Maneno yake ni kweli kabisa..

  • @floraladislaus1142
    @floraladislaus11422 жыл бұрын

    Bado siamin hata kidogo bado sana

  • @caritaspascal906

    @caritaspascal906

    2 жыл бұрын

    Baba nitakukumbuka daima tutakukumbuka Sana Sana,Mungu akuweke mahali pema peponi amina

  • @caritaspascal906

    @caritaspascal906

    2 жыл бұрын

    Hakuna wa kuziba pengo lako kamwe

  • @etemesiedward1508
    @etemesiedward1508 Жыл бұрын

    I miss y

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma87135 жыл бұрын

    ongea kisukuma ndo luga ya taifa nakukubali

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman86422 жыл бұрын

    Atali uku baba peter anatu maliza

  • @isayamganule1741
    @isayamganule17412 жыл бұрын

    RIP JPM

  • @salimnjowoka4357
    @salimnjowoka43572 жыл бұрын

    Daah magu, pumzika kwa Amani baba

  • @justinkisinza3505
    @justinkisinza35052 жыл бұрын

    Tuseme nini Basi baba kwa kukupoteza ww bado tuna kulilia maumivu bado hayajatuisha kwa kukupoteza mungu tusamehe tulishindwa kumlinda rais wetu mpendwa

  • @claudfute1047
    @claudfute10472 жыл бұрын

    Safi

  • @njikuhr1875
    @njikuhr18752 жыл бұрын

    Mwanaume anaunguruma

  • @ndewariopeter1370
    @ndewariopeter13702 жыл бұрын

    Eeeee MUNGU wangu,utuzawadie WATANZANIA kumuona tena ktk ulimwengu ujao,, Ulitupenda sana watanzania,ukatuzawadia kiongozi mwenye sauti,akili,na maamuzi kipekee,,kwa kipindi kifupi mno,,RIP JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI Amen

  • @kenedythomasi9478
    @kenedythomasi94782 жыл бұрын

    I Remember jpm

  • @georgedidas-ngatena795
    @georgedidas-ngatena7955 жыл бұрын

    Raisi awe anaongea kiswahili tu. kuna mambo mengine anayaongea na niyamuhimu ila msikilizaji anashindwa kuelewa kaongea nini. Tanzania ni zaidi ya makabila 100 , kutumia lugha moja ya kabila ni kuwafanya wa Tz zaidi ya makabila 100 kubaki wanaduwaa ""raisi kasema nini!!"""

  • @leilainnocent6532

    @leilainnocent6532

    5 жыл бұрын

    Mbona watu hua wanaongea kingereza kwani haya makabila 100 yote yanafahamu kingereza?.....tafuta wasukuma wakutafasilie.

  • @georgedidas-ngatena795

    @georgedidas-ngatena795

    5 жыл бұрын

    Leila Innocent lugha rasimi za taifa ni mbili kiswahili na kingereza. yeyote anayezitumia hajakosea. wala anayeongea kisukuma hajakosea ila unapohutubia na watu zaidi ya kabila moja ..unapunguza uwezo wa tarifa kuwafikia wote. umesema jambo jema " walio elewa na watutafsirie"" maaana sina hakika kama alikuwa anaongea kisukuma pia maana sikijui .

  • @kingfisher101

    @kingfisher101

    5 жыл бұрын

    Upo sawa ila mbona anaongea kiswahil kabisa but anapotaka kusisitiza na kukazia inambidi atumie lugha hiyo cuz anazungumza na watu wa jamii husika wa lugha hiyo na sizan kama angekuwa pwani angeitumia!

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph1582 жыл бұрын

    Huyo ndo alikuwa raisi achana na samia malaya mtembeza uchi

  • @nassorozawiya5778
    @nassorozawiya57782 жыл бұрын

    I wish I could be him

  • @mrpeace8974
    @mrpeace89742 жыл бұрын

    Jaman JP n nan alikuua rais wang kipenz kila nikikukumbuka machoz yananifumba macho nakuombea heri kwa mwenyez mungu akupe pumzko jema huko mbinguni

  • @user-zf1op1ez9l
    @user-zf1op1ez9l4 ай бұрын

    Haki I miss this man,Niko kisii Kenya,let him rest in peace

  • @angelpaulopaulovivan7325
    @angelpaulopaulovivan73252 жыл бұрын

    Pumzka kwa Aman Baba yetu tulikupenda San lakn mungu kakupend zaid

  • @cosmasjustus4135
    @cosmasjustus4135 Жыл бұрын

    Alwayz remember you father of the dvt

  • @dicksonnoel1004
    @dicksonnoel10042 жыл бұрын

    Pumzika bb yetu

  • @emanueluisso7352
    @emanueluisso73522 жыл бұрын

    Tombo mission tv